Hamza issa asambaratishwa na hoja zake za kikafiri Sehem ya kwanza
Ally m rehani
Жүктеу.....
Пікірлер: 123
@Sportsspark2454 ай бұрын
Wapinga kristo siku zote hawawezi kukuelewa shekh Omari
@hawachilemba25622 жыл бұрын
Ni kwel wayahudi walimkana Yesu. Hatushangai.
@estherwamboi7683 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂huyu wa kitenge anachekesha kweli heti Mohammed ni mkubwa kuliko yesu Jehovah 😂😂😂😂waaaah watu wamepotea kweli
@jamalkishangu2 жыл бұрын
Mungu amsamehe anaengia katika bahari hali hajui kuogelea hata kidogo.
@motivumotivunbktv44093 ай бұрын
Mashallah ustadh kazi nzuri sana
@saidsuleiman17532 жыл бұрын
Uzuri wa kuwa Muislam ni kwamba hata kama hujasoma dini ila ukawa ni mtu wa kusikiliza mihadhara ya hapa na pale basi hutoyumbishwa na wazushi kama Hamza. Ila kila elimu ya dini huna na si mtu wa kusikiliza mawaidha huyu Hamza anaweza kukuyumbisha. Ndio maana Muislam ameshurtishwa kusoma.
@najaasalim8942
2 жыл бұрын
ان لله وان اليه راجعون sina ilimu ya kutosha lkn kimtazamo wangu alpokua snasoma dini ya kiislamu slkua ana malengo yake km ametumwa na makrsto kuchafua basi allah ndie mkubwa mungu atufushe hali ya kua ni waislamu amiin
@najibsalim3835
2 жыл бұрын
Hamza ni nguruwe
@ABUUALLY-tv8rl
3 ай бұрын
Kuamini kwamba yesu kafa msalabani wewe si muislamu Bali wewe ni mkiristo acha kujiveshaa nguo za kiislamu kutaka kupotoa waislamu,yaani nyinyi ndio munaotumwa kuja kuvuruga uislamu wallahi Lau ningelikuwa ni mtawala basi ningekata shingo yako
@PhilipobonifacSado3 ай бұрын
Nivomuelewa shehe amza kuruan nimuongizo ya watuwote kwamana erim yakuishi kwakumpendeza mungu nayesu alikuja kwaajili ya ukombozi wa zambi nandomana asiemuamin yeye awezi kufika pepon
@kabarezephanie35732 жыл бұрын
Yesu Cristo akuwe nanyu
@joashwambua99883 жыл бұрын
Maelezeo yako kuhusu yesu kuwa ni neno la mungu haikuridhisha! Kila mwenye makini ameweza kuhisi hilo!!!
YESU PEKEE NDIYO ATAMSHINDA MPINGA KRISTO WALA SI MUHAMMAD SASA UNACHUKIA NIN MBONA UNAMKATAA ALIYE ANDIKWA KWENYE QURAN ACHENI KUJIFANYA MACHIZI HAKIKA NAWAAMBIENI MNAMCHUKIZA SANA MUNGU NA DUNIA ITAWAPIGA.
@gabrielsaelie809125 күн бұрын
Kwa jinsi hii, Mwenyezi MUNGU aliupenda Ulimwengu, hata akamtwa MWANAYE pekee ili kila amwaminiye ewe na uzima wa milele. Kwa maana Mwenyezi MUNGU hukumtuma YESU KRISTO kuja kuhukumu ulimwengu bali ulimwengu uokolewe kupitia kafara yake ya Msalaba. (Yohana 3: 16 -17) Mantiki ipo hivi: Hapo zamani binadamu wote walikuwa na HATIA/DHAMBI waliyoithi kutoka kwa Mzazi wetu Adamu na wakakosa HAKI kumwona Mungu. Lakini kupitia kafara ya Msalabani ya mwenye HAKI Yesu Kristo wanadamu wote wamendolewa ile HATIA ya Adamu na kuwapa haki ya kufanyika watoto wa Mungu. WITO: WAMINI YESU KRISTO ILI UONDOLEWE HATIA YA MILELE NA USAMEWE DHAMBI ZAKO.
@PhilipobonifacSado3 ай бұрын
Kama muhamadi anajua uchawa atawaombea kwA yesu mukakae karibu yake mnaongea ushabiki❤
@bryson0772 Жыл бұрын
Huyo shekhe wa mwsho alovaa kitenge ndo muongo na anaforce vtu,, hv mtume aseme yy ndo mkubwa kuliko issa huo n uongo mkubwa kama yeye ni mtume na yesu n mja wa Mungu tu na yy ndo mkubwa kuliko yesu kwa nn mwishowe akili kuwa yesu ndo atarudi kuhukumu ulimwengu? Akili nyepesi tu kuelewa ukiweka udini pembeni✍
@othmanmuna31154 жыл бұрын
Innalillah wainaillaih rajiwn
@omariddi Жыл бұрын
Mtume Muhammad S. W. A ndio mtume wa ulimwengu wote Isa bin Maryam kwa ajili ya mayahudi t
@salangtvone
4 ай бұрын
Sasa wew unakataa yesu si mkombozi wa ulimwengu akija mpinga kristo muhammad atamzuia yeye au yesu?
