WAKRISTO WENGI WAMEANZA KUIONA HAKI NA KUANZA SAFARI YA KUUAGA UKRISTO

‪@StraightPathDawah‬ Ni dawah popote wakati wowote.. Please consider subscribing for more videos.

Пікірлер: 49

  • @Noorein-ws8wk
    @Noorein-ws8wk16 күн бұрын

    Mwenye akili akiona haki huifuata, ALLAH awaongoze wote waingie kwenye dini ya haki Amiin

  • @comarcabdall1564
    @comarcabdall156416 күн бұрын

    Nakupata sana, nakufatilia sana kutoka England Oxford, Allah akubarik

  • @MariamAsudi
    @MariamAsudi16 күн бұрын

    Mwenyezi Mungu azidi kuwaongoza masheikh wetu kwa kazi hii. Yenye faida ya Akherah na kuwalingania wakristo katika haki

  • @kihimbamushyaibrahim7284
    @kihimbamushyaibrahim728416 күн бұрын

    Alhamdu lillahiee mola wetu muongoze huyu kijana na sisi wa Islam wapya mungu atuthibitishe

  • @SalmanMughal-lq5lt

    @SalmanMughal-lq5lt

    16 күн бұрын

    Aaminayaarabi

  • @mbiumaithya

    @mbiumaithya

    4 күн бұрын

    allah atujalie kheri na atuingize jannah

  • @josemu870
    @josemu87016 күн бұрын

    Allahamdhulla barikiweni sana sana

  • @mamprince3667
    @mamprince366715 күн бұрын

    Mashalla, napenda Da'wah. Mola wetu mlezi atuongoze sote

  • @saudahassan3804
    @saudahassan380415 күн бұрын

    Mashallah karibu sana kaka muhamad kwenye njia iliyooka

  • @user-du2fy5sd5u
    @user-du2fy5sd5u16 күн бұрын

    In shaa Allah Kila la kheir ktk kazi hii ya Daawah

  • @Sal.0
    @Sal.015 күн бұрын

    Masha'Allah, Masha'Allah Ustad ame rudi Nrb baada ya MARATHON jule Lamu, Kilifi, na Msa Counties na ku ingine! Well done Ustad na Team. Wa Islamu supportini hii Dawah Team, jila mwezi, ili Dawah ifike mpaka TZ na Uganda pia! Ustad ana penda Dawah ifike kila Corner ya East Afrika! Wekesa, Welcome. Beautiful Jacket Ustad! Kule nyuma print: What is Islam? "Submission to your Creator!" Ai, hawa Mkristo kama hutu Joshua Mgumu, uki towa andiko, na wao wata towa nyengeni yakui PINGA! Kwani hawa WaKristo kama joshua, hawa REALISE kuna ENDLESS CONTRADICTIONS katika CULT yao la 'ukristo'! Halafu MRONGO hutu Joshua! Eti yesu ali IMBA? Na hawana HAYA hawa Wakristo! Halafu wako na FICTIOUS 'Hadiths' nyingiiii, za Islam! Ati Quran ni Nzito? Mafundisho Bora, as usual.

  • @salmaminja7714
    @salmaminja771416 күн бұрын

    Mashallah shekh Ramadhana na shekhe Yusufu hakika Allah awahifadh na awape moyo wa subra kazi hii ya Allah ni zaid ya chuo kikuu. Allah awape afya njma na pepo yke yaumul qiyama. Biidhinilah. Allahumma Amiiyn Yarabb.

  • @user-iz1er8vg7u
    @user-iz1er8vg7u16 күн бұрын

    ALLAHU AKBAR ❤

  • @fredrickmugo-us7ck
    @fredrickmugo-us7ck17 күн бұрын

    We are waiting this to be in Egerton unv

  • @adanabdi5249
    @adanabdi524916 күн бұрын

    Hapo sawa.

  • @AliHassan-zt4ye
    @AliHassan-zt4ye16 күн бұрын

    The First Time Nimekupata Ya'ani Nimekuona Nairobi Ilikua Nairobi Haswa Hapo Eastleigh Da'awa Event And Jamia Masjid During Opening Day Of Jamia Masjid For Non-Muslim And General Public. I Really Appreciate Your Efforts Lovely Brother Ramadhan. I Am Hassan From Our Lovely County 008 Wajir, currently Based At Nairobi.

  • @Fumokale
    @Fumokale16 күн бұрын

    MashaAllah tabarakallah laaquwwata illa billah....Allah awajaalie IKHLAS mashaikh wetu wooote wanao fanya daawa....aaaaaminaaa

  • @user-rc7oi2hp8l
    @user-rc7oi2hp8l16 күн бұрын

    Kazi nzuri walim wangu.apana Mola apasae kuabudiwa ila Allah (Allah mungu wa yesu)

  • @ConfusedHidingCat-fj5eg
    @ConfusedHidingCat-fj5eg16 күн бұрын

    Allahu akbar

  • @collinstogoch761
    @collinstogoch76112 күн бұрын

    Mashallah..Masaai kusema Yesu ni nabii bali si Mungu,Alhamdullilah

  • @abdullahmasakata170
    @abdullahmasakata17016 күн бұрын

    Mashaa Allah Allah awalipeni kheri nyote mnaoipigania haki.

