MTOTO ALIYEKATALIWA NA MZEE YUSUFU AONGEA KWA UCHUNGU - "TUKAPIME DNA, NIKO TAYARI KWENDA JELA"
Ойын-сауық
MTOTO ALIYEKATALIWA NA MZEE YUSUFU AONGEA KWA UCHUNGU - "TUKAPIME DNA, NIKO TAYARI KWENDA JELA"
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 1 000
Mungu atakupa maisha mazuri saaaana mudogo wangu achana nailo lize lijaa lana mungu amulani
Kijana muombe mungu basi niwengi watu walioishi dunian bila baba😢😢
@mbwanakiting7180
Жыл бұрын
Kwasababu unaye baba
@aminaseha5043
2 ай бұрын
Ushukuru mungu kama ni kweli atalaanika
Mimi sipendi sana kuandika comments lakini huyi Mzee Yusufu ana maneno mengi sana ya ovyo, yote haya ni kwa sababu hataki kufanya DNA. Vibaya sana kwa wazazi kama hawa, bora kufanya maisha yako kijana. God is on your side son, you don't need such kind of people in your life.
@hatujuanisalum9354
Жыл бұрын
Wamefanana vibaya mno
@aishaamwalimu2887
Жыл бұрын
P
@maryw2157
Жыл бұрын
Do the DNA so he can have peace of mind.
@llucylful
Жыл бұрын
Wamefanana kabisaa
@user-bu1dn4or5b
11 ай бұрын
Ina onekana alikua na wanawake wengi adi hawa kumbuki
Yani fanya maisha yako tu mdogo wangu, huna aja ya kupoteza gharama, uyo mzee kama nimuungwana angekuwa tu Mpole.
Angekuwa ana maisha asingemkana ila Mungu analipa achana naye huyo si baba anakana damu yake
@gracemsalila7735
Жыл бұрын
Kweli kabisa
@fatumasaid7421
Жыл бұрын
Mh vichekesho anajifanya mtu wa Sheria yamungu kweny hili mbona alimkana mungu akarudi Kwa ibilisi nyia hamshangai dadida?kamkana munguwake itakua mtoto
Huyu mzee yusuph mshenzi sana kama alienda kuhiji na akaapa kuacha mziki matokeo yake ameludi kwenye mziki, ina maana kamuasi mwenyezi mungu na ashindwi kumkana mtoto
@maidaamie648
Жыл бұрын
Umeonaeeeee
@maryharoun2853
Жыл бұрын
Kwani huyo mwanamke alimtaja Mzee Yusuph maana msilaumu tuu.
Mzee yusuph,hauelewi chenye unafanya,huyu mwenye unamkana,utamwiitaji siku Moja,nakuombea Mungu akupe maisha marefu ya uzee ndio ithihirishwe waasi
Mtoto wake lkn kwa jinsi avomkataa bora kijana afanye maisha yake tuu
@hiddenbway_
Жыл бұрын
Shida watoto wakitoboa wakiwakataa wazee kama hao mnaanza kuwa simanga😢
@nawechi4818
Жыл бұрын
Yani mzee muongo sana na inaelekea anawatoto wengi sana🤣🤣
@binaljabirmshihirzanzibar8369
Жыл бұрын
Yeah!!
@nawechi4818
Жыл бұрын
Halafu hataki kisikiliza anajifanya mkali balaaaa anajikuta anakimbilia sheria🤣🤣🤣
@nawechi4818
Жыл бұрын
Mzee utasema anaimba taarabu🤣 hataki kiskiza watu wanaongea nn
Mimi nakushauli tafuta maisha yako silazima umtafute baba wakati ujazaliwa ndani ya ndowa achana nae awezikuku bali mtoto wamnje anakuwa wamama tu
@HappyHiker-nz9vg
2 ай бұрын
Subuhanaallah 😢😢😢 mitihani wallahi
Ukweli ni kwamba familiar ni tamu na ndo maana huyo mtoto anajaribu kutafuta utamu wa baba jamani, Mzee aYusuph Mwenyezi mungu anatuamlisha tuwarendee wema hao watoto
Dogo tafuta hela zako, maisha yako yakiwa safi hakuna wakukubabaisha. Baba ako ni Mungu.
