HUNA HAJA YA KUFUNGA RAMADAN, MFUATE MASIHI ISSA (YESU KRISTO) SHAHADA YA TATU UKOMBOLEWE.
Жүктеу.....
Пікірлер: 489
@barakapetro21743 ай бұрын
Barikiwa sana Mutumishi wa BWANA YESU.MUNGU akulinde na hasira za waislamu
@KubwaKuliko-dk4bm
3 ай бұрын
Sisi waislam hatuna hasira na mtu kama huyu kwani waislam wanampenda mwana wa mariyam wanamkubali sana na atakae mpinga nabii yoyote basi huyo si muislam (hatubagui yoyote katika manabii mitume,wote tunawaamini))
@saidsidaz
3 ай бұрын
Huyu aliitwa na masheikh akadai njaa tu inamsumbua usishangae kesho ukamkuta tena muislam yaan hasomeki wala msibabaike nae
@IssaSimbilla-hw9ev
3 ай бұрын
Sasa abarikiwe kwa lipi yeye asema issa ni mtume wewe kafili unasema mungu unacho shabikia nini halaf ndo nini
@IssaSimbilla-hw9ev
3 ай бұрын
Quran yenyewe hajui kusoma
@AbdusamiuMbaruku
3 ай бұрын
😂😂😂yani makafiri mna shida huyu jamaa anamtambua yesu kua ni mtume ila nie bendera fata upepo mnasema yesu ni mungu sasa kipi ni kipi😂😂😂
@givenessmkinga2 ай бұрын
Hongera mtumishi yesu akutie nguvu
@LoFi_1203 ай бұрын
Hubiri mtumishi, iende mbele injili ya YESU, utukufu kwa Bwana Yesu Kristo Amen.
@KulwaJanila-fh9wc3 ай бұрын
Sema tu hata kama wanaumia, Mungu akulinde na mabaya yote , ubarikiwe mtumishi
@sonnyr1899
3 ай бұрын
Kumuamini mtu asiye Amini chochote ni kukosa Imani piya. Huyu bwana hajawi kukiri imani yake ila matendo yake hayaeleweki ila nilichogundua anapenda kuishi na watu vizuri tu kote apate sifa. Nakushauri ingiya KZread utakuta siku a Sheikh na wanazuwoni wa kiislam walimualika kwenye majadiliyano maana kwa wa islam mtume wa mwisho baada Ya Issa ao Yesu ni mtu Muhammad S.W.W baada Ya hapo hakuna mungine jama alihijiwa alikosa hoja na akaomba msamaha nakushauri ufanye hivo kwa hiyari lakini. Ila huyu sio muislam ila anajuwa kidogoooooooo maneno mawili matati Ya kiarabu ili aendelee kuwa mjini
@mkwabisabina14482 ай бұрын
❤❤ ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu.
@bonifasiemanueli213 ай бұрын
Kwa Nini usije Kwa Yesu moja Kwa moja,unawaogopa viongozi wA Mafarisayo,Toka huko ndugu yangu,njoo tumtumikie Mungu Kanisani ,
@fidelfidel-jz4iw3 ай бұрын
Mwenyezi mungu akubaliki Biblia inasema ijueni kweli na itawaweka huru wewe wanao kuelewa ni wachache mnoooo .
@leonidangimbwa1526Ай бұрын
Ubarikiwe sana sana kwakuisema Kweli. Aliye na siko na asikie
@salamaumulisa61123 ай бұрын
Amen 🙏… Bwana Yesu Kristo apewe sifa zake siku zote👏👏👏…Thank you so much for sharing 🙏
@musamalaba64013 ай бұрын
Mungu ana njia nyingi za kuwafikishia watu wake ujumbe wake,
@leonidangimbwa1526
Ай бұрын
Kabisaaaa
@barakaofficialtz3 ай бұрын
Huyu jamaa anazungumza ukweli bila yesu hakuna ushindi, shida watu wanasoma vitabu vya dini kwa mwili sio Kwa roho ndo maana watu wanapotea sana. Barikiwa sana
@chrismukaja77713 ай бұрын
Nakukubali siku nyingi mtu wa Mungu, Bwana Yesu Asifiwe milele
@Sportsspark2453 ай бұрын
Shekhe Mungu akujalie akulinde dhidi ya waislamu wenye fitina hawajui nabii lssa af wanataka waingie mbinguni kizembe
@jeckobass75023 ай бұрын
MUNGU alimfanya falao kuwa na moyo mgum ndivyo ilivyo kwa waislam wana moyo mgum sanaa
@thadeombani78693 ай бұрын
Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi. Yohana 14:6
@CF-ho9zh3 ай бұрын
Watakubishia lakini ukweli ndio huo, ubarikiwe sana
@barakapetro21743 ай бұрын
Barikiwa sana kwa kazi hii hatari unayoifanya ndugu yangu eliya
@ruvebanagaspard57823 ай бұрын
Ubarikiwe kwa ujasiri hakika ndugu zetu waislam watajua kweli kupitia mafunzo unayoyatoa Mungu akubariki.
@user-ur2nc3ll9h3 ай бұрын
Mimi nakuelewa mno uje Moja Kwa moja usiogope fimbo mia Moja za waislam au kukua usiogope mungu atakulinda
@zuberympulo65643 ай бұрын
Allah Akunusulu Akujalie Ufuate muongozo alio uwacha mtume wake Muhammad s w.s
@ernestrichard8599
3 ай бұрын
Wewe sio muislam sababu anayo Ongea huyu yamo ndani ya qurani
@SAM_163
3 ай бұрын
wewe ni.mpumbavu kwani anachokiongea Isaya hakipo ndani ya Quran?? kwamba wewe na huyu Shekh nani anaijua zaid hiyo Quran?
@leonidasbzzojoyhatung3118
3 ай бұрын
Yesu akupe neema ujuwe kweli.kama unahakili timamu Anza utafiti ndani ya Qu'arn uwe Huru .usipende dini kuliko kupenda Roho Yako kaka.😅
@MkumboJaphet-yx3jp
3 ай бұрын
Nenda kwenye maandiko kama ni Uongo anachosema si utaona.acha kuongea tu fanya utafiti
@GSaleh-xr3vn
3 ай бұрын
Mkumbo unendelea kufat mkumbo hamtak kuelewa anachuzungumz isa (yesu) ni mja,neno,roho na ni nabii wa mungu si mungu km wakrsto mnavyoamin
@CF-ho9zh3 ай бұрын
Waislaamu wabishi sana
@user-uy4xx3zd9b3 ай бұрын
Qur'an huijui baba kafundishe bibilia acha upotoshaji
@gollokillo33003 ай бұрын
Wakristo na waislamu waliomkiri yesu kristo wataendanda mbinguni Moja Kwa moja
@nashonkibayayu37763 ай бұрын
Hongere sana Eliya nitumie nyingine!
