MSIKITI ULIOBAKI MAHAME BAADA YA WANAKIJIJI WOTE KURITADI.

Tafadhali subscribe kwenye channel yetu ya Straight Path Dawah. ‪@StraightPathDawah‬ ni dawah popote wakati wowote. Tafadhali kumbuka kuchangia katika program zetu za dawah kupitia MPESA +254722600533 au LIPA NA MPESA TILL 558297.

Пікірлер: 161

  • @Noorein-ws8wk
    @Noorein-ws8wk3 ай бұрын

    Allah akupeni radhi zake masheikh wetu. Hao walotoka ktk uislam hawakua waumini hasa,muumini hasa hawezi toka ktk uislam,Allah awajaalie warudi kwenye haki wawe waumini wakweli.

  • @SihabaAbdallah-li6dx

    @SihabaAbdallah-li6dx

    3 ай бұрын

    Du washachafua dini halafu walikuwa maimamu du Bora ingekuwq mtu wakawaida TU lkn mpaka kufikia kuwa imamu jamii yote Ina kuchizam wey

  • @mariammohammed9198
    @mariammohammed91983 ай бұрын

    Subhanallah Allah awape kila lakher duniani na akhera masheh wetu

  • @kassimabdilatif1802
    @kassimabdilatif18023 ай бұрын

    Huu ndio umuhimu wa wanaosilimu kusomeshwa dini. Imani kudumu kwenye moyo Ni kuielewa dini. Knowledge brings conviction. Hao kama wagekuwa wanauelewa uislamu kama dini ya haki wasinge ritadi na kurudi kwenye ukafiri dini sio maslahi ya Dunia. Lazima waelewa Uislamu Ni imani (faith) sio maslahi ya dunia. If someone is convinced through proper knowledge that Islam is the correct and true religion of Allah he will never leave.

  • @omarshaban4735
    @omarshaban47353 ай бұрын

    Masha Allah sheikh ramadhan vizuri baada ya ramadhan rudi tena hapo alafu tafuta imam hata kama ni kuchangia imam tutachangia kila mwezi insha Allah ❤

  • @user-ie7yt9db6f
    @user-ie7yt9db6f3 ай бұрын

    Allah awajaalie heri inshallah

  • @lailahumaid2011
    @lailahumaid20113 ай бұрын

    Allah akupe nguvu kulingania dini ya haki.

  • @abdulhajiahmed8735
    @abdulhajiahmed87353 ай бұрын

    Jazaka LAAH khaira Msife moyo ktk Dawa kwani maisha ni safari

  • @salmaminja7714
    @salmaminja77143 ай бұрын

    Subhanallah Allah akume mema hapa dunian na kesho akhera. Hakika unajitahd kuhusha uislam hasa km hapo ambapo ulishayumba. Allahu Akbar.

  • @Khalifaathumani-cy5om
    @Khalifaathumani-cy5om3 ай бұрын

    Inasikitisha sana. Tulikuta msikiti ukiwa na muumini mmoja pekee. Msikiti ni giza tupu na hakuna binadamu hapa.

  • @ngugimundia6306

    @ngugimundia6306

    3 ай бұрын

    Hata huyo mmoja hastahili kua hapo!..

  • @xaliimacabdullahi-lb8iz

    @xaliimacabdullahi-lb8iz

    3 ай бұрын

    Atakaye ongozwa na Allah atakwa katika dini yake,, Uislamu

  • @xaliimacabdullahi-lb8iz

    @xaliimacabdullahi-lb8iz

    3 ай бұрын

    ​@@ngugimundia6306 Allah akuongoze katika dini yake,,

  • @princematumbo

    @princematumbo

    3 ай бұрын

    ​@@ngugimundia6306Acha upumbavu na ushoga,matako wewe

  • @Naw89

    @Naw89

    3 ай бұрын

    Subhaanallah

  • @mugishamusa7554
    @mugishamusa75543 ай бұрын

    Salaam Alaikum Warahmmattullah Wabarakatuh Kutoka hapa uganda

  • @isseamin2017
    @isseamin20173 ай бұрын

    Allahu Akbar Mungu aongoze hawa watu wanaishi kakuyuni ili waislamu wakuwe wengi

  • @user-tn5ny2vc7h
    @user-tn5ny2vc7h3 ай бұрын

    ❤❤ALLAH hu AKBAR ❤❤❤❤❤ our ustadh RAMADAN i love ❤❤❤❤walahi

  • @user-nx7jd3cf1m
    @user-nx7jd3cf1m3 ай бұрын

    INNA LILLAHI WA INNA ILAIHI RAAJI'UUN.

