WAKRISTO WAMSHANGAA YESU KUONGEA NA KUNDI LA MAJINI BAADA YA KUSINGIZIA QURAN

Please subscribe to my channel for more videos.

Пікірлер: 433

  • @user-hi3et7mp6m
    @user-hi3et7mp6m20 күн бұрын

    Pole sana shekhe kwakazi iyo unayofanya,Allah akulipe kheri.

  • @RamadhanRamadhan-cx3tj
    @RamadhanRamadhan-cx3tjАй бұрын

    Ramadhan una subra ya hali ya juu sana .Allah akuneemeshe zaidi kwa kutuwakilishia sisi waislam. Wenye uwezo wa mali wamuwezeshe yeye na wenziwe kutangaza dini kiurahisi na iwe ndio kazi rasimi. Na ndio hasaa kazi ya Mali mutaikuta mtaikuta mali zaidi here after AMEEN

  • @user-rc7oi2hp8l
    @user-rc7oi2hp8lАй бұрын

    Juma Ndugu ngu umepata ukweli nakuamua uamuzi mzr Allah akuogoze apa n kesho akhera

  • @Noorein-ws8wk

    @Noorein-ws8wk

    Ай бұрын

    Allahumma aamiin Yaa Rabb Al 'alamiin ❤

  • @minhajsahal4467
    @minhajsahal4467Ай бұрын

    Allahu Akbar.

  • @HabibalKalbi
    @HabibalKalbiАй бұрын

    Mashallah tabaraqallah mungu awahifadhi

  • @FatwimaZahrau
    @FatwimaZahrauАй бұрын

    ❤mashaLLAH SHEIKH WANGU

  • @ZsbAlbarwani
    @ZsbAlbarwaniАй бұрын

    Allah awabarikia Insha'Allah

  • @user-yx2go6tn5u
    @user-yx2go6tn5uАй бұрын

    MashaAllah maalim kulia nakupenda kwaajili ya Allah kwajinsi unavo tambua maandiko

  • @africatoeuropechurchtv8856
    @africatoeuropechurchtv8856Ай бұрын

    Mungu awazidishie jaman mnajitahidi saana

  • @isahbarasa
    @isahbarasaАй бұрын

    Asalam aleikum waramtulah wabarakatu brother KAZI safi ya mwenyezi mungu

  • @user-rc7oi2hp8l
    @user-rc7oi2hp8lАй бұрын

    Ma sha Allah tabaraka Rahman kazi nzuri walim ngu Allah amtagulie Kila kitu

  • @user-ib1pc8hi9w
    @user-ib1pc8hi9w28 күн бұрын

    Hakika sheikh unafany kazi nzur san hakika Allah atawalipa

  • @abdigabgos6298
    @abdigabgos6298Ай бұрын

    JazakaAllah mwalimu

  • @Allymbaruku991-lj1om
    @Allymbaruku991-lj1omАй бұрын

    Ma sha ALLAH

  • @bentybenty2343
    @bentybenty2343Ай бұрын

    Masha ALLAH ❤❤🎉

  • @nasramusaro
    @nasramusaroАй бұрын

    Dah! Kaka Ramadhani mwenyezi Mungu amekujaalia akili Masha Allah unawahangaisha mpaka wanataka kulia

  • @SalmanMughal-lq5lt

    @SalmanMughal-lq5lt

    Ай бұрын

    Wanatakakulia

  • @user-ex4rk2yx4s
    @user-ex4rk2yx4sАй бұрын

    Ma sha Allah

  • @Noorein-ws8wk
    @Noorein-ws8wkАй бұрын

    Baada ya mchungaji kuupinga uislam, Alhamdulillah kipindi kimeishia na shahada na kidume mr Juma'a amekuwa muuslam na kumuacha pasta kuendelea na kufuru yake lkn tunamuombea kwa Allah amuongoze.

