WACHUNGAJI WAKIRI YESU SIO MUNGU BAADA YA KUNENA KWA LUGHA MPYA

Tafadhali subscribe kwenye channel hii ya Straight Path Dawah ili ujumbe uzidi kuenea.

Пікірлер: 121

  • @maherzain615
    @maherzain615 Жыл бұрын

    MashaAllah. Alhamdulillah Kwa Kuamka salama nakuwahi swala ya alfajiri. InshaAllah tujibidiishe Kwa kusoma suratul kahf na kumswalia mtume kwa wingi kwa cku hii tukufu ya jum'a.Allah atupe fadhla ya cku hii ,atusameh na atujalie tuwahi saatul ijaba

  • @rashidalfan8274
    @rashidalfan8274 Жыл бұрын

    Mashaallah Tabarakallah, kazi nzuri ustadh Ramadhan, uwa napenda nikisika, Allah awazidishie Elimu mlionayo kutoa watu kwenye Giza na kuwapeleka kwenye nuru ya uislamu,

  • @aishahazary4097
    @aishahazary4097 Жыл бұрын

    Tunakupenda kwa ajili ya ALLAH shehe Ramadhani na kundi lako.ALLAH awakinge na hasad za dunia hii.Aamiyn.

  • @grealishteam5247
    @grealishteam5247 Жыл бұрын

    Allah akujaliyeni kila la kheri katika jitihada zenu

  • @mwanamtotosaid702

    @mwanamtotosaid702

    Жыл бұрын

    Aamin 🤲

  • @salmanassor8732
    @salmanassor8732 Жыл бұрын

    Mashallah tabaraka Rakhman Alha awalipe kheri mashehe wetu kwa jitihada kubwa ya kufikisha dini ya haki

  • @jamalathman6219
    @jamalathman6219 Жыл бұрын

    Mashallah sheikh ramadhan Allah akueke pamoja na team yako uendeleze dawaah kote nchini wakiristo wazidi elewa uisilamu

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi1725 Жыл бұрын

    Masha Allah tabaraka Rahman Allah azidi kuwapa nguvu, afya muendelee ku itangaza dini ya haqi. Na wapenda kwa ajili ya Allah

  • @fatmamuhamad3762
    @fatmamuhamad3762 Жыл бұрын

    Asalamu aleikum Allah atuogoze soote in shaha allah

  • @StraightPathDawah

    @StraightPathDawah

    Жыл бұрын

    Wa aleyikum salam warahmatullahi wabarakatuh

  • @fadumarage2682
    @fadumarage2682 Жыл бұрын

    Wsnajikaza tu lakini wa najua dini ya ukweli ni kislamu mashaalaa Allah awaelekeze inshaala,

  • @hassanmpemba5747
    @hassanmpemba5747 Жыл бұрын

    Masha Allah sheikh Ramadan kwa ulinganiaji mzuri mungu akupe umri mrefu uzidi kulingania

  • @StraightPathDawah

    @StraightPathDawah

    Жыл бұрын

    Allahuma ameen 🤲

  • @Sai.Mo69

    @Sai.Mo69

    Жыл бұрын

    Ameen.

  • @Sai.Mo69
    @Sai.Mo69 Жыл бұрын

    MashaAllah. JazakAllah for the Hard Work! Wa Islamu, supportini hii channel na Mali zenu! Kwani hawa WaKristo hawa jui Biblia yao ime andikwa na Wazungu, hivi juzi tuu, in 1611AD, by King James! Biblia ni Story Book ya Wazungu, that is why NENO UKRISTO na Neno 'Biblia' HAIKO katika Biblia zote! Those TWO Words dont exist!

