SHAFI ALIPOSIFIA UJINGA WA SWAHABA MUIMBA KWAWA WA ASKOF HAMZA .SEHEMU YA NNE
Жүктеу.....
Пікірлер: 357
@anthonykariuki24385 жыл бұрын
Wallahi waislamu mwenyezi mungu awajaalie subra na mziidi kutumia hekima kujadiliana na wanafiki kama hawa, kwani mimi kama mtu aliyesilimu nazidi kupandwa na imani na kuthibitisha kuwa uislamu haukenezwa kwa upanga kama wanavosema makafiri Bali ni kwa hekima. Allah awazidishie naitwa Mustafa natokea huku Nairobi , Kenya.
@omarameirsalum88796 жыл бұрын
Wewe Shaafii wewe,wallahi Mungu akuzidishie elimu ya hapa na huko na Mungu namuomba akupe Pepo wewe na sisi pia Shaafii. Fanya kazi ya daawa nasi tunayo huku kwetu.
@zuu__95
3 жыл бұрын
aamin yarabbilaalamin
@nolanandy4203
2 жыл бұрын
i dont mean to be so offtopic but does someone know of a method to get back into an instagram account? I was dumb forgot the password. I would love any tricks you can give me.
@nakundwamkubwe78235 жыл бұрын
Hongerani Mashekhe wetu !! Allah awaongeze mzidi kuipigania Dini yetu! ! Inshallah
@SalumKhamis-2893 ай бұрын
Asante Shekhe Shafii Mungu akuzidishie elimu watu kama Hamza Wazalilike kwa kutaka kutujaribia Uislamu wetu.
@harrishussein69924 жыл бұрын
Wallah ustz shafii uko vizuri Allah akupe mwisho mwema wallah nakuelewa unachozungumza kimenyooka sana
@tumajunior60804 жыл бұрын
Shekh shafii mashaallah Allah akuzidishie elmu zaidi uokoe wiislam
@asilclub2 жыл бұрын
بارك الله فيك يا الشيخ شافي
@kibeginiblue71883 жыл бұрын
Mashaallah Sheikh Shafii
@whonshineargay48046 жыл бұрын
HAKIKA YA MAMBO NIKUA HUYO JAMA HAMZA ISSA NA MASAHABA ZAKE HAKIKA NI WAONGO KISHA JUWENI YAKWAMBA HAO WOTE WANALIPWA PESA NYINGI SANA NA WANA CHAMA CHAO NA HAO WOTE KWANZA SI WAISLMU MUJUE.HAO WAKO KAZINI WANALIPWA ILI KUUKOROGA UISLAAMU NA WANA PEWA MAFUNZO NA WAPO WENGI BAADAE WATAJITOKEZA TU, NA KUNAO WANAO PEWA MAFUNZO WAKIWA WATOTO PIA JUENI ENYI WAISLAAMU....LENGO KUU LAO NI KUIBADILISHA QUR'AN UL KAREEM.NA HAWATAEZA KATTU.
@ramadhanmussa6318
5 жыл бұрын
Hawataweza kuivuruga Quran ALLAH ameshaiprotect
@issaramadhan4015
2 жыл бұрын
Swadacta
@hassanabdalah8607
Жыл бұрын
Huyo ni kanyanga kashapotea
@absameosman91133 жыл бұрын
Hahhahahahaahaha sheikh wangu shafii umewamaliza.... Ety akajisema aliokoka na kapatizwa n maji mengi Alf saizi kajiita muislamu..... ustadhi Shafii your one of my loved sheikh....
@zaharanihassan90136 жыл бұрын
hapa nakula daku huku nawafatilia, kiukweli Allah awalipe kwa kazi nzito hio inayohitaji moyo na ujasir
@raiswamaraishalisi84265 жыл бұрын
Mnatisha ma hustadh wangu Shaffi na wengine vigogo vya ALLAH
@saidmbarouk35532 жыл бұрын
Allhamdulillah ALLAH akulinde na mitihani kaka yangu shekhe wangu shafi endeleni kulingalia dini ya ALLAH yeye ndiye atakae walipa lnssaallah
@asilclub2 жыл бұрын
ومن يبتغ غير الاسلام دينا فلن يقبل منه وفي الآخرة هو من الخاسرين
@enezermwafrica7443 Жыл бұрын
Kila Goti litapigwa na kila Ulimi utakiri kwamba Yesu ni Bwana
@mohammedrajabu74493 жыл бұрын
Masheikh. Ustadh Shaafi na Sheikh Diwani nakundi lenu( kutoa la Hamza kafiri Na kundi lake ). Allah awabaariki kwa kazi mnayo ifanya Jazaakallahu khaira 🙏 nduguzangu
@bahatihadijabahati74565 жыл бұрын
Mashaa Allah Mimi hata nawapenda Sana masheihk wetu huyo hamz atapoteza hao makafiri wenzak
@osamaalharthy4150
4 жыл бұрын
Shekhe. Shaffi mashallah. Umemwambi ukweli. HamzA
@maamasuli93516 жыл бұрын
Kweli mungu anamuongoza ampendae, Askof Hamza ni ibilisi
@OverdozClassic5 жыл бұрын
Ma sha Allah... wote tungekuwa kama wewe wallahi Uislam ungekuwa mbali sana
@hamisikulola84815 жыл бұрын
Asante ustadh shafi hawa mambumbu wa kawaida
@malicboy79735 жыл бұрын
Allah akuhifadhi shafi.. huyo Hamza njaa inamsumbua
@jamalbalozi2280
4 жыл бұрын
M
@myself41282 жыл бұрын
Waabudu Sanamu mnajifariji kweli...Kiarabu hakitowafikisha mbinguni...Mnaabudu jiwe kule Macca mnakoelekea wakati wa ibada!!!poleni
@martinmkoba3612 жыл бұрын
Kweli Yesu kitu kingine aisee waislamu wao kwa wao wanambishania Yesu leo hii
@amenaallahawazidishieumrin62353 жыл бұрын
MWENYEZIMUNGU awape umri mrefu mashed wetu na kumtetea mtukufu wa dara Ja pamoja na mola wetu kwa kusingiziwa mambo kama hayo mola awlipe pepo ishallah
@dezainermedia10354 жыл бұрын
Maashallah
@AhmedSaid-xz3kj3 жыл бұрын
Jazakallah kheir sheikh shafii na wenzako
@latinusjohny69062 жыл бұрын
Shafi haujibu hoja, na hujajibu hoja yoyote, unatoa maeleozo nnje ya hoja kuzungumza personal life na sio hoja za maswal ma 4 ya upande ulioulizwa..
