DAWAH KWA ANAYEUZA KAMBA ZA KUJINYONGA

Please remember to subscribe to our channel for more videos. ‪@StraightPathDawah‬ tunafikisha ujumbe hadi mashinani.

Пікірлер: 90

  • @Sai.Mo69
    @Sai.Mo69Ай бұрын

    MaahaAllah Dawah ime fika Mpeketoni, stronghold ya WaBaraa kutoka Mlima Kenya. Jaribuni ku ongwa na watu wengi kul7ko ku spend time na hutu Mtu moja tuu wa Khamba! BarikAllah Team.

  • @fatmaali6780
    @fatmaali6780Ай бұрын

    SubhanaAllah sheikh mwakumbana na majanga ila mwenyezi mungu atawaongoza na kuwahifadhi Kwa himaya yke InshaAllah

  • @hamisikassimmwatamu7949
    @hamisikassimmwatamu7949Ай бұрын

    Mtiani shekh Alhamdulilah Allah awaongoze kwa njia ya haki inshaAllah

  • @salmaminja7714
    @salmaminja7714Ай бұрын

    Uctadh Ramadhan na timu yko Allah awape subra ktk uwalishaji wa da'awa kwn ni kazi ngumu mnoo kiwackisha daawa kwa watu ambao hawaijui dini ya khaq. Namuomba awalipe bighari hisabu.Dunian na kesho akhera Allahumma Amiiyn.

  • @softymoha5484
    @softymoha5484Ай бұрын

    huyo mwanamke ni ibilisi...wololo...na amevaa uchi...mtihani wallahi. Allah...awajaliye kher kwa kazi ngumu mnayoifanya,...na mitihani mnayoipitia...

  • @Noorein-ws8wk

    @Noorein-ws8wk

    Ай бұрын

    Tunamuomba Allah amhidi huyo dada

  • @salmaminja7714
    @salmaminja7714Ай бұрын

    Subhanallah hakika hii ndio akhir zaman imefika.Allah atujalie tuwe ktk misingi ambaye yy Allah Swt anaikubal Biidhinilah. Allahumma Amiiyn. Yaa Rabby.

  • @abdiidaawah-yv9bg
    @abdiidaawah-yv9bgАй бұрын

    Ustadh Ramadhan Kuria Nawapenda sana kwa ajili ya Allah

  • @MohamedMeja
    @MohamedMejaАй бұрын

    Mashallah mungu ndio mlipajii

  • @MohamedMeja
    @MohamedMejaАй бұрын

    Huyoo mwanamkea anarohoo mbayaa mwenyezi mungu atamuongozaa

  • @zanzibar-hf7vh
    @zanzibar-hf7vhАй бұрын

    Hii si ya kukosa, Allah atuongoze kwa Rehma zake

  • @faridyshaame4705
    @faridyshaame4705Ай бұрын

    Allah awatie nguvu mashekh zetu pamoja na changamoto mnazopitia

  • @hamzafishten9560
    @hamzafishten9560Ай бұрын

    Allah akulipe

  • @josemu870
    @josemu870Ай бұрын

    Marshal ah

  • @user-cw5sk7wd6g
    @user-cw5sk7wd6gАй бұрын

    Mashallah kazi nzuri Sheikh

  • @swahabahusein23
    @swahabahusein23Ай бұрын

    Assalam aleikum karibu mavuno musiende bila kufika mavuno tafadhali

  • @adanabdi5249
    @adanabdi5249Ай бұрын

    Fikeni Mandera siku moja insha Allah.

