MTOTO ALIYEKATALIWA NA MZEE YUSUFU AONGEA KWA UCHUNGU - "TUKAPIME DNA, NIKO TAYARI KWENDA JELA"

Ойын-сауық

MTOTO ALIYEKATALIWA NA MZEE YUSUFU AONGEA KWA UCHUNGU - "TUKAPIME DNA, NIKO TAYARI KWENDA JELA"
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 1 000

  • @mariamselemani1366
    @mariamselemani1366 Жыл бұрын

    Mungu atakupa maisha mazuri saaaana mudogo wangu achana nailo lize lijaa lana mungu amulani

  • @janetchinga695
    @janetchinga695 Жыл бұрын

    Kijana muombe mungu basi niwengi watu walioishi dunian bila baba😢😢

  • @mbwanakiting7180

    @mbwanakiting7180

    Жыл бұрын

    Kwasababu unaye baba

  • @aminaseha5043

    @aminaseha5043

    2 ай бұрын

    Ushukuru mungu kama ni kweli atalaanika

  • @vincej9275
    @vincej9275 Жыл бұрын

    Mimi sipendi sana kuandika comments lakini huyi Mzee Yusufu ana maneno mengi sana ya ovyo, yote haya ni kwa sababu hataki kufanya DNA. Vibaya sana kwa wazazi kama hawa, bora kufanya maisha yako kijana. God is on your side son, you don't need such kind of people in your life.

  • @hatujuanisalum9354

    @hatujuanisalum9354

    Жыл бұрын

    Wamefanana vibaya mno

  • @aishaamwalimu2887

    @aishaamwalimu2887

    Жыл бұрын

    P

  • @maryw2157

    @maryw2157

    Жыл бұрын

    Do the DNA so he can have peace of mind.

  • @llucylful

    @llucylful

    Жыл бұрын

    Wamefanana kabisaa

  • @user-bu1dn4or5b

    @user-bu1dn4or5b

    11 ай бұрын

    Ina onekana alikua na wanawake wengi adi hawa kumbuki

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Жыл бұрын

    Yani fanya maisha yako tu mdogo wangu, huna aja ya kupoteza gharama, uyo mzee kama nimuungwana angekuwa tu Mpole.

  • @zahraswalehe1853
    @zahraswalehe1853 Жыл бұрын

    Angekuwa ana maisha asingemkana ila Mungu analipa achana naye huyo si baba anakana damu yake

  • @gracemsalila7735

    @gracemsalila7735

    Жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @fatumasaid7421

    @fatumasaid7421

    Жыл бұрын

    Mh vichekesho anajifanya mtu wa Sheria yamungu kweny hili mbona alimkana mungu akarudi Kwa ibilisi nyia hamshangai dadida?kamkana munguwake itakua mtoto

  • @RasulyOthuman-bb6mm
    @RasulyOthuman-bb6mm Жыл бұрын

    Huyu mzee yusuph mshenzi sana kama alienda kuhiji na akaapa kuacha mziki matokeo yake ameludi kwenye mziki, ina maana kamuasi mwenyezi mungu na ashindwi kumkana mtoto

  • @maidaamie648

    @maidaamie648

    Жыл бұрын

    Umeonaeeeee

  • @maryharoun2853

    @maryharoun2853

    Жыл бұрын

    Kwani huyo mwanamke alimtaja Mzee Yusuph maana msilaumu tuu.

  • @Eaglemedia-o6i
    @Eaglemedia-o6i Жыл бұрын

    Mzee yusuph,hauelewi chenye unafanya,huyu mwenye unamkana,utamwiitaji siku Moja,nakuombea Mungu akupe maisha marefu ya uzee ndio ithihirishwe waasi

  • @chaurembo9379
    @chaurembo9379 Жыл бұрын

    Mtoto wake lkn kwa jinsi avomkataa bora kijana afanye maisha yake tuu

  • @hiddenbway_

    @hiddenbway_

    Жыл бұрын

    Shida watoto wakitoboa wakiwakataa wazee kama hao mnaanza kuwa simanga😢

  • @nawechi4818

    @nawechi4818

    Жыл бұрын

    Yani mzee muongo sana na inaelekea anawatoto wengi sana🤣🤣

  • @binaljabirmshihirzanzibar8369

    @binaljabirmshihirzanzibar8369

    Жыл бұрын

    Yeah!!

