Please remember to subscribe to our channel for more videos. @StraightPathDawah tunafikisha ujumbe hadi mashinani.
Жүктеу.....
Пікірлер: 90
@Sai.Mo69Ай бұрын
MaahaAllah Dawah ime fika Mpeketoni, stronghold ya WaBaraa kutoka Mlima Kenya. Jaribuni ku ongwa na watu wengi kul7ko ku spend time na hutu Mtu moja tuu wa Khamba! BarikAllah Team.
@fatmaali6780Ай бұрын
SubhanaAllah sheikh mwakumbana na majanga ila mwenyezi mungu atawaongoza na kuwahifadhi Kwa himaya yke InshaAllah
@hamisikassimmwatamu7949Ай бұрын
Mtiani shekh Alhamdulilah Allah awaongoze kwa njia ya haki inshaAllah
@salmaminja7714Ай бұрын
Uctadh Ramadhan na timu yko Allah awape subra ktk uwalishaji wa da'awa kwn ni kazi ngumu mnoo kiwackisha daawa kwa watu ambao hawaijui dini ya khaq. Namuomba awalipe bighari hisabu.Dunian na kesho akhera Allahumma Amiiyn.
@softymoha5484Ай бұрын
huyo mwanamke ni ibilisi...wololo...na amevaa uchi...mtihani wallahi. Allah...awajaliye kher kwa kazi ngumu mnayoifanya,...na mitihani mnayoipitia...
@Noorein-ws8wk
Ай бұрын
Tunamuomba Allah amhidi huyo dada
@salmaminja7714Ай бұрын
Subhanallah hakika hii ndio akhir zaman imefika.Allah atujalie tuwe ktk misingi ambaye yy Allah Swt anaikubal Biidhinilah. Allahumma Amiiyn. Yaa Rabby.
@abdiidaawah-yv9bgАй бұрын
Ustadh Ramadhan Kuria Nawapenda sana kwa ajili ya Allah
@MohamedMejaАй бұрын
Mashallah mungu ndio mlipajii
@MohamedMejaАй бұрын
Huyoo mwanamkea anarohoo mbayaa mwenyezi mungu atamuongozaa
@zanzibar-hf7vhАй бұрын
Hii si ya kukosa, Allah atuongoze kwa Rehma zake
@faridyshaame4705Ай бұрын
Allah awatie nguvu mashekh zetu pamoja na changamoto mnazopitia
@hamzafishten9560Ай бұрын
Allah akulipe
@josemu870Ай бұрын
Marshal ah
@user-cw5sk7wd6gАй бұрын
Mashallah kazi nzuri Sheikh
@swahabahusein23Ай бұрын
Assalam aleikum karibu mavuno musiende bila kufika mavuno tafadhali
@adanabdi5249Ай бұрын
Fikeni Mandera siku moja insha Allah.
@mifunga3414Ай бұрын
Mashallah
@salmanassor8732Ай бұрын
Mashallah ❤
@Alinuribrahim1Ай бұрын
MashaAllah
@sarahronoh540Ай бұрын
Waleykum Salaam Waramadhulillahi Wabarakatu
@azizashiundu5778Ай бұрын
Assalamu Alaykum
@malikdodo5190Ай бұрын
Walaikum salaam warahmatu-llahi wabarakatuh
@Ismaelnoton2543Ай бұрын
Aslam alaykum wa rahmatullah wa barakatuh. Hakika hii ya leo ni kali
@muktarabdirahman172Ай бұрын
Thanks you Ramadan ❤
@kihimbamushyaibrahim7284Ай бұрын
Subhaana llahu wallahi wamama wabaya toka zama zamutume swalla llahu alaihi wasalam mufano muke wa abu lahabi akiwekea mutume wetu Muhammad miba nchiani huyu muke mukali anaweza mupoteza mume wake anamuzuwiya kuongoka shes not supportive she can led the husband to hell