  • @mifunga3414
    @mifunga3414Ай бұрын

    Mashallah

  • @salmanassor8732
    @salmanassor8732Ай бұрын

    Mashallah ❤

  • @Alinuribrahim1
    @Alinuribrahim1Ай бұрын

    MashaAllah

  • @sarahronoh540
    @sarahronoh540Ай бұрын

    Waleykum Salaam Waramadhulillahi Wabarakatu

  • @azizashiundu5778
    @azizashiundu5778Ай бұрын

    Assalamu Alaykum

  • @malikdodo5190
    @malikdodo5190Ай бұрын

    Walaikum salaam warahmatu-llahi wabarakatuh

  • @Ismaelnoton2543
    @Ismaelnoton2543Ай бұрын

    Aslam alaykum wa rahmatullah wa barakatuh. Hakika hii ya leo ni kali

  • @muktarabdirahman172
    @muktarabdirahman172Ай бұрын

    Thanks you Ramadan ❤

  • @kihimbamushyaibrahim7284
    @kihimbamushyaibrahim7284Ай бұрын

    Subhaana llahu wallahi wamama wabaya toka zama zamutume swalla llahu alaihi wasalam mufano muke wa abu lahabi akiwekea mutume wetu Muhammad miba nchiani huyu muke mukali anaweza mupoteza mume wake anamuzuwiya kuongoka shes not supportive she can led the husband to hell

  • @abuunayfatu8701
    @abuunayfatu8701Ай бұрын

    Karibuni na Tanzania

  • @Noorein-ws8wk
    @Noorein-ws8wkАй бұрын

    Sheikh Ramadhan ungemsomea maandiko kwenye biblia huyo dada kuhusu kuvaa nguo sio ya heshima

  • @StraightPathDawah

    @StraightPathDawah

    Ай бұрын

    Palichemka😅

  • @Shillingi
    @ShillingiАй бұрын

    Waaaaa hii ni kali

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995Ай бұрын

    Kijana anahekima mimi nisingeweza ningempa Bonge la kofi

  • @laclassic1336
    @laclassic1336Ай бұрын

    Huyo Dada 😅😅😅😅

  • @aminajumale6805
    @aminajumale6805Ай бұрын

    Ma Sha Allah may Allah make them to understand

  • @mariamsaidi1686
    @mariamsaidi1686Ай бұрын

    Hii ya leo kali

  • @SharrifCharo-mi1bn
    @SharrifCharo-mi1bnАй бұрын

    Asalam aleikum ustadh naomba mfike mpaka huku bamba

  • @kadhyanassor5046
    @kadhyanassor5046Ай бұрын

    Dada kachemka utadhani ibilisi alivyotolewa peponi ..😂😂

  • @Adm9464
    @Adm9464Ай бұрын

    Haki Ukristo matata

  • @KashavuMichel
    @KashavuMichelАй бұрын

    ⚡🌙

  • @AshrafBunu
    @AshrafBunuАй бұрын

    Kweli huyu mwanamke adhihirisha ubaya wao imagine Hawa watu wanafanya dawa county zote hawajawhi kuona vituko hivi but imagine mpeketoni avillage imezungukwa namiji ya waislam that lady aonesha ubaya na chuki juu ya waislam shame on you

  • @bahsansheikh6042

    @bahsansheikh6042

    Ай бұрын

    Hata Lamu pia wako hivo, wamejazwa chuki nyoyoni mwao, lakini watu wasilimu makundi kwa makundi ulimwengu mzima. ALHAMDULILLAH kwa neemah ya Uislam

  • @faridahalwaily85
    @faridahalwaily85Ай бұрын

    Subhannah Allaah asemayoooo yaani Auza hata kambaa ya kujinyongaa atiii niyeyee atajuwaaa mwenyewee vp wajuwa itamdhuruuh ummuuziyeeee?????

  • @user-ie7yt9db6f

    @user-ie7yt9db6f

    Ай бұрын

    Mungu amsamehe kwn uislanu ndio uongifu ila hawajui mungu amuongoze kwn adabu yke haijui muuza na mnunuaji akinunua akijinyonga wote mungu wasamehe

  • @rizikiali328
    @rizikiali328Ай бұрын

    Mtihani huu muislam anauza kamba watu wajinyonge

  • @molee2339
    @molee2339Ай бұрын

    Si hawa Watu wanao promote Khamba zakuji Nyonga, si wana weza ku naswa na POLICE? Mji wa WaPAGANI, la ANTIOCH, ni 950Km from Jerusalem. WaPAGANI kama LUKE na WaPagani wenzawake walio TUNGA stories za GOSPEL, kule ANTIOCH, Upagani WAO, haziku FIKA Jerusalem na Kwa WA YAHUDI, ambao ni 950 km away! TabarakAllah Team.