  • @nawechi4818

    @nawechi4818

    Жыл бұрын

    Halafu hataki kisikiliza anajifanya mkali balaaaa anajikuta anakimbilia sheria🤣🤣🤣

  • @nawechi4818

    @nawechi4818

    Жыл бұрын

    Mzee utasema anaimba taarabu🤣 hataki kiskiza watu wanaongea nn

  • @Halima-zx4pg
    @Halima-zx4pg Жыл бұрын

    Mimi nakushauli tafuta maisha yako silazima umtafute baba wakati ujazaliwa ndani ya ndowa achana nae awezikuku bali mtoto wamnje anakuwa wamama tu

  • @HappyHiker-nz9vg

    @HappyHiker-nz9vg

    2 ай бұрын

    Subuhanaallah 😢😢😢 mitihani wallahi

  • @rukiamasayanyika2284
    @rukiamasayanyika2284 Жыл бұрын

    Ukweli ni kwamba familiar ni tamu na ndo maana huyo mtoto anajaribu kutafuta utamu wa baba jamani, Mzee aYusuph Mwenyezi mungu anatuamlisha tuwarendee wema hao watoto

  • @amosethantheking8815
    @amosethantheking8815 Жыл бұрын

    Dogo tafuta hela zako, maisha yako yakiwa safi hakuna wakukubabaisha. Baba ako ni Mungu.

  • @zomasamweli

    @zomasamweli

    Жыл бұрын

    Ukweli kabisa

  • @dorisebennezer8462

    @dorisebennezer8462

    Жыл бұрын

    Hilo ni neno nimekukubali

  • @suzanalucasemanuel7006

    @suzanalucasemanuel7006

    Жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @user-ns4oj9cw1j

    @user-ns4oj9cw1j

    Жыл бұрын

    Niko nawe from Yemen yanetukuta

  • @user-ns4oj9cw1j

    @user-ns4oj9cw1j

    Жыл бұрын

    Baba no mungu bwanaaaa

  • @fatmaameer5333
    @fatmaameer5333 Жыл бұрын

    Huyo mtoto angekuwa tajiri alafu amtafute mzee ange sem ni wangu ALLAH ndiye anajua bx kija ww muacha kam hakutaki usifosi fanya maisha yk

  • @user-lz7zl9mw7u

    @user-lz7zl9mw7u

    Ай бұрын

    Duuh

  • @christaoman8890
    @christaoman8890 Жыл бұрын

    Mungu amuonyeshe baba yake sahii nae afurahie maisha yake

  • @aishafrancis7714
    @aishafrancis7714 Жыл бұрын

    Kuwa na moyo kama wamondy tu mwanangu kuwa bize na maisha yako!

  • @binaljabirmshihirzanzibar8369

    @binaljabirmshihirzanzibar8369

    Жыл бұрын

    Naam upo sahihi maneno yako inshaallah kher

  • @dottomsuya6597

    @dottomsuya6597

    Жыл бұрын

    Ila vijana wa tz

  • @dottomsuya6597

    @dottomsuya6597

    Жыл бұрын

    Huyu anamtafuta mzee yusuph kisa njaaa DNA Sawa mwanangu kaaa mbali

  • @dottomsuya6597

    @dottomsuya6597

    Жыл бұрын

    Alafu akishapata DNA ndio nini sasa

  • @aishafrancis7714

    @aishafrancis7714

    Жыл бұрын

    @@dottomsuya6597 mzee mwenyewe hana mpunga ndiyo maana hasira nyingi anajua majukumu yataongezeka🤣🤣🤣

  • @FloranceLuqman-cg7qm
    @FloranceLuqman-cg7qm Жыл бұрын

    Nimesikia uchungu jaman huyu kaka anadhalilika pasipo na sababu amwachie Mungu tu atamlipia hamna haja ya kudhalilika namna hii 😭😭😭😭😭😭

  • @easternyerembe7271

    @easternyerembe7271

    Жыл бұрын

    Anayedhalilika Ni baba wa mtt,😂😂😂

  • @AssinaMsafiri-ud5so

    @AssinaMsafiri-ud5so

    Жыл бұрын

    😭😭😭😭😭😭

  • @josephinenkembo2648

    @josephinenkembo2648

    Жыл бұрын

    Yani dah,😭😭😭

  • @MwanamasAli

    @MwanamasAli

    Жыл бұрын

    😢😢😢

  • @nahlahassan-fd6le

    @nahlahassan-fd6le

    11 ай бұрын

    Kweli vo lkn😢😢😢😢

  • @DotoSimbe-de6ir
    @DotoSimbe-de6ir Жыл бұрын

    Kuma wewe Mzee Yusuf motoni kataa Malaya sio mtoto

  • @mohamedismail2662
    @mohamedismail2662 Жыл бұрын

    Angeenda kupima nae DNA issue ya kufanana haimfanyi mtu kuwa mtoto wake kufanana watu wanafanana na watu ambao hata hawajawahi kuonana nao kabisa wakapime DNA kupata uhakika

  • @atuganilemsomba3028

    @atuganilemsomba3028

    Жыл бұрын

    Damu ni nzito mno na Mungu hatakuacha ufurahie maisha maana kwa kuikana damu yako

  • @AishaSaid-yg1ou

    @AishaSaid-yg1ou

    Ай бұрын

    Huyu si kufanana tu..yeye kaambiwa na mama yake..na mama ndiye ajuaye baba halisi wa mtoto..