@zomasamweli
Жыл бұрын
Ukweli kabisa
@dorisebennezer8462
Жыл бұрын
Hilo ni neno nimekukubali
@suzanalucasemanuel7006
Жыл бұрын
Kweli kabisa
@user-ns4oj9cw1j
Жыл бұрын
Niko nawe from Yemen yanetukuta
@user-ns4oj9cw1j
Жыл бұрын
Baba no mungu bwanaaaa
Huyo mtoto angekuwa tajiri alafu amtafute mzee ange sem ni wangu ALLAH ndiye anajua bx kija ww muacha kam hakutaki usifosi fanya maisha yk
@user-lz7zl9mw7u
Ай бұрын
Duuh
Mungu amuonyeshe baba yake sahii nae afurahie maisha yake
Kuwa na moyo kama wamondy tu mwanangu kuwa bize na maisha yako!
@binaljabirmshihirzanzibar8369
Жыл бұрын
Naam upo sahihi maneno yako inshaallah kher
@dottomsuya6597
Жыл бұрын
Ila vijana wa tz
@dottomsuya6597
Жыл бұрын
Huyu anamtafuta mzee yusuph kisa njaaa DNA Sawa mwanangu kaaa mbali
@dottomsuya6597
Жыл бұрын
Alafu akishapata DNA ndio nini sasa
@aishafrancis7714
Жыл бұрын
@@dottomsuya6597 mzee mwenyewe hana mpunga ndiyo maana hasira nyingi anajua majukumu yataongezeka🤣🤣🤣
Nimesikia uchungu jaman huyu kaka anadhalilika pasipo na sababu amwachie Mungu tu atamlipia hamna haja ya kudhalilika namna hii 😭😭😭😭😭😭
@easternyerembe7271
Жыл бұрын
Anayedhalilika Ni baba wa mtt,😂😂😂
@AssinaMsafiri-ud5so
Жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭
@josephinenkembo2648
Жыл бұрын
Yani dah,😭😭😭
@MwanamasAli
Жыл бұрын
😢😢😢
@nahlahassan-fd6le
11 ай бұрын
Kweli vo lkn😢😢😢😢
Kuma wewe Mzee Yusuf motoni kataa Malaya sio mtoto
Angeenda kupima nae DNA issue ya kufanana haimfanyi mtu kuwa mtoto wake kufanana watu wanafanana na watu ambao hata hawajawahi kuonana nao kabisa wakapime DNA kupata uhakika
@atuganilemsomba3028
Жыл бұрын
Damu ni nzito mno na Mungu hatakuacha ufurahie maisha maana kwa kuikana damu yako
@AishaSaid-yg1ou
Ай бұрын
Huyu si kufanana tu..yeye kaambiwa na mama yake..na mama ndiye ajuaye baba halisi wa mtoto..
Kujikuta katika hali hiyo,unachokihitaji cha kwanza ni kuhitaji kuijua vizuri history yako ya kweli.boy anabusara sana
@fatmaa4134
2 ай бұрын
Yeah, nilitaka kusema kuwa huyo dogo yuko makini na ndio ana busara, anakwenda na points
Mimi ni mama wa mtoto 1 nanimetelekezewa mtoto wangu nalea mwenyewe ina ninachojisikia juu ya huyu kijana wallah mzee yusufu kama anamfanyia uyu mtoto ukatili namuomba mwenyezi mungu amzalilishe hapahapa dunian na ata akhera laana mkubwa uyu
Pole xn kaka angu ww mwachie mungu atakuinexha njia mzuli uyo mzee amexhindikana kwa kwer mumefanana xn
Ujana maji ya Moto na mimba haiingii kwa cku mbili, ukweli upo kwenye kupima DNA boss kubali kupima ili yaishe!!!!!!👩🚀👩🚀👩🚀👩🚀💗
Kama mtu kamhadaa mungu kuwa haimbi tena mbona kumkataa mtt ni kawaida tu
@zuwenaalamin8985
Жыл бұрын
Kbs
Huyu mtoto niheri afanye maisha yake tu mbona umeshakuwa mkubwa wewe fanya mambo yako
Kuna watu wanajiweza hiv baba asinijali utotoni Nije kumtafuta ukubwan wa Kaz gani
@mbwanakiting7180
Жыл бұрын
Kwasababu unaye baba
@happymakala7216
Ай бұрын
Ubarikiwe sana una mawazo mazuri .
