Hamza issa asambaratishwa na hoja zake za kikafiri Sehem ya kwanza

Ally m rehani

Пікірлер: 123

  • @Sportsspark245
    @Sportsspark2454 ай бұрын

    Wapinga kristo siku zote hawawezi kukuelewa shekh Omari

  • @hawachilemba2562
    @hawachilemba25622 жыл бұрын

    Ni kwel wayahudi walimkana Yesu. Hatushangai.

  • @estherwamboi7683
    @estherwamboi7683 Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂huyu wa kitenge anachekesha kweli heti Mohammed ni mkubwa kuliko yesu Jehovah 😂😂😂😂waaaah watu wamepotea kweli

  • @jamalkishangu
    @jamalkishangu2 жыл бұрын

    Mungu amsamehe anaengia katika bahari hali hajui kuogelea hata kidogo.

  • @motivumotivunbktv4409
    @motivumotivunbktv44093 ай бұрын

    Mashallah ustadh kazi nzuri sana

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman17532 жыл бұрын

    Uzuri wa kuwa Muislam ni kwamba hata kama hujasoma dini ila ukawa ni mtu wa kusikiliza mihadhara ya hapa na pale basi hutoyumbishwa na wazushi kama Hamza. Ila kila elimu ya dini huna na si mtu wa kusikiliza mawaidha huyu Hamza anaweza kukuyumbisha. Ndio maana Muislam ameshurtishwa kusoma.

  • @najaasalim8942

    @najaasalim8942

    2 жыл бұрын

    ان لله وان اليه راجعون sina ilimu ya kutosha lkn kimtazamo wangu alpokua snasoma dini ya kiislamu slkua ana malengo yake km ametumwa na makrsto kuchafua basi allah ndie mkubwa mungu atufushe hali ya kua ni waislamu amiin

  • @najibsalim3835

    @najibsalim3835

    2 жыл бұрын

    Hamza ni nguruwe

  • @ABUUALLY-tv8rl

    @ABUUALLY-tv8rl

    3 ай бұрын

    Kuamini kwamba yesu kafa msalabani wewe si muislamu Bali wewe ni mkiristo acha kujiveshaa nguo za kiislamu kutaka kupotoa waislamu,yaani nyinyi ndio munaotumwa kuja kuvuruga uislamu wallahi Lau ningelikuwa ni mtawala basi ningekata shingo yako

  • @PhilipobonifacSado
    @PhilipobonifacSado3 ай бұрын

    Nivomuelewa shehe amza kuruan nimuongizo ya watuwote kwamana erim yakuishi kwakumpendeza mungu nayesu alikuja kwaajili ya ukombozi wa zambi nandomana asiemuamin yeye awezi kufika pepon

  • @kabarezephanie3573
    @kabarezephanie35732 жыл бұрын

    Yesu Cristo akuwe nanyu

  • @joashwambua9988
    @joashwambua99883 жыл бұрын

    Maelezeo yako kuhusu yesu kuwa ni neno la mungu haikuridhisha! Kila mwenye makini ameweza kuhisi hilo!!!

  • @loysamwel6308
    @loysamwel63082 жыл бұрын

    Wasilamu ndiyo makafiri

  • @kaoretosha6668
    @kaoretosha666824 күн бұрын

    Huyu ni mkristo aliyetumwa kuwavuruga waislamu.

  • @abordecapester9086
    @abordecapester9086 Жыл бұрын

    Elias una nibariki Sana

  • @PhilipobonifacSado
    @PhilipobonifacSado3 ай бұрын

    Shehe amza awajakuelewa hao kwajili ya ushabiki

  • @dicksonbakari4619
    @dicksonbakari46195 жыл бұрын

    uko vzr kumkili YESU

  • @dicklack3639
    @dicklack3639 Жыл бұрын

    Tatizo hpo unajadili nawatu wasio naelim waisilam weng hawana upeo

  • @salangtvone
    @salangtvone4 ай бұрын

    YESU PEKEE NDIYO ATAMSHINDA MPINGA KRISTO WALA SI MUHAMMAD SASA UNACHUKIA NIN MBONA UNAMKATAA ALIYE ANDIKWA KWENYE QURAN ACHENI KUJIFANYA MACHIZI HAKIKA NAWAAMBIENI MNAMCHUKIZA SANA MUNGU NA DUNIA ITAWAPIGA.