@abuunayfatu8701Ай бұрын
Karibuni na Tanzania
@Noorein-ws8wkАй бұрын
Sheikh Ramadhan ungemsomea maandiko kwenye biblia huyo dada kuhusu kuvaa nguo sio ya heshima
@StraightPathDawah
Ай бұрын
Palichemka😅
@ShillingiАй бұрын
Waaaaa hii ni kali
@Kuminamoja1995Ай бұрын
Kijana anahekima mimi nisingeweza ningempa Bonge la kofi
@laclassic1336Ай бұрын
Huyo Dada 😅😅😅😅
@aminajumale6805Ай бұрын
Ma Sha Allah may Allah make them to understand
@mariamsaidi1686Ай бұрын
Hii ya leo kali
@SharrifCharo-mi1bnАй бұрын
Asalam aleikum ustadh naomba mfike mpaka huku bamba
Kweli huyu mwanamke adhihirisha ubaya wao imagine Hawa watu wanafanya dawa county zote hawajawhi kuona vituko hivi but imagine mpeketoni avillage imezungukwa namiji ya waislam that lady aonesha ubaya na chuki juu ya waislam shame on you
@bahsansheikh6042
Ай бұрын
Hata Lamu pia wako hivo, wamejazwa chuki nyoyoni mwao, lakini watu wasilimu makundi kwa makundi ulimwengu mzima. ALHAMDULILLAH kwa neemah ya Uislam
@faridahalwaily85Ай бұрын
Subhannah Allaah asemayoooo yaani Auza hata kambaa ya kujinyongaa atiii niyeyee atajuwaaa mwenyewee vp wajuwa itamdhuruuh ummuuziyeeee?????
@user-ie7yt9db6f
Ай бұрын
Mungu amsamehe kwn uislanu ndio uongifu ila hawajui mungu amuongoze kwn adabu yke haijui muuza na mnunuaji akinunua akijinyonga wote mungu wasamehe
@rizikiali328Ай бұрын
Mtihani huu muislam anauza kamba watu wajinyonge
@molee2339Ай бұрын
Si hawa Watu wanao promote Khamba zakuji Nyonga, si wana weza ku naswa na POLICE? Mji wa WaPAGANI, la ANTIOCH, ni 950Km from Jerusalem. WaPAGANI kama LUKE na WaPagani wenzawake walio TUNGA stories za GOSPEL, kule ANTIOCH, Upagani WAO, haziku FIKA Jerusalem na Kwa WA YAHUDI, ambao ni 950 km away! TabarakAllah Team.
@justintabu7291Ай бұрын
Huyo mwanamke Mungu amubariki sana❤
@Alithoya-qr7di
Ай бұрын
Abarikiwe kisa kumzalilisha kakake
@justintabu7291
Ай бұрын
@@Alithoya-qr7di ziii.. abarikiwe kwa kumuepusha nduguye na mafunzo ya uongo
@Alithoya-qr7di
Ай бұрын
@@justintabu7291 waumwa ww kuna mafunzo ya urongo au watu walikua wanasoma vitabu, mafundisho ya urongo yalikua shakahola
@Jingajinga64
Ай бұрын
@@justintabu7291una pepo mchafu wewe 😂😅
@saidnoumani7244
Ай бұрын
Soon both will be Muslims!@@justintabu7291
@saudahassan3804Ай бұрын
Hahaha jamani muuza kamba eti kama maisha yamekushinda
Duh 🙄😳 huyo mwanamke anachuki na uislam namna hio hata kusikia hataki
@user-fs7xc2bb5d
Ай бұрын
Anajuwa sehemu alipo sio sahihi inawezekana akafuatilia KZread anaona wanavyoelemewa na maswali
@mariamsaidi1686
Ай бұрын
SubhanaAllah,hii ya mwaka
@christinauma387Ай бұрын
Nmetamani sana kuwa muslim kwa muda mrefu.
