Please consider subscribing to our channel. @StraightPathDawah
Жүктеу.....
Пікірлер: 32
@modyismael3653Ай бұрын
MASHAALLAH MWENYEZI MUNGU ATAZIDI KUWALIPA KWA KILA JUHUDI MUNAYOFANYA KUWALETA WATU WAJIUNGE NA UISLAMU.PONGEZI SANA.
@kennodhiambo
Ай бұрын
upotovu mtupu
@rizikiali328Ай бұрын
Mabruk mashekh wetu Allah atawalipa bila hesabu
@habibasalim3092Ай бұрын
MaashaAllah hata wakristo wa Jordan Palastine Jerusalem wayahudi wasema shalom Alaykum, na waarabu wakristo wanasema assalam alaikum
@abdiidaawah-yv9bgАй бұрын
Daawah iendelee mpaka kieleweke
@user-rc7oi2hp8lАй бұрын
Ma sha Allah tabaraka Rahman
@josemu870Ай бұрын
Barikiweni sana sana
@rizikiali328Ай бұрын
Astaghfirullah Allah Akbar wallillahi hamdu
@zainabhussain4114Ай бұрын
MashaaAllah ❤
@salmaminja7714Ай бұрын
Assalam Alaykum uctadh Ramadhan na wenzako. Kazi mnayoifanya ni kubwa mnoo na inahitaji uvumilivu snaa na subra. Allah awahifadh awajalie afya nzr na wepec ktk kuitangaza dini yke tukufu hakika ni ngumu mnoo. Namuomba Allahu Swt awajalie mema duniani na kesho Akhera. Allahu Mus' taan.
@abdiabdullahi2937Ай бұрын
Mashaallah
@bahsansheikh6042Ай бұрын
Sheikh Ramadhan Assalaam Aleikum. Sikufurahi hamujafika Lamu lakini anyway munafanya kazi kubwa sanaa. Mungu Awahifadhi.
@Fumokale
Ай бұрын
Lamu ni mji wa waislamu wingi waislamu wamejaa...hapo patakikana madarsa ya kukataza maasi...afuan ndugu
@fahimabeid6953Ай бұрын
Asalam aleikum warah mathu lahi wabara kathuu. Masha Allah kazi nzuri
@user-fc6uf6be5uАй бұрын
Mashallah mbarikiwe xna Neema narehma ya mwenyezi Mungu izidi kuwatawala amiin ✋
@malikdodo5190Ай бұрын
Walaikum salaam warahmatu-llahi wabarakatuh
@salimmohamud5390Ай бұрын
Watu wasilimu kwa wingi
@user-yt9lb5zd5dАй бұрын
Masha'Allah kwa kazi murwa
@user-dy4qf7uj2xАй бұрын
Mashaallah kaka zetu Allah awafanyie wepec kila palipo na uzito
@user-ie7yt9db6fАй бұрын
Assalamualaikum sheikh ramadhn Niko na swali naomba nikupigie ni privet inshallah
@martymcfly9232Ай бұрын
Mashallah lugha ya kikuyu inapendeza
@user-fh7wu8vx1yАй бұрын
ALLAH awatiemyo
@MohamedMejaАй бұрын
Mashallah mungu amuhifadhi
@AshrafBunuАй бұрын
MashaAllah
@ibrahimmaalim5888Ай бұрын
Masha Allah
@AbdirahmangolloHalakeАй бұрын
MASHAALLAH
@mohagurey2214Ай бұрын
Naomba contact ya huyo mama nikasalamie ustadh
@kennodhiamboАй бұрын
Huyu mama na miaka aliyonayo hivi sasa itabidi ajifunze kiarabu ndipo aweze kumwabudu Mungu! Jina amechagua lenye halipo katika kitambulisho na vyeti vyake - huyu ni kupotea amepotea. Mungu anayeelewa lugha moja tu ni mungu gani?
@kennodhiambo
Ай бұрын
Quran imeandikwa katika nafsi ya 3 maana yake ni simulizi. Ikiwa ni Mungu kama unavyodai ingeandikwa katika nafsi ya kwanza. Aal-e-Imran 3:19 Hakika Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na hawakukhitalifiana walio pewa Kitabu ila baada ya kuwajia ilimu - kwa sababu ya chuki baina yao. Na anayezikataa Aya za Mwenyezi Mungu, basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu. Aal-e-Imran 3:85 Na anayetaka dini isiyokuwa Uislamu haitakubaliwa kwake, na yeye Akhera atakuwa miongoni mwa waliokhasirika. An-Nisaa 4:171 Enyi Watu wa Kitabu msipitie mipaka katika Dini yenu, wala msiseme juu ya Mwenyezi Mungu isipokuwa Haki. Masihi Isa bin Maryamu hakuwa ila ni Mtume wa Mwenyezi Mungu na neno Lake alilolielekeza kwa Maryamu na roho [iliyoumbwa kwa amri] kutoka Kwake. Basi mwaminini Mwenyezi Mungu na Mitume wake. Wala usiseme, "Watatu"; acha - ni bora kwako. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mungu Mmoja tu. Ametakasika na kuwa na mwana. Ni vyake vilivyomo mbinguni na vilivyomo katika ardhi. Na Mwenyezi Mungu anatosha kuwa Mlinzi wa mambo. Al-Ahzab 33:56 Hakika Mwenyezi Mungu humsalia Mtume na Malaika wake. Enyi mlioamini, muombeni [Mwenyezi Mungu amfikishie rehema] na muombeni [Mwenyezi Mungu amfikishie rehema]. NB: Mwenyezi Mungu anasema Dini mbele ya Mwenyezi Mungu!!! Mungu anathibitisha dini??? Mungu anasema “msiseme watatu” inapomaanisha kwamba Wakristo wanaamini katika miungu “tatu”? Mungu hawezi kuwa anazungumza katika Quran. Ni bora ujifunze kuelewa ni nani anayezungumza ndani yake.