  • @gabrielsaelie8091
    @gabrielsaelie809125 күн бұрын

    Kwa jinsi hii, Mwenyezi MUNGU aliupenda Ulimwengu, hata akamtwa MWANAYE pekee ili kila amwaminiye ewe na uzima wa milele. Kwa maana Mwenyezi MUNGU hukumtuma YESU KRISTO kuja kuhukumu ulimwengu bali ulimwengu uokolewe kupitia kafara yake ya Msalaba. (Yohana 3: 16 -17) Mantiki ipo hivi: Hapo zamani binadamu wote walikuwa na HATIA/DHAMBI waliyoithi kutoka kwa Mzazi wetu Adamu na wakakosa HAKI kumwona Mungu. Lakini kupitia kafara ya Msalabani ya mwenye HAKI Yesu Kristo wanadamu wote wamendolewa ile HATIA ya Adamu na kuwapa haki ya kufanyika watoto wa Mungu. WITO: WAMINI YESU KRISTO ILI UONDOLEWE HATIA YA MILELE NA USAMEWE DHAMBI ZAKO.

  • @PhilipobonifacSado
    @PhilipobonifacSado3 ай бұрын

    Kama muhamadi anajua uchawa atawaombea kwA yesu mukakae karibu yake mnaongea ushabiki❤

  • @bryson0772
    @bryson0772 Жыл бұрын

    Huyo shekhe wa mwsho alovaa kitenge ndo muongo na anaforce vtu,, hv mtume aseme yy ndo mkubwa kuliko issa huo n uongo mkubwa kama yeye ni mtume na yesu n mja wa Mungu tu na yy ndo mkubwa kuliko yesu kwa nn mwishowe akili kuwa yesu ndo atarudi kuhukumu ulimwengu? Akili nyepesi tu kuelewa ukiweka udini pembeni✍

  • @othmanmuna3115
    @othmanmuna31154 жыл бұрын

    Innalillah wainaillaih rajiwn

  • @omariddi
    @omariddi Жыл бұрын

    Mtume Muhammad S. W. A ndio mtume wa ulimwengu wote Isa bin Maryam kwa ajili ya mayahudi t

  • @salangtvone

    @salangtvone

    4 ай бұрын

    Sasa wew unakataa yesu si mkombozi wa ulimwengu akija mpinga kristo muhammad atamzuia yeye au yesu?

  • @deepestmathematics1888
    @deepestmathematics18883 ай бұрын

    Shekhe kazingua kusema mtume Mohammed ni bora kuliko isa

  • @GozibathCravery
    @GozibathCravery3 ай бұрын

    Kosa kubwa ukilifanya usisamehewe nikukana mwenyezi mungu:

  • @daniellourencojaime
    @daniellourencojaime Жыл бұрын

    Amém 🇲🇿🇲🇿🙏

  • @yusuphrajabu6728
    @yusuphrajabu67282 жыл бұрын

    Uyo ni shetani kaja kwa steili hiyo kupotosha watu!!?!

  • @annymacher3829

    @annymacher3829

    4 ай бұрын

    Ww soma Quran vizur kuhusu Yesu

  • @Kassa-fl3yh
    @Kassa-fl3yh3 ай бұрын

    Naomba kuwauliza. Muhammad Alikua ni Muarabu. Yesu alikua ni mzungu. Jee nabiiwetu sisiwatu weusi Nabii wetu ninani?. Nikwanini tunalazimika kusoma kiarabu kama luhayatu ni kwanini

  • @lalyabbas8861
    @lalyabbas88613 ай бұрын

    Huyu hamza atakiwa apige shahada tena la sivyo ataenda adhibiwa kesho

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything24 күн бұрын

    👍✌️👊.