  • @husseinmwenja4398
    @husseinmwenja43983 ай бұрын

    MashAllah ahjaaaab kaka RAMADHAN jazzahkallah

  • @MwantumuAhmed-gk8ui
    @MwantumuAhmed-gk8ui3 ай бұрын

    Ramadhani kuria ALLAH akujalie afiya njema na Kila la kheri

  • @user-tn5ny2vc7h
    @user-tn5ny2vc7h3 ай бұрын

    ALHAMDULLILLAH

  • @abdalaauame3863
    @abdalaauame38633 ай бұрын

    Allhbdulilai ya shehe ramazane kuria ,mungo akuripe sana sana yan.inshalla 🤲🤲🤲🤲📿📿📿

  • @ggv866
    @ggv8663 ай бұрын

    Allah Kareem inshaallah

  • @Adamshizol
    @Adamshizol3 ай бұрын

    Wallahi its so sad 😭😭😭 Allah ajaalie Nuru in that village...all they need is an imaam there then everything will be okay...

  • @user-ci1sv3ij7q
    @user-ci1sv3ij7q3 ай бұрын

    MashaAllah Ramadan kuria kwa kazi nzuri

  • @user-zy4sx6xm4t
    @user-zy4sx6xm4t3 ай бұрын

    Aa Mashallah Sheikh Ramadhani Jazakallahu kheri Allah bless u Frm Kenya❤❤

  • @faudhiasaidi3669
    @faudhiasaidi36693 ай бұрын

    Jazaakallah khayrii ❤❤❤

  • @shukrialisaya1578
    @shukrialisaya15783 ай бұрын

    MashaAllah , ustadh ramadhan Allah akupe maisha marefu .

  • @MwanaIdi-db9qj
    @MwanaIdi-db9qj3 ай бұрын

    Insha Allah mungu atawaongoza na atarudikwenye ya haki

  • @abdallamuhammedmuhammed
    @abdallamuhammedmuhammed3 ай бұрын

    Allah ataleta Nuru yake katika huwo msikiti.

  • @user-du2fy5sd5u
    @user-du2fy5sd5u3 ай бұрын

    Assallam Allaikum ni jambo la kusikitisha sana in shaa Allah kila penye uzito pana wepesi

  • @malikdodo5190
    @malikdodo51903 ай бұрын

    Walaikum salaam warahmatu-llahi wabarakatuh

  • @josemu870
    @josemu87027 күн бұрын

    Mafundisho yenye utaratibu yani mawaidha ya Koran mwenyezi Mungu amulide Allahamdhullah

  • @abdallamuhammedmuhammed
    @abdallamuhammedmuhammed3 ай бұрын

    Allah amzidishie Iman azidi kuulinda msikiti shekh musa Allah yupo na wwe msikiti hautavunjwa in shallah

  • @user-dy7lj5vg3o
    @user-dy7lj5vg3o3 ай бұрын

    😭😭 Masha allah allah awalipe kilalaher nyiye mnaocunga nyumba YAA allah

  • @fadhilrwendo6492
    @fadhilrwendo64923 ай бұрын

    MashaAllah Allah awape nguvu ya kuitangaza dini ya Uislam

  • @abdulhalimsalim1386
    @abdulhalimsalim13863 ай бұрын

    ❤ A'aleykum kwanza wallahi nimesikitishwa sana na hali ya msikiti hapo ila kila lililo na mwanzo halikosi kuwa na mwisho allah ataleta kheri pia nakuombea kwa allah brother ramdhan kuria na jopo lako lote la dawa m'mungu awajaalie afya njema na umri mrefu mola awaandalie makazi mema peponi kazi kubwa mnayofanya

