WAKRISTO WALEVI WAAHIDI KWENDA MSIKITINI KUSILIMU.
@StraightPathDawah tunajitahidi kufikisha ujumbe wa Uislamu hadi mashinani, tafadhali subscribe kwenye channel yetu ya STRAIGHT PATH DAWAH ili uendelee kunufaika kupitia video zetu.
@StraightPathDawah tunajitahidi kufikisha ujumbe wa Uislamu hadi mashinani, tafadhali subscribe kwenye channel yetu ya STRAIGHT PATH DAWAH ili uendelee kunufaika kupitia video zetu.
Пікірлер: 29
Mashaa Allah sheikhe mungu akubali swaumu zenu ,nakazi hio kuu ya Daawa,kuelimisha ama ndugu Abdul Kareem ameangaa na mualimu nyote tunawapenda kutekea Uganda tunakuomba ututembelee pia huku
Surah *_Al-An'am_*: Ayah *_125_ *Basi yule ambaye Mwenyezi Mungu anataka kumhidi humfungulia kifua chake kwa Uislamu. Na anaye taka apotee hukifanya kifua chake kina dhiki, kimebana, kama kwamba anapanda mbinguni. Namna hivi Mwenyezi Mungu anajaalia uchafu juu ya wasio amini.*
SUBHANALLAH...Wanapenda dogogiooo sana kwanzia asubuhi duuuuuh MashAllah kaka Ramma jazzahkallah
MashaAllah nimefurahi sana kuona mmeambatana na Abdul Karim u make gud companion on dawah
Walaikum salaam warahmatu-llahi wabarakatuh
Masha Allah 💖💖💖
Waalekum salam warahmatullah wabarakatuh
Nmefrai kumuona ustadh Ramadhan n ndugu Abdul Karim washallom
Kazi safi ya daawah mwalimu 👏
Sheikh Ramadhan usiwaite Walevi waite wanywaji.
@salimchimwaga8384
3 ай бұрын
wanywaji ni wanaokunywa maji na juice na vile vingine vilivyo halali,wanaokunywa pombe waweza waita walevi tu sio dhambi maana ndio sifa yao.
Mashallah shiekh❤❤
Ma shaallah.. Abdulkarym
Walkm mslm warahmtullah wabarakatuh
MASHA ALLAH ❣️ ❣️
Ma sha Allah
Shekh ramadhani nimekuuliz swal lng mpk leo hukunijib na mm natak kujifunz tok kwako
Hakika mtihani watu huchukia pombe kitu cha waita sana madhara nimakibwa katika fanya ya mwili na siku ya kiama ila ndugu ramadhani dawa mbona imepoa sana ?
@StraightPathDawah
4 ай бұрын
Imepoa vipi?
@hamidudigogo5863
4 ай бұрын
@@StraightPathDawah Yani cc wafuatiloaji tunapoa sana unakuta wiki 2 au 1 tunafuatilia mala moja
Nawaelewaga sana lkn Kuna mda waislamu baadhi Wana matendo yasiyompendeza MUNGU hao ndo wanatukatisha tamaa kutokusilim
@abduljaffer
4 ай бұрын
Fuata uisilamu wachana na waisilamu pia ujue bado ni hawajatoka kwa imani huenda watabadilika
@kadhyanassor5046
4 ай бұрын
Wewe usiangalie matendo ya binaadamu..soma dini ufate vile Mungu anataka vipi uishi...
@user-ex4rk2yx4s
4 ай бұрын
Fuata uislam usifate waislamu
@chiefmkalikibz1503
4 ай бұрын
Huyu hatumtaki katika dini.... UNAFIKI TU
@kadhyanassor5046
4 ай бұрын
@@chiefmkalikibz1503 haifai kusema hivyo ...kuna watu walifanya makubwa chuki zidi ya islam mwisho waliukubali na wakaingia kwa imani..Tuwaombee tu dua Allah awaongoze ktk haki..
Wenimtumwa wawaalabu
@khamisoothman5294
4 ай бұрын
Acha chuki jufunze kwa upolè