  • @trillionthamani
    @trillionthamani Жыл бұрын

    Kujikuta katika hali hiyo,unachokihitaji cha kwanza ni kuhitaji kuijua vizuri history yako ya kweli.boy anabusara sana

  • @fatmaa4134

    @fatmaa4134

    2 ай бұрын

    Yeah, nilitaka kusema kuwa huyo dogo yuko makini na ndio ana busara, anakwenda na points

  • @user-cl9hg3uc8e
    @user-cl9hg3uc8e Жыл бұрын

    Mimi ni mama wa mtoto 1 nanimetelekezewa mtoto wangu nalea mwenyewe ina ninachojisikia juu ya huyu kijana wallah mzee yusufu kama anamfanyia uyu mtoto ukatili namuomba mwenyezi mungu amzalilishe hapahapa dunian na ata akhera laana mkubwa uyu

  • @TwahaMukhsin
    @TwahaMukhsinАй бұрын

    Pole xn kaka angu ww mwachie mungu atakuinexha njia mzuli uyo mzee amexhindikana kwa kwer mumefanana xn

  • @aloycelucas1823
    @aloycelucas1823 Жыл бұрын

    Ujana maji ya Moto na mimba haiingii kwa cku mbili, ukweli upo kwenye kupima DNA boss kubali kupima ili yaishe!!!!!!👩‍🚀👩‍🚀👩‍🚀👩‍🚀💗

  • @user-mf7tz4go2x
    @user-mf7tz4go2x Жыл бұрын

    Kama mtu kamhadaa mungu kuwa haimbi tena mbona kumkataa mtt ni kawaida tu

  • @zuwenaalamin8985

    @zuwenaalamin8985

    Жыл бұрын

    Kbs

  • @ziadasalimu1730
    @ziadasalimu1730 Жыл бұрын

    Huyu mtoto niheri afanye maisha yake tu mbona umeshakuwa mkubwa wewe fanya mambo yako

  • @najmasalim-rg6ow
    @najmasalim-rg6ow Жыл бұрын

    Kuna watu wanajiweza hiv baba asinijali utotoni Nije kumtafuta ukubwan wa Kaz gani

  • @mbwanakiting7180

    @mbwanakiting7180

    Жыл бұрын

    Kwasababu unaye baba

  • @happymakala7216

    @happymakala7216

    Ай бұрын

    Ubarikiwe sana una mawazo mazuri .

  • @happymakala7216

    @happymakala7216

    Ай бұрын

    Safi sana

  • @SalamaAkilimali-ly3bu
    @SalamaAkilimali-ly3bu Жыл бұрын

    Mzee Yusuf acha unafki una mdogo wako wa kiume yupo kama huyo mwanao unaemkana mdogo wako michenzani pale yupo km huyo tena bora mwanao anaongea naeleweka mdogo hawezi kuongea vzr hat akiongea umuelew muogope Mungu mwanaume ww umeenda maka umekuja kuharbu duniani unamdanganya had Mungu

  • @easternyerembe7271

    @easternyerembe7271

    Жыл бұрын

    Kumbe Kuna ndg yake anaongea Kama dogo huyu

  • @fridageorge2809
    @fridageorge2809 Жыл бұрын

    Jamani ni shida za ulimwengu ndio zinazomzalilisha huyo kijana angekuwa anajiweza asingemtafuta mtu anayemkataa msaidieni huyo kijana anachokitaka ili aishi kwa utulivu! Mwnyezi Mungu amsaidie!

  • @alimatambwe3402
    @alimatambwe3402 Жыл бұрын

    Mimi ningekuwa mawe Yusufu,ningekubali mtoto wangu ,maskini thawabu hiyo ,hata siyo wako,mleye thawabu Allah atakupa, it is so sad 😞

  • @zaramunir8238
    @zaramunir8238 Жыл бұрын

    Kwa nini wakilii??? Huyu siyo muislam kwanini ana roho ngumu hivi Subhanallah 😢

  • @suzanbegas4139
    @suzanbegas4139 Жыл бұрын

    Uhu,!!🙆‍♀️Sura tu inajieleza haina haja ya DNA, Mzee Yusufu Anajichanganya,Mungu tupe uhai tulee Watoto wetu tuliotelekezewa Had Wakue Duh!!! Inaumaa Sn😢

  • @maryharoun2853

    @maryharoun2853

    Жыл бұрын

    Duniani wawili wawili Mimi nimefanana na mtu Muhimbili na Wala hatuna mahusiano.

  • @asiamohd5516
    @asiamohd5516 Жыл бұрын

    Mzee maneno mengi uongo mwingi Mungu yupo

  • @stanastana3199

    @stanastana3199

    Жыл бұрын

    Mzee amepanik

  • @fatmaomari7824

    @fatmaomari7824

    Жыл бұрын

    Atamwamini nani kipindi kile alienda hijja mwisho kasema kaacha mziki lkn karud kwenye ufusika tena

  • @asiamohd5516

    @asiamohd5516

    Жыл бұрын

    Ewa anaongea kwa hasira hajui mwisho wa ubaya aibu, anajuwa kila kitu kwenye moyo wake bas tu hakumpenda uyo mtto na hata ikikubalika km ni wa kwake bas atamchukia ndan ya moyo wake.

