ASKOF HAMZA SASA AOMBA MSAADA KWA SHEKH DIWANI ..

Пікірлер: 1 400

  • @pettermasika9120
    @pettermasika91206 жыл бұрын

    Mungumuweza wa kila kitu Hamza akuwezeshe kutamgaza injili Duniani kote, Mungu yuko na Wewe daima

  • @betinalupembe4366

    @betinalupembe4366

    4 жыл бұрын

    Safiii mungu atakusaidia hamza

  • @lilianmvungi9737

    @lilianmvungi9737

    4 жыл бұрын

    Hamza uko vizuriiii

  • @komboabdallah5317

    @komboabdallah5317

    4 жыл бұрын

    Hamza sio mkristo wala muislam yeye nimpinga old dini

  • @hassanhaji5247

    @hassanhaji5247

    4 жыл бұрын

    Kafirj tu uyo

  • @shifaazawadi4438

    @shifaazawadi4438

    4 жыл бұрын

    Hivi naakilizako huyu hamza ukimiangalia yuko upandegani kafiri huyu hajulikani u slim wala ukristo laana tupu alizo nazo

  • @mohamedAli-vf8hp
    @mohamedAli-vf8hp5 жыл бұрын

    Waallahy shekh yusuf nimekuelewa vizuri sanaaa mashaallah mungu akuzidishie hikima zaidi uwailimishe hao murtad

  • @abdullahbizzo3342
    @abdullahbizzo33425 жыл бұрын

    hamza wakristo wanakupenda sana kwa sababu unaudhalilisha uislamu wako kwa maslahi ya kidunia

  • @mohammedrajabu7449
    @mohammedrajabu74493 жыл бұрын

    Sheikh Diwani Jazaakallahu khaira Allah akujaalie kilalakheri nduguyangu nakupenda kwa ajili ya Mwenyezimungu

  • @abdularuffin9308
    @abdularuffin93082 жыл бұрын

    Allah akupe jazza ya moyo wako uko vizuri sana shekhe diwan mashaallah

  • @mangishop6643

    @mangishop6643

    2 жыл бұрын

    Mashallah

  • @ernestthomas9689
    @ernestthomas96896 жыл бұрын

    Hamza yuko vizuri kwa kweli. Yesu ndo mwokozi wa ulimwengu na lazima kila ulimi ukiri kuwa ndiye mwokozi na saa ndiyo hii. Barikiwa sana Hamza/Eliya

  • @mussahamisi1191

    @mussahamisi1191

    5 жыл бұрын

    Yesu ni muokozi WA wale waliomkataa mwenyezi MUNGU Kwa maana wakristo wamemkataa mwenyezi MUNGU na kumuabudu Yesu

  • @ifruitx2096

    @ifruitx2096

    5 жыл бұрын

    Ernest Thomas kwaiyo munakubali yesu hajasulubiwa sindio??? Ama munakubali kizembekizembe

  • @magambokasheke1914

    @magambokasheke1914

    5 жыл бұрын

    Hamza mm nimekuelewa kusema

  • @flowjowi8721
    @flowjowi87216 жыл бұрын

    Hamza is telling the truth.. the truth is bitter to swallow... Hamza ameonyesha reality in the quran.. but muslims haa! ! Hamko wakweli! Sheikh waambie kweli.. bila yesu! Hamna lolote! Too much pride :D

  • @jimmuabdul6730

    @jimmuabdul6730

    6 жыл бұрын

    wewe huyo anayejiita HAMZA ni mkristo kumbe hujamsoma

  • @flowjowi8721

    @flowjowi8721

    6 жыл бұрын

    JIMMU Abdul we we utabaki kufungwa macho.. uki cram quran badala uisome kwa hekima na kumuomba mungu akufungue macho ueze kuielewa sio kuketi na kufanywa kufundishwa. Keti upige sujudi kwa Allah afungue macho na roho kisha uketi usome quran. Sio kusikiza kipofu utabaki kipofu anafuata kipofu!mwenzako amefunguka macho hivi unaniambia at mkristo? Kwani akiwa mkristo ndio? Hata ndani ya quran ni jumamosi karim wewe wafuata ijumaa. .. niendelee? Wacha tu! Sisi tuombeane sipendi kuteta sababu dini!tumungoje yesu wetu yuaja kwa nguvu na hekima hiyo siku ndio kila mtu ataijua! Utaita mtume mohammed na hatafika!

  • @moodykitete9476

    @moodykitete9476

    5 жыл бұрын

    Hujielewi ww upo gizan

  • @nassirmohamed8114
    @nassirmohamed81144 жыл бұрын

    Alhamdulillah hahahaha kakoma huyo firauni hana elimu mpeni dawa huyo mwenye wazo km mm gonga like hapo

  • @hamzansengiyumva4590

    @hamzansengiyumva4590

    4 жыл бұрын

    Wewe mzee chunga sana ulimi wako njaa yako usitake kuupotasha uisilam angalia usije ukachomwa moto kwanza wewe inajiita Nabil wewe uounabii umeupata wapi

  • @hamzansengiyumva4590

    @hamzansengiyumva4590

    4 жыл бұрын

    Mwalimisheni huyo kafir muraliba 😂😂😂😂

  • @hamzansengiyumva4590

    @hamzansengiyumva4590

    4 жыл бұрын

    Mwalimisheni huyo kafir muraliba 😂😂😂😂

  • @thembaphiri4523
    @thembaphiri45234 жыл бұрын

    Yesu angekuwa kilakitu angemuomba mungu mungu wangu mungu wangu mbona umeniasha meme tumia akiri luka 4:7 welcome to muslim truth religion in the world mark 13:21 quran 3:19

  • @rahmashaban8693
    @rahmashaban86935 жыл бұрын

    Maasha Allah sheikh yusuph ma shafii mko vizuri sana

  • @arbaymuya2636

    @arbaymuya2636

    5 жыл бұрын

    Four h rfffgtutpt

  • @africa7479
    @africa74795 жыл бұрын

    wakrsto mtachomwa hiv hamuoni mnavyodangnywa kitabu chenu kila siku kinafanyiwa edition sijui mpo ,mungu wenu hajui hajayo au hana msimamo

  • @tiamo726

    @tiamo726

    5 жыл бұрын

    Kuran iko kwa kiharabu pekeyake ama kiswahili na kizungu pia

  • @africa7479

    @africa7479

    5 жыл бұрын

    tia mo ,ipo kwa kiswahili,kizungu, hata ukiingia online imetafriwa kwa lungha nyingi wew tu na lugha yako

  • @seifrajabu9511

    @seifrajabu9511

    4 жыл бұрын

    Biidhin llah watachomwa maana kila siku wanadanganywa kuwa yesu ameshuka wakat hajaonekana kushuka na wao wanakubar nakushangilia

  • @africa7479

    @africa7479

    4 жыл бұрын

    Seif Rajabu yan ukiwa muislam ni neema kubwa kuliko aliyepewa utajiri kama rwakatare halafu akawa kafiri.