@atinaminzani13726 жыл бұрын
Kristo anakuja na kila goti litapigwa......nyie bishana wee ila mwisho wa cku mtauelewa ukweli, sio kama hamjui mnajua ila bado mnaweka ugumu kwenye mioyo yenu...Kristo ni Mungu na anakuja hakika
@amdaniamimu9839
5 жыл бұрын
Wew ni kiazi nn
@roidatadey8656
5 жыл бұрын
Awa waislam watapata tabu sana wajinga awa yesu ni kila kitu
@financialloan9818
5 жыл бұрын
@@amdaniamimu9839 njia ni moja tuu yesu basi wengine aho wanapiga kelele tuu amna jipyaa
Hamza issa ubalikiwe sana kwajina LA Yesu piga injili hadi waislam waokoke wamjue Yesu ninani utakua umejivua waachie majini yao yawashike vizur
@fatumamwalimu5765
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣,hapa pia hujaelewa? Hamza ISSA anasema anakuja kanisani maana nyinyi hamumjui MUNGU wa kweli na wala hamna dini, leo unafurahia apa!!hakuna muislam atamfata huyu kafiri mwenyewe duniani hayupo na akhera unatafutwa
@zainabukhalifa39675 жыл бұрын
mashaalh ustadhi mungu akupe yaliwe mema
@AhmedSaid-xz3kj3 жыл бұрын
Allah ibarek sheikh shafi na wenzako
@soccertv2936 жыл бұрын
Mashekhe wavumilivu Hawa! Ningekua hapo ambulance inahusika kwahamnza Na watu wake
Ndugu zangu kiukweli tuka tufikirie sisi ni wanadamu ipo siku tutakufa na tutakwenda kusimama mbeli ya ALLAH
@absameosman91133 жыл бұрын
Tena lile suali nlitamani kuuliza Hamza y kwamba ka anajitangaza yy ni nabii wapi kitabu chake mungu alimpa.... Ustadh Shafi kauliza ht nliridhika
@mwanahamisyahya93545 жыл бұрын
Umenifundishi na umenifulahisha MUNGU akupaliki ln shaalaaah
@salmafaraj92936 жыл бұрын
Ustadh shafi maneno yk ishallah yawaingie nyoyoni mwao hao ni kweli akifika kanisani anasema haleluya alf anajifanya muislam mbona hawaambii km dini ya kweli ni uislam mnafik huyo sijui likoje hy nikafiri tu mana makafiri wanamiyoyo migumu sana
@kautharmarik8904
6 жыл бұрын
Salma Faraj eeeh eti!!kwann asiseme hko kanisan kuwa dini ya haki na ya kweli ni uislam..
@hassinarahbi352
6 жыл бұрын
Salma Faraj mwehu huyoo anawapotezea wakati
@khalidunited5978
6 жыл бұрын
Salma Faraj Allah akbar
@tommariam43936 жыл бұрын
Jamani masheikh na wanazuoni bado mnamlea lea huyo kafiri Asi aliposema yy ni nabii Eliyas ilikuwa imetosha kuachana nae.. lkn asitumie aya za Quran atafute kitabu chake aitumie na kuhubiria.
@kisaleking154
6 жыл бұрын
Yesu wa bibilia na issa wa Quran ni wawili tofauti piteni ktk maandiko mtagunduwa
@roidatadey8656
5 жыл бұрын
Wewe fala tu
@florrakaneza43886 жыл бұрын
Ukweri kama mimi na jua Yesu ndio njia
@salimmasongo2625
5 жыл бұрын
Safi
@hamzaadrin9416 жыл бұрын
shafii ha ha ha du we jamaa hapana mkali sana
@osamaalharthy4150
4 жыл бұрын
Hamza na wezako njaa. Zitawatia. Motoni
@mucaatycaiser68015 жыл бұрын
Hakika murtadi ndiye kafiri muhovu zaidi na hukumu yake ni kumuhua tu
@luluamin13886 жыл бұрын
Huyu MTU Kama nabii Tito nae pia awekwe ndani. Apimwe Na akili
@iddshabalehe7131
5 жыл бұрын
kwani wale wanaowapima mkojooo wapooo
@aleemaalrahbi3384 жыл бұрын
We kaka shafii wallah unaongea ukwel mtup lkn wanivunja mbav sio kwa manen hy unaympa 😂😂😂😂
@joshuatanzanite58712 жыл бұрын
Mlisema wote ni waislamu saiz mnawakataa hawa wabishi wanaokataa na kukubariii
@babylidyaandrea45686 жыл бұрын
Nakupenda sana Hamza Issa unaongea ukwer siku zote ukwer unauma wabishi hao achana nao twende kanisan mwaya
@nooor1120
3 жыл бұрын
Mchukue mkacheze kwaya
@huseinshedrack6180
Жыл бұрын
Hatuwez kuwa wote pepon wakat ww una muita kanisan wenzio tunatoka huko tunaufuata ukwel
@victordisper59836 жыл бұрын
Mungu akusaidie kidogo ustadhi...kwa maana busara name hekima huna
@jumaalhamid52423 жыл бұрын
Paulo hamza ni kichaa anatapatapa
@tumajunior60804 жыл бұрын
Nafurai nikikuona unajibu maswali wanigusa ndani yamoyo yani maustadh nawakubali mungu awalinde
@hassanimdimu80515 жыл бұрын
Innalilaah wainnailayh rajiun,hao hamza na wenzake ni makafiri,nahao sio waislamu
@shadrackmusyoka33505 жыл бұрын
kwa kweli watu wengi watateketea kwa kukosa hekima but MWENYEZI MUNGU atawafungua macho ya kirohoo ndugu zetu waislam kwasababu 90 percent yao wameposha na walimu watangulizi
@zenaabdala27765 жыл бұрын
avue hyo kanzu anadhalilisha uisilam
@sospeterezekiel72625 жыл бұрын
Wanamacho lakini hawaoni wana maskio lakini hawasikii ,,Mungu awasaidie ,Mungu hakuleta dini Mungu alileta mitume manabii MUNGU awaongoze mpate kujua nini kusudio lake Kwa wanadamu acheni usisi in bora kuliko wale kumbukeni bila wale hakuna mijadala
@yakobomkristo8722 жыл бұрын
Shafii Anasema Kuna Clip Kaiona Mtandaoni Hamza Anajinadi Kanisani Kuwa Ameokoka, Lakini Hapo Kwenye Mdahalo Hamza Anajiita Mwislamu, Mpaka Hapo Shafii Katuhakikishia Kwamba Mwislamu Hana Sifa Ya Kuokoka Bali Kuangamia, Na Kweli Wataangamia Quran 40 : 60
@israelimjema50015 жыл бұрын
Waislamu kama unaamini yesu alitenda miujiza akaondoka akaja muhamadi naye alitenda miujiza gani
@jaffaryramadhani14675 жыл бұрын
Petro katupoteza sana jamani mimi naamini mumgu wa waislam ndio mungu wa duniani na mbinguni kwa sabab cha kujiuliza kitu kidogo sana wakati muokozi wetu yesu tunayempa sifa ambayo sio yake alivyosulubiwa msalabani akafa sasa rizki alikuwa anatoa nani maana si tunaambiwa riziki anatoa mungu na mungu ndio kafa msalabani
@chefmasai20206 жыл бұрын
hayo makafiri yametumwa hapo yalipo yanalipwa. maisha ya duniani ni mafupi na malipo yake ni makubwa either ukufuru au ufanye mema. na Moto au pepo no ya milele. inalillah wainaillah rajoun kwa kina hamza
@rezikomer95522 жыл бұрын
Sheitwan ana watumishi wake kila upande
@enezermwafrica7443 Жыл бұрын
Mbona Story haina ballance? Story ya upande moja haitakiwi irushwe ni makosa!!! Mbona Hamza na wenzake hawajaongea?
