WACHUNGAJI WAKIRI YESU SIO MUNGU BAADA YA KUNENA KWA LUGHA MPYA
Tafadhali subscribe kwenye channel hii ya Straight Path Dawah ili ujumbe uzidi kuenea.
Жүктеу.....
Пікірлер: 121
@maherzain615 Жыл бұрын
MashaAllah. Alhamdulillah Kwa Kuamka salama nakuwahi swala ya alfajiri. InshaAllah tujibidiishe Kwa kusoma suratul kahf na kumswalia mtume kwa wingi kwa cku hii tukufu ya jum'a.Allah atupe fadhla ya cku hii ,atusameh na atujalie tuwahi saatul ijaba
@rashidalfan8274 Жыл бұрын
Mashaallah Tabarakallah, kazi nzuri ustadh Ramadhan, uwa napenda nikisika, Allah awazidishie Elimu mlionayo kutoa watu kwenye Giza na kuwapeleka kwenye nuru ya uislamu,
@aishahazary4097 Жыл бұрын
Tunakupenda kwa ajili ya ALLAH shehe Ramadhani na kundi lako.ALLAH awakinge na hasad za dunia hii.Aamiyn.
@grealishteam5247 Жыл бұрын
Allah akujaliyeni kila la kheri katika jitihada zenu
@mwanamtotosaid702
Жыл бұрын
Aamin 🤲
@salmanassor8732 Жыл бұрын
Mashallah tabaraka Rakhman Alha awalipe kheri mashehe wetu kwa jitihada kubwa ya kufikisha dini ya haki
@jamalathman6219 Жыл бұрын
Mashallah sheikh ramadhan Allah akueke pamoja na team yako uendeleze dawaah kote nchini wakiristo wazidi elewa uisilamu
@rayaalhabsi1725 Жыл бұрын
Masha Allah tabaraka Rahman Allah azidi kuwapa nguvu, afya muendelee ku itangaza dini ya haqi. Na wapenda kwa ajili ya Allah
@fatmamuhamad3762 Жыл бұрын
Asalamu aleikum Allah atuogoze soote in shaha allah
@StraightPathDawah
Жыл бұрын
Wa aleyikum salam warahmatullahi wabarakatuh
@fadumarage2682 Жыл бұрын
Wsnajikaza tu lakini wa najua dini ya ukweli ni kislamu mashaalaa Allah awaelekeze inshaala,
@hassanmpemba5747 Жыл бұрын
Masha Allah sheikh Ramadan kwa ulinganiaji mzuri mungu akupe umri mrefu uzidi kulingania
@StraightPathDawah
Жыл бұрын
Allahuma ameen 🤲
@Sai.Mo69
Жыл бұрын
Ameen.
@Sai.Mo69 Жыл бұрын
MashaAllah. JazakAllah for the Hard Work! Wa Islamu, supportini hii channel na Mali zenu! Kwani hawa WaKristo hawa jui Biblia yao ime andikwa na Wazungu, hivi juzi tuu, in 1611AD, by King James! Biblia ni Story Book ya Wazungu, that is why NENO UKRISTO na Neno 'Biblia' HAIKO katika Biblia zote! Those TWO Words dont exist!
@zainaal-nabhani9034 Жыл бұрын
Mungu akupe nguvu nawepesi katika kaziyako hii tukufu shee ramazan kuriy
@ggv866 Жыл бұрын
Mashaallah Allah akupe kila la kheri Sheikh Ramadan ..kwa juudi zako kwa kueneza dini ya Aki ya uislam
@Sisterjemi1 Жыл бұрын
Ma sha Allah
@salminmabrouk5433 Жыл бұрын
Mashaa Allah
@nooroman2535 Жыл бұрын
MashaAllah shelkh Ramadhani Allah hakupe afya njema na umuli mrefu lnshaallah uzidi kumtangaza Allah nahakupe pepo ya fildas lnshaallah
@nooor1120 Жыл бұрын
Allahu akbar Allah azidi kukutieni nguvu kazi mnayofanya iendelee kwa wepesi daima.