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Жыл бұрын

    HUYU MTOTO ANAFANANA SANA NA MZEE YUSUPH.

  • @theresiamwandara7990
    @theresiamwandara7990 Жыл бұрын

    Mzee Yusuf, hivi ulitaka picha yanini wakati mtoto huyu unafanana nae? Wanaume acheni kukataa watoto wenu ni aibu! Ni shida ni kichefu chefu.

  • @eliasmanyama7874
    @eliasmanyama7874 Жыл бұрын

    Ani we mzee Ni mjinga kweli, mungu akiamua kuwapukutisha wanao wote uliozaa kwa ndoa, si utakuja kumpigia magoti huyu unaemkataa, maana hata haujui mwanao atakaekuzika Ni yupi

  • @ShangweSylus-nf6we
    @ShangweSylus-nf6we Жыл бұрын

    dogo achana na huyo mzee yusuph ni mwanaume kama wanaume wengine ila hafai kuwa babako,we kaza tafuta pesa umri bado ipo siku utampata baba hata wa bandia kwani baba kitu gani?baba mwenyewe ana watoto dunia nzima hana jipya kwa sasa unamng,ang,ania wa nini? fanya kama alishakufa tu.Nimesikia uchungu jaman ila wanaumeeee 😢

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 Жыл бұрын

    Aibu kweli mzee yusuph acha ujinga Mungu hawez kukusaodia Wala kukubariki hiyo damu ykoo

  • @deeruta9894

    @deeruta9894

    Жыл бұрын

    Its so sad kabsa

  • @suzanamwangingo2995
    @suzanamwangingo2995 Жыл бұрын

    Mungu wangu wamefanana sana .mzee yusuphu hii ni aibu kwako namungu atakuuliza tu .

  • @Teddy-fq5oc
    @Teddy-fq5oc Жыл бұрын

    Mpaka nimejisikia vibaya mtoto mtiifu na anaongea kwa machungu jomon😢 Mungu atakutetea

  • @hawahawa8441
    @hawahawa8441 Жыл бұрын

    Mtoto wake kweli wanafanana kilakitu jmn

  • @FaridaIsaya
    @FaridaIsayaАй бұрын

    Naumia sana starehe wafanye wao mtoto ateseke kwani hata kama co wake wanafanana amchukue tu hayo ni maisha 2 mi hata ckuelewi mzee yusuph tena hata anachokiongea ni utumbo tu na mungu wetu sote atamfungulia motor njia one love mdogo wanguuuuuu

  • @godlovemahenge7448
    @godlovemahenge7448 Жыл бұрын

    Fanya mambo yako ndugu yangu achana naalie kukana mungu hamtupi mja wake

  • @deeruta9894
    @deeruta9894 Жыл бұрын

    Kitanda hakizai haramu na mtoto hana makosa yoyote hapo, so sad mzee yusufu mpumbavu tu😢😢😢😢. Unakataa vp damu yako

  • @darajalakidatukilomgi2362

    @darajalakidatukilomgi2362

    Жыл бұрын

    Turekebishana kwenye msemo wa kitanda hakizai haramu, maana yake mke na mume waliooana ikatokea mwanamke akazaa mtoto akiwa ndani ya ndoa na sio wa mume wa ndoa ndio wazee wakija kusuluhisha wanamwambia yule mume kitanda hakizai haramu kwa maana huyu Mke wako mnalala kitanda kimoja na mtoto mkubali kitanda hakizai haramu, msipotoshe msemo

  • @deeruta9894

    @deeruta9894

    Жыл бұрын

    @@darajalakidatukilomgi2362 but hakuna mwana haramu bali kuna kitendo cha haramu

  • @Fear_Allah394

    @Fear_Allah394

    Жыл бұрын

    @@darajalakidatukilomgi2362. Kweli. Nawazee hutumia kitanda hakizai haram kwa sbbu kidini ya kiisilam mke alokua ndani ya ndoa akipata uja uzito wa nje na ushahidi uwepo mpaka wa DNA lkn sheria ya kiisilam ni wake. Na Yule alompa mkewe ujauzito hua mtto si wake hata km DNA itaonyesha kua ni wake.

  • @darajalakidatukilomgi2362

    @darajalakidatukilomgi2362

    Жыл бұрын

    @@deeruta9894 kweli hakuna mwana haramu, umezaliwa msafi waliotenda kitendo cha uharamu sio mtoto

  • @darajalakidatukilomgi2362

    @darajalakidatukilomgi2362

    Жыл бұрын

    @@Fear_Allah394 Asante umeelezea vizuri sana, sheria imekwenda mbali hata mke akiondoka bila Talaka wale watoto wa mume wa ndoa

  • @asiamohd5516
    @asiamohd5516 Жыл бұрын

    Subhanallah, mtihani, Mungu akufanyie wepes mtto wangu hii dunia inamengi.

