WAKRISTO WAMSHANGAA YESU KUONGEA NA KUNDI LA MAJINI BAADA YA KUSINGIZIA QURAN
Please subscribe to my channel for more videos.
Жүктеу.....
Пікірлер: 433
@user-hi3et7mp6m20 күн бұрын
Pole sana shekhe kwakazi iyo unayofanya,Allah akulipe kheri.
@RamadhanRamadhan-cx3tjАй бұрын
Ramadhan una subra ya hali ya juu sana .Allah akuneemeshe zaidi kwa kutuwakilishia sisi waislam. Wenye uwezo wa mali wamuwezeshe yeye na wenziwe kutangaza dini kiurahisi na iwe ndio kazi rasimi. Na ndio hasaa kazi ya Mali mutaikuta mtaikuta mali zaidi here after AMEEN
@user-rc7oi2hp8lАй бұрын
Juma Ndugu ngu umepata ukweli nakuamua uamuzi mzr Allah akuogoze apa n kesho akhera
@Noorein-ws8wk
Ай бұрын
Allahumma aamiin Yaa Rabb Al 'alamiin ❤
@minhajsahal4467Ай бұрын
Allahu Akbar.
@HabibalKalbiАй бұрын
Mashallah tabaraqallah mungu awahifadhi
@FatwimaZahrauАй бұрын
❤mashaLLAH SHEIKH WANGU
@ZsbAlbarwaniАй бұрын
Allah awabarikia Insha'Allah
@user-yx2go6tn5uАй бұрын
MashaAllah maalim kulia nakupenda kwaajili ya Allah kwajinsi unavo tambua maandiko
@africatoeuropechurchtv8856Ай бұрын
Mungu awazidishie jaman mnajitahidi saana
@isahbarasaАй бұрын
Asalam aleikum waramtulah wabarakatu brother KAZI safi ya mwenyezi mungu
@user-rc7oi2hp8lАй бұрын
Ma sha Allah tabaraka Rahman kazi nzuri walim ngu Allah amtagulie Kila kitu
@user-ib1pc8hi9w28 күн бұрын
Hakika sheikh unafany kazi nzur san hakika Allah atawalipa
@abdigabgos6298Ай бұрын
JazakaAllah mwalimu
@Allymbaruku991-lj1omАй бұрын
Ma sha ALLAH
@bentybenty2343Ай бұрын
Masha ALLAH ❤❤🎉
@nasramusaroАй бұрын
Dah! Kaka Ramadhani mwenyezi Mungu amekujaalia akili Masha Allah unawahangaisha mpaka wanataka kulia
@SalmanMughal-lq5lt
Ай бұрын
Wanatakakulia
@user-ex4rk2yx4sАй бұрын
Ma sha Allah
@Noorein-ws8wkАй бұрын
Baada ya mchungaji kuupinga uislam, Alhamdulillah kipindi kimeishia na shahada na kidume mr Juma'a amekuwa muuslam na kumuacha pasta kuendelea na kufuru yake lkn tunamuombea kwa Allah amuongoze.
@samxx411Ай бұрын
Mara nyingi wakristo wanapinga ili kubisha uislamu tu lakini hawana maandiko ya uhakika. Pastor anajazba sana ili kuzuia kusafahamishwe watu wakafahamu
@JamaMohamed-xi7ukАй бұрын
MASHA ALLAH
@JohnMunyua-fr8jtАй бұрын
Kweli ni jacaranda things really hot 🔥 masha Allah
@user-ij9te1ck9pАй бұрын
Laahaula walaa kuwwata illaa Billahi! ata voice procedure pia shida.duuh!