  • @seifrajabu9511

    @seifrajabu9511

    4 жыл бұрын

    Mashaallah Allah akuhifadh shekh maan kaum ya mtume Muhammad watu wanaleta habar za nabii alie pita nabii ambae ni binaadam kama Mimi na wewe wao wakamuita mungu hadi Leo kama sio udhwalim huo nnn?

  • @manbawazir5392
    @manbawazir53925 жыл бұрын

    ASALAM ALEYKUM SHIEKH DIWANI WEWE NAKUPONGEZA NABADO KIJANA MUNGU AKUZIDISHIE ELIMU UFIKEMBALI

  • @abakuramaadan3788
    @abakuramaadan37886 жыл бұрын

    Sheikh hamza ni mgonjwa ya rabb mpe shiffa

  • @mamymdogo4161

    @mamymdogo4161

    4 жыл бұрын

    Aamin yarrab

  • @shirikaniyonkuru6560

    @shirikaniyonkuru6560

    4 жыл бұрын

    Labda mgonjwa ni wewe kwani yeye anasoma maandi matakatifu!

  • @hudhud2022

    @hudhud2022

    4 жыл бұрын

    Tena mgonjwa hasa wala MMungu amuoneshe njia ya haki

  • @hudhud2022

    @hudhud2022

    4 жыл бұрын

    Wewe hamza mbona unakufuru

  • @hudhud2022

    @hudhud2022

    4 жыл бұрын

    Inna Lilahi Waina Ilayhi Rajoun

  • @rabiministry2389
    @rabiministry23896 жыл бұрын

    Nakupenda sana SHEIK Hamza. Nakuelewa sana sana sana hiyo Sheikh diwani achana naye.

  • @veronicanestory1662

    @veronicanestory1662

    Жыл бұрын

    Unishindi mm

  • @marianachriss2444
    @marianachriss24443 жыл бұрын

    YESU KRISTO ni BWANA na mwokozi na zaidi ya yeye hapana Mungu mwingine Yeyote asiyemkiri YESU KRISTO ameshahukumiwa

  • @unknownafrica5568

    @unknownafrica5568

    2 жыл бұрын

    Isa ni na bee na ni muislam atakuja kama mmungu alivyosema mmungu ni mmungu wa mitume wotee wote ni mmungu ila binadam wanawatenganisha waislam wanamkubali kama mmungu alivyo sema isa bin mariam ni na bee

  • @unknownafrica5568

    @unknownafrica5568

    2 жыл бұрын

    Yesu ni na bee na alie mleta duniani mmungu ni mitume wake wote hata ukiangalia wote ni wamoja na ndugu mana bee ibrahim ndio baba yao kizazi cha ishac na esmael na wote ni mashariki ya kati sio kwa wazungu inamanisha mmungu dini ni moja na alikamilisha kwa muhamad saw

  • @mohamedmbarouk7482
    @mohamedmbarouk74824 жыл бұрын

    gonga like kwa diwani twende sawa

  • @thadeymtewele8809

    @thadeymtewele8809

    4 жыл бұрын

    Refa kafuga goli leo

  • @stivutitus963

    @stivutitus963

    4 жыл бұрын

    diwani falatu hanalolote

  • @lilianmvungi9737

    @lilianmvungi9737

    4 жыл бұрын

    @@stivutitus963 diwani hana lolotee

  • @osamaalharthy4150

    @osamaalharthy4150

    4 жыл бұрын

    Hamza wwe muongope mungu wako.

  • @hadijadinya8892

    @hadijadinya8892

    4 жыл бұрын

    Hamza kachizika haeleweka hawajaelewek wap nyie ndo hamuelewek

  • @Spritualproffessor
    @Spritualproffessor6 жыл бұрын

    hallelujah hakika mawazo ya Mungu sio ya wanadamu hazuiliw na yeyote hatimaye Yesu anahubiriwa na mashehe tena wanavutana wenyew kwa wenyew ..hakika kila ulim utakir na kila goti litapigwa kuwa Yesu kristo ndio njia kwel na uzima

  • @nehmaabasi4214

    @nehmaabasi4214

    5 жыл бұрын

    MATUNDA YA UKOMBOZI WA DAMU YA YESU KRISTO mpuuzi wewe hujui utendalo

  • @mohamedAli-vf8hp

    @mohamedAli-vf8hp

    5 жыл бұрын

    Huyu hamza sio shekhe ni askofu ucmuone kavaa kanzu ukadhani nimuislam

  • @financialloan9818

    @financialloan9818

    5 жыл бұрын

    @@mohamedAli-vf8hp mbona Alienda bakwata unasema sio shehe wkt anasoma Qran yenu Kwan yy anadanganya wkt anasoma kitabu iko iko bado mnakataa😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌👌👌👌kila goti litapigwa

  • @princeabbyjunior9640

    @princeabbyjunior9640

    5 жыл бұрын

    @@financialloan9818 kusoma Quran sio kwamba ndo muislam na kwenda bakwata sio ndo kua muislam....wapo mayahudi,wakristo na watu wa dini nyengine wanasoma quran na kuifatilia wengne wana lengo la kupotosha na wengine wanaweza wakawa wanapinga na kubisha kwa lengo la kutaka kujua zaid wa kile wanachokijua ....sasa itategemea ni njia gani anaitumia mtu....pengine ameamua kujifanya muislam ili iwe rahisi kwake kupotosha au iwe rahisi zaidi pia kutaka kujua zaidi maana kutokana na alivojifunza Quran kuisoma na kuilewa kwake kwa mtu ambaye hajui vzuri uislam ataamin kabsa kama huyo amza au askof amza ni muislam hvyo yeye na mungu wake ndo wanajua kama anapotosha au anataka kujfunza zaidi ...kwa haraka na kwa umakini ukiangalia ni kwamba anapotoshaa nionavo mimi