  • @user-gv1op1oh2c
    @user-gv1op1oh2c Жыл бұрын

    Mzee yusufu mungu anakuona umeniliza sn leo

  • @happypiusi3801
    @happypiusi3801 Жыл бұрын

    Inamaana yusuph.malaya Sana Hadi hajui wanawake aliolala nao

  • @trizereve3386
    @trizereve3386 Жыл бұрын

    Maskini so sad vile kutafuta ujauzito nishida

  • @mchinatz9335
    @mchinatz9335 Жыл бұрын

    Wewe mzee ulaaniwe na mungu

  • @BashiruSelemani-sk5rs

    @BashiruSelemani-sk5rs

    2 ай бұрын

    Picha za ngono

  • @user-gb1oh9vk9f
    @user-gb1oh9vk9f Жыл бұрын

    Kuwa na roho ya chibu mungu ata ku bless😢😢

  • @hamisibaharia-bl9og
    @hamisibaharia-bl9og Жыл бұрын

    Ndugu yangu 2pambane mm mwenywe nilikataliwa na mzee wangu ila maisha2 2pambane

  • @suzanamwangingo2995
    @suzanamwangingo2995 Жыл бұрын

    Reila inamana humuoni huyo mtoto naukamshauli huyo mzee yusuphu kuwa mtoto ni wake .mh .hii aibu mzee yusuphu mtoto ni wako jamani.mmefanana sana zaidi ya sana

  • @jestinaluvanda-jm4tc
    @jestinaluvanda-jm4tc Жыл бұрын

    Sasa mkondo wa wa sheriia wa nini kwani mtoto hajui ameambiwa tu na mama. Kama sio baba basi yaishe DNA iseme

  • @LucyHuseni
    @LucyHuseni Жыл бұрын

    Jaman namuomba mwenyezi mungu Hawa watoto wanaokataliea nawazazi wao wawe matajir kupita maelezo amina

  • @user-dg4zc2un1y

    @user-dg4zc2un1y

    2 ай бұрын

    Amiin

  • @josephndunguru6290
    @josephndunguru6290 Жыл бұрын

    Kama mm nakiburi changu hichi siwezii kujikomba Kwa baba ambaye Hana upendo na mm, dogo Fanya maishaa yakoo unafeli nn achaa kijazilirishaa,

  • @beautyibrahim8428

    @beautyibrahim8428

    Жыл бұрын

    😀😀😀wenye vibur tuko wengi

  • @jacklineisack133

    @jacklineisack133

    Жыл бұрын

    Wew ni mim kabisa😂😂

  • @darajalakidatukilomgi2362
    @darajalakidatukilomgi2362 Жыл бұрын

    Watu wa Taarabu mnatuangusha kukataa watoto, wenzenu wanakesha kutafuta hata wa kusingiziwa nyie mnakataa kwa ukali, juzi alihojiwa mjukuu wa Malkia Kopa naye sijui imeishia wapi

  • @abdallahmkubwa1796
    @abdallahmkubwa1796 Жыл бұрын

    Tatizo ww mzee Yusuf umeritad na ndio maana hapana mtu atakae kuamini

  • @CharlesNdege-om5oe
    @CharlesNdege-om5oe Жыл бұрын

    Duh!! Wanafanana sana, Mzee Yusuph achukue mwanae huyo ni damu yake

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 Жыл бұрын

    Dah kijana fanya maisha yako mzee hakutaki kwasababu huyo mzee kasema hata dna haitasaidia kitu

  • @simonitaagesti4765
    @simonitaagesti4765 Жыл бұрын

    huo muda wakumtafuta baba asokutaka nibora ungetafakari nn ufanye mdogo wangu

  • @easternyerembe7271

    @easternyerembe7271

    Жыл бұрын

    Nafikir anataka kujua ukoo wake

  • @pillyseleman8090

    @pillyseleman8090

    Жыл бұрын

    Saa nyingine waitafuta ukoo kumbe waitafuta balaa yani kama ni nimsikivu wa maoni ya watu angewachana na huyu Mzee

  • @rizikiabdalla2501

    @rizikiabdalla2501

    Жыл бұрын

    Ss wazanzibar mtt ukizaliwa nje ya ndoa mama hiyo ni zawadi yako dogo pambana na hali yako kuliko kupita Maredio kumzalilisha mzee wa wezio

  • @easternyerembe7271

    @easternyerembe7271

    Жыл бұрын

    @@rizikiabdalla2501 kumbe Zanzibar sio Tanzania

  • @pillyseleman8090

    @pillyseleman8090

    Жыл бұрын

    Kama wazanzibar ni hivyo mtoto wa nje ya. Ndoa hakuhusu lakin zinaa inamhusu alilima akapanda mbegu hayo mavumo yake kina na akhera nayo yatungoja Allah atuongonze