@zaitunirashidi55323 күн бұрын
Subra yako ostadhi ni ya kiwango, mm ningepiga uyo pastor makofi
@hanifahkhamiss8485Ай бұрын
Subhanallah jamani hawa watu ni wakaid na maandiko hawayataki wanabadilisha😢😢😢😢Allah awaongoe wallah 😢
Alhamdulillah ala neematul Islam kama wewe ni muislam sema alhamdulillah
@aminajumale6805Ай бұрын
TabarakAllah
@oromiyaajittu7188Ай бұрын
Mashallah
@ibnusleyyum9743Ай бұрын
MashaaAllahu
@islammedia7914Ай бұрын
Manshallah
@saudahassan6667Ай бұрын
Mashaallah maalim ramadhan allah akuongoze
@comarcabdall1564Ай бұрын
Keep going ✌️
@fatmaali6780Ай бұрын
Pastor ana munkar kweli MashaAllah Ramadan una subra sana mm mwenyewe nimechemka
@salmaminja7714Ай бұрын
Allah Akbar. Uctadh Allah akupe subra kwn ni ngumu kuwalingania wasijua din ya haq Allah akupe maisha marf na afya tele ili uweze kuwapa waadh na kusilimu. Allah ni mjuz utapata malipo dunian na kesho akhra. Upo vzrr mnoo. Subhanallah Allahu Ma'anaa. Jazakallah khaira wajazaa. Idhaa Aradallah
@rizikiali328Ай бұрын
Assalam Aleikum sheikh Ramadhan mashallah Allah awahifadhi hawa watu kuelewa ni wagumu but hawajui
@mzamomwangome4961Ай бұрын
sheikh wangu Ramadhan Allah akuhifadhi na akulinde pia ya husda za majini na watu.
Luka cpt 4 vrs 41 Yesu kaukataa u wana wa Mungu. Pia awakemea wamwitao mwana Mungu. Kwa kuwa yeye ni nabii
@FridayMwassa
7 күн бұрын
Soma mathayo 16:16
@ShabaniHaruna-ul6yuАй бұрын
Mungu wa kweli hakuzaa wala hakuzaliwa
@kennedykimutai2298Ай бұрын
This pastor really understands what he's saying I like his coherence
@Sal.0
Ай бұрын
Yeah, he isa very FLUENT and coherent LIAR who changes the meaning of EVERY Bible Verse read out by Kuria.! Your 'Nusu Mkate Brain' beeds a reset, Omera!
@jamilajamila4572Ай бұрын
Subhannallaj eti wakiristo wanasema yesu nimungu innalillah wainna ilaykh lajiun
@MajiiIfande
Ай бұрын
Wewe unasema Yesu ni nani??
@jamilajamila4572
Ай бұрын
@@MajiiIfande yesu ni mtume wa mwenyezi mungu
@myunaniniahmad6463Ай бұрын
Pasta kichefu, kelele nyingi na hataki kuelewa.
@habibasalim3092Ай бұрын
SubhanaAllah yaani mungu alikuja akaingia kwenye mwili wa mary, 😅😅😅
@muminaroba9122Ай бұрын
Allahu Akbar
@AbdirahmanhHalakhe-pn2zdАй бұрын
MASHAALLAH
@user-du2fy5sd5uАй бұрын
MashaAllah nimefurahi Daawah Mitaani inaedelea in shaa Allah Kila la kheir waalimu wetu
@seifissa9705Ай бұрын
Jeshi la mtu mmoja
@africatoeuropechurchtv8856Ай бұрын
Aman Kweli wafuasi wa Wazungu na Waarabu hamumjui kabisa Bwana YESU.Sisi Tunasema Yesu Ni MUNGU.
@djhassim_254Ай бұрын
Allah akbar
@Al-hidaya.tv.burundiАй бұрын
MaaShaaAllah
@RamadhanRamadhan-cx3tjАй бұрын
Yesu ni Muisilam .
@sammunialo5463
Ай бұрын
Dhibitisha
@MohammedMohammed-gp9xqАй бұрын
hili pastor pumbavu Sana
@abdisalammohamed369128 күн бұрын
Kongole Sheikh wetu
@Yusufualawi15 күн бұрын
😊
@kennedymanyonge6170Ай бұрын
Wakristo ni kelele tu hakuna kitu wanajua. Wanasoma maandiko na kuyatasfiri kama fasihi simulizi.
