NYIE WAISLAM BILA MASIHI ISSA (YESU KRISTO) HUWEZI PAMBANA NA MAJINI NA UCHAWI. PART 1

Пікірлер: 59

  • @user-eg7dw7cr7w
    @user-eg7dw7cr7wКүн бұрын

    Kwamara yakwanza nimekuelewa shehe Mungu akubarki

  • @Adoullahsal
    @Adoullahsal2 күн бұрын

    Siku nyingi mwalimu huonekani, Leo nafuraï Sana kukuona mwalimu wangu.

  • @babajaden3525
    @babajaden3525Күн бұрын

    ❤Nimejikuta pumzi imebana kisha nikaachia maana somo ni zito kupita maelezo naomba watu waisikilize

  • @user-ch8zc3bg9b
    @user-ch8zc3bg9b2 күн бұрын

    mwalimu nabarikiwa Sana kuona umerudi hewani😊

  • @odhiaodhia9898
    @odhiaodhia9898Күн бұрын

    Nakuelewa Nabii

  • @user-eu8jz4jl3u
    @user-eu8jz4jl3u3 күн бұрын

    Karibu Kwa yesu, wew unaelekea kuijua njia iliyo sahihi

  • @ezekielphilemon7343
    @ezekielphilemon73433 күн бұрын

    Thanks ,ubarikiwe

  • @user-vl5jj3oq3d
    @user-vl5jj3oq3d3 күн бұрын

    Karibu sana umepotea kwa muda

  • @KelvinMlay-mi7kc
    @KelvinMlay-mi7kc3 күн бұрын

    Mungu akubali

  • @PastorPhilipMbaabu.
    @PastorPhilipMbaabu.2 күн бұрын

    Kweli kabsa.

  • @martinisadru9899
    @martinisadru98993 күн бұрын

    We, ni mwongo sana,, unajiita nabii eliya! Wakati, nabii eliya ndie yohana m'batizaji zama za YESU.

  • @user13375

    @user13375

    6 сағат бұрын

    Eliya ni yohana 😮😮😮😮😮, ndo hujuwi kabisaaaaaaa

  • @alimkumbukwa8363
    @alimkumbukwa83633 күн бұрын

    Da kwel kabisa mom mad fun njfkliaga San sjawai sikia shekhe kkmta mchawi Salm nyngi toka kahama

  • @ShamsaniOthuman-sr7kh
    @ShamsaniOthuman-sr7kh3 күн бұрын

    Kweli kabisa mtumishi

  • @nashonangaya4134
    @nashonangaya41343 күн бұрын

    Ukweli mtupu mtumishi

  • @imranjuma1197
    @imranjuma11973 күн бұрын

    ❤️❤️❤️

  • @cravelymbilinyi1987
    @cravelymbilinyi1987Күн бұрын

    Yani unaongeaga ukweli mtupu

  • @JohnDaniel-v5r
    @JohnDaniel-v5r2 күн бұрын

    Nasoma commenting

  • @Visionofeagle9689
    @Visionofeagle96893 күн бұрын

    Ukweli mtupu

  • @mohamedally121
    @mohamedally12119 сағат бұрын

    Wewe kumbe ni mpumbavu hivi wakati mwingine

  • @MUMBIWAGOVENOR
    @MUMBIWAGOVENOR3 күн бұрын

    Mtumishi unaelimisha watu kweri

  • @odhiaodhia9898
    @odhiaodhia9898Күн бұрын

    Kwanini unaongea ukweli, uogopi

  • @mtanzaniahalisi9500
    @mtanzaniahalisi9500Күн бұрын

    Stress ni mbaya sana

  • @Inkubutembo7779
    @Inkubutembo77792 күн бұрын

    Kata vichwa wakristo na wayahudi

  • @user-ie3lw9eb6p
    @user-ie3lw9eb6p3 күн бұрын

    Nguruwe inadanganya watu

  • @user-oo7yr5zq6g
    @user-oo7yr5zq6g3 күн бұрын

    Chiz we

  • @ofreyking5975
    @ofreyking59753 күн бұрын

    Mbona ulikua kmy nabii

  • @ramadhanihudhaifani4376
    @ramadhanihudhaifani4376Күн бұрын

    Wewe sio MUISLAMU,Mzee! Acha kuwachanganya watu. Huna msimamo kwenye Dini yoyote wewe! Ukisikia UPAGANI,ndio huwa wako sasa. Ati wajiita NABII! Dah...! Hebu tuliza ball,mzee! 😡

