MUHADHARA WA MPEKETONI NO 1

Please consider subscribing to our channel. ‪@StraightPathDawah‬

Пікірлер: 32

  • @modyismael3653
    @modyismael3653Ай бұрын

    MASHAALLAH MWENYEZI MUNGU ATAZIDI KUWALIPA KWA KILA JUHUDI MUNAYOFANYA KUWALETA WATU WAJIUNGE NA UISLAMU.PONGEZI SANA.

  • @kennodhiambo

    @kennodhiambo

    Ай бұрын

    upotovu mtupu

  • @rizikiali328
    @rizikiali328Ай бұрын

    Mabruk mashekh wetu Allah atawalipa bila hesabu

  • @habibasalim3092
    @habibasalim3092Ай бұрын

    MaashaAllah hata wakristo wa Jordan Palastine Jerusalem wayahudi wasema shalom Alaykum, na waarabu wakristo wanasema assalam alaikum

  • @abdiidaawah-yv9bg
    @abdiidaawah-yv9bgАй бұрын

    Daawah iendelee mpaka kieleweke

  • @user-rc7oi2hp8l
    @user-rc7oi2hp8lАй бұрын

    Ma sha Allah tabaraka Rahman

  • @josemu870
    @josemu870Ай бұрын

    Barikiweni sana sana

  • @rizikiali328
    @rizikiali328Ай бұрын

    Astaghfirullah Allah Akbar wallillahi hamdu

  • @zainabhussain4114
    @zainabhussain4114Ай бұрын

    MashaaAllah ❤

  • @salmaminja7714
    @salmaminja7714Ай бұрын

    Assalam Alaykum uctadh Ramadhan na wenzako. Kazi mnayoifanya ni kubwa mnoo na inahitaji uvumilivu snaa na subra. Allah awahifadh awajalie afya nzr na wepec ktk kuitangaza dini yke tukufu hakika ni ngumu mnoo. Namuomba Allahu Swt awajalie mema duniani na kesho Akhera. Allahu Mus' taan.

  • @abdiabdullahi2937
    @abdiabdullahi2937Ай бұрын

    Mashaallah

  • @bahsansheikh6042
    @bahsansheikh6042Ай бұрын

    Sheikh Ramadhan Assalaam Aleikum. Sikufurahi hamujafika Lamu lakini anyway munafanya kazi kubwa sanaa. Mungu Awahifadhi.

  • @Fumokale

    @Fumokale

    Ай бұрын

    Lamu ni mji wa waislamu wingi waislamu wamejaa...hapo patakikana madarsa ya kukataza maasi...afuan ndugu

  • @fahimabeid6953
    @fahimabeid6953Ай бұрын

    Asalam aleikum warah mathu lahi wabara kathuu. Masha Allah kazi nzuri

  • @user-fc6uf6be5u
    @user-fc6uf6be5uАй бұрын

    Mashallah mbarikiwe xna Neema narehma ya mwenyezi Mungu izidi kuwatawala amiin ✋

  • @malikdodo5190
    @malikdodo5190Ай бұрын

    Walaikum salaam warahmatu-llahi wabarakatuh

  • @salimmohamud5390
    @salimmohamud5390Ай бұрын

    Watu wasilimu kwa wingi

  • @user-yt9lb5zd5d
    @user-yt9lb5zd5dАй бұрын

    Masha'Allah kwa kazi murwa

  • @user-dy4qf7uj2x
    @user-dy4qf7uj2xАй бұрын

    Mashaallah kaka zetu Allah awafanyie wepec kila palipo na uzito

  • @user-ie7yt9db6f
    @user-ie7yt9db6fАй бұрын

    Assalamualaikum sheikh ramadhn Niko na swali naomba nikupigie ni privet inshallah

  • @martymcfly9232
    @martymcfly9232Ай бұрын

    Mashallah lugha ya kikuyu inapendeza

  • @user-fh7wu8vx1y
    @user-fh7wu8vx1yАй бұрын

    ALLAH awatiemyo

  • @MohamedMeja
    @MohamedMejaАй бұрын

    Mashallah mungu amuhifadhi

  • @AshrafBunu
    @AshrafBunuАй бұрын

    MashaAllah

  • @ibrahimmaalim5888
    @ibrahimmaalim5888Ай бұрын

    Masha Allah

  • @AbdirahmangolloHalake
    @AbdirahmangolloHalakeАй бұрын

    MASHAALLAH

  • @mohagurey2214
    @mohagurey2214Ай бұрын

    Naomba contact ya huyo mama nikasalamie ustadh

  • @kennodhiambo
    @kennodhiamboАй бұрын

    Huyu mama na miaka aliyonayo hivi sasa itabidi ajifunze kiarabu ndipo aweze kumwabudu Mungu! Jina amechagua lenye halipo katika kitambulisho na vyeti vyake - huyu ni kupotea amepotea. Mungu anayeelewa lugha moja tu ni mungu gani?

  • @kennodhiambo

    @kennodhiambo

    Ай бұрын

    Quran imeandikwa katika nafsi ya 3 maana yake ni simulizi. Ikiwa ni Mungu kama unavyodai ingeandikwa katika nafsi ya kwanza. Aal-e-Imran 3:19 Hakika Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na hawakukhitalifiana walio pewa Kitabu ila baada ya kuwajia ilimu - kwa sababu ya chuki baina yao. Na anayezikataa Aya za Mwenyezi Mungu, basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu. Aal-e-Imran 3:85 Na anayetaka dini isiyokuwa Uislamu haitakubaliwa kwake, na yeye Akhera atakuwa miongoni mwa waliokhasirika. An-Nisaa 4:171 Enyi Watu wa Kitabu msipitie mipaka katika Dini yenu, wala msiseme juu ya Mwenyezi Mungu isipokuwa Haki. Masihi Isa bin Maryamu hakuwa ila ni Mtume wa Mwenyezi Mungu na neno Lake alilolielekeza kwa Maryamu na roho [iliyoumbwa kwa amri] kutoka Kwake. Basi mwaminini Mwenyezi Mungu na Mitume wake. Wala usiseme, "Watatu"; acha - ni bora kwako. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mungu Mmoja tu. Ametakasika na kuwa na mwana. Ni vyake vilivyomo mbinguni na vilivyomo katika ardhi. Na Mwenyezi Mungu anatosha kuwa Mlinzi wa mambo. Al-Ahzab 33:56 Hakika Mwenyezi Mungu humsalia Mtume na Malaika wake. Enyi mlioamini, muombeni [Mwenyezi Mungu amfikishie rehema] na muombeni [Mwenyezi Mungu amfikishie rehema]. NB: Mwenyezi Mungu anasema Dini mbele ya Mwenyezi Mungu!!! Mungu anathibitisha dini??? Mungu anasema “msiseme watatu” inapomaanisha kwamba Wakristo wanaamini katika miungu “tatu”? Mungu hawezi kuwa anazungumza katika Quran. Ni bora ujifunze kuelewa ni nani anayezungumza ndani yake.

  • @kennodhiambo
    @kennodhiamboАй бұрын

    Eti mungu ndiye anayeongea katika Quran??? Danganya toto jinga...

  • @user-qw8ht2hq9x

    @user-qw8ht2hq9x

    Ай бұрын

    Wafaa mawaidha ww