@malikdodo5190 Жыл бұрын
A have got wat to watch tonight Inshaaa Allah
@fatmamuhamad3762 Жыл бұрын
Asalamu aleikum Allah awaipe kila kheri in sha allah
@badmanno.1650 Жыл бұрын
Huyo kijana Silas Allah atamuongoza InshaAllah.. akili yake ni safi..
@salimbilali5174 Жыл бұрын
MUITE BILAL NIMEPENDA IYO❤️
@malikdodo5190 Жыл бұрын
Assalam alaikum warahmatu-llahi wabarakatuh
@hassanimouigni6648 Жыл бұрын
Halaf kweki wuyu mtoto ni mkweli mungu amongoze ichaallah
@saeedisa9798 Жыл бұрын
Asanteni sana
@sophiajuma6798 Жыл бұрын
Mashaallah
@user-rc7oi2hp8l7 ай бұрын
Allah akusahlishie n waislam wote tuifikishe dini ya kweli al islam
@bentybenty2343 Жыл бұрын
Masha ALLAH ALLAHU AKBAR
@zainaal-nabhani9034 Жыл бұрын
Mungu akuhifazi akulinde shehe ramaza mana unamueleza kwautulivu kabisa mungu akuwezeshe zaidi wwe najop lako mumbgu awajaze heri
@maimunamselemo8427 Жыл бұрын
Unajua kuwakamata ustadhi kwa maswali tu Allah azidi kukuongoza kwenye kheri
@jamilaomari2444 Жыл бұрын
MashaAllah huyo kijana pastor mdogo mmfuatilie in shaa Allah atasilimu
@sadiqmwafrica6759 Жыл бұрын
MashaAllah, well done Ramadhan
@minaniyasini7834 Жыл бұрын
Allah awalipe kila la kheri kwa jitihada mnazo zifanya
@user-rc7oi2hp8l7 ай бұрын
Masha Allah tabaraka Allah
@MwasemaMbwana8 ай бұрын
mashaAllah.. shee Ramadhan kuria..
@mwanamtotosaid702 Жыл бұрын
Masha Allah
@user-ln7bf8gm1o11 ай бұрын
Mungu awabariki
@malikdodo5190 Жыл бұрын
Thanks for the great work of daawa Ustadh Ramadhan kurya may Allah reward you jannah
@khadijanigogo698 Жыл бұрын
Mashallah tabarakallah
@bahatikenia39 Жыл бұрын
Mashaalah
@mutomubaya Жыл бұрын
Shukrani Sheikh kwa kuelimisha watu kuhusu Mwenyezi Mungu. Ni vyema watu wajulishwe kwamba Uislamu ni Dini ile iliyokuwa ndio Dini ya Baba yetu Adam na ndiyo Dini ya haki ile ilikuwa ya Mitume na Manabii. Dini inahusu kuamini kwamba Mungu ni mmoja. Na kuamini kwamba hakuna mungu wa haki ila Allah. Waroma ndio waliofundisha watu kusema Mungu ni Baba. Je ni ukweli?
@user-gy6xz5xh3f Жыл бұрын
MASHA ALLAH Tunaombea ALLAH Awape Umri Na Afya Njema Na Awabariki Kwa Kzi Zuri Mnayo Ifanya
@elpibedeoro215 Жыл бұрын
Ma shaa Allah..Ustadh Rama...Daa'wa ina utamu yake..Allah azidi kuwapa subra na afya
Yaani mie niliuliza wala sikupata jibu siku nyingi hatujamuona mzee wetu
@user-nb2tb9zk5i Жыл бұрын
Mashalla allahmdulilah ❤😍
@pungopungo411 Жыл бұрын
Mnavyojua kuzusha mambo mko vizuri
@HassanAli-eq8ko Жыл бұрын
Mashaallah jazakumllah kheir amiin kazi nzr sana mola awazaidishi Iman
@sakinahassani145510 ай бұрын
MashaAllah
@mohamedhozi8110 Жыл бұрын
Maashaallah baarakallah..