@selemaniniyonkuru65764 жыл бұрын
Hhh kwel shafiii nakubali
@nyunhamkuki40115 жыл бұрын
Heri kukumbushwa kumrudia Mungu kuliko kujifanya kuwa uko na Mungu na kumbe ni ujinga mtupu.
@salehlofy42516 жыл бұрын
Kwa fikra zangu huyu HAMZA anatumiwa na wakristo kuharibu uislam lakn hatapata chochote zaidi ya kuadhirika kuaibika
@abdullahbizzo3342
5 жыл бұрын
Ni kweli bro hujakosea na ndo ilivo aswaaa huyu anatumiliwa na wakristo kichwa ngumu huyu km maaskofu wenziwe
@roidatadey8656
5 жыл бұрын
Wewe fala fanyeni yenu ya wakirsto ayawausu
@mwasitijumaarafa98053 ай бұрын
Mm nige kuwa karibu na hamuza hapo nige muvuwa vazi hilo lakisimal mujiga huyo sindo aliye kuwa ana tafusiti kisa cha yusu huyo hamuza ww unakitu unataka mugu akupe hamuza ww
KUMBE WAISLAM MNAKUBALI KWAMBA YESU ATARUUDI,QUARAN INANIFANYA NIZIDI KUMWAMINI YESU NA KUWA NIPO UPANDE SAHIHI.
@roidatadey8656
5 жыл бұрын
Ameni
@mohdshebe56404 жыл бұрын
Huyu Hamza anatafsir Quruani kwa mtazamo wake tuu siyo kama kitabu kinavyosema ,yaan ametawaliwa na fikra za watu wa magharibi Duhh subbhana Allah maan mpka kajiita mtume
@theodorythobius39656 жыл бұрын
Sura 3:55
@ramiahassani87506 жыл бұрын
Ila wameshajulikana hao ni wakristo wamejifunza na kuekti waislam!!
@sammarley1413
5 жыл бұрын
Ramia hao jama kuweni maco sio waislam bali nimakafiri kamili wanaopewa pesa naidara zakijasusi kutoka nci zawazungu iliwaanzishe uislam wakipotofu mana ulayakwao uislam unazidikukuwa kwakasi kubwa nawameona dawa waunde uislam ndani ya uislam kwakifupi nimakafiri kamili. Hapo alipo huyo hamza wKimoa quraan hawezi kusoma bali wanabaadhi yamistari waliokaririshwa tu. Msivunjike moyo Allah yupo nahiyo Israel nahuyo yesu wanae muimba fanyen subra kidogo. Mtaona matokeo yanayo furahisha nyoyo siku sinyingi insha Allah.
@deepestmathematics18882 ай бұрын
Shafi huyu ndo pumba kbisa hamna kitu baada ya kujib hoja anachekesha. Mwenyekit anaonekana kama kibaka
@asiakheir64066 жыл бұрын
Akiingia msikitini mpigeni mikwaju kafirihuyo
@mshengamshenga6432
6 жыл бұрын
Hamza muogope Mungu na acha kutafuta umaarufu, nenda mbele na kurudi nyuma ujue unapotea bila ya kujijua, nimekusikiliza sana sana, na kwa kauli yako ktk club moja ya huko ukonga inaonekana huswali swala 5 kwa mujibu wa maelezo yako, angalia sana usije ukapotea. wewe nikikusikiliza naelewa unachomaanisha lkn jua unachupa mipaka. Najua fika kuwa unaonekana kuwa unasikiliza saaana Lectures za Sheikh IMRAN HOUSSEIN, yule wa Trinidad and Tobago, yule jamaa mimi namsikiliza sana pia na inaonekana humuelewi hasa kwa elimu yako ndogo uliyo nayo, Imran Housein mimi namfuatilia huu mwaka wa 10, nasikiliza hoja zake hizo anazozungumzia za Akhiru Zama, na wewe umeichukua hii topic ya Islamic Eschatology kupitia mitandao na pia ujue kuna upotoshaji ambao wewe inaonekana huna uwezo wa kuuchambu, nimejiridhisha kuwa unamsikiliza Imran Housein hasa kwa jinsi unavoanza salutations zako ukianza kuhubiri na mada unazoongea, lkn jua Imran kabobea ktk ile fan na sometimes hutoa opinions zake yeye kama yeye ambozo hana tafsiri ya moja kwa moja kutoka vitabuni. Hamza hii bahar ya akhiru zaman ni kubwa kwako na itakupa shida, achana nayo kasome basic kwanza, wewe umeanza 2013 na unajiona una elimu kuliko watu wote tena ukichanganya na misifa yako ya KIHAYA, unapotea kaka muogope Mungu. Imran Housein hajafika ktk hatua uliyofika wewe hii ya kukuru waziwazi na kupinga aya za Qurani na kutafsiri kwa mawazo na matakwa yako ili tu ikubaliane na Wakristo, unakosea, nakueleza kama muislamu mwenzio rudi uangalie, Saa ya kurudi Issa mwana wa Maryam anaijua Allah, na usitake kulazimisha kuwa Ufisadi aliouzungumza Allah ndio huu unaousema wewe, fisadi zilikuwepo zamani na jua kuwa umri wa dunia ni siri na hayo mambo ya dalili za siku za mwisho ni siri za Allah Mwenyewe, kwa unavozungumza ni kama huyo Masih anateremka jesho, you are desperately watu wote wakusikilize na kuamini na ndio maana ukaona bado ukajipachika na unabii ili tu uvute attention ya watu, rudi nyuma na ufikiri isijekuwa shetani anakutumia na wewe umedanganyika na huyo Dajjal kwa kujiona una darja kubwa kumbe huna lolote. Imran anasema Dajjal ana PhD ya deception nadhani amekuingia na kukudanganya na kukutumia. Imrani mwenyewe nae anakumbwa na challenges kibao kutoka kwa masheikh wenziwe hasa kutokana na opinions zake anazotoa alishasema Dajjal hana miaka 10 atakuwa ameshakuja, nani anajua? hii ni sisri kama ilivyo siri ya kifo, tafakari sana na urudi umuombe Allah akusamehe na renounce hayo unayoyapotosha, wewe sio wa kuingia kanisani ukasema Jesus kasulubiwa na kauliwa, kwa kusema hivi umekataa Quran wazi wazi mana kwa kile kilichotojea msalabani pale siku ile ilikuwa ni test na majaribu makubwa kuwahi kutokea ktk historia ya mwanaadamu, hakuna aliyejua kilichotokea mpaka baada ya miaka 500 baadae