  • @zainaal-nabhani9034
    @zainaal-nabhani9034 Жыл бұрын

    Mungu akupe nguvu nawepesi katika kaziyako hii tukufu shee ramazan kuriy

  • @ggv866
    @ggv866 Жыл бұрын

    Mashaallah Allah akupe kila la kheri Sheikh Ramadan ..kwa juudi zako kwa kueneza dini ya Aki ya uislam

  • @Sisterjemi1
    @Sisterjemi1 Жыл бұрын

    Ma sha Allah

  • @salminmabrouk5433
    @salminmabrouk5433 Жыл бұрын

    Mashaa Allah

  • @nooroman2535
    @nooroman2535 Жыл бұрын

    MashaAllah shelkh Ramadhani Allah hakupe afya njema na umuli mrefu lnshaallah uzidi kumtangaza Allah nahakupe pepo ya fildas lnshaallah

  • @nooor1120
    @nooor1120 Жыл бұрын

    Allahu akbar Allah azidi kukutieni nguvu kazi mnayofanya iendelee kwa wepesi daima.

  • @malikdodo5190
    @malikdodo5190 Жыл бұрын

    A have got wat to watch tonight Inshaaa Allah

  • @fatmamuhamad3762
    @fatmamuhamad3762 Жыл бұрын

    Asalamu aleikum Allah awaipe kila kheri in sha allah

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 Жыл бұрын

    Huyo kijana Silas Allah atamuongoza InshaAllah.. akili yake ni safi..

  • @salimbilali5174
    @salimbilali5174 Жыл бұрын

    MUITE BILAL NIMEPENDA IYO❤️

  • @malikdodo5190
    @malikdodo5190 Жыл бұрын

    Assalam alaikum warahmatu-llahi wabarakatuh

  • @hassanimouigni6648
    @hassanimouigni6648 Жыл бұрын

    Halaf kweki wuyu mtoto ni mkweli mungu amongoze ichaallah

  • @saeedisa9798
    @saeedisa9798 Жыл бұрын

    Asanteni sana

  • @sophiajuma6798
    @sophiajuma6798 Жыл бұрын

    Mashaallah

  • @user-rc7oi2hp8l
    @user-rc7oi2hp8l7 ай бұрын

    Allah akusahlishie n waislam wote tuifikishe dini ya kweli al islam

  • @bentybenty2343
    @bentybenty2343 Жыл бұрын

    Masha ALLAH ALLAHU AKBAR

  • @zainaal-nabhani9034
    @zainaal-nabhani9034 Жыл бұрын

    Mungu akuhifazi akulinde shehe ramaza mana unamueleza kwautulivu kabisa mungu akuwezeshe zaidi wwe najop lako mumbgu awajaze heri

  • @maimunamselemo8427
    @maimunamselemo8427 Жыл бұрын

    Unajua kuwakamata ustadhi kwa maswali tu Allah azidi kukuongoza kwenye kheri

  • @jamilaomari2444
    @jamilaomari2444 Жыл бұрын

    MashaAllah huyo kijana pastor mdogo mmfuatilie in shaa Allah atasilimu

  • @sadiqmwafrica6759
    @sadiqmwafrica6759 Жыл бұрын

    MashaAllah, well done Ramadhan

  • @minaniyasini7834
    @minaniyasini7834 Жыл бұрын

    Allah awalipe kila la kheri kwa jitihada mnazo zifanya

  • @user-rc7oi2hp8l
    @user-rc7oi2hp8l7 ай бұрын

    Masha Allah tabaraka Allah

  • @MwasemaMbwana
    @MwasemaMbwana8 ай бұрын

    mashaAllah.. shee Ramadhan kuria..