@user-qt5eo8lx4t3 ай бұрын
Mungu akupe umri mrefu tushuhudie ujinga wako .
@IddiMrisho-ii5tg3 ай бұрын
Mungu anatambua uklisto na uislam mazehebu hayatambui
@christstillsaves3 ай бұрын
Mwenye Mungu abaye ni YESU KRISTO akubariki kwa somo hili
@GeorgeCharles-hb7dr3 ай бұрын
ukiwa mcha mungu ,utokuwa na ubaguzi bali hupenda kila mtu ajifuze ulicho shushiwa wanaopinga wanampinga mungu maana si kwafaida yako bali kwawo
@leahmgunda41543 ай бұрын
Bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika kuwa wana, hao ndio waaminio jina lake.
@VeronicaMacha-pl3xt3 ай бұрын
Amen jina la Bwana libarikiwe kwa kukufunulia hayo🙏
@Visionofeagle96893 ай бұрын
Wote mtakuja kwa Yesu.
@martinisadru9899
3 ай бұрын
bibilia itasomwa hadi kwenye masinagogi, na masinagogi¿ ni misikiti. na wanapaswa wabatizwe hawa ndugu zetu, kimwili, ili wawe ndugu zetu kiroho, maana muhamadi bila YESU ni sawa bule.
@awalluluena2398
3 ай бұрын
Wote mtakuja kwa allah na Muhammad ndio mtume wake
@martinisadru9899
3 ай бұрын
@@awalluluena2398 ni kweli kabisa, muhamadi peke yake! Ndie mtume wa huyo allah wako na waislamu wenzako, ila! Akina; ADAMU, YESU, MUSA, SULEMANI, DAUDI, AYUBU, na wengine wengi, ni mitume wa MUNGU aliefanya yote, MUNGU mwenye mamlaka zooote. Huyo allah ni mungu wa warabu, ndo maana jina lake halitafsiliki kwa lugha nyengine. Sisi kwenye bibilia muhamani ametajwa kama mtu asiye stahili kuwa mwana kondoo.
@martinisadru9899
3 ай бұрын
@@awalluluena2398ni kweli, muhamadi pekee ndiye mtume wa allah, ila! Kuanzia ADAMU, AYUBU, IBRAHIMU, MUSA, DAUDI, SULEMANI, ni mitume wa MUNGU.
@PastorPhilipMbaabu.3 ай бұрын
Excellent Shehe. Indeed You are enlightened.
@zulfajuma83943 ай бұрын
Mwenyezi mungu akunusru na hasira yake, ila naamini pia utakuja kuamini kua Ramadani ni nguzo kubwa sana mbele ya Allah mungu akusameh maana hujui unalo lizungumza
Mungu akubarki san mtumishi wa mungu ulindwe vyema
@bradleykhanei40923 ай бұрын
Ikiwa nia yako ni kujivunia watu wa vitabu, basi uwe tayari kwa vita vya Mwenyezi Mungu! Natumai hauko katika mwelekeo huu Amani ✌️
@musaondieki24933 ай бұрын
Mungu akubariki na waambie pamoja n kumkiri kua Yesu n Mwana wa Mungu wa Israeli pia wabatiswe Kwa maji mengi na kumupokea Roho Mtakatifu
@eliasnicolaurobath68643 ай бұрын
Wewe ni Elia sasa ukweri upo hivi siku zote mtu mkweri ni sawa amegeuka kuwa ni aduwi ira yule amtukuzao mungu na kumuamini kwa asilimia 💯 ataenda peponi ukweri wewe moja kwa moja utaenda peponi nasi wasikilizaji wako tunakuombea ameeen
@jakuabdull343 ай бұрын
Liana za mungu ziwe juu yako
@user-bx2dl7he9u3 ай бұрын
Mbona hauwazungumzii wakristo kutokumzungumzia MUHAMMAD S.A.W??
@willygwaikana3 ай бұрын
Mungu ni mmoja nae ana mafundisho ya aina moja yasiyopingana. Ukiona Imani inamafundisho kinyume na nyingine ujue kuwa huyo ni Mungu mwingine aliefanywa na shetani baba wa uongo. Haiwezekani Mungu huyo mmoja amuru hivi na kesha kuamuru tofauti kwa wengine. Mungu aamuru waishike Sabato na tena huyo huyo aagize waishike ijumaa!! tena aagize wengine wasamehewe kwa damu ya Yesu Kristo, huku huyouyo aseme wanasamehewa kwa kulibusu jiwe jeusi lililoko kwenye alkabar - Mecca. Lazima hapo kuna mmoja ni shetani ila amejificha kwenye dini kwa hila za kujiita Mungu ili awadanganye mamillioni. Huku akiwaahidia pepo katika kuwadanganya.
@williammushegekwa51843 ай бұрын
I always say, when you are a really Muslim you're mean to be Christian, because we all follow the same of God and our salvation Jesus Christ. Stay blessed brother. I hope you open minds of many of those who are blinded by sorrow of sons to not accept the truth.
@dismasmtui7293 ай бұрын
Amen mtumishi wa Mungu
@hemedmwipopo7803 ай бұрын
Unatumika tu Sana Tunajua ni njaa tu
@PerpetuaNkilosubi3 ай бұрын
Eee Mungu hakika wanadam wakinyamaza Mawe yatahubili ni lazima injli ihubiriwe
@munirayassin61033 ай бұрын
Ndung, utaja ulizwa, acha Kiki huna unacho kifahm, iv wew una elim iliyo mzd mjumbe wa Allah, mche Allah.
@victorgasper7563
3 ай бұрын
nyinyi ni wapinga kristo wapinga kweli ya mungu
@imaniangetire3 ай бұрын
Nimekuelewa❤
@smartphonez3 ай бұрын
rejea Quran 4 : 157, Allah anasema hawakumuuwa wala hawakumsulubu.