Mwenyezi Mungu ndio analeta revealation kupitia Quaran kilichotokea, na walio amini pale mwanzo hawakuwa na makosa mpaka baada ya kuwajia ubainifu huu wa Quran, hili dogo pia hamza hulijui unachukua topic ya Islamic Eschatology unaiweza wapi wewe, chukua udhu ukaswali na urudi madrasa bado hujawa muhadhir Na unaswara huo sheikh ni Orthodox na sio Ukristo wa papa wa Roma unaoendana na Freemason wewe usiwe mjinga Na jee mbona na wewe unazikomalia hizo ayatu za mutashabihati na kuzitafsiri unavotaka? au ndio una lengo la kuua Uislamu? tazama usijeizima nru yako tu mana uislamu utabaki mana wenyewe umepata mapenzi ktk vifua vya watu? shida ya huyu jamaa ni kama ifuatavyo; anajigamba kuwa kapewa elimu ya Taawiil ambayo hupewa watu maalum na Mungu, siwezi kumkatalia kwa sababu Mungu humzawadia kitu amtakae, lkn namkatalia kama ifuatavyo; nmekuwa nikifuatilia Lectures za youtube za Msomi mmoja mbobezi wa Quran anaitwa Imran Housein, just google au ngoja nikupatie link hapa (kzread.info/dash/bejne/hqucxsWohsW2dbw.html) anzia hapo, anachokihubiri hamza anakopia kwa huyu jamaa herufi kwa herufi haf anajidai anajua taawil? ingelikuwa hakopii hapa OK, mimi Imran namfuatilia huu ni mwaka wa 10, na hajawahi kujiita Mtume, Huyu Hamza tatizo lake anatafuta utajo na umaarufu, na kitendo chake cha kuingia Kanisani mimi sikipingi but anachokifanya ni mtihani kwake pia mbali na waislamu wenziwe mana haonekani kuwaambia hao Wakristo kuwa anaemuamini Yesu Christo analazimika kumfuata Mtume Muhammad (SAW) kama alivosema Jesus mweneye? huyu anatafuta hizo mutashabihati na kuzitafsiri anavotaka, Imran huwa anasema yeye kuwa "in my Opinion" pale anapokosa hiyo tafsiri halisi ya kisasa lkn huyu anataka kulazimisha watu wafuate anachokiamini. unaposema Yesu amesulubuwa na ameuwawa pale basi moja kwa moja unaipinga Quran mana ndio iliyo-reveal haya, yeye ana ushahid upi sasa? na hakuna anaemkataa Jesus katika Waislamu, mana kwa Imani yetu ukimkataa ni ukafiri, na sio kumkataa yeye tu, bali kumkataa Nabii yoyote ni ukafiri kwetu, sasa hichi anachokitilia mkazo kwa Jesus nini goal yake ? maana Kila Muislamu anajua kuwa The Man will come at the very near end of World kila mtu mwenye basic ya dini anajua, na hatuhitaji Nabii kujua huili, what is the big deal kuhubiri Jesus sasa? as if anakuja kesho, kwa taarifa yako mjukuu wako anaweza pia asimuone hiyo ni siri Mungu kaweka. ninachomtaka a-renounce his prophethood wake na aseme mawaidha yake anatoa kwa Imran Housen na sio ya kwake na hana hiyo elimu ya Taawil. full stop
@mansourhamisimauldnuzuxhi2211
6 жыл бұрын
Ma sha Allah kwn shk shafy ww na dr sule n mandugu?ama jamaa mwasemaje!
@kabogosalumu8131
6 жыл бұрын
Asia kheir naam
@nakundwamkubwe7823
5 жыл бұрын
Haswaa!! Kafiri Hamza akapigwe matofali kabisaaa! !
@hamisikulola84815 жыл бұрын
yani maswali ya chekechea quran haijasema yesu ni mungu Kama waijua Quran 5:116 Quran 4:171 Quran 5:72-75.
@josephharri90156 жыл бұрын
Mtaelewa tu kuwa YESU NI BWANA
@hassankitende3056
4 жыл бұрын
Mimi pia bwana
@linahkikin25906 жыл бұрын
Hamza nimnafiki mwambiene kama anataka kua mkristo avue uislam tu awache kucheza na Quran na kuitafusiri kinyume kuwapoteza watu yeye aede uisla hautawai kufaa nduniani ndio kwa ajili yake tumeona wengi walipaka uislamu uowongo mwishowe walijoka na kama anaogwa na maskofu Allah awape adabu kali
@mwanahamisyahya93545 жыл бұрын
Hamza kamila inaiyogopa shafii ww simnafiki nimeipenda buleee
@soccertv2936 жыл бұрын
Et Mwalim Wangu hamza! Dah! Dogo umetekwa Na hamza unaakili kweli?
@elinathanmpigiye62986 жыл бұрын
Ukweli wa hamza utazihilika na pia namshukuru Mungu wa baba yetu kumupa elimu ya kuwaelimieha waisilamu.
@erastomajaliwa76296 жыл бұрын
Hizo nikelele tu ila ujumbe ndo huo usipo mkili kwamoyo na ulimi bwana mbingu siyako ujumbe umeshafika acheni ujanja ujanja wakuongeya Hamza pigakazi haupo mbali na ufalume wa mbinguni
@msellemsalim6906 жыл бұрын
Tatizo la HAMZA NI ELIM NDOGOO...
@bennymochiwa48004 жыл бұрын
mwenyekiti mjanjamjanja ila kajitahdi kiaina ku balance
@nooor11203 жыл бұрын
Nabii gani wewe kinywa kizito hata huwezi kutamka maneno ya Allah
Slimtabiri Muhammad saw bada ya yy kuondoka isa ni na bee si mmungu atakuja kupinga hilo kumuota yy mungu mmngu hazaliwi na isa ni kizazi cha ibrahim na ibrahim alimuabudu mmungu na yu kuanzisha mji wa Mecca kua mji wadini yy sliamrishwa aende huko na kujenga alcabah kiblah kwa dunia nzima imsujudie mmungummoja tu
@adammuki28315 жыл бұрын
Sio kigeugeu uyo chizi msenge anazingua
@AishaAli-ly3ev Жыл бұрын
hao wanafiki mwawaoji maswali ya nini hao wafaa bakora wapotoshaji tu
@nahishakiyesaid512 жыл бұрын
Mimi naona huyo Hamza alitumwa na njaa!!
@savege-zh8yk5 жыл бұрын
Hahahahaha nafuraisana Muhammed mwenye amesema yeye ni mfwasi number 1 wa Issa vip Muhammed awe chiniyake tena?