  • @sizasaidi6715
    @sizasaidi6715 Жыл бұрын

    A sio waislamu kbs

  • @abuuayman8343
    @abuuayman83433 жыл бұрын

    webaba mche Allah usidanga nyike napumzi

  • @Kassa-fl3yh
    @Kassa-fl3yh3 ай бұрын

    Mimi ninaamini kabisa Muhammad ni mjumbe wa mwenyezi mungu. Kama mtume alisema Yaya nizaidi ya nabii issa.ilo Mimi kama mwislamu nakataa. Nabii ISSA nizaidi ya Muhammad.

  • @deepestmathematics1888

    @deepestmathematics1888

    3 ай бұрын

    Isa ni bora kuliko wote. Tupo pamoja

  • @soberkaleya5148
    @soberkaleya51482 жыл бұрын

    Yohana 12:28 Baba, ulitukuze jina lako. Basi ikaja sauti kutoka mbinguni, Nimelitukuza, nami nitalitukuza tena.*TULITUKUZE JINA LA MUNGU TENA NA TENA! TUDUMISHE MAOMBI NA KUTAFAKARI NENO KILA WAKATI!*

  • @abordecapester9086

    @abordecapester9086

    Жыл бұрын

    Baba unitukuze Ili nawe upate kutukzwa

  • @patrickmbanya8335
    @patrickmbanya83352 жыл бұрын

    Ukweli ushikiliswe

  • @HassanSalim-hl8qs
    @HassanSalim-hl8qs6 ай бұрын

    Diwani sio wab'nu ummatihi ni hivi wab'nu amatihi

  • @user-rg5us1xc1k
    @user-rg5us1xc1k3 ай бұрын

    Iyo ni njaa awo wanatafuta musada

  • @user-jq9uz8sn4c
    @user-jq9uz8sn4c4 ай бұрын

    Uyu sheikh ni msenge tu .

  • @annymacher3829

    @annymacher3829

    4 ай бұрын

    Mpka hapa we n jehanam kwann unatukana

  • @mohamedmusa2279
    @mohamedmusa22794 жыл бұрын

    Nikuliza 2 hao watu nyuma ya Nabbi Bonoko ndio Maswahaba?

  • @othmanmuna3115

    @othmanmuna3115

    4 жыл бұрын

    Nabii mnoko na maswahaba wanoko

  • @majidabas3843
    @majidabas38433 ай бұрын

    HUYU JAMAA NI MTATA MJUAJI

  • @clarencehilary5588
    @clarencehilary55887 ай бұрын

    Waislam wakiwa wanahubiri utaona kabisa walivyo na hasira mbona wenzenu wakristu wanavyohubiri wanakua na tabasam na utulivu

  • @kaoretosha6668

    @kaoretosha6668

    24 күн бұрын

    Toa ushahidi

  • @yusufujaluo979
    @yusufujaluo979 Жыл бұрын

    Njoo uku kwa Waume utueleze..

  • @buyukubwa9713
    @buyukubwa97132 жыл бұрын

    Dini ni imani kwanza amini ndiyo utajuwa

  • @SalumOthman-qr3lc
    @SalumOthman-qr3lc2 ай бұрын

    Huyu jamaa mbunbumbu sana anahisi uislam unaendeshwa na ntu anavotaka me ningempiga huyu kwa sbb ya ujunga wake

  • @AlnordGozonga-gw2sb
    @AlnordGozonga-gw2sb8 ай бұрын

    Mkiwa pekeyenu munakubari ukweli munaombiwa munaogopa aibu

  • @AbdallahKawambwa-lk4pl
    @AbdallahKawambwa-lk4pl2 ай бұрын

    Ilo lihamza nijitu lawap

  • @othmanmuna3115
    @othmanmuna31154 жыл бұрын

    Nimegundua aboud Rogo aliuliwa na wanafki Wa kiislam kama huyu

  • @mynerabdul4847
    @mynerabdul48474 жыл бұрын

    🤔🤔 allah msamehe bure huyu mtu jaman mbona anaongea vitu havihusian na mada alaf hata namna anaongea anaonekana kama ni askof wa kanisa flan na anatumika kuvuliga uislam 🙆 nakuonea huruma hamza unachokitafuta utakipata