@CharoHarrison
3 ай бұрын
Hiyo ni quran iliyokuja nyumba pamoja na uongo wake
@smartphonez
3 ай бұрын
@@CharoHarrison rejea andiko hilo acha maneno mengi
@willygwaikana
3 ай бұрын
Waliosema kwamba hakuuawa wala kusurubishwa ni majini. Usikaririshwe, soma mwenyewe kwa uhuru binafsi
@smartphonez
3 ай бұрын
@@willygwaikana ni Quran ni maneno ya Allah sio Majini
@willygwaikana
3 ай бұрын
@@smartphonez Ndg hivi kina Allah wako wangapi?
@simonmhagama-vl7cb3 ай бұрын
Mungu atukuzwe ..Ubarikiwe sana
@abuumkota5505
3 ай бұрын
labda abarikiwe na sheytwani
@user-oh8vr7uu9k3 ай бұрын
Mungu akujalie
@emmanuelthomas49673 ай бұрын
Ameen, man of GOD..
@dominicnyangweso47793 ай бұрын
Mtumishi wa mungu barikiwa sana wewe ndio utakuwa wa kwanza kwenye uzima wa milele
@ahmedsaidbachuba23983 ай бұрын
Laana ya mwenyezi mungu iku tafune wewe si mwislamu na akufanye uwe bubu na kipofu
@salimramadhani5237
3 ай бұрын
leta aya
@willygwaikana
3 ай бұрын
Maneno hayo usemayo ni ishara ya mwislamu mfuasi wa kweli wa Muhamad. Mwislam wa kweli ni mshari sana na mkatili.
@annymacher3829
3 ай бұрын
Hawez kua babu wala kipofu mana anasema ukwel,rejea sura katika Quran inayohusu habar za Yesu mana ipo kabsaaa imeelezwa kila k2.
@tobiasalexander24703 ай бұрын
Hata wakiiona hiyo aya wanajua kuisoma?Na wakiisoma wanajua walichosoma?Unaambiwa wao wamefundishwa kuifia dini,sio kumjua Mungu.Sasa kama Quran inawaambia juu ya swala fulani,lakini hawataki,unadhani wanajua wanachofanya?
@user-oz4gz8kq9e3 ай бұрын
Hao wote wanaoupinga ukweli wa kumhusu YESU kristo mwana wa MUNGU mwokozi wa Ilimwengu ambao ni waislamu wasioijua Quran hakika masihi atakaporudi wakati wakihama kuhukumu ulimwengu watalia na kusaga meno jehanamu milele barikiwa mtumishi wa MUNGU endelea kumuhubiri YESU kristo hakika utalipwa uzima wa milele AMINA.
@Nassalabry17 күн бұрын
Laana ya allah (s.w) itakushukia wewe kwa upotovu unawashawishi watu, Halaf vua kanzu na kofia ukale ngurue ukoo
@MuniraSharifu-vy2vy3 ай бұрын
Wewe ni mweu Lana ya Allah inakutafuna
@seifmohammed9167
3 ай бұрын
Sasa wewe ISSA bin Mariam Ni mtume WA Mungu au Roho WA Mungu? acha zako hizo Hakuna Kalina tatu Katja uislam kubwa kanzu na kofia kwani mtume Ni Muhammad na ISSA tu eti kutia msalabani wacha kuw juu tuone
@Sportsspark245
3 ай бұрын
Usihukumu nawe usije ukahukumiwa
@salangtvone
3 ай бұрын
We mpuuzi kweli sasa issa ni nabii wa mamaako watu wengine kama nyie washenzi sana
@charlesgwambegu9188
3 ай бұрын
😂😂😂😂 utaelewa tuuu
@annymacher3829
3 ай бұрын
Soma QURAN yani eka mbali ukristo na uislam pembeni soma kwanza QURAN kwaabari ya isa😊
@odhiaodhia98983 ай бұрын
Nakukubali nabii
@America-visa_tips_kenya3 ай бұрын
Kwani we ndie unatuambia chenye tutafanya saumu ni ya mungu si yako we enda shakahola
@IddiMrisho-ii5tg3 ай бұрын
Amina
@dasilva70413 ай бұрын
Kisheria huyu anapotosha jamii na anapaswa kukamatwa haraka iwezekanavyo kabla hajaleta taharuki katika jamii
@AnnaSimon-yx9hh3 ай бұрын
ATUKUZWE DAIMA BWANA YESU KRISTO MWOKOZI wetu daima! Hii ni neema kubwa kuyaskia haya, shikilia hayo ndio salama yetu. YESU KRISTO ni njia kweli na uzma, hakuna yeyote atakaeingia mbinguni bila kuwa na YESU. Shalom! Kila goti litapigwa na kila ulimi utakili kiwa YESU KRISTO ni BWANA. Wokovu ni sasa,chukua hatua,
@esthermwanaidi36453 ай бұрын
Bwana yesu asifiwe nabii eliyasa endelea baba usiogope maana mungu ako pamoja nawe
@agrolive4027
3 ай бұрын
Wewe na huyu nabii wa uongo mtaingia katika moto wa Jehanam kwa kumzulia Allah uongo
@CF-ho9zh3 ай бұрын
Wana hasira sana ukiwatajia jina la Yesu
@user-gr8bd2vi1h3 ай бұрын
Ww nani amekutuma,bangi hizo uzivute kama huwezi.umevaa kanzu alafu unatuambia ujinga,mamako hajambo msalimie babako
@user-wd4eo5lu2c3 ай бұрын
Barikiwa
@aliabdallah84563 ай бұрын
Mungu wa wakristo na Mungu wa waislamu kwenye kuumbwa tumeumbwa na Mungu mmoja ila kwenye kuabudu hatuabudu Mungu mmoja bali wakristo wanaabudu Mungu na waislamu wanaabudu Mungu wao wakristo wanaabudu Mungu ambaye amezaa na anaana mtoto na pia Mungu wao amevaa mwili kama binadamu na vilevile wanai Mungu wao ni YESU ila waislamu wanaabudu Allah ndiyo jina la Mungu wao wanae abudu hakuzaa wala hakuzaliwa na vitu vyote vilivyomo duniani yeye ndiye alyeumba vyote niviumbe nyake
@MasterG-dc1tx
3 ай бұрын
Soma vizuri pande zote mbili uelewe vyema
@annymacher3829
3 ай бұрын
Usitoleeee majib upande wa Kristo mana hujui maandioko na hujui tena hujui k2 soma biblia kwaanzia mwanzo,nikwambie tunae mwabudu ni Mungu muuumba mbingu na nchi,na Yesu mwanae alie mtuma aje atukomboe ambaye kwa yeye hakuna atakae okolewa asipo mkiri yeye kwa kinywa na kwa moyo,hata ww unaepinga wakat wajua katika Quran Yesu ametajwa kama mwokozi na ww unapinga kwahyo ww na wale wanao mpinga Kristo kuna uhusiano au hakuna?so relax soma Quran na biblia ndio uje apa kuongea.
