TULIYOYAPITIA KATIKA GEREZA LA KIFO MSUMBIJI TUKANUSURIKA KUNYONGWA KWAAJILI YA UISLAMU
LEO USTADHI SHAFII AMETUBARIKI NA MOJA YA HISTORIA NGUMU KWENYE MAISHA YAKE ALIYOPITIA ALIPOENDA KUFANYA MHADHARA KATIKA NCHI YA MSUMBIJI
Жүктеу.....
Пікірлер: 57
@IddyMbarak12 күн бұрын
Alla awafahamishe hao maqafili
@muznazahra45517 күн бұрын
Uchafu wote wameubandikiza UISLAM,JAMANI TUTAFUTENI ELIMU KWA WATU WENYE LENGO LA ALLAH WALA SIYO KWA MASLAHI YA MTU MWENYEWE....MAUSTADH WENYE ELIMU NA IKHLASWI...
@JosephMwamlima-j5i
4 күн бұрын
Asee hii simulizi inasikitisha sana
@immtm49304 күн бұрын
Allah awalipe kila la kheri duniani na akhera.. poleni sana walimu wetu .. bidhaa za M.Munhgu ni ghali sana,.. hakika bidhaa ya M.Mungu ni pepo! Bishara Njema!
@user-li2el5vb8w17 күн бұрын
Mash Allah' Shekh' SHAFII' ALLAH Akujaalie Afya naakupe mwisho mzuli ufe ukiwa umetoa shahada.
@SafiaOmar6 күн бұрын
Allah akujaalie mwisho mwema. Na akujaalie pepo ya Firdausi sheikh Shafi
@fahadfahmy
5 күн бұрын
amin
@muznazahra45517 күн бұрын
Umeengea vizuri sana Shekh wetu ,bikhusus ulovyoelezea jihadi ....Mashallah...Ahsantum....
@myself4128
11 күн бұрын
Akili yako haina akili
@OHAAOHAA5 күн бұрын
MaashaAllah ALLAH atakulipa kheri Mimi nataka namba za ustadhi shafi
@issarashid770717 күн бұрын
MaashaAllah Allah atupe mwisho mwema
@muznazahra45517 күн бұрын
NAKUOMBEA MWISHO MWEMA SHEKH WETU...
@innocentndikumana892817 күн бұрын
safi sana sheikh shafi usikatetama kupiganiya dini ya Allah ❤
@harshkirit6780
9 күн бұрын
@@innocentndikumana8928 Ameen
@muznazahra45517 күн бұрын
Umeamsha wengi na wengi wasiokua hata waislam wamezinduka....
@muznazahra45517 күн бұрын
Allah kuwanusuru..poleni sana Allah awape ajri ya yale yote mlosubiri....ni mtihani khaswa.😢
@jimjam-xg7rv17 күн бұрын
Maa Shaa ALLAH 💚
@user-bf3mm5wu1s9 күн бұрын
Polen sana ndugu zetu wa islamu
@abdululiza39217 күн бұрын
Assalamualaikum umeongea vizuri sana sheikh ila nawaomba wahadhiri msigombane
@SwahibuAthuman-yv2mn14 күн бұрын
Pole sana sheikhee
@sukumaganga261316 күн бұрын
Pole Sana kaka kwa mtihani
@saidimdoe524614 күн бұрын
Upo sawa shekhe
@user-nm2pr1xz6u10 күн бұрын
Pole sana Sheikh wetu
@mwanaidikellner76539 күн бұрын
Napenda masimulizi ya huyu Baba❤
@user-tz8zu2gt6u15 күн бұрын
Huku kwetu uisilamu nikuwa kwingi ndio kuingia peponi , aisee hii dini ni hatari maqlishababu
@muznazahra45517 күн бұрын
Wamechafua Dini na kuwadanganya wengi wasojua ,ahsantum kuna kitu wengi hawakijui ....jamani wafundishwe watu wajue huo siyo Uislamu ,maana hata kafiri hafai kuuawa ,...