@sammganga6865
Ай бұрын
Manadanyana waislamu
@josemu870Ай бұрын
MashAllah
@saniairadukunda4400Ай бұрын
ASSALAM alaykum warahmatullah wabarakatuh 😂😂😂😂😂😂 hao jamaa ningumu sana kuelewa. ALLAHU alisha maliza kwakusema katika sura til baqara yakua .HAO NI VIZIWI NI MABUBU NA TAYARI WALISHA FUNIKWA NA VIFUNIKO VIKUBWA
@rizikiwilliam-eh3oiАй бұрын
Huyo pastor yuwahisi mkojo
@DanKanu-ox4hxАй бұрын
Huyu pastor Ako confused 😂😂
@fatumahamisi1604Ай бұрын
huyu pasta hajielewi yuajifanya ni msomi lakini Hana lolote walizowea kanisani kudanganya watu kuitisha tu sadaka
@user-mq1pj1mq1nАй бұрын
Pasta anaspeed sna
@user-jk3su3or9wАй бұрын
Yesu atawaumiZa vichwa mpaka kufa,
@africatoeuropechurchtv8856Ай бұрын
Jamani watu Hawa wote hawaeleweki watafuteni wanaoeleweka. Africa to Europe church wanaoeleweka vizuri.
@seifissa9705Ай бұрын
Huyo jamaa hajielewi anasema kuja kwa kirsto kumetabiriwa sasa mbona anasema yesu ni mungu yaani mungu katabiriwa na nani
Sheikh Ramadhani ukona subra kweli, mwenyezi mungu akupe maisha marefu
@habibasalim3092Ай бұрын
Jini ukumuacha ajiondokea bila mpango,ataataenda kuingia kwa mtu mwengine,na wengine wanasema toka na uende katika shimo la giza,,akienda gizani,si ataenda kuendelea kubaki mbaya
@habibasalim3092Ай бұрын
Na mwenye atatoka akilia atoke bado atakwenda kumdhuru mtu,mwengine, hata atakapo kabla ya kuondoka anaambiwa akue muislamu ili asiende kumdhuru mtu mwengine,na ataapishwa kwamba hatorudi katika mwili huo na hata mwengine,,
@rizikiwilliam-eh3oiАй бұрын
Asimame kama mwanaume,yuwababaika na haelewi!.
@user-gm4qi3nn9nАй бұрын
Mimi nauliza Kwani uislam uje kwa lugha ya kiarabu na siyo lugha tofauti
@user-ij9te1ck9p
Ай бұрын
Kila kitabu Mungu kakichagulia lugha yake kulingana na mtume mwenyewe na watu wake,mf Kuna mpaka bible za kinyakyusa lakini Mungu hakuturemsha kwa kinyakyusa kweli si kweli,Mungu ametemsha Qur-an kwa kiarabu sababu mtume aliyempa jukumu Hilo ni Muarabu km injili na torati zilivyoshushwa kulingana na lugha za mitume hao hivyo qur an kushushwa kwa kiarabu:- 1. Ndio uchaguzi WA Allah alioutaka. 2.Mtume aliyemshushia na jamii yake lugha Yao kiarabu. 3.Qur-an kushuka kiarabu na hamna kutengeneza kwa lugha nyengine Ili isiweze kubadilishwa badilishwa km walivyofanya ubande WA pili. 4.ndio identity ya uislaam wote kokote utakapoenda Duniani mfanano ni Mmoja kisomo kilekile iwe urusi iwe marekani uwe mzungu uwe machina uwe Afrika ume Masai uwe jaluo lugha Moja tu
@bassambashirou4604Ай бұрын
Huwezi kuwa mkristo mpaka ujitoe ufahamu
@user-yx2go6tn5uАй бұрын
MashaAllah muslim itaeleweka
@abdinasir55147 күн бұрын
Wanafuraha husikia kuhusu uislami😅❤
@mustafamsati9599Ай бұрын
Hahaha et mungu hakuumba majini
@suleymanali431Ай бұрын
Mashaalah mungu awzidishiye,Ramadhan mungu akupe kheri ila ningiliomba mapasta kaa hawa wanaoRopika maneno za vichwa zao usiwape muda mwingi wa kuwasikiza wanapoteza tu mda hawa ni wale mwenyezi mungu amesema hawasikii ni viziwi hawaoni ni vipofu na hawatarejea mpaka mungu awaongoze. Kwa hivyo huyu jama amekuja na maneno ya paulo yuko katika kila mihadhara na ubishi please ungemtolea hile andiko ilioko bibilia inasema mimi paulo ni mwongo na kuna mwingine pia amesema nimejifanyia kua kalamu ya waandishibkuwa ya uwongo nami ikanibidi nijitungiye tungiye. Ume wapa mdanmrefu warope bila maandishi .
