LIVE MAJINI YANAVYOTOLEWA NA SHEKHE MTAALAM AMKOSOA DR SULLE KUHUSU ELIMU YA PETE
Our mission is to bring people together,entertain and educate people that's why we create content that does exactly that
Жүктеу.....
Пікірлер: 43
@saadasaleh317715 күн бұрын
Huyu ndo sheikh sasa anowajua majin na kanuni zao Allah akuhifadhi sheikh
@aminaaziz72275 күн бұрын
Mwenyezi Mungu azidi kukuongoza, sheik. Naomba namba zake.
@Yesslarry17 күн бұрын
Naombeni mnisaidie jaman aiseee shekhee maana nimeangaika sana
@user-ih4kw5eb3d18 күн бұрын
Huyu ustadhi ako sahihi kabisa nimemsikiza vizuri yupo sawa kabisa na anajua kuitumia quran pongezi sana
@KhadijaSultan-xp5ej13 күн бұрын
Kweli sheikh mola akuweke
@hamicpina115118 күн бұрын
Shekh upo sahihi kabisa jini hutakiwi kumtumia ata kwa wema na jini mwema hawezi kushirikiana na binaadamu wala kupanda kichwani upo sawaaaa wallah kwa ilo tena uko sawa ww sio mshirikina
@hamadmussa840216 күн бұрын
Jamani naomba kama kuna mtu ana namba zake za simu huyu Shek nipatieni.. Manake Mkewangu anausumbuliwa sana na haya Matatizo kwa muda mrefu sasa na ameshindwa kupowa hadi sasa!! Na watu wengi wametutapeli.
@user-rc2ye4ri6t18 күн бұрын
Hyu shekh yupo sahihi ameongea ukweli
@user-xi4le1hp4y17 күн бұрын
Kwa ujumla kwa sule alivyo sema kutumia majini, sio sawa.bali ni ushirikina
@user-xi4le1hp4y18 күн бұрын
Wala usiogope kusema kuwa sule ufahamu wake sio sahihi kwa mujibu wa uisilamu, na haijuzu kutumia majini katika uisilamu
@rashidjuma977418 күн бұрын
MashaAllah haya ndio mafundisho ya dini sahihi
@IdrissaMoussa-tx7jy18 күн бұрын
Allah akibaru Allah akibaru laa illaha ILALAAH Dr sulle Jo ujifundishe apa mambo ya majini.
@user-lr6jd6zg9l15 күн бұрын
Umejibu kisomi sana
@user-ig1ds2eq4d18 күн бұрын
Yana patikana wapi Pamoja na namba zake za simu kwa walio mbali
@user-iz1er8vg7u17 күн бұрын
Mashallah
@MohamedNgaga18 күн бұрын
Shekhe yuko sahihi, hao wanaofua maulamaa wanaoruhusu kuamiliana na majini, wameshindwa kuelewa kuwa wao ni watu kama walivyo wao,, tumeambiwa tukitatazika na jambo turejee ktk qur’an na suna, leo mashehe wanaleta ujanja ujanja kutaka maslah ya kidunia, nawausia na kuusia nafsi yangu tumuogope allah, hakuna mwenye kujua ni wapi kapatia au kakakosea.
@user-fb9tu5vx9l14 күн бұрын
Yeye ni mkweli.
@mwinyihajihassan929918 күн бұрын
Maa shaa Allah
@HamisAbdallah-cj2sc
18 күн бұрын
Sasa HAPA tunapata elimu qurani NDIO Tina SIO vinginevyo KWAHIYO marashi ya sihiri tiba ni qurani marashi ya kisayasi NDIO jnaweza kutumia panado nakadhalika sasa watu wanasema tofauti KABISA shukrani shwikh
@MdungiKhamis15 күн бұрын
Wambie wapemba hao
@khammadjeffa51517 күн бұрын
Huyu sheikh yuapatikana vipi?. Any contact
@shabanijuma208517 күн бұрын
Kitendo Cha jini kuleta hela ela yenyewe ni haramu vipi jini huyo atakuwa mzuri.Sheikh yuko sahihi Huyu.Ela Ile ni ya wizi.Allah akulipe kher.
@AzizMansur-uz1yv18 күн бұрын
Namaba ya sheikh zinapatikana vipi?
@abuabdurrahmaan663717 күн бұрын
This guy makes lots of sence Allaahumma baarik. May Allah grant him steadfastness
@lifessecret6791
17 күн бұрын
Leo hii nimeamini kumbe tunaweza kuwa na viongozi wa Imani wenye nguvu za kuwasaidia watu kweli bila wao kujua nguvu hiyo inawezaje kuwasaidia watu, hiyo ni shida kubwa sana. Allah ndiyo Mungu kwa lugha ya kiarabu yeye Mwenyezi Mungu hufanya kazi na viumbe alivyoviumba mwenyew kama njia moja wa kirahisisha msaada kwa waja wake God is a spirit and that is devided into two type that 1. Holy spirits like Jinn/Djinn, dragon, vampire, Ancestors, Aliens, etc 2. Evil spirits are like Jinn/Djinn, dragon, vampire, Ancestors etc So, don't oppose if don't have full knowledge of Allah/God
@lifessecret6791
17 күн бұрын
Leo unakataa juu ya viumbe majini wa Mwenyezi Mungu naomba ujibu Mbele ya Umma kinachosababisha uwe na mvuto katika shughuri zako na kwenye ridhiki zako
@lifessecret6791
17 күн бұрын
Ni nini kilichoko kwenye Pete yako iliyoandaliwa kwa Majina yako, Tarehe yako yakuzaliwa (DOB ) and photo. Hivi kwann viongozi baadhi wa Imani wana vificho ndani ya huduma zao?