@amoschacha288517 күн бұрын
Simuluzi Mimi nawafuatilia sana toka mbogo alivyoongea na Shafy , mbogo wakati anaongea kaongea vizur sana na yeye kasema alikuwa kiongoz na shafiy hapa anasema alikuwa kiongoz hebu mtafute Hamidu nae atueleze ukweli wake hapa naona kila mtu. Anavuta kwake
@SIMULIZIZONE
17 күн бұрын
@@amoschacha2885 sawa
@ahmedmpimbi9684
15 күн бұрын
@@amoschacha2885 kaka nafikiri wewe mwenyewe unaweza kuona mhadhiri na anaemsaidia kusoma nani ni rahisi kua kiongozi, mfano ktk debate nyingi utaona labda dr. Sule na Ndacha afu Hamidu anakua msomaji
@lucaswanyonyi40373 күн бұрын
Ila tu.s hekhe hujui.niko kenya
@allyway99917 күн бұрын
Allah akujaalie sana shekhe shafi
@muznazahra455
17 күн бұрын
Wanatuhumu sana watu na Mashekh wanaojua kuunganisha watu na uislam ,na MAGAIDI WA KWELI HAONEKANI NA HAWATAJWI ILA WANAWATUMIA WATU WENGINE WASIOJUA HATA NINI DINI ? NA NINI UBINADAMU....MLIKUA MWAWINDWA BILA KUJUA...KWA KTUMIA DOCUMENTS ALLAH AWAHIFADHI MUBALIGHIN WA KWELI NA WALA SIO ....ALLAH NDIYE MWENYE KUJUA NA NDIYE MWENYE KUHIFADHI...
@muznazahra455
17 күн бұрын
Wanaojificha katika DINI YA UISLAM WANASABABISHA KUHATARISHA MAOSHA YA MAULAMAA WENGI NA KUUCHAFUA UISLAM...😢😢
@muznazahra45517 күн бұрын
Kiongozi mwenye busara ndiyo misk ya nafsi za watu....
@maestro961811 күн бұрын
Ila imam shafii😂😂dah kun mda lazima akuchekesheee 😢😢😢ila maashallah
@user-ip4ie7pt6i15 күн бұрын
Ule upande wa moenda kuna maeneo kuna migodi ndicho wanacho gombea na nyuma yake kuna mtu mweupe akiwemo na mportugues
@Pelegrinoemanuel4 күн бұрын
Kwahiyo kuuwa bila holela kunauhusiwa? Dini ya shetani hiii .Mungu anasema usiuwe halafu nyie eti muue yaan nyie wote ni finally jehanam
@edwinismail94018 күн бұрын
vita ya albadri mtume alifukia visima, vita ya mtaro mtume aliamrisha wayahudi wote wakiume wauawe wawe watoto au lah.
@armindodamiao320112 күн бұрын
Docta sulle alinshitua majini yake
@Pelegrinoemanuel4 күн бұрын
Nje mnasema hivi ndani mnasemq ukiuwa mkristo unaenda peponi
ulimchapa sule vikali...leo unakuja kuonyesha jinsi gani unamkubali...na kumbe alikichukulia kama mdogo wake katika daawa😊
@nubianqueen6700
17 күн бұрын
Mwenye dini ni Allah, kwa hiyo mtu yeyote anayekosea katika dini atakosolewa hata na ndugu yake, Hai maanishi watu wamekua maadui.
@AbasMabuli
16 күн бұрын
Tumia akili basi, Hapo anaelezea story na mchakato ulivyokua, We unaleta ushabiki maandazi apa, Kwahiyo Sulle alikosea aachwe kwa sababu dini ni mali yake au!
@user-hi8le2vb7z
16 күн бұрын
@@AbasMabuli imebidi nicheke 😄😄🙃
@ramahassan5515
15 күн бұрын
Kunakitu hujaelewa kwakua alimuita mdogo wake akikosea lazima arekebishwe hata kama Kawa mkubwa
@maase202311 күн бұрын
Huyu jamaa fix sana
@mbalilax16216 күн бұрын
nice story....sema waislam ni makatili huo ndio ukweli.