@molee2339Ай бұрын
TabarakAllah Team! A mammoth Task Today, dealing with these rampaging Omeras! Ustad musi wape hawa wakati waku ongea tuuuuuu, bila yaku kutowa Ma ANDIKO! Verse first, TALK later! STOP them if they do NOT present a Verse FIRST! Like this tall luo PASTOR, he wasted 85% of your VLOG, taking RUBBISH! Ustad you also need to start INTERRUPTING these Kristians the moment they start their LIES! You are giving them too much rope, which empowers them to spill their LIES, and consequently overwhelm you! These Kristians are taking ADVANTAGE of your courtesy of allowing them to SPILL ALL their LIES, uninterrupted! You now need to change TACTIC and STOP them immediately, the very moment he starts his LIES! These people do NOT appreciate you courteous nature! And also allow and AGREE tactics with Ustad Khalifa, for him to intervene as a moderator when two or more Kristians lay siege to you! Crowd Control! Na hapa, Ma Pepo WACHAFU washa kuwa WaKristo: Mark 3:11 ► Whenever the IMPURE spirits saw him, they fell down before him and cried out, “You are the Son of God.”! Na huyu HILARY haeshi ku pigwa Viboko na Ustad Salim kule kwa Raily! Pepo ya 'yesu Mungu' HAIJAM toka! BarikAllah Feekum Team!
@Sal.0
Ай бұрын
Swadakta. Hawa WaKristo wana penda ku 'FAFANUA'! Yaani wako na tabia mbaya SANA, yaku BADILISHA Verse yeyote ya Biblia, na kuleta VERSION yake, kwa UWONGO TUPU! Kwa hivyo, wasi pewe wakati waku sema UWONGO, bila kutowa ANDIKO .
@ShabaniHaruna-ul6yuАй бұрын
Mim8 ninamke wangu anao majini na nimkristo Ivo majini ha wakristo wanayo
@shabbymakapane
11 күн бұрын
🤣🤣🤣
@adanabdi5249Ай бұрын
Sawa Shehe.
@estakenia26 күн бұрын
😂 kuria atawadanganya mpaka mwingie box. Chunga sana
@africatoeuropechurchtv8856Ай бұрын
Hapo wakristo wa Wazungu UTATU mlishachemsha. Geuken mtumie common sense sio kufuata bila kuelewa.
@user-sr8nw7hs1wАй бұрын
Yes sie mugu
@rizikiali328Ай бұрын
Wakristo wajisomee bibilia wao wenyewe mapasta wanawapoteza
@charlesmakuri792Ай бұрын
Messages ya mwisho katika quluan ni kitabu cha jin na binadamu na hao huwatapeli mitahani kutumia maandiko
@jamilajamila4572Ай бұрын
Pasta mshindani kweli aisee
@africatoeuropechurchtv8856Ай бұрын
Mnasoma Kama iliivoandikwa.wasikilizeni Africa to Europe church,aina 10 za usomaji wa BIBLIA.
@dugulemuse4458Ай бұрын
Sorry wakristo wamepotea sana, GOD is one and jesus ni mtume wake.
@zeyechmahir1020Ай бұрын
Mbona pastor kaonekana amepanic 😅
@faudhiasaidi3669Ай бұрын
Uyu mchungaji ni kizibo tu amna anachojua anawapoteza wafuasi wake apo anakata ado mauno elimu hana
@linetkikin4023Ай бұрын
Pastors jamani na ubishi ndio maana wanapoteza watu wa mungu
@samxx411Ай бұрын
Pastor anawachanganya watu wasielewe maandiko.
@ikujoitambu2712Ай бұрын
MashaAllah kwani kipi hapo mwakristo wanabisha?
@africatoeuropechurchtv8856Ай бұрын
Kwa nn msiongee kwa Lugha inayoeleweka.