@mbarakadau7345
Ай бұрын
Karibu kwenye njia sahihi. Wasiliana na viongozi wa msikiti wowote karibu na ww
@christinauma387
Ай бұрын
@@mbarakadau7345 thank you. Ill try
@SaleheAmiry-mx1yn
11 күн бұрын
@@christinauma387upo wapi dada unaetaka kuwa muislamu
@FumokaleАй бұрын
Si makosa yake huyo mdada ni yale ulosema ww shaikh rama...uislamu umepakwa matope haswa hp mpeketoni lkn namuombea huyo mdada roho yake itulie ili aione haki na aujue uislamu sio wanaojiita waislamu wenye kuharibu jina la uislamu...i hope nimeelweka
@shuaibalula9003Ай бұрын
Wivu ni mbaya
@ashrafissa778Ай бұрын
Mbona leo jaman haina saut
@user-ng1po1dh4zАй бұрын
We dada👆, Huyo kijana ni mtu mzima, ana uhuru wa kuchagua MBIVU na MBICHI, Hawezi kudanganywa kila siku, Ati YESU Ni MUNGU au MWANA WA MUNGU. "YESU NI MTUME WA MWENYEZI MUNGU" Kubali usikubali, ndivyo ilivyo. KASOME BIBLIA📖 KWA MAKINI, WEWE MWENYEWE, USINGOJE KUSOMEWA NA MCHUNGAJI AU PADRI. Amkaaaaaa🤷♂️
@paulmwangi3438Ай бұрын
Anajua bwanake akisilimu ndoa yao itaisha. Wengine watatu pap. Islam is all about sex ndio unaona wengi wanaosilimu ni wanaume. Dini inayodhalilisha wanawake kiasi cha haja.
@Jingajinga64
Ай бұрын
Una pepo mchafu wewe😂
@Jingajinga64
Ай бұрын
Watatu wa ndoa lakini sio wenu hamsini wakumanga manga mukijifanya muna mmoja na huyo pia unoa baada ushazaa nae watoto nje ya ndoa sawa na kuishi na kahaba
@headboy7768
Ай бұрын
Utakapo zungumza ovyo bila kujua uhakika wa kitu ndio matokeo yake haya Soma dada biblia yako vizuri utaelewa
@SaleheAmiry-mx1yn
11 күн бұрын
Hujuwi ulitendalo dada huna maalifa
@kennodhiamboАй бұрын
Nawaulizeni enyi ndugu zangu waislamu yaani hakuna hata mmoja wenu ambaye anaona kasoro kuu iliyoko katika kile mnachoita imani? Hebu mjiulize maswali haya; 1. Mbona shahada ikaandikwa kwenye bendera ya Saudi Arabia? 2. Mbona nikisali lazima nielekeze uso wangu Mecca ambayo pia iko Saudi Arabia? 3. Mbona nisali nikitumia lugha ya kiarabu ambayo ni lugha ya kitaifa ya Saudi Arabia? 4. Mbona kuitimiza nguzo ya tano ya uislamu ni lazima niende Saudi Arabia? 5. Mbona nijifunze lugha ya Kiarabu ili kuwasiliana na Mungu ( neno la Mungu na sala pia) Cha nyongeza ni kuwa majini nikitaka kuwasiliana nao ni lazima niwaongeleshe kiarabu Yesu wa Nazareti alitokea Israeli katika kabila ya kiyahudi lakini wakristo hawajalazimishwa kuwasilana na Mungu wakitazama Israeli, hawasali wakitumia lugha za wengine n.k
@AlkadoNkundwe-wb3of
Ай бұрын
Kumbe ni mpumbavu nilijua unatafuta elimu(ujue) Ujinga huisha , upumbavu ni Sifa kuisha ipo kazi.
@kennodhiambo
Ай бұрын
@@AlkadoNkundwe-wb3of umefungwa akili naomba Yesu akuokoe
@user-qk8ny9bx3s
Ай бұрын
Soma Zephaniah 3:9
@kennodhiambo
Ай бұрын
@@user-qk8ny9bx3s Zeph 3:9 9 "Then will I purify the lips of the peoples, that all of them may call on the name of the Lord and serve him shoulder to shoulder. Unaashiria nini kwa andiko hili?