@happymakala7216
Ай бұрын
Safi sana
Mzee Yusuf acha unafki una mdogo wako wa kiume yupo kama huyo mwanao unaemkana mdogo wako michenzani pale yupo km huyo tena bora mwanao anaongea naeleweka mdogo hawezi kuongea vzr hat akiongea umuelew muogope Mungu mwanaume ww umeenda maka umekuja kuharbu duniani unamdanganya had Mungu
@easternyerembe7271
Жыл бұрын
Kumbe Kuna ndg yake anaongea Kama dogo huyu
Jamani ni shida za ulimwengu ndio zinazomzalilisha huyo kijana angekuwa anajiweza asingemtafuta mtu anayemkataa msaidieni huyo kijana anachokitaka ili aishi kwa utulivu! Mwnyezi Mungu amsaidie!
Mimi ningekuwa mawe Yusufu,ningekubali mtoto wangu ,maskini thawabu hiyo ,hata siyo wako,mleye thawabu Allah atakupa, it is so sad 😞
Kwa nini wakilii??? Huyu siyo muislam kwanini ana roho ngumu hivi Subhanallah 😢
Uhu,!!🙆♀️Sura tu inajieleza haina haja ya DNA, Mzee Yusufu Anajichanganya,Mungu tupe uhai tulee Watoto wetu tuliotelekezewa Had Wakue Duh!!! Inaumaa Sn😢
@maryharoun2853
Жыл бұрын
Duniani wawili wawili Mimi nimefanana na mtu Muhimbili na Wala hatuna mahusiano.
Mzee maneno mengi uongo mwingi Mungu yupo
@stanastana3199
Жыл бұрын
Mzee amepanik
@fatmaomari7824
Жыл бұрын
Atamwamini nani kipindi kile alienda hijja mwisho kasema kaacha mziki lkn karud kwenye ufusika tena
@asiamohd5516
Жыл бұрын
Ewa anaongea kwa hasira hajui mwisho wa ubaya aibu, anajuwa kila kitu kwenye moyo wake bas tu hakumpenda uyo mtto na hata ikikubalika km ni wa kwake bas atamchukia ndan ya moyo wake.
HUYU MTOTO ANAFANANA SANA NA MZEE YUSUPH.
Mzee Yusuf, hivi ulitaka picha yanini wakati mtoto huyu unafanana nae? Wanaume acheni kukataa watoto wenu ni aibu! Ni shida ni kichefu chefu.
Ani we mzee Ni mjinga kweli, mungu akiamua kuwapukutisha wanao wote uliozaa kwa ndoa, si utakuja kumpigia magoti huyu unaemkataa, maana hata haujui mwanao atakaekuzika Ni yupi
dogo achana na huyo mzee yusuph ni mwanaume kama wanaume wengine ila hafai kuwa babako,we kaza tafuta pesa umri bado ipo siku utampata baba hata wa bandia kwani baba kitu gani?baba mwenyewe ana watoto dunia nzima hana jipya kwa sasa unamng,ang,ania wa nini? fanya kama alishakufa tu.Nimesikia uchungu jaman ila wanaumeeee 😢
Aibu kweli mzee yusuph acha ujinga Mungu hawez kukusaodia Wala kukubariki hiyo damu ykoo
@deeruta9894
Жыл бұрын
Its so sad kabsa
Mungu wangu wamefanana sana .mzee yusuphu hii ni aibu kwako namungu atakuuliza tu .
