❤mashaallah. watu watafute mungu.mkue waongofu ALLAH atufahamishe zaidi.sheikh ramadhan na mzee yusuf hakika ALLAH atapenda kazi zenu.ALLAH awalipe mambo mema siku ya kiyama.inshaallah❤❤❤
@husseinmwenja4398Ай бұрын
MashAllah alienda ukristoni huko sijakujua kaka Ramma kazi nzuri ustad MashAllah MashAllah MashAllah
@faudhiasaidi3669Ай бұрын
Kaka umemfundisha vizuri uyu mzee
@MariamAsudiАй бұрын
MashaAllah MashaAllah may Allah guide us all Muslim in the right path
@abdiidaawah-yv9bgАй бұрын
MashaAllah maustadh wetu Allah awape jannah ya ngazi ya juu yaani Firdous Al-A'la kwa idhini ya Mwenyezi Mungu
@ibruzah001Ай бұрын
Assalam Alaikum warahmatullahi wabarakatuhu Mashekhe wetu ninawaomba mhudumie mtu mmoja mpaka afahamu, kabla ya kumwendea mwingine, haswa huyo wa kuritadi anafaa kuelewa uisilamu vizuri ndio arudi katika uisilamu. Mtaka yote hukosa yote. Afadhali kuzungumza na mtu mmoja ashike mafundisho vizuri, kuliko wengi na kukosa kufahamu. Shukran wa Jazakumullah kheyral jazaa ❤
@Fumokale27 күн бұрын
Nakubali ramadhan kuria uko mombasa zone...mashaAllah Allah akuwezeshe na akujaalie IKHLAS...aamiinaaa
@fardoshnassor7847Ай бұрын
Masha Allah 💖
@aburaasmedia3682Ай бұрын
Masha Allah
@seifserenge3340Ай бұрын
Wa alaikum salaam wa rahamatullahi wa barakaatuh. Mashehe wetu Allah awabarik sana. Mimi icho kitabu nakihitaji nitakipata vipi
Kazi safi huyo jamaa wa tukutuku amazing sana mtafute tena inshallah
@ShilangadiАй бұрын
Mashaallah
@malikdodo5190Ай бұрын
Walaikum salaam warahmatu-llahi wabarakatuh
@zainabhussain4114Ай бұрын
Waleykum salam wallahumatullah wabarakatuh
@ISSAHUSSEIN-of7diАй бұрын
Kazi nzuri Sana,, je, nikihitaji kua mwislam nawezakujisilimisha mwenyewe?
@AngoSheriff-be5mq
Ай бұрын
Fika Kwa walio wetu popote ulipo
@laotzu4210Ай бұрын
Ustadh yusuf ajifunze ku keep distance anapouliza maswali. Haya ni maoni yangu tu! Shukran
@StraightPathDawah
Ай бұрын
Ujumbe umefika 😊
@amirmohamedali7922Ай бұрын
Hapo ndipo shekh Yusuf Yesu alikua mkristo au krsto
@Sal.0
Ай бұрын
Maana ya Neno 'Kristo', ni a Messenger, or a Prophet! The word 'christos', has NO other meaning!
@user-rc7oi2hp8lАй бұрын
Mungu hana udhaifu wowote hakuzaa wala hakuzaliwa n hafanan na kitu chochote.amekamilika yeye tu wa peke
@adanabdi5249Ай бұрын
Sawa kabisa.
@amirmohamedali7922Ай бұрын
Ndugu wakiristo Amani ya Allah iwe kwenu.Yesu akawa salimia kwa salamu hiyo. Nawauliza swali? Yesu alikua mkristo ama kristo
@faudhiasaidi3669Ай бұрын
Imani bila matendo imekwisha Wewe unaimani kuwashinda mitume? Maana mitume walikuwa wanaswali na n.k na wanaimani kukishinda wewe sasa we jifanye unaimani sana alafu kaa bila dini
@kimzymamy6594Ай бұрын
Wlkum salaam warhmatullah wabarakatuh. Naeza. Kupata wapi hiko kitabu
@nayef3903Ай бұрын
Bora muwasomee nyinyi kuliko kuwambia wajisomee. Manake wengi huwa wananajisi
@StraightPathDawah
Ай бұрын
Wajisomee waelewe.😮
@ramadhankilango9088Ай бұрын
Mi naitwa Ramadhan Mohamed niko Tanzania Tanga, nahitaji hicho kitabu mimi ni shabiki enu sana,nitakipataje?
@martymcfly9232Ай бұрын
Hapo ni Mpeketoni
@StraightPathDawah
Ай бұрын
Lights mombasa
@martymcfly9232
Ай бұрын
@@StraightPathDawah Asante
@StevenMutale-xt9yjАй бұрын
Wewe shekih unapo sema yesu Si Mungu Mimi najua unapingia Bure ila ukivi nyumba Yako unatubu Mimi ninakuoma kwaro waro waulimwengu
@ustadhfarouq7729
Ай бұрын
YESU alikufa na akazimwa kwa imani yenu je, Mungu hufa? Mungu huzaliwa na wanadamu,je mungu ni Mtu,je mungu yuko na miaka?
@minhajsahal4467
Ай бұрын
You're on the wrong site.
@fatumamwalimu5765
Ай бұрын
Yesu mwenyewe anasema hivi 👉LAKINI SASA MNATAFUTA KUNIUWA MIMI MTU NILIEWAAMBIA UKWELI NILIOUSIKIA KWA MUNGU 👈 hiyo nayo lazima uifute kwenye bibilia kwanza
@Bahati47
Ай бұрын
Kwahiyo MUNGU wako hawzi kukusamehe dhambi mpaka ajiue mwenyewe?