  • @princeabbyjunior9640

    @princeabbyjunior9640

    5 жыл бұрын

    @@financialloan9818 Na kusema anasoma kitabu iko iko ni kweli kwasababu Yesu amezungumziwa kwenye Quran na ndio mada zote zinatakiwa zitumie Quran ndomana lazma atumie hiko kitabu ila tatizo linakuja katika kutafsiri hiyo Quran kwa ufasaha....na nikujulishe vizuri tu Quran imetafsiriwa na mtume tu sio mtu mwengne yeyote hivyo ukitafsir Quran bila kufata mtume alivyotafsiri basi utakosea kwahyo hao mashekhe wote dunian wanatakiwa wasome tafsir ya mtume ya Quran ili kuelewa na kuwaelewesha waumin wanaowangoza sio kutafsiri jinsi wao wanavyoona wao....Sasa kuna maeneo huyo Hamza au sijui Askofu amza sijajua jina sahihi ni lipi apo ...ni kwamba anajaribu kutafsiri Quran kwa maono yake ukishatafsiri hvyo unakosea na hautokua sahihi....KWAHIYO UISLAM INA TARATIBU NA MISINGI YAKE SIO TU MTU UNAKURUPUKA NA KUWAZA UNACHOWAZA NA KUKIFANYIA MAAMUZI UNAYOTAKA WEWE....UHURU HUO KWA MUISLAM WA KWELI HAUPO ...Ndio tofauti ya uislam na dini nyengine anajifanya muislam ila hayupo katika misingi ya uislam...

  • @ramadhanrichmond5551
    @ramadhanrichmond55515 жыл бұрын

    Kinacho nisumbuwa Nikuti Kuskia Kiswahili Vizuri Inge kuwa kirundi Ninge Ellewa Vizuri Sanaaa!Ila nwashukuru sanaa!!

  • @faysalmussa5593
    @faysalmussa55934 жыл бұрын

    huyu Mgonjwa wa akili haitwi hamza anaitwa nabii elias huyu ni mjinga na wala si muislamu gonga like km uko sawa na diwani

  • @ismailowino2866
    @ismailowino28665 жыл бұрын

    issue moja nakubaliana na huyu bwana ni kwamba dhiki tulonayo waislam nikuondokewa na utukufu wetu ambayo ni Al-khilafah.Hii lazima tujikakamue kuirudisha ismamie maisha yetu!

  • @rajabumrope8732
    @rajabumrope87325 жыл бұрын

    HUYU MSHENZI HAMZA KAMA HUJASOMA UNAHISI KAMA ANAONGEA POINT

  • @ammonyalistides6638
    @ammonyalistides66385 жыл бұрын

    Jesus is over all things

  • @ramadhankiponza6730
    @ramadhankiponza67305 жыл бұрын

    Mwenye Elimu Utamjuwa Ata Kwa Muonekano Tu. Sheikh Diwani Weye Ni Mwenye Elimu Kubwa Kuliko Huyo Mganga Njaa Hamza. Ufafanuzi Wako Tu Na Unavyoyapokea Maswali Ya Hamza Unaonyesha Kabisa Yakuwa Weye Ni Mwenye Elimu. Allah Akulipe Kheri.

  • @adamjuma5063
    @adamjuma50634 жыл бұрын

    MashaAllah,naam mwalim..Shukran

  • @kijuuborongo6405
    @kijuuborongo64055 жыл бұрын

    Kati ya wote HAMZA ndio msomi kuliko wote

  • @seifzongo320

    @seifzongo320

    5 жыл бұрын

    Kwer

  • @fathiasaed4738

    @fathiasaed4738

    4 жыл бұрын

    Kijuu Borongo exactly

  • @kitotaabdillahi4609
    @kitotaabdillahi46096 жыл бұрын

    We pumbavu Mtume siyo mwislam wa kwanza. Qur’an inasema Uislam ulianza tangu Adam. Qur’an, 22:78.

  • @habibamsabi2579

    @habibamsabi2579

    6 жыл бұрын

    Abdillahi Kitota X

  • @benueniinnov7855

    @benueniinnov7855

    6 жыл бұрын

    acha kujidanganya

  • @mwajumafadhily7712

    @mwajumafadhily7712

    6 жыл бұрын

    Kitota Abdillahi acha kupanik kwan ungesema umeanza tangu Adam!

  • @moseshaule7825

    @moseshaule7825

    6 жыл бұрын

    tupe aya

  • @flowjowi8721

    @flowjowi8721

    6 жыл бұрын

    Mwajuma Fadhily haha ati Adam hahaha uwiii! Nacheka. .. blind follow the blind.! Pharasee!

  • @natashakibale5557
    @natashakibale55573 жыл бұрын

    Yesu ni JIBU na atarud duniani............ Tuwe tayari.........

  • @unknownafrica5568

    @unknownafrica5568

    2 жыл бұрын

    Atarudi kwa ajili ya wale walie muacha mmungu na kufata wasio kua mmungu na atakuja kuipinga ukristo kwankuwambia yy sio mmungu mmungu hajazaliwa yy ni nibaee na atakua na mana bee wenzake wa ukweli sio picha za mcheza cenema

  • @MosesLewa
    @MosesLewaАй бұрын

    Shekhar Hamza is a truly man of God: 1. Shekhar Hayek upended wowote anatafsiri ukweli wa dini,haswa mahali waislam wanapotea! Msisahau city vya dini viliandikwa kulingana na Marsha na Swallah za karne izo more than 600 years back. Kiukweli Maisha imebadilika unafaa utafsiri vitaly Vyadini kulingana na karne ama nyakati tulizo...