  • @MohammedMo-ew7el
    @MohammedMo-ew7el3 ай бұрын

    In sha Allah utajaa kwa uwezo wa Allah

  • @user-tn5ny2vc7h
    @user-tn5ny2vc7h3 ай бұрын

    MANSHALLAH ❤❤❤

  • @sarahronoh540
    @sarahronoh5403 ай бұрын

    Allah Akbar

  • @hassanmpemba5747
    @hassanmpemba57473 ай бұрын

    Masha Allah sheikh ramadhan kwa dawa nzuri alhamdulillah

  • @aliomar5954
    @aliomar59543 ай бұрын

    Inaskitisha sana Allah ajaalie nusra inshaallah yaarab

  • @isseamin2017
    @isseamin20173 ай бұрын

    ustadh Ramadan umefika karibu ungefika garissa

  • @jamuhurialiwazir4685
    @jamuhurialiwazir46853 ай бұрын

    Asante Kwa kazi mzuri Alha atubariki na atupe mwisho mwema

  • @aburaasmedia3682
    @aburaasmedia36823 ай бұрын

    Allah awajaalie heri inshallah. inasitikisha kuona msikiti jinsi ilivyo

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv3 ай бұрын

    Subhana LLAH

  • @azizaumlai5393
    @azizaumlai53933 ай бұрын

    Mashaallah. Laa haula walaa quwwata illa billah. Hasbunallah neemal wakeel.

  • @amyna2024
    @amyna20243 ай бұрын

    MashaAllah, Alhamdulilah Allah awalipe kheri in shaa Allah

  • @MohamedAhmed-ns5mi
    @MohamedAhmed-ns5mi3 ай бұрын

    Mashallaha

  • @abdinasirmohamed2238
    @abdinasirmohamed22383 ай бұрын

    Subxanallah! That's very sad but we shall overcome bi'idnillaah🙏

  • @HusseinAli-fx1ld
    @HusseinAli-fx1ld3 ай бұрын

    Ustadh Ramadhan kwanza kabisa mm naonelea, Papatikane Imamu wa msikitini apate basic things support. Pili Tumpate mwenyewe kumiliki hio ardhi ya Msikitini kisha daawah iendelee. La mwisho kupatikane Markaz ya kufunzia watakao jiunga na usilamu.

  • @jumaomari285

    @jumaomari285

    3 ай бұрын

    Asslm alkm. What if kupatikane tu mtu wa uwezo wake ambaye haitajii msaada aeze kuishi hapo ili kila kipindi cha swala kunatoka adhana hapo. Leo kesho kesho kutwa wiki mwezi.... lazma inshaAllah watu watarudi. Ni maoni tu

  • @tototocafeteria9169

    @tototocafeteria9169

    3 ай бұрын

    Nakubalia na maomi ysko

  • @NunuKupela

    @NunuKupela

    3 ай бұрын

    Wamekosa ustadhi wa kuwafundisha kuwaswalisha kuwalingania ili kuwafahamu wallahi uislamu ni AMANI na furaha kubwa kuwa na ujuzi maana Quran inatuongoza vzr kuanzia asb adi jn

  • @user-tn5ny2vc7h
    @user-tn5ny2vc7h3 ай бұрын

    SUBHANNALLAH WALHAMDULLILLAH WALAHU AKBAR ❤❤❤❤❤❤

  • @azizashiundu5778
    @azizashiundu57783 ай бұрын

    Assalamu Alaykum

  • @abdulhajiahmed8735
    @abdulhajiahmed87353 ай бұрын

    And say: “Truth has (now) arrived, and Falsehood perished: for Falsehood is (by its nature) bound to perish.” Holy Quraan Al Isra 17:81

  • @oromiyaajittu7188
    @oromiyaajittu71883 ай бұрын

    Mashallah ❤ kazi nzuri

  • @user-tn5ny2vc7h
    @user-tn5ny2vc7h3 ай бұрын

    W salam ww ❤❤❤

  • @faridaally-jp1gx
    @faridaally-jp1gx3 ай бұрын

    Allaah Awahifadhi kwa kazi Amiin

  • @wemakalama6458
    @wemakalama64583 ай бұрын

    JazakaAllahu kyran

  • @alialkindy6690
    @alialkindy66903 ай бұрын

    Mungu akubarik

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor78473 ай бұрын

    Mashaallah Allha 💖

  • @KhamisJuma-ni1vk
    @KhamisJuma-ni1vk3 ай бұрын

    Subuhnna allah

  • @abdikarim324
    @abdikarim3243 ай бұрын

    Mashallah

  • @sarahronoh540
    @sarahronoh5403 ай бұрын

    Inshaallah

  • @user-rc2ye4ri6t
    @user-rc2ye4ri6t3 ай бұрын

    Jazallahkery

  • @user-fh7wu8vx1y
    @user-fh7wu8vx1y3 ай бұрын

    Ma shaallah Allah akuongoze

  • @sarahronoh540
    @sarahronoh5403 ай бұрын

    Karibu sana kaka

  • @hikimaatimago2236
    @hikimaatimago22363 ай бұрын

    Mash Allah tabaraka Allah

  • @MirajiHemedi
    @MirajiHemedi3 ай бұрын

    Wewe mama unapotea huko ulikoenda Rudi kwa Yesu wako aliyekununua kwa Damu.