@kennodhiamboАй бұрын
Eti mungu ndiye anayeongea katika Quran??? Danganya toto jinga...
Пікірлер: 32
MASHAALLAH MWENYEZI MUNGU ATAZIDI KUWALIPA KWA KILA JUHUDI MUNAYOFANYA KUWALETA WATU WAJIUNGE NA UISLAMU.PONGEZI SANA.
@kennodhiambo
Ай бұрын
upotovu mtupu
Mabruk mashekh wetu Allah atawalipa bila hesabu
MaashaAllah hata wakristo wa Jordan Palastine Jerusalem wayahudi wasema shalom Alaykum, na waarabu wakristo wanasema assalam alaikum
Daawah iendelee mpaka kieleweke
Ma sha Allah tabaraka Rahman
Barikiweni sana sana
Astaghfirullah Allah Akbar wallillahi hamdu
MashaaAllah ❤
Assalam Alaykum uctadh Ramadhan na wenzako. Kazi mnayoifanya ni kubwa mnoo na inahitaji uvumilivu snaa na subra. Allah awahifadh awajalie afya nzr na wepec ktk kuitangaza dini yke tukufu hakika ni ngumu mnoo. Namuomba Allahu Swt awajalie mema duniani na kesho Akhera. Allahu Mus' taan.
Mashaallah
Sheikh Ramadhan Assalaam Aleikum. Sikufurahi hamujafika Lamu lakini anyway munafanya kazi kubwa sanaa. Mungu Awahifadhi.
@Fumokale
Ай бұрын
Lamu ni mji wa waislamu wingi waislamu wamejaa...hapo patakikana madarsa ya kukataza maasi...afuan ndugu
Asalam aleikum warah mathu lahi wabara kathuu. Masha Allah kazi nzuri
Mashallah mbarikiwe xna Neema narehma ya mwenyezi Mungu izidi kuwatawala amiin ✋
Walaikum salaam warahmatu-llahi wabarakatuh
Watu wasilimu kwa wingi
Masha'Allah kwa kazi murwa
Mashaallah kaka zetu Allah awafanyie wepec kila palipo na uzito
Assalamualaikum sheikh ramadhn Niko na swali naomba nikupigie ni privet inshallah
Mashallah lugha ya kikuyu inapendeza
ALLAH awatiemyo
Mashallah mungu amuhifadhi
MashaAllah
Masha Allah
MASHAALLAH
Naomba contact ya huyo mama nikasalamie ustadh
Huyu mama na miaka aliyonayo hivi sasa itabidi ajifunze kiarabu ndipo aweze kumwabudu Mungu! Jina amechagua lenye halipo katika kitambulisho na vyeti vyake - huyu ni kupotea amepotea. Mungu anayeelewa lugha moja tu ni mungu gani?
@kennodhiambo
Ай бұрын
Quran imeandikwa katika nafsi ya 3 maana yake ni simulizi. Ikiwa ni Mungu kama unavyodai ingeandikwa katika nafsi ya kwanza. Aal-e-Imran 3:19 Hakika Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na hawakukhitalifiana walio pewa Kitabu ila baada ya kuwajia ilimu - kwa sababu ya chuki baina yao. Na anayezikataa Aya za Mwenyezi Mungu, basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu. Aal-e-Imran 3:85 Na anayetaka dini isiyokuwa Uislamu haitakubaliwa kwake, na yeye Akhera atakuwa miongoni mwa waliokhasirika. An-Nisaa 4:171 Enyi Watu wa Kitabu msipitie mipaka katika Dini yenu, wala msiseme juu ya Mwenyezi Mungu isipokuwa Haki. Masihi Isa bin Maryamu hakuwa ila ni Mtume wa Mwenyezi Mungu na neno Lake alilolielekeza kwa Maryamu na roho [iliyoumbwa kwa amri] kutoka Kwake. Basi mwaminini Mwenyezi Mungu na Mitume wake. Wala usiseme, "Watatu"; acha - ni bora kwako. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mungu Mmoja tu. Ametakasika na kuwa na mwana. Ni vyake vilivyomo mbinguni na vilivyomo katika ardhi. Na Mwenyezi Mungu anatosha kuwa Mlinzi wa mambo. Al-Ahzab 33:56 Hakika Mwenyezi Mungu humsalia Mtume na Malaika wake. Enyi mlioamini, muombeni [Mwenyezi Mungu amfikishie rehema] na muombeni [Mwenyezi Mungu amfikishie rehema]. NB: Mwenyezi Mungu anasema Dini mbele ya Mwenyezi Mungu!!! Mungu anathibitisha dini??? Mungu anasema “msiseme watatu” inapomaanisha kwamba Wakristo wanaamini katika miungu “tatu”? Mungu hawezi kuwa anazungumza katika Quran. Ni bora ujifunze kuelewa ni nani anayezungumza ndani yake.
Eti mungu ndiye anayeongea katika Quran??? Danganya toto jinga...
@user-qw8ht2hq9x
Ай бұрын
Wafaa mawaidha ww