@deepestmathematics18883 ай бұрын
Shekhe kazingua kusema mtume Mohammed ni bora kuliko isa
@GozibathCravery3 ай бұрын
Kosa kubwa ukilifanya usisamehewe nikukana mwenyezi mungu:
@daniellourencojaime Жыл бұрын
Amém 🇲🇿🇲🇿🙏
@yusuphrajabu67282 жыл бұрын
Uyo ni shetani kaja kwa steili hiyo kupotosha watu!!?!
@annymacher3829
4 ай бұрын
Ww soma Quran vizur kuhusu Yesu
@Kassa-fl3yh3 ай бұрын
Naomba kuwauliza. Muhammad Alikua ni Muarabu. Yesu alikua ni mzungu. Jee nabiiwetu sisiwatu weusi Nabii wetu ninani?. Nikwanini tunalazimika kusoma kiarabu kama luhayatu ni kwanini
@lalyabbas88613 ай бұрын
Huyu hamza atakiwa apige shahada tena la sivyo ataenda adhibiwa kesho
@King_Of_Everything24 күн бұрын
👍✌️👊.
@sizasaidi6715 Жыл бұрын
A sio waislamu kbs
@abuuayman83433 жыл бұрын
webaba mche Allah usidanga nyike napumzi
@Kassa-fl3yh3 ай бұрын
Mimi ninaamini kabisa Muhammad ni mjumbe wa mwenyezi mungu. Kama mtume alisema Yaya nizaidi ya nabii issa.ilo Mimi kama mwislamu nakataa. Nabii ISSA nizaidi ya Muhammad.
@deepestmathematics1888
3 ай бұрын
Isa ni bora kuliko wote. Tupo pamoja
@soberkaleya51482 жыл бұрын
Yohana 12:28 Baba, ulitukuze jina lako. Basi ikaja sauti kutoka mbinguni, Nimelitukuza, nami nitalitukuza tena.*TULITUKUZE JINA LA MUNGU TENA NA TENA! TUDUMISHE MAOMBI NA KUTAFAKARI NENO KILA WAKATI!*
@abordecapester9086
Жыл бұрын
Baba unitukuze Ili nawe upate kutukzwa
@patrickmbanya83352 жыл бұрын
Ukweli ushikiliswe
@HassanSalim-hl8qs6 ай бұрын
Diwani sio wab'nu ummatihi ni hivi wab'nu amatihi
@user-rg5us1xc1k3 ай бұрын
Iyo ni njaa awo wanatafuta musada
@user-jq9uz8sn4c4 ай бұрын
Uyu sheikh ni msenge tu .
@annymacher3829
4 ай бұрын
Mpka hapa we n jehanam kwann unatukana
@mohamedmusa22794 жыл бұрын
Nikuliza 2 hao watu nyuma ya Nabbi Bonoko ndio Maswahaba?
@othmanmuna3115
4 жыл бұрын
Nabii mnoko na maswahaba wanoko
@majidabas38433 ай бұрын
HUYU JAMAA NI MTATA MJUAJI
@clarencehilary55887 ай бұрын
Waislam wakiwa wanahubiri utaona kabisa walivyo na hasira mbona wenzenu wakristu wanavyohubiri wanakua na tabasam na utulivu
@kaoretosha6668
24 күн бұрын
Toa ushahidi
@yusufujaluo979 Жыл бұрын
Njoo uku kwa Waume utueleze..
@buyukubwa97132 жыл бұрын
Dini ni imani kwanza amini ndiyo utajuwa
@SalumOthman-qr3lc2 ай бұрын
Huyu jamaa mbunbumbu sana anahisi uislam unaendeshwa na ntu anavotaka me ningempiga huyu kwa sbb ya ujunga wake
Nimegundua aboud Rogo aliuliwa na wanafki Wa kiislam kama huyu
@mynerabdul48474 жыл бұрын
🤔🤔 allah msamehe bure huyu mtu jaman mbona anaongea vitu havihusian na mada alaf hata namna anaongea anaonekana kama ni askof wa kanisa flan na anatumika kuvuliga uislam 🙆 nakuonea huruma hamza unachokitafuta utakipata
@joelsulle1110
2 жыл бұрын
Huwezi kuijua hiyo kweli aliyoizungumza kwa kuwa kweli haijafunuliwa kwako, ILA, UKITAMANI KUIJUA HIYO "KWELI, AMBAYO NI NENO LA MUNGU KUPITIA YESU KRISTO, BASI NA WEWE UTAFUNULIWA UFAHAMU WAKO NDIPO UTAKUBALI ANAYOYAONGEA HAMZA AMBAYE KWELI IMEFUNULIWA KWAKE! Soma Yohana 3; 31-36.
@jolemerci2155
Жыл бұрын
Nabii hamza hana shida ila kuna roho zime fundisha vibaya sasa wana macho hawaoni wana masikio hawasikii wana zamira ila hawa faamu roho itakayo mpinga nabii hamza ao Elia ni roho ilio ongozwa motoni ao ni roho ilio lainiwa siku zote kweli ya leta matengano
@jolemerci2155
Жыл бұрын
Kila roho inayo mpinga YESU Kristo ata chomwa moto bado kidogo ningelijuwa inakuwaka nyuma
@iddykakalike3149
2 күн бұрын
Huyo amesilim alikua mchungaj
@user-jt1gz2pl5f7 ай бұрын
Mutakufa kibudu mungu akuonye njia utaki kufa njia mungu akuue kifo kibaya sana
@user-mn4mg5yh7i4 ай бұрын
Samahani kaka Hamza ni mwenyeji wa mkoa gani? Mtu wa taifa gani?
