"USIKU WA MANANE" ASILIMU KWENYE DAWAH MITAANI JACARANDA
@StraightPathDawah ni dawah popote wakati wowote. Tafadhali subscribe.
Жүктеу.....
Пікірлер: 81
@raniahmamu25864 күн бұрын
I am praying to ALLAH One day insha'Allah this channel straightpath TV to reach one million insha'Allah.... love for the sake of ALLAH.... beblessed All ❤❤❤❤
@MohammediSemndili4 күн бұрын
Mashaa allh mung awazdishie baracka nilikuwa niki subiri sana hii from tz
@Aisha-jw7jf4 күн бұрын
Masha Allah tabarakallah Allah awajaalie kila la kheri dunian na kexho Akhera na umri mrefu wenye afya njema kw hakika mnafanya jambo la kheri ata mm ALLAH anifanyie wepesi kichwa changu niweze kutangaza dini ya haki
@mutomubaya3 күн бұрын
Pongezi sana Ahmed Darwesh. Allah ndiye pekee Mola wa Ulimwengu. Tukimuabudu hakika atatujibu Dua. Sasa jiunge na Madrasa inayofundisha TAWHID na FIQH na Kusoma Qur'an nk. Uweke bidii masomoni utaona matunda ya haraka urashangaa
@zahraabdul96524 күн бұрын
Mungu awaongoze washikamane na Deen Hadi mwisho wasichukulie mchezo kuchukua shahada sio jambo la mchezo waumini tufanyie wenzuti wanao pata ufahamu kwa Dua ili tumalize salama inshallah 🤲🙏❤❤
@jumayusuf1694
2 күн бұрын
aisha ntafute
@josemu8703 күн бұрын
Allah ampe afya amulide amuongoze dawa iendelee Allahamdhullah
@salimjuma98373 күн бұрын
Mashallah Sheikh Ramadhan Kaguo kazi mzuri sana
@mansoursaid814 сағат бұрын
Maashaallah karibu kwenye dini ya kweli na haki nduguangu
@adanabdi52493 күн бұрын
Masha Allah.
@alishamlan74343 күн бұрын
Usiku wa manage umechagua dining ya hali Na ALLAH atakuzidishia kila kheri pamoja na straight path daawa
@HabibalKalbi3 күн бұрын
Mashallah tabaraqallah walahi kazi mnayofanya ni ngumu sana yataka hikma busara subra ya hali ya juu,hii ndio talim bora,zaidi
@raniahmamu25864 күн бұрын
Masha'Allah ❤❤❤❤
@user-ie7yt9db6f3 күн бұрын
Mashallah amekuwa na furah inshallah amani Amani inshallah
Hata maana ya takbir hujui sijui nikufundishe vipi. Mbona mnaongea juu ya Yesu wa Dunia but ikifika Yesu mwana wa Mungu mnakosa hoja ? Kwanza Quran hathibitishi vizuri vile aliumba dunia na mbingu. Na siri zenu itabidi tuanike wazi wote wajue ya kwamba Allah wenu ni Saitan mwenyewe a niko na haya kwa Quran kujitetea. Hata Quran ni aliyekuwa adui wa Malika jibreel [Gabriel] ndiye aliyeteremsha hicho kitabu chenu cha kupinga mafundisho ya Yesu.
@user-ie7yt9db6f
3 күн бұрын
@@PeterObiri-wj1iziyo ni laana moyo wko uko Giza na chuki ya dini ya haki na Allah alichagua na inazidi kusambaa kwa ajili ya Allah ww endelea kuweka Giza moyoni mwko na takbir hajakusemea ww chuki ya NN bro huja katazwa kusemezana na kuita wtu kwenye dini yko sijui nani akakuchagulia maana Mwenyezi Mungu anajia dini yke ni Moja tu
@abdallasuleiman8785
2 күн бұрын
@@user-ie7yt9db6fSio makosa yake ni mafunzo wanayopewa kuchukia bila hata ya kufikiria.