  • @alialkindy6690
    @alialkindy669015 күн бұрын

    Mungu akubarik

  • @bacteria5184
    @bacteria518416 күн бұрын

    Maasai ana maswali mazuri

  • @raniahmamu2586
    @raniahmamu258617 күн бұрын

    ❤❤❤ Masha'Allah

  • @abdinassirhussein190
    @abdinassirhussein19017 күн бұрын

    Masha Allah ustath Ramadan Allah akuongoze Kwa kila Jambo Insha Allah

  • @yabdul1782
    @yabdul178215 күн бұрын

    Alhamdulillah!

  • @habibasalim3092
    @habibasalim309214 күн бұрын

    Maa shaa Allaah, the sura Nasr Allaah confirmed it already, so people ofvthose who believe in islam but they're not practicing the deen they must do their repentance and start practicing, become this is the time,now in the westerners have break the records of people taking shahada like heavy rains

  • @josemu870
    @josemu87011 күн бұрын

    Mafundisho yenye utaratibu yani mawaidha ya Koran mwenyezi Mungu amulide Allahamdhullah

  • @Mwalimu-wa-Math
    @Mwalimu-wa-Math16 күн бұрын

    Mwalimu nimependa vile umevaa hio brand Weka kwa youtube pia sisi tununue ili tu promote this KZread Chanel

  • @StraightPathDawah

    @StraightPathDawah

    16 күн бұрын

    insha'Allah

  • @habibasalim3092
    @habibasalim309214 күн бұрын

    Hawa hata wanajaribu lakini wazungu ndio wamevunja rekodi tena 2023 2024

  • @seifserenge3340
    @seifserenge334017 күн бұрын

    Hawataki kujibu wanavyoulizwa wanababaisha huku na kule kukwepa maswali, huko nikufilisika kimaandiko.

  • @mwanamtotosaid702
    @mwanamtotosaid70211 күн бұрын

    ❤❤

  • @hythamhashiem4458
    @hythamhashiem445816 күн бұрын

    Hao jamaa wapenda kulewa ndio waka tetea divai

  • @HABIBMEDIA-fk9hg
    @HABIBMEDIA-fk9hg14 күн бұрын

    huyo jamaa alikuwa Jacaranda akibisha

  • @habibasalim3092
    @habibasalim309214 күн бұрын

    Kwakifupi hakuna neno geni,uislmu ni Monotheism beleaving, only one creator the only Elah Arameic, Allaah Arabic..

  • @kennedyodhiambo8049
    @kennedyodhiambo804915 күн бұрын

    Sasa hawa wazee wakimaasai wakikubali kuslimu itabidi wafunzwe kiarabu ndipo waweze kumwabudu Mungu! Kama hata Kiswahili hawawezi kuzungumza vizuri, Kizungu hawaelewi na sasa itawalazimu kujifunza kiarabu si ni mzigo mkubwa huo!!! Yesu akasema, Njooni kwangu wote waliolemewa na mizigo mizito.. Mathayo 11:28. Uislamu ni mzigo kwa hivyo Waislamu njooni kwa Yesu muondolewe mizigo

  • @StraightPathDawah

    @StraightPathDawah

    15 күн бұрын

    Uwongo huo maana Yesu pia hakuongea Kiswahili

  • @kennedyodhiambo8049

    @kennedyodhiambo8049

    14 күн бұрын

    @@StraightPathDawah Je umeona kama sisi ni lazima tuongee lugha yenye Yesu aliongea?

  • @user-hy5zd5rn6r
    @user-hy5zd5rn6r16 күн бұрын

    Vizia vizia wasioelewa Uislam

  • @StraightPathDawah

    @StraightPathDawah

    16 күн бұрын

    Ndio waelewe

  • @Jingajinga64

    @Jingajinga64

    16 күн бұрын

    ​@@StraightPathDawahSheikh Ramadhan, ignore him please.

  • @danwangila2735
    @danwangila273515 күн бұрын

    Propaganda hizo....dini ya majini(shetani) nayo ni ya kuhamia?

  • @fredrickmugo-us7ck
    @fredrickmugo-us7ck17 күн бұрын

    We are waiting this to be in Egerton unv

  • @StraightPathDawah

    @StraightPathDawah

    17 күн бұрын

    insha'Allah

  • @SalmanMughal-lq5lt

    @SalmanMughal-lq5lt

    16 күн бұрын

    Allah.AwapeKheri.nyingi.masheheNawa.walim.wetu.kazingumu.wanazofanya.kwahakikaUislam.ni.mzuri.mashaAllah