@user-xh6mt8xj9dАй бұрын
Wanosema Yesu mungu kwenye bblia ni maneno yakusemewa lakini mwenyewe sehemu zote kajiita kuwa yeye ni binadamu
@bassambashirou4604
Ай бұрын
Wanamlazimisha japo kakataa yaani ni mwendo wa kijitoa ufahamu tu
@habibasalim3092Ай бұрын
Kwahio yesu aliingia kwenye mwili akue mungu, kisha akufe amuache shetani aendelee kupotosha watu wamuasi yeye mungu,,tena huyo mungu auwawe na wanadamu wake alowaumba mwenyewe
@FRANKJOSEPH-ke8hs
Ай бұрын
Unaokufa ni mwili lkn roho Iko hai sawasawa na kufa kwa yesu aliuacha mwili lkn yy kwasababu ni Mungu na Mungu ni Roho aliendelea kuwa hai na kuendelea na kazi yake ktk Roho na hata sasa yuko hai ktk Roho ndio maana huwezi kumuona Leo ktk mwili
@shafiismaily9223
Ай бұрын
Hata kwa binadamu kinachokufa ni kiwiliwili, roho huenda kwa mungu!!@@FRANKJOSEPH-ke8hs
@fardoshnassor7847Ай бұрын
Masha Allah 💖💖💖
@faudhiasaidi3669Ай бұрын
Hawa hawajui kuwa majini wameubwa kwa ulimi wa moto na MALAIKA wameumbwa kwa NURU ndio maana wanachanganya maneno
@MajiiIfande
Ай бұрын
Toa andiko kutoka vitabuni
@faudhiasaidi3669
Ай бұрын
@@MajiiIfande وَخَلَقَ الْجَانَّ مِن مَّارِجٍ مِّن نَّارٍ [ ARRAH'MAN - 15 ] Na akawaumba majini kwa ulimi wa moto. QUR'AN TUKUFU
Пікірлер: 433
Pole sana shekhe kwakazi iyo unayofanya,Allah akulipe kheri.
Ramadhan una subra ya hali ya juu sana .Allah akuneemeshe zaidi kwa kutuwakilishia sisi waislam. Wenye uwezo wa mali wamuwezeshe yeye na wenziwe kutangaza dini kiurahisi na iwe ndio kazi rasimi. Na ndio hasaa kazi ya Mali mutaikuta mtaikuta mali zaidi here after AMEEN
Juma Ndugu ngu umepata ukweli nakuamua uamuzi mzr Allah akuogoze apa n kesho akhera
@Noorein-ws8wk
Ай бұрын
Allahumma aamiin Yaa Rabb Al 'alamiin ❤
Allahu Akbar.
Mashallah tabaraqallah mungu awahifadhi
❤mashaLLAH SHEIKH WANGU
Allah awabarikia Insha'Allah
MashaAllah maalim kulia nakupenda kwaajili ya Allah kwajinsi unavo tambua maandiko
Mungu awazidishie jaman mnajitahidi saana
Asalam aleikum waramtulah wabarakatu brother KAZI safi ya mwenyezi mungu
Ma sha Allah tabaraka Rahman kazi nzuri walim ngu Allah amtagulie Kila kitu
Hakika sheikh unafany kazi nzur san hakika Allah atawalipa
JazakaAllah mwalimu
Ma sha ALLAH
Masha ALLAH ❤❤🎉
Dah! Kaka Ramadhani mwenyezi Mungu amekujaalia akili Masha Allah unawahangaisha mpaka wanataka kulia
@SalmanMughal-lq5lt
Ай бұрын
Wanatakakulia
Ma sha Allah
Baada ya mchungaji kuupinga uislam, Alhamdulillah kipindi kimeishia na shahada na kidume mr Juma'a amekuwa muuslam na kumuacha pasta kuendelea na kufuru yake lkn tunamuombea kwa Allah amuongoze.
Mara nyingi wakristo wanapinga ili kubisha uislamu tu lakini hawana maandiko ya uhakika. Pastor anajazba sana ili kuzuia kusafahamishwe watu wakafahamu
MASHA ALLAH
Kweli ni jacaranda things really hot 🔥 masha Allah
Laahaula walaa kuwwata illaa Billahi! ata voice procedure pia shida.duuh!