Mpaka nimejisikia vibaya mtoto mtiifu na anaongea kwa machungu jomon😢 Mungu atakutetea
Mtoto wake kweli wanafanana kilakitu jmn
Naumia sana starehe wafanye wao mtoto ateseke kwani hata kama co wake wanafanana amchukue tu hayo ni maisha 2 mi hata ckuelewi mzee yusuph tena hata anachokiongea ni utumbo tu na mungu wetu sote atamfungulia motor njia one love mdogo wanguuuuuu
Fanya mambo yako ndugu yangu achana naalie kukana mungu hamtupi mja wake
Kitanda hakizai haramu na mtoto hana makosa yoyote hapo, so sad mzee yusufu mpumbavu tu😢😢😢😢. Unakataa vp damu yako
@darajalakidatukilomgi2362
Жыл бұрын
Turekebishana kwenye msemo wa kitanda hakizai haramu, maana yake mke na mume waliooana ikatokea mwanamke akazaa mtoto akiwa ndani ya ndoa na sio wa mume wa ndoa ndio wazee wakija kusuluhisha wanamwambia yule mume kitanda hakizai haramu kwa maana huyu Mke wako mnalala kitanda kimoja na mtoto mkubali kitanda hakizai haramu, msipotoshe msemo
@deeruta9894
Жыл бұрын
@@darajalakidatukilomgi2362 but hakuna mwana haramu bali kuna kitendo cha haramu
@Fear_Allah394
Жыл бұрын
@@darajalakidatukilomgi2362. Kweli. Nawazee hutumia kitanda hakizai haram kwa sbbu kidini ya kiisilam mke alokua ndani ya ndoa akipata uja uzito wa nje na ushahidi uwepo mpaka wa DNA lkn sheria ya kiisilam ni wake. Na Yule alompa mkewe ujauzito hua mtto si wake hata km DNA itaonyesha kua ni wake.
@darajalakidatukilomgi2362
Жыл бұрын
@@deeruta9894 kweli hakuna mwana haramu, umezaliwa msafi waliotenda kitendo cha uharamu sio mtoto
@darajalakidatukilomgi2362
Жыл бұрын
@@Fear_Allah394 Asante umeelezea vizuri sana, sheria imekwenda mbali hata mke akiondoka bila Talaka wale watoto wa mume wa ndoa
Subhanallah, mtihani, Mungu akufanyie wepes mtto wangu hii dunia inamengi.
Mzee yusufu mungu anakuona umeniliza sn leo
Inamaana yusuph.malaya Sana Hadi hajui wanawake aliolala nao
Maskini so sad vile kutafuta ujauzito nishida
Wewe mzee ulaaniwe na mungu
@BashiruSelemani-sk5rs
2 ай бұрын
Picha za ngono
Kuwa na roho ya chibu mungu ata ku bless😢😢
Ndugu yangu 2pambane mm mwenywe nilikataliwa na mzee wangu ila maisha2 2pambane
Reila inamana humuoni huyo mtoto naukamshauli huyo mzee yusuphu kuwa mtoto ni wake .mh .hii aibu mzee yusuphu mtoto ni wako jamani.mmefanana sana zaidi ya sana
Sasa mkondo wa wa sheriia wa nini kwani mtoto hajui ameambiwa tu na mama. Kama sio baba basi yaishe DNA iseme
Jaman namuomba mwenyezi mungu Hawa watoto wanaokataliea nawazazi wao wawe matajir kupita maelezo amina
@user-dg4zc2un1y
2 ай бұрын
Amiin
Kama mm nakiburi changu hichi siwezii kujikomba Kwa baba ambaye Hana upendo na mm, dogo Fanya maishaa yakoo unafeli nn achaa kijazilirishaa,
@beautyibrahim8428
Жыл бұрын
😀😀😀wenye vibur tuko wengi
@jacklineisack133
Жыл бұрын
Wew ni mim kabisa😂😂
Watu wa Taarabu mnatuangusha kukataa watoto, wenzenu wanakesha kutafuta hata wa kusingiziwa nyie mnakataa kwa ukali, juzi alihojiwa mjukuu wa Malkia Kopa naye sijui imeishia wapi
Tatizo ww mzee Yusuf umeritad na ndio maana hapana mtu atakae kuamini