@ambarnelly63042 жыл бұрын
Wew unajiita swahab hata kiwemb au mwib hauja chomwa jaman ni uhanithi gani unauzungumza ww mpuuzi?.
@raykyando75718 ай бұрын
Kama Yesu mwenyewe ndiyo kristo, atakuwaje muislamu ? Fungukeni hizo akili
@user-jt1gz2pl5f7 ай бұрын
Toka apa vua kanzu hiyo ata muhammadi ujui kuita
@estherwamboi7683 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂yaani nikisoma comments za Muslim zote wako na jazba sana 😂😂😂ukweli mchungu
@user-jt1gz2pl5f
7 ай бұрын
Wew mwenyewe auna akili umjui mungu kiukweli na pengine mkiristo na uyo aliovaa kanzu mkiristo au anataka ela tu
@estherwamboi7683
7 ай бұрын
@@user-jt1gz2pl5f 😂😂😂😂😂😂 wacha nikose akili lkn kila goti litapigwa na kila ulimi utakiri yesu ni bwana sasa sjui wewe kama uko na ulimi ama watumia upanga😂😂😂😂
@abordecapester9086 Жыл бұрын
Uyu ni wakweli ina bidi Ku mkiri waki mkiri WISLAM Nita kubali uwislam
@user-ch5ov8vz5e4 ай бұрын
Akapimwa akili
@abdallahmgaya7521 Жыл бұрын
HUYU MZEE SIO NJAA TU BALI HATA AKILI YAKE IMESPOKU
@johnsonrwekemba
8 ай бұрын
Ndo tatizo la kusomewa vitabu
@PhilipobonifacSado3 ай бұрын
Kama muhamadi anajua uchawa atawaombea kwA yesu mukakae karibu yake mnaongea ushabiki
@athumansuphian58912 жыл бұрын
Huyu nichizi soma kwenye biblia wewe Mohammadi humuamini Quran yann sasa
@marywachira37452 жыл бұрын
Kama siyo mkombozi ,mbona ameandikwa kwa khl,hn ,so nimwema ,wanapotea kwasababu wanasema Mungu wetu wakristo alizaliwa ,akazaa ,wafafanulie yesu hakuzaa tena ,tena waambie tunajua kuna kristo na Mungu mwenyewe,yesu aliumbwa na Mungu kwa tumbo ya Mary akiwa kaa roho mtakatifu ,hakuja kwa njia ya kitendo Cha ndoa ,
@duliokechannel6199
Жыл бұрын
Na bii adam na hakuja kwa njia ya kitendo cha ndow, eve (hawa) katok kweny ubavu wa adam ( hakuj kwa kitendo cha ndow) mwenyez mungu huumba atakavyo
@mirajisalehe62954 жыл бұрын
Kama kweli Mariam kapulizwa na jiblili ndio issa akazaliwa basi issa atakuwa mwana wa Jiblili. ukweli wa Yesu ni Huu, Yohana 1:1 Hapo mwanzo kulikuwako neno naye neno alikwako kwa Mungu naye neno alikukuwa Mungu Huyo mwanzo alikwako kwa Mungu .vyote vilifanyika kwa huyo wala pasipo yeye hakikufanyika chochote kilichofanyika 14 naye Neno alifanyika mwili ,akakaa kwetu nasi tukauona ututkufu wake, utukufu Kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba amejaa neema na kweli. Ukitafakari vizuri maandiko utagundua kuwa Yesu alikuwa ndani ya Mungu .mwenyezi Mungu alipokuwa akitamka basi hilo neno lake likaumba kila kitu. Yesu alitia misingi ya Nchi na mbingu ni kazi ya mikono yake kwani pasipo yeye huyo Neno hakikufanyika chochote kilichofanyika .basi Neno la Mungu likafanyika mwili .ndio baada ya kufanyika mwili likaitwa Yesu kiristo au masihi kwa Roho mtakatifu na nguvu zake Mungu aliye juu .kwa hiyo Bwana Mungu wetu Ndiye Bwana mmoja Bali alijidhihirisha katika nafsi zake Tatu.
@amanimwinuka2928
3 жыл бұрын
Mtu akinionea aibu Mimi nami nitamuonea aibu mbele ya baba yangu
@amanimwinuka2928
3 жыл бұрын
Wenyewe kwA wenyewe. Xixi wenyewe wenye Imani yetu . Tunacheki tu
@aminachristopher9301
2 жыл бұрын
Uko vizuri hamza, jasili na shupavu mungu wa bwana wetu yesu Kristo akupe nguvu hao wanajua kila kitu Ila tu wanaona aibu, mungu awa kumbuke waislam wengine Kama wewe ulivyo kumbukwa na mungu
@0badiaMwasongwe-rt1wr
2 ай бұрын
Upo sahihi Asante kwa kuwaelimishaaa
@bennymochiwa48004 жыл бұрын
kwa hoja hii sheikh hamza yupo sahihi, huyo sheikh diwani analeta tafsri za ubabaishaji ambazo tumesha zizoea
@hassaniddi1862
4 жыл бұрын
Eee Hamza kasema quran ndo kitabu pekee na sahihi cha kufwata unalikubal hili
@hawachilemba2562
2 жыл бұрын
Bwana yesu apewe sifa. Sisi wote ni wa mungu.Dini zisitutenganishe..Kikubwa tuijue kwel na kwel ituweke huru.