  • @stelayunami7779
    @stelayunami7779 Жыл бұрын

    🥲🥲Anavyomkana jamani mbona kafanana nae sana tyuu,,,

  • @easternyerembe7271
    @easternyerembe7271 Жыл бұрын

    Watoto ni baraka, mpokee mtt na umuombe Mungu utakuwa na amani, hivihivi hilo litakusumbua maisha yako yote mzee Yusuf

  • @kalssambaboo9932

    @kalssambaboo9932

    Жыл бұрын

    Wanaume wanapenda kuchepuka mwisho wasiku wanajidai sio wachepukaji wanona fedheha kiukweli nimwanae hata akimkataa lakini nimwanake

  • @nurusaid4698
    @nurusaid4698 Жыл бұрын

    Kijana Muachie Mungu Ndie Akimu WA Yote Uzima Ndio Muimu Sana Pambana Na Mungu Atakupigania Insha Allah

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 Жыл бұрын

    MBONA UNA HEPA DNA MZINIFU WEWE.

  • @mohamededdi7527

    @mohamededdi7527

    Жыл бұрын

    Mambo juu ya meza. Mbwa. Mbwa. Mbwa, mzinifu mkumbwa hiyo. Hahahaha.

  • @user-dg4zc2un1y

    @user-dg4zc2un1y

    2 ай бұрын

    😂😂😂😂ATI mizinifu

  • @emmanuelkanyela275

    @emmanuelkanyela275

    Ай бұрын

    huyu mzee alikuwa kipindi kile moto sana wanawake walikuwa wanakuja wenyewe wanakupa utamu huyu dogo wako

  • @mohamedrashid9035
    @mohamedrashid9035 Жыл бұрын

    Mdomo pua usemaji kichwa macho na anasema kwa usahihi Mzee Yusufu wewe unaleta Usani tu ni mtoto wako

  • @tatukingi2543

    @tatukingi2543

    Жыл бұрын

    Mzee Yusuf ana leta mashahiri kwa hili Jambo mtt amesema vzr tu nimemuelewa yeye aliambiwa na mmke Baba alokua anaishi nae c bbke . Bbke ni MTU fulani SASA hayuko duniani mbona kama huyu mtt c wake asikubali Tu DNA analeta maneno mengi

  • @user-bd8ss6sp1e
    @user-bd8ss6sp1e Жыл бұрын

    Mungu ndio anajua hivi kweli hiyo sura anakataa

  • @kotadapotar5094
    @kotadapotar5094 Жыл бұрын

    Hii mizee mingine mabubuazi wewe huyu mtoto No Comment kwa mzee Yusuf mungu Atamuangamiza kama kweli huyo mtoto wake 🇹🇿

  • @kulwambegu9148

    @kulwambegu9148

    Жыл бұрын

    Mie mwenyewe nafanana na huyo mzee

  • @abdulshakurmshindo9040
    @abdulshakurmshindo9040 Жыл бұрын

    Kosa ni la Mama ake Mwenyewe kwa kumnyima haki mtoto wake kama angemzaa ndani ya Ndoa leo mtoto asingetanganga na Kwa sheria ya Muumba huyo si mtoto wake hawawezi kurithiana

  • @shakilabakari6928

    @shakilabakari6928

    Жыл бұрын

    Haswaa ni kweli kabisa kaka yangu tuwe makin kwamaana hapo mtoto ni wamama nasiwababa kwahyo makosa ni yamama

  • @hanifaomar7438
    @hanifaomar7438 Жыл бұрын

    Tafuta pesa mwanangu yeye ndio akutafute lakini huyo Mzee yusuph ni Baba yako

  • @mzarendo.com9624
    @mzarendo.com9624 Жыл бұрын

    Daaah !!! Mzee Yusuph, wee nyoko sana mbona unafanana sana na huyo mtoto? Acha usenge mkubali mwanao kitanda hakizai haramu ! 🥺🥺😳😳

  • @hamadimadisa9346
    @hamadimadisa9346 Жыл бұрын

    La kini siote wote, na kitokea una fanafana naye basi jua mungu sio mjinga

  • @himidmkuya7381
    @himidmkuya73812 ай бұрын

    alitaka iwesiri sasa alihaji mungu anakufedhehesha unachezea laana za mungu

  • @abdunasiriathumani9011

    @abdunasiriathumani9011

    2 ай бұрын

    Mwanangu ndo Leo unaangalia Kama Mimi?

  • @mohamedrashid9035
    @mohamedrashid9035 Жыл бұрын

    Mzee Yusufu mbona unatoka kipovu mtoto ni wako hata DNA aipindishi

  • @mariamkibindo1741

    @mariamkibindo1741

    Жыл бұрын

    😂😂lake hili

  • @binaljabirmshihirzanzibar8369

    @binaljabirmshihirzanzibar8369

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @janetdundul3858
    @janetdundul3858 Жыл бұрын

    Lakini kinana huyo mzee halikukataa tangia mda tuu lakini mungu adhidi kukulinda 👏👏👏👏🖤🖤🖤😢😢

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 Жыл бұрын

    Mhuuu inauma sana pole sana kijana wangu mungu atakusaiidia utapata maisha uako

  • @agnesmwaipopo8287
    @agnesmwaipopo8287 Жыл бұрын

    Mi nimeumia sana, kama kweli baba anamkana mtoto wakati ni damu yake ni dhambi sana.