  • @amoschacha1873
    @amoschacha18736 жыл бұрын

    Tatizo la baadhi ya waisilamu wanapenda mashindano hawataki ukweli anaowaambia Hamza

  • @philiposimon860
    @philiposimon8605 жыл бұрын

    daaaah kweli shekhee Hamza unaongea points tupu,

  • @hamidaawadhi835

    @hamidaawadhi835

    4 жыл бұрын

    Huyo sio Sheikh

  • @AAl-xx8rh
    @AAl-xx8rh11 ай бұрын

    Allah akubarik Shaffy kwa kumueka Sawa huyo Hamza njaa tu inamsumbua

  • @user-if1pz4nm4u
    @user-if1pz4nm4u3 ай бұрын

    Finaly it is happening. Masihi anakuja na hukumu ya kweli na haki wapendwa. Hamza nakubaliana na wewe sio kwa Ukristo jina au Uislam jina tu masihi is coming back. "Abba Father"

  • @zaharanihassan9013
    @zaharanihassan90136 жыл бұрын

    msimamiz na mwongozaji Wa hicho kikao Upo making sana, nimependa sana Allah akuongoze kwanu una ( leadership skills))

  • @ramkoddybenyamin3659

    @ramkoddybenyamin3659

    2 жыл бұрын

    Uhm

  • @ramkoddybenyamin3659

    @ramkoddybenyamin3659

    2 жыл бұрын

    Luo and woman in uganda is

  • @nevillesitta9654
    @nevillesitta96545 жыл бұрын

    yesu ni bwana ndiyo atakuja kukomboa ulimwengu

  • @mgeniali1768

    @mgeniali1768

    5 жыл бұрын

    Kesho au

  • @nancymvunyi4996
    @nancymvunyi49965 жыл бұрын

    hamza songa mbele.. amin unachoamini wasioamini bdo Muda wao haujafika na wao IPO Siku mungu atawafungua watambue ukweli ni upi...

  • @aboudjuma523
    @aboudjuma5234 жыл бұрын

    Allah alisema Qur'an atailinda yeye mwenyewe.

  • @dennismataula293
    @dennismataula2936 жыл бұрын

    Hamza anauliza very critical ,maswali ,Hamza hawa watu hawatakuelewa elimu yao ndogo sana ,ndiyomaana hawana majibu ,

  • @ameknews2315

    @ameknews2315

    5 жыл бұрын

    Njoo ww basi

  • @shaibushaaban1538
    @shaibushaaban15385 жыл бұрын

    Wallahi dini yakiislamu ingekuwa yakukopi ingeshapotea zamani naona watuhawalali mpaka Quran, feki wanatoa lakini wapi kweli kafili nikafili tu

  • @alllyrics4835
    @alllyrics48353 жыл бұрын

    Allah awaifazi ma Shekh wetu Allahum ameen 🙏

  • @asmabintikiwasha13
    @asmabintikiwasha136 жыл бұрын

    wallah waislam tusomeni tutapotezwa

  • @evansokemwa6587

    @evansokemwa6587

    6 жыл бұрын

    asma binti kiwasha nyinyi waisilamu mtaenda motoni

  • @Amishjuma

    @Amishjuma

    6 жыл бұрын

    Evans Okemwa Ww mwenyewe waabudu mtu Yesu ndio utaenda motoni umesahau alie kuumba ww na huyo yesu bin mariam.

  • @azizaamry9167

    @azizaamry9167

    5 жыл бұрын

    haswaaaa

  • @samgchannel4547

    @samgchannel4547

    5 жыл бұрын

    Yesu ndiye njia na mwokozi wa ulimwengu

  • @waziriislam2455

    @waziriislam2455

    5 жыл бұрын

    asma binti kiwasha NIKWELI DADA YANGU

  • @hamisikulola8481
    @hamisikulola84815 жыл бұрын

    lengo la kuitwa Hamza ni kupigwa msasa unadhani atauchafua uislam atazamwe? sisi sio wakristo kila mmoja kaisoma dini

  • @jaliakamote5485

    @jaliakamote5485

    5 жыл бұрын

    Sana

  • @ramadhanihossenitv667

    @ramadhanihossenitv667

    4 жыл бұрын

    alah atupe njia ya kweli dini na viongoz wetu watatupoza kwakuupinga ukweli

  • @bernadethambilinyi8218

    @bernadethambilinyi8218

    4 жыл бұрын

    Haitaji kuchafua uislamu bali anahitaji kuitoa kweli iliyopo ili kila mtu awe huru nayo.

  • @OmanOman-gc1zu
    @OmanOman-gc1zu5 жыл бұрын

    M, mungu amsamehe hamza kwan ajui alisemalo... Bora akasome dini ya kiislam asije kupoteza waislam.. Si vizur kuongea vit ambavy una hirimu navyo... Allah atupe mwisho mwema

  • @abdurashid2022
    @abdurashid20225 жыл бұрын

    jazaka lahu kheir shekhe kwa kutuzindua Allah atakulipa badala

  • @akeem1221
    @akeem12215 жыл бұрын

    Yesu alipokuwa matumboni mwa mamake , nani aliongoza dunia? Kama Yesu (mungu) alizaliwa je alikuwa akinya na kujikojolea ovyo ovyo.

  • @steventitus2174

    @steventitus2174

    4 жыл бұрын

    Je mtumewenu mzinf

  • @steventitus2174

    @steventitus2174

    4 жыл бұрын

    kila atakalo lifanya alikua anaongozwa namajini je atakua nimtume uyo au jin

  • @hamishasan7737

    @hamishasan7737

    4 жыл бұрын

    Hata daso alifungiwa alijinyea na kujikojolea kama mm hapa

  • @hansiselemani8025

    @hansiselemani8025

    4 жыл бұрын

    Steven Titus mtume hakuwa mshrikina nyiny mnafundishwa kuuchukia uislam ,,ndoman ulay wameujua ukweli kla kkicha wanaslim

  • @Mpakauseme

    @Mpakauseme

    4 жыл бұрын

    @@hansiselemani8025 ulaya unapajua wewe ulaya ktk nchi gani ulaya ni bara .. nimeishi Austria ,Salzburg makanisa nimengi zaidi misikiti unaesabu kwa tochi labda Uturuki kwa ndugu zenu najua hiyo ulaya yako Amerika na Asia na maisha yangu nafanya japan auniambi kitu ... Baadhi ya nchi za ulaya wakimbizi ndio wanakuja na mambo ya kislamu unayumba wewe ... Mnayumba na majini kila kukicha

  • @gabrielisack7786
    @gabrielisack77866 жыл бұрын

    mwenye kuelewa ameelewa ila Yesu atadumu Milele na Milele

  • @florrakaneza4388

    @florrakaneza4388

    6 жыл бұрын

    gabriella isack Amen

  • @jumaramadhan7805

    @jumaramadhan7805

    5 жыл бұрын

    Yesu yup unamjua ww

  • @jaggaludegula6826

    @jaggaludegula6826

    5 жыл бұрын

    Amina baba

  • @salamahemed7595

    @salamahemed7595

    5 жыл бұрын

    Allha s.w awapanye hamjui mliongealo

  • @dadisky4876

    @dadisky4876

    5 жыл бұрын

    Amin akuna alie kawa yesu kristo

  • @allishoni4542
    @allishoni45422 жыл бұрын

    Maasha Allah shekh Yusuf Allah akupe afya na umri mrefu ili tusome mengi kutoka kwako Alhamdulillah