@sultansallah8772
16 күн бұрын
Tatizo hujui maana ya neneo islam
@mbalilax162
15 күн бұрын
@@sultansallah8772 nimeenda kuangalia maana yake....nimegundua ata wewe unaweza kujilipua alafu useme ni "submission to the will of God"
@HanifaOman-oo4pl
4 күн бұрын
Uzima umakichwani kwahiyo siokosalako kusemahivyo polesana
@HanifaOman-oo4pl
4 күн бұрын
Uzima umakichwani kwahiyo siokosalako kusemahivyo polesana
@user1337517 күн бұрын
Kulipiza nako ni ushetani tu😮😮
@mashakamwinula3797
17 күн бұрын
Haayo nimaneno yako hatufuati mtu bali kitabu
@user13375
17 күн бұрын
@@mashakamwinula3797 msikilize shehk anavosema jihadi ni kulipiza kisasi🤔🤔🤔
@swafiirbulbul819
16 күн бұрын
Qur’an ni tofauti na Biblia.. Ninyi mnafundishwa "akupigae shavuot la kulia, mgeuzie na la kushoto".. (maumbile yanakataa) ... sisi sio punda. Sisi Waislamu, "Jino kwa Jino" ... 🎉 ..
@abdulnaseermrisho4342
14 күн бұрын
Dini yetu haitaki unyonge,ni jino kwa jino,kisu kwa kisu,upanga kwa upanga,yaani hakuna kukaa kizembe
Пікірлер: 57
Alla awafahamishe hao maqafili
Uchafu wote wameubandikiza UISLAM,JAMANI TUTAFUTENI ELIMU KWA WATU WENYE LENGO LA ALLAH WALA SIYO KWA MASLAHI YA MTU MWENYEWE....MAUSTADH WENYE ELIMU NA IKHLASWI...
@JosephMwamlima-j5i
4 күн бұрын
Asee hii simulizi inasikitisha sana
Allah awalipe kila la kheri duniani na akhera.. poleni sana walimu wetu .. bidhaa za M.Munhgu ni ghali sana,.. hakika bidhaa ya M.Mungu ni pepo! Bishara Njema!
Mash Allah' Shekh' SHAFII' ALLAH Akujaalie Afya naakupe mwisho mzuli ufe ukiwa umetoa shahada.
Allah akujaalie mwisho mwema. Na akujaalie pepo ya Firdausi sheikh Shafi
@fahadfahmy
5 күн бұрын
amin
Umeengea vizuri sana Shekh wetu ,bikhusus ulovyoelezea jihadi ....Mashallah...Ahsantum....
@myself4128
11 күн бұрын
Akili yako haina akili
MaashaAllah ALLAH atakulipa kheri Mimi nataka namba za ustadhi shafi
MaashaAllah Allah atupe mwisho mwema
NAKUOMBEA MWISHO MWEMA SHEKH WETU...
safi sana sheikh shafi usikatetama kupiganiya dini ya Allah ❤
@harshkirit6780
9 күн бұрын
@@innocentndikumana8928 Ameen
Umeamsha wengi na wengi wasiokua hata waislam wamezinduka....
Allah kuwanusuru..poleni sana Allah awape ajri ya yale yote mlosubiri....ni mtihani khaswa.😢
Maa Shaa ALLAH 💚
Polen sana ndugu zetu wa islamu
Assalamualaikum umeongea vizuri sana sheikh ila nawaomba wahadhiri msigombane
Pole sana sheikhee
Pole Sana kaka kwa mtihani
Upo sawa shekhe
Pole sana Sheikh wetu
Napenda masimulizi ya huyu Baba❤
Huku kwetu uisilamu nikuwa kwingi ndio kuingia peponi , aisee hii dini ni hatari maqlishababu
Wamechafua Dini na kuwadanganya wengi wasojua ,ahsantum kuna kitu wengi hawakijui ....jamani wafundishwe watu wajue huo siyo Uislamu ,maana hata kafiri hafai kuuawa ,...
Simuluzi Mimi nawafuatilia sana toka mbogo alivyoongea na Shafy , mbogo wakati anaongea kaongea vizur sana na yeye kasema alikuwa kiongoz na shafiy hapa anasema alikuwa kiongoz hebu mtafute Hamidu nae atueleze ukweli wake hapa naona kila mtu. Anavuta kwake
@SIMULIZIZONE
17 күн бұрын
@@amoschacha2885 sawa
@ahmedmpimbi9684
15 күн бұрын
@@amoschacha2885 kaka nafikiri wewe mwenyewe unaweza kuona mhadhiri na anaemsaidia kusoma nani ni rahisi kua kiongozi, mfano ktk debate nyingi utaona labda dr. Sule na Ndacha afu Hamidu anakua msomaji
Ila tu.s hekhe hujui.niko kenya
Allah akujaalie sana shekhe shafi
@muznazahra455
17 күн бұрын
Wanatuhumu sana watu na Mashekh wanaojua kuunganisha watu na uislam ,na MAGAIDI WA KWELI HAONEKANI NA HAWATAJWI ILA WANAWATUMIA WATU WENGINE WASIOJUA HATA NINI DINI ? NA NINI UBINADAMU....MLIKUA MWAWINDWA BILA KUJUA...KWA KTUMIA DOCUMENTS ALLAH AWAHIFADHI MUBALIGHIN WA KWELI NA WALA SIO ....ALLAH NDIYE MWENYE KUJUA NA NDIYE MWENYE KUHIFADHI...