  • @samxx411
    @samxx411Ай бұрын

    Mara nyingi wakristo wanapinga ili kubisha uislamu tu lakini hawana maandiko ya uhakika. Pastor anajazba sana ili kuzuia kusafahamishwe watu wakafahamu

  • @JamaMohamed-xi7uk
    @JamaMohamed-xi7ukАй бұрын

    MASHA ALLAH

  • @JohnMunyua-fr8jt
    @JohnMunyua-fr8jtАй бұрын

    Kweli ni jacaranda things really hot 🔥 masha Allah

  • @user-ij9te1ck9p
    @user-ij9te1ck9pАй бұрын

    Laahaula walaa kuwwata illaa Billahi! ata voice procedure pia shida.duuh!

  • @zaitunirashidi5532
    @zaitunirashidi55323 күн бұрын

    Subra yako ostadhi ni ya kiwango, mm ningepiga uyo pastor makofi

  • @hanifahkhamiss8485
    @hanifahkhamiss8485Ай бұрын

    Subhanallah jamani hawa watu ni wakaid na maandiko hawayataki wanabadilisha😢😢😢😢Allah awaongoe wallah 😢

  • @SalmanMughal-lq5lt

    @SalmanMughal-lq5lt

    28 күн бұрын

    SubhanaAllahLeoNimechekaNipojkon.hapaOman.mimi.shagara🤣🤣🤣

  • @husseinmwenja4398
    @husseinmwenja4398Ай бұрын

    MashAllah kaka Ramma

  • @Noorein-ws8wk
    @Noorein-ws8wkАй бұрын

    ALLAHU AKBAR ❤

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vjАй бұрын

    Ma Shaa Allah Tabarakallah kazi Allah awaongoze

  • @rizikiali328
    @rizikiali328Ай бұрын

    Alhamdulillah ala neematul Islam kama wewe ni muislam sema alhamdulillah

  • @aminajumale6805
    @aminajumale6805Ай бұрын

    TabarakAllah

  • @oromiyaajittu7188
    @oromiyaajittu7188Ай бұрын

    Mashallah

  • @ibnusleyyum9743
    @ibnusleyyum9743Ай бұрын

    MashaaAllahu

  • @islammedia7914
    @islammedia7914Ай бұрын

    Manshallah

  • @saudahassan6667
    @saudahassan6667Ай бұрын

    Mashaallah maalim ramadhan allah akuongoze

  • @comarcabdall1564
    @comarcabdall1564Ай бұрын

    Keep going ✌️

  • @fatmaali6780
    @fatmaali6780Ай бұрын

    Pastor ana munkar kweli MashaAllah Ramadan una subra sana mm mwenyewe nimechemka

  • @salmaminja7714
    @salmaminja7714Ай бұрын

    Allah Akbar. Uctadh Allah akupe subra kwn ni ngumu kuwalingania wasijua din ya haq Allah akupe maisha marf na afya tele ili uweze kuwapa waadh na kusilimu. Allah ni mjuz utapata malipo dunian na kesho akhra. Upo vzrr mnoo. Subhanallah Allahu Ma'anaa. Jazakallah khaira wajazaa. Idhaa Aradallah

  • @rizikiali328
    @rizikiali328Ай бұрын

    Assalam Aleikum sheikh Ramadhan mashallah Allah awahifadhi hawa watu kuelewa ni wagumu but hawajui

  • @mzamomwangome4961
    @mzamomwangome4961Ай бұрын

    sheikh wangu Ramadhan Allah akuhifadhi na akulinde pia ya husda za majini na watu.

  • @AngoSheriff-be5mq
    @AngoSheriff-be5mqАй бұрын

    Kazi nzuri napenda hii

  • @hythamhashiem4458
    @hythamhashiem4458Ай бұрын

    : وَإِذْ صَرَفْنَا إِلَيْكَ نَفَرًا مِنَ الْجِنِّ يَسْتَمِعُونَ الْقُرْآنَ فَلَمَّا حَضَرُوهُ قَالُوا أَنْصِتُوا فَلَمَّا قُضِيَ وَلَّوْا إِلَى قَوْمِهِمْ مُنْذِرِينَ ۝ قَالُوا يَا قَوْمَنَا إِنَّا سَمِعْنَا كِتَابًا أُنْزِلَ مِنْ بَعْدِ مُوسَى مُصَدِّقًا لِمَا بَيْنَ يَدَيْهِ يَهْدِي إِلَى الْحَقِّ وَإِلَى طَرِيقٍ مُسْتَقِيمٍ ۝ يَا قَوْمَنَا أَجِيبُوا دَاعِيَ اللَّهِ وَآمِنُوا بِهِ يَغْفِرْ لَكُمْ مِنْ ذُنُوبِكُمْ وَيُجِرْكُمْ مِنْ عَذَابٍ أَلِيمٍ