  • @Silay1034

    @Silay1034

    3 ай бұрын

    Hajapotea we ndoulopotea maana mungu ni mmoja tu na munaamin visivyoandikwa mnapewa tu Iman hamjui imetoka wp mukiambiwa andiko hakuna makafiri nyie mnashida Sana

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    3 ай бұрын

    ​@@Silay1034Amepotea kabisa

  • @MohammedMo-ew7el

    @MohammedMo-ew7el

    3 ай бұрын

    Ajapotea Allah azaidi kumuongoz amechukua uamuzi mzuri

  • @user-dg4zc2un1y

    @user-dg4zc2un1y

    3 ай бұрын

    Nyie ndo mlopotea kwanza mnasali vp nyie uchi mtupu c kupotea uko

  • @AbdullahiSheba
    @AbdullahiSheba3 ай бұрын

    Sh.Ramadan masha Allah

  • @zuu515
    @zuu5153 ай бұрын

    May Allah guide them all Ameeen

  • @alyumaraos
    @alyumaraos3 ай бұрын

    A.laikum nataman ninge kuwa Kenya ningejitolea kuhudumu hapo na ile ilmu ndogo ambayo nikonayo nadhan ingesaidia hapo

  • @timothysixten176

    @timothysixten176

    3 ай бұрын

    Bado waeza changia pesa za kupelekwa kwa ustadh Ramadhn. namba yake ipo hapo

  • @MohammedMo-ew7el
    @MohammedMo-ew7el3 ай бұрын

    Amiin yarab

  • @user-zy4sx6xm4t
    @user-zy4sx6xm4t3 ай бұрын

    Allah ataupa nguvu Islam tuko pamoja Frm Kenya

  • @MohammedMo-ew7el
    @MohammedMo-ew7el3 ай бұрын

    Ma sha Allah

  • @shamimkigia2099
    @shamimkigia20993 ай бұрын

    Assalam alaikum Wa rahmatullahi wa barakatuh Allah awabarik Kwa kazi njema na awajalie mema ya hapa Dunia na kesho akhera.ameen Nimefurahi kumuona sheikh Mustafa Mimi humskia tu iqrah FM👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @hadijamgambo-jn7kg
    @hadijamgambo-jn7kg3 ай бұрын

    Masheikh hawaendi vijijini wanabaki mjini na kuongeza wake ndo sunna wanaoijua

  • @laotzu4210
    @laotzu42103 ай бұрын

    Hiyo fikra ya ustadh ndio naunga mkono....imam akiletwa mambo itakuwa shwari. imam pia ajengewe nyumba.

  • @MejjatScott-mf2vi
    @MejjatScott-mf2vi3 ай бұрын

    Hakuna Aliekuwa mwanadamu mwenye fujo kuliko Yesu.waulize wayahud,miaka3 walikoma masinagogi na mahekalu yalipukutika,sembuse msikiti!

  • @hansiselemani8025

    @hansiselemani8025

    3 ай бұрын

    Kama hujui uislam ndio utaongoz Dunia na yesu hyo ataufata..hao kuritad walikuwa hawana elimi na hayo ndo mapenzi y Allah.. Nakupa elimu hio ww fatlia uone ukweli..sio ugomvi na ww uelewe tu..akija mtume au nabii mengne watu wote wanatakiwa wafate hyo mtume au nabii hyo.

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    3 ай бұрын

    Yesu Yuko juu Hadi siku ya mwisho

  • @KenyanopinionTV

    @KenyanopinionTV

    3 ай бұрын

    Jambo uslilolijua ni usiku wa giza. Umesoma historia ya Muhammad, jinsi aliuanza uislamu na mauaji yake? Don't talk about Yehusha, study your Muhammad, know that he was a murderer, a defiler of children, a madman, and a paganist, then come here yap and yap about how Christ was this and that.