@D-Man.B-Free6 жыл бұрын
Akasilimu,
@jonathanmasu68036 жыл бұрын
Poleni sana waislam
@nsjjsjdjjdjd841
6 жыл бұрын
Jonathan Masu Nanyie poleni
@madammaggie7779
6 жыл бұрын
wenye macho nawaone Na wenye masikio wasikie. God show as holy way
@sultanhamad49244 жыл бұрын
Hata hilo jina la hamza naona kama mnalidhalilisha mtafutieni jina jingine lakini sio hamza huyo ni mkristo
@soccertv2936 жыл бұрын
We unajua hamza hamnazo ww unasema Mwalim wako kweli unaakili kweli
@biramsakh92125 жыл бұрын
Mnafiki uyo muongo haeleweki majnuni
@adammasunga63825 жыл бұрын
Hafu kweli waislam ni waongo mhamedi alikuwepo kindi cha kuja kwa yesu kama si kucopy ili wadanganye watu mshindwe ktk jina la YESU KRISTO
@bennymochiwa48004 жыл бұрын
tukubali tukatae hakuna nabii m'bora km nabii issa bin Mariamu, kuanzia kuzaliwa maisha yake mpk miujiza yake, na bado anarudi
@unknownafrica5568
2 жыл бұрын
Atarudi kupinga kimucha mungu kumuabudu yy yy ni na bee hata yy alimuomba mmungu amuokoe alizaliwa mungu anazaliwa mungu anapigwa mitume wote walipigwa namanisha si mungu ila ni mabee hao wote ni waislam wa mmungu mmoja na yy slimtabiri muhamad kuja bada yake na kusema ufatilie na muhamd ndio kitabu Kilicho kamilika hakichakachuliwi
Пікірлер: 357
Wallahi waislamu mwenyezi mungu awajaalie subra na mziidi kutumia hekima kujadiliana na wanafiki kama hawa, kwani mimi kama mtu aliyesilimu nazidi kupandwa na imani na kuthibitisha kuwa uislamu haukenezwa kwa upanga kama wanavosema makafiri Bali ni kwa hekima. Allah awazidishie naitwa Mustafa natokea huku Nairobi , Kenya.
Wewe Shaafii wewe,wallahi Mungu akuzidishie elimu ya hapa na huko na Mungu namuomba akupe Pepo wewe na sisi pia Shaafii. Fanya kazi ya daawa nasi tunayo huku kwetu.
@zuu__95
3 жыл бұрын
aamin yarabbilaalamin
@nolanandy4203
2 жыл бұрын
i dont mean to be so offtopic but does someone know of a method to get back into an instagram account? I was dumb forgot the password. I would love any tricks you can give me.
Hongerani Mashekhe wetu !! Allah awaongeze mzidi kuipigania Dini yetu! ! Inshallah
Asante Shekhe Shafii Mungu akuzidishie elimu watu kama Hamza Wazalilike kwa kutaka kutujaribia Uislamu wetu.
Wallah ustz shafii uko vizuri Allah akupe mwisho mwema wallah nakuelewa unachozungumza kimenyooka sana
Shekh shafii mashaallah Allah akuzidishie elmu zaidi uokoe wiislam
بارك الله فيك يا الشيخ شافي
Mashaallah Sheikh Shafii
HAKIKA YA MAMBO NIKUA HUYO JAMA HAMZA ISSA NA MASAHABA ZAKE HAKIKA NI WAONGO KISHA JUWENI YAKWAMBA HAO WOTE WANALIPWA PESA NYINGI SANA NA WANA CHAMA CHAO NA HAO WOTE KWANZA SI WAISLMU MUJUE.HAO WAKO KAZINI WANALIPWA ILI KUUKOROGA UISLAAMU NA WANA PEWA MAFUNZO NA WAPO WENGI BAADAE WATAJITOKEZA TU, NA KUNAO WANAO PEWA MAFUNZO WAKIWA WATOTO PIA JUENI ENYI WAISLAAMU....LENGO KUU LAO NI KUIBADILISHA QUR'AN UL KAREEM.NA HAWATAEZA KATTU.
@ramadhanmussa6318
5 жыл бұрын
Hawataweza kuivuruga Quran ALLAH ameshaiprotect
@issaramadhan4015
2 жыл бұрын
Swadacta
@hassanabdalah8607
Жыл бұрын
Huyo ni kanyanga kashapotea
Hahhahahahaahaha sheikh wangu shafii umewamaliza.... Ety akajisema aliokoka na kapatizwa n maji mengi Alf saizi kajiita muislamu..... ustadhi Shafii your one of my loved sheikh....
hapa nakula daku huku nawafatilia, kiukweli Allah awalipe kwa kazi nzito hio inayohitaji moyo na ujasir
Mnatisha ma hustadh wangu Shaffi na wengine vigogo vya ALLAH
Allhamdulillah ALLAH akulinde na mitihani kaka yangu shekhe wangu shafi endeleni kulingalia dini ya ALLAH yeye ndiye atakae walipa lnssaallah
ومن يبتغ غير الاسلام دينا فلن يقبل منه وفي الآخرة هو من الخاسرين
Kila Goti litapigwa na kila Ulimi utakiri kwamba Yesu ni Bwana
Masheikh. Ustadh Shaafi na Sheikh Diwani nakundi lenu( kutoa la Hamza kafiri Na kundi lake ). Allah awabaariki kwa kazi mnayo ifanya Jazaakallahu khaira 🙏 nduguzangu
Mashaa Allah Mimi hata nawapenda Sana masheihk wetu huyo hamz atapoteza hao makafiri wenzak
@osamaalharthy4150
4 жыл бұрын
Shekhe. Shaffi mashallah. Umemwambi ukweli. HamzA
Kweli mungu anamuongoza ampendae, Askof Hamza ni ibilisi
Ma sha Allah... wote tungekuwa kama wewe wallahi Uislam ungekuwa mbali sana
Asante ustadh shafi hawa mambumbu wa kawaida
Allah akuhifadhi shafi.. huyo Hamza njaa inamsumbua
@jamalbalozi2280
4 жыл бұрын
M
Waabudu Sanamu mnajifariji kweli...Kiarabu hakitowafikisha mbinguni...Mnaabudu jiwe kule Macca mnakoelekea wakati wa ibada!!!poleni
Kweli Yesu kitu kingine aisee waislamu wao kwa wao wanambishania Yesu leo hii
MWENYEZIMUNGU awape umri mrefu mashed wetu na kumtetea mtukufu wa dara Ja pamoja na mola wetu kwa kusingiziwa mambo kama hayo mola awlipe pepo ishallah
Maashallah
Jazakallah kheir sheikh shafii na wenzako
Shafi haujibu hoja, na hujajibu hoja yoyote, unatoa maeleozo nnje ya hoja kuzungumza personal life na sio hoja za maswal ma 4 ya upande ulioulizwa..