  • @SadaqIbrahim-ns8bo
    @SadaqIbrahim-ns8boАй бұрын

    Manshalah

  • @RamadhanRamadhan-cx3tj
    @RamadhanRamadhan-cx3tjАй бұрын

    Luka cpt 4 vrs 41 Yesu kaukataa u wana wa Mungu. Pia awakemea wamwitao mwana Mungu. Kwa kuwa yeye ni nabii

  • @FridayMwassa

    @FridayMwassa

    7 күн бұрын

    Soma mathayo 16:16

  • @ShabaniHaruna-ul6yu
    @ShabaniHaruna-ul6yuАй бұрын

    Mungu wa kweli hakuzaa wala hakuzaliwa

  • @kennedykimutai2298
    @kennedykimutai2298Ай бұрын

    This pastor really understands what he's saying I like his coherence

  • @Sal.0

    @Sal.0

    Ай бұрын

    Yeah, he isa very FLUENT and coherent LIAR who changes the meaning of EVERY Bible Verse read out by Kuria.! Your 'Nusu Mkate Brain' beeds a reset, Omera!

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572Ай бұрын

    Subhannallaj eti wakiristo wanasema yesu nimungu innalillah wainna ilaykh lajiun

  • @MajiiIfande

    @MajiiIfande

    Ай бұрын

    Wewe unasema Yesu ni nani??

  • @jamilajamila4572

    @jamilajamila4572

    Ай бұрын

    @@MajiiIfande yesu ni mtume wa mwenyezi mungu

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad6463Ай бұрын

    Pasta kichefu, kelele nyingi na hataki kuelewa.

  • @habibasalim3092
    @habibasalim3092Ай бұрын

    SubhanaAllah yaani mungu alikuja akaingia kwenye mwili wa mary, 😅😅😅

  • @muminaroba9122
    @muminaroba9122Ай бұрын

    Allahu Akbar

  • @AbdirahmanhHalakhe-pn2zd
    @AbdirahmanhHalakhe-pn2zdАй бұрын

    MASHAALLAH

  • @user-du2fy5sd5u
    @user-du2fy5sd5uАй бұрын

    MashaAllah nimefurahi Daawah Mitaani inaedelea in shaa Allah Kila la kheir waalimu wetu

  • @seifissa9705
    @seifissa9705Ай бұрын

    Jeshi la mtu mmoja

  • @africatoeuropechurchtv8856
    @africatoeuropechurchtv8856Ай бұрын

    Aman Kweli wafuasi wa Wazungu na Waarabu hamumjui kabisa Bwana YESU.Sisi Tunasema Yesu Ni MUNGU.

  • @djhassim_254
    @djhassim_254Ай бұрын

    Allah akbar

  • @Al-hidaya.tv.burundi
    @Al-hidaya.tv.burundiАй бұрын

    MaaShaaAllah

  • @RamadhanRamadhan-cx3tj
    @RamadhanRamadhan-cx3tjАй бұрын

    Yesu ni Muisilam .

  • @sammunialo5463

    @sammunialo5463

    Ай бұрын

    Dhibitisha

  • @MohammedMohammed-gp9xq
    @MohammedMohammed-gp9xqАй бұрын

    hili pastor pumbavu Sana

  • @abdisalammohamed3691
    @abdisalammohamed369128 күн бұрын

    Kongole Sheikh wetu

  • @Yusufualawi
    @Yusufualawi15 күн бұрын

    😊

  • @kennedymanyonge6170
    @kennedymanyonge6170Ай бұрын

    Wakristo ni kelele tu hakuna kitu wanajua. Wanasoma maandiko na kuyatasfiri kama fasihi simulizi.