  • @mwanamtotosaid702
    @mwanamtotosaid702 Жыл бұрын

    Masha Allah

  • @user-ln7bf8gm1o
    @user-ln7bf8gm1o11 ай бұрын

    Mungu awabariki

  • @malikdodo5190
    @malikdodo5190 Жыл бұрын

    Thanks for the great work of daawa Ustadh Ramadhan kurya may Allah reward you jannah

  • @khadijanigogo698
    @khadijanigogo698 Жыл бұрын

    Mashallah tabarakallah

  • @bahatikenia39
    @bahatikenia39 Жыл бұрын

    Mashaalah

  • @mutomubaya
    @mutomubaya Жыл бұрын

    Shukrani Sheikh kwa kuelimisha watu kuhusu Mwenyezi Mungu. Ni vyema watu wajulishwe kwamba Uislamu ni Dini ile iliyokuwa ndio Dini ya Baba yetu Adam na ndiyo Dini ya haki ile ilikuwa ya Mitume na Manabii. Dini inahusu kuamini kwamba Mungu ni mmoja. Na kuamini kwamba hakuna mungu wa haki ila Allah. Waroma ndio waliofundisha watu kusema Mungu ni Baba. Je ni ukweli?

  • @user-gy6xz5xh3f
    @user-gy6xz5xh3f Жыл бұрын

    MASHA ALLAH Tunaombea ALLAH Awape Umri Na Afya Njema Na Awabariki Kwa Kzi Zuri Mnayo Ifanya

  • @elpibedeoro215
    @elpibedeoro215 Жыл бұрын

    Ma shaa Allah..Ustadh Rama...Daa'wa ina utamu yake..Allah azidi kuwapa subra na afya

  • @Sisterjemi1
    @Sisterjemi1 Жыл бұрын

    Jamani yule mzee Yussuf yupo ulikuwa ukifatana nae ? UST Ramadhan

  • @salmanassor8732

    @salmanassor8732

    Жыл бұрын

    Yaani mie niliuliza wala sikupata jibu siku nyingi hatujamuona mzee wetu

  • @user-nb2tb9zk5i
    @user-nb2tb9zk5i Жыл бұрын

    Mashalla allahmdulilah ❤😍

  • @pungopungo411
    @pungopungo411 Жыл бұрын

    Mnavyojua kuzusha mambo mko vizuri

  • @HassanAli-eq8ko
    @HassanAli-eq8ko Жыл бұрын

    Mashaallah jazakumllah kheir amiin kazi nzr sana mola awazaidishi Iman

  • @sakinahassani1455
    @sakinahassani145510 ай бұрын

    MashaAllah

  • @mohamedhozi8110
    @mohamedhozi8110 Жыл бұрын

    Maashaallah baarakallah..

  • @majaliwamraba8699
    @majaliwamraba8699 Жыл бұрын

    Mashallah bring them to our truth religion Ustadhi Ramadhani tell them in Muslims ww don't hate any body but we welcome all

  • @husnanancyatieno2391
    @husnanancyatieno2391 Жыл бұрын

    Mashallah Tabarakallah

  • @kenyachristianapologeticsp9635
    @kenyachristianapologeticsp9635 Жыл бұрын

    What a great woman,,,debunk refuse lies on the spot

  • @MussamuidineMuidine-oi6oc
    @MussamuidineMuidine-oi6oc Жыл бұрын

    Eu gostei tou em Moçambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @doubleminded2079
    @doubleminded2079 Жыл бұрын

    Ningetamani mutembee meru in shaa Allah

  • @malikdodo5190
    @malikdodo5190 Жыл бұрын

    There's no any Christian apologist /pastors who can explain the meaning of Begotten son because they know truly it can't fit in God's majesty . It's a kuffru

  • @kennedyireri1813

    @kennedyireri1813

    Жыл бұрын

    A name pastor has no monopoly of Godliness but them that are called have the knowledge. I'm not a pastor but I'm privileged to understand.

  • @nalingarowl7048
    @nalingarowl7048 Жыл бұрын

    Kuna tofauti Kati ya mchungaji na Mapadre.