Kristo anakuja na kila goti litapigwa......nyie bishana wee ila mwisho wa cku mtauelewa ukweli, sio kama hamjui mnajua ila bado mnaweka ugumu kwenye mioyo yenu...Kristo ni Mungu na anakuja hakika
@amdaniamimu9839
5 жыл бұрын
Wew ni kiazi nn
@roidatadey8656
5 жыл бұрын
Awa waislam watapata tabu sana wajinga awa yesu ni kila kitu
@financialloan9818
5 жыл бұрын
@@amdaniamimu9839 njia ni moja tuu yesu basi wengine aho wanapiga kelele tuu amna jipyaa
@omarykatongo4943
5 жыл бұрын
Ina ilah wa ina lillah rajiun
@bxgdhydydh6505
5 жыл бұрын
Moto unawasubiri wana yesu kwa kufata njia potovu
Ustadhi shafiiii m.mungu akuzidishie umriii inshaallah
Hamza issa ubalikiwe sana kwajina LA Yesu piga injili hadi waislam waokoke wamjue Yesu ninani utakua umejivua waachie majini yao yawashike vizur
@fatumamwalimu5765
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣,hapa pia hujaelewa? Hamza ISSA anasema anakuja kanisani maana nyinyi hamumjui MUNGU wa kweli na wala hamna dini, leo unafurahia apa!!hakuna muislam atamfata huyu kafiri mwenyewe duniani hayupo na akhera unatafutwa
mashaalh ustadhi mungu akupe yaliwe mema
Allah ibarek sheikh shafi na wenzako
Mashekhe wavumilivu Hawa! Ningekua hapo ambulance inahusika kwahamnza Na watu wake
@nooor1120
3 жыл бұрын
Kweli eee hhhhhh hata mie
mashaallah sheikh shafi mfahamishe mshenzi huyo.akizidi mzabe makofi
@omarymbalala6224
6 жыл бұрын
😂😂😂😂
Ndugu zangu kiukweli tuka tufikirie sisi ni wanadamu ipo siku tutakufa na tutakwenda kusimama mbeli ya ALLAH
Tena lile suali nlitamani kuuliza Hamza y kwamba ka anajitangaza yy ni nabii wapi kitabu chake mungu alimpa.... Ustadh Shafi kauliza ht nliridhika
Umenifundishi na umenifulahisha MUNGU akupaliki ln shaalaaah
Ustadh shafi maneno yk ishallah yawaingie nyoyoni mwao hao ni kweli akifika kanisani anasema haleluya alf anajifanya muislam mbona hawaambii km dini ya kweli ni uislam mnafik huyo sijui likoje hy nikafiri tu mana makafiri wanamiyoyo migumu sana
@kautharmarik8904
6 жыл бұрын
Salma Faraj eeeh eti!!kwann asiseme hko kanisan kuwa dini ya haki na ya kweli ni uislam..
@hassinarahbi352
6 жыл бұрын
Salma Faraj mwehu huyoo anawapotezea wakati
@khalidunited5978
6 жыл бұрын
Salma Faraj Allah akbar
Jamani masheikh na wanazuoni bado mnamlea lea huyo kafiri Asi aliposema yy ni nabii Eliyas ilikuwa imetosha kuachana nae.. lkn asitumie aya za Quran atafute kitabu chake aitumie na kuhubiria.
@kisaleking154
6 жыл бұрын
Yesu wa bibilia na issa wa Quran ni wawili tofauti piteni ktk maandiko mtagunduwa
@roidatadey8656
5 жыл бұрын
Wewe fala tu
Ukweri kama mimi na jua Yesu ndio njia
@salimmasongo2625
5 жыл бұрын
Safi
shafii ha ha ha du we jamaa hapana mkali sana
@osamaalharthy4150
4 жыл бұрын
Hamza na wezako njaa. Zitawatia. Motoni
Hakika murtadi ndiye kafiri muhovu zaidi na hukumu yake ni kumuhua tu
Huyu MTU Kama nabii Tito nae pia awekwe ndani. Apimwe Na akili
@iddshabalehe7131
5 жыл бұрын
kwani wale wanaowapima mkojooo wapooo
We kaka shafii wallah unaongea ukwel mtup lkn wanivunja mbav sio kwa manen hy unaympa 😂😂😂😂
Mlisema wote ni waislamu saiz mnawakataa hawa wabishi wanaokataa na kukubariii
Nakupenda sana Hamza Issa unaongea ukwer siku zote ukwer unauma wabishi hao achana nao twende kanisan mwaya
@nooor1120
3 жыл бұрын
Mchukue mkacheze kwaya
@huseinshedrack6180
Жыл бұрын
Hatuwez kuwa wote pepon wakat ww una muita kanisan wenzio tunatoka huko tunaufuata ukwel
Mungu akusaidie kidogo ustadhi...kwa maana busara name hekima huna
Paulo hamza ni kichaa anatapatapa
Nafurai nikikuona unajibu maswali wanigusa ndani yamoyo yani maustadh nawakubali mungu awalinde
Innalilaah wainnailayh rajiun,hao hamza na wenzake ni makafiri,nahao sio waislamu
kwa kweli watu wengi watateketea kwa kukosa hekima but MWENYEZI MUNGU atawafungua macho ya kirohoo ndugu zetu waislam kwasababu 90 percent yao wameposha na walimu watangulizi
avue hyo kanzu anadhalilisha uisilam
Wanamacho lakini hawaoni wana maskio lakini hawasikii ,,Mungu awasaidie ,Mungu hakuleta dini Mungu alileta mitume manabii MUNGU awaongoze mpate kujua nini kusudio lake Kwa wanadamu acheni usisi in bora kuliko wale kumbukeni bila wale hakuna mijadala
Shafii Anasema Kuna Clip Kaiona Mtandaoni Hamza Anajinadi Kanisani Kuwa Ameokoka, Lakini Hapo Kwenye Mdahalo Hamza Anajiita Mwislamu, Mpaka Hapo Shafii Katuhakikishia Kwamba Mwislamu Hana Sifa Ya Kuokoka Bali Kuangamia, Na Kweli Wataangamia Quran 40 : 60
Waislamu kama unaamini yesu alitenda miujiza akaondoka akaja muhamadi naye alitenda miujiza gani
Petro katupoteza sana jamani mimi naamini mumgu wa waislam ndio mungu wa duniani na mbinguni kwa sabab cha kujiuliza kitu kidogo sana wakati muokozi wetu yesu tunayempa sifa ambayo sio yake alivyosulubiwa msalabani akafa sasa rizki alikuwa anatoa nani maana si tunaambiwa riziki anatoa mungu na mungu ndio kafa msalabani
hayo makafiri yametumwa hapo yalipo yanalipwa. maisha ya duniani ni mafupi na malipo yake ni makubwa either ukufuru au ufanye mema. na Moto au pepo no ya milele. inalillah wainaillah rajoun kwa kina hamza
Sheitwan ana watumishi wake kila upande
Mbona Story haina ballance? Story ya upande moja haitakiwi irushwe ni makosa!!! Mbona Hamza na wenzake hawajaongea?
Hhh kwel shafiii nakubali
Heri kukumbushwa kumrudia Mungu kuliko kujifanya kuwa uko na Mungu na kumbe ni ujinga mtupu.