@halidihassan37964 жыл бұрын
Assalam alayikum kidini Mtu anapo linganiwa akikataa hutengwa na uminu wakini ya ki islam huyu ni murtadi
@khamisahmada5808
2 жыл бұрын
Na hukmu yake kisheria ni kuuwawa
@jobmakau2149
2 жыл бұрын
Kweli yesu ndiye mwokozi wa watu wote
@abdallahmgaya7521 Жыл бұрын
Mzee unajiingiza katika maangamizi makusudi kwa njaa zako, Allah akbar
Wee alikuuwa nani kama uyo mungu wenu muuaji basi huyo ndio kafiri lakini wanao mfuata YESU wote hakuna kufa milele.
@salangtvone
4 ай бұрын
Muhammad atahukumiwa na yesuu mpuuzi wew elewa basi unakua ka gogo
@two_ti2ramlan9938 ай бұрын
aiseee me najichekea tu hizi comment za waislam tatizo ukwel wanaujua ila hawataki kukili hazaran lkn wakiwa mwenyewe wanasema ni kwel kabisa😅😅😅
@sizasaidi6715 Жыл бұрын
Astaghafirulah kafiri ww
@yassinhamza19692 жыл бұрын
Huyo ni chizi njaa tu inamsumbua
@fatumamwalimu57654 жыл бұрын
Sasa wewe murtadi mbona usitumie hiyo bibilia yenu unatumia QURAN na aliepewa QURAN unamkana?
@joelsulle1110
2 жыл бұрын
Anatumia quruan ili kuwaonyesha ukweli uliofichwa msiujue kuhusu Yesu Kristo mnayemchukulia kama binadamu wa kawaida badala ya ALIYETOKA JUU MBINGUNI, YAANI MWANA WA MUNGU, YOH:3;31-32
@fatumamwalimu5765
2 жыл бұрын
@@joelsulle1110 eti kutuonyesha ukweli!!!umesikiliza huo umuadhara hau umekurupuka ku reply comment za watu?sawa yesu ni mtoto wa mungu wako Mariam, lakini sisi tutabakia na kauli ya yesu 👉 LAKINI SASA MNATAFUTA KUNIUWA MIMI MTU NILIEWAAMBIA UKWELI NILIOUSIKIA KWA MUNGU 👈 tena QURA'AN hakuna haya ata moja inayosema yesu ni mwana wa MUNGU wala inayosema yesu ni mungu hilo sahau, nyinyi ndio mnadanganywa na sio sisi
@fatumamwalimu5765
2 жыл бұрын
@@joelsulle1110 wewe utakua umetoka kwa shetani, maana kwa hakika viumbe wote wametoka kwa MUNGU, roho zote zilikua kwa MUNGU sasa sijui cha ajabu hapo ni nini,
@ibrahimungayoma2874
2 жыл бұрын
@@fatumamwalimu5765 YESU ni ROHO ya MUNGU na ni MUNGU mnaabudu msicho kijua kila aliitiaye jina la YESU ataokolewa
@fatumamwalimu5765
2 жыл бұрын
@@ibrahimungayoma2874 ,hata mimi ni roho, hivi kwakua kumtaja yesu nikuokolewa na kina nabii Ibrahim, Mussa,Nuhu na manabii wote waliopita katika hii dunia kabla ya yesu kuzaliwa walihukumiwa??? Tumia akili uweze kuishi vyema, sasa yesu anasema hivi 👉 SIKUTUMWA ILA KWA KONDOO WALIOPOTEA WANYUMBA YA EZRAEL 👈 apo hajataja watu wote, alafu yesu huyo uyo akasema 👉 USINISHIKE KWA MAANA SIJAPAA KWENDA KWA BABA, LAKINI ENENDA KWA NDUGU ZANGU UKAWAAMBIE, NINAPAA KWENDA KWA BABA YANGU NAE NI BABA YENU, MUNGU WANGU NAE NI MUNGU WENU 👈 je,alikosea? Nyinyi mnaojiita wakiristo MLIKUA KONDOO WALIOPOTEA NA WACHUNGAJI WENU WAMEWAPOTEZA, hamsomi vitabu ni kufata maneno ya wachungaji wenu waongo
@nabiimgongolwa87287 ай бұрын
HAMZA ANAUFAHAMU WA JUU SAAAAAAANA NYIE KINACHOWASUMBUA NI USHABIKI WA DINI UKWELI HAMNA. HAMZA UKO VIZURI....JESHI LA MTU MMOJA LINAWASAMBARATISHA MAMILIONI😅
@hajiameir86884 ай бұрын
Kwanza huyu Hamza si shekhe mpelekeni milembe mkampime akili inaonekana anaanza kuuguwa huyo atakupotezeeni muda buree
@AlnordGozonga-gw2sb8 ай бұрын
Tatizo waislam wengi wanaopinga ukweli ulioko ndani ya Quran. hawajui Quran vizuri kuisoma mbona sisi wakrsto tunaukubari uisilamu vizuri nakuuheshimu sana
@HAMIS-ci2vt
4 ай бұрын
Shida ni kwamba hao viongoz wenu wa dini wanafasiri quran kwa akili zao lakin quran ina misingi yake ya tafsiir kwasabu mtume muhamad(S.A.W) alishaitafsiri ko lazima utafsiriwe na wajuz walobobea lugha ya kiarabu zaid ya fani 14 za lugha ya kiarabu.ukitumia akili za kawaida unaweza kosea . Ko ndugu yangu hapo Nadhan umenielewa kidogo haya ni mambo ya kielmu watu wanasomea miaka mingi.