  • @justintabu7291
    @justintabu7291Ай бұрын

    Huyo mwanamke Mungu amubariki sana❤

  • @Alithoya-qr7di

    @Alithoya-qr7di

    Ай бұрын

    Abarikiwe kisa kumzalilisha kakake

  • @justintabu7291

    @justintabu7291

    Ай бұрын

    @@Alithoya-qr7di ziii.. abarikiwe kwa kumuepusha nduguye na mafunzo ya uongo

  • @Alithoya-qr7di

    @Alithoya-qr7di

    Ай бұрын

    @@justintabu7291 waumwa ww kuna mafunzo ya urongo au watu walikua wanasoma vitabu, mafundisho ya urongo yalikua shakahola

  • @Jingajinga64

    @Jingajinga64

    Ай бұрын

    ​@@justintabu7291una pepo mchafu wewe 😂😅

  • @saidnoumani7244

    @saidnoumani7244

    Ай бұрын

    Soon both will be Muslims!​@@justintabu7291

  • @saudahassan3804
    @saudahassan3804Ай бұрын

    Hahaha jamani muuza kamba eti kama maisha yamekushinda

  • @kassimabdilatif1802
    @kassimabdilatif1802Ай бұрын

    Mumefanya vizuri kutuonyesha mitihani inayowapata. Maskini dada amejazwa propaganda mpaka hataki kusikia kitu.

  • @andallaathman3856
    @andallaathman3856Ай бұрын

    Duh 🙄😳 huyo mwanamke anachuki na uislam namna hio hata kusikia hataki

  • @user-fs7xc2bb5d

    @user-fs7xc2bb5d

    Ай бұрын

    Anajuwa sehemu alipo sio sahihi inawezekana akafuatilia KZread anaona wanavyoelemewa na maswali

  • @mariamsaidi1686

    @mariamsaidi1686

    Ай бұрын

    SubhanaAllah,hii ya mwaka

  • @christinauma387
    @christinauma387Ай бұрын

    Nmetamani sana kuwa muslim kwa muda mrefu.

  • @mbarakadau7345

    @mbarakadau7345

    Ай бұрын

    Karibu kwenye njia sahihi. Wasiliana na viongozi wa msikiti wowote karibu na ww

  • @christinauma387

    @christinauma387

    Ай бұрын

    @@mbarakadau7345 thank you. Ill try

  • @SaleheAmiry-mx1yn

    @SaleheAmiry-mx1yn

    11 күн бұрын

    ​@@christinauma387upo wapi dada unaetaka kuwa muislamu

  • @Fumokale
    @FumokaleАй бұрын

    Si makosa yake huyo mdada ni yale ulosema ww shaikh rama...uislamu umepakwa matope haswa hp mpeketoni lkn namuombea huyo mdada roho yake itulie ili aione haki na aujue uislamu sio wanaojiita waislamu wenye kuharibu jina la uislamu...i hope nimeelweka

  • @shuaibalula9003
    @shuaibalula9003Ай бұрын

    Wivu ni mbaya

  • @ashrafissa778
    @ashrafissa778Ай бұрын

    Mbona leo jaman haina saut

  • @user-ng1po1dh4z
    @user-ng1po1dh4zАй бұрын

    We dada👆, Huyo kijana ni mtu mzima, ana uhuru wa kuchagua MBIVU na MBICHI, Hawezi kudanganywa kila siku, Ati YESU Ni MUNGU au MWANA WA MUNGU. "YESU NI MTUME WA MWENYEZI MUNGU" Kubali usikubali, ndivyo ilivyo. KASOME BIBLIA📖 KWA MAKINI, WEWE MWENYEWE, USINGOJE KUSOMEWA NA MCHUNGAJI AU PADRI. Amkaaaaaa🤷‍♂️

  • @paulmwangi3438
    @paulmwangi3438Ай бұрын

    Anajua bwanake akisilimu ndoa yao itaisha. Wengine watatu pap. Islam is all about sex ndio unaona wengi wanaosilimu ni wanaume. Dini inayodhalilisha wanawake kiasi cha haja.