@muznazahra455
17 күн бұрын
Wanaojificha katika DINI YA UISLAM WANASABABISHA KUHATARISHA MAOSHA YA MAULAMAA WENGI NA KUUCHAFUA UISLAM...😢😢
Kiongozi mwenye busara ndiyo misk ya nafsi za watu....
Ila imam shafii😂😂dah kun mda lazima akuchekesheee 😢😢😢ila maashallah
Ule upande wa moenda kuna maeneo kuna migodi ndicho wanacho gombea na nyuma yake kuna mtu mweupe akiwemo na mportugues
Kwahiyo kuuwa bila holela kunauhusiwa? Dini ya shetani hiii .Mungu anasema usiuwe halafu nyie eti muue yaan nyie wote ni finally jehanam
vita ya albadri mtume alifukia visima, vita ya mtaro mtume aliamrisha wayahudi wote wakiume wauawe wawe watoto au lah.
Docta sulle alinshitua majini yake
Nje mnasema hivi ndani mnasemq ukiuwa mkristo unaenda peponi
@HanifaOman-oo4pl
4 күн бұрын
@@Pelegrinoemanuelww mjinga nanikasema ukiuwa mkiristo unaenda peponi wwmnafki sana ucha ubwege waislam hatupohivyo hatufanyihivyo
ulimchapa sule vikali...leo unakuja kuonyesha jinsi gani unamkubali...na kumbe alikichukulia kama mdogo wake katika daawa😊
@nubianqueen6700
17 күн бұрын
Mwenye dini ni Allah, kwa hiyo mtu yeyote anayekosea katika dini atakosolewa hata na ndugu yake, Hai maanishi watu wamekua maadui.
@AbasMabuli
16 күн бұрын
Tumia akili basi, Hapo anaelezea story na mchakato ulivyokua, We unaleta ushabiki maandazi apa, Kwahiyo Sulle alikosea aachwe kwa sababu dini ni mali yake au!
@user-hi8le2vb7z
16 күн бұрын
@@AbasMabuli imebidi nicheke 😄😄🙃
@ramahassan5515
15 күн бұрын
Kunakitu hujaelewa kwakua alimuita mdogo wake akikosea lazima arekebishwe hata kama Kawa mkubwa
Huyu jamaa fix sana
nice story....sema waislam ni makatili huo ndio ukweli.
@sultansallah8772
16 күн бұрын
Tatizo hujui maana ya neneo islam
@mbalilax162
15 күн бұрын
@@sultansallah8772 nimeenda kuangalia maana yake....nimegundua ata wewe unaweza kujilipua alafu useme ni "submission to the will of God"
@HanifaOman-oo4pl
4 күн бұрын
Uzima umakichwani kwahiyo siokosalako kusemahivyo polesana
@HanifaOman-oo4pl
4 күн бұрын
Uzima umakichwani kwahiyo siokosalako kusemahivyo polesana
Kulipiza nako ni ushetani tu😮😮
@mashakamwinula3797
17 күн бұрын
Haayo nimaneno yako hatufuati mtu bali kitabu
@user13375
17 күн бұрын
@@mashakamwinula3797 msikilize shehk anavosema jihadi ni kulipiza kisasi🤔🤔🤔
@swafiirbulbul819
16 күн бұрын
Qur’an ni tofauti na Biblia.. Ninyi mnafundishwa "akupigae shavuot la kulia, mgeuzie na la kushoto".. (maumbile yanakataa) ... sisi sio punda. Sisi Waislamu, "Jino kwa Jino" ... 🎉 ..
@abdulnaseermrisho4342
14 күн бұрын
Dini yetu haitaki unyonge,ni jino kwa jino,kisu kwa kisu,upanga kwa upanga,yaani hakuna kukaa kizembe