  • @user-dg4zc2un1y

    @user-dg4zc2un1y

    3 ай бұрын

    Kumamazenu wajinga t nyie yes ndo mbwa gani kwan

  • @hawamoshi5139
    @hawamoshi51393 ай бұрын

    mashallah❤❤❤❤❤

  • @Sai.Mo69
    @Sai.Mo693 ай бұрын

    Hio ARDHI ni ya Nani, vile ulivyo uliza Ustad? Kabla watu wa anze kui changia. TabarakAllah Team.

  • @trophywilson7211
    @trophywilson72113 ай бұрын

    usilamu uamini na Majini

  • @timothysixten176

    @timothysixten176

    3 ай бұрын

    majini ni viumbe wapo tu kama sisi katika njia zao

  • @user-rk1cp5qs9d
    @user-rk1cp5qs9d3 ай бұрын

    🤲🤲🙏🌹🌹

  • @user-sp6sv3cg9d
    @user-sp6sv3cg9d3 ай бұрын

    Allah awape tawfik inshaallah

  • @faudhiasaidi3669
    @faudhiasaidi36693 ай бұрын

    😢😢😢

  • @MohammedMo-ew7el
    @MohammedMo-ew7el3 ай бұрын

    Inasikitisha sana😢

  • @abdulhajiahmed8735
    @abdulhajiahmed87353 ай бұрын

    Tuko pamoja nanyi

  • @hasahm1995
    @hasahm19953 ай бұрын

    This is serious...... Very disappointing and disturbing 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢... Kindly create a paybill we donate and try to renovate INSHALLAH

  • @StraightPathDawah

    @StraightPathDawah

    3 ай бұрын

    Till number 558297

  • @kassimmbwana9025
    @kassimmbwana90252 ай бұрын

    😢😢😢😢

  • @timothysixten176
    @timothysixten1763 ай бұрын

    Bado watu wote wanaweza changia pesa za kupelekwa kwa ustadh Ramadhan kuafanywe mipango ya stima. namba yake ipo hapo

  • @minjaonlinebusinesstv
    @minjaonlinebusinesstv3 ай бұрын

    👍👍👍👍🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿❤

  • @mariamally8548
    @mariamally85483 ай бұрын

    Chooo kinajaaje wakati waumini hamna

  • @StraightPathDawah

    @StraightPathDawah

    3 ай бұрын

    Walikuwemo na pia maelezo yametolewa kuwa familia za nje zilikuwa zikitumia choo cha msikiti.

  • @Rashid-vm1fk
    @Rashid-vm1fk3 ай бұрын

    Hata nyie kimbieni nendeni kanisani YESU KRISTO anawapenda,ukila shaada ujue umepokea majini

  • @Silay1034

    @Silay1034

    3 ай бұрын

    Acha waingie katka uokovu wa kweli syo huo uongo wako kwamba mtu kafa kwaajli yko nyie niwehu ndomaana wenye akili wanakula shahada wanakuwa wanyenyekevu

  • @user-dg4zc2un1y

    @user-dg4zc2un1y

    3 ай бұрын

    Hakuna uokovu kwa yesu achen kidanga watu na dini zenu za wazungu izo dini ya haki ni uislamu peke yake ayo mengine makafiri 2

  • @Rashid-vm1fk

    @Rashid-vm1fk

    3 ай бұрын

    @@user-dg4zc2un1y sema vizuri mengine weka hakiba siku moja utajua kweli maana nyie waislam wabishi sana bila kumwamini YESU KRISTO kuwa ndiye njia na kweli na uzima hata ufie masjid utakwenda jehanam kweupeeee utamkumbuka haya ninayokwambia siku moja utajua kweli.we subili siku wakisema inalilahi ndipo utakapojua.

  • @tanzanite9944
    @tanzanite99443 ай бұрын

    Kwanini Usiwaapishe Kwa Lugha yao wanauoijua lii Warlewe wanachoapia? Dini Ambayo inatukuza lugha za Waarabu tuu mwanzo Mwisho na hata watu kama Nyie Weusi tii still mnajifanya Waarabu, kuvaa Mavazi ya Jadi za Waarabu na kutumiwa lugha za Waarabu halafu mnajiona Mmeshajikomboa kutoka Ukoloni wa Waarabu. Mbona Wakristo hawahibiri Kwa Lugha ya English Au Italiano na badala wanatumia lugha ya Kiswahili au Kilugha cha kabila lao.