Пікірлер: 123
Wapinga kristo siku zote hawawezi kukuelewa shekh Omari
Ni kwel wayahudi walimkana Yesu. Hatushangai.
😂😂😂😂😂😂huyu wa kitenge anachekesha kweli heti Mohammed ni mkubwa kuliko yesu Jehovah 😂😂😂😂waaaah watu wamepotea kweli
Mungu amsamehe anaengia katika bahari hali hajui kuogelea hata kidogo.
Mashallah ustadh kazi nzuri sana
Uzuri wa kuwa Muislam ni kwamba hata kama hujasoma dini ila ukawa ni mtu wa kusikiliza mihadhara ya hapa na pale basi hutoyumbishwa na wazushi kama Hamza. Ila kila elimu ya dini huna na si mtu wa kusikiliza mawaidha huyu Hamza anaweza kukuyumbisha. Ndio maana Muislam ameshurtishwa kusoma.
@najaasalim8942
2 жыл бұрын
ان لله وان اليه راجعون sina ilimu ya kutosha lkn kimtazamo wangu alpokua snasoma dini ya kiislamu slkua ana malengo yake km ametumwa na makrsto kuchafua basi allah ndie mkubwa mungu atufushe hali ya kua ni waislamu amiin
@najibsalim3835
2 жыл бұрын
Hamza ni nguruwe
@ABUUALLY-tv8rl
3 ай бұрын
Kuamini kwamba yesu kafa msalabani wewe si muislamu Bali wewe ni mkiristo acha kujiveshaa nguo za kiislamu kutaka kupotoa waislamu,yaani nyinyi ndio munaotumwa kuja kuvuruga uislamu wallahi Lau ningelikuwa ni mtawala basi ningekata shingo yako
Nivomuelewa shehe amza kuruan nimuongizo ya watuwote kwamana erim yakuishi kwakumpendeza mungu nayesu alikuja kwaajili ya ukombozi wa zambi nandomana asiemuamin yeye awezi kufika pepon
Yesu Cristo akuwe nanyu
Maelezeo yako kuhusu yesu kuwa ni neno la mungu haikuridhisha! Kila mwenye makini ameweza kuhisi hilo!!!
Wasilamu ndiyo makafiri
Huyu ni mkristo aliyetumwa kuwavuruga waislamu.
Elias una nibariki Sana
Shehe amza awajakuelewa hao kwajili ya ushabiki
uko vzr kumkili YESU
Tatizo hpo unajadili nawatu wasio naelim waisilam weng hawana upeo
YESU PEKEE NDIYO ATAMSHINDA MPINGA KRISTO WALA SI MUHAMMAD SASA UNACHUKIA NIN MBONA UNAMKATAA ALIYE ANDIKWA KWENYE QURAN ACHENI KUJIFANYA MACHIZI HAKIKA NAWAAMBIENI MNAMCHUKIZA SANA MUNGU NA DUNIA ITAWAPIGA.
Kwa jinsi hii, Mwenyezi MUNGU aliupenda Ulimwengu, hata akamtwa MWANAYE pekee ili kila amwaminiye ewe na uzima wa milele. Kwa maana Mwenyezi MUNGU hukumtuma YESU KRISTO kuja kuhukumu ulimwengu bali ulimwengu uokolewe kupitia kafara yake ya Msalaba. (Yohana 3: 16 -17) Mantiki ipo hivi: Hapo zamani binadamu wote walikuwa na HATIA/DHAMBI waliyoithi kutoka kwa Mzazi wetu Adamu na wakakosa HAKI kumwona Mungu. Lakini kupitia kafara ya Msalabani ya mwenye HAKI Yesu Kristo wanadamu wote wamendolewa ile HATIA ya Adamu na kuwapa haki ya kufanyika watoto wa Mungu. WITO: WAMINI YESU KRISTO ILI UONDOLEWE HATIA YA MILELE NA USAMEWE DHAMBI ZAKO.
Kama muhamadi anajua uchawa atawaombea kwA yesu mukakae karibu yake mnaongea ushabiki❤
Huyo shekhe wa mwsho alovaa kitenge ndo muongo na anaforce vtu,, hv mtume aseme yy ndo mkubwa kuliko issa huo n uongo mkubwa kama yeye ni mtume na yesu n mja wa Mungu tu na yy ndo mkubwa kuliko yesu kwa nn mwishowe akili kuwa yesu ndo atarudi kuhukumu ulimwengu? Akili nyepesi tu kuelewa ukiweka udini pembeni✍
Innalillah wainaillaih rajiwn
Mtume Muhammad S. W. A ndio mtume wa ulimwengu wote Isa bin Maryam kwa ajili ya mayahudi t
@salangtvone
4 ай бұрын
Sasa wew unakataa yesu si mkombozi wa ulimwengu akija mpinga kristo muhammad atamzuia yeye au yesu?