  • @abdularuffin9308
    @abdularuffin93082 жыл бұрын

    Qur'an imejitosheleza mungu ameeleza haina shaka hamza umepotea rudi kwa allah subhanna

  • @fatwimamakungu5456
    @fatwimamakungu54566 жыл бұрын

    😂😂😂 hamisi lee wanichekesha wallah yani sijui uyo amza anatafuta kiki au akilizake aziko sawa wallah mtihan

  • @khamislee9614

    @khamislee9614

    6 жыл бұрын

    Fatwima Makungu huyu mtu anaikili tena sana. Mi nadhani anatumiwa kukoroga waislamu kwasababu wamemuona yuko very INTELLIGENT. Kwasababu maneno anayoyaongea kama mtu hana ilmu ya QUR'AN vizuri Wallah anaeza kumkubali huyu jamaa. Lakini Alhamdulillah kuna masheikh wasomi ambao wako makini kabisa katika kukabiliana na watu kama HAWA.Insha Allah Mungu awaongoze na awape umri mrefu masheikh.

  • @burhanimahmoud8985

    @burhanimahmoud8985

    6 жыл бұрын

    Fatwima Makungu

  • @mfaumeshabani7900
    @mfaumeshabani79006 жыл бұрын

    mashekh uyu hamza katumwa sio bure

  • @salimmasongo2625

    @salimmasongo2625

    5 жыл бұрын

    Sioni majibu hapo

  • @veronicanestory1662
    @veronicanestory1662 Жыл бұрын

    Nakupenda saaana hamza yesu akutunze kwa ajili yetu tunaomuamini yesu kipenzi cha roho yangu

  • @MosesLewa

    @MosesLewa

    Ай бұрын

    Ila usitambue miungu mitatu.Hakuna mungu baba mungu mwana na mungu Roho mtakatifu...Hakuna kitu kama iyo, huo ni upagani....

  • @veronicanestory1662

    @veronicanestory1662

    Ай бұрын

    @@MosesLewa sikupingi inawezekana

  • @jadilaraphael3668
    @jadilaraphael36685 жыл бұрын

    asante sheikh, bora umtoe ujinga sheikh mwenzak

  • @mussajericko7365
    @mussajericko73655 жыл бұрын

    Mwenye kuelewa ameelewa waislamu mkubaliane na ukweli jamani ukweli utabaki ukweli

  • @vuaimuhidin6321
    @vuaimuhidin63216 жыл бұрын

    nampongeza sana askof hamza kwa kutaka tambua ukweli

  • @mussajerico6942
    @mussajerico69424 жыл бұрын

    Hamza upo sahihi100%

  • @yusuphsimon8151
    @yusuphsimon81516 жыл бұрын

    Mungu ni mwema n mnavokua mnajadili neno lake vaeni vtu vya rohoni so kubishana ki mwili....Mungu ni kherii

  • @rutahalima1400
    @rutahalima14006 жыл бұрын

    Asalam Aalaykum wa rahmatullahi wa barakatuhu shukran ma sheikh wetu kwa juhudi yenu ya kum elimisha huyo Askof hamza issa yeye ni mnafiki amechanganyikiwa tu huyo ni wakutibiwa. Hakuna Haja ya kuhojiana nae kuhusu ukweli wa dini maana ana maskio haelewe. Sheikh Diwani ma sha Allah , Allah awalipe jema kwa hilo mlifanyalo.

  • @mahmoudabdallah4533

    @mahmoudabdallah4533

    6 жыл бұрын

    Huyu jama noma bora asije akapewa msikiti atowefatwa zake

  • @mahmoudabdallah4533

    @mahmoudabdallah4533

    6 жыл бұрын

    Anapotosha umma

  • @mahmoudabdallah4533

    @mahmoudabdallah4533

    6 жыл бұрын

    Huyu akionekana msikitini anatowa hutba apigwe nakora na ramadhani hii

  • @mahmoudabdallah4533

    @mahmoudabdallah4533

    6 жыл бұрын

    Mashekh muko wapi wakini kishki na kipozeo na mzinge munamsikiya huyo

  • @mahmoudabdallah4533

    @mahmoudabdallah4533

    6 жыл бұрын

    Na mazinge

  • @husseinbenson7965
    @husseinbenson79654 жыл бұрын

    Km unasoma coment na unaona hao wote ni wasanii😂😂 gonga like.

  • @bensonlangat640
    @bensonlangat6403 жыл бұрын

    Kweli Yesu ni msindi.Bwana Hamsa Akili yako iko juu Sana.

  • @unknownafrica5568

    @unknownafrica5568

    2 жыл бұрын

    Mnashimdana na mmungu mwenye mana bee wake isa ni muislam na Muhammad ni ndugu kwa ibrahim je wazungu hapo ni biashara na music kupiga hamna kitu Muhammad ndio alie kamilisha dini kwa Amir ya mmungu kumshishia gibriel na isa alimtabiri atakuja bada yangu Mfateni Kitabu cha isa wamekibadilisha cha ukweli na isa hajajenga kanisa you Brahmin ndio alie jenga alcaba kibla aliamrishwa na mmungu

  • @unknownafrica5568

    @unknownafrica5568

    2 жыл бұрын

    Hata na bee sulaiman alijenga alagsa msikiti wa kwanza wa kislam

  • @bambamaly680
    @bambamaly6806 жыл бұрын

    MASHAALLAH

  • @fredrickfrancis7004
    @fredrickfrancis70045 жыл бұрын

    Ukweli utabaki kuwa ukweli mm ndiyo nuru ya ulimwengu aniaminiye na kunifuata atapata uzima wa milele Yesu ndiye nuru na uzima

  • @mgeniali1768

    @mgeniali1768

    5 жыл бұрын

    😐pole sana mbona nyinyi mloo na uzima wa milele mbona mwafaa?

  • @janetsemahimbo8083

    @janetsemahimbo8083

    5 жыл бұрын

    Uzima uelezwayo sio uzima wa hapa duniani. Wote tutakufa ila kule tutakakokwenda baada ya kufa ndiko kwenye uzima wa milele endapo utakuwa umempokea Yesu kama ni bwana na mwokozi wako.

