ALIINGIA UISLAMU KWA KUPATA MSAADA NAKUUACHA KWA KUFUATA "DEM"

Please consider subscribing to our Channel. ‪@StraightPathDawah‬

Пікірлер: 51

  • @Jingajinga64
    @Jingajinga64Ай бұрын

    Allahumma yassir wala tu'assir. Allahumma Barik ustadh Ramadhan

  • @ibrahimwoche2278
    @ibrahimwoche2278Ай бұрын

    ❤mashaallah. watu watafute mungu.mkue waongofu ALLAH atufahamishe zaidi.sheikh ramadhan na mzee yusuf hakika ALLAH atapenda kazi zenu.ALLAH awalipe mambo mema siku ya kiyama.inshaallah❤❤❤

  • @husseinmwenja4398
    @husseinmwenja4398Ай бұрын

    MashAllah alienda ukristoni huko sijakujua kaka Ramma kazi nzuri ustad MashAllah MashAllah MashAllah

  • @faudhiasaidi3669
    @faudhiasaidi3669Ай бұрын

    Kaka umemfundisha vizuri uyu mzee

  • @MariamAsudi
    @MariamAsudiАй бұрын

    MashaAllah MashaAllah may Allah guide us all Muslim in the right path

  • @abdiidaawah-yv9bg
    @abdiidaawah-yv9bgАй бұрын

    MashaAllah maustadh wetu Allah awape jannah ya ngazi ya juu yaani Firdous Al-A'la kwa idhini ya Mwenyezi Mungu

  • @ibruzah001
    @ibruzah001Ай бұрын

    Assalam Alaikum warahmatullahi wabarakatuhu Mashekhe wetu ninawaomba mhudumie mtu mmoja mpaka afahamu, kabla ya kumwendea mwingine, haswa huyo wa kuritadi anafaa kuelewa uisilamu vizuri ndio arudi katika uisilamu. Mtaka yote hukosa yote. Afadhali kuzungumza na mtu mmoja ashike mafundisho vizuri, kuliko wengi na kukosa kufahamu. Shukran wa Jazakumullah kheyral jazaa ❤

  • @Fumokale
    @Fumokale27 күн бұрын

    Nakubali ramadhan kuria uko mombasa zone...mashaAllah Allah akuwezeshe na akujaalie IKHLAS...aamiinaaa

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847Ай бұрын

    Masha Allah 💖

  • @aburaasmedia3682
    @aburaasmedia3682Ай бұрын

    Masha Allah

  • @seifserenge3340
    @seifserenge3340Ай бұрын

    Wa alaikum salaam wa rahamatullahi wa barakaatuh. Mashehe wetu Allah awabarik sana. Mimi icho kitabu nakihitaji nitakipata vipi

  • @StraightPathDawah

    @StraightPathDawah

    Ай бұрын

    Utapata insha'Allah piga simu

  • @SalmanMughal-lq5lt
    @SalmanMughal-lq5ltАй бұрын

    SubhanaAllah.hee.kumepambaMoto.Yesu.leo.kageukaMalaikaHee.jamenKueniWaislam

  • @AngoSheriff-be5mq
    @AngoSheriff-be5mqАй бұрын

    Kazi safi huyo jamaa wa tukutuku amazing sana mtafute tena inshallah

  • @Shilangadi
    @ShilangadiАй бұрын

    Mashaallah

  • @malikdodo5190
    @malikdodo5190Ай бұрын

    Walaikum salaam warahmatu-llahi wabarakatuh

  • @zainabhussain4114
    @zainabhussain4114Ай бұрын

    Waleykum salam wallahumatullah wabarakatuh

  • @ISSAHUSSEIN-of7di
    @ISSAHUSSEIN-of7diАй бұрын

    Kazi nzuri Sana,, je, nikihitaji kua mwislam nawezakujisilimisha mwenyewe?