Shekhe kazingua kusema mtume Mohammed ni bora kuliko isa
Kosa kubwa ukilifanya usisamehewe nikukana mwenyezi mungu:
Amém 🇲🇿🇲🇿🙏
Uyo ni shetani kaja kwa steili hiyo kupotosha watu!!?!
@annymacher3829
4 ай бұрын
Ww soma Quran vizur kuhusu Yesu
Naomba kuwauliza. Muhammad Alikua ni Muarabu. Yesu alikua ni mzungu. Jee nabiiwetu sisiwatu weusi Nabii wetu ninani?. Nikwanini tunalazimika kusoma kiarabu kama luhayatu ni kwanini
Huyu hamza atakiwa apige shahada tena la sivyo ataenda adhibiwa kesho
👍✌️👊.
A sio waislamu kbs
webaba mche Allah usidanga nyike napumzi
Mimi ninaamini kabisa Muhammad ni mjumbe wa mwenyezi mungu. Kama mtume alisema Yaya nizaidi ya nabii issa.ilo Mimi kama mwislamu nakataa. Nabii ISSA nizaidi ya Muhammad.
@deepestmathematics1888
3 ай бұрын
Isa ni bora kuliko wote. Tupo pamoja
Yohana 12:28 Baba, ulitukuze jina lako. Basi ikaja sauti kutoka mbinguni, Nimelitukuza, nami nitalitukuza tena.*TULITUKUZE JINA LA MUNGU TENA NA TENA! TUDUMISHE MAOMBI NA KUTAFAKARI NENO KILA WAKATI!*
@abordecapester9086
Жыл бұрын
Baba unitukuze Ili nawe upate kutukzwa
Ukweli ushikiliswe
Diwani sio wab'nu ummatihi ni hivi wab'nu amatihi
Iyo ni njaa awo wanatafuta musada
Uyu sheikh ni msenge tu .
@annymacher3829
4 ай бұрын
Mpka hapa we n jehanam kwann unatukana
Nikuliza 2 hao watu nyuma ya Nabbi Bonoko ndio Maswahaba?
@othmanmuna3115
4 жыл бұрын
Nabii mnoko na maswahaba wanoko
HUYU JAMAA NI MTATA MJUAJI
Waislam wakiwa wanahubiri utaona kabisa walivyo na hasira mbona wenzenu wakristu wanavyohubiri wanakua na tabasam na utulivu
@kaoretosha6668
24 күн бұрын
Toa ushahidi
Njoo uku kwa Waume utueleze..
Dini ni imani kwanza amini ndiyo utajuwa
Huyu jamaa mbunbumbu sana anahisi uislam unaendeshwa na ntu anavotaka me ningempiga huyu kwa sbb ya ujunga wake
Mkiwa pekeyenu munakubari ukweli munaombiwa munaogopa aibu
Ilo lihamza nijitu lawap
Nimegundua aboud Rogo aliuliwa na wanafki Wa kiislam kama huyu
🤔🤔 allah msamehe bure huyu mtu jaman mbona anaongea vitu havihusian na mada alaf hata namna anaongea anaonekana kama ni askof wa kanisa flan na anatumika kuvuliga uislam 🙆 nakuonea huruma hamza unachokitafuta utakipata
@joelsulle1110
2 жыл бұрын
Huwezi kuijua hiyo kweli aliyoizungumza kwa kuwa kweli haijafunuliwa kwako, ILA, UKITAMANI KUIJUA HIYO "KWELI, AMBAYO NI NENO LA MUNGU KUPITIA YESU KRISTO, BASI NA WEWE UTAFUNULIWA UFAHAMU WAKO NDIPO UTAKUBALI ANAYOYAONGEA HAMZA AMBAYE KWELI IMEFUNULIWA KWAKE! Soma Yohana 3; 31-36.
@jolemerci2155
Жыл бұрын
Nabii hamza hana shida ila kuna roho zime fundisha vibaya sasa wana macho hawaoni wana masikio hawasikii wana zamira ila hawa faamu roho itakayo mpinga nabii hamza ao Elia ni roho ilio ongozwa motoni ao ni roho ilio lainiwa siku zote kweli ya leta matengano
@jolemerci2155
Жыл бұрын
Kila roho inayo mpinga YESU Kristo ata chomwa moto bado kidogo ningelijuwa inakuwaka nyuma
@iddykakalike3149
2 күн бұрын
Huyo amesilim alikua mchungaj
Mutakufa kibudu mungu akuonye njia utaki kufa njia mungu akuue kifo kibaya sana
Samahani kaka Hamza ni mwenyeji wa mkoa gani? Mtu wa taifa gani?
Wew unajiita swahab hata kiwemb au mwib hauja chomwa jaman ni uhanithi gani unauzungumza ww mpuuzi?.
