MAPADRI WANAOSUJUDU KISIRI KANISANI

Kumbuka kusubscribe kwenye channel yetu ya STRAIGHT PATH DAWAH ili uendelee kunufaika kupitia video zetu. ‪@straightpath9909‬ tunafikisha ujumbe wa Uislamu hadi mashinani.

Пікірлер: 172

  • @user-ng1po1dh4z
    @user-ng1po1dh4z4 ай бұрын

    Namna hiyo👍➡️👆Penye ukweli, uongo hujitenga. TOBOA "KIJANA" TOBOA (Jamani Waislamu kila siku mshukuruni sana Allah, kutujalia kuwa Waislamu. Alhamdulillah)

  • @mwanashaali1109

    @mwanashaali1109

    4 ай бұрын

    Wallah Alhamdhulillah

  • @thamani5842

    @thamani5842

    4 ай бұрын

    Alhamdulillah

  • @nestarnestar4520

    @nestarnestar4520

    3 ай бұрын

    Majini matupu yamewajaa nyie ngojeni tu 1day

  • @thamani5842

    @thamani5842

    3 ай бұрын

    @@nestarnestar4520 LAILAHA ILA ALLLAH MUHAMMADU RASULU ALLAH. ukitaka ndo hivo hukutaka ndo hivo

  • @husseinihassani3541

    @husseinihassani3541

    3 ай бұрын

    ​​@@nestarnestar4520kwa bahati mbaya masikini maneno hayo umedanganywa na mchungaji ila hujachelewa bado

  • @omarsirleem7105
    @omarsirleem71054 ай бұрын

    InshaAllah sheikh Ramadhan nikirudi Kenya naeka nia nikupeleke Kitui,Kibwezi na Mutomo huko unahitajika sana kuwafunguka macho wenzetu hao

  • @shafiiabdallah1088
    @shafiiabdallah10884 ай бұрын

    Asalam aleykum….sh.ramadhan endelea kuwafundisha hao Jamaa zetu pole pole

  • @ukweliwauislamu9590
    @ukweliwauislamu95904 ай бұрын

    Masha Allah TabarakAllah JazakAllahu kheyran ustadh Ramadhan ❤

  • @husseindzombo6492
    @husseindzombo64924 ай бұрын

    Inshallah mola atawaongoza wawe waislamu

  • @Nim68182

    @Nim68182

    3 ай бұрын

    Acha hizo ,kwa ambao hawamjui YESU

  • @husseindzombo6492

    @husseindzombo6492

    3 ай бұрын

    @@Nim68182 ikiwa unamjuwa yesu chenye alifunza yesu inapaswa ww pia ufanye ivo, Yesu alikuwa akisujudu na alikuwa akienda msikitini wewe huko kwenye unaenda unamfuata nani

  • @naimamohammad8870
    @naimamohammad88704 ай бұрын

    Masha Allah Masha Allah Mwisho wataingia ktk Dini ya HAKI Amin Amin

  • @aumuelly2909
    @aumuelly29094 ай бұрын

    Allwah akufanyie wepesi sh Ramadhan kurya

  • @mwanaidiissa10

    @mwanaidiissa10

    4 ай бұрын

    Ni Allah

  • @zanzibar-hf7vh
    @zanzibar-hf7vh4 ай бұрын

    mashaallah Allah awalipe malipo kamili sheikh yussuf na sheikh ramadhan aamin, ramadhan Kareem

  • @user-fh7wu8vx1y
    @user-fh7wu8vx1y4 ай бұрын

    Ma shaallah endelea Kuwapa. Darsa

  • @rizikiali328
    @rizikiali3284 ай бұрын

    Mashallah mashekh wetu hii ni njia moja ya daawa Allah awawezeshe musichoke maana hawa wakiona haki watafata

  • @HamadaShala
    @HamadaShala4 ай бұрын

    Allah akulinde❤❤❤❤

  • @habibasalim3092
    @habibasalim30924 ай бұрын

    Wa alaikum assalam wa rahmatullahi wa barakatuh

  • @raniahmamu2586
    @raniahmamu25864 ай бұрын

    Masha'Allah❤❤

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor78474 ай бұрын

    Mashaallah Allahu 💖💖💖

  • @YusufWachiuri
    @YusufWachiuri4 ай бұрын

    Mashallah nafurahia kuwaona ndugu zangu kutoka kiserian Allah awazidishie.