Subra yako ostadhi ni ya kiwango, mm ningepiga uyo pastor makofi
Subhanallah jamani hawa watu ni wakaid na maandiko hawayataki wanabadilisha😢😢😢😢Allah awaongoe wallah 😢
@SalmanMughal-lq5lt
28 күн бұрын
SubhanaAllahLeoNimechekaNipojkon.hapaOman.mimi.shagara🤣🤣🤣
MashAllah kaka Ramma
ALLAHU AKBAR ❤
Ma Shaa Allah Tabarakallah kazi Allah awaongoze
Alhamdulillah ala neematul Islam kama wewe ni muislam sema alhamdulillah
TabarakAllah
Mashallah
MashaaAllahu
Manshallah
Mashaallah maalim ramadhan allah akuongoze
Keep going ✌️
Pastor ana munkar kweli MashaAllah Ramadan una subra sana mm mwenyewe nimechemka
Allah Akbar. Uctadh Allah akupe subra kwn ni ngumu kuwalingania wasijua din ya haq Allah akupe maisha marf na afya tele ili uweze kuwapa waadh na kusilimu. Allah ni mjuz utapata malipo dunian na kesho akhra. Upo vzrr mnoo. Subhanallah Allahu Ma'anaa. Jazakallah khaira wajazaa. Idhaa Aradallah
Assalam Aleikum sheikh Ramadhan mashallah Allah awahifadhi hawa watu kuelewa ni wagumu but hawajui
sheikh wangu Ramadhan Allah akuhifadhi na akulinde pia ya husda za majini na watu.
Kazi nzuri napenda hii
: وَإِذْ صَرَفْنَا إِلَيْكَ نَفَرًا مِنَ الْجِنِّ يَسْتَمِعُونَ الْقُرْآنَ فَلَمَّا حَضَرُوهُ قَالُوا أَنْصِتُوا فَلَمَّا قُضِيَ وَلَّوْا إِلَى قَوْمِهِمْ مُنْذِرِينَ قَالُوا يَا قَوْمَنَا إِنَّا سَمِعْنَا كِتَابًا أُنْزِلَ مِنْ بَعْدِ مُوسَى مُصَدِّقًا لِمَا بَيْنَ يَدَيْهِ يَهْدِي إِلَى الْحَقِّ وَإِلَى طَرِيقٍ مُسْتَقِيمٍ يَا قَوْمَنَا أَجِيبُوا دَاعِيَ اللَّهِ وَآمِنُوا بِهِ يَغْفِرْ لَكُمْ مِنْ ذُنُوبِكُمْ وَيُجِرْكُمْ مِنْ عَذَابٍ أَلِيمٍ
Manshalah
Luka cpt 4 vrs 41 Yesu kaukataa u wana wa Mungu. Pia awakemea wamwitao mwana Mungu. Kwa kuwa yeye ni nabii
@FridayMwassa
7 күн бұрын
Soma mathayo 16:16
Mungu wa kweli hakuzaa wala hakuzaliwa
This pastor really understands what he's saying I like his coherence
@Sal.0
Ай бұрын
Yeah, he isa very FLUENT and coherent LIAR who changes the meaning of EVERY Bible Verse read out by Kuria.! Your 'Nusu Mkate Brain' beeds a reset, Omera!
Subhannallaj eti wakiristo wanasema yesu nimungu innalillah wainna ilaykh lajiun
@MajiiIfande
Ай бұрын
Wewe unasema Yesu ni nani??
@jamilajamila4572
Ай бұрын
@@MajiiIfande yesu ni mtume wa mwenyezi mungu
Pasta kichefu, kelele nyingi na hataki kuelewa.
SubhanaAllah yaani mungu alikuja akaingia kwenye mwili wa mary, 😅😅😅
Allahu Akbar
MASHAALLAH
MashaAllah nimefurahi Daawah Mitaani inaedelea in shaa Allah Kila la kheir waalimu wetu
Jeshi la mtu mmoja
Aman Kweli wafuasi wa Wazungu na Waarabu hamumjui kabisa Bwana YESU.Sisi Tunasema Yesu Ni MUNGU.
Allah akbar
MaaShaaAllah
Yesu ni Muisilam .
@sammunialo5463
Ай бұрын
Dhibitisha
hili pastor pumbavu Sana
Kongole Sheikh wetu
😊
Wakristo ni kelele tu hakuna kitu wanajua. Wanasoma maandiko na kuyatasfiri kama fasihi simulizi.
@sammganga6865
Ай бұрын
Manadanyana waislamu
MashAllah
ASSALAM alaykum warahmatullah wabarakatuh 😂😂😂😂😂😂 hao jamaa ningumu sana kuelewa. ALLAHU alisha maliza kwakusema katika sura til baqara yakua .HAO NI VIZIWI NI MABUBU NA TAYARI WALISHA FUNIKWA NA VIFUNIKO VIKUBWA
Huyo pastor yuwahisi mkojo
Huyu pastor Ako confused 😂😂
huyu pasta hajielewi yuajifanya ni msomi lakini Hana lolote walizowea kanisani kudanganya watu kuitisha tu sadaka
Pasta anaspeed sna
Yesu atawaumiZa vichwa mpaka kufa,
Jamani watu Hawa wote hawaeleweki watafuteni wanaoeleweka. Africa to Europe church wanaoeleweka vizuri.
Huyo jamaa hajielewi anasema kuja kwa kirsto kumetabiriwa sasa mbona anasema yesu ni mungu yaani mungu katabiriwa na nani
@StraightPathDawah
Ай бұрын
Msiba kweli
Yesu ni mtume sio Mungu
@MajiiIfande
Ай бұрын
Ni sawa na Muhammad??
@SalmanMughal-lq5lt
28 күн бұрын
@@MajiiIfandendyoIlamtumeNizaidi.kwaniyeyeNiwaulimwenguwooteYahnWatuWoote
Sheikh Ramadhani ukona subra kweli, mwenyezi mungu akupe maisha marefu
Jini ukumuacha ajiondokea bila mpango,ataataenda kuingia kwa mtu mwengine,na wengine wanasema toka na uende katika shimo la giza,,akienda gizani,si ataenda kuendelea kubaki mbaya
Na mwenye atatoka akilia atoke bado atakwenda kumdhuru mtu,mwengine, hata atakapo kabla ya kuondoka anaambiwa akue muislamu ili asiende kumdhuru mtu mwengine,na ataapishwa kwamba hatorudi katika mwili huo na hata mwengine,,
Asimame kama mwanaume,yuwababaika na haelewi!.
Mimi nauliza Kwani uislam uje kwa lugha ya kiarabu na siyo lugha tofauti
@user-ij9te1ck9p
Ай бұрын
Kila kitabu Mungu kakichagulia lugha yake kulingana na mtume mwenyewe na watu wake,mf Kuna mpaka bible za kinyakyusa lakini Mungu hakuturemsha kwa kinyakyusa kweli si kweli,Mungu ametemsha Qur-an kwa kiarabu sababu mtume aliyempa jukumu Hilo ni Muarabu km injili na torati zilivyoshushwa kulingana na lugha za mitume hao hivyo qur an kushushwa kwa kiarabu:- 1. Ndio uchaguzi WA Allah alioutaka. 2.Mtume aliyemshushia na jamii yake lugha Yao kiarabu. 3.Qur-an kushuka kiarabu na hamna kutengeneza kwa lugha nyengine Ili isiweze kubadilishwa badilishwa km walivyofanya ubande WA pili. 4.ndio identity ya uislaam wote kokote utakapoenda Duniani mfanano ni Mmoja kisomo kilekile iwe urusi iwe marekani uwe mzungu uwe machina uwe Afrika ume Masai uwe jaluo lugha Moja tu
Huwezi kuwa mkristo mpaka ujitoe ufahamu
MashaAllah muslim itaeleweka
Wanafuraha husikia kuhusu uislami😅❤
Hahaha et mungu hakuumba majini
Mashaalah mungu awzidishiye,Ramadhan mungu akupe kheri ila ningiliomba mapasta kaa hawa wanaoRopika maneno za vichwa zao usiwape muda mwingi wa kuwasikiza wanapoteza tu mda hawa ni wale mwenyezi mungu amesema hawasikii ni viziwi hawaoni ni vipofu na hawatarejea mpaka mungu awaongoze. Kwa hivyo huyu jama amekuja na maneno ya paulo yuko katika kila mihadhara na ubishi please ungemtolea hile andiko ilioko bibilia inasema mimi paulo ni mwongo na kuna mwingine pia amesema nimejifanyia kua kalamu ya waandishibkuwa ya uwongo nami ikanibidi nijitungiye tungiye. Ume wapa mdanmrefu warope bila maandishi .