  • @AngoSheriff-be5mq

    @AngoSheriff-be5mq

    Ай бұрын

    Fika Kwa walio wetu popote ulipo

  • @laotzu4210
    @laotzu4210Ай бұрын

    Ustadh yusuf ajifunze ku keep distance anapouliza maswali. Haya ni maoni yangu tu! Shukran

  • @StraightPathDawah

    @StraightPathDawah

    Ай бұрын

    Ujumbe umefika 😊

  • @amirmohamedali7922
    @amirmohamedali7922Ай бұрын

    Hapo ndipo shekh Yusuf Yesu alikua mkristo au krsto

  • @Sal.0

    @Sal.0

    Ай бұрын

    Maana ya Neno 'Kristo', ni a Messenger, or a Prophet! The word 'christos', has NO other meaning!

  • @user-rc7oi2hp8l
    @user-rc7oi2hp8lАй бұрын

    Mungu hana udhaifu wowote hakuzaa wala hakuzaliwa n hafanan na kitu chochote.amekamilika yeye tu wa peke

  • @adanabdi5249
    @adanabdi5249Ай бұрын

    Sawa kabisa.

  • @amirmohamedali7922
    @amirmohamedali7922Ай бұрын

    Ndugu wakiristo Amani ya Allah iwe kwenu.Yesu akawa salimia kwa salamu hiyo. Nawauliza swali? Yesu alikua mkristo ama kristo

  • @faudhiasaidi3669
    @faudhiasaidi3669Ай бұрын

    Imani bila matendo imekwisha Wewe unaimani kuwashinda mitume? Maana mitume walikuwa wanaswali na n.k na wanaimani kukishinda wewe sasa we jifanye unaimani sana alafu kaa bila dini

  • @kimzymamy6594
    @kimzymamy6594Ай бұрын

    Wlkum salaam warhmatullah wabarakatuh. Naeza. Kupata wapi hiko kitabu

  • @nayef3903
    @nayef3903Ай бұрын

    Bora muwasomee nyinyi kuliko kuwambia wajisomee. Manake wengi huwa wananajisi

  • @StraightPathDawah

    @StraightPathDawah

    Ай бұрын

    Wajisomee waelewe.😮

  • @ramadhankilango9088
    @ramadhankilango9088Ай бұрын

    Mi naitwa Ramadhan Mohamed niko Tanzania Tanga, nahitaji hicho kitabu mimi ni shabiki enu sana,nitakipataje?

  • @martymcfly9232
    @martymcfly9232Ай бұрын

    Hapo ni Mpeketoni

  • @StraightPathDawah

    @StraightPathDawah

    Ай бұрын

    Lights mombasa

  • @martymcfly9232

    @martymcfly9232

    Ай бұрын

    @@StraightPathDawah Asante

  • @StevenMutale-xt9yj
    @StevenMutale-xt9yjАй бұрын

    Wewe shekih unapo sema yesu Si Mungu Mimi najua unapingia Bure ila ukivi nyumba Yako unatubu Mimi ninakuoma kwaro waro waulimwengu

  • @ustadhfarouq7729

    @ustadhfarouq7729

    Ай бұрын

    YESU alikufa na akazimwa kwa imani yenu je, Mungu hufa? Mungu huzaliwa na wanadamu,je mungu ni Mtu,je mungu yuko na miaka?

  • @minhajsahal4467

    @minhajsahal4467

    Ай бұрын

    You're on the wrong site.

  • @fatumamwalimu5765

    @fatumamwalimu5765

    Ай бұрын

    Yesu mwenyewe anasema hivi 👉LAKINI SASA MNATAFUTA KUNIUWA MIMI MTU NILIEWAAMBIA UKWELI NILIOUSIKIA KWA MUNGU 👈 hiyo nayo lazima uifute kwenye bibilia kwanza

  • @Bahati47

    @Bahati47

    Ай бұрын

    Kwahiyo MUNGU wako hawzi kukusamehe dhambi mpaka ajiue mwenyewe?

  • @fatumamwalimu5765

    @fatumamwalimu5765

    Ай бұрын

    Atatubu kwa mengine lakini sio kutubu kwakusema yesu sio mungu, yesu sio mungu