@majaliwamraba8699 Жыл бұрын
Mashallah bring them to our truth religion Ustadhi Ramadhani tell them in Muslims ww don't hate any body but we welcome all
@husnanancyatieno2391 Жыл бұрын
Mashallah Tabarakallah
@kenyachristianapologeticsp9635 Жыл бұрын
What a great woman,,,debunk refuse lies on the spot
@MussamuidineMuidine-oi6oc Жыл бұрын
Eu gostei tou em Moçambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@doubleminded2079 Жыл бұрын
Ningetamani mutembee meru in shaa Allah
@malikdodo5190 Жыл бұрын
There's no any Christian apologist /pastors who can explain the meaning of Begotten son because they know truly it can't fit in God's majesty . It's a kuffru
@kennedyireri1813
Жыл бұрын
A name pastor has no monopoly of Godliness but them that are called have the knowledge. I'm not a pastor but I'm privileged to understand.
@nalingarowl7048 Жыл бұрын
Kuna tofauti Kati ya mchungaji na Mapadre.
@florenceflorence1170 Жыл бұрын
Waislam wanabudu Muhammad
@mohamedhozi8110
Жыл бұрын
Soma wwe isije ukaenda motoni kwa kumuabudu yesu...unakosa kumuabudu mungu
@fatumamwalimu5765
Жыл бұрын
Unaona wewe unaabudu miungu yenu mitatu Paulo, Maria na yesu unaona waislam hatujitambui kama nyinyi mnaojiita wakiristo? Usitusemee bali pambaneni na ukafiri wenu
@madetetv6576
Жыл бұрын
@@fatumamwalimu5765 au sio tunamuabudu Paulo na Maria ? Quran yenu ndio inawafundisha hivo endelea kuamini hivo mashekh wanakudanganya nawe unapokea tu bila kutumia akili ushakuwa mtu mzima ww jitambue
@Rahima-kv6mn
Жыл бұрын
@@madetetv6576Toa andiko km waislam wanaabudu Muhammad
@pungopungo411 Жыл бұрын
Nyinyi nnafyata watu masokoni eti tuelezee ukristo ukoje. Huko ni kukosa sera. Karibuni neema bado ingalipo kwa yesu kristo. Hao mnaohojiana nao hawana ukriso wowote. Wapowapo tu. Kama mafungu ya bamia mnapoteza mda wenu kuwaulizia habari za kristo
Acheni ujinga kila wakati mnamkashifu yesu. Hebu muongeleeni yule anaewahusu..mbona mnafosi kuna nini kinaendelea.
@kenyachristianapologeticsp9635 Жыл бұрын
Shekh mbona kutumia uongo
@hassanimouigni6648 Жыл бұрын
Shekh Ramadan usimwachie mtafute wuyu pasta mtoto
@albusaidi5132 Жыл бұрын
ii sehemu inaitajika kupafanyia mchango kwa kuweka msikiti na markaz itakuwa vizuli kupafanyia alambee
@pungopungo411 Жыл бұрын
Usifanye usanii kwenye imani ya mwingine. Wewe amini unachokiamini. Usilazimishe mwingine atoke kwenye imani yake akufyate wewe .hebu jalibuni kuwa wastaarabu jamani. Kawatafuteni wapagani labda watawaelewa .tangu niko tumboni nasikia yesu kristo ni bwana. Leo hii from know were unibadilishe dini. Ukiwa kama nani. Nina wazimu. Kueni wastarabu
@pungopungo411 Жыл бұрын
Aheri nyinyi mnapitapita tu kuuliza habari za mokozi babu zenu walikua walitumia majambia. Eti wanaitafuta pepo .hahahahaha walikua mbali sana.