TabarakAllah Team! A mammoth Task Today, dealing with these rampaging Omeras! Ustad musi wape hawa wakati waku ongea tuuuuuu, bila yaku kutowa Ma ANDIKO! Verse first, TALK later! STOP them if they do NOT present a Verse FIRST! Like this tall luo PASTOR, he wasted 85% of your VLOG, taking RUBBISH! Ustad you also need to start INTERRUPTING these Kristians the moment they start their LIES! You are giving them too much rope, which empowers them to spill their LIES, and consequently overwhelm you! These Kristians are taking ADVANTAGE of your courtesy of allowing them to SPILL ALL their LIES, uninterrupted! You now need to change TACTIC and STOP them immediately, the very moment he starts his LIES! These people do NOT appreciate you courteous nature! And also allow and AGREE tactics with Ustad Khalifa, for him to intervene as a moderator when two or more Kristians lay siege to you! Crowd Control! Na hapa, Ma Pepo WACHAFU washa kuwa WaKristo: Mark 3:11 ► Whenever the IMPURE spirits saw him, they fell down before him and cried out, “You are the Son of God.”! Na huyu HILARY haeshi ku pigwa Viboko na Ustad Salim kule kwa Raily! Pepo ya 'yesu Mungu' HAIJAM toka! BarikAllah Feekum Team!
@Sal.0
Ай бұрын
Swadakta. Hawa WaKristo wana penda ku 'FAFANUA'! Yaani wako na tabia mbaya SANA, yaku BADILISHA Verse yeyote ya Biblia, na kuleta VERSION yake, kwa UWONGO TUPU! Kwa hivyo, wasi pewe wakati waku sema UWONGO, bila kutowa ANDIKO .
Mim8 ninamke wangu anao majini na nimkristo Ivo majini ha wakristo wanayo
@shabbymakapane
11 күн бұрын
🤣🤣🤣
Sawa Shehe.
😂 kuria atawadanganya mpaka mwingie box. Chunga sana
Hapo wakristo wa Wazungu UTATU mlishachemsha. Geuken mtumie common sense sio kufuata bila kuelewa.
Yes sie mugu
Wakristo wajisomee bibilia wao wenyewe mapasta wanawapoteza
Messages ya mwisho katika quluan ni kitabu cha jin na binadamu na hao huwatapeli mitahani kutumia maandiko
Pasta mshindani kweli aisee
Mnasoma Kama iliivoandikwa.wasikilizeni Africa to Europe church,aina 10 za usomaji wa BIBLIA.
Sorry wakristo wamepotea sana, GOD is one and jesus ni mtume wake.
Mbona pastor kaonekana amepanic 😅
Uyu mchungaji ni kizibo tu amna anachojua anawapoteza wafuasi wake apo anakata ado mauno elimu hana
Pastors jamani na ubishi ndio maana wanapoteza watu wa mungu
Pastor anawachanganya watu wasielewe maandiko.
MashaAllah kwani kipi hapo mwakristo wanabisha?
Kwa nn msiongee kwa Lugha inayoeleweka.
Wanosema Yesu mungu kwenye bblia ni maneno yakusemewa lakini mwenyewe sehemu zote kajiita kuwa yeye ni binadamu
@bassambashirou4604
Ай бұрын
Wanamlazimisha japo kakataa yaani ni mwendo wa kijitoa ufahamu tu
Kwahio yesu aliingia kwenye mwili akue mungu, kisha akufe amuache shetani aendelee kupotosha watu wamuasi yeye mungu,,tena huyo mungu auwawe na wanadamu wake alowaumba mwenyewe
@FRANKJOSEPH-ke8hs
Ай бұрын
Unaokufa ni mwili lkn roho Iko hai sawasawa na kufa kwa yesu aliuacha mwili lkn yy kwasababu ni Mungu na Mungu ni Roho aliendelea kuwa hai na kuendelea na kazi yake ktk Roho na hata sasa yuko hai ktk Roho ndio maana huwezi kumuona Leo ktk mwili
@shafiismaily9223
Ай бұрын
Hata kwa binadamu kinachokufa ni kiwiliwili, roho huenda kwa mungu!!@@FRANKJOSEPH-ke8hs
Masha Allah 💖💖💖
Hawa hawajui kuwa majini wameubwa kwa ulimi wa moto na MALAIKA wameumbwa kwa NURU ndio maana wanachanganya maneno
@MajiiIfande
Ай бұрын
Toa andiko kutoka vitabuni
@faudhiasaidi3669
Ай бұрын
@@MajiiIfande وَخَلَقَ الْجَانَّ مِن مَّارِجٍ مِّن نَّارٍ [ ARRAH'MAN - 15 ] Na akawaumba majini kwa ulimi wa moto. QUR'AN TUKUFU