Duh!! Wanafanana sana, Mzee Yusuph achukue mwanae huyo ni damu yake
Dah kijana fanya maisha yako mzee hakutaki kwasababu huyo mzee kasema hata dna haitasaidia kitu
huo muda wakumtafuta baba asokutaka nibora ungetafakari nn ufanye mdogo wangu
@easternyerembe7271
Жыл бұрын
Nafikir anataka kujua ukoo wake
@pillyseleman8090
Жыл бұрын
Saa nyingine waitafuta ukoo kumbe waitafuta balaa yani kama ni nimsikivu wa maoni ya watu angewachana na huyu Mzee
@rizikiabdalla2501
Жыл бұрын
Ss wazanzibar mtt ukizaliwa nje ya ndoa mama hiyo ni zawadi yako dogo pambana na hali yako kuliko kupita Maredio kumzalilisha mzee wa wezio
@easternyerembe7271
Жыл бұрын
@@rizikiabdalla2501 kumbe Zanzibar sio Tanzania
@pillyseleman8090
Жыл бұрын
Kama wazanzibar ni hivyo mtoto wa nje ya. Ndoa hakuhusu lakin zinaa inamhusu alilima akapanda mbegu hayo mavumo yake kina na akhera nayo yatungoja Allah atuongonze
🥲🥲Anavyomkana jamani mbona kafanana nae sana tyuu,,,
Watoto ni baraka, mpokee mtt na umuombe Mungu utakuwa na amani, hivihivi hilo litakusumbua maisha yako yote mzee Yusuf
@kalssambaboo9932
Жыл бұрын
Wanaume wanapenda kuchepuka mwisho wasiku wanajidai sio wachepukaji wanona fedheha kiukweli nimwanae hata akimkataa lakini nimwanake
Kijana Muachie Mungu Ndie Akimu WA Yote Uzima Ndio Muimu Sana Pambana Na Mungu Atakupigania Insha Allah
MBONA UNA HEPA DNA MZINIFU WEWE.
@mohamededdi7527
Жыл бұрын
Mambo juu ya meza. Mbwa. Mbwa. Mbwa, mzinifu mkumbwa hiyo. Hahahaha.
@user-dg4zc2un1y
2 ай бұрын
😂😂😂😂ATI mizinifu
@emmanuelkanyela275
Ай бұрын
huyu mzee alikuwa kipindi kile moto sana wanawake walikuwa wanakuja wenyewe wanakupa utamu huyu dogo wako
Mdomo pua usemaji kichwa macho na anasema kwa usahihi Mzee Yusufu wewe unaleta Usani tu ni mtoto wako
@tatukingi2543
Жыл бұрын
Mzee Yusuf ana leta mashahiri kwa hili Jambo mtt amesema vzr tu nimemuelewa yeye aliambiwa na mmke Baba alokua anaishi nae c bbke . Bbke ni MTU fulani SASA hayuko duniani mbona kama huyu mtt c wake asikubali Tu DNA analeta maneno mengi
Mungu ndio anajua hivi kweli hiyo sura anakataa
Hii mizee mingine mabubuazi wewe huyu mtoto No Comment kwa mzee Yusuf mungu Atamuangamiza kama kweli huyo mtoto wake 🇹🇿
@kulwambegu9148
Жыл бұрын
Mie mwenyewe nafanana na huyo mzee
Kosa ni la Mama ake Mwenyewe kwa kumnyima haki mtoto wake kama angemzaa ndani ya Ndoa leo mtoto asingetanganga na Kwa sheria ya Muumba huyo si mtoto wake hawawezi kurithiana
@shakilabakari6928
Жыл бұрын
Haswaa ni kweli kabisa kaka yangu tuwe makin kwamaana hapo mtoto ni wamama nasiwababa kwahyo makosa ni yamama
Tafuta pesa mwanangu yeye ndio akutafute lakini huyo Mzee yusuph ni Baba yako
Daaah !!! Mzee Yusuph, wee nyoko sana mbona unafanana sana na huyo mtoto? Acha usenge mkubali mwanao kitanda hakizai haramu ! 🥺🥺😳😳
La kini siote wote, na kitokea una fanafana naye basi jua mungu sio mjinga
alitaka iwesiri sasa alihaji mungu anakufedhehesha unachezea laana za mungu
@abdunasiriathumani9011
2 ай бұрын
Mwanangu ndo Leo unaangalia Kama Mimi?