  • @StraightPathDawah

    @StraightPathDawah

    3 ай бұрын

    Unaumwa sana kuona wanasilimu?

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    3 ай бұрын

    ndo hapo ujue Mwarabu Alitawala akili za watu

  • @user-dg4zc2un1y

    @user-dg4zc2un1y

    3 ай бұрын

    Nyie wakristo wasenge sana nyie

  • @AbisaiMwambene-fo9pt
    @AbisaiMwambene-fo9pt3 ай бұрын

    Hao mnao wasilimisha kwa rugha ya Kiarabu , wanajuwa Wanacho kitamka wakati wa kusilim?

  • @Naw89

    @Naw89

    3 ай бұрын

    Shahada inafuatia na tafsiri yake kwani wewe haujawahi sikia tafsiri yake

  • @StraightPathDawah

    @StraightPathDawah

    3 ай бұрын

    Sio rugha ni lugha

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    3 ай бұрын

    yaani hata hiyo dini balaa lazima Ulazimishwe Kusema Kiarabu

  • @user-dg4zc2un1y

    @user-dg4zc2un1y

    3 ай бұрын

    Achen ujinga wataelewa t kama Iman yao iko kwenye uislamu

  • @Rashid-vm1fk
    @Rashid-vm1fk3 ай бұрын

    Watu wamekimbia majini Hata hao wanaosilim hawajui wanachokifanya nawambia warudi kwa YESU KRISTO msiporudi kwa YESU KRISTO mmepotea vijana.

  • @twahahassan-pr7rw

    @twahahassan-pr7rw

    3 ай бұрын

    Wacha porojo ndugu haitakusaidia siku ya kiama

  • @user-dg4zc2un1y

    @user-dg4zc2un1y

    3 ай бұрын

    Kwan huyo yes kristo ndo msenge gani

  • @DuncanJohn-bw4wn
    @DuncanJohn-bw4wn3 ай бұрын

    during Jesus era on earth there was nothing like Islamic religion nor is it mentioned in the bible and Muhammad the so called mtume as well.

  • @ismailabdi978

    @ismailabdi978

    3 ай бұрын

    Neither Christianity too

  • @DuncanJohn-bw4wn

    @DuncanJohn-bw4wn

    3 ай бұрын

    There were His followers (christians)

  • @khalifmohamed6536

    @khalifmohamed6536

    3 ай бұрын

    Islam was existing before Jesus go and make a research ... There is different between the coming of Mohamed and the existence of Islam , Mohamed s.a.w come after Jesus but Islam was existing B4 prophet Muhammad and Jesus p.b.u. them ...for your information even prophet Adam was a Muslim Sasa we enda leta mahali Jesus amesema mimi ni mungu au mahali Jesus amesema dini yangu ni christo Christo was created 14 years after the departure of Jesus p.b.u.h so what christians are you talking about when Jesus himself has never heard the word church and christian in his life time 😅

  • @DuncanJohn-bw4wn

    @DuncanJohn-bw4wn

    3 ай бұрын

    What i wonder is that how come in the bible Muhammad is not mentioned but Jesus the saviour of the world is mentioned in the quran?

  • @abduljabbarmohammed4188

    @abduljabbarmohammed4188

    3 ай бұрын

    ​@@DuncanJohn-bw4wnProphet Muhammad is also mentioned in the Bible.

  • @mrx8608
    @mrx86083 ай бұрын

    Wakristo unapotea Kwa kutojua kwelii km biblia imeaandikwa kiswahilina hamuielewi vpii hii lugha ya .mohamed

  • @DaudiMwangati-id1tk
    @DaudiMwangati-id1tk3 ай бұрын

    Acha kupoteza wewe shehe

  • @user-tn5ny2vc7h
    @user-tn5ny2vc7h3 ай бұрын

    ALHAMDULLILLAH

  • @maymunamakungu6265

    @maymunamakungu6265

    3 ай бұрын

    Subhanallah. So sad jamani hali Ndio hiyo??

  • @MohammedMo-ew7el
    @MohammedMo-ew7el3 ай бұрын

    Inasikitisha sana😢