@fardoshnassor78474 күн бұрын
Masha Allah 💖💖💖
@Natashaamina-u7w3 күн бұрын
Mashallah mubalikiwe
@noot-oe2mwКүн бұрын
Mashaallah Mashaallah 🙏🙏
@seifserenge33404 күн бұрын
Vipi wakristo mnasikiliza vizuri ayo mahojiano? Mnawasikiliza hao wakristo wenzenu wanavohangaika!! Yaani wanashangaza sana. Ivi hawa wameenda shule!! Mashehe wetu mna kazi kubwa. Izo nyoyo ni ngumu. Na huyo blue jacket anababaisha huku na kule kupoteza wakati wengine wasifaidike, achaneni naye
@shamimnorah91562 күн бұрын
Masha Allah Allah bless you ❤
@AlIrshaad-jКүн бұрын
Allah awahifadhi nyoote
@abdalaauame38633 күн бұрын
Mashalla ustaz ramazane kuria 🤲🤲📿🌹
@user-to4mj3di9mКүн бұрын
ALLAHU AKBAR ❤
@halinishibakari54023 күн бұрын
MashaAllah Allah akufungulie bro welcome
@user-ng1po1dh4z2 күн бұрын
Pole Sheikh, hayo majamaa(Makafiri) huwa ni mabisha tu, kwa kila jambo, ukimuona wa hivyo, ujue hataki kujifunza. Achana naye huyo.
@salamalsawaqi12063 күн бұрын
Hayafahamu wa naambiwa mwana wa malyam wanrudia mwana wa mungu astaghafilullah maskini unawaonea huruma maskini moto unawasubiri kumsingizia mungu na Hali yee ndo muumba wetu na dunia na aheraaa
@samxx4114 күн бұрын
Huyu jamaa blue jacket haeleweki hata kidogo ikisha anajihisi yupo sawa na hataki kuelewesha yupo kiubishi lakini pia haelewi.
@StraightPathDawah
4 күн бұрын
Tushamuelewa
@fatumamwalimu5765
4 күн бұрын
Na wenzake wanapiga makofi maskini
@namasakajuniorke3886
2 күн бұрын
@@fatumamwalimu5765wewe nitafute utakipata
@FatwimaZahrau2 күн бұрын
❤mashaLLAH
@fatumaali74703 күн бұрын
Masha allah❤❤
@azizashiundu57783 күн бұрын
TAkbir
@MariamAsudi3 күн бұрын
Ya Allah azidi kuwaongoza jacaranda ambassadors 🤲🤲🤲 bado Nuru okanga😂
@abdallasuleiman87852 күн бұрын
The guy with a blue jacket is not ready to learn.
@HassanKipyego-cs5ff3 күн бұрын
Aslm alkm.sheigh ramathan mimi naomba mngekua mnatafuta viti na meza .mkifanya mahojiano mwenye swali anakaa chini kama vile muhadhara.hapo vip
@mamprince36673 күн бұрын
Takbir
@user-ie7yt9db6f
3 күн бұрын
Allah Akbar ❤❤❤
@user-rk1cp5qs9d2 күн бұрын
🙏🙏🙏🤲❤️❤️
@AshrafBunu3 күн бұрын
MashaAllah
@hythamhashiem44583 күн бұрын
Huyo alio vaa blue ame tumwa kuvuruga muhadhara musimpe chance tena kupoteza wakati
@PeterObiri-wj1iz3 күн бұрын
Nimeudhika sana waislamu kudanganya wakristu juu lengo lao waslim. Hii Jacaranda one i will invite this guy Ramadhan. In the Bible God says Jesus is my son and also kuna mahali Yesu anakilri ya kwamba yeye ndiye masihi. Surely waislamu maswali yenu kwangu ni 15 tu na yakizidi ni 16 na nitakujibu cash. Again, wacha kusoma haya nusu nusu juu hata Ndacha pia nimerudia kumwambia c vizuri kukata kurani kabla tupate mkudhata halisi. Ramadhani uko na kitabu on launch saa hii please i want to know ni kipi kigeni umeandika ndapo mbali na huo uongo uneaebdelea kudanganya innocent people. Rafiki yangu please nyenyekea kwa ukweli wacha kubeba uislamu kujificha please. Fundisha ukweli vile mm pia niko na msinamo wa kukosoa Ndacha mahali
@mohammededy70863 күн бұрын
wapo kubishana ao wakiristo
@user-iz1er8vg7u3 күн бұрын
ALLAHU AKBAR
@bahsansheikh60423 күн бұрын
ALLAH AKBAR
@fredrickgitonga197216 сағат бұрын
Ngojea yesu kristo katika hukumu yake
@PeterObiri-wj1iz3 күн бұрын
Asante wakristu wenye nimeona mnasimamia ukweli. Swali langu, MBONA MUISLAMU HAONGELELEI YESU KWA ROHO KABLA YA KUZALIWA NA MARIAM ALIPOFANYIKA MWILI ????
