WAKRISTO WALEVI WAAHIDI KWENDA MSIKITINI KUSILIMU.

‪@StraightPathDawah‬ tunajitahidi kufikisha ujumbe wa Uislamu hadi mashinani, tafadhali subscribe kwenye channel yetu ya STRAIGHT PATH DAWAH ili uendelee kunufaika kupitia video zetu.

Пікірлер: 29

  • @kihimbamushyaibrahim7284
    @kihimbamushyaibrahim72844 ай бұрын

    Mashaa Allah sheikhe mungu akubali swaumu zenu ,nakazi hio kuu ya Daawa,kuelimisha ama ndugu Abdul Kareem ameangaa na mualimu nyote tunawapenda kutekea Uganda tunakuomba ututembelee pia huku

  • @husseindzombo6492
    @husseindzombo64924 ай бұрын

    Surah *_Al-An'am_*: Ayah *_125_ *Basi yule ambaye Mwenyezi Mungu anataka kumhidi humfungulia kifua chake kwa Uislamu. Na anaye taka apotee hukifanya kifua chake kina dhiki, kimebana, kama kwamba anapanda mbinguni. Namna hivi Mwenyezi Mungu anajaalia uchafu juu ya wasio amini.*

  • @husseinmwenja4398
    @husseinmwenja43983 ай бұрын

    SUBHANALLAH...Wanapenda dogogiooo sana kwanzia asubuhi duuuuuh MashAllah kaka Ramma jazzahkallah

  • @fatmaali6780
    @fatmaali67804 ай бұрын

    MashaAllah nimefurahi sana kuona mmeambatana na Abdul Karim u make gud companion on dawah

  • @malikdodo5190
    @malikdodo51904 ай бұрын

    Walaikum salaam warahmatu-llahi wabarakatuh

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor78474 ай бұрын

    Masha Allah 💖💖💖

  • @lailahumaid2011
    @lailahumaid20114 ай бұрын

    Waalekum salam warahmatullah wabarakatuh

  • @user-rc7oi2hp8l
    @user-rc7oi2hp8l4 ай бұрын

    Nmefrai kumuona ustadh Ramadhan n ndugu Abdul Karim washallom

  • @isahbarasa
    @isahbarasa4 ай бұрын

    Kazi safi ya daawah mwalimu 👏

  • @saidhamad7504
    @saidhamad75044 ай бұрын

    Sheikh Ramadhan usiwaite Walevi waite wanywaji.

  • @salimchimwaga8384

    @salimchimwaga8384

    3 ай бұрын

    wanywaji ni wanaokunywa maji na juice na vile vingine vilivyo halali,wanaokunywa pombe waweza waita walevi tu sio dhambi maana ndio sifa yao.

  • @aminadughow9812
    @aminadughow98124 ай бұрын

    Mashallah shiekh❤❤

  • @user-fh7wu8vx1y
    @user-fh7wu8vx1y4 ай бұрын

    Ma shaallah.. Abdulkarym

  • @user-rc7oi2hp8l
    @user-rc7oi2hp8l4 ай бұрын

    Walkm mslm warahmtullah wabarakatuh

  • @UMMYYFATMA
    @UMMYYFATMA3 ай бұрын

    MASHA ALLAH ❣️ ❣️

  • @user-ex4rk2yx4s
    @user-ex4rk2yx4s4 ай бұрын

    Ma sha Allah

  • @user-uf1mx4bv6l
    @user-uf1mx4bv6l4 ай бұрын

    Shekh ramadhani nimekuuliz swal lng mpk leo hukunijib na mm natak kujifunz tok kwako

  • @hamidudigogo5863
    @hamidudigogo58634 ай бұрын

    Hakika mtihani watu huchukia pombe kitu cha waita sana madhara nimakibwa katika fanya ya mwili na siku ya kiama ila ndugu ramadhani dawa mbona imepoa sana ?

  • @StraightPathDawah

    @StraightPathDawah

    4 ай бұрын

    Imepoa vipi?

  • @hamidudigogo5863

    @hamidudigogo5863

    4 ай бұрын

    @@StraightPathDawah Yani cc wafuatiloaji tunapoa sana unakuta wiki 2 au 1 tunafuatilia mala moja

  • @assahmshama8447
    @assahmshama84474 ай бұрын

    Nawaelewaga sana lkn Kuna mda waislamu baadhi Wana matendo yasiyompendeza MUNGU hao ndo wanatukatisha tamaa kutokusilim

  • @abduljaffer

    @abduljaffer

    4 ай бұрын

    Fuata uisilamu wachana na waisilamu pia ujue bado ni hawajatoka kwa imani huenda watabadilika

  • @kadhyanassor5046

    @kadhyanassor5046

    4 ай бұрын

    Wewe usiangalie matendo ya binaadamu..soma dini ufate vile Mungu anataka vipi uishi...

  • @user-ex4rk2yx4s

    @user-ex4rk2yx4s

    4 ай бұрын

    Fuata uislam usifate waislamu

  • @chiefmkalikibz1503

    @chiefmkalikibz1503

    4 ай бұрын

    Huyu hatumtaki katika dini.... UNAFIKI TU

  • @kadhyanassor5046

    @kadhyanassor5046

    4 ай бұрын

    @@chiefmkalikibz1503 haifai kusema hivyo ...kuna watu walifanya makubwa chuki zidi ya islam mwisho waliukubali na wakaingia kwa imani..Tuwaombee tu dua Allah awaongoze ktk haki..

  • @user-tx5sx1wu6l
    @user-tx5sx1wu6l4 ай бұрын

    Wenimtumwa wawaalabu

  • @khamisoothman5294

    @khamisoothman5294

    4 ай бұрын

    Acha chuki jufunze kwa upolè