  • @Jingajinga64

    @Jingajinga64

    Ай бұрын

    Una pepo mchafu wewe😂

  • @Jingajinga64

    @Jingajinga64

    Ай бұрын

    Watatu wa ndoa lakini sio wenu hamsini wakumanga manga mukijifanya muna mmoja na huyo pia unoa baada ushazaa nae watoto nje ya ndoa sawa na kuishi na kahaba

  • @headboy7768

    @headboy7768

    Ай бұрын

    Utakapo zungumza ovyo bila kujua uhakika wa kitu ndio matokeo yake haya Soma dada biblia yako vizuri utaelewa

  • @SaleheAmiry-mx1yn

    @SaleheAmiry-mx1yn

    11 күн бұрын

    Hujuwi ulitendalo dada huna maalifa

  • @kennodhiambo
    @kennodhiamboАй бұрын

    Nawaulizeni enyi ndugu zangu waislamu yaani hakuna hata mmoja wenu ambaye anaona kasoro kuu iliyoko katika kile mnachoita imani? Hebu mjiulize maswali haya; 1. Mbona shahada ikaandikwa kwenye bendera ya Saudi Arabia? 2. Mbona nikisali lazima nielekeze uso wangu Mecca ambayo pia iko Saudi Arabia? 3. Mbona nisali nikitumia lugha ya kiarabu ambayo ni lugha ya kitaifa ya Saudi Arabia? 4. Mbona kuitimiza nguzo ya tano ya uislamu ni lazima niende Saudi Arabia? 5. Mbona nijifunze lugha ya Kiarabu ili kuwasiliana na Mungu ( neno la Mungu na sala pia) Cha nyongeza ni kuwa majini nikitaka kuwasiliana nao ni lazima niwaongeleshe kiarabu Yesu wa Nazareti alitokea Israeli katika kabila ya kiyahudi lakini wakristo hawajalazimishwa kuwasilana na Mungu wakitazama Israeli, hawasali wakitumia lugha za wengine n.k

  • @AlkadoNkundwe-wb3of

    @AlkadoNkundwe-wb3of

    Ай бұрын

    Kumbe ni mpumbavu nilijua unatafuta elimu(ujue) Ujinga huisha , upumbavu ni Sifa kuisha ipo kazi.

  • @kennodhiambo

    @kennodhiambo

    Ай бұрын

    @@AlkadoNkundwe-wb3of umefungwa akili naomba Yesu akuokoe

  • @user-qk8ny9bx3s

    @user-qk8ny9bx3s

    Ай бұрын

    Soma Zephaniah 3:9

  • @kennodhiambo

    @kennodhiambo

    Ай бұрын

    @@user-qk8ny9bx3s Zeph 3:9 9 "Then will I purify the lips of the peoples, that all of them may call on the name of the Lord and serve him shoulder to shoulder. Unaashiria nini kwa andiko hili?

  • @Sal.0

    @Sal.0

    Ай бұрын

    Ai Atoro Ngon'go, hio Nusu Mkate Brain yako, ita OVERHEAT uki overthink hizi Nonsense WaKristo huwa wana come up with against ISLAM! Here is some 'NusuMkate Brain' COOLING info: The reason we PRAY in ONE PURE LANGUAGE of ARABIC, is because it is a COMMAND from the Quran,.. AND also from the 'Bible': Zephaniah 3:9 King James Bible For then will I turn to the people A PURE LANGUAGE (one), that they may all call upon the name of the LORD, to serve him with ONE consent!!! That is why, a Chinese Muslim can arrive in Nairobi, and then go to ANY MOSQUE , and UNDERSTAND the SALAT and KHUTBAH being delivered in the ONE PURE LANGUAGE of ARABIC! Because of this ONE PURE LANGUAGE of ARABIC! OMERA, ume elewa, Kata BileBile?

  • @SammyMuimi-xi2ql
    @SammyMuimi-xi2qlАй бұрын

    Watu si wajinga, na mkona majini xhenzi sana

  • @aburaasmedia3682
    @aburaasmedia3682Ай бұрын

    Mashallah

  • @cabdisiciid6504
    @cabdisiciid6504Ай бұрын

    Mashallah

  • @cabdisiciid6504

    @cabdisiciid6504

    Ай бұрын

    ❤❤❤❤❤mashallah