@fatumamwalimu5765
Ай бұрын
Atatubu kwa mengine lakini sio kutubu kwakusema yesu sio mungu, yesu sio mungu
Пікірлер: 51
Allahumma yassir wala tu'assir. Allahumma Barik ustadh Ramadhan
❤mashaallah. watu watafute mungu.mkue waongofu ALLAH atufahamishe zaidi.sheikh ramadhan na mzee yusuf hakika ALLAH atapenda kazi zenu.ALLAH awalipe mambo mema siku ya kiyama.inshaallah❤❤❤
MashAllah alienda ukristoni huko sijakujua kaka Ramma kazi nzuri ustad MashAllah MashAllah MashAllah
Kaka umemfundisha vizuri uyu mzee
MashaAllah MashaAllah may Allah guide us all Muslim in the right path
MashaAllah maustadh wetu Allah awape jannah ya ngazi ya juu yaani Firdous Al-A'la kwa idhini ya Mwenyezi Mungu
Assalam Alaikum warahmatullahi wabarakatuhu Mashekhe wetu ninawaomba mhudumie mtu mmoja mpaka afahamu, kabla ya kumwendea mwingine, haswa huyo wa kuritadi anafaa kuelewa uisilamu vizuri ndio arudi katika uisilamu. Mtaka yote hukosa yote. Afadhali kuzungumza na mtu mmoja ashike mafundisho vizuri, kuliko wengi na kukosa kufahamu. Shukran wa Jazakumullah kheyral jazaa ❤
Nakubali ramadhan kuria uko mombasa zone...mashaAllah Allah akuwezeshe na akujaalie IKHLAS...aamiinaaa
Masha Allah 💖
Masha Allah
Wa alaikum salaam wa rahamatullahi wa barakaatuh. Mashehe wetu Allah awabarik sana. Mimi icho kitabu nakihitaji nitakipata vipi
@StraightPathDawah
Ай бұрын
Utapata insha'Allah piga simu
SubhanaAllah.hee.kumepambaMoto.Yesu.leo.kageukaMalaikaHee.jamenKueniWaislam
Kazi safi huyo jamaa wa tukutuku amazing sana mtafute tena inshallah
Mashaallah
Walaikum salaam warahmatu-llahi wabarakatuh
Waleykum salam wallahumatullah wabarakatuh
Kazi nzuri Sana,, je, nikihitaji kua mwislam nawezakujisilimisha mwenyewe?
@AngoSheriff-be5mq
Ай бұрын
Fika Kwa walio wetu popote ulipo
Ustadh yusuf ajifunze ku keep distance anapouliza maswali. Haya ni maoni yangu tu! Shukran
@StraightPathDawah
Ай бұрын
Ujumbe umefika 😊
Hapo ndipo shekh Yusuf Yesu alikua mkristo au krsto
@Sal.0
Ай бұрын
Maana ya Neno 'Kristo', ni a Messenger, or a Prophet! The word 'christos', has NO other meaning!
Mungu hana udhaifu wowote hakuzaa wala hakuzaliwa n hafanan na kitu chochote.amekamilika yeye tu wa peke
Sawa kabisa.
Ndugu wakiristo Amani ya Allah iwe kwenu.Yesu akawa salimia kwa salamu hiyo. Nawauliza swali? Yesu alikua mkristo ama kristo
Imani bila matendo imekwisha Wewe unaimani kuwashinda mitume? Maana mitume walikuwa wanaswali na n.k na wanaimani kukishinda wewe sasa we jifanye unaimani sana alafu kaa bila dini
Wlkum salaam warhmatullah wabarakatuh. Naeza. Kupata wapi hiko kitabu
Bora muwasomee nyinyi kuliko kuwambia wajisomee. Manake wengi huwa wananajisi
@StraightPathDawah
Ай бұрын
Wajisomee waelewe.😮
Mi naitwa Ramadhan Mohamed niko Tanzania Tanga, nahitaji hicho kitabu mimi ni shabiki enu sana,nitakipataje?
Hapo ni Mpeketoni
@StraightPathDawah
Ай бұрын
Lights mombasa
@martymcfly9232
Ай бұрын
@@StraightPathDawah Asante
Wewe shekih unapo sema yesu Si Mungu Mimi najua unapingia Bure ila ukivi nyumba Yako unatubu Mimi ninakuoma kwaro waro waulimwengu
@ustadhfarouq7729
Ай бұрын
YESU alikufa na akazimwa kwa imani yenu je, Mungu hufa? Mungu huzaliwa na wanadamu,je mungu ni Mtu,je mungu yuko na miaka?
@minhajsahal4467
Ай бұрын
You're on the wrong site.
@fatumamwalimu5765
Ай бұрын
Yesu mwenyewe anasema hivi 👉LAKINI SASA MNATAFUTA KUNIUWA MIMI MTU NILIEWAAMBIA UKWELI NILIOUSIKIA KWA MUNGU 👈 hiyo nayo lazima uifute kwenye bibilia kwanza
@Bahati47
Ай бұрын
Kwahiyo MUNGU wako hawzi kukusamehe dhambi mpaka ajiue mwenyewe?
@fatumamwalimu5765
Ай бұрын
Atatubu kwa mengine lakini sio kutubu kwakusema yesu sio mungu, yesu sio mungu