  • @kakuzekakuze7564
    @kakuzekakuze75643 күн бұрын

    Nikwel maana majin n malaika walioasi😅😅😅

  • @yusuphhassan9619

    @yusuphhassan9619

    3 күн бұрын

    Majini sio malaika

  • @FridayMwassa

    @FridayMwassa

    3 күн бұрын

    Majini ni malaika walioasi maana Mungu hajawahi kuumba majini ​@@yusuphhassan9619

  • @user-ch8zc3bg9b

    @user-ch8zc3bg9b

    2 күн бұрын

    Majini siyo malaika kaka hao ni mapepo wamezariana na wanadamu kupitia malaika walio anguka mbinguni

  • @ommylax7231

    @ommylax7231

    2 күн бұрын

    ​@@user-ch8zc3bg9bmbona unajiganyaga mwenyewe kwenye iyo coment yako, unaizunguka sana yaani unasema hivi:_unasema majini sio malaika harafu hapo apo unasema hivi:_Ni mapepo wamezaliana na wanadamu kupitia malaika walioanguka duniani!! Sasa hauoni hao malaika walio anguka kutoka mbinguni ndio walio Muhasi mungu na kutupwa Duniani na kuitwa mapepo ndio hao wanaitwa majini sasa

  • @kelvinkamau3174
    @kelvinkamau31742 күн бұрын

    Na majini ni mandugu Zenu,72:14 Quran

  • @Maalim_Samatta

    @Maalim_Samatta

    2 күн бұрын

    Ni kweli kabisa majini ni ndugu wa waislam kama ambavyo mapepo machafu waliokwenda mbele za Yesu na kumuita mwana wa Mungu ni ndugu wa wakristo. Hapo waonaje😂

  • @kaoretosha6668

    @kaoretosha6668

    2 күн бұрын

    Mandugu ndiyo nini....?

  • @patrickmsangi5864
    @patrickmsangi58643 күн бұрын

    Mtumishi leo una hasira sana, umefika hatua umekengeuka Maana unaongelea vitu vitatu ila hujapata ufunuo navyo vitu hivyo. Sawa Ngoja watu wauwane ila sisi ni wale Vita vyetu si katika mwili na nyama bali katka falme na mamlaka juu ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho

  • @nabiiilyaaseliya2551

    @nabiiilyaaseliya2551

    3 күн бұрын

    @patrickmsangi5864 sisi waislam tunaenda kumtumia YESU kuondoa dhambi sasa nyie wakristo kaeni rohoni mumsubiri aje kuwachukua

  • @patrickmsangi5864

    @patrickmsangi5864

    3 күн бұрын

    @@nabiiilyaaseliya2551 Kivipi!? Mtumishi, Mbona unaongea kitu kisichokuwa kitu!! Je Mungu ni waamani au wakupigana? Amri ya Mungu ni Upendo nao upendo huzaa amani Nikweli kuna vita ya dhambi ila kumbuka dhambi nayo ni roho maana ni Shetani. Hapo vipi mtumishi!? Naomba number zako tuwasiliane

  • @IgnacioAndrew-rj8pd

    @IgnacioAndrew-rj8pd

    Күн бұрын

    ​@@nabiiilyaaseliya2551mtumishi waislamu hawamkubalii YESU kwamba alikufa na kufufuka inakaaje hapo

  • @Rashid-vm1fk

    @Rashid-vm1fk

    Күн бұрын

    ​​​@@nabiiilyaaseliya2551YESU KRISTO alisema aaminie na kubatizwa ataokoka na asiye amini amekwisha kuhukumiwa je nyie waislam mtakimbiliaje kwa Yesu wakati hamjamwamini? Na Tena hamuamini YESU kama alisulumbiwa? Labda yupo mwingine sio YESU KRISTO WA NAZARETH

  • @Rashid-vm1fk

    @Rashid-vm1fk

    Күн бұрын

    ​​@@nabiiilyaaseliya2551YESU KRISTO alisema ombeni lolote kwa jina langu je uko tayari kuugeuza msaaf? Mbona hueleweki? Msipogeuka na kuomba kwa lake YESU KRISTO hata ufie masjid utakwenda jehanam kweupeeee