  • @user-ns4oj9cw1j

    @user-ns4oj9cw1j

    Жыл бұрын

    Haramu moyo mbaya

  • @user-bg2rp2gd3t
    @user-bg2rp2gd3t2 ай бұрын

    Mwenyez mung awalahani sana mwanaume wanae wakataa,,damu zao moto unawares

  • @user-cu5jr7yc8n

    @user-cu5jr7yc8n

    2 ай бұрын

    Wallah tena watalaniwa mpaka basi wamenisinyiya jitu nikirango alafu yukana mwanae YA ALLAH waume waina hii walani mpaka siku ya kiama😢😢😢😢😢

  • @florabuzoya3948
    @florabuzoya3948 Жыл бұрын

    Mzee Yussuf ana maneno mengi ila huyu mtoto ni wake wanafanana sanaaaaa

  • @aishaabdullah837
    @aishaabdullah837 Жыл бұрын

    Mimi ningelikuwa na namba ya mzee Yusuf ningemuelekeza kwao uyo mtoto kwa babu yake mzaa baba anaitwa anaitwa mzee mashuguli

  • @damianmalley8675
    @damianmalley8675 Жыл бұрын

    Hahhhhah😂😂😂😂😂 Nmecheka kweli😂😂😂😂😅😅

  • @nasrahassan8067
    @nasrahassan8067 Жыл бұрын

    Wamefanana uyo mzee Allah atamlipa

  • @ernestjohnbosco2053
    @ernestjohnbosco2053 Жыл бұрын

    Wazazi kama hawa ndo wanaotapatapa uzeeni kutaka kuacha laana Kwa watoto wasiowalea, dogo tafuta maisha Yako achana nae Kabisa hao wazee wanakuaga hawana akili angalia maisha Yako mdogo wangu Tena usimuwazie Wala kumuweka kwenye akili Yako huyo mzee karogwa nawajua vizuri Mama wa kambo dogo. Mungu akufanikishe katika maisha Yako Ili uje kusahau mapito yote

  • @mwanakombopopo5117

    @mwanakombopopo5117

    Жыл бұрын

    Hilo ndilo neno ninalomuombea tafuta maisha yko kama uko na wajomba shuluka nao wakusaidie maisha kama huna mtu yoyote waukoo wa mama basi kimbilia kwa mahimamu na Mashelk watakusaidia mwanangu aina aja ya kubembeleza kiumbe chamungu ambaye pia yeye mwenyewe nimja wa Allah 😢

  • @user-dy5qo6oi2q
    @user-dy5qo6oi2q Жыл бұрын

    Huyu jamaa anajifanya mjanja ila mungu analipa haha duniani huyu moto Hana hatia😢😢

  • @lydialidike3029
    @lydialidike3029 Жыл бұрын

    😭😭😭pole sana kaka yangu hata mimi sina papa nakuelewa sana 😭😭😭😭😭

  • @rushdamohammedi

    @rushdamohammedi

    Жыл бұрын

    Achananae nibola mama co baba we w nimtoto wakiume ni babatosha

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 Жыл бұрын

    DINI HAIJASEMA KUWA MTOTO WA NJE YA NDOWA SIO WAKO IMESEMA HAWEZI KURITHI MALI YAKO UKIFA MADAMU UKO HAI UNATAKIWA UMFANYIE KILA KITU MZINIFU WEWE

  • @nigamo9645

    @nigamo9645

    Жыл бұрын

    Sawa sawa

  • @siasia5469

    @siasia5469

    Жыл бұрын

    Huwezi kulima shamba kwenye shamba ambalo sio lako alafu mazao yakawa yako Allah amekataza wanaume juu ya ilo jambo na ndiomaana ikiwa itapatikana mimba kwa njia iyo ya uzinifu basi mtoto anakua ni wa mama na mpaka majina ya ukoo atatumia ya mama. Mtoto uyo anakua hana haki yoyote kutoka kwa uyo baba kwaio apo hata wakapime DNA na itoke asilimia mia moja kua baba yke ni uyo mzee lkn sharia haiwezi badilika ikamfanya uyo mzee ni baba ake ksb njia ilotumika kumleta duniani lakini mtoto hana makosa yoyote na anakua sawa kama watoto wengine makosa ni hao wazazi walioamua kumleta katika mazingira ya zinaa

  • @AbdoulsudaisSuleiman
    @AbdoulsudaisSuleiman13 күн бұрын

    Maashallah 😢 huyu ni mwanae kabisa😢

  • @theresiapatrick7860
    @theresiapatrick786011 ай бұрын

    Huyo Mzee ana ugonjwa wa ajili, lkn kikubwa huyo mtoto amuombe mungu amjaalie maisha na uhai, Toto lamfanana km Nini!!!!! Amuache mungu stamps malipo yake.