  • @sammganga6865

    @sammganga6865

    Ай бұрын

    Manadanyana waislamu

  • @josemu870
    @josemu870Ай бұрын

    MashAllah

  • @saniairadukunda4400
    @saniairadukunda4400Ай бұрын

    ASSALAM alaykum warahmatullah wabarakatuh 😂😂😂😂😂😂 hao jamaa ningumu sana kuelewa. ALLAHU alisha maliza kwakusema katika sura til baqara yakua .HAO NI VIZIWI NI MABUBU NA TAYARI WALISHA FUNIKWA NA VIFUNIKO VIKUBWA

  • @rizikiwilliam-eh3oi
    @rizikiwilliam-eh3oiАй бұрын

    Huyo pastor yuwahisi mkojo

  • @DanKanu-ox4hx
    @DanKanu-ox4hxАй бұрын

    Huyu pastor Ako confused 😂😂

  • @fatumahamisi1604
    @fatumahamisi1604Ай бұрын

    huyu pasta hajielewi yuajifanya ni msomi lakini Hana lolote walizowea kanisani kudanganya watu kuitisha tu sadaka

  • @user-mq1pj1mq1n
    @user-mq1pj1mq1nАй бұрын

    Pasta anaspeed sna

  • @user-jk3su3or9w
    @user-jk3su3or9wАй бұрын

    Yesu atawaumiZa vichwa mpaka kufa,

  • @africatoeuropechurchtv8856
    @africatoeuropechurchtv8856Ай бұрын

    Jamani watu Hawa wote hawaeleweki watafuteni wanaoeleweka. Africa to Europe church wanaoeleweka vizuri.

  • @seifissa9705
    @seifissa9705Ай бұрын

    Huyo jamaa hajielewi anasema kuja kwa kirsto kumetabiriwa sasa mbona anasema yesu ni mungu yaani mungu katabiriwa na nani

  • @StraightPathDawah

    @StraightPathDawah

    Ай бұрын

    Msiba kweli

  • @DanKanu-ox4hx
    @DanKanu-ox4hxАй бұрын

    Yesu ni mtume sio Mungu

  • @MajiiIfande

    @MajiiIfande

    Ай бұрын

    Ni sawa na Muhammad??

  • @SalmanMughal-lq5lt

    @SalmanMughal-lq5lt

    28 күн бұрын

    ​@@MajiiIfandendyoIlamtumeNizaidi.kwaniyeyeNiwaulimwenguwooteYahnWatuWoote

  • @Maryam-tb5it
    @Maryam-tb5itАй бұрын

    Sheikh Ramadhani ukona subra kweli, mwenyezi mungu akupe maisha marefu

  • @habibasalim3092
    @habibasalim3092Ай бұрын

    Jini ukumuacha ajiondokea bila mpango,ataataenda kuingia kwa mtu mwengine,na wengine wanasema toka na uende katika shimo la giza,,akienda gizani,si ataenda kuendelea kubaki mbaya

  • @habibasalim3092
    @habibasalim3092Ай бұрын

    Na mwenye atatoka akilia atoke bado atakwenda kumdhuru mtu,mwengine, hata atakapo kabla ya kuondoka anaambiwa akue muislamu ili asiende kumdhuru mtu mwengine,na ataapishwa kwamba hatorudi katika mwili huo na hata mwengine,,

  • @rizikiwilliam-eh3oi
    @rizikiwilliam-eh3oiАй бұрын

    Asimame kama mwanaume,yuwababaika na haelewi!.

  • @user-gm4qi3nn9n
    @user-gm4qi3nn9nАй бұрын

    Mimi nauliza Kwani uislam uje kwa lugha ya kiarabu na siyo lugha tofauti

  • @user-ij9te1ck9p

    @user-ij9te1ck9p

    Ай бұрын

    Kila kitabu Mungu kakichagulia lugha yake kulingana na mtume mwenyewe na watu wake,mf Kuna mpaka bible za kinyakyusa lakini Mungu hakuturemsha kwa kinyakyusa kweli si kweli,Mungu ametemsha Qur-an kwa kiarabu sababu mtume aliyempa jukumu Hilo ni Muarabu km injili na torati zilivyoshushwa kulingana na lugha za mitume hao hivyo qur an kushushwa kwa kiarabu:- 1. Ndio uchaguzi WA Allah alioutaka. 2.Mtume aliyemshushia na jamii yake lugha Yao kiarabu. 3.Qur-an kushuka kiarabu na hamna kutengeneza kwa lugha nyengine Ili isiweze kubadilishwa badilishwa km walivyofanya ubande WA pili. 4.ndio identity ya uislaam wote kokote utakapoenda Duniani mfanano ni Mmoja kisomo kilekile iwe urusi iwe marekani uwe mzungu uwe machina uwe Afrika ume Masai uwe jaluo lugha Moja tu