  • @mgeniali1768

    @mgeniali1768

    5 жыл бұрын

    Inna hillah wa innallilah hamna yesu atakae wapoke katika kabuki ndungu tulikuja kwa jalia na tutarudi kwa jalia utakayo yachuma ndio utakayo kwenda nayo hamna atakae kutetea wala ukifa hauonani na mtu yoyote isipokuwa malaika peke siku ya kukutana ni siku ya malipo na pia mola wetu mlezi hazidishii mtu dhambi yote utakayo yapata kwenye hesabu yako kumbuka umeachuma mwenyewe wala yesu haja watuma na atawakana madai munayo zusha kwa sasa

  • @salmaothman153

    @salmaothman153

    5 жыл бұрын

    @@janetsemahimbo8083 mungu pekee ndo atakupa uzima wa milele yesu hana uwezo huo hakuna musilaam utakaemdanganya upo yesu ni mtu kazaliwa kama ww waongo wakubwa nyie

  • @sammarley1413

    @sammarley1413

    5 жыл бұрын

    Frederick ilikuaje sasa yesu akapigwa misumadi nanyundo ? Yesu alikua fala tu hata watu wake wakaamua kummaliza AMA issa yy aliku nabi wamungu

  • @josephharri9015
    @josephharri90156 жыл бұрын

    TUMKIMBILIE YESU MAANA NDIO NJIA SAHIHI, TUIFUATE BIBILIA MAANA NDIO NENO LA MUNGU

  • @rashidabdallah3658

    @rashidabdallah3658

    5 жыл бұрын

    Njoo

  • @kaizanalysis9284

    @kaizanalysis9284

    5 жыл бұрын

    wewe mwenyewe huijui bibi lia unafata mkumbo tu naushabiki

  • @tomjuma7679

    @tomjuma7679

    5 жыл бұрын

    Yesu ndio njia ya uzima

  • @salmaothman153

    @salmaothman153

    5 жыл бұрын

    @@tomjuma7679 😂😂😂😂😂😂😂tumulize yesu eti ww njia ya kwenda wapi

  • @mgeniali1768

    @mgeniali1768

    5 жыл бұрын

    @@salmaothman153 Yemeni 😅😅

  • @abdulazizmaiga9002
    @abdulazizmaiga90022 жыл бұрын

    Mashaallah i love my religion

  • @saidmughery357

    @saidmughery357

    2 жыл бұрын

    Alhamdulillah. But to be honest the chairman was not at all fair. The rest is ok. That false prophet can only fool Christians and some very weak Muslims.

  • @partnersah8802
    @partnersah8802 Жыл бұрын

    Nawasiwasi na tafsiri zetu sisi wanadamu. Mimi naimani ninachokiamini ambacho Mwenyezi Mungu ananifunulia nikifuate. Basi ninapokosa Yeye ndiye mwenye kunisamehe na ndio mwenye kunihukimu.

  • @lennygeorge9165
    @lennygeorge91655 жыл бұрын

    Nimependa nguvu ya Yesu inavyowapa taabu ad mnabishana niny kwa ninyi

  • @mnhamy749

    @mnhamy749

    5 жыл бұрын

    Kwanza huyo sio katika sisi, pili huyo ni tapeli tu. Search video hii: cWDMDx62DRI Copy hizo herufi halafu search kwenye KZread au Google.

  • @perrykemmy9045
    @perrykemmy90456 жыл бұрын

    Wachana nao !God will come to jugde !!!!were doomed

  • @abdulazizi6606
    @abdulazizi66065 жыл бұрын

    innalilahi wainnailahi rajiuuni wakristo sio ummati Muhammad?????? we hamza achakuadanganya waikristo

  • @priscahbosire4340
    @priscahbosire43405 жыл бұрын

    Yesu no mshindi

  • @emmanuelmsigwa714
    @emmanuelmsigwa7146 жыл бұрын

    waisram aminn Yesu atakuja kuuhukum ulimwengu ,nakama ndio,bac aminn kuwa Yesu ni Mungu ,kwakuwa mtoto wa binadam ni binada wanyoka ni nyoka.Na Yesu ni mwana wa Mungu bac aminn kuwa mwana wa Mungu ni Mungu.

  • @ameknews2315

    @ameknews2315

    5 жыл бұрын

    Pia yy ni mtoto wa mariyam na maryam ni binaadamu basi naye ni binaadamu

  • @eliudimsey9667
    @eliudimsey96676 жыл бұрын

    Mnamacho lakini hamuoni mna masikio lakini hamsikii kusema yesu Ndio Kristo iliwagarimu mitume kifo

  • @hassanmirambo5671
    @hassanmirambo56716 жыл бұрын

    Hapo tuSheikh SHAFII huwa nakukubali akijitokeza tu mpumbavu yeyote kutaka kupotosha humuachi,ALLAH akujaalie INSHALLAH

  • @waziriislam2455
    @waziriislam24555 жыл бұрын

    بارك الله فيك يا أخي الكريم

  • @seifzongo320
    @seifzongo3205 жыл бұрын

    Shekh Hamza ww hatar yaan umepiga mashekh wote mpaka mwenyekit kaingilia Kat ,mm naona anachokosea Hamza n kujita mtume lakin hayo mengne n kwel tupu

  • @rashadkipingu5109

    @rashadkipingu5109

    3 жыл бұрын

    Yaani waitwa seif afu unamambo ya kikafiri dah on aibu muda bado upo badilika ujchlwa

  • @emmanuelmajele5812
    @emmanuelmajele58124 жыл бұрын

    Amnza Yupo Safi namkubali Sana

  • @mramsayo1025

    @mramsayo1025

    3 жыл бұрын

    Hujielew inaonekana

  • @bebisheni4380
    @bebisheni43804 жыл бұрын

    Hamza ushindwe na uregee nguvu za mwenyezi mungu zikushukie Shekhe diwani mwenyezi akubariki akuzidishie kila la kheri na baraka hamza umenikera

  • @apostlesammymutachicfc.3744
    @apostlesammymutachicfc.37444 жыл бұрын

    Huyo Yesu Kristo ndie nyinyi mumkubali kuwa mwokozi wenu, inatosha.

