WACHUNGAJI WAHOJI KUHUSU MAJINI

Tafadhali subscribe kwenye channel yetu ili uendelee kunufaika kupitia video zetu.‪@StraightPathDawah‬ ni dawah popote wakati wowote.

Пікірлер: 246

  • @Ismaelnoton2543
    @Ismaelnoton25432 ай бұрын

    Aslam alaykum wa rahmatullah wa barakatuh. Alhamdulilah nimeweza kuwaona tena

  • @user-ie7yt9db6f
    @user-ie7yt9db6f2 ай бұрын

    Mashallah tabarakaallah Allah awape nguvu inshallah kazi nzuri sana

  • @rizikiali328
    @rizikiali3282 ай бұрын

    Huyu jamaa hajui kuwa maana ya uislam ni kuamini mungu mmoja tuu sio mungu baba wala mwana Na manabii wote waliabudu mungu muumba wa vyote

  • @jumamsembe1213
    @jumamsembe12132 ай бұрын

    Kutokua na elimu ni hatari sana kwenye maisha yako....Assalam aleikum ❤

  • @jamilaomari2444
    @jamilaomari24442 ай бұрын

    Msomaji jamani mashaAllah❤

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor78472 ай бұрын

    Masha Allah 💖💖💖

  • @Fumokale
    @Fumokale2 ай бұрын

    Ramadhan kuria bin kaguo Allah akujaalie IKHLASW....aaaminaa

  • @HABIBMEDIA-fk9hg

    @HABIBMEDIA-fk9hg

    2 ай бұрын

    AAMIIN

  • @habibasalim3092

    @habibasalim3092

    2 ай бұрын

    Aamin

  • @asiahmaoro2525
    @asiahmaoro25252 ай бұрын

    Mashaallah ❤

  • @alyumaraos
    @alyumaraos2 ай бұрын

    A.alaikum sheikh Ramadhan Allah akufanyie wepes ktk maisha yako yaan huyo mkristo anajarib kuchanganya mambo ila Allah amekupa hikma kubwa ya kuongea nae hadi anafika mwisho.

  • @salmaminja7714

    @salmaminja7714

    2 ай бұрын

    Allahu Mus'taan. Uctadh una kipaji cha kuongea na hao wasio jua dini ya khaq. Allahu Akbar kazi yko ni kubwa mnoo Allah akujalie afya na maisha marf uzid kuwatoa hao ambao bdo wapo gizan amiiyn. Jazakallah khaira ba'ada lkhar Jannatun na'ghiim Biidhinilah. Hakika cwez kuwa na mb niache kufyatilia video zko ambazo zina elimisha.Barakallahufiqum Idhaa Aradallah.

  • @HassanJaphari-rx7jy
    @HassanJaphari-rx7jy2 ай бұрын

    MashaAllah AllahuAkbar Alhamdulillah I'm a Muslim ☝️🕌♥️♥️♥️

  • @user-ro9ch4jf2m
    @user-ro9ch4jf2m2 ай бұрын

    Assalamu Alykum Nafurahi sana Sheikh Ramadhan kuregea tena tunakufwatiza daima Allah awabarik nyote wahusika Straight path Dawaah

  • @user-rc7oi2hp8l
    @user-rc7oi2hp8l2 ай бұрын

    Ma sha Allah tabaraka Rahman

  • @user-cw5sk7wd6g
    @user-cw5sk7wd6g2 ай бұрын

    Mashallah Allah akuhifadhi Sheikh kwa kazi nzuri

  • @hythamhashiem4458

    @hythamhashiem4458

    2 ай бұрын

    اللهم آمين يارب العالمين

  • @hythamhashiem4458
    @hythamhashiem44582 ай бұрын

    ماشاء الله تبارك الرحمن

  • @hassadube225
    @hassadube2252 ай бұрын

    Mash. Allah

  • @hythamhashiem4458
    @hythamhashiem44582 ай бұрын

    : قَالَ يَا أَيُّهَا الْمَلَأُ أَيُّكُمْ يَأْتِينِي بِعَرْشِهَا قَبْلَ أَن يَأْتُونِي مُسْلِمِينَ (27:38) To his courtiers Solomon *43 said, "Which of you can fetch me her throne before those people come to me in submission