@user-nh9ql5fx7s3 ай бұрын
Hatawee hujui usipojiokoa mwenyewe wasubiri kitonga kwa yesu mungu hawataki wapenda kitonga.
@user-ey6ip5lf4p3 ай бұрын
Yaani ktk Quran wanaamini Torati, zaburi, Injili na wanakataa hizo hadithi
@richardmakyao3029 күн бұрын
Naahidi sadaka ya elufu kumi
@daudimtu2143 ай бұрын
Kwa nini unaingilia dini ya wengine wakati wewe siyo muislam. Siyo vizuri kuhamasisha watu wasifunge mwezi mtukufu wa ramadhani, hauta samehewa.
@gabrielmdem4271
3 ай бұрын
Sikiliza kwanza ndo utoe rawama mzee bb
@mussaisaac3 ай бұрын
Kila goti litapigwa na kila ulimi utakiri YESU KRISTO NI BWANA.
@user-ss6ey3ge1d3 ай бұрын
Kwenye shahada ya tatu ipo kwenye sura gani au aya gani tumepewa quraan naimetuelekeza mitume yote ila Muhammad sw yeye ndie wa mwisho na ujaji wa issa atukuambiwa ayo ya shahada ya tatu acha kumsingizia Allah na kupotosha umma yah allah tupeuongofu kwenye zama izi za mashekhe wa mchongo
@shabanmlekwa95133 ай бұрын
Hukuna muislam anaejua uislam anaempiga au kutomkiri ISSA (Yesu) bin Mariam kuwa ni nabii au neno la Mungu. Tunachokataa sisi ni kumwabudu na kumpa Cheo Cha Mungu. Wewe ndie umeshindwa kuielewa kuran.
@salimramadhani5237
3 ай бұрын
roho wa mungu hujasema mbn?
@kassimhashi493 ай бұрын
mola akupe afya
@abdallahazizi9993 ай бұрын
Polesana utaulizwa sikuyakiyama kwamaana umewapoteza watu Nanjia sahihi yamwenyezi Mungu kwajili yanjaatu utapata azabukali kaburini nasikuyamwisho
@alphoncetemu98593 ай бұрын
Waislam hamna elimu ninyii,,, ndo maaana hamuwezi kusoma Quran vizuri
@kaoretosha66684 күн бұрын
Njaa ni mbaya sana......??!!! Allah akbar....
@Pastorgumbo3 ай бұрын
Safi sana ukweli unaumwa
@shafikakrabi84903 ай бұрын
Tumechunguza sana maneno yako tumekugunduwa kuwa wewe ni kristo na sio mwislam pole sana
@annymacher3829
3 ай бұрын
Hayo anayoyasema katika kuruhan hakuna?yan anza kusoma kwanza Quran kwanza tena katika haya ya isa
@user-ss6ey3ge1d
3 ай бұрын
Uyu ndie wale Zama za mwisho ujitokeza na kujalibu kupindisha aya za Allah na Allah ameahid quraan ata ilinda yeye mwenyewe ivo ata waseme vipi quraan aichafuki ata kidogo
@annymacher3829
3 ай бұрын
@@user-ss6ey3ge1d hawezi kulinda Quran anacholinda ni maneno aliyoyasema,hvo hata Mungu awez ilinda biblia analinda neno,sasa kwetu neno linasema atakae mkiri Yesu kristo kwa kinywa chake na moyo wake ndio atakae okoka,sasa Quran inasemaje juuu ya maneno aliyo yasema mtume juu ya Yesu(issa)mana hicho ndicho Mungu huangalia na hutoa ukumu kuanzia apo,Neno ata katika amri 10 zile yale ni maneno na ndio yatakayo tuhukumu wote,sasa eleza katika Quran (issa)ni nani na kapatikanaje?na atakuja kufanya nn na ww sasa itabd ufanye nn?
@user-le3et5mr7z3 ай бұрын
Amen ❤️ Amen ❤️🎉
@DshynerMcongo3 ай бұрын
Oyaaaaa mtumishi kuwa makiniii hawakawiiii kukutupiaa majiniiii haooooo
@suleimansalum56643 ай бұрын
Kwanza kabisa we sio MUISLAM ,Achakupotosha
@RubanzintwariJeanclaude3 ай бұрын
Shehe wangu mbona wakrito wenye hawakubari mtume mahmadi
@charlesandrea49093 ай бұрын
ubarikiwe
@user-ou9zs3tl3z3 ай бұрын
Siyo kwahiwezawako kujuwa hayo ni mungu aliye kufunuliya kujuwa nawengine wajifuze kwako.
Hili jamaaa ni potevu na linajua ukweli ila linawapoteza watu. Amkeni watu uislam ndo dini ya haki huu anaosema ni uongo ulio kithiri.
@salimramadhani52373 ай бұрын
barikiwwa
@AdamDeus3 ай бұрын
Mniache paleee nimetulia sifungamani na upande wowote Mungu ni mmoja tu
@safielimjema4593
3 ай бұрын
Mbona umeandk comment ya kike😅
@aliabdallah84563 ай бұрын
Wajua wakristo hamjui kitu yesu kwa kila muislamu anamjua ni mtume wa Mungu kama mitume mingine sasa tatizo nini
@wordoffaithministry3 ай бұрын
Mim ni mchungaji Kama uko tayali nikuandarie mkutano mkubwa dar es Salaam uwanyoshe vizur wasilamu
@user-wn6pz1jp3k3 ай бұрын
Uislam unawakubali mitume wote akiwemo issa na wote walikuwa waislam,,tatzo tunapinga upagani walioanzisha waroma na kuuita ukristo,ibada za issa na ukristo tofauti,,akuwai ingia kanisani,wala hakusema ukristo dini ya mungu, punguza njaa hapo usharitadi,
@nasrahgdjuma930
3 ай бұрын
😂😂😂 keep deceiving yourself Yesu ndo njia ya Kweli nauzima bila Yesu huoni pepo continue to belief in the lies of Islam.