  • @dennismataula293
    @dennismataula2936 жыл бұрын

    Yesu ni njia kweli na uzima ,alafu diwani anasema Yesu atarudi kama mtu ,hv kweli unaakili ,una tope ,alafu mwenyekiti simama kama mwenye kiti ,

  • @mawazoit8070

    @mawazoit8070

    6 жыл бұрын

    Dennis Mataula elewa msingi wa maandiko

  • @perrykemmy9045

    @perrykemmy9045

    6 жыл бұрын

    Yesu ndie njia!

  • @abeidabbas9398

    @abeidabbas9398

    6 жыл бұрын

    Ww si muislam hayakuhusu haya ww baki na yesu wako kumuona ni mengi

  • @florrakaneza4388

    @florrakaneza4388

    6 жыл бұрын

    Dennis Mataula Kweli uko

  • @salimhahahaha.kilanga2027

    @salimhahahaha.kilanga2027

    6 жыл бұрын

    Dennis Mataula.Kwani Yesu atarudi kama nani kimawazo yako? Duhh hatari!!!!!.

  • @superchadema2417
    @superchadema24175 жыл бұрын

    😂😂😂😂nicheke na yesu wangu mm

  • @sammarley1413

    @sammarley1413

    5 жыл бұрын

    Yuko wapi? Sialikimbia kicapo

  • @lucasgasper5235

    @lucasgasper5235

    4 жыл бұрын

    Huwezi kumuelewa yesu kama unaabudu mapepo

  • @thamiyuucute7098

    @thamiyuucute7098

    4 жыл бұрын

    @@lucasgasper5235 nawew huwezi kuwa naakili km unaabudu kiumbe mwenzio

  • @ironefacemsovela4504

    @ironefacemsovela4504

    4 жыл бұрын

    Mnapoteza muda kwa ujinga kama huo mungu wetu sote, yesu ni nabii tu

  • @AANFOOTBALL

    @AANFOOTBALL

    4 жыл бұрын

    Mnamtukuza na kumuabudu Yesu/ Issa na kumsahau aliyeumba mbingu na ardhi, aliyeumba viumbe vyote duniani. Unafikiri ni kwanini kulikuwa na Mitume tofauti, kazi Yao ilikuwa ni ipi? Ujumbe mkubwa ni kuacha kuabudu mnavo abudia ili Tumuabudu Mwenyezi Mungu pekee.

  • @leonardgwimo4851
    @leonardgwimo48512 жыл бұрын

    Mwenyezi MUNGU , Mfalem wa majeshi atasimamia kila mwenye kuamini shekh. Hamza wasatahiri heshima katika mafundisho

  • @mohammedrajabumwamba1322
    @mohammedrajabumwamba13222 жыл бұрын

    Sheikh Diwani umetisha sana Jazaakumullahu khairan 🙏

  • @user-wh5pw5uh9u
    @user-wh5pw5uh9u5 жыл бұрын

    Mi kwa Rai yangu naona ndugu diwan unapoteza mda wako

  • @yassinm69

    @yassinm69

    4 жыл бұрын

    Haujamuelewa that's y

  • @admiraseverin8010
    @admiraseverin80105 жыл бұрын

    uzuri ukwel mnaujua ila mnajifanya tuu hamuelewi

  • @abdulkarimrajab2586

    @abdulkarimrajab2586

    4 жыл бұрын

    kuambiwa issa bin mariam atarud!!!?? kiraza kwel ww ...kwa akili yako kila cku unajfunza bibilia kuanzia mtoto mpaka leo bado unafundishwa bibilia cjui utaijua lin!? maan mpaka sasa hauwijui bado unapoteza muda tuu

  • @tygvaljii2243
    @tygvaljii22434 жыл бұрын

    Yesu Ndoy Kila kitu Kwa sisis binadamu

  • @hudhud2022

    @hudhud2022

    4 жыл бұрын

    Msiseme muongo nyie kumfanya Yesu ndio kila kitu

  • @hudhud2022

    @hudhud2022

    4 жыл бұрын

    Santa Sheikh wetu uko sawa kabisa

  • @hudhud2022

    @hudhud2022

    4 жыл бұрын

    Taabu hawafahamu ikisha ni kujidai kama wanajuwa kamkawaida yao ba hawakubali kama hawajui ubabe tu

  • @user-wv2uy6iz5h

    @user-wv2uy6iz5h

    4 жыл бұрын

    Washapigwa muhuri wa motoni hao

  • @domykimata5768
    @domykimata57684 жыл бұрын

    Masha Allah

  • @munaseif9769
    @munaseif97696 жыл бұрын

    amza amka usiku uswali sunti tasbihi umuombe msamaha mungu 😂😂😂 duuuuh hyu pesa zinampotosha

  • @hajiabdalla3992

    @hajiabdalla3992

    5 жыл бұрын

    Huyu hamza nja inamsumbua kwaza ape we chakula

  • @samgchannel4547

    @samgchannel4547

    5 жыл бұрын

    muna seif Yesu ndiye njia na mwokozi wa ulimwengu

  • @hasnaa8868

    @hasnaa8868

    5 жыл бұрын

    Xubuhanaallah

  • @ramadhanmussa6318

    @ramadhanmussa6318

    5 жыл бұрын

    Hamza ni kafiri Tena dajaal miongoni mwa madajal 30

  • @hawagondwe2056

    @hawagondwe2056

    5 жыл бұрын

    Hamza amenunuliwa subhanallah tusomeshe watoto wetu wamjue Allah

  • @nsjjsjdjjdjd841
    @nsjjsjdjjdjd8416 жыл бұрын

    Mm naona huyu anakuja kusoma lkn hataki kusema kama nataka kusomeshwa

  • @khamislee9614

    @khamislee9614

    6 жыл бұрын

    Nsjjs Jdjjdjd wallah wewe umefikiria vizuri sana yaani kitu kama hicho🤣🤣🤣🤣

  • @ashaomary1169

    @ashaomary1169

    6 жыл бұрын

    Nsjjs Jdjjdjd ha ha ha

  • @salmajuma4015

    @salmajuma4015

    4 жыл бұрын

    Kabisaa siasemetu

  • @vanlago7580

    @vanlago7580

    4 жыл бұрын

    Akisema ataonekana mjinga hataki kujishusha kuna mjinga anayetaka kujua,kuna mbumbavu anayetakakujifanya anajua kumbe hajui,hamza tumueke kundi gani,mjinga au mpumbavu?