Kwa fikra zangu huyu HAMZA anatumiwa na wakristo kuharibu uislam lakn hatapata chochote zaidi ya kuadhirika kuaibika
@abdullahbizzo3342
5 жыл бұрын
Ni kweli bro hujakosea na ndo ilivo aswaaa huyu anatumiliwa na wakristo kichwa ngumu huyu km maaskofu wenziwe
@roidatadey8656
5 жыл бұрын
Wewe fala fanyeni yenu ya wakirsto ayawausu
Mm nige kuwa karibu na hamuza hapo nige muvuwa vazi hilo lakisimal mujiga huyo sindo aliye kuwa ana tafusiti kisa cha yusu huyo hamuza ww unakitu unataka mugu akupe hamuza ww
Wallah thumma wallah huyu Mimi ningekuwepo hapa huyu ningempa hata sumu
@nooor1120
3 жыл бұрын
Huruhusiwi kuua kwenye uislam hhhh
Qruhan huwezi kuitumia zaidi ya biblia ndiyo mwongozo mkuu wa imani ya wakristo na si qruhan badili useni wako
Weweje sokigeugeu uislam din ya Majin din ya washirikina din ya wauaji dinyakugombea maslai din yakuombea Majin shafii hunalolote
Uzuri mada mnazijibu kwa Qro,un hivyo tu mnavyomtaja Yesu sisi kwetu wakristo ni USHINDI mkubwa maana yeye ndie mwanzo na mwisho
Hao wakina Hamza msiwape kiki Kama washaritadi waacheni elimu yao yenyewe ndogo..
Waidhaa lakuladhiina aaamanuu kaluu aamanaa waidhaa khalau ilaa shayaatwiinihim kaluu innaa maakum inamaa nahnu muhtahziuun...
KUMBE WAISLAM MNAKUBALI KWAMBA YESU ATARUUDI,QUARAN INANIFANYA NIZIDI KUMWAMINI YESU NA KUWA NIPO UPANDE SAHIHI.
@roidatadey8656
5 жыл бұрын
Ameni
Huyu Hamza anatafsir Quruani kwa mtazamo wake tuu siyo kama kitabu kinavyosema ,yaan ametawaliwa na fikra za watu wa magharibi Duhh subbhana Allah maan mpka kajiita mtume
Sura 3:55
Ila wameshajulikana hao ni wakristo wamejifunza na kuekti waislam!!
@sammarley1413
5 жыл бұрын
Ramia hao jama kuweni maco sio waislam bali nimakafiri kamili wanaopewa pesa naidara zakijasusi kutoka nci zawazungu iliwaanzishe uislam wakipotofu mana ulayakwao uislam unazidikukuwa kwakasi kubwa nawameona dawa waunde uislam ndani ya uislam kwakifupi nimakafiri kamili. Hapo alipo huyo hamza wKimoa quraan hawezi kusoma bali wanabaadhi yamistari waliokaririshwa tu. Msivunjike moyo Allah yupo nahiyo Israel nahuyo yesu wanae muimba fanyen subra kidogo. Mtaona matokeo yanayo furahisha nyoyo siku sinyingi insha Allah.
Shafi huyu ndo pumba kbisa hamna kitu baada ya kujib hoja anachekesha. Mwenyekit anaonekana kama kibaka
Akiingia msikitini mpigeni mikwaju kafirihuyo
@mshengamshenga6432
6 жыл бұрын
Hamza muogope Mungu na acha kutafuta umaarufu, nenda mbele na kurudi nyuma ujue unapotea bila ya kujijua, nimekusikiliza sana sana, na kwa kauli yako ktk club moja ya huko ukonga inaonekana huswali swala 5 kwa mujibu wa maelezo yako, angalia sana usije ukapotea. wewe nikikusikiliza naelewa unachomaanisha lkn jua unachupa mipaka. Najua fika kuwa unaonekana kuwa unasikiliza saaana Lectures za Sheikh IMRAN HOUSSEIN, yule wa Trinidad and Tobago, yule jamaa mimi namsikiliza sana pia na inaonekana humuelewi hasa kwa elimu yako ndogo uliyo nayo, Imran Housein mimi namfuatilia huu mwaka wa 10, nasikiliza hoja zake hizo anazozungumzia za Akhiru Zama, na wewe umeichukua hii topic ya Islamic Eschatology kupitia mitandao na pia ujue kuna upotoshaji ambao wewe inaonekana huna uwezo wa kuuchambu, nimejiridhisha kuwa unamsikiliza Imran Housein hasa kwa jinsi unavoanza salutations zako ukianza kuhubiri na mada unazoongea, lkn jua Imran kabobea ktk ile fan na sometimes hutoa opinions zake yeye kama yeye ambozo hana tafsiri ya moja kwa moja kutoka vitabuni. Hamza hii bahar ya akhiru zaman ni kubwa kwako na itakupa shida, achana nayo kasome basic kwanza, wewe umeanza 2013 na unajiona una elimu kuliko watu wote tena ukichanganya na misifa yako ya KIHAYA, unapotea kaka muogope Mungu. Imran Housein hajafika ktk hatua uliyofika wewe hii ya kukuru waziwazi na kupinga aya za Qurani na kutafsiri kwa mawazo na matakwa yako ili tu ikubaliane na Wakristo, unakosea, nakueleza kama muislamu mwenzio rudi uangalie, Saa ya kurudi Issa mwana wa Maryam anaijua Allah, na usitake kulazimisha kuwa Ufisadi aliouzungumza Allah ndio huu unaousema wewe, fisadi zilikuwepo zamani na jua kuwa umri wa dunia ni siri na hayo mambo ya dalili za siku za mwisho ni siri za Allah Mwenyewe, kwa unavozungumza ni kama huyo Masih anateremka jesho, you are desperately watu wote wakusikilize na kuamini na ndio maana ukaona bado ukajipachika na unabii ili tu uvute attention ya watu, rudi nyuma na ufikiri isijekuwa shetani anakutumia na wewe umedanganyika na huyo Dajjal kwa kujiona una darja kubwa kumbe huna lolote. Imran anasema Dajjal ana PhD ya deception nadhani amekuingia na kukudanganya na kukutumia. Imrani mwenyewe nae anakumbwa na challenges kibao kutoka kwa masheikh wenziwe hasa kutokana na opinions zake anazotoa alishasema Dajjal hana miaka 10 atakuwa ameshakuja, nani anajua? hii ni sisri kama ilivyo siri ya kifo, tafakari sana na urudi umuombe Allah akusamehe na renounce hayo unayoyapotosha, wewe sio wa kuingia kanisani ukasema Jesus kasulubiwa na kauliwa, kwa kusema hivi umekataa Quran wazi wazi mana kwa kile kilichotojea msalabani pale siku ile ilikuwa ni test na majaribu makubwa kuwahi kutokea ktk historia ya mwanaadamu, hakuna aliyejua kilichotokea mpaka baada ya miaka 500 baadae Mwenyezi Mungu ndio analeta revealation kupitia Quaran kilichotokea, na walio amini pale mwanzo hawakuwa na makosa mpaka baada ya kuwajia ubainifu huu wa Quran, hili dogo pia hamza hulijui unachukua topic ya Islamic Eschatology unaiweza wapi wewe, chukua udhu