  • @lailahumaid2011
    @lailahumaid20114 ай бұрын

    Nakupata vizuri .mashaallah

  • @user-vt4pm3ph9p
    @user-vt4pm3ph9p4 ай бұрын

    ALLAH AKUFANYIE UPESI I.A

  • @Aminedanisman76799
    @Aminedanisman767994 ай бұрын

    MashaAllah tabarakallah

  • @bahsansheikh6042
    @bahsansheikh60424 ай бұрын

    Allah Akbar

  • @user-tr5wb8pt2y
    @user-tr5wb8pt2y4 ай бұрын

    MASHA ALLAH

  • @mwajumalubuva
    @mwajumalubuva3 ай бұрын

    Shukurani sana Hawa viumbe wafundeshe mungu akulipe kheri inshallah

  • @kijakaparare2074
    @kijakaparare20744 ай бұрын

    Maashaallah mashallah taakbiriiiiii 📢📢

  • @alhadajjmohammedsmith9042

    @alhadajjmohammedsmith9042

    3 ай бұрын

    ALLAHU AKBAR

  • @saidali2981
    @saidali29814 ай бұрын

    ALLAHU AKBAR

  • @jamilaomari2444
    @jamilaomari24444 ай бұрын

    MashaAllah vijana wasomi.

  • @naimamohammad8870
    @naimamohammad88704 ай бұрын

    Asalam Alaykum warahama tulilah wabarakatuh 🌹🌹

  • @faridaally-jp1gx
    @faridaally-jp1gx4 ай бұрын

    Ma shaa Allaah Allaah Awahifadhi na kazi nzuri

  • @user-ex4rk2yx4s
    @user-ex4rk2yx4s4 ай бұрын

    Ma sha Allah

  • @salimdaawah123
    @salimdaawah1234 ай бұрын

    Masha Allah

  • @Saidi-cops2023.
    @Saidi-cops2023.4 ай бұрын

    Masha Allah 🎉

  • @user-ti4ce2pr8r
    @user-ti4ce2pr8r3 ай бұрын

    Innallaha Alimun bidhaati sudoor was innallaha waasiun Aliim.Al-Elmul Bahar. God bless you Sheikh Ramadhan and your colleagues of STRAIGHT PATH DA'AWWAH!.Barakah-llahu fiykum wakheyr Biidhinillahi Ta-Allah bye❤❤❤

  • @alhadajjmohammedsmith9042

    @alhadajjmohammedsmith9042

    3 ай бұрын

    Allahumma Aaamin

  • @faudhiasaidi3669
    @faudhiasaidi36694 ай бұрын

    😂😂❤🇹🇿

  • @amina2044amin-zv2gh
    @amina2044amin-zv2gh4 ай бұрын

    Amine Amon Amine

  • @bwanaahmedabdallah5932
    @bwanaahmedabdallah59323 ай бұрын

    Allah awabariki kwa kazi nzuri ya Kutangaza dini ya haki 🙏

  • @josemu870
    @josemu8704 ай бұрын

    Barikiweni

  • @MohamedMeja
    @MohamedMeja3 ай бұрын

    Mashalah ramadhani

  • @user-is7hj1ol9l
    @user-is7hj1ol9l3 ай бұрын

    ALLAH AKIBAR

  • @hamzafishten9560
    @hamzafishten95603 ай бұрын

    Allah akulipe kabisa kazi unayo fanya

  • @HamadaShala
    @HamadaShala4 ай бұрын

    🇲🇿🤲🤲🤲

  • @user-sp6gb6mf5y
    @user-sp6gb6mf5y3 ай бұрын

    Mashaallah

  • @hamidudigogo5863
    @hamidudigogo58634 ай бұрын

    Wata elewa tu Kwamba UISLAM ndio DINI ya haki

  • @zakayolazoro48

    @zakayolazoro48

    3 ай бұрын

    Acha ujiga haki anayo mungu tu wisiramu kwanza raiti kama igekuwa dini ya haki agerudi muhamadi kwanini arudi Yesu acha ujiga

  • @zakayolazoro48

    @zakayolazoro48

    3 ай бұрын

    Siku zote mtu wenye matuda ndo unapigwa mawe munajitaidi kuharubu ukilisito rakini bibiria inasema watashidana ira hwata weza vita yetu sisi si ya damu na nyama bari ni katika kiroho waisiramu mujifariji tu basi ira yoyote yure jina rake harikuwndikwa katika kitabu Cha uzima wa milele amepotea