@pungopungo411 Жыл бұрын
Nyinyi simnaenda peponi. Ninini tena kinawawasha kupitapita kuumuulizia kristo.kama sio uchokozi. Mnatapatapa mini kumchunguza kristo
@pungopungo411 Жыл бұрын
Fafanua wachungaji wako aina nyingi. Kuna wachungaji wa ngombe wa mbuzi. Ni wachungaji wapi hao wanaomkana mokozi .jiongeze mwislam. Mnacholwa tu
@shabamuhidin6349 ай бұрын
wanasema kila siku dini haipeleki mtu mahali,wakati Bibilia yenyewe inataja Dini mara mingi tu,wakijaza form wanaandika Dini,sasa mi nashangaa imani ya hawa wakristo is it brainwashing au mafundisho gani haya
@pungopungo411 Жыл бұрын
Neno limesema kila goti litapigwa mbele ya yesu na kila ulimi utakili kuwa yesu kristo ni hakimu. Acheni kutapatapa. Siku inakuja mtakapotapatapa vizuri
@mrjagenmuuz5704
Жыл бұрын
Nyie ndomtakao tapa kwani yesu atawqkana nyote mnaosema kua yeye ni mungu
@madetetv6576
Жыл бұрын
@@mrjagenmuuz5704 Dini zishakuwa kampeni za uchaguzi saizi wanafatwa masokoni
@jumabaj5149
Жыл бұрын
Mungu wa haki ni Allah (s w) na Dini ya haki ni uislamu na mtume muhammad (s.a.w) ni mtume wa allah na ni mtume wa ulimwengumzima Allah akuongoze uijue haki kabla ya kukufikia umauti
@munawwarbashir2680
Жыл бұрын
Nyny ndio Yesu atawakana siku hiyo na kuwaambia yeye sio Mungu wala sio mwana wa mungu sasa tafakari vizr
@pungopungo411
Жыл бұрын
@@munawwarbashir2680 sisi tunamgoja yesu nyinyi viziwi mnangoja nani?mmelalia masikio
@janieali5521 Жыл бұрын
God is one but in three persons ?, that is blasphemy, it does not make sense and till today Christians themselves are saying and admitting that it is mysterious and they cannot explain. They will come with stupendous examples like egg, water etc. Please have mercy on Jesus and stay, believe and follow your master, Paul.
@pungopungo411 Жыл бұрын
Vingependeza mkaenda kuwashawishi wahidi na budha .huyo mtume wenu alizaliwa ameukuta ukristo ndio kawaambia muupige vita ukristo yeye mwenyewe hajui chimbuko la ukristo mnakurupuka tu .kama machizi
@zaburi2386 Жыл бұрын
Wislam muda wa kurudi masihi YESU KRISTO umekaribia achanane na mambo ya kukazania din uislamu uislamu kumbekeni YESU ndie ufufuo na uzima yeye anachombo Cha kuchujia nafaka
@aishahazary4097
Жыл бұрын
Zabur 23....Usiwe mvivu wa kusoma kitabu chako na usikubali kusomewa..Ungemjua Yesu vizur ungejisalimisha kwa ALLAH .
@lovemwantiti8130
Жыл бұрын
@@aishahazary4097 mwambie huyo ajue aside ijutia nafsi yake
@fatumamwalimu5765
Жыл бұрын
Haya lete andiko linalosema yesu ni chombo chakuchujia, sasa ikiwa yesu hakufundisha huo ukiristo wenu mlioletewa na Paulo mbona msifunguliwe macho wakati mmekua kondoo waliopotea na wachungaji wenu waliwapoteza ,yesu anakuja kuwakataa wale wanaojiita wakiristo na atavunja misalaba
@madetetv6576
Жыл бұрын
@@fatumamwalimu5765 mbona unamponda Paulo wewe alikuchomeka penyewe nini?
@fatumamwalimu5765
Жыл бұрын
@@madetetv6576 kumbe Paulo alikuchomeka!!! Sasa huo ndio ushetani wenyewe, acha kuchomekwa penyewe
Пікірлер: 121
MashaAllah. Alhamdulillah Kwa Kuamka salama nakuwahi swala ya alfajiri. InshaAllah tujibidiishe Kwa kusoma suratul kahf na kumswalia mtume kwa wingi kwa cku hii tukufu ya jum'a.Allah atupe fadhla ya cku hii ,atusameh na atujalie tuwahi saatul ijaba
Mashaallah Tabarakallah, kazi nzuri ustadh Ramadhan, uwa napenda nikisika, Allah awazidishie Elimu mlionayo kutoa watu kwenye Giza na kuwapeleka kwenye nuru ya uislamu,
Tunakupenda kwa ajili ya ALLAH shehe Ramadhani na kundi lako.ALLAH awakinge na hasad za dunia hii.Aamiyn.