@salimbilali51742 күн бұрын
Uyo ni pastor wa mchongo....😂😂😂😂anatwist maneno Hana points
Kama unadhani sielewi. Nataka unitafutie kieleweke
@davidjuma34402 күн бұрын
@ Ramadhan Kuria mbona katika mafundisho yenyu uwanjani sijawai kuona siku hata moja ukikubalia mkristo ashike Quran na kujisomea mwenyewe
@PeterObiri-wj1iz3 күн бұрын
Mnaslamisha walevi online surely kinyume na mtume wenu .......why ??
@kennedyodhiambo80493 күн бұрын
Hii dini inayodaiwa ni ya haki ina siri nyingi sana hadi mtu akitoka amkubali Yesu Kristo anatafutwa auliwe. Wakristo wanaslimu bila tisho na uwoga lakini muislamu kama Sheikh Ramadhan akiamua kumpokea Yesu Kristo itabidi ajifiche kwa sababu hawezi kuishi kwa amani. Nawaulizeni ndugu zangu hii ni dini ya haki ama ni secret society!!!
@rizikiali328
3 күн бұрын
Hakuna kulazimishana dini Qur'an inasema na a nae uwa mtu kwakuacha uislamu sio sawa
@user-hy5zd5rn6r3 күн бұрын
Ile siku atakapojua majini ni waislam atatoka mbio🏃
@Hussein-gx4qu
Күн бұрын
Kwani majini yakiwa waislam shida Iko wapi
@user-hy5zd5rn6r
Күн бұрын
@@Hussein-gx4qu kwani hujui majini ni mbaya?
@kennedyodhiambo80493 күн бұрын
usiku wa manane ajiunga na majini! Kweli Allah ni Al-Makir, Al-Muzil - mbona mueleze mtu atamke maneno hata hayaelewi sikiliza vile jamaa anatamka shahada
@hamzamohamed377
3 күн бұрын
Atajifunza tu
@kutailass6671
3 күн бұрын
Hawez kunyoosha kiarabu sababu toka azaliwe hajawah soma lugha ya kiarabu, lkn in sha Allah atajifunza sasa kwan majini umewaumba wewe? La hasha, majini ni viumbe nawe ni kiumbe afadhal kajiunga nao kuliko abaki na shetan ndan ya kanisa
@SalmanMughal-lq5lt
3 күн бұрын
Kabisa
@kassimngao2282
3 күн бұрын
Baki na chuki zako nddugu
@kennedyodhiambo8049
3 күн бұрын
@@kutailass6671 Quran 51:56 - Allah amewaumba wanadamu na majini wamuabudu. Kwetu sisi majini ni mashetani (Malaika waasi), watamuabudu aje Mungu!!!
Пікірлер: 81
I am praying to ALLAH One day insha'Allah this channel straightpath TV to reach one million insha'Allah.... love for the sake of ALLAH.... beblessed All ❤❤❤❤
Mashaa allh mung awazdishie baracka nilikuwa niki subiri sana hii from tz
Masha Allah tabarakallah Allah awajaalie kila la kheri dunian na kexho Akhera na umri mrefu wenye afya njema kw hakika mnafanya jambo la kheri ata mm ALLAH anifanyie wepesi kichwa changu niweze kutangaza dini ya haki
Pongezi sana Ahmed Darwesh. Allah ndiye pekee Mola wa Ulimwengu. Tukimuabudu hakika atatujibu Dua. Sasa jiunge na Madrasa inayofundisha TAWHID na FIQH na Kusoma Qur'an nk. Uweke bidii masomoni utaona matunda ya haraka urashangaa
Mungu awaongoze washikamane na Deen Hadi mwisho wasichukulie mchezo kuchukua shahada sio jambo la mchezo waumini tufanyie wenzuti wanao pata ufahamu kwa Dua ili tumalize salama inshallah 🤲🙏❤❤
@jumayusuf1694
2 күн бұрын
aisha ntafute
Allah ampe afya amulide amuongoze dawa iendelee Allahamdhullah
Mashallah Sheikh Ramadhan Kaguo kazi mzuri sana
Maashaallah karibu kwenye dini ya kweli na haki nduguangu
Masha Allah.