  • @hamidudigogo5863

    @hamidudigogo5863

    3 ай бұрын

    @@zakayolazoro48 ndio shida ya kuwa kafiri mojawapo hiyo

  • @hamidudigogo5863

    @hamidudigogo5863

    3 ай бұрын

    @@zakayolazoro48 kinana shida unapotea sababu hujui mandiko

  • @DancanOsongo

    @DancanOsongo

    3 ай бұрын

    wongo

  • @mwajumalubuva
    @mwajumalubuva3 ай бұрын

    Mashallah ♥️

  • @saidhando
    @saidhando3 ай бұрын

    Allah awaongoze waijue haki insallah

  • @salumally-jz5lj
    @salumally-jz5lj3 ай бұрын

    Ukitafuta mjadala huwezi pata majibu kwa wasioelewa ila dini sio kibali kwa mungu ila waislam wana udini mwingi kuliko kuelewa kuusu iman,kifupi wote tunamtegemea mungu ivyo sheria zake hazibadiliki wote tunapaswa kuzifuata bila kujali dini,ieleweke kusujudu ata shetani anasujudu sio waislam tu

  • @user-qx1jc7qd1o
    @user-qx1jc7qd1o3 ай бұрын

    Naomba muelewe kusujudu na kupiga magoti yote nikujinyenyekeza Mbele za Mwnye henzi,Mimi mkirsto sioni kama kusujudu ni hishala ya Mwislam hpana MUNGU Anainami🎉wa, Anapigiwa magoti, Au Anasjudiwa.

  • @user-hj4sy9fy4g
    @user-hj4sy9fy4g4 ай бұрын

    Siooni maantiki, ya yanayojadiliwa, hakuna asiyejua kuwa mungu ni mmoja tu! Hao machalii ni ushabiki tu!

  • @ngugimundia6306
    @ngugimundia63064 ай бұрын

    Angalizo....kwa kanisa la kweli...msikubali kuamini kundi hili nimpango hatari washetani....

  • @sabihaibrahim143

    @sabihaibrahim143

    4 ай бұрын

    ivii kanisa la kweli ni lipi mana yote yanashindana kwa balaa

  • @richardnganya2311
    @richardnganya23114 ай бұрын

    Mkikubali kuchunguza ya ndani ya upande mmoja basi muwe tayari kuchunguzwa.

  • @qassimislam5291

    @qassimislam5291

    3 ай бұрын

    Sisi ukichunguza tu unasilim

  • @richardnganya2311

    @richardnganya2311

    3 ай бұрын

    Huko ni kujidanganya. Kinachosemwa ni kuridhia kuchunguzwa.

  • @Alkaburu

    @Alkaburu

    3 ай бұрын

    ​@@richardnganya2311anza leo chunguza ndugu yangu nenda kwa walimu na mashekhe fanya tafiti juu uislamu.

  • @mjombawallace4966
    @mjombawallace49664 ай бұрын

    Umeangukia mshamba

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga25134 ай бұрын

    Muongo uyo baana

  • @AlkadoNkundwe-wb3of
    @AlkadoNkundwe-wb3of4 ай бұрын

    Kama kweli basi upadri kaukosa

  • @peteremanuel8022
    @peteremanuel80223 ай бұрын

    Kama kuisoma quruan wanaisoma vzr tu

  • @peteremanuel8022
    @peteremanuel80223 ай бұрын

    Uongo padri hawezi kusudia quruan

  • @DancanOsongo

    @DancanOsongo

    3 ай бұрын

    qoran ni uchawi

  • @kabwere

    @kabwere

    3 ай бұрын

    @@DancanOsongo Yalisemwa hayo na makafiri wa Makkah wakati wa Mtume. Si wa kwanza wewe kusema hayo.

  • @didimeandrewngowi
    @didimeandrewngowi3 ай бұрын

    Sio kazi yako, hubiri yanayokuhusu mwezi huu wa toba sio kujiingiza kwenye imani za ukatoliki na kuwaleta mashuhuda wa uwongo, hubiri imani yako tu, tu kuchambua imani za watu, kanisa katoliki linakuhusu nini??

  • @user-kg2bg8kp5u
    @user-kg2bg8kp5u4 ай бұрын

    Kusujudu ni kitendo kinacho fungamana na madhabau ishu madhabau unayo isujudia nihipi

  • @user-kg2bg8kp5u
    @user-kg2bg8kp5u4 ай бұрын

    Wasram msiwe wabaguzi kusujudi dini zote lazima wasujudu kitendo kinacho mueshimu mungu

  • @mwanashaali1109

    @mwanashaali1109

    4 ай бұрын

    Wala Hatujabagua,IlanWanaosujuduu Asilimia Kubwa Ni Waislm,sisi tunalingania Tunataka Tuwe kitu kimoja Ila Wakristo Asilimia Kubwa Huwaga hawasikilizii Kuelewa wanapinga Tuh,na Kukataa Hakiii na Kuzidisha Mjadala Pasipokiwa na Mjadala

  • @sabihaibrahim143

    @sabihaibrahim143

    4 ай бұрын

    mbona hamusujudu ni kuruka ruka tu

  • @ngugimundia6306
    @ngugimundia63064 ай бұрын

    New world order chrislam starting slowly...kuunganika kwa dini moja..wamesema wanaendelea kuungana...upagani...catholicism and Islam is one.