  • @joelsulle1110

    @joelsulle1110

    2 жыл бұрын

    Huwezi kuijua hiyo kweli aliyoizungumza kwa kuwa kweli haijafunuliwa kwako, ILA, UKITAMANI KUIJUA HIYO "KWELI, AMBAYO NI NENO LA MUNGU KUPITIA YESU KRISTO, BASI NA WEWE UTAFUNULIWA UFAHAMU WAKO NDIPO UTAKUBALI ANAYOYAONGEA HAMZA AMBAYE KWELI IMEFUNULIWA KWAKE! Soma Yohana 3; 31-36.

  • @jolemerci2155

    @jolemerci2155

    Жыл бұрын

    Nabii hamza hana shida ila kuna roho zime fundisha vibaya sasa wana macho hawaoni wana masikio hawasikii wana zamira ila hawa faamu roho itakayo mpinga nabii hamza ao Elia ni roho ilio ongozwa motoni ao ni roho ilio lainiwa siku zote kweli ya leta matengano

  • @jolemerci2155

    @jolemerci2155

    Жыл бұрын

    Kila roho inayo mpinga YESU Kristo ata chomwa moto bado kidogo ningelijuwa inakuwaka nyuma

  • @iddykakalike3149

    @iddykakalike3149

    2 күн бұрын

    Huyo amesilim alikua mchungaj

  • @user-jt1gz2pl5f
    @user-jt1gz2pl5f7 ай бұрын

    Mutakufa kibudu mungu akuonye njia utaki kufa njia mungu akuue kifo kibaya sana

  • @user-mn4mg5yh7i
    @user-mn4mg5yh7i4 ай бұрын

    Samahani kaka Hamza ni mwenyeji wa mkoa gani? Mtu wa taifa gani?

  • @ambarnelly6304
    @ambarnelly63042 жыл бұрын

    Wew unajiita swahab hata kiwemb au mwib hauja chomwa jaman ni uhanithi gani unauzungumza ww mpuuzi?.

  • @raykyando7571
    @raykyando75718 ай бұрын

    Kama Yesu mwenyewe ndiyo kristo, atakuwaje muislamu ? Fungukeni hizo akili

  • @user-jt1gz2pl5f
    @user-jt1gz2pl5f7 ай бұрын

    Toka apa vua kanzu hiyo ata muhammadi ujui kuita

  • @estherwamboi7683
    @estherwamboi7683 Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂yaani nikisoma comments za Muslim zote wako na jazba sana 😂😂😂ukweli mchungu

  • @user-jt1gz2pl5f

    @user-jt1gz2pl5f

    7 ай бұрын

    Wew mwenyewe auna akili umjui mungu kiukweli na pengine mkiristo na uyo aliovaa kanzu mkiristo au anataka ela tu

  • @estherwamboi7683

    @estherwamboi7683

    7 ай бұрын

    @@user-jt1gz2pl5f 😂😂😂😂😂😂 wacha nikose akili lkn kila goti litapigwa na kila ulimi utakiri yesu ni bwana sasa sjui wewe kama uko na ulimi ama watumia upanga😂😂😂😂

  • @abordecapester9086
    @abordecapester9086 Жыл бұрын

    Uyu ni wakweli ina bidi Ku mkiri waki mkiri WISLAM Nita kubali uwislam

  • @user-ch5ov8vz5e
    @user-ch5ov8vz5e4 ай бұрын

    Akapimwa akili

  • @abdallahmgaya7521
    @abdallahmgaya7521 Жыл бұрын

    HUYU MZEE SIO NJAA TU BALI HATA AKILI YAKE IMESPOKU

  • @johnsonrwekemba

    @johnsonrwekemba

    8 ай бұрын

    Ndo tatizo la kusomewa vitabu

  • @PhilipobonifacSado
    @PhilipobonifacSado3 ай бұрын

    Kama muhamadi anajua uchawa atawaombea kwA yesu mukakae karibu yake mnaongea ushabiki