@Sal.0
Ай бұрын
Ai Atoro Ngon'go, hio Nusu Mkate Brain yako, ita OVERHEAT uki overthink hizi Nonsense WaKristo huwa wana come up with against ISLAM! Here is some 'NusuMkate Brain' COOLING info: The reason we PRAY in ONE PURE LANGUAGE of ARABIC, is because it is a COMMAND from the Quran,.. AND also from the 'Bible': Zephaniah 3:9 King James Bible For then will I turn to the people A PURE LANGUAGE (one), that they may all call upon the name of the LORD, to serve him with ONE consent!!! That is why, a Chinese Muslim can arrive in Nairobi, and then go to ANY MOSQUE , and UNDERSTAND the SALAT and KHUTBAH being delivered in the ONE PURE LANGUAGE of ARABIC! Because of this ONE PURE LANGUAGE of ARABIC! OMERA, ume elewa, Kata BileBile?
Пікірлер: 90
MaahaAllah Dawah ime fika Mpeketoni, stronghold ya WaBaraa kutoka Mlima Kenya. Jaribuni ku ongwa na watu wengi kul7ko ku spend time na hutu Mtu moja tuu wa Khamba! BarikAllah Team.
SubhanaAllah sheikh mwakumbana na majanga ila mwenyezi mungu atawaongoza na kuwahifadhi Kwa himaya yke InshaAllah
Mtiani shekh Alhamdulilah Allah awaongoze kwa njia ya haki inshaAllah
Uctadh Ramadhan na timu yko Allah awape subra ktk uwalishaji wa da'awa kwn ni kazi ngumu mnoo kiwackisha daawa kwa watu ambao hawaijui dini ya khaq. Namuomba awalipe bighari hisabu.Dunian na kesho akhera Allahumma Amiiyn.
huyo mwanamke ni ibilisi...wololo...na amevaa uchi...mtihani wallahi. Allah...awajaliye kher kwa kazi ngumu mnayoifanya,...na mitihani mnayoipitia...
@Noorein-ws8wk
Ай бұрын
Tunamuomba Allah amhidi huyo dada
Subhanallah hakika hii ndio akhir zaman imefika.Allah atujalie tuwe ktk misingi ambaye yy Allah Swt anaikubal Biidhinilah. Allahumma Amiiyn. Yaa Rabby.
Ustadh Ramadhan Kuria Nawapenda sana kwa ajili ya Allah
Mashallah mungu ndio mlipajii
Huyoo mwanamkea anarohoo mbayaa mwenyezi mungu atamuongozaa
Hii si ya kukosa, Allah atuongoze kwa Rehma zake
Allah awatie nguvu mashekh zetu pamoja na changamoto mnazopitia
Allah akulipe
Marshal ah
Mashallah kazi nzuri Sheikh
Assalam aleikum karibu mavuno musiende bila kufika mavuno tafadhali
Fikeni Mandera siku moja insha Allah.
Mashallah
Mashallah ❤
MashaAllah
Waleykum Salaam Waramadhulillahi Wabarakatu
Assalamu Alaykum
Walaikum salaam warahmatu-llahi wabarakatuh
Aslam alaykum wa rahmatullah wa barakatuh. Hakika hii ya leo ni kali
Thanks you Ramadan ❤
Subhaana llahu wallahi wamama wabaya toka zama zamutume swalla llahu alaihi wasalam mufano muke wa abu lahabi akiwekea mutume wetu Muhammad miba nchiani huyu muke mukali anaweza mupoteza mume wake anamuzuwiya kuongoka shes not supportive she can led the husband to hell
Karibuni na Tanzania
Sheikh Ramadhan ungemsomea maandiko kwenye biblia huyo dada kuhusu kuvaa nguo sio ya heshima
@StraightPathDawah
Ай бұрын
Palichemka😅
Waaaaa hii ni kali
Kijana anahekima mimi nisingeweza ningempa Bonge la kofi
Huyo Dada 😅😅😅😅
Ma Sha Allah may Allah make them to understand
Hii ya leo kali
Asalam aleikum ustadh naomba mfike mpaka huku bamba
Dada kachemka utadhani ibilisi alivyotolewa peponi ..😂😂
Haki Ukristo matata
⚡🌙
Kweli huyu mwanamke adhihirisha ubaya wao imagine Hawa watu wanafanya dawa county zote hawajawhi kuona vituko hivi but imagine mpeketoni avillage imezungukwa namiji ya waislam that lady aonesha ubaya na chuki juu ya waislam shame on you
@bahsansheikh6042
Ай бұрын
Hata Lamu pia wako hivo, wamejazwa chuki nyoyoni mwao, lakini watu wasilimu makundi kwa makundi ulimwengu mzima. ALHAMDULILLAH kwa neemah ya Uislam
Subhannah Allaah asemayoooo yaani Auza hata kambaa ya kujinyongaa atiii niyeyee atajuwaaa mwenyewee vp wajuwa itamdhuruuh ummuuziyeeee?????