ukaswali na urudi madrasa bado hujawa muhadhir Na unaswara huo sheikh ni Orthodox na sio Ukristo wa papa wa Roma unaoendana na Freemason wewe usiwe mjinga Na jee mbona na wewe unazikomalia hizo ayatu za mutashabihati na kuzitafsiri unavotaka? au ndio una lengo la kuua Uislamu? tazama usijeizima nru yako tu mana uislamu utabaki mana wenyewe umepata mapenzi ktk vifua vya watu? shida ya huyu jamaa ni kama ifuatavyo; anajigamba kuwa kapewa elimu ya Taawiil ambayo hupewa watu maalum na Mungu, siwezi kumkatalia kwa sababu Mungu humzawadia kitu amtakae, lkn namkatalia kama ifuatavyo; nmekuwa nikifuatilia Lectures za youtube za Msomi mmoja mbobezi wa Quran anaitwa Imran Housein, just google au ngoja nikupatie link hapa (kzread.info/dash/bejne/hqucxsWohsW2dbw.html) anzia hapo, anachokihubiri hamza anakopia kwa huyu jamaa herufi kwa herufi haf anajidai anajua taawil? ingelikuwa hakopii hapa OK, mimi Imran namfuatilia huu ni mwaka wa 10, na hajawahi kujiita Mtume, Huyu Hamza tatizo lake anatafuta utajo na umaarufu, na kitendo chake cha kuingia Kanisani mimi sikipingi but anachokifanya ni mtihani kwake pia mbali na waislamu wenziwe mana haonekani kuwaambia hao Wakristo kuwa anaemuamini Yesu Christo analazimika kumfuata Mtume Muhammad (SAW) kama alivosema Jesus mweneye? huyu anatafuta hizo mutashabihati na kuzitafsiri anavotaka, Imran huwa anasema yeye kuwa "in my Opinion" pale anapokosa hiyo tafsiri halisi ya kisasa lkn huyu anataka kulazimisha watu wafuate anachokiamini. unaposema Yesu amesulubuwa na ameuwawa pale basi moja kwa moja unaipinga Quran mana ndio iliyo-reveal haya, yeye ana ushahid upi sasa? na hakuna anaemkataa Jesus katika Waislamu, mana kwa Imani yetu ukimkataa ni ukafiri, na sio kumkataa yeye tu, bali kumkataa Nabii yoyote ni ukafiri kwetu, sasa hichi anachokitilia mkazo kwa Jesus nini goal yake ? maana Kila Muislamu anajua kuwa The Man will come at the very near end of World kila mtu mwenye basic ya dini anajua, na hatuhitaji Nabii kujua huili, what is the big deal kuhubiri Jesus sasa? as if anakuja kesho, kwa taarifa yako mjukuu wako anaweza pia asimuone hiyo ni siri Mungu kaweka. ninachomtaka a-renounce his prophethood wake na aseme mawaidha yake anatoa kwa Imran Housen na sio ya kwake na hana hiyo elimu ya Taawil. full stop
@mansourhamisimauldnuzuxhi2211
6 жыл бұрын
Ma sha Allah kwn shk shafy ww na dr sule n mandugu?ama jamaa mwasemaje!
@kabogosalumu8131
6 жыл бұрын
Asia kheir naam
@nakundwamkubwe7823
5 жыл бұрын
Haswaa!! Kafiri Hamza akapigwe matofali kabisaaa! !
yani maswali ya chekechea quran haijasema yesu ni mungu Kama waijua Quran 5:116 Quran 4:171 Quran 5:72-75.
Mtaelewa tu kuwa YESU NI BWANA
@hassankitende3056
4 жыл бұрын
Mimi pia bwana
Hamza nimnafiki mwambiene kama anataka kua mkristo avue uislam tu awache kucheza na Quran na kuitafusiri kinyume kuwapoteza watu yeye aede uisla hautawai kufaa nduniani ndio kwa ajili yake tumeona wengi walipaka uislamu uowongo mwishowe walijoka na kama anaogwa na maskofu Allah awape adabu kali
Hamza kamila inaiyogopa shafii ww simnafiki nimeipenda buleee
Et Mwalim Wangu hamza! Dah! Dogo umetekwa Na hamza unaakili kweli?
Ukweli wa hamza utazihilika na pia namshukuru Mungu wa baba yetu kumupa elimu ya kuwaelimieha waisilamu.
Hizo nikelele tu ila ujumbe ndo huo usipo mkili kwamoyo na ulimi bwana mbingu siyako ujumbe umeshafika acheni ujanja ujanja wakuongeya Hamza pigakazi haupo mbali na ufalume wa mbinguni
Tatizo la HAMZA NI ELIM NDOGOO...
mwenyekiti mjanjamjanja ila kajitahdi kiaina ku balance
Nabii gani wewe kinywa kizito hata huwezi kutamka maneno ya Allah
Duuuu mnatuelimisha sanaaaa
Swadakta she shaafiii
Guyo hamza apigwe lisasi afe
Yesu haliondoka hakawambia ninawachia roo mutakatifu swani nimutume naomba jibu waisilamu
@unknownafrica5568
2 жыл бұрын
Slimtabiri Muhammad saw bada ya yy kuondoka isa ni na bee si mmungu atakuja kupinga hilo kumuota yy mungu mmngu hazaliwi na isa ni kizazi cha ibrahim na ibrahim alimuabudu mmungu na yu kuanzisha mji wa Mecca kua mji wadini yy sliamrishwa aende huko na kujenga alcabah kiblah kwa dunia nzima imsujudie mmungummoja tu
Sio kigeugeu uyo chizi msenge anazingua
hao wanafiki mwawaoji maswali ya nini hao wafaa bakora wapotoshaji tu
Mimi naona huyo Hamza alitumwa na njaa!!
Hahahahaha nafuraisana Muhammed mwenye amesema yeye ni mfwasi number 1 wa Issa vip Muhammed awe chiniyake tena?
Akasilimu,
Poleni sana waislam
@nsjjsjdjjdjd841
6 жыл бұрын
Jonathan Masu Nanyie poleni
@madammaggie7779
6 жыл бұрын
wenye macho nawaone Na wenye masikio wasikie. God show as holy way
Hata hilo jina la hamza naona kama mnalidhalilisha mtafutieni jina jingine lakini sio hamza huyo ni mkristo
We unajua hamza hamnazo ww unasema Mwalim wako kweli unaakili kweli
Mnafiki uyo muongo haeleweki majnuni
Hafu kweli waislam ni waongo mhamedi alikuwepo kindi cha kuja kwa yesu kama si kucopy ili wadanganye watu mshindwe ktk jina la YESU KRISTO
tukubali tukatae hakuna nabii m'bora km nabii issa bin Mariamu, kuanzia kuzaliwa maisha yake mpk miujiza yake, na bado anarudi
@unknownafrica5568
2 жыл бұрын
Atarudi kupinga kimucha mungu kumuabudu yy yy ni na bee hata yy alimuomba mmungu amuokoe alizaliwa mungu anazaliwa mungu anapigwa mitume wote walipigwa namanisha si mungu ila ni mabee hao wote ni waislam wa mmungu mmoja na yy slimtabiri muhamad kuja bada yake na kusema ufatilie na muhamd ndio kitabu Kilicho kamilika hakichakachuliwi