Dr.Sulle Kuja na mpya//Nitawasaidia watu wote bila ya kujali/Ukiota unakufa haya ndo hutokea

#drsulle #live #trending #film #trending

Пікірлер: 37

  • @athmansadiki6341
    @athmansadiki6341Ай бұрын

    Dr.sule shukran sana kwa tiba zako tunaomba tukio hili ulifanyie liwe kwa u tube on line kwa ss tulio njee ya nchi insha'Allah

  • @user-kj4rk4hl2z
    @user-kj4rk4hl2zАй бұрын

    Shukran mwalim

  • @rehmahamishamismkande4348
    @rehmahamishamismkande4348Ай бұрын

    Mmmh mm nimejiona nina dalili zote

  • @sulaimanadawi302
    @sulaimanadawi302Ай бұрын

    Salaam Dr sulle Mimi nipo on line nakusikiliza ishaallah wapenzi wote watizamaji watafanikiwa na kikao chako ishaallah rgd Sulaiman

  • @user-ed1cf9nq5w
    @user-ed1cf9nq5wАй бұрын

    Hana tofaut na mchawi

  • @hamzaalsharif7195
    @hamzaalsharif7195Ай бұрын

    MashaAllah ❤

  • @hamadramadhan8422
    @hamadramadhan8422Ай бұрын

    Asalam alyekum mwalimu mim naota nanikwa na mwanamke ambaye anarangi ya kijani kuja brue 😢😢😢

  • @pedropedroagira3980
    @pedropedroagira3980Ай бұрын

    Dr: Mimi nassumbuliwa na bázi za ndoto ila Mimi nipo Moçambique

  • @user-ie7yt9db6f
    @user-ie7yt9db6fАй бұрын

    Shukran shkh lkn mm nko na kisunzi na miguu kufura iko inaniuma na nko mbl

  • @user-tr3vt7nf2p
    @user-tr3vt7nf2pАй бұрын

    Tunakupigiaga sana aupokei tulishaga kataa tama ivi nikukusikiliza tu

  • @wamiujizacholo7413
    @wamiujizacholo7413Ай бұрын

    Sheikh Fanya panga ziara yako japo Moja kuja na huku Zanzibar, inshallah

  • @NicholasZulu-dj5jt
    @NicholasZulu-dj5jtАй бұрын

    Dr sule tunakufata tup zambia wewe ni sule pigakaza saidiya watu malipo kwamungu usi sikilize maneno yawatu piga kazi mungu atakulupa nasitunazindi kukuombea kwa mungu

  • @janepherjackson9693
    @janepherjackson9693Ай бұрын

    Sijui wenye hatuko Tanzania tutasaidika vipi

  • @nyiranshimiyimanamadine6070
    @nyiranshimiyimanamadine6070Ай бұрын

    Dr izo dalili zote mimi dalili 50ninazo utanisidia vip nipo Rwanda 🇷🇼 baba yangu nitakuona vip?

  • @NicholasZulu-dj5jt
    @NicholasZulu-dj5jtАй бұрын

    Dr sule sisi watu tuko zambia duwahiyi utatusaidiyaje baba mugu azidi kukupa ilimu ilituzidi kujifunza sisitunataka kujifunza

  • @nkanganyerere
    @nkanganyerereАй бұрын

    Dr sulle tubu kaiamini injili

  • @user-td7wr1xb2k
    @user-td7wr1xb2kАй бұрын

    kibada sehemu gani

  • @ambokilenyondo3122
    @ambokilenyondo3122Ай бұрын

    Ambao tupo mbali

  • @rahmaabdalla7643
    @rahmaabdalla7643Ай бұрын

    Walio mbali sheikh vipi pengine

  • @user-pp9mp1pz9f
    @user-pp9mp1pz9fАй бұрын

    Umesahau kuota unapiga kelele usingizini

  • @jamilakhamisshaaban4752
    @jamilakhamisshaaban4752Ай бұрын

    Kwa dalili hizo sote hapo hatutoboi itabidi shehe iyo dua iwe ya kitaifa

  • @tazaniattractivetamthiliya2941
    @tazaniattractivetamthiliya2941Ай бұрын

    Asnte

  • @destroyerban7364
    @destroyerban7364Ай бұрын

    Sheikh tunao ish inje ya tz itakuwaj

  • @NicholasZulu-dj5jt
    @NicholasZulu-dj5jtАй бұрын

    1 siwoti hatakidogo 2 vurugu mundowa 3 pesa kutoka mikononi 4 kusahawu marakwamar 5 nakusikiya sawuti mbaliangu

  • @NicholasZulu-dj5jt
    @NicholasZulu-dj5jtАй бұрын

    Wewenye tukombali tusaidika kivipi duwahiyo isi tupite vitu umesema nilijikuta navitano

  • @user-pp9mp1pz9f
    @user-pp9mp1pz9fАй бұрын

    Nilickia ck ulisema ukiota unapiga kelele ucngizini ni dalili mbaya leo hujaotaja

  • @user-ed1cf9nq5w
    @user-ed1cf9nq5wАй бұрын

    Shida ya sule anawatumia majini kuwatibu wenye majini.

  • @user-rq3vu1zy6c
    @user-rq3vu1zy6cАй бұрын

    na majini yako je

  • @user-sg6qz3yw7k
    @user-sg6qz3yw7kАй бұрын

    Shekhe umetupa wakati mgumu sana sisi waumini wako tunaokufuatilia toka umeanza kuongea habali ya majini tukituma klipu zako za mawaiza kwenye magrup yetu ya wasap zinafutwa tunaambiwa uyu mchawi sio muislam tusafishie mazingira shekhe 😢😢

  • @SCSI523X
    @SCSI523XАй бұрын

    Shekh mimi mwaka jana nimeota nyotamkia (comets) 3 zinapita kwa kasi yenye usawa usiku angani zilizojipanga mstari wa kuongozana moja mbele ya pili kati ya tatu nyuma kwa eneo nililokuwapo zilikuwa zinatoka kusini mwa dunia zikiwa zimeongozana mpaka katikati ya dunia zikazima halafu hapo hapo nikaona zinatoka zinapita nyengine nne zikiwa zimejipanga kimstari kama mwanzo zinatoka kutoka kusini mwa dunia mpaka kaskazini mashariki ya dunia zikazima hapo hapo nikashtuka. Jee nini maana ya ndoto hii?

  • @nailaomar4810

    @nailaomar4810

    Ай бұрын

    Piga simu Kwa wataalamu wa ndoto watakujibu ndoto yako inshallah

  • @SCSI523X

    @SCSI523X

    Ай бұрын

    @@nailaomar4810 naezaje kupata nambari za mtabiri mzuri wa ndoto maana ndoto zangu nyingi hutokea kweli.

  • @Hamis-ks1sy
    @Hamis-ks1syАй бұрын

    Mchawi

  • @faudhiasaidi3669

    @faudhiasaidi3669

    Ай бұрын

    Ushawahi kulogwa?

  • @Hamis-ks1sy

    @Hamis-ks1sy

    Ай бұрын

    @@faudhiasaidi3669 ambao watamuunga mkono ikiwa wanajua kama huyu mtu ni mchawi pia wapo pa1 nae.

  • @iddiramadhani5111

    @iddiramadhani5111

    Ай бұрын

    Hajielewi huyu, dk sulley ni mwalimu wetu.

  • @nakundwamkubwe7823

    @nakundwamkubwe7823

    Ай бұрын

    @Hamis-ks1sy husda itakuuwa zuzu wewe

Келесі