Kama Yesu mwenyewe ndiyo kristo, atakuwaje muislamu ? Fungukeni hizo akili
Toka apa vua kanzu hiyo ata muhammadi ujui kuita
😂😂😂😂😂yaani nikisoma comments za Muslim zote wako na jazba sana 😂😂😂ukweli mchungu
@user-jt1gz2pl5f
7 ай бұрын
Wew mwenyewe auna akili umjui mungu kiukweli na pengine mkiristo na uyo aliovaa kanzu mkiristo au anataka ela tu
@estherwamboi7683
7 ай бұрын
@@user-jt1gz2pl5f 😂😂😂😂😂😂 wacha nikose akili lkn kila goti litapigwa na kila ulimi utakiri yesu ni bwana sasa sjui wewe kama uko na ulimi ama watumia upanga😂😂😂😂
Uyu ni wakweli ina bidi Ku mkiri waki mkiri WISLAM Nita kubali uwislam
Akapimwa akili
HUYU MZEE SIO NJAA TU BALI HATA AKILI YAKE IMESPOKU
@johnsonrwekemba
8 ай бұрын
Ndo tatizo la kusomewa vitabu
Kama muhamadi anajua uchawa atawaombea kwA yesu mukakae karibu yake mnaongea ushabiki
Huyu nichizi soma kwenye biblia wewe Mohammadi humuamini Quran yann sasa
Kama siyo mkombozi ,mbona ameandikwa kwa khl,hn ,so nimwema ,wanapotea kwasababu wanasema Mungu wetu wakristo alizaliwa ,akazaa ,wafafanulie yesu hakuzaa tena ,tena waambie tunajua kuna kristo na Mungu mwenyewe,yesu aliumbwa na Mungu kwa tumbo ya Mary akiwa kaa roho mtakatifu ,hakuja kwa njia ya kitendo Cha ndoa ,
@duliokechannel6199
Жыл бұрын
Na bii adam na hakuja kwa njia ya kitendo cha ndow, eve (hawa) katok kweny ubavu wa adam ( hakuj kwa kitendo cha ndow) mwenyez mungu huumba atakavyo
Kama kweli Mariam kapulizwa na jiblili ndio issa akazaliwa basi issa atakuwa mwana wa Jiblili. ukweli wa Yesu ni Huu, Yohana 1:1 Hapo mwanzo kulikuwako neno naye neno alikwako kwa Mungu naye neno alikukuwa Mungu Huyo mwanzo alikwako kwa Mungu .vyote vilifanyika kwa huyo wala pasipo yeye hakikufanyika chochote kilichofanyika 14 naye Neno alifanyika mwili ,akakaa kwetu nasi tukauona ututkufu wake, utukufu Kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba amejaa neema na kweli. Ukitafakari vizuri maandiko utagundua kuwa Yesu alikuwa ndani ya Mungu .mwenyezi Mungu alipokuwa akitamka basi hilo neno lake likaumba kila kitu. Yesu alitia misingi ya Nchi na mbingu ni kazi ya mikono yake kwani pasipo yeye huyo Neno hakikufanyika chochote kilichofanyika .basi Neno la Mungu likafanyika mwili .ndio baada ya kufanyika mwili likaitwa Yesu kiristo au masihi kwa Roho mtakatifu na nguvu zake Mungu aliye juu .kwa hiyo Bwana Mungu wetu Ndiye Bwana mmoja Bali alijidhihirisha katika nafsi zake Tatu.
@amanimwinuka2928
3 жыл бұрын
Mtu akinionea aibu Mimi nami nitamuonea aibu mbele ya baba yangu
@amanimwinuka2928
3 жыл бұрын
Wenyewe kwA wenyewe. Xixi wenyewe wenye Imani yetu . Tunacheki tu
@aminachristopher9301
2 жыл бұрын
Uko vizuri hamza, jasili na shupavu mungu wa bwana wetu yesu Kristo akupe nguvu hao wanajua kila kitu Ila tu wanaona aibu, mungu awa kumbuke waislam wengine Kama wewe ulivyo kumbukwa na mungu
@0badiaMwasongwe-rt1wr
2 ай бұрын
Upo sahihi Asante kwa kuwaelimishaaa
kwa hoja hii sheikh hamza yupo sahihi, huyo sheikh diwani analeta tafsri za ubabaishaji ambazo tumesha zizoea
@hassaniddi1862
4 жыл бұрын
Eee Hamza kasema quran ndo kitabu pekee na sahihi cha kufwata unalikubal hili
@hawachilemba2562
2 жыл бұрын
Bwana yesu apewe sifa. Sisi wote ni wa mungu.Dini zisitutenganishe..Kikubwa tuijue kwel na kwel ituweke huru.
Assalam alayikum kidini Mtu anapo linganiwa akikataa hutengwa na uminu wakini ya ki islam huyu ni murtadi
@khamisahmada5808
2 жыл бұрын
Na hukmu yake kisheria ni kuuwawa
@jobmakau2149
2 жыл бұрын
Kweli yesu ndiye mwokozi wa watu wote
Mzee unajiingiza katika maangamizi makusudi kwa njaa zako, Allah akbar
Kafili anakikilika , kuikataa kweli, innalillah wainna ilah rajuun
Huyu mwenye dam ya mzee hukum inamuhusu sana
Dah.. pesa hii...?
@zumbechamshama2241
2 жыл бұрын
Rudi shule ukasome wacha mchezo unaifanyia siasa korani, issa haji kusimamisha uislamu ila atakuja siku ya hukumu
@ibrahimungayoma2874
2 жыл бұрын
@@zumbechamshama2241 yuko vizuri ila bado hajajua qoroani imeanzaje imempasa kuiyacha kabisa na kua mkristo kamili kwasababu hakuna mwislam atakae ingia mbinguni
Pumbavuu wewe
Kuna hoja gani ya kikafiri hapa? Quran yenyewe inasema yesu kristo atarudi kuihukumu dunia, Nani mwingine wa kuihukumu dunia kama suo Mungu?