  • @ahmedbaga26
    @ahmedbaga266 жыл бұрын

    Mwenyekiti unatumia muda mwingi sana unarudia sana maneno punguza ufafanuzi

  • @mtanzaniamzalendo7001
    @mtanzaniamzalendo70015 жыл бұрын

    Kumbe pia Yesu anaongelewa kwenye kurani? Sasa msishindane anayetajwa kote ndiyo was kumfuata.

  • @lucasgasper5235

    @lucasgasper5235

    4 жыл бұрын

    Kweli

  • @isackbaton9759
    @isackbaton97595 жыл бұрын

    Yesu kristo ndio mkombozi full stop

  • @nazonahdi9993

    @nazonahdi9993

    5 жыл бұрын

    Isack Baton ndungu yangu chambuwa qurani na bibilie usimzikile mtu wala askofu alafu utajuwa ukweli

  • @godwinchengula3621
    @godwinchengula36216 жыл бұрын

    Hakuna mwenyekiti hapo ansimamia upande moja

  • @ramadhanihossenitv667

    @ramadhanihossenitv667

    4 жыл бұрын

    Godwin Chengula kweli

  • @Mpakauseme

    @Mpakauseme

    4 жыл бұрын

    Kabisa 😂😂😂😂 mwenyekiti kafungisha

  • @chuchubena7022

    @chuchubena7022

    4 жыл бұрын

    Huyo hamza ni mkiristo aliesoma uislam sasa hapo anasumbua tu watu vichwa chizi hyo mchukuen ndugu yenu

  • @allynicco4607

    @allynicco4607

    3 ай бұрын

    Nenda wewe

  • @kibeginiblue7188
    @kibeginiblue71883 жыл бұрын

    Na auwez kuwa muislam bila kuamini kwa moyo mmoja na hoja nyingi ndio alizowasihi mtume(s.a.w) maswahaba wake kuwa wanaweza kukufuru ka kaumu zilizopita. Waislam atupaswi kuhojihoji Sana

  • @minabuelysee8
    @minabuelysee8 Жыл бұрын

    MashaAllah

  • @tommariam4393
    @tommariam43936 жыл бұрын

    Mpaka hapo huyi Hamza hayuko sawa kwa sababu Elimu inayotolewa hapo hata mtt mdogo angeelewa yy hajijui masikini yuko dini gani lkn kwa mujibu wa imani yake sio muislamu tena. Itabidi akae tena upya atafakari.

  • @abeidabbas9398

    @abeidabbas9398

    6 жыл бұрын

    Tom Mariam huyu katumwa itakua si muislam kabisa

  • @tommariam4393

    @tommariam4393

    6 жыл бұрын

    Yaani sijui haoni huu utukufu wa ALLAH! Maana M'mungu anatisha ktk qudra zake yaani ni msiba Mkubwa sana.

  • @tommariam4393

    @tommariam4393

    6 жыл бұрын

    Abeid Abbas si ana vielementi vya kikafiri ktk wazazi wake mmoja si muislam lzm awe na wepesi wa kufanya machafu lkn kuna siku atajuta itakua ameshachelewa masikini!

  • @stevintitusmkoreaasijaribu6918

    @stevintitusmkoreaasijaribu6918

    6 жыл бұрын

    Tom Mariam mwenye kt apendelea mskilizen amnza sipia atoa kwenye msaafu nyie vp

  • @josephfrancis2075

    @josephfrancis2075

    6 жыл бұрын

    stevin titus mkorea asijaribu ataumia hayana kazi za kufanya haya kazi kuzaana tu ndio mana mungu kayanyima ufahamu badala yasome yanakazi yakutaficri lugha za wa2 zakiarabu manyumbu wakubwa hawa

  • @rabiministry2389
    @rabiministry23896 жыл бұрын

    Bahati nzuri hapo hakuna mkristo hata mmoja ni ninyi kwa ninyi. Mtakuja kwa Yesu mmoja mmoja.

  • @uncledavitv6481

    @uncledavitv6481

    5 жыл бұрын

    YIRE TV Mwl Boniface Mwamafupa hahahahahahahahahaha kabisa

  • @minaminaa1669

    @minaminaa1669

    5 жыл бұрын

    hiyo ni mada tu

  • @Mpakauseme

    @Mpakauseme

    4 жыл бұрын

    Nabado wanapata kumjua sawa sawa yesu kristo

  • @mohammedrajabumwamba1322

    @mohammedrajabumwamba1322

    2 жыл бұрын

    Utasubiri saana Uisilam ndo dini ya kweli kabisa

  • @mussajericko7365
    @mussajericko73655 жыл бұрын

    Waislamu mungu awasamehe

  • @steventitus2174
    @steventitus21744 жыл бұрын

    Mwenyekiti nimbea avutia upande mmoja mkubalin Isa bn mariam

  • @charlesmwita4415
    @charlesmwita44156 жыл бұрын

    Mungu akutie nguvu shehe Hamza

  • @ambrosonesmo9281

    @ambrosonesmo9281

    6 жыл бұрын

    hata sisi tunaongalia na kusikia tunaangalia na tunaelewa mnyonge mnyongeni lakini haki yake apewe. hamza juuuuuuuuu tuuuuuuuuuu

  • @abinelpascal8352

    @abinelpascal8352

    5 жыл бұрын

    Good shehe hamza,,,ukovizur sana,,,Yesu ndo atakae uhukum ulimwengu kkwa habar ya dhamb na hak,,,Yeye ni mtawala wa dunia yote

  • @husseinchiaseeds2653
    @husseinchiaseeds26535 жыл бұрын

    Hamza wewe waliokutengeneza uuhalibu uisilamu wambie wamechelewa

  • @mohammedrajabumwamba1322

    @mohammedrajabumwamba1322

    3 жыл бұрын

    Kabisa

  • @nooor1120

    @nooor1120

    3 жыл бұрын

    Tena wamechelwa sana

  • @daudimahede6014
    @daudimahede60146 жыл бұрын

    njaaa zitatupeleka barazanji mungu tuepushe ameen

  • @heliudjulias7748
    @heliudjulias77482 жыл бұрын

    Amza yupo sahihi sana lazima utafakari neno ra Mungu kwamaarifa ario tujalia

  • @hindisaidi5097
    @hindisaidi50976 жыл бұрын

    hiyo ni biashara tu.mashehe koko kama HAWA hupewa vijipesa ili kupotosha kupitia waislam wenyewe. msikie hata lafdhi yake

  • @hajiharoub8125

    @hajiharoub8125

    5 жыл бұрын

    Uhakia