  • @UMMYYFATMA
    @UMMYYFATMA2 ай бұрын

    MASHALLAH ❣️ ❣️

  • @faridbashuu
    @faridbashuu2 ай бұрын

    Tuna silimu kujisalimisha kila siku. Quran 2:128 Jazakallah Kheiran Nyotee

  • @daudmwati
    @daudmwati2 ай бұрын

    Aslam alaykum warahmatullah wa barakatuh Alhamdulilah,u are back again shecik

  • @mohamedbashey8502
    @mohamedbashey85022 ай бұрын

    Eh siyo yeye wa kwnza kuislimu bali ni miongoni mwa waliyo islimu wa kwnza Sasa ❤

  • @Fujo3840
    @Fujo38402 ай бұрын

    Mashallah, jazakallah sheikh Ramadhan

  • @salmanassor8732
    @salmanassor87322 ай бұрын

    Mashallah ❤

  • @RamadanPaul
    @RamadanPaul2 ай бұрын

    Tunawapenda sana wakenya wote🇹🇿

  • @Noorein-ws8wk
    @Noorein-ws8wk2 ай бұрын

    ALLAHU AKBAR

  • @mamawamuya
    @mamawamuya2 ай бұрын

    Ma sha Allah

  • @user-iz1er8vg7u
    @user-iz1er8vg7u2 ай бұрын

    Mashallah KAZI zuri

  • @adanabdi5249
    @adanabdi52492 ай бұрын

    Sawa

  • @muminaroba9122
    @muminaroba91222 ай бұрын

    Mashaallah

  • @user-du2fy5sd5u
    @user-du2fy5sd5u2 ай бұрын

    مشأ الله تبارك الرحمن فرحان

  • @abdallasuleiman8785
    @abdallasuleiman87852 ай бұрын

    That's where the problem is, they don't believe that's Jinns are creatures of God yet they claim that God is the creator of everything.

  • @user-hy5zd5rn6r

    @user-hy5zd5rn6r

    2 ай бұрын

    Even Satan is a creature created by God,but telling us that Satan became muslim by the help from Mohamed,it's terrible scary 😮

  • @abdallasuleiman8785

    @abdallasuleiman8785

    2 ай бұрын

    @@user-hy5zd5rn6r Who told you they became muslims by the help of Muhammad (S.A.W)? It is God who guides who He wills and leave astray who He wills. Muhammad is just a messenger and a warner, he has no power over that. Humans and Jinns were created with a free will to obey or to disobey the commandments of God. Stop putting words in our mouths be humble and seek knowledge that is the only way to get out of ignorance.

  • @user-hy5zd5rn6r

    @user-hy5zd5rn6r

    2 ай бұрын

    @@abdallasuleiman8785 Ni Kwa bahiti mbaya Adam na wanawe hawakufanya jitihada kumslimisha shetani,ni Mohamed pekee ndio kaslimisha shetani

  • @abdallasuleiman8785

    @abdallasuleiman8785

    2 ай бұрын

    @@user-hy5zd5rn6r In this modern world ignorance is a choice and that's what you have chosen to be. I have have told you already Muhammad (S.A.W) is just a messenger of God. If he has that power he he could have reverted all his relatives to Islam but he couldn't. That was a revelation from God revealed to him that there is a certain group of Jinns have heard the Qur'an and they have submitted to their creator. Jinns are unseen creatures Muhammad (S.A.W) never meet them.

  • @user-hy5zd5rn6r

    @user-hy5zd5rn6r

    2 ай бұрын

    @@abdallasuleiman8785 Have you understood my point or you don't understand? Nimekupa kutoka Kwa Hadith,stop jumping to your Qur'an.Read and get my point bro

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila45722 ай бұрын

    Uyo mtu nimshindani sana

  • @adrisshagi1255
    @adrisshagi125517 күн бұрын

    Ramadan. Unge unyesha when İbrahim aw. Wakati ana sema. Ini awalan. Musliman kuwa babake

  • @nayef3903
    @nayef39032 ай бұрын

    Huyo msabato ni mshindani kila siku

  • @faudhiasaidi3669
    @faudhiasaidi36692 ай бұрын

    Uyu hajui kama MALAIKA wameumbwa kwa NURU majini wameumbwa kwa moto yeye anaunganisha tu anasema MALAIKA ndo majini 😢

  • @hythamhashiem4458
    @hythamhashiem44582 ай бұрын

    Anae silimu huwa mwanzo si muislamu! lakini mitumi wakizaliwa wazaliwa ni waislamu mpaka kufa kwao

  • @Jingajinga64

    @Jingajinga64

    2 ай бұрын

    🙄😮😢

  • @kennodhiambo

    @kennodhiambo

    2 ай бұрын

    Hebu nielezee uislamu ni nini na mtu anafaa kufanya nini ndiyo awe muislamu?

  • @samxx411

    @samxx411

    2 ай бұрын

    Uislamu ni kujisilimisha ( kunyenyea) kwa Mwenyezi Mungu) yaani Allah. Mtu ambae si muislam inampasa kukubali kwa moyo na kutamka kwa mdogo kwa Mungu ni mmoja na Muhammad ni mtume wake. Baada ya hapo unatakiwa ujifunze uislamu ili uujuwe na ufuate yaliyoamrishwa na ujiepushe na yale yaliyokatazwa na Mungu.

  • @kennodhiambo

    @kennodhiambo

    2 ай бұрын

    @@samxx411 umenijibu vyema kabisa. Kwa hivyo manabii kama Musa, Nuhu, Issa walimkiri Muhammad kuwa mtume halafu wakajifunza uislamu kufuata yaliyoamrishwa ....

  • @samxx411

    @samxx411

    2 ай бұрын

    @@kennodhiambo hapana kila nabii alitumwa kwa wakati wake, na katika huo wakati unatakiwa umkubali huyo nabii aliekuwepo wakati huo, mfano wakati wa ibrahim, umwamini Mungu mmoja na ibrahim ni mtume wa Mungu, wakati wa Mussa, umwamini Mungu mmoja na Mussa ni mtume wake, wakati wa yesu, umwamini Mungu wa kweli na pekee na yesu uliyemtuma, wakati wa Muhammad, nashuhudia Mungu mmoja na Muhammad ni mtume wake. Ina maana manabii wote ni waislamu tangu Adam ila Mungu analeta nabii pale watu wanapoacha na kuyasahau mafundisho yake awe ndio njia ya kurudi kwa Mungu.

  • @adrisshagi1255
    @adrisshagi125517 күн бұрын

    Ramadan Asalamu aleykum . Huyo kei ume kutana ni. İblisi.

  • @capper7977
    @capper79772 ай бұрын

    Panguza CD sheikh scratch mingi hii video🤣

  • @hassanadam3007
    @hassanadam30072 ай бұрын

    Assalam aleiykum wr wb ustaz piga short cut huku anapoteza time Kuna watu wengi wanangoja kuuliza

  • @higahassib6614
    @higahassib66142 ай бұрын

    Sheikh Ramadhan huyo hana hoja ushindani tu

  • @thambiristar2802
    @thambiristar28022 ай бұрын

    Hamjawai mwona mwalimu ndacha akienda kwa waislamu wenye hawajui Quran, mlijibiwa Na ndacha kitambo, aai endeni congo

  • @StraightPathDawah

    @StraightPathDawah

    2 ай бұрын

    Ujumbe unazidi kueleweka na watu wengi wanazidi kuacha ukafiri

  • @hassanadam3007
    @hassanadam30072 ай бұрын

    Watu kama hawa wanakuja tu kupoteza mda

  • @hythamhashiem4458
    @hythamhashiem44582 ай бұрын

    Wakristo eeeh!! Sikila jini ni shetani na kila setani ni jini

  • @HassanSaid-eu2pv

    @HassanSaid-eu2pv

    2 ай бұрын

    jini nikiumbe, shetani ni sifa, atabinadam Akiwa muovu, anachukua sifa ya shetani kwaio, kunashetani wa kijini na wakibinadam, matendo yakondio yanakupeleka katika ushetani

  • @bekamwaba3571

    @bekamwaba3571

    2 ай бұрын

    ​@HassanSaid-eu2pvl loud voice bro

  • @habibasalim3092

    @habibasalim3092

    2 ай бұрын

    Very true, ​@@HassanSaid-eu2pv

  • @BennyCrisanto
    @BennyCrisanto2 ай бұрын

    👍👍👍👍👏👏👏🤲🤲🤲❤️❤️❤️

  • @salimbilali5174
    @salimbilali51742 ай бұрын

    Seven hour sauti yake inafaa ifanye promotion

  • @patrickmaina5459
    @patrickmaina54592 ай бұрын

    Mkristo anaye jielewa, HALLELUJAH

  • @namasakajuniorke3886

    @namasakajuniorke3886

    2 ай бұрын

    Amen...hawa waisilamu hawana hoja

  • @alyumaraos

    @alyumaraos

    2 ай бұрын

    Kama kujielewa ni huko hongera jamaa anasema majini ni malaika na ww unasema haleluyaa daaah msiba huo!

  • @patrickmaina5459

    @patrickmaina5459

    2 ай бұрын

    @@alyumaraos una masikio nahusikii Amesema vizuri sana Mungu hakuumba majini, Malaika walio ASI Mwenyezi Mungu ndio wanaitwa majini,mnao sema ni mazuri sijui yanawapa pesa 🤔

  • @alyumaraos

    @alyumaraos

    2 ай бұрын

    @@patrickmaina5459 heb tuambiane ukwel na kuwa muwaz kwaiyo kwa imani yako ww majini ni malaika walio asi unaweza ukatupa ushahidi wa maandiko au ni akili za kanisan t ?.

  • @patrickmaina5459

    @patrickmaina5459

    2 ай бұрын

    @@alyumaraos Ufunuo 12:7-9 📖

  • @thambiristar2802
    @thambiristar28022 ай бұрын

    Huyo jamaa atakushida mada ni vile humpei time

  • @habibasalim3092
    @habibasalim30922 ай бұрын

    Jinn sio shetani ila jini anaweza kua shetani hata kwanadamu anageuka kuwa shetani kulungana na virendo vyake,Hata mwenye kuritadisha watu ni shetani

  • @ibrahimMeshak
    @ibrahimMeshak2 ай бұрын

    Kama kiramutu anayezariwa nimuisiram namusa akwa nimuisiram wapi arisema katika kitabu vyakare mana koroani nirikua haipo

  • @Sal.0
    @Sal.02 ай бұрын

    Hii Cult ya SDA, ime anzishwa na MAMA mzee, Mzungu, na hutu Omera ana fikiri ana weza kui challenge ISLAM, kama Mu SDA??? NENO ilio tumika katika hiyo Ayah ni 'SUBMIT'! SIO, 'become a muslim'! Ma KAFIRI waki taka kuwa WaISLAM, huwa ana tamkishwa SHAHADA laku SUBMIT! Akisha SUBMIT, ndio ana anza ku itwa Mu*slamu!

  • @dvjkelly8449
    @dvjkelly84492 ай бұрын

    kuria anajifanya koroga festival, siku akutane na mimi, ndo atajua kukorogana ni nini, angekimbia kama alivyokimbia kwa live ya mwalimu kasina

  • @kennodhiambo
    @kennodhiambo2 ай бұрын

    Mimi ninadai tu kujua ni nani anayeongea katika Quran. Nikishajua ndipo nitatoa mchango mahsusi

  • @dvjkelly8449

    @dvjkelly8449

    2 ай бұрын

    anayeongea ni mashetani, na huyo muhammad ambaye kwetu sisi ni bro tu kama mabro wengine

  • @kennodhiambo
    @kennodhiambo2 ай бұрын

    Wuueh! Umepatana na mtu hamwezi kudanganya!!

  • @Adm9464

    @Adm9464

    2 ай бұрын

    You mean huyu Msabato? In the first few minutes he was rebuked by the Sheikh . Hakuna dini inaitwa ukristo anywhere in the Bible. There’s no book revealed by God called the Bible because you can’t find the word bible in it . Tell me who revealed the Bible, when was the Bible revealed, which country or region was it revealed? Which prophet was it revealed to ? We need clear evidence not just talk. We are in the digital era my friend. You guys have been hiding and lying to people for a very long time. Not any more. We are smarter and we can figure out the truth from the false.

  • @alyumaraos

    @alyumaraos

    2 ай бұрын

    Kwan hapo kuna kudanganyana acha ushabiki na kufuata akili za kanisan

  • @kennodhiambo

    @kennodhiambo

    2 ай бұрын

    @@alyumaraos uislamu ni uwongo mtupu

  • @alyumaraos

    @alyumaraos

    2 ай бұрын

    @@kennodhiambo tuna weza kukubal ila kati ya waislam na nyinyi wakristo nan wanadanganywa heb nikuulize swal ww tokea ulipo anza kwenda kanisan ushawah kupewa andiko ukristo ni dini ya mungu na kama hujapewa kati ya waislam na wakristo nan wanadanganywa?

  • @StraightPathDawah

    @StraightPathDawah

    2 ай бұрын

    Hiyo ni part one kaa utulie

  • @prochesernest5439
    @prochesernest54392 ай бұрын

    Muhammad hakuwa mwislamu alikuwa mpinga kwamujibu WA hiyo Aya 6:14 ,163 kwaiyo akuzwaliwa kwenye uislamu ndomaana kaambiwa asilimu msiwe wajinga kwa kudandanganya quruan ni kitabu Cha majini je majini yaliumbwa yakiwa waislamu?

  • @Adm9464
    @Adm94642 ай бұрын

    Give us any clear evidence from the Bible that one prophet of all the thousands of the prophet were Christians. Just talk without any proof is not enough

  • @kennodhiambo
    @kennodhiambo2 ай бұрын

    Ninaomba ndugu zangu waislamu wanijibu swali hili; Anayeongea katika Quran ni nani?

  • @RamadanPaul

    @RamadanPaul

    2 ай бұрын

    Ni mwenyezi Mungu kupitia kwa malaika, kwenda kwenda mtume kwenda kwa waandishi kwa kauli wakilishi.

  • @user-op7vm9mr3z
    @user-op7vm9mr3z2 ай бұрын

    Huyo ustaadh ni mjanja sana anaungaunga maandiko kukujengea hoja hakuna uislam kabla ya muhamad na kuran imetokana na huyo huyo mohamed. Waislam wanaoamini na waamini wakristu nao waendelee na imani yao kila mtu kivyake

  • @abdirizackabdi1274

    @abdirizackabdi1274

    2 ай бұрын

    Sheikh akona evidence we pia kusema hivo tunataka evedence yako hatutaki maneno ya kichwa tunataka maandiko

  • @samxx411

    @samxx411

    2 ай бұрын

    Tatizo lenu hamjuwi maandiko lakini wakaidi na mnajifanya mnajuwa

  • @weliaaqilofficial2483

    @weliaaqilofficial2483

    2 ай бұрын

    wcha story mingi soma vitabu ujue mengi.kama hauna habari wafuasi wa yesu rasmi ni waislamu kulingana na jinsi yesu alikuwa ana abudu wala sio nyinyi mnao mtaja kwa mdomo pekee

  • @weliaaqilofficial2483

    @weliaaqilofficial2483

    2 ай бұрын

    na kwa tarifa yako kwenye yesu alikuwa anaabudia mungu ni mskiti wa al Aqsa(jerusalem)

  • @habibasalim3092

    @habibasalim3092

    2 ай бұрын

    Ustadh Ramadhani kaguo mwenyewe alleluia ndani ya kanisa, na humo humo ndani akaj7a uislamu kupitia Bible

  • @user-hy5zd5rn6r
    @user-hy5zd5rn6r2 ай бұрын

    Toeni andiko kwa kitabu cha Musa(Torati) au Injili (Yesu) au Zaburi (Daudi) wakisema sisi ni muislam.Hao manabii wameslimishwa wakiwa hawako.😂

  • @RashidAthumani-kt5pf

    @RashidAthumani-kt5pf

    2 ай бұрын

    Hivo vitabu havipo duniani sasajivi

  • @fatumamwalimu5765

    @fatumamwalimu5765

    2 ай бұрын

    Kwanza unatakiwa kujua kua kwenye bibilia zenu hakuna injili, hakuna zaburi wala taurati, kuna haya 👉 injili kama alivyo andika MARKO, injili kama alivyo andika luka na injili ya watu wasio tahiri hiyo niya Paulo, injili ya yesu haijafika 4 pgs kwenye bibilia, bibilia kuna kumbukumbu la tourati nasio taurati, alafu twende kwenye neno ISLAM hilo ni neno la kiarabu linamaanisha kunyenyekea kwa MUNGU, sasa kati hao manabii uliowataja na unajitekenya ni nabii yupi hakunyenyekea? Alafu uingie kwenye hizo bibilia zenu utuonyeshe ni andiko gani linasema mussa na Issa walikua wakiristo na manabii wengine

  • @user-hy5zd5rn6r

    @user-hy5zd5rn6r

    2 ай бұрын

    @@fatumamwalimu5765 I peter 1:10 The prophets studied careful and tried to learn about SALVATION.They spoke about the grace that was coming to you. 11-The SPIRIT OF CHRIST WAS IN THOSE PROPHETS,And the Spirit was telling about the sufferings that would happen to Christ and about the glory that would come after those sufferings. Have you understood?

  • @user-hy5zd5rn6r

    @user-hy5zd5rn6r

    2 ай бұрын

    @@RashidAthumani-kt5pf Kama havimo mlijuaje waislamu kama sio uongo?🤷

  • @fatumamwalimu5765

    @fatumamwalimu5765

    2 ай бұрын

    @@user-hy5zd5rn6r umejitahidi kuandika kwa lugha ya yesu 😄🤣😂😆😄🤣 lakini maelezo yako ni maoni yako, bibilia zenu zinaeleza wazi kua baada ya miaka mingi yesu kuondoka duniani Paulo na watu wake waliitwa wakiristo kwanza huko Antokya ,tena kwenye maelezo hayo yanasema hivi 👉WANAFUNZI WALIITWA WAKIRISTO KWANZA HAPO,ANTOKYA, ILO NI JINA LAKUPANGA WALILOLITUMIA WAPAGANI WA ANTOKYA KAMA JINA LA UTANI 👈 kristo ni nabii kama walivyokua manabii wengine, na kila nabii alikuja kwa wakati wake, kauli ya yesu hii 👉SIKUTUMWA ILA KWA KONDOO WALIOPOTEA WANYUMBA YA EZRAEL 👈 hii haya waiamini au utuachane nayo?

Келесі