  • @florenceflorence1170
    @florenceflorence1170 Жыл бұрын

    Waislam wanabudu Muhammad

  • @mohamedhozi8110

    @mohamedhozi8110

    Жыл бұрын

    Soma wwe isije ukaenda motoni kwa kumuabudu yesu...unakosa kumuabudu mungu

  • @fatumamwalimu5765

    @fatumamwalimu5765

    Жыл бұрын

    Unaona wewe unaabudu miungu yenu mitatu Paulo, Maria na yesu unaona waislam hatujitambui kama nyinyi mnaojiita wakiristo? Usitusemee bali pambaneni na ukafiri wenu

  • @madetetv6576

    @madetetv6576

    Жыл бұрын

    @@fatumamwalimu5765 au sio tunamuabudu Paulo na Maria ? Quran yenu ndio inawafundisha hivo endelea kuamini hivo mashekh wanakudanganya nawe unapokea tu bila kutumia akili ushakuwa mtu mzima ww jitambue

  • @Rahima-kv6mn

    @Rahima-kv6mn

    Жыл бұрын

    ​@@madetetv6576Toa andiko km waislam wanaabudu Muhammad

  • @pungopungo411
    @pungopungo411 Жыл бұрын

    Nyinyi nnafyata watu masokoni eti tuelezee ukristo ukoje. Huko ni kukosa sera. Karibuni neema bado ingalipo kwa yesu kristo. Hao mnaohojiana nao hawana ukriso wowote. Wapowapo tu. Kama mafungu ya bamia mnapoteza mda wenu kuwaulizia habari za kristo

  • @walidmgonja3644

    @walidmgonja3644

    Жыл бұрын

    Wewe ndiye huna kazi,umeishia ku comment ujinga kwakuwa hutaki kusikia ukweli

  • @pungopungo411
    @pungopungo411 Жыл бұрын

    Acheni ujinga kila wakati mnamkashifu yesu. Hebu muongeleeni yule anaewahusu..mbona mnafosi kuna nini kinaendelea.

  • @kenyachristianapologeticsp9635
    @kenyachristianapologeticsp9635 Жыл бұрын

    Shekh mbona kutumia uongo

  • @hassanimouigni6648
    @hassanimouigni6648 Жыл бұрын

    Shekh Ramadan usimwachie mtafute wuyu pasta mtoto

  • @albusaidi5132
    @albusaidi5132 Жыл бұрын

    ii sehemu inaitajika kupafanyia mchango kwa kuweka msikiti na markaz itakuwa vizuli kupafanyia alambee

  • @pungopungo411
    @pungopungo411 Жыл бұрын

    Usifanye usanii kwenye imani ya mwingine. Wewe amini unachokiamini. Usilazimishe mwingine atoke kwenye imani yake akufyate wewe .hebu jalibuni kuwa wastaarabu jamani. Kawatafuteni wapagani labda watawaelewa .tangu niko tumboni nasikia yesu kristo ni bwana. Leo hii from know were unibadilishe dini. Ukiwa kama nani. Nina wazimu. Kueni wastarabu

  • @pungopungo411
    @pungopungo411 Жыл бұрын

    Aheri nyinyi mnapitapita tu kuuliza habari za mokozi babu zenu walikua walitumia majambia. Eti wanaitafuta pepo .hahahahaha walikua mbali sana.

  • @pungopungo411
    @pungopungo411 Жыл бұрын

    Nyinyi simnaenda peponi. Ninini tena kinawawasha kupitapita kuumuulizia kristo.kama sio uchokozi. Mnatapatapa mini kumchunguza kristo

  • @pungopungo411
    @pungopungo411 Жыл бұрын

    Fafanua wachungaji wako aina nyingi. Kuna wachungaji wa ngombe wa mbuzi. Ni wachungaji wapi hao wanaomkana mokozi .jiongeze mwislam. Mnacholwa tu

  • @shabamuhidin634
    @shabamuhidin6349 ай бұрын

    wanasema kila siku dini haipeleki mtu mahali,wakati Bibilia yenyewe inataja Dini mara mingi tu,wakijaza form wanaandika Dini,sasa mi nashangaa imani ya hawa wakristo is it brainwashing au mafundisho gani haya