  • @marymwapiya1274
    @marymwapiya12744 ай бұрын

    Watu hawajui kinachoendelea kwa saizi katika dunia hii tuliyopo mpango ni huu waislamu na wakatoriki wanaenda kuwa kitu kimoja watakuwa na dini na wanaenda kuanzisha biblia yao na hizi biblia zilizopo zitapotea na wataketa biblia ya kwao inayo mpinga Kristo, kana huna nambba 666hakuna kuuza wala kunnunua bila hiyo chapa .kuna watu wanazani wako salama kumbe wapo hatarini bila wao kujua nawasii wakristo wa kweli nunueni biblia mapema.

  • @user-py9ht4oe3d

    @user-py9ht4oe3d

    3 ай бұрын

    Hata we hujui kitu hio bibilia unayo unayo isoma Sasa niagano jipya aliandika papa vatkan Apo ulipounamuabudu papa na ndo maana mnaoana jinsia moja nandoa zinafungwa kanisani

  • @Alkaburu

    @Alkaburu

    3 ай бұрын

    Umeshacherewa 😂 hakuna biblia ya kweli hata sasa maana Kuna vision nyingi

  • @DancanOsongo
    @DancanOsongo3 ай бұрын

    wewe ni mwongo wako nisakumata wewe

  • @ngugimundia6306
    @ngugimundia63064 ай бұрын

    Ukatoliki...na uislam ni.moja...ukitaka udhibitisho utapata...wote mnaomba mkitumia rozari....

  • @mwanashaali1109

    @mwanashaali1109

    4 ай бұрын

    Tofautiii Ipooo,ya Waislm Sio Rozali NinTasbihi na ya Waislm Haina Msalaba,Alafuuu Sie Tunaitumia Kama Unataka kufanya Hesabuu,ujue Dua yako wataka Io labda mara mia Inakuwa Urahisi,ila sio Lazima Kutumia Tasbihii,hata vidole vyako vya mikono Waeza Tumia Bora usijichanganye tuh

  • @mwanashaali1109

    @mwanashaali1109

    4 ай бұрын

    Wakatholiki labda Usemee Mavazii Kwanii Wakatholikii Wanawake wao Wanavaaa Marinda Mrefuuu Yanayoficha Uchii,na Kufunika Nywele, masisters SI wanavaa hivyo,sie Waislm Hatumpingiii Issa , tofautiii yetu sie Tunajua Issa Ni Mtume,ila Hatumtukuziii Wala Kumpa Shifaa za Mungu kama Wanavyofanyaaa Wakristo,na Wala Hatusemi Mungu Katuumba Kwa Mfano wake,sie Kwetu Munguu Ni Mmoja, hakuzaa Wala Hakuzaliwa,Hana Mshirika Wala Hakuna Kilichofanana Na Yeye,Io ndio Imani uetu

  • @marymwapiya1274

    @marymwapiya1274

    4 ай бұрын

    Ipo kabisa ambayo ipo kama rozali wakatoliki wamewewka msalaba na wao wanaisoma ili wajibiwe maombi yao na hiyo wenu ina kali kaalama kama mwezi hapo hakuna utofauti wowote nini nimeiona vizuri sana boss wangu anatumia wakatoliki na waisilamu ni walewale

  • @kabwere

    @kabwere

    3 ай бұрын

    @@marymwapiya1274 waisilamu na wakatoliki tofauti kabisa. Usijidanganye.

  • @hassanjuma2772

    @hassanjuma2772

    2 ай бұрын

    ​@@marymwapiya1274hebu tuwekee hata picha ya hiyo tasbihi yenye pcha ya mwezi alau na sisi tuone

  • @mamertarweyemamu3438
    @mamertarweyemamu34383 ай бұрын

    Tumbafu wewe shehe

  • @SamuelOllonde-qg8px
    @SamuelOllonde-qg8px3 ай бұрын

    Why aren't you people visiting areas with SDA churches mpate dawa zenu

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe78234 ай бұрын

    Kaka zangu ktk Adamu tokeni ktk utumwa wa fikra kuweni Waislamu ili muwe huru na maisha yenu. Vipi mwanamme rijali ukae bila kuowa ? 😢😢😢. Wapi Mwenyezi Mungu amesema msiowe ? Achaneni na mila za kidhungu.

  • @NancyPatrick-il8zj

    @NancyPatrick-il8zj

    4 ай бұрын

    Ila wamechagua kuishi hivyo, ni chaguo lao la kumtumikia Mungu. Cha muhimu ni kuheshimu chaguo la mtu, akishindwa ataondoka mwenyewe

  • @nestarnestar4520
    @nestarnestar45204 ай бұрын

    Iv nyie watu mpk mlishwe nn ndo mjue kua uislam ni dini ya Majini, na ndoo maana mnasali mchana wa jua Kali saa Saba na ndo muda wa Majini, Majini wanapenda dam wakiona damu imetoka ni kivumbia hamruhusu mwanamke mwenye siku zake aende mskitini ikitokea damu imevuja gafla nikivumbi, mbn hamuawambii ayo watu

  • @sabihaibrahim143

    @sabihaibrahim143

    4 ай бұрын

    wewe mgonjwa bibilia inasema kiti cha enzi cha shetani kipo mazabahuni kanisani ndo mana makanisani ni ngoma zinaa uchafu kwenda uchi yaani ni ushetani tuu

  • @kabwere

    @kabwere

    3 ай бұрын

    🤣🤣🤣jua unachosema kwanza 🤣

  • @Alkaburu

    @Alkaburu

    3 ай бұрын

    Soma biblia yako vizuri Kwanza ndio uje uongee tena hicho ulichoongea

  • @charlesmgonja8689
    @charlesmgonja86894 ай бұрын

    Wanahubiri amani lakini hawapendi amani.Hivi hamuoni hao Alshabab hapo Somalia. Hivi Kuna amani hapo?

  • @StraightPathDawah

    @StraightPathDawah

    4 ай бұрын

    Wewe umejazwa chuki lakini ukisoma na kukaa na watu utajua mengi

  • @kabwere

    @kabwere

    3 ай бұрын

    Hivi nani kakwambia Al-shabab waisilamu?

  • @DennisWaweru-ml4lf
    @DennisWaweru-ml4lf3 ай бұрын

    Hatushangai kwani vitabu vyenu vinasema mapadri walihusika kuanzisha uisilamu."wakati waraka alikufa sindio wahai uliisha??"asanteni Sana kutuondolea Shaka katika Jambo hili

  • @DancanOsongo

    @DancanOsongo

    3 ай бұрын

    amen

  • @ngugimundia6306
    @ngugimundia63064 ай бұрын

    Sasa kuria unasema ukristo umeletwa na wazungu...wewe...mkikuyu unafuata mwarabu....tena wapi Muhammad kasilimu..propaganda zake za kiarabu

  • @alanngabonziza
    @alanngabonziza4 ай бұрын

    Kwanini musiseme imani ya islam inasimama wapi,kila siku wakristo,imani haina msingi,munaimba muhamed na lile jiwe nyeusi la macca ndio maana munaangalia east mukiomba,mungu wenu anasikia kiarabu peke yake,quran yenu imeandikwa na story zenye ni oongo,hamjui nani aliendika quran,mujiulize kuhusu imani yenu kwanza

  • @user-fc6uf6be5u

    @user-fc6uf6be5u

    4 ай бұрын

    inshaaAllah Mungu akuonyeshe haki

  • @kassimngao2282

    @kassimngao2282

    4 ай бұрын

    Mungu akuongoze kuona hakki

  • @fatumamwalimu5765

    @fatumamwalimu5765

    4 ай бұрын

    Allah akufungue macho na akili uondoke kwenye izo fikira zako potovu,

  • @Aminedanisman76799

    @Aminedanisman76799

    4 ай бұрын

    Karibu kwenye dini ya hakii.naona pia ww unafatilia daawa mtaani

  • @Adm9464

    @Adm9464

    4 ай бұрын

    You must be such a confused individual who has no clue about Islam. Hakuna kuimba katika Uislamu period . All we have is to worship the most high . Even in your Bible if you even believe in it Mungu alikataa nyimbo. Bibilia inasema ni ondeliyeni nyimbo zenu za upusis.

  • @fatumahamisi1604
    @fatumahamisi16043 ай бұрын

    Mashallah mashekh wetu mungu awajaze kheri zake fil Dunia fil akhera

  • @bwanaahmedabdallah5932
    @bwanaahmedabdallah59323 ай бұрын

    Allah awabariki kwa kazi nzuri ya Kutangaza dini ya haki 🙏

  • @AaIi-qw3ec
    @AaIi-qw3ec4 ай бұрын

    Hongereni sana mana naona waislam na wakatoliki Mashaallah ❤❤❤❤tunasujudu wote na Mungu mmoja ❤❤❤