Allah akujaliyeni kila la kheri katika jitihada zenu
@mwanamtotosaid702
Жыл бұрын
Aamin 🤲
Mashallah tabaraka Rakhman Alha awalipe kheri mashehe wetu kwa jitihada kubwa ya kufikisha dini ya haki
Mashallah sheikh ramadhan Allah akueke pamoja na team yako uendeleze dawaah kote nchini wakiristo wazidi elewa uisilamu
Masha Allah tabaraka Rahman Allah azidi kuwapa nguvu, afya muendelee ku itangaza dini ya haqi. Na wapenda kwa ajili ya Allah
Asalamu aleikum Allah atuogoze soote in shaha allah
@StraightPathDawah
Жыл бұрын
Wa aleyikum salam warahmatullahi wabarakatuh
Wsnajikaza tu lakini wa najua dini ya ukweli ni kislamu mashaalaa Allah awaelekeze inshaala,
Masha Allah sheikh Ramadan kwa ulinganiaji mzuri mungu akupe umri mrefu uzidi kulingania
@StraightPathDawah
Жыл бұрын
Allahuma ameen 🤲
@Sai.Mo69
Жыл бұрын
Ameen.
MashaAllah. JazakAllah for the Hard Work! Wa Islamu, supportini hii channel na Mali zenu! Kwani hawa WaKristo hawa jui Biblia yao ime andikwa na Wazungu, hivi juzi tuu, in 1611AD, by King James! Biblia ni Story Book ya Wazungu, that is why NENO UKRISTO na Neno 'Biblia' HAIKO katika Biblia zote! Those TWO Words dont exist!
Mungu akupe nguvu nawepesi katika kaziyako hii tukufu shee ramazan kuriy
Mashaallah Allah akupe kila la kheri Sheikh Ramadan ..kwa juudi zako kwa kueneza dini ya Aki ya uislam
Ma sha Allah
Mashaa Allah
MashaAllah shelkh Ramadhani Allah hakupe afya njema na umuli mrefu lnshaallah uzidi kumtangaza Allah nahakupe pepo ya fildas lnshaallah
Allahu akbar Allah azidi kukutieni nguvu kazi mnayofanya iendelee kwa wepesi daima.
A have got wat to watch tonight Inshaaa Allah
Asalamu aleikum Allah awaipe kila kheri in sha allah
Huyo kijana Silas Allah atamuongoza InshaAllah.. akili yake ni safi..
MUITE BILAL NIMEPENDA IYO❤️
Assalam alaikum warahmatu-llahi wabarakatuh
Halaf kweki wuyu mtoto ni mkweli mungu amongoze ichaallah
Asanteni sana
Mashaallah
Allah akusahlishie n waislam wote tuifikishe dini ya kweli al islam
Masha ALLAH ALLAHU AKBAR
Mungu akuhifazi akulinde shehe ramaza mana unamueleza kwautulivu kabisa mungu akuwezeshe zaidi wwe najop lako mumbgu awajaze heri
Unajua kuwakamata ustadhi kwa maswali tu Allah azidi kukuongoza kwenye kheri
MashaAllah huyo kijana pastor mdogo mmfuatilie in shaa Allah atasilimu
MashaAllah, well done Ramadhan
Allah awalipe kila la kheri kwa jitihada mnazo zifanya
Masha Allah tabaraka Allah
mashaAllah.. shee Ramadhan kuria..