  • @pungopungo411
    @pungopungo411 Жыл бұрын

    Neno limesema kila goti litapigwa mbele ya yesu na kila ulimi utakili kuwa yesu kristo ni hakimu. Acheni kutapatapa. Siku inakuja mtakapotapatapa vizuri

  • @mrjagenmuuz5704

    @mrjagenmuuz5704

    Жыл бұрын

    Nyie ndomtakao tapa kwani yesu atawqkana nyote mnaosema kua yeye ni mungu

  • @madetetv6576

    @madetetv6576

    Жыл бұрын

    @@mrjagenmuuz5704 Dini zishakuwa kampeni za uchaguzi saizi wanafatwa masokoni

  • @jumabaj5149

    @jumabaj5149

    Жыл бұрын

    Mungu wa haki ni Allah (s w) na Dini ya haki ni uislamu na mtume muhammad (s.a.w) ni mtume wa allah na ni mtume wa ulimwengumzima Allah akuongoze uijue haki kabla ya kukufikia umauti

  • @munawwarbashir2680

    @munawwarbashir2680

    Жыл бұрын

    Nyny ndio Yesu atawakana siku hiyo na kuwaambia yeye sio Mungu wala sio mwana wa mungu sasa tafakari vizr

  • @pungopungo411

    @pungopungo411

    Жыл бұрын

    @@munawwarbashir2680 sisi tunamgoja yesu nyinyi viziwi mnangoja nani?mmelalia masikio

  • @janieali5521
    @janieali5521 Жыл бұрын

    God is one but in three persons ?, that is blasphemy, it does not make sense and till today Christians themselves are saying and admitting that it is mysterious and they cannot explain. They will come with stupendous examples like egg, water etc. Please have mercy on Jesus and stay, believe and follow your master, Paul.

  • @pungopungo411
    @pungopungo411 Жыл бұрын

    Vingependeza mkaenda kuwashawishi wahidi na budha .huyo mtume wenu alizaliwa ameukuta ukristo ndio kawaambia muupige vita ukristo yeye mwenyewe hajui chimbuko la ukristo mnakurupuka tu .kama machizi

  • @zaburi2386
    @zaburi2386 Жыл бұрын

    Wislam muda wa kurudi masihi YESU KRISTO umekaribia achanane na mambo ya kukazania din uislamu uislamu kumbekeni YESU ndie ufufuo na uzima yeye anachombo Cha kuchujia nafaka

  • @aishahazary4097

    @aishahazary4097

    Жыл бұрын

    Zabur 23....Usiwe mvivu wa kusoma kitabu chako na usikubali kusomewa..Ungemjua Yesu vizur ungejisalimisha kwa ALLAH .

  • @lovemwantiti8130

    @lovemwantiti8130

    Жыл бұрын

    @@aishahazary4097 mwambie huyo ajue aside ijutia nafsi yake

  • @fatumamwalimu5765

    @fatumamwalimu5765

    Жыл бұрын

    Haya lete andiko linalosema yesu ni chombo chakuchujia, sasa ikiwa yesu hakufundisha huo ukiristo wenu mlioletewa na Paulo mbona msifunguliwe macho wakati mmekua kondoo waliopotea na wachungaji wenu waliwapoteza ,yesu anakuja kuwakataa wale wanaojiita wakiristo na atavunja misalaba

  • @madetetv6576

    @madetetv6576

    Жыл бұрын

    @@fatumamwalimu5765 mbona unamponda Paulo wewe alikuchomeka penyewe nini?

  • @fatumamwalimu5765

    @fatumamwalimu5765

    Жыл бұрын

    @@madetetv6576 kumbe Paulo alikuchomeka!!! Sasa huo ndio ushetani wenyewe, acha kuchomekwa penyewe

  • @malikdodo5190
    @malikdodo5190 Жыл бұрын

    Assalam alaikum warahmatu-llahi wabarakatuh

  • @fatumjumaa5563
    @fatumjumaa5563 Жыл бұрын

    Mashaallah