@SumaAbduly
4 ай бұрын
Wale wale yesu ni mungu
Hamza yupo Vzur sana
@InfinixTechnology
2 жыл бұрын
Maoni.yangu.kila.mmoja.aheshim.dini.ya.mwenzake.ili.
aulie tu kafiri asipotoe watu
@ibrahimungayoma2874
2 жыл бұрын
Wee alikuuwa nani kama uyo mungu wenu muuaji basi huyo ndio kafiri lakini wanao mfuata YESU wote hakuna kufa milele.
@salangtvone
4 ай бұрын
Muhammad atahukumiwa na yesuu mpuuzi wew elewa basi unakua ka gogo
aiseee me najichekea tu hizi comment za waislam tatizo ukwel wanaujua ila hawataki kukili hazaran lkn wakiwa mwenyewe wanasema ni kwel kabisa😅😅😅
Astaghafirulah kafiri ww
Huyo ni chizi njaa tu inamsumbua
Sasa wewe murtadi mbona usitumie hiyo bibilia yenu unatumia QURAN na aliepewa QURAN unamkana?
@joelsulle1110
2 жыл бұрын
Anatumia quruan ili kuwaonyesha ukweli uliofichwa msiujue kuhusu Yesu Kristo mnayemchukulia kama binadamu wa kawaida badala ya ALIYETOKA JUU MBINGUNI, YAANI MWANA WA MUNGU, YOH:3;31-32
@fatumamwalimu5765
2 жыл бұрын
@@joelsulle1110 eti kutuonyesha ukweli!!!umesikiliza huo umuadhara hau umekurupuka ku reply comment za watu?sawa yesu ni mtoto wa mungu wako Mariam, lakini sisi tutabakia na kauli ya yesu 👉 LAKINI SASA MNATAFUTA KUNIUWA MIMI MTU NILIEWAAMBIA UKWELI NILIOUSIKIA KWA MUNGU 👈 tena QURA'AN hakuna haya ata moja inayosema yesu ni mwana wa MUNGU wala inayosema yesu ni mungu hilo sahau, nyinyi ndio mnadanganywa na sio sisi
@fatumamwalimu5765
2 жыл бұрын
@@joelsulle1110 wewe utakua umetoka kwa shetani, maana kwa hakika viumbe wote wametoka kwa MUNGU, roho zote zilikua kwa MUNGU sasa sijui cha ajabu hapo ni nini,
@ibrahimungayoma2874
2 жыл бұрын
@@fatumamwalimu5765 YESU ni ROHO ya MUNGU na ni MUNGU mnaabudu msicho kijua kila aliitiaye jina la YESU ataokolewa
@fatumamwalimu5765
2 жыл бұрын
@@ibrahimungayoma2874 ,hata mimi ni roho, hivi kwakua kumtaja yesu nikuokolewa na kina nabii Ibrahim, Mussa,Nuhu na manabii wote waliopita katika hii dunia kabla ya yesu kuzaliwa walihukumiwa??? Tumia akili uweze kuishi vyema, sasa yesu anasema hivi 👉 SIKUTUMWA ILA KWA KONDOO WALIOPOTEA WANYUMBA YA EZRAEL 👈 apo hajataja watu wote, alafu yesu huyo uyo akasema 👉 USINISHIKE KWA MAANA SIJAPAA KWENDA KWA BABA, LAKINI ENENDA KWA NDUGU ZANGU UKAWAAMBIE, NINAPAA KWENDA KWA BABA YANGU NAE NI BABA YENU, MUNGU WANGU NAE NI MUNGU WENU 👈 je,alikosea? Nyinyi mnaojiita wakiristo MLIKUA KONDOO WALIOPOTEA NA WACHUNGAJI WENU WAMEWAPOTEZA, hamsomi vitabu ni kufata maneno ya wachungaji wenu waongo
HAMZA ANAUFAHAMU WA JUU SAAAAAAANA NYIE KINACHOWASUMBUA NI USHABIKI WA DINI UKWELI HAMNA. HAMZA UKO VIZURI....JESHI LA MTU MMOJA LINAWASAMBARATISHA MAMILIONI😅
Kwanza huyu Hamza si shekhe mpelekeni milembe mkampime akili inaonekana anaanza kuuguwa huyo atakupotezeeni muda buree
Tatizo waislam wengi wanaopinga ukweli ulioko ndani ya Quran. hawajui Quran vizuri kuisoma mbona sisi wakrsto tunaukubari uisilamu vizuri nakuuheshimu sana
@HAMIS-ci2vt
4 ай бұрын
Shida ni kwamba hao viongoz wenu wa dini wanafasiri quran kwa akili zao lakin quran ina misingi yake ya tafsiir kwasabu mtume muhamad(S.A.W) alishaitafsiri ko lazima utafsiriwe na wajuz walobobea lugha ya kiarabu zaid ya fani 14 za lugha ya kiarabu.ukitumia akili za kawaida unaweza kosea . Ko ndugu yangu hapo Nadhan umenielewa kidogo haya ni mambo ya kielmu watu wanasomea miaka mingi.
Shehe amza awajakuelewa hao kwajili ya ushabiki
Shehe amza awajakuelewa hao kwajili ya ushabiki
Shehe amza awajakuelewa hao kwajili ya ushabiki
Shehe amza awajakuelewa hao kwajili ya ushabiki