  • @bassambashirou4604
    @bassambashirou4604Ай бұрын

    Huwezi kuwa mkristo mpaka ujitoe ufahamu

  • @user-yx2go6tn5u
    @user-yx2go6tn5uАй бұрын

    MashaAllah muslim itaeleweka

  • @abdinasir5514
    @abdinasir55147 күн бұрын

    Wanafuraha husikia kuhusu uislami😅❤

  • @mustafamsati9599
    @mustafamsati9599Ай бұрын

    Hahaha et mungu hakuumba majini

  • @suleymanali431
    @suleymanali431Ай бұрын

    Mashaalah mungu awzidishiye,Ramadhan mungu akupe kheri ila ningiliomba mapasta kaa hawa wanaoRopika maneno za vichwa zao usiwape muda mwingi wa kuwasikiza wanapoteza tu mda hawa ni wale mwenyezi mungu amesema hawasikii ni viziwi hawaoni ni vipofu na hawatarejea mpaka mungu awaongoze. Kwa hivyo huyu jama amekuja na maneno ya paulo yuko katika kila mihadhara na ubishi please ungemtolea hile andiko ilioko bibilia inasema mimi paulo ni mwongo na kuna mwingine pia amesema nimejifanyia kua kalamu ya waandishibkuwa ya uwongo nami ikanibidi nijitungiye tungiye. Ume wapa mdanmrefu warope bila maandishi .

  • @molee2339
    @molee2339Ай бұрын

    TabarakAllah Team! A mammoth Task Today, dealing with these rampaging Omeras! Ustad musi wape hawa wakati waku ongea tuuuuuu, bila yaku kutowa Ma ANDIKO! Verse first, TALK later! STOP them if they do NOT present a Verse FIRST! Like this tall luo PASTOR, he wasted 85% of your VLOG, taking RUBBISH! Ustad you also need to start INTERRUPTING these Kristians the moment they start their LIES! You are giving them too much rope, which empowers them to spill their LIES, and consequently overwhelm you! These Kristians are taking ADVANTAGE of your courtesy of allowing them to SPILL ALL their LIES, uninterrupted! You now need to change TACTIC and STOP them immediately, the very moment he starts his LIES! These people do NOT appreciate you courteous nature! And also allow and AGREE tactics with Ustad Khalifa, for him to intervene as a moderator when two or more Kristians lay siege to you! Crowd Control! Na hapa, Ma Pepo WACHAFU washa kuwa WaKristo: Mark 3:11 ► Whenever the IMPURE spirits saw him, they fell down before him and cried out, “You are the Son of God.”! Na huyu HILARY haeshi ku pigwa Viboko na Ustad Salim kule kwa Raily! Pepo ya 'yesu Mungu' HAIJAM toka! BarikAllah Feekum Team!

  • @Sal.0

    @Sal.0

    Ай бұрын

    Swadakta. Hawa WaKristo wana penda ku 'FAFANUA'! Yaani wako na tabia mbaya SANA, yaku BADILISHA Verse yeyote ya Biblia, na kuleta VERSION yake, kwa UWONGO TUPU! Kwa hivyo, wasi pewe wakati waku sema UWONGO, bila kutowa ANDIKO .

  • @ShabaniHaruna-ul6yu
    @ShabaniHaruna-ul6yuАй бұрын

    Mim8 ninamke wangu anao majini na nimkristo Ivo majini ha wakristo wanayo

  • @shabbymakapane

    @shabbymakapane

    11 күн бұрын

    🤣🤣🤣

  • @adanabdi5249
    @adanabdi5249Ай бұрын

    Sawa Shehe.

  • @estakenia
    @estakenia26 күн бұрын

    😂 kuria atawadanganya mpaka mwingie box. Chunga sana

  • @africatoeuropechurchtv8856
    @africatoeuropechurchtv8856Ай бұрын

    Hapo wakristo wa Wazungu UTATU mlishachemsha. Geuken mtumie common sense sio kufuata bila kuelewa.

  • @user-sr8nw7hs1w
    @user-sr8nw7hs1wАй бұрын

    Yes sie mugu

  • @rizikiali328
    @rizikiali328Ай бұрын

    Wakristo wajisomee bibilia wao wenyewe mapasta wanawapoteza

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792Ай бұрын

    Messages ya mwisho katika quluan ni kitabu cha jin na binadamu na hao huwatapeli mitahani kutumia maandiko

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572Ай бұрын

    Pasta mshindani kweli aisee

  • @africatoeuropechurchtv8856
    @africatoeuropechurchtv8856Ай бұрын

    Mnasoma Kama iliivoandikwa.wasikilizeni Africa to Europe church,aina 10 za usomaji wa BIBLIA.

  • @dugulemuse4458
    @dugulemuse4458Ай бұрын

    Sorry wakristo wamepotea sana, GOD is one and jesus ni mtume wake.

  • @zeyechmahir1020
    @zeyechmahir1020Ай бұрын

    Mbona pastor kaonekana amepanic 😅

  • @faudhiasaidi3669
    @faudhiasaidi3669Ай бұрын

    Uyu mchungaji ni kizibo tu amna anachojua anawapoteza wafuasi wake apo anakata ado mauno elimu hana

  • @linetkikin4023
    @linetkikin4023Ай бұрын

    Pastors jamani na ubishi ndio maana wanapoteza watu wa mungu

  • @samxx411
    @samxx411Ай бұрын

    Pastor anawachanganya watu wasielewe maandiko.

  • @ikujoitambu2712
    @ikujoitambu2712Ай бұрын

    MashaAllah kwani kipi hapo mwakristo wanabisha?

  • @africatoeuropechurchtv8856
    @africatoeuropechurchtv8856Ай бұрын

    Kwa nn msiongee kwa Lugha inayoeleweka.

  • @user-xh6mt8xj9d
    @user-xh6mt8xj9dАй бұрын

    Wanosema Yesu mungu kwenye bblia ni maneno yakusemewa lakini mwenyewe sehemu zote kajiita kuwa yeye ni binadamu

  • @bassambashirou4604

    @bassambashirou4604

    Ай бұрын

    Wanamlazimisha japo kakataa yaani ni mwendo wa kijitoa ufahamu tu

  • @habibasalim3092
    @habibasalim3092Ай бұрын

    Kwahio yesu aliingia kwenye mwili akue mungu, kisha akufe amuache shetani aendelee kupotosha watu wamuasi yeye mungu,,tena huyo mungu auwawe na wanadamu wake alowaumba mwenyewe

  • @FRANKJOSEPH-ke8hs

    @FRANKJOSEPH-ke8hs

    Ай бұрын

    Unaokufa ni mwili lkn roho Iko hai sawasawa na kufa kwa yesu aliuacha mwili lkn yy kwasababu ni Mungu na Mungu ni Roho aliendelea kuwa hai na kuendelea na kazi yake ktk Roho na hata sasa yuko hai ktk Roho ndio maana huwezi kumuona Leo ktk mwili

  • @shafiismaily9223

    @shafiismaily9223

    Ай бұрын

    Hata kwa binadamu kinachokufa ni kiwiliwili, roho huenda kwa mungu!!​@@FRANKJOSEPH-ke8hs

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847Ай бұрын

    Masha Allah 💖💖💖

  • @faudhiasaidi3669
    @faudhiasaidi3669Ай бұрын

    Hawa hawajui kuwa majini wameubwa kwa ulimi wa moto na MALAIKA wameumbwa kwa NURU ndio maana wanachanganya maneno

  • @MajiiIfande

    @MajiiIfande

    Ай бұрын

    Toa andiko kutoka vitabuni

  • @faudhiasaidi3669

    @faudhiasaidi3669

    Ай бұрын

    @@MajiiIfande وَخَلَقَ الْجَانَّ مِن مَّارِجٍ مِّن نَّارٍ [ ARRAH'MAN - 15 ] Na akawaumba majini kwa ulimi wa moto. QUR'AN TUKUFU

Келесі