Usiku wa manage umechagua dining ya hali Na ALLAH atakuzidishia kila kheri pamoja na straight path daawa
Mashallah tabaraqallah walahi kazi mnayofanya ni ngumu sana yataka hikma busara subra ya hali ya juu,hii ndio talim bora,zaidi
Masha'Allah ❤❤❤❤
Mashallah amekuwa na furah inshallah amani Amani inshallah
Amin Aisha
Sheikh Ramadhan allha akupe umri na afya njema
@user-ie7yt9db6f
3 күн бұрын
Ameen Ameen ya Rabi Ameen
Hao wame tumwa kuvuruga muhadhara
Mashallah Mashallah Mashallah Mashallah Mashallah Mashallah Mashallah
Takbirr
@alishamlan7434
3 күн бұрын
❤
@PeterObiri-wj1iz
3 күн бұрын
Hata maana ya takbir hujui sijui nikufundishe vipi. Mbona mnaongea juu ya Yesu wa Dunia but ikifika Yesu mwana wa Mungu mnakosa hoja ? Kwanza Quran hathibitishi vizuri vile aliumba dunia na mbingu. Na siri zenu itabidi tuanike wazi wote wajue ya kwamba Allah wenu ni Saitan mwenyewe a niko na haya kwa Quran kujitetea. Hata Quran ni aliyekuwa adui wa Malika jibreel [Gabriel] ndiye aliyeteremsha hicho kitabu chenu cha kupinga mafundisho ya Yesu.
@user-ie7yt9db6f
3 күн бұрын
@@PeterObiri-wj1iziyo ni laana moyo wko uko Giza na chuki ya dini ya haki na Allah alichagua na inazidi kusambaa kwa ajili ya Allah ww endelea kuweka Giza moyoni mwko na takbir hajakusemea ww chuki ya NN bro huja katazwa kusemezana na kuita wtu kwenye dini yko sijui nani akakuchagulia maana Mwenyezi Mungu anajia dini yke ni Moja tu
@abdallasuleiman8785
2 күн бұрын
@@user-ie7yt9db6fSio makosa yake ni mafunzo wanayopewa kuchukia bila hata ya kufikiria.
Masha Allah 💖💖💖
Mashallah mubalikiwe
Mashaallah Mashaallah 🙏🙏
Vipi wakristo mnasikiliza vizuri ayo mahojiano? Mnawasikiliza hao wakristo wenzenu wanavohangaika!! Yaani wanashangaza sana. Ivi hawa wameenda shule!! Mashehe wetu mna kazi kubwa. Izo nyoyo ni ngumu. Na huyo blue jacket anababaisha huku na kule kupoteza wakati wengine wasifaidike, achaneni naye
Masha Allah Allah bless you ❤
Allah awahifadhi nyoote
Mashalla ustaz ramazane kuria 🤲🤲📿🌹
ALLAHU AKBAR ❤
MashaAllah Allah akufungulie bro welcome
Pole Sheikh, hayo majamaa(Makafiri) huwa ni mabisha tu, kwa kila jambo, ukimuona wa hivyo, ujue hataki kujifunza. Achana naye huyo.
Hayafahamu wa naambiwa mwana wa malyam wanrudia mwana wa mungu astaghafilullah maskini unawaonea huruma maskini moto unawasubiri kumsingizia mungu na Hali yee ndo muumba wetu na dunia na aheraaa
Huyu jamaa blue jacket haeleweki hata kidogo ikisha anajihisi yupo sawa na hataki kuelewesha yupo kiubishi lakini pia haelewi.
@StraightPathDawah
4 күн бұрын
Tushamuelewa
@fatumamwalimu5765
4 күн бұрын
Na wenzake wanapiga makofi maskini
@namasakajuniorke3886
2 күн бұрын
@@fatumamwalimu5765wewe nitafute utakipata
❤mashaLLAH
Masha allah❤❤
TAkbir
Ya Allah azidi kuwaongoza jacaranda ambassadors 🤲🤲🤲 bado Nuru okanga😂
The guy with a blue jacket is not ready to learn.
Aslm alkm.sheigh ramathan mimi naomba mngekua mnatafuta viti na meza .mkifanya mahojiano mwenye swali anakaa chini kama vile muhadhara.hapo vip
Takbir
@user-ie7yt9db6f
3 күн бұрын
Allah Akbar ❤❤❤
🙏🙏🙏🤲❤️❤️
MashaAllah
Huyo alio vaa blue ame tumwa kuvuruga muhadhara musimpe chance tena kupoteza wakati
Nimeudhika sana waislamu kudanganya wakristu juu lengo lao waslim. Hii Jacaranda one i will invite this guy Ramadhan. In the Bible God says Jesus is my son and also kuna mahali Yesu anakilri ya kwamba yeye ndiye masihi. Surely waislamu maswali yenu kwangu ni 15 tu na yakizidi ni 16 na nitakujibu cash. Again, wacha kusoma haya nusu nusu juu hata Ndacha pia nimerudia kumwambia c vizuri kukata kurani kabla tupate mkudhata halisi. Ramadhani uko na kitabu on launch saa hii please i want to know ni kipi kigeni umeandika ndapo mbali na huo uongo uneaebdelea kudanganya innocent people. Rafiki yangu please nyenyekea kwa ukweli wacha kubeba uislamu kujificha please. Fundisha ukweli vile mm pia niko na msinamo wa kukosoa Ndacha mahali
wapo kubishana ao wakiristo
ALLAHU AKBAR
ALLAH AKBAR
Ngojea yesu kristo katika hukumu yake
Asante wakristu wenye nimeona mnasimamia ukweli. Swali langu, MBONA MUISLAMU HAONGELELEI YESU KWA ROHO KABLA YA KUZALIWA NA MARIAM ALIPOFANYIKA MWILI ????
Uyo ni pastor wa mchongo....😂😂😂😂anatwist maneno Hana points
Mtoto.namzazi.tenaMama.mchamungu.anamjuwa.baba.wamtoto..na.Mtume.lssa...hanababa
#ramadhan iyo kaswida background nzuri kweli tupe link plz❤
Innalilah.huyu.jamaa.wabluu.anamambo.haelewi.kabisaZiro
@namasakajuniorke3886
2 күн бұрын
Kama unadhani sielewi. Nataka unitafutie kieleweke
@ Ramadhan Kuria mbona katika mafundisho yenyu uwanjani sijawai kuona siku hata moja ukikubalia mkristo ashike Quran na kujisomea mwenyewe
Mnaslamisha walevi online surely kinyume na mtume wenu .......why ??
Hii dini inayodaiwa ni ya haki ina siri nyingi sana hadi mtu akitoka amkubali Yesu Kristo anatafutwa auliwe. Wakristo wanaslimu bila tisho na uwoga lakini muislamu kama Sheikh Ramadhan akiamua kumpokea Yesu Kristo itabidi ajifiche kwa sababu hawezi kuishi kwa amani. Nawaulizeni ndugu zangu hii ni dini ya haki ama ni secret society!!!
@rizikiali328
3 күн бұрын
Hakuna kulazimishana dini Qur'an inasema na a nae uwa mtu kwakuacha uislamu sio sawa
Ile siku atakapojua majini ni waislam atatoka mbio🏃
@Hussein-gx4qu
Күн бұрын
Kwani majini yakiwa waislam shida Iko wapi
@user-hy5zd5rn6r
Күн бұрын
@@Hussein-gx4qu kwani hujui majini ni mbaya?
usiku wa manane ajiunga na majini! Kweli Allah ni Al-Makir, Al-Muzil - mbona mueleze mtu atamke maneno hata hayaelewi sikiliza vile jamaa anatamka shahada
@hamzamohamed377
3 күн бұрын
Atajifunza tu
@kutailass6671
3 күн бұрын
Hawez kunyoosha kiarabu sababu toka azaliwe hajawah soma lugha ya kiarabu, lkn in sha Allah atajifunza sasa kwan majini umewaumba wewe? La hasha, majini ni viumbe nawe ni kiumbe afadhal kajiunga nao kuliko abaki na shetan ndan ya kanisa
@SalmanMughal-lq5lt
3 күн бұрын
Kabisa
@kassimngao2282
3 күн бұрын
Baki na chuki zako nddugu
@kennedyodhiambo8049
3 күн бұрын
@@kutailass6671 Quran 51:56 - Allah amewaumba wanadamu na majini wamuabudu. Kwetu sisi majini ni mashetani (Malaika waasi), watamuabudu aje Mungu!!!