@user-ie7yt9db6f
Ай бұрын
Mungu amsamehe kwn uislanu ndio uongifu ila hawajui mungu amuongoze kwn adabu yke haijui muuza na mnunuaji akinunua akijinyonga wote mungu wasamehe
Mtihani huu muislam anauza kamba watu wajinyonge
Si hawa Watu wanao promote Khamba zakuji Nyonga, si wana weza ku naswa na POLICE? Mji wa WaPAGANI, la ANTIOCH, ni 950Km from Jerusalem. WaPAGANI kama LUKE na WaPagani wenzawake walio TUNGA stories za GOSPEL, kule ANTIOCH, Upagani WAO, haziku FIKA Jerusalem na Kwa WA YAHUDI, ambao ni 950 km away! TabarakAllah Team.
Huyo mwanamke Mungu amubariki sana❤
@Alithoya-qr7di
Ай бұрын
Abarikiwe kisa kumzalilisha kakake
@justintabu7291
Ай бұрын
@@Alithoya-qr7di ziii.. abarikiwe kwa kumuepusha nduguye na mafunzo ya uongo
@Alithoya-qr7di
Ай бұрын
@@justintabu7291 waumwa ww kuna mafunzo ya urongo au watu walikua wanasoma vitabu, mafundisho ya urongo yalikua shakahola
@Jingajinga64
Ай бұрын
@@justintabu7291una pepo mchafu wewe 😂😅
@saidnoumani7244
Ай бұрын
Soon both will be Muslims!@@justintabu7291
Hahaha jamani muuza kamba eti kama maisha yamekushinda
Mumefanya vizuri kutuonyesha mitihani inayowapata. Maskini dada amejazwa propaganda mpaka hataki kusikia kitu.
Duh 🙄😳 huyo mwanamke anachuki na uislam namna hio hata kusikia hataki
@user-fs7xc2bb5d
Ай бұрын
Anajuwa sehemu alipo sio sahihi inawezekana akafuatilia KZread anaona wanavyoelemewa na maswali
@mariamsaidi1686
Ай бұрын
SubhanaAllah,hii ya mwaka
Nmetamani sana kuwa muslim kwa muda mrefu.
@mbarakadau7345
Ай бұрын
Karibu kwenye njia sahihi. Wasiliana na viongozi wa msikiti wowote karibu na ww
@christinauma387
Ай бұрын
@@mbarakadau7345 thank you. Ill try
@SaleheAmiry-mx1yn
11 күн бұрын
@@christinauma387upo wapi dada unaetaka kuwa muislamu
Si makosa yake huyo mdada ni yale ulosema ww shaikh rama...uislamu umepakwa matope haswa hp mpeketoni lkn namuombea huyo mdada roho yake itulie ili aione haki na aujue uislamu sio wanaojiita waislamu wenye kuharibu jina la uislamu...i hope nimeelweka
Wivu ni mbaya
Mbona leo jaman haina saut
We dada👆, Huyo kijana ni mtu mzima, ana uhuru wa kuchagua MBIVU na MBICHI, Hawezi kudanganywa kila siku, Ati YESU Ni MUNGU au MWANA WA MUNGU. "YESU NI MTUME WA MWENYEZI MUNGU" Kubali usikubali, ndivyo ilivyo. KASOME BIBLIA📖 KWA MAKINI, WEWE MWENYEWE, USINGOJE KUSOMEWA NA MCHUNGAJI AU PADRI. Amkaaaaaa🤷♂️
Anajua bwanake akisilimu ndoa yao itaisha. Wengine watatu pap. Islam is all about sex ndio unaona wengi wanaosilimu ni wanaume. Dini inayodhalilisha wanawake kiasi cha haja.