Masha Allah
Mungu awabariki
Thanks for the great work of daawa Ustadh Ramadhan kurya may Allah reward you jannah
Mashallah tabarakallah
Mashaalah
Shukrani Sheikh kwa kuelimisha watu kuhusu Mwenyezi Mungu. Ni vyema watu wajulishwe kwamba Uislamu ni Dini ile iliyokuwa ndio Dini ya Baba yetu Adam na ndiyo Dini ya haki ile ilikuwa ya Mitume na Manabii. Dini inahusu kuamini kwamba Mungu ni mmoja. Na kuamini kwamba hakuna mungu wa haki ila Allah. Waroma ndio waliofundisha watu kusema Mungu ni Baba. Je ni ukweli?
MASHA ALLAH Tunaombea ALLAH Awape Umri Na Afya Njema Na Awabariki Kwa Kzi Zuri Mnayo Ifanya
Ma shaa Allah..Ustadh Rama...Daa'wa ina utamu yake..Allah azidi kuwapa subra na afya
Jamani yule mzee Yussuf yupo ulikuwa ukifatana nae ? UST Ramadhan
@salmanassor8732
Жыл бұрын
Yaani mie niliuliza wala sikupata jibu siku nyingi hatujamuona mzee wetu
Mashalla allahmdulilah ❤😍
Mnavyojua kuzusha mambo mko vizuri
Mashaallah jazakumllah kheir amiin kazi nzr sana mola awazaidishi Iman
MashaAllah
Maashaallah baarakallah..
Mashallah bring them to our truth religion Ustadhi Ramadhani tell them in Muslims ww don't hate any body but we welcome all
Mashallah Tabarakallah
What a great woman,,,debunk refuse lies on the spot
Eu gostei tou em Moçambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Ningetamani mutembee meru in shaa Allah
There's no any Christian apologist /pastors who can explain the meaning of Begotten son because they know truly it can't fit in God's majesty . It's a kuffru
@kennedyireri1813
Жыл бұрын
A name pastor has no monopoly of Godliness but them that are called have the knowledge. I'm not a pastor but I'm privileged to understand.
Kuna tofauti Kati ya mchungaji na Mapadre.
Waislam wanabudu Muhammad
@mohamedhozi8110
Жыл бұрын
Soma wwe isije ukaenda motoni kwa kumuabudu yesu...unakosa kumuabudu mungu
@fatumamwalimu5765
Жыл бұрын
Unaona wewe unaabudu miungu yenu mitatu Paulo, Maria na yesu unaona waislam hatujitambui kama nyinyi mnaojiita wakiristo? Usitusemee bali pambaneni na ukafiri wenu
@madetetv6576
Жыл бұрын
@@fatumamwalimu5765 au sio tunamuabudu Paulo na Maria ? Quran yenu ndio inawafundisha hivo endelea kuamini hivo mashekh wanakudanganya nawe unapokea tu bila kutumia akili ushakuwa mtu mzima ww jitambue
@Rahima-kv6mn
Жыл бұрын
@@madetetv6576Toa andiko km waislam wanaabudu Muhammad
Nyinyi nnafyata watu masokoni eti tuelezee ukristo ukoje. Huko ni kukosa sera. Karibuni neema bado ingalipo kwa yesu kristo. Hao mnaohojiana nao hawana ukriso wowote. Wapowapo tu. Kama mafungu ya bamia mnapoteza mda wenu kuwaulizia habari za kristo
@walidmgonja3644
Жыл бұрын
Wewe ndiye huna kazi,umeishia ku comment ujinga kwakuwa hutaki kusikia ukweli
Acheni ujinga kila wakati mnamkashifu yesu. Hebu muongeleeni yule anaewahusu..mbona mnafosi kuna nini kinaendelea.
Shekh mbona kutumia uongo
Shekh Ramadan usimwachie mtafute wuyu pasta mtoto
ii sehemu inaitajika kupafanyia mchango kwa kuweka msikiti na markaz itakuwa vizuli kupafanyia alambee
Usifanye usanii kwenye imani ya mwingine. Wewe amini unachokiamini. Usilazimishe mwingine atoke kwenye imani yake akufyate wewe .hebu jalibuni kuwa wastaarabu jamani. Kawatafuteni wapagani labda watawaelewa .tangu niko tumboni nasikia yesu kristo ni bwana. Leo hii from know were unibadilishe dini. Ukiwa kama nani. Nina wazimu. Kueni wastarabu
Aheri nyinyi mnapitapita tu kuuliza habari za mokozi babu zenu walikua walitumia majambia. Eti wanaitafuta pepo .hahahahaha walikua mbali sana.