  • @maspro6294
    @maspro62942 сағат бұрын

    LINABI FEKI WEWE KAFIRI KWENYE UISLAM HAUPO KWENYE UKILISTO HAUPO KAZI YAKO KUBWAKA KAMA MBWA KOKO

  • @user-qw9ks3fg9m
    @user-qw9ks3fg9m2 күн бұрын

    Kafiri kafiri tu hageuki

  • @saleemadhiyabalkhatri7800
    @saleemadhiyabalkhatri78009 сағат бұрын

    Kama wewe nijini tena lililoshindikana mwanga mkubwa kusoma kurani hujui halafu unajiita nabii fala we

  • @Erik-kj5no
    @Erik-kj5no3 күн бұрын

    Kama waislamu wameamlishwa kupigana mbona kwenye mafundisho yako huko nyuma uliwahi sema alshabaab wanakose kama nimekosea nisahihishe

  • @imranjuma1197

    @imranjuma1197

    3 күн бұрын

    Njia wanazo tumia sio… elewa darasa linamuhusu Issa bin Mariam kumjua? swali; Alshababu wana mjua Issa au Yesu ni nani ndani ya Qur’an hii ndio mada ya msingi kuielewa?

  • @daudymlauletv8489

    @daudymlauletv8489

    2 күн бұрын

    Alshabab hawapigani kwa ajiri ya uisilamu hayo makundi ynaanzishwa kwa maslahi ya wamaghalibi

  • @willdomy1078
    @willdomy10783 күн бұрын

    Kazi ya injili ya Kristo sio kuuondoa/kuukomesha uovu na dhambi duniani bali ni kuwaondoa au kuwaita watu kutoka kwenye uovu na dhambi. HAKUNA ANAYEWEZA KUONDOA UOVU DUNIANI. NDIO MAANA YESU ATASHUSHA MBINGU MPYA NA NCHI MPYA.

  • @nabiiilyaaseliya2551

    @nabiiilyaaseliya2551

    3 күн бұрын

    @@willdomy1078 hiyo ni kwa mujibu WA ukristo wenu. Sisi waislam tunaenda kumtumia KRISTO kupambana katika ULIMWENGU WA ROHO kurudisha UTAWALA WA Mungu hapa DUNIANI nyie bakini rohoni

  • @willdomy1078

    @willdomy1078

    3 күн бұрын

    @@nabiiilyaaseliya2551 Mimi nafikiri maana ya jina "Isa" linasadifu kazi yake. Maana ya Masih Isa au Yasu ni "Mwokozi wa wanadamu na dhambi zao" Na ufalme atakaouleta ni Kwa ajili ya watu aliokwisha kuwaokoa. Na mi kwa ninavyojua Yesu hatumiwi na watu kuweka ufalme kama yatumikavyo majini, Yeye ndiye anayewatumia watu kufanya mapenzi yake.

  • @emmanuelmlekwangano9991

    @emmanuelmlekwangano9991

    3 күн бұрын

    Dhambi haishindwi kwa upanga acha Bali Kwa nguvu ya neno la injili

  • @Pablolookman

    @Pablolookman

    Күн бұрын

    Nabiilya kuwa istiQamaa katika dini sometime unakua mkristo mara muislam tunamsubiri ISSA aturudishie khilafa ​@@nabiiilyaaseliya2551

  • @Rashid-vm1fk

    @Rashid-vm1fk

    Күн бұрын

    ​@@nabiiilyaaseliya2551sisi tunabaki rohoni kwasababu alituachia Roho Mtakatifu anayetufundisha katika ulimwengu wa roho na pia mtakwendaje kumtumia ambaye hamumwamini kuwa ni Bwana na Mwokozi?

  • @rashidimahmud8605
    @rashidimahmud86052 күн бұрын

    Wewe unamatatizo makubwa Rudi darasani hiyo shahada tatu imethibiti wapi kama wewe sio kafiri.

  • @jumanjenga7682
    @jumanjenga7682Күн бұрын

    Stop the stupidity.Jesus was a prophet who worshipped God Eloi or Allah .Wewe vaa msalaba mkubwa wacha kuwahadaa watu na mavazi ya ki İslam.Weyw mkristo.

  • @yusufsadic2930
    @yusufsadic29302 күн бұрын

    Wewe ni shaitan Mjinga mkubwa wewe

Келесі