@Jingajinga64
Ай бұрын
Una pepo mchafu wewe😂
@Jingajinga64
Ай бұрын
Watatu wa ndoa lakini sio wenu hamsini wakumanga manga mukijifanya muna mmoja na huyo pia unoa baada ushazaa nae watoto nje ya ndoa sawa na kuishi na kahaba
@headboy7768
Ай бұрын
Utakapo zungumza ovyo bila kujua uhakika wa kitu ndio matokeo yake haya Soma dada biblia yako vizuri utaelewa
@SaleheAmiry-mx1yn
11 күн бұрын
Hujuwi ulitendalo dada huna maalifa
Nawaulizeni enyi ndugu zangu waislamu yaani hakuna hata mmoja wenu ambaye anaona kasoro kuu iliyoko katika kile mnachoita imani? Hebu mjiulize maswali haya; 1. Mbona shahada ikaandikwa kwenye bendera ya Saudi Arabia? 2. Mbona nikisali lazima nielekeze uso wangu Mecca ambayo pia iko Saudi Arabia? 3. Mbona nisali nikitumia lugha ya kiarabu ambayo ni lugha ya kitaifa ya Saudi Arabia? 4. Mbona kuitimiza nguzo ya tano ya uislamu ni lazima niende Saudi Arabia? 5. Mbona nijifunze lugha ya Kiarabu ili kuwasiliana na Mungu ( neno la Mungu na sala pia) Cha nyongeza ni kuwa majini nikitaka kuwasiliana nao ni lazima niwaongeleshe kiarabu Yesu wa Nazareti alitokea Israeli katika kabila ya kiyahudi lakini wakristo hawajalazimishwa kuwasilana na Mungu wakitazama Israeli, hawasali wakitumia lugha za wengine n.k
@AlkadoNkundwe-wb3of
Ай бұрын
Kumbe ni mpumbavu nilijua unatafuta elimu(ujue) Ujinga huisha , upumbavu ni Sifa kuisha ipo kazi.
@kennodhiambo
Ай бұрын
@@AlkadoNkundwe-wb3of umefungwa akili naomba Yesu akuokoe
@user-qk8ny9bx3s
Ай бұрын
Soma Zephaniah 3:9
@kennodhiambo
Ай бұрын
@@user-qk8ny9bx3s Zeph 3:9 9 "Then will I purify the lips of the peoples, that all of them may call on the name of the Lord and serve him shoulder to shoulder. Unaashiria nini kwa andiko hili?
@Sal.0
Ай бұрын
Ai Atoro Ngon'go, hio Nusu Mkate Brain yako, ita OVERHEAT uki overthink hizi Nonsense WaKristo huwa wana come up with against ISLAM! Here is some 'NusuMkate Brain' COOLING info: The reason we PRAY in ONE PURE LANGUAGE of ARABIC, is because it is a COMMAND from the Quran,.. AND also from the 'Bible': Zephaniah 3:9 King James Bible For then will I turn to the people A PURE LANGUAGE (one), that they may all call upon the name of the LORD, to serve him with ONE consent!!! That is why, a Chinese Muslim can arrive in Nairobi, and then go to ANY MOSQUE , and UNDERSTAND the SALAT and KHUTBAH being delivered in the ONE PURE LANGUAGE of ARABIC! Because of this ONE PURE LANGUAGE of ARABIC! OMERA, ume elewa, Kata BileBile?
Watu si wajinga, na mkona majini xhenzi sana
Mashallah
Mashallah
@cabdisiciid6504
Ай бұрын
❤❤❤❤❤mashallah