Mzee Yusufu mbona unatoka kipovu mtoto ni wako hata DNA aipindishi
@mariamkibindo1741
Жыл бұрын
😂😂lake hili
@binaljabirmshihirzanzibar8369
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
Lakini kinana huyo mzee halikukataa tangia mda tuu lakini mungu adhidi kukulinda 👏👏👏👏🖤🖤🖤😢😢
Mhuuu inauma sana pole sana kijana wangu mungu atakusaiidia utapata maisha uako
Mi nimeumia sana, kama kweli baba anamkana mtoto wakati ni damu yake ni dhambi sana.
@user-ns4oj9cw1j
Жыл бұрын
Haramu moyo mbaya
Mwenyez mung awalahani sana mwanaume wanae wakataa,,damu zao moto unawares
@user-cu5jr7yc8n
2 ай бұрын
Wallah tena watalaniwa mpaka basi wamenisinyiya jitu nikirango alafu yukana mwanae YA ALLAH waume waina hii walani mpaka siku ya kiama😢😢😢😢😢
Mzee Yussuf ana maneno mengi ila huyu mtoto ni wake wanafanana sanaaaaa
Mimi ningelikuwa na namba ya mzee Yusuf ningemuelekeza kwao uyo mtoto kwa babu yake mzaa baba anaitwa anaitwa mzee mashuguli
Hahhhhah😂😂😂😂😂 Nmecheka kweli😂😂😂😂😅😅
Wamefanana uyo mzee Allah atamlipa
Wazazi kama hawa ndo wanaotapatapa uzeeni kutaka kuacha laana Kwa watoto wasiowalea, dogo tafuta maisha Yako achana nae Kabisa hao wazee wanakuaga hawana akili angalia maisha Yako mdogo wangu Tena usimuwazie Wala kumuweka kwenye akili Yako huyo mzee karogwa nawajua vizuri Mama wa kambo dogo. Mungu akufanikishe katika maisha Yako Ili uje kusahau mapito yote
@mwanakombopopo5117
Жыл бұрын
Hilo ndilo neno ninalomuombea tafuta maisha yko kama uko na wajomba shuluka nao wakusaidie maisha kama huna mtu yoyote waukoo wa mama basi kimbilia kwa mahimamu na Mashelk watakusaidia mwanangu aina aja ya kubembeleza kiumbe chamungu ambaye pia yeye mwenyewe nimja wa Allah 😢
Huyu jamaa anajifanya mjanja ila mungu analipa haha duniani huyu moto Hana hatia😢😢
😭😭😭pole sana kaka yangu hata mimi sina papa nakuelewa sana 😭😭😭😭😭
@rushdamohammedi
Жыл бұрын
Achananae nibola mama co baba we w nimtoto wakiume ni babatosha
DINI HAIJASEMA KUWA MTOTO WA NJE YA NDOWA SIO WAKO IMESEMA HAWEZI KURITHI MALI YAKO UKIFA MADAMU UKO HAI UNATAKIWA UMFANYIE KILA KITU MZINIFU WEWE
@nigamo9645
Жыл бұрын
Sawa sawa
@siasia5469
Жыл бұрын
Huwezi kulima shamba kwenye shamba ambalo sio lako alafu mazao yakawa yako Allah amekataza wanaume juu ya ilo jambo na ndiomaana ikiwa itapatikana mimba kwa njia iyo ya uzinifu basi mtoto anakua ni wa mama na mpaka majina ya ukoo atatumia ya mama. Mtoto uyo anakua hana haki yoyote kutoka kwa uyo baba kwaio apo hata wakapime DNA na itoke asilimia mia moja kua baba yke ni uyo mzee lkn sharia haiwezi badilika ikamfanya uyo mzee ni baba ake ksb njia ilotumika kumleta duniani lakini mtoto hana makosa yoyote na anakua sawa kama watoto wengine makosa ni hao wazazi walioamua kumleta katika mazingira ya zinaa
Maashallah 😢 huyu ni mwanae kabisa😢
Huyo Mzee ana ugonjwa wa ajili, lkn kikubwa huyo mtoto amuombe mungu amjaalie maisha na uhai, Toto lamfanana km Nini!!!!! Amuache mungu stamps malipo yake.