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Жыл бұрын

    HUYU MZEE ATAHONGA ILI AONEKANE CY MTOTO MTOTO WAKE KWAKUKWEPA AIBU. SERIKALI SIMAMIENI HILI.

  • @amanichanga3448
    @amanichanga3448 Жыл бұрын

    Mtoto ana shida huyu, vijana hawa wa miaka ya 2000’s daah

  • @FatumaBakari-qo6up
    @FatumaBakari-qo6upАй бұрын

    Mnapozini sheria dini hamuioni kwenye matokeo mnaona maandiko ya mungu

  • @EdiltrudesMalivata
    @EdiltrudesMalivata2 ай бұрын

    Mzee Yusuph Una dhambi kumkataa huyo mtoto,kama bado hujatengeneza nae tengeneza mapema,kabla hayajakukuta Mambo. Maana mtoto huyo ni wako,duniani hata mbinguni. TENGENEZA 🙏🙏

  • @fakihassan9021
    @fakihassan9021 Жыл бұрын

    Mzee yusufu alikua mzinifu sana anakata mtoto wake Doo hatari jamani

  • @amanichidyboy2900
    @amanichidyboy2900 Жыл бұрын

    Mzee anajua km ni mwanae kbs

  • @user-dr1pf3hx2e
    @user-dr1pf3hx2e3 ай бұрын

    Mdoko wangu potezea mungu ndo baba usijali,wanaume ndo walivyo

  • @aishaabdullah837
    @aishaabdullah837 Жыл бұрын

    Uyu mtoto Ana dhambi sana yani shutuma Anazo zipata mzee Yusuf mungu atamuukumu uyu mtoto

  • @juliethgerald3730

    @juliethgerald3730

    Жыл бұрын

    We nilijinga ase

  • @aishaabdullah837

    @aishaabdullah837

    Жыл бұрын

    @@juliethgerald3730 Sawa mjanja ww unaye amini kudanganywa

  • @fatmaomari7824

    @fatmaomari7824

    Жыл бұрын

    Ndio limwehu hili huyu mtoto asingejiamini kupima DNA hili zee linaishi maeneo ya charambe

  • @Jassmin-media-official
    @Jassmin-media-official Жыл бұрын

    Mzee yusufhu analea mtoto wamkewe lakini wakwake kamkataa very stupid mbona mkewe hakumkana mwanae

  • @africanpioner4090

    @africanpioner4090

    Жыл бұрын

    mtoto wa nje ya ndoa huyo

  • @maryamsaid3297
    @maryamsaid3297 Жыл бұрын

    Maskini hata ikitokea niwake hamnaraha

  • @bakaramourshaaban
    @bakaramourshaaban Жыл бұрын

    Kama nimwanae kweli , naanavyoonekana kweli mwanae , ila kuna siku Mungu atamuumbua

  • @faizaahamd2052

    @faizaahamd2052

    Жыл бұрын

    Kweli Kabisa. Kila inauma sana😭😭😭😭😭😭

  • @hopekrish5433
    @hopekrish5433 Жыл бұрын

    Huyu mzee mjaalaana mbwa huyu ameweza kwenda manka na akaludia kufanya ufusikq sembusem kumkana mtoto

  • @lailalaila8206
    @lailalaila8206 Жыл бұрын

    Aisee namuelewa uyu mtto kuwa na famiria raha jmn japo kunafamiria myu anatamani hawe pekeake lkn hakuna kitu kzur kama famiria mtto anataman hawe na famiria na ndiomana anatafuta baba yake wanaume mungu hanawaona mnaokata dam zenu na wanaume kama mzee yusufu wapo wengi sana wanaokata dam zao sio vizuru anataka faraja mtto amjue baba yake jmn wanawake wenzangu tuturieni tuzae na wanaume wariokuwa saihi na ndani ya ndoa iri tusiwasiri watto wetu kama hiv tunawaumiza jmn kanitia uchungu mtto hanadharirika jmn

  • @halimahbwelele694
    @halimahbwelele694 Жыл бұрын

    Jaman 😢

  • @rahmapelembela-oq4yd
    @rahmapelembela-oq4yd Жыл бұрын

    Huyo mtoto ni wa mzee Yusuph kabisa mungu atamchoma moto huyo baba

  • @MwanaishaHemed-xi6rj
    @MwanaishaHemed-xi6rj Жыл бұрын

    Mtihani 😢unakataa damu yako dah!

  • @binaljabirmshihirzanzibar8369

    @binaljabirmshihirzanzibar8369

    Жыл бұрын

    Nomaaa sana2 jmn

  • @rizikiabdalla2501

    @rizikiabdalla2501

    Жыл бұрын

    Sio yake

  • @Sheba4651

    @Sheba4651

    Жыл бұрын

    Waislamu mna shida sana, Ati damu yake.

  • @ShizaAlly

    @ShizaAlly

    2 ай бұрын

    Hii n laana kukataa damu yako

Келесі