  • @athumansuphian5891
    @athumansuphian58912 жыл бұрын

    Huyu nichizi soma kwenye biblia wewe Mohammadi humuamini Quran yann sasa

  • @marywachira3745
    @marywachira37452 жыл бұрын

    Kama siyo mkombozi ,mbona ameandikwa kwa khl,hn ,so nimwema ,wanapotea kwasababu wanasema Mungu wetu wakristo alizaliwa ,akazaa ,wafafanulie yesu hakuzaa tena ,tena waambie tunajua kuna kristo na Mungu mwenyewe,yesu aliumbwa na Mungu kwa tumbo ya Mary akiwa kaa roho mtakatifu ,hakuja kwa njia ya kitendo Cha ndoa ,

  • @duliokechannel6199

    @duliokechannel6199

    Жыл бұрын

    Na bii adam na hakuja kwa njia ya kitendo cha ndow, eve (hawa) katok kweny ubavu wa adam ( hakuj kwa kitendo cha ndow) mwenyez mungu huumba atakavyo

  • @mirajisalehe6295
    @mirajisalehe62954 жыл бұрын

    Kama kweli Mariam kapulizwa na jiblili ndio issa akazaliwa basi issa atakuwa mwana wa Jiblili. ukweli wa Yesu ni Huu, Yohana 1:1 Hapo mwanzo kulikuwako neno naye neno alikwako kwa Mungu naye neno alikukuwa Mungu Huyo mwanzo alikwako kwa Mungu .vyote vilifanyika kwa huyo wala pasipo yeye hakikufanyika chochote kilichofanyika 14 naye Neno alifanyika mwili ,akakaa kwetu nasi tukauona ututkufu wake, utukufu Kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba amejaa neema na kweli. Ukitafakari vizuri maandiko utagundua kuwa Yesu alikuwa ndani ya Mungu .mwenyezi Mungu alipokuwa akitamka basi hilo neno lake likaumba kila kitu. Yesu alitia misingi ya Nchi na mbingu ni kazi ya mikono yake kwani pasipo yeye huyo Neno hakikufanyika chochote kilichofanyika .basi Neno la Mungu likafanyika mwili .ndio baada ya kufanyika mwili likaitwa Yesu kiristo au masihi kwa Roho mtakatifu na nguvu zake Mungu aliye juu .kwa hiyo Bwana Mungu wetu Ndiye Bwana mmoja Bali alijidhihirisha katika nafsi zake Tatu.

  • @amanimwinuka2928

    @amanimwinuka2928

    3 жыл бұрын

    Mtu akinionea aibu Mimi nami nitamuonea aibu mbele ya baba yangu

  • @amanimwinuka2928

    @amanimwinuka2928

    3 жыл бұрын

    Wenyewe kwA wenyewe. Xixi wenyewe wenye Imani yetu . Tunacheki tu

  • @aminachristopher9301

    @aminachristopher9301

    2 жыл бұрын

    Uko vizuri hamza, jasili na shupavu mungu wa bwana wetu yesu Kristo akupe nguvu hao wanajua kila kitu Ila tu wanaona aibu, mungu awa kumbuke waislam wengine Kama wewe ulivyo kumbukwa na mungu

  • @0badiaMwasongwe-rt1wr

    @0badiaMwasongwe-rt1wr

    2 ай бұрын

    Upo sahihi Asante kwa kuwaelimishaaa

  • @bennymochiwa4800
    @bennymochiwa48004 жыл бұрын

    kwa hoja hii sheikh hamza yupo sahihi, huyo sheikh diwani analeta tafsri za ubabaishaji ambazo tumesha zizoea

  • @hassaniddi1862

    @hassaniddi1862

    4 жыл бұрын

    Eee Hamza kasema quran ndo kitabu pