OMOSH JAKABABA AKA (OMOSH ONE HOUR) ASILIMU BAADA YA KUFUATILIA DAWAH MITAANI.
Tafadhali subscribe kwenye channel ya Straight Path Dawah ili uendelee kunufaika kupitia video zetu. @StraightPathDawah Dawah Mashinani, Dawah Mitaani, Dawah popote wakati wowote.
Пікірлер: 308
Omosh akasome dini na tumsaidie waislamu sababu ataleta mazuri in sha Allah.
Uislamu unazidi kupenya inshallah Allah awape nguvu katika dini.
Assalamu Alaykum. Mi mfuasi mmoja toka ugahaibuni haswa Australia. Heshima kwako kabisa na timu wako kwa kuenea dini ya U isilamu. Mwenyezi Mungu awape nguvu ya kuendelea kuenea kila wakati na awape Jannah, na pia naomba Allah kupitia kwako awalete wasiokuwa Waislamu kundi zuri la uislamu
Ningependa kuwaalika mtuletee daawah huku Kiserian, Kajiado County. Niko na maswali kadhaa ambayo sijampata Mwislamu ameweza kunijibu kikamilifu
@rashidjuma4332
3 ай бұрын
Uliza hapa ujibiwe
@athumanramadhan6001
3 ай бұрын
Tumana transport waje
@abdirizack4066
3 ай бұрын
Sema ndugu
@Billcl8nyon
3 ай бұрын
I hope sheikh ameona comment yako. You can also visit the nearest mosque to get answers to your question
❤❤❤ Masha'Allah...welkam omosh
MashaAllah ❤ One of my favorite channel @stright path daawah
Mashallah omosh Allah akuongoze muimu soma dini ujifundishe kulingania watu mana kuongeya wajua
Maashaallah! Mungu awahifadhi maustadhi wetu
May Allah give you long life with ibadah sheikh ramadhaan. I love you for the sake of Allah!
Allahu Akbar ☝️ Masha Allah brother welcome to the right path
Am christian but i love the move of Muslim
@mohamedibrahim7732
3 ай бұрын
you are very welcome brother
@user-pc9nd7qx7w
3 ай бұрын
Bro Islam is your religion. Pray to GOD that you don't die before you join Islam
@mistasaa9214
2 ай бұрын
you are muslim, according to prophet Muhammad P.U.H every human being is born muslim but their parents guide in other false religion either juddaism, christianity, hindu etc so plz now take your self decision to enter the path to reach your lord
MashAllah MashAllah MashAllah
Shekh asante Kwa KAZI nzuri unayoifanya. Allah akupe wepesi.
Mashaalah hongereni Kuwapa dawa hao wakristo
Tabarakah Allah ndugu yetu akapate kusoma dini yetu zaidi…ins sha Allah
Masha Allah, Allahu Akbar, Allah azidi kuwafunulia vifua vyao wale ambao wanaitafuta hakhi Allah Ummah Amiin
MashaAllah Tabaraka Allah, Omosh alisilimishwa masjid Jamia. MashaAllah mwenyez Mungu azidi kukuongoza
Mashallah mashallah mashallah uislam unazidi kukua alhamdulilah
Mashallah Sasa bidii asomeshwe.
Ramadhan na omosh...aamiina
MashaAllah 💕
MashaAllah Allah awalipe kheri duniani na akhera
MashaAllah shaikh ndugu rama Allah amekupa kipawa cha kujibu amekupa na subra na Allah akuzidishie ilmu na akujaalie IKHLASW..amiina
Alhamdulilah huyo jamaa nampenda hana woga amejua dini ya haki mm ni mtanzania nawafuatilia sana bando langu linaishia kwa ramadhani kuria
@fatmamsiliwa8485
3 ай бұрын
Safi sana
Mashallah alhamdulillahi kwa kazi nzuri
MashaAllah tabarakallah
Allahu Akbar,mashAllah Allah amuongoze zaidi katika uislam
Good job sheikh ramdhan
Mashaa Allah Allah Awaongoze Wote
Ma shaa Allah,,,, Shukrani Kwa kurudi ground
Mashallaha
Omosh masha Allah mungu akuongoze
Manshallah thabarakallah Allahuma hafidh YAA RABIL_ALAMEEN
Masha Allah tabarakallah
Takbir ALLAHU AKBAR...
Maalim omosh apelekwe madrasah ni mtu wa kuongea anaweza kukusaidia katika harakati hii
@fatmamsiliwa8485
3 ай бұрын
Muhubiri mzuri sana
@fatmaali9305
3 ай бұрын
Mashallah anaeza peana daawa nzuri sana❤
Masha allah
Mashallah abdullahi aka omosh one hour
Mashaallah
MANSHALLAH ❤MANSHALLAH
Allah u Akbar hakika Allah humuongoza amtakae
Mashallah ..❤
Mashallah tabaraka Allah
Masha Allah Allahu Akbar
Shekh Ramadhan mumetuacha mataani muhadhara ulikua mzuri mashaallah
Mashalah hongera kwa kuwapa dawa.wewe kuria ndio ulichangia sana Mimi kujua ukweli.jazalhera
Mashaaa Allah good job ustadh Allah awahfadh Aamiin
Kwa muhadara I have never seen Wakristo ready for battle . They don’t understand their own faith that they are proud of , it’s always going to the library to do research which they don’t come back because they see what’s in the scriptures.
@user-hy5zd5rn6r
3 ай бұрын
Because they target people without knowledge....the day they will meet a person who understand Qur'an and hadiths, that's when you will see the truth
ALLAH hu AKBAR ❤❤❤❤
Mashallah ❤
Ramadan you're intellectual bro
MashaAllah
Mbona ustadh Ramadhan unapo sema Amin inatoka kama ya yesu wa tongaren? (Aminaa)
@amadimagadi7978
3 ай бұрын
😂😂😂ni kweli
@andallaathman3856
3 ай бұрын
Aliiba kule toka siku hajaiacha aliiba na wajua huyu kaa sheikh kma ajua comedy
@Noorein-ws8wk
3 ай бұрын
😂😂
@ustadhfarouq7729
3 ай бұрын
Hivi ww wajua maana ya neno AMIN? Maanake ni let it be, yaani naiwe hvyo hutumika wakati wakuitikia dua..
@StraightPathDawah
3 ай бұрын
YESU WA TONGAREN ndiye aliyechukua kwetu.
Mabruk mashekh
MashaAllah Omosh
Masha Allah Allah
Mal Allaah reward you with goodness sheikhnaa❤
Takbir Allahu Akbar ☝️ Masha Allah ❤️ jakababa well come to Islam Brother the truth Religion Masha Allah ❤️
MashaAllah Omash well come to islam bro
May Allah guide him to straight path
Masha Allah keep up Ustaad Allah will Reward you
Wow Nuru okanga anasoma surathul fathiha vizuri sana, Masha Allah na hongera kwa Omosh one hour. Nimefurahi sana tena sana.. wapi Usiku wa manane?😂.. Watching all the way from Toronto Canada
Omoshi kuja mombasa utembee bro
Ati Nuru bado ako Form 1, na Term 1!😅😅 Hio ni Kali kweli. TabarakAllahTeam.
Nuru okanga fundisha omosh dini ya wislam
Allah akabr mashallah karibu kwenye dini ya haki ndugu omosh
Masha Allah 💖💖💖
Mashllah maalim peleka omosh Madarasa
MashaAllah MashaAllah MashaAllah ❤
Ma sha Allah
Binadamu wote si wakamilifu. Kurekebishwa ,kulekezwa na kushauriwa zote zinakubalika. Inapendeza anae rekebishwa, kulekezwa na kushauriwa kukubali ikiwa amekosea na ikiwa hakubali basi asifanye kwa hamaki au kejeli. Huo ni ushauri wangu tu kwa upole tu.
Masha llah❤❤
Mashallah
Mashah Allah, juhudi zenu Mungu ataziwezesha
Jazakallahu Khair
Maa. Shaa Allah ❤❤
Masha Allah May Allah Guide him and bless his path. Amiin
Mashallah ramadhani akulipe Allah kwa kazi nzuri❤❤❤🎉🎉
Ma Shaa Allah
❤w salaam ww ❤
Ma shaa Allah
Maa shaa Allah tabaraka Allah
Mashallah sheck
Allahu Akbar, Allahu baraarik
Masha Allah 🤲🏻❤️❤️❤️
MASHA ALLAH ❤❤❤❤❤
Masha Allah ustadh Ramadhan Mungu awaihafadhi Na awalinde Na kila Aina ya vizuizi
Mashaallah omosh jakababa amekua mwenzetu,Allah karim
Ma Sha Allah, Barakah llahu fiik,Allah Awazidishie Subraa Masheikh zetu, Waislm wakiulizwa Wanajibu direct,andikoo Linasomwa Direct and Clear,Ila Xaxa Hawa wenzatu wanajua Hakiii lakinii wanaletaaa ubishi,Sasa Yesu Atakuwa Vipi Mungu?Na Atakuwa Vipi Tena Mwana? Mungu Atuongoze dark Kherii
Ustadh Ramadhaan Mashallah uko set
Uislamu unaenea mashallah
Mashalla
Watu kama kina omosh ndio watakao weza kunusuru uislam.
@bakarikenga4426
3 ай бұрын
Sheikh ramadhan kuria unafanya bidii sana mashaallah na ulifanya kusilimu. Umezidi walio zaliwa waislam.
مشالله تبارك الله
Sheikh ramadhan naona si mzuri kutumiya aminaaaa kama wakristo tena si vuzuri kujifanananisha na hao
@StraightPathDawah
3 ай бұрын
Stop being negative dakika 50 zote unatafuta la kikashifu hujaona la kheri.
@jumahamisi9328
3 ай бұрын
Amina haijakuwa shida
Na mjue hawa masheik wanashindanga na hizi vitabu,sio kama nyinyi mwaipitia tu leo, hawa wajanja sana
@kassimngao2282
3 ай бұрын
Wewe pasuka...chuki hizo
@saumbliz8983
3 ай бұрын
Wewe nenda kasomewe bibilia
Welcome brothers.
Welcome ndugu oMosh.we love you
Barikiweni
Assalamu Alaykum now days niko busy bt Alhamduililaahi nimerudi