@carolinederi5690
3 ай бұрын
Wabisha na mwenyewe haujui tuko Nyakat za mwisho chapa wa mpginga Kristo yaja ikufarakanshe na uzima wa milele uko hapa complaining nyenyekea jifunze ukwel
@deusNjimba3 ай бұрын
Wengi. Wao. Hawana elimu
@azaclonizofficiel1334
3 ай бұрын
Mungu mweyewe akusoma, naaijaandikwa utaenda Peponi kwa degré ulionayo
@karimmveyange25583 ай бұрын
ama kweli kyama kimefika. haya mafundisho utoporo yamezuka namanabii feki kama tunavyo jionea. Sijui ni pesa hizo za mqshetani yakibinadamu zimewaehua watu.Haya tusubirie hukumu,lakini kwa mwenye akili safi anajua,na anaona ni nani kaangukia pua.M/Mungu anaamrisha funga ya ramadhani,huyu nabii wa ajabu kaseme haina haja ya kufunga
@mohamedmuya49653 ай бұрын
Hakuna Muislam anaemkataa Yesu (a.s), tatizo ujumbe anaotoa Muhammad (s.a.w) kumuhusu yesu ni tofauti na uliokuwepo au alioukuta katika jamii ya Kikristo aliyoikuta. Kiufupi alikuta jamii ya Kikristo inayoamini Yesu Mungu/Mtoto wa Mungu, akarekebisha kwa mafundisho sahihi ya kuwa Yesu ni Nabii/Mtume wa Mungu ili waache kufanya huo ushirikina. Nashukuru kuwa wewe unanyoosha vizuri kuwa Yesu ni Nabii/Mtume wa Mungu, hilo ndilo unapaswa uwafundishe wafuasi wako wabadilike mitazamo yao juu ya Yesu wawe kama wewe. Naamini unafahamu vizuri sana namna Yesu anavyozungumzwa vizuri katika hadhara za waislam na misikitini na yote ni mafundisho ya Quran. Hivyo tamaa ya kupata wafuasi kusikuongezee unafiki.
@mohamedmuya4965
3 ай бұрын
unapaswa ufaham mivutano ya wakristo na Waislam miaka mingi ni madai ya uungu wa YESU.
Пікірлер: 489
Barikiwa sana Mutumishi wa BWANA YESU.MUNGU akulinde na hasira za waislamu
@KubwaKuliko-dk4bm
3 ай бұрын
Sisi waislam hatuna hasira na mtu kama huyu kwani waislam wanampenda mwana wa mariyam wanamkubali sana na atakae mpinga nabii yoyote basi huyo si muislam (hatubagui yoyote katika manabii mitume,wote tunawaamini))
@saidsidaz
3 ай бұрын
Huyu aliitwa na masheikh akadai njaa tu inamsumbua usishangae kesho ukamkuta tena muislam yaan hasomeki wala msibabaike nae
@IssaSimbilla-hw9ev
3 ай бұрын
Sasa abarikiwe kwa lipi yeye asema issa ni mtume wewe kafili unasema mungu unacho shabikia nini halaf ndo nini
@IssaSimbilla-hw9ev
3 ай бұрын
Quran yenyewe hajui kusoma
@AbdusamiuMbaruku
3 ай бұрын
😂😂😂yani makafiri mna shida huyu jamaa anamtambua yesu kua ni mtume ila nie bendera fata upepo mnasema yesu ni mungu sasa kipi ni kipi😂😂😂
Hongera mtumishi yesu akutie nguvu
Hubiri mtumishi, iende mbele injili ya YESU, utukufu kwa Bwana Yesu Kristo Amen.
Sema tu hata kama wanaumia, Mungu akulinde na mabaya yote , ubarikiwe mtumishi
@sonnyr1899
3 ай бұрын
Kumuamini mtu asiye Amini chochote ni kukosa Imani piya. Huyu bwana hajawi kukiri imani yake ila matendo yake hayaeleweki ila nilichogundua anapenda kuishi na watu vizuri tu kote apate sifa. Nakushauri ingiya KZread utakuta siku a Sheikh na wanazuwoni wa kiislam walimualika kwenye majadiliyano maana kwa wa islam mtume wa mwisho baada Ya Issa ao Yesu ni mtu Muhammad S.W.W baada Ya hapo hakuna mungine jama alihijiwa alikosa hoja na akaomba msamaha nakushauri ufanye hivo kwa hiyari lakini. Ila huyu sio muislam ila anajuwa kidogoooooooo maneno mawili matati Ya kiarabu ili aendelee kuwa mjini
❤❤ ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu.
Kwa Nini usije Kwa Yesu moja Kwa moja,unawaogopa viongozi wA Mafarisayo,Toka huko ndugu yangu,njoo tumtumikie Mungu Kanisani ,
Mwenyezi mungu akubaliki Biblia inasema ijueni kweli na itawaweka huru wewe wanao kuelewa ni wachache mnoooo .
Ubarikiwe sana sana kwakuisema Kweli. Aliye na siko na asikie
Amen 🙏… Bwana Yesu Kristo apewe sifa zake siku zote👏👏👏…Thank you so much for sharing 🙏
Mungu ana njia nyingi za kuwafikishia watu wake ujumbe wake,
@leonidangimbwa1526
Ай бұрын
Kabisaaaa
Huyu jamaa anazungumza ukweli bila yesu hakuna ushindi, shida watu wanasoma vitabu vya dini kwa mwili sio Kwa roho ndo maana watu wanapotea sana. Barikiwa sana
Nakukubali siku nyingi mtu wa Mungu, Bwana Yesu Asifiwe milele
Shekhe Mungu akujalie akulinde dhidi ya waislamu wenye fitina hawajui nabii lssa af wanataka waingie mbinguni kizembe
MUNGU alimfanya falao kuwa na moyo mgum ndivyo ilivyo kwa waislam wana moyo mgum sanaa
Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi. Yohana 14:6
Watakubishia lakini ukweli ndio huo, ubarikiwe sana
Barikiwa sana kwa kazi hii hatari unayoifanya ndugu yangu eliya
Ubarikiwe kwa ujasiri hakika ndugu zetu waislam watajua kweli kupitia mafunzo unayoyatoa Mungu akubariki.
Mimi nakuelewa mno uje Moja Kwa moja usiogope fimbo mia Moja za waislam au kukua usiogope mungu atakulinda
Allah Akunusulu Akujalie Ufuate muongozo alio uwacha mtume wake Muhammad s w.s
@ernestrichard8599
3 ай бұрын
Wewe sio muislam sababu anayo Ongea huyu yamo ndani ya qurani
@SAM_163
3 ай бұрын
wewe ni.mpumbavu kwani anachokiongea Isaya hakipo ndani ya Quran?? kwamba wewe na huyu Shekh nani anaijua zaid hiyo Quran?
@leonidasbzzojoyhatung3118
3 ай бұрын
Yesu akupe neema ujuwe kweli.kama unahakili timamu Anza utafiti ndani ya Qu'arn uwe Huru .usipende dini kuliko kupenda Roho Yako kaka.😅
@MkumboJaphet-yx3jp
3 ай бұрын
Nenda kwenye maandiko kama ni Uongo anachosema si utaona.acha kuongea tu fanya utafiti
@GSaleh-xr3vn
3 ай бұрын
Mkumbo unendelea kufat mkumbo hamtak kuelewa anachuzungumz isa (yesu) ni mja,neno,roho na ni nabii wa mungu si mungu km wakrsto mnavyoamin
Waislaamu wabishi sana
Qur'an huijui baba kafundishe bibilia acha upotoshaji
Wakristo na waislamu waliomkiri yesu kristo wataendanda mbinguni Moja Kwa moja
Hongere sana Eliya nitumie nyingine!
Mungu akupe umri mrefu tushuhudie ujinga wako .
Mungu anatambua uklisto na uislam mazehebu hayatambui
Mwenye Mungu abaye ni YESU KRISTO akubariki kwa somo hili
ukiwa mcha mungu ,utokuwa na ubaguzi bali hupenda kila mtu ajifuze ulicho shushiwa wanaopinga wanampinga mungu maana si kwafaida yako bali kwawo
Bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika kuwa wana, hao ndio waaminio jina lake.
Amen jina la Bwana libarikiwe kwa kukufunulia hayo🙏
Wote mtakuja kwa Yesu.
@martinisadru9899
3 ай бұрын
bibilia itasomwa hadi kwenye masinagogi, na masinagogi¿ ni misikiti. na wanapaswa wabatizwe hawa ndugu zetu, kimwili, ili wawe ndugu zetu kiroho, maana muhamadi bila YESU ni sawa bule.
@awalluluena2398
3 ай бұрын
Wote mtakuja kwa allah na Muhammad ndio mtume wake
@martinisadru9899
3 ай бұрын
@@awalluluena2398 ni kweli kabisa, muhamadi peke yake! Ndie mtume wa huyo allah wako na waislamu wenzako, ila! Akina; ADAMU, YESU, MUSA, SULEMANI, DAUDI, AYUBU, na wengine wengi, ni mitume wa MUNGU aliefanya yote, MUNGU mwenye mamlaka zooote. Huyo allah ni mungu wa warabu, ndo maana jina lake halitafsiliki kwa lugha nyengine. Sisi kwenye bibilia muhamani ametajwa kama mtu asiye stahili kuwa mwana kondoo.
@martinisadru9899
3 ай бұрын
@@awalluluena2398ni kweli, muhamadi pekee ndiye mtume wa allah, ila! Kuanzia ADAMU, AYUBU, IBRAHIMU, MUSA, DAUDI, SULEMANI, ni mitume wa MUNGU.
Excellent Shehe. Indeed You are enlightened.
Mwenyezi mungu akunusru na hasira yake, ila naamini pia utakuja kuamini kua Ramadani ni nguzo kubwa sana mbele ya Allah mungu akusameh maana hujui unalo lizungumza
@godblessfrancis1855
3 ай бұрын
The victory is in Jesus only
@chapchap-oz1ou
3 ай бұрын
wewe ndo hujui unalo lizungumza....utasalia gizani unless umtafute Mwenyezi Mungu!!
Mungu akubarki san mtumishi wa mungu ulindwe vyema
Ikiwa nia yako ni kujivunia watu wa vitabu, basi uwe tayari kwa vita vya Mwenyezi Mungu! Natumai hauko katika mwelekeo huu Amani ✌️
Mungu akubariki na waambie pamoja n kumkiri kua Yesu n Mwana wa Mungu wa Israeli pia wabatiswe Kwa maji mengi na kumupokea Roho Mtakatifu
Wewe ni Elia sasa ukweri upo hivi siku zote mtu mkweri ni sawa amegeuka kuwa ni aduwi ira yule amtukuzao mungu na kumuamini kwa asilimia 💯 ataenda peponi ukweri wewe moja kwa moja utaenda peponi nasi wasikilizaji wako tunakuombea ameeen
Liana za mungu ziwe juu yako
Mbona hauwazungumzii wakristo kutokumzungumzia MUHAMMAD S.A.W??
Mungu ni mmoja nae ana mafundisho ya aina moja yasiyopingana. Ukiona Imani inamafundisho kinyume na nyingine ujue kuwa huyo ni Mungu mwingine aliefanywa na shetani baba wa uongo. Haiwezekani Mungu huyo mmoja amuru hivi na kesha kuamuru tofauti kwa wengine. Mungu aamuru waishike Sabato na tena huyo huyo aagize waishike ijumaa!! tena aagize wengine wasamehewe kwa damu ya Yesu Kristo, huku huyouyo aseme wanasamehewa kwa kulibusu jiwe jeusi lililoko kwenye alkabar - Mecca. Lazima hapo kuna mmoja ni shetani ila amejificha kwenye dini kwa hila za kujiita Mungu ili awadanganye mamillioni. Huku akiwaahidia pepo katika kuwadanganya.
I always say, when you are a really Muslim you're mean to be Christian, because we all follow the same of God and our salvation Jesus Christ. Stay blessed brother. I hope you open minds of many of those who are blinded by sorrow of sons to not accept the truth.
Amen mtumishi wa Mungu
Unatumika tu Sana Tunajua ni njaa tu
Eee Mungu hakika wanadam wakinyamaza Mawe yatahubili ni lazima injli ihubiriwe
Ndung, utaja ulizwa, acha Kiki huna unacho kifahm, iv wew una elim iliyo mzd mjumbe wa Allah, mche Allah.
@victorgasper7563
3 ай бұрын
nyinyi ni wapinga kristo wapinga kweli ya mungu
Nimekuelewa❤
rejea Quran 4 : 157, Allah anasema hawakumuuwa wala hawakumsulubu.
@CharoHarrison
3 ай бұрын
Hiyo ni quran iliyokuja nyumba pamoja na uongo wake
@smartphonez
3 ай бұрын
@@CharoHarrison rejea andiko hilo acha maneno mengi
@willygwaikana
3 ай бұрын
Waliosema kwamba hakuuawa wala kusurubishwa ni majini. Usikaririshwe, soma mwenyewe kwa uhuru binafsi
@smartphonez
3 ай бұрын
@@willygwaikana ni Quran ni maneno ya Allah sio Majini
@willygwaikana
3 ай бұрын
@@smartphonez Ndg hivi kina Allah wako wangapi?