HUYU MZEE ATAHONGA ILI AONEKANE CY MTOTO MTOTO WAKE KWAKUKWEPA AIBU. SERIKALI SIMAMIENI HILI.
Mtoto ana shida huyu, vijana hawa wa miaka ya 2000’s daah
Mnapozini sheria dini hamuioni kwenye matokeo mnaona maandiko ya mungu
Mzee Yusuph Una dhambi kumkataa huyo mtoto,kama bado hujatengeneza nae tengeneza mapema,kabla hayajakukuta Mambo. Maana mtoto huyo ni wako,duniani hata mbinguni. TENGENEZA 🙏🙏
Mzee yusufu alikua mzinifu sana anakata mtoto wake Doo hatari jamani
Mzee anajua km ni mwanae kbs
Mdoko wangu potezea mungu ndo baba usijali,wanaume ndo walivyo
Uyu mtoto Ana dhambi sana yani shutuma Anazo zipata mzee Yusuf mungu atamuukumu uyu mtoto
@juliethgerald3730
Жыл бұрын
We nilijinga ase
@aishaabdullah837
Жыл бұрын
@@juliethgerald3730 Sawa mjanja ww unaye amini kudanganywa
@fatmaomari7824
Жыл бұрын
Ndio limwehu hili huyu mtoto asingejiamini kupima DNA hili zee linaishi maeneo ya charambe
Mzee yusufhu analea mtoto wamkewe lakini wakwake kamkataa very stupid mbona mkewe hakumkana mwanae
@africanpioner4090
Жыл бұрын
mtoto wa nje ya ndoa huyo
Maskini hata ikitokea niwake hamnaraha
Kama nimwanae kweli , naanavyoonekana kweli mwanae , ila kuna siku Mungu atamuumbua
@faizaahamd2052
Жыл бұрын
Kweli Kabisa. Kila inauma sana😭😭😭😭😭😭
Huyu mzee mjaalaana mbwa huyu ameweza kwenda manka na akaludia kufanya ufusikq sembusem kumkana mtoto
Aisee namuelewa uyu mtto kuwa na famiria raha jmn japo kunafamiria myu anatamani hawe pekeake lkn hakuna kitu kzur kama famiria mtto anataman hawe na famiria na ndiomana anatafuta baba yake wanaume mungu hanawaona mnaokata dam zenu na wanaume kama mzee yusufu wapo wengi sana wanaokata dam zao sio vizuru anataka faraja mtto amjue baba yake jmn wanawake wenzangu tuturieni tuzae na wanaume wariokuwa saihi na ndani ya ndoa iri tusiwasiri watto wetu kama hiv tunawaumiza jmn kanitia uchungu mtto hanadharirika jmn
Jaman 😢
Huyo mtoto ni wa mzee Yusuph kabisa mungu atamchoma moto huyo baba
Mtihani 😢unakataa damu yako dah!
@binaljabirmshihirzanzibar8369
Жыл бұрын
Nomaaa sana2 jmn
@rizikiabdalla2501
Жыл бұрын
Sio yake
@Sheba4651
Жыл бұрын
Waislamu mna shida sana, Ati damu yake.
@ShizaAlly
2 ай бұрын
Hii n laana kukataa damu yako