Nyinyi simnaenda peponi. Ninini tena kinawawasha kupitapita kuumuulizia kristo.kama sio uchokozi. Mnatapatapa mini kumchunguza kristo
Fafanua wachungaji wako aina nyingi. Kuna wachungaji wa ngombe wa mbuzi. Ni wachungaji wapi hao wanaomkana mokozi .jiongeze mwislam. Mnacholwa tu
wanasema kila siku dini haipeleki mtu mahali,wakati Bibilia yenyewe inataja Dini mara mingi tu,wakijaza form wanaandika Dini,sasa mi nashangaa imani ya hawa wakristo is it brainwashing au mafundisho gani haya
Neno limesema kila goti litapigwa mbele ya yesu na kila ulimi utakili kuwa yesu kristo ni hakimu. Acheni kutapatapa. Siku inakuja mtakapotapatapa vizuri
@mrjagenmuuz5704
Жыл бұрын
Nyie ndomtakao tapa kwani yesu atawqkana nyote mnaosema kua yeye ni mungu
@madetetv6576
Жыл бұрын
@@mrjagenmuuz5704 Dini zishakuwa kampeni za uchaguzi saizi wanafatwa masokoni
@jumabaj5149
Жыл бұрын
Mungu wa haki ni Allah (s w) na Dini ya haki ni uislamu na mtume muhammad (s.a.w) ni mtume wa allah na ni mtume wa ulimwengumzima Allah akuongoze uijue haki kabla ya kukufikia umauti
@munawwarbashir2680
Жыл бұрын
Nyny ndio Yesu atawakana siku hiyo na kuwaambia yeye sio Mungu wala sio mwana wa mungu sasa tafakari vizr
@pungopungo411
Жыл бұрын
@@munawwarbashir2680 sisi tunamgoja yesu nyinyi viziwi mnangoja nani?mmelalia masikio
God is one but in three persons ?, that is blasphemy, it does not make sense and till today Christians themselves are saying and admitting that it is mysterious and they cannot explain. They will come with stupendous examples like egg, water etc. Please have mercy on Jesus and stay, believe and follow your master, Paul.
Vingependeza mkaenda kuwashawishi wahidi na budha .huyo mtume wenu alizaliwa ameukuta ukristo ndio kawaambia muupige vita ukristo yeye mwenyewe hajui chimbuko la ukristo mnakurupuka tu .kama machizi
Wislam muda wa kurudi masihi YESU KRISTO umekaribia achanane na mambo ya kukazania din uislamu uislamu kumbekeni YESU ndie ufufuo na uzima yeye anachombo Cha kuchujia nafaka
@aishahazary4097
Жыл бұрын
Zabur 23....Usiwe mvivu wa kusoma kitabu chako na usikubali kusomewa..Ungemjua Yesu vizur ungejisalimisha kwa ALLAH .
@lovemwantiti8130
Жыл бұрын
@@aishahazary4097 mwambie huyo ajue aside ijutia nafsi yake
@fatumamwalimu5765
Жыл бұрын
Haya lete andiko linalosema yesu ni chombo chakuchujia, sasa ikiwa yesu hakufundisha huo ukiristo wenu mlioletewa na Paulo mbona msifunguliwe macho wakati mmekua kondoo waliopotea na wachungaji wenu waliwapoteza ,yesu anakuja kuwakataa wale wanaojiita wakiristo na atavunja misalaba
@madetetv6576
Жыл бұрын
@@fatumamwalimu5765 mbona unamponda Paulo wewe alikuchomeka penyewe nini?
@fatumamwalimu5765
Жыл бұрын
@@madetetv6576 kumbe Paulo alikuchomeka!!! Sasa huo ndio ushetani wenyewe, acha kuchomekwa penyewe
Assalam alaikum warahmatu-llahi wabarakatuh
Mashaallah