@Al.habeebAl.habaaib16 күн бұрын
Wote wachaeiiiiiii
@Yesslarry17 күн бұрын
Naomba nisaidie na mimi shekhee na majini yani shida huu mwaka wa 10
@Laizer3
17 күн бұрын
Kaombewe kanisaniii
@kipchorngwonektiroto45718 күн бұрын
ANAYO VYOMBO VYA USHIRIKINA MKONONI!
@shabanijuma208517 күн бұрын
Kitendo Cha jini kuleta hela ela yenyewe ni haramu vipi jini huyo atakuwa mzuri.Sheikh yuko sahihi Huyu.Ela Ile ni ya wizi.
@saba-gv3mj18 күн бұрын
Kweli kufanya jini akulinde ni shirki lakini jini waeza mtuma kama kumfanyia mtu dawa na kumtumia jini kukupa pesa hio pia sio kitu kizuri kwa sababu jini waeza mtuma pesa akaenda kuiba ila majini ustadh waeza mtumia kwa njia ya haki
@fadhilmandaliabdalla6736
17 күн бұрын
Hakuna hiyo, huwez mtumia jini ktk njia yoyote ile, hakuna Ayah wala Hadith sahihi ya Mtume Muhammad S.A.W, wala yeye Mtume Muhammad S.A.W hajawahi mtumia jini kwa njia yoyote ile. Kwa nn umtume amtibie mtu, unajuaje kama huyo jini mzuri ama mbaya kajigeuza? Jini hafai kutumiwa na mwanadam kwa njia yoyote isipokua ya batili (haram)
@saba-gv3mj
17 күн бұрын
@@fadhilmandaliabdalla6736 hawakuumbwa majini na binadamu ila kumuabudu Allah wako majini wazuri tena hao majini wazuri ni wale waisilamu na waeza kumtumia jini kwa njia ya sawa utake usitake kama haifai nabii suleiman hangewatuma majini
@AzizMansur-uz1yv18 күн бұрын
Masha Allah
@zitoinze895318 күн бұрын
Sasaa mbona hautajy jinahilo lá muenhezimungu?
@omaar5693
18 күн бұрын
Al_Razzaq
@JackM.-mh5cs18 күн бұрын
Jini hujamtoa kwa dua !!!
@otaibonny883518 күн бұрын
Hayo majini hurudi.. mwende kanisa Watoe hayo majini milele
@alyanibalbila
14 күн бұрын
Utakufa nacho kiziba cha ukafiri
@otaibonny8835
14 күн бұрын
@@alyanibalbila sikiza hiii mkafir.. Mimi siamini majin, dini yako Ina tambua ukristo ndani ya Koran, ya kwangu hajui uislam.. weee kwanza tafakari maneno hayo
Пікірлер: 43
Huyu ndo sheikh sasa anowajua majin na kanuni zao Allah akuhifadhi sheikh
Mwenyezi Mungu azidi kukuongoza, sheik. Naomba namba zake.
Naombeni mnisaidie jaman aiseee shekhee maana nimeangaika sana
Huyu ustadhi ako sahihi kabisa nimemsikiza vizuri yupo sawa kabisa na anajua kuitumia quran pongezi sana
Kweli sheikh mola akuweke
Shekh upo sahihi kabisa jini hutakiwi kumtumia ata kwa wema na jini mwema hawezi kushirikiana na binaadamu wala kupanda kichwani upo sawaaaa wallah kwa ilo tena uko sawa ww sio mshirikina
Jamani naomba kama kuna mtu ana namba zake za simu huyu Shek nipatieni.. Manake Mkewangu anausumbuliwa sana na haya Matatizo kwa muda mrefu sasa na ameshindwa kupowa hadi sasa!! Na watu wengi wametutapeli.
Hyu shekh yupo sahihi ameongea ukweli
Kwa ujumla kwa sule alivyo sema kutumia majini, sio sawa.bali ni ushirikina
Wala usiogope kusema kuwa sule ufahamu wake sio sahihi kwa mujibu wa uisilamu, na haijuzu kutumia majini katika uisilamu
MashaAllah haya ndio mafundisho ya dini sahihi
Allah akibaru Allah akibaru laa illaha ILALAAH Dr sulle Jo ujifundishe apa mambo ya majini.
Umejibu kisomi sana
Yana patikana wapi Pamoja na namba zake za simu kwa walio mbali
Mashallah
Shekhe yuko sahihi, hao wanaofua maulamaa wanaoruhusu kuamiliana na majini, wameshindwa kuelewa kuwa wao ni watu kama walivyo wao,, tumeambiwa tukitatazika na jambo turejee ktk qur’an na suna, leo mashehe wanaleta ujanja ujanja kutaka maslah ya kidunia, nawausia na kuusia nafsi yangu tumuogope allah, hakuna mwenye kujua ni wapi kapatia au kakakosea.
Yeye ni mkweli.
Maa shaa Allah
@HamisAbdallah-cj2sc
18 күн бұрын
Sasa HAPA tunapata elimu qurani NDIO Tina SIO vinginevyo KWAHIYO marashi ya sihiri tiba ni qurani marashi ya kisayasi NDIO jnaweza kutumia panado nakadhalika sasa watu wanasema tofauti KABISA shukrani shwikh
Wambie wapemba hao
Huyu sheikh yuapatikana vipi?. Any contact
Kitendo Cha jini kuleta hela ela yenyewe ni haramu vipi jini huyo atakuwa mzuri.Sheikh yuko sahihi Huyu.Ela Ile ni ya wizi.Allah akulipe kher.
Namaba ya sheikh zinapatikana vipi?
This guy makes lots of sence Allaahumma baarik. May Allah grant him steadfastness
@lifessecret6791
17 күн бұрын
Leo hii nimeamini kumbe tunaweza kuwa na viongozi wa Imani wenye nguvu za kuwasaidia watu kweli bila wao kujua nguvu hiyo inawezaje kuwasaidia watu, hiyo ni shida kubwa sana. Allah ndiyo Mungu kwa lugha ya kiarabu yeye Mwenyezi Mungu hufanya kazi na viumbe alivyoviumba mwenyew kama njia moja wa kirahisisha msaada kwa waja wake God is a spirit and that is devided into two type that 1. Holy spirits like Jinn/Djinn, dragon, vampire, Ancestors, Aliens, etc 2. Evil spirits are like Jinn/Djinn, dragon, vampire, Ancestors etc So, don't oppose if don't have full knowledge of Allah/God
@lifessecret6791
17 күн бұрын
Leo unakataa juu ya viumbe majini wa Mwenyezi Mungu naomba ujibu Mbele ya Umma kinachosababisha uwe na mvuto katika shughuri zako na kwenye ridhiki zako
@lifessecret6791
17 күн бұрын
Ni nini kilichoko kwenye Pete yako iliyoandaliwa kwa Majina yako, Tarehe yako yakuzaliwa (DOB ) and photo. Hivi kwann viongozi baadhi wa Imani wana vificho ndani ya huduma zao?
Wote wachaeiiiiiii
Naomba nisaidie na mimi shekhee na majini yani shida huu mwaka wa 10
@Laizer3
17 күн бұрын
Kaombewe kanisaniii
ANAYO VYOMBO VYA USHIRIKINA MKONONI!
Kitendo Cha jini kuleta hela ela yenyewe ni haramu vipi jini huyo atakuwa mzuri.Sheikh yuko sahihi Huyu.Ela Ile ni ya wizi.
Kweli kufanya jini akulinde ni shirki lakini jini waeza mtuma kama kumfanyia mtu dawa na kumtumia jini kukupa pesa hio pia sio kitu kizuri kwa sababu jini waeza mtuma pesa akaenda kuiba ila majini ustadh waeza mtumia kwa njia ya haki
@fadhilmandaliabdalla6736
17 күн бұрын
Hakuna hiyo, huwez mtumia jini ktk njia yoyote ile, hakuna Ayah wala Hadith sahihi ya Mtume Muhammad S.A.W, wala yeye Mtume Muhammad S.A.W hajawahi mtumia jini kwa njia yoyote ile. Kwa nn umtume amtibie mtu, unajuaje kama huyo jini mzuri ama mbaya kajigeuza? Jini hafai kutumiwa na mwanadam kwa njia yoyote isipokua ya batili (haram)
@saba-gv3mj
17 күн бұрын
@@fadhilmandaliabdalla6736 hawakuumbwa majini na binadamu ila kumuabudu Allah wako majini wazuri tena hao majini wazuri ni wale waisilamu na waeza kumtumia jini kwa njia ya sawa utake usitake kama haifai nabii suleiman hangewatuma majini
Masha Allah
Sasaa mbona hautajy jinahilo lá muenhezimungu?
@omaar5693
18 күн бұрын
Al_Razzaq
Jini hujamtoa kwa dua !!!
Hayo majini hurudi.. mwende kanisa Watoe hayo majini milele
@alyanibalbila
14 күн бұрын
Utakufa nacho kiziba cha ukafiri
@otaibonny8835
14 күн бұрын
@@alyanibalbila sikiza hiii mkafir.. Mimi siamini majin, dini yako Ina tambua ukristo ndani ya Koran, ya kwangu hajui uislam.. weee kwanza tafakari maneno hayo