Mungu atukuzwe ..Ubarikiwe sana
@abuumkota5505
3 ай бұрын
labda abarikiwe na sheytwani
Mungu akujalie
Ameen, man of GOD..
Mtumishi wa mungu barikiwa sana wewe ndio utakuwa wa kwanza kwenye uzima wa milele
Laana ya mwenyezi mungu iku tafune wewe si mwislamu na akufanye uwe bubu na kipofu
@salimramadhani5237
3 ай бұрын
leta aya
@willygwaikana
3 ай бұрын
Maneno hayo usemayo ni ishara ya mwislamu mfuasi wa kweli wa Muhamad. Mwislam wa kweli ni mshari sana na mkatili.
@annymacher3829
3 ай бұрын
Hawez kua babu wala kipofu mana anasema ukwel,rejea sura katika Quran inayohusu habar za Yesu mana ipo kabsaaa imeelezwa kila k2.
Hata wakiiona hiyo aya wanajua kuisoma?Na wakiisoma wanajua walichosoma?Unaambiwa wao wamefundishwa kuifia dini,sio kumjua Mungu.Sasa kama Quran inawaambia juu ya swala fulani,lakini hawataki,unadhani wanajua wanachofanya?
Hao wote wanaoupinga ukweli wa kumhusu YESU kristo mwana wa MUNGU mwokozi wa Ilimwengu ambao ni waislamu wasioijua Quran hakika masihi atakaporudi wakati wakihama kuhukumu ulimwengu watalia na kusaga meno jehanamu milele barikiwa mtumishi wa MUNGU endelea kumuhubiri YESU kristo hakika utalipwa uzima wa milele AMINA.
Laana ya allah (s.w) itakushukia wewe kwa upotovu unawashawishi watu, Halaf vua kanzu na kofia ukale ngurue ukoo
Wewe ni mweu Lana ya Allah inakutafuna
@seifmohammed9167
3 ай бұрын
Sasa wewe ISSA bin Mariam Ni mtume WA Mungu au Roho WA Mungu? acha zako hizo Hakuna Kalina tatu Katja uislam kubwa kanzu na kofia kwani mtume Ni Muhammad na ISSA tu eti kutia msalabani wacha kuw juu tuone
@Sportsspark245
3 ай бұрын
Usihukumu nawe usije ukahukumiwa
@salangtvone
3 ай бұрын
We mpuuzi kweli sasa issa ni nabii wa mamaako watu wengine kama nyie washenzi sana
@charlesgwambegu9188
3 ай бұрын
😂😂😂😂 utaelewa tuuu
@annymacher3829
3 ай бұрын
Soma QURAN yani eka mbali ukristo na uislam pembeni soma kwanza QURAN kwaabari ya isa😊
Nakukubali nabii
Kwani we ndie unatuambia chenye tutafanya saumu ni ya mungu si yako we enda shakahola
Amina
Kisheria huyu anapotosha jamii na anapaswa kukamatwa haraka iwezekanavyo kabla hajaleta taharuki katika jamii
ATUKUZWE DAIMA BWANA YESU KRISTO MWOKOZI wetu daima! Hii ni neema kubwa kuyaskia haya, shikilia hayo ndio salama yetu. YESU KRISTO ni njia kweli na uzma, hakuna yeyote atakaeingia mbinguni bila kuwa na YESU. Shalom! Kila goti litapigwa na kila ulimi utakili kiwa YESU KRISTO ni BWANA. Wokovu ni sasa,chukua hatua,
Bwana yesu asifiwe nabii eliyasa endelea baba usiogope maana mungu ako pamoja nawe
@agrolive4027
3 ай бұрын
Wewe na huyu nabii wa uongo mtaingia katika moto wa Jehanam kwa kumzulia Allah uongo
Wana hasira sana ukiwatajia jina la Yesu
Ww nani amekutuma,bangi hizo uzivute kama huwezi.umevaa kanzu alafu unatuambia ujinga,mamako hajambo msalimie babako
Barikiwa
Mungu wa wakristo na Mungu wa waislamu kwenye kuumbwa tumeumbwa na Mungu mmoja ila kwenye kuabudu hatuabudu Mungu mmoja bali wakristo wanaabudu Mungu na waislamu wanaabudu Mungu wao wakristo wanaabudu Mungu ambaye amezaa na anaana mtoto na pia Mungu wao amevaa mwili kama binadamu na vilevile wanai Mungu wao ni YESU ila waislamu wanaabudu Allah ndiyo jina la Mungu wao wanae abudu hakuzaa wala hakuzaliwa na vitu vyote vilivyomo duniani yeye ndiye alyeumba vyote niviumbe nyake
@MasterG-dc1tx
3 ай бұрын
Soma vizuri pande zote mbili uelewe vyema
@annymacher3829
3 ай бұрын
Usitoleeee majib upande wa Kristo mana hujui maandioko na hujui tena hujui k2 soma biblia kwaanzia mwanzo,nikwambie tunae mwabudu ni Mungu muuumba mbingu na nchi,na Yesu mwanae alie mtuma aje atukomboe ambaye kwa yeye hakuna atakae okolewa asipo mkiri yeye kwa kinywa na kwa moyo,hata ww unaepinga wakat wajua katika Quran Yesu ametajwa kama mwokozi na ww unapinga kwahyo ww na wale wanao mpinga Kristo kuna uhusiano au hakuna?so relax soma Quran na biblia ndio uje apa kuongea.
Hatawee hujui usipojiokoa mwenyewe wasubiri kitonga kwa yesu mungu hawataki wapenda kitonga.
Yaani ktk Quran wanaamini Torati, zaburi, Injili na wanakataa hizo hadithi
Naahidi sadaka ya elufu kumi
Kwa nini unaingilia dini ya wengine wakati wewe siyo muislam. Siyo vizuri kuhamasisha watu wasifunge mwezi mtukufu wa ramadhani, hauta samehewa.
@gabrielmdem4271
3 ай бұрын
Sikiliza kwanza ndo utoe rawama mzee bb
Kila goti litapigwa na kila ulimi utakiri YESU KRISTO NI BWANA.
Kwenye shahada ya tatu ipo kwenye sura gani au aya gani tumepewa quraan naimetuelekeza mitume yote ila Muhammad sw yeye ndie wa mwisho na ujaji wa issa atukuambiwa ayo ya shahada ya tatu acha kumsingizia Allah na kupotosha umma yah allah tupeuongofu kwenye zama izi za mashekhe wa mchongo
Hukuna muislam anaejua uislam anaempiga au kutomkiri ISSA (Yesu) bin Mariam kuwa ni nabii au neno la Mungu. Tunachokataa sisi ni kumwabudu na kumpa Cheo Cha Mungu. Wewe ndie umeshindwa kuielewa kuran.
@salimramadhani5237
3 ай бұрын
roho wa mungu hujasema mbn?
mola akupe afya
Polesana utaulizwa sikuyakiyama kwamaana umewapoteza watu Nanjia sahihi yamwenyezi Mungu kwajili yanjaatu utapata azabukali kaburini nasikuyamwisho
Waislam hamna elimu ninyii,,, ndo maaana hamuwezi kusoma Quran vizuri
Njaa ni mbaya sana......??!!! Allah akbar....
Safi sana ukweli unaumwa
Tumechunguza sana maneno yako tumekugunduwa kuwa wewe ni kristo na sio mwislam pole sana
@annymacher3829
3 ай бұрын
Hayo anayoyasema katika kuruhan hakuna?yan anza kusoma kwanza Quran kwanza tena katika haya ya isa
@user-ss6ey3ge1d
3 ай бұрын
Uyu ndie wale Zama za mwisho ujitokeza na kujalibu kupindisha aya za Allah na Allah ameahid quraan ata ilinda yeye mwenyewe ivo ata waseme vipi quraan aichafuki ata kidogo
@annymacher3829
3 ай бұрын
@@user-ss6ey3ge1d hawezi kulinda Quran anacholinda ni maneno aliyoyasema,hvo hata Mungu awez ilinda biblia analinda neno,sasa kwetu neno linasema atakae mkiri Yesu kristo kwa kinywa chake na moyo wake ndio atakae okoka,sasa Quran inasemaje juuu ya maneno aliyo yasema mtume juu ya Yesu(issa)mana hicho ndicho Mungu huangalia na hutoa ukumu kuanzia apo,Neno ata katika amri 10 zile yale ni maneno na ndio yatakayo tuhukumu wote,sasa eleza katika Quran (issa)ni nani na kapatikanaje?na atakuja kufanya nn na ww sasa itabd ufanye nn?
Amen ❤️ Amen ❤️🎉
Oyaaaaa mtumishi kuwa makiniii hawakawiiii kukutupiaa majiniiii haooooo
Kwanza kabisa we sio MUISLAM ,Achakupotosha
Shehe wangu mbona wakrito wenye hawakubari mtume mahmadi
ubarikiwe
Siyo kwahiwezawako kujuwa hayo ni mungu aliye kufunuliya kujuwa nawengine wajifuze kwako.
AMEN
Wewe mkristo 2
Wa maa kataluhu wa maa Wa maa swalabuhu
Nifuate mimi silatwani Musakimu,ndio ulivyo sema,Sasa inakuwaje,Hana Mshiriki
Aminaaa aminaaa
Hili jamaaa ni potevu na linajua ukweli ila linawapoteza watu. Amkeni watu uislam ndo dini ya haki huu anaosema ni uongo ulio kithiri.
barikiwwa
Mniache paleee nimetulia sifungamani na upande wowote Mungu ni mmoja tu
@safielimjema4593
3 ай бұрын
Mbona umeandk comment ya kike😅
Wajua wakristo hamjui kitu yesu kwa kila muislamu anamjua ni mtume wa Mungu kama mitume mingine sasa tatizo nini
Mim ni mchungaji Kama uko tayali nikuandarie mkutano mkubwa dar es Salaam uwanyoshe vizur wasilamu
Uislam unawakubali mitume wote akiwemo issa na wote walikuwa waislam,,tatzo tunapinga upagani walioanzisha waroma na kuuita ukristo,ibada za issa na ukristo tofauti,,akuwai ingia kanisani,wala hakusema ukristo dini ya mungu, punguza njaa hapo usharitadi,
@nasrahgdjuma930
3 ай бұрын
😂😂😂 keep deceiving yourself Yesu ndo njia ya Kweli nauzima bila Yesu huoni pepo continue to belief in the lies of Islam.
@carolinederi5690
3 ай бұрын
Wabisha na mwenyewe haujui tuko Nyakat za mwisho chapa wa mpginga Kristo yaja ikufarakanshe na uzima wa milele uko hapa complaining nyenyekea jifunze ukwel
Wengi. Wao. Hawana elimu
@azaclonizofficiel1334
3 ай бұрын
Mungu mweyewe akusoma, naaijaandikwa utaenda Peponi kwa degré ulionayo
ama kweli kyama kimefika. haya mafundisho utoporo yamezuka namanabii feki kama tunavyo jionea. Sijui ni pesa hizo za mqshetani yakibinadamu zimewaehua watu.Haya tusubirie hukumu,lakini kwa mwenye akili safi anajua,na anaona ni nani kaangukia pua.M/Mungu anaamrisha funga ya ramadhani,huyu nabii wa ajabu kaseme haina haja ya kufunga
Hakuna Muislam anaemkataa Yesu (a.s), tatizo ujumbe anaotoa Muhammad (s.a.w) kumuhusu yesu ni tofauti na uliokuwepo au alioukuta katika jamii ya Kikristo aliyoikuta. Kiufupi alikuta jamii ya Kikristo inayoamini Yesu Mungu/Mtoto wa Mungu, akarekebisha kwa mafundisho sahihi ya kuwa Yesu ni Nabii/Mtume wa Mungu ili waache kufanya huo ushirikina. Nashukuru kuwa wewe unanyoosha vizuri kuwa Yesu ni Nabii/Mtume wa Mungu, hilo ndilo unapaswa uwafundishe wafuasi wako wabadilike mitazamo yao juu ya Yesu wawe kama wewe. Naamini unafahamu vizuri sana namna Yesu anavyozungumzwa vizuri katika hadhara za waislam na misikitini na yote ni mafundisho ya Quran. Hivyo tamaa ya kupata wafuasi kusikuongezee unafiki.
@mohamedmuya4965
3 ай бұрын
unapaswa ufaham mivutano ya wakristo na Waislam miaka mingi ni madai ya uungu wa YESU.
Wempumbavu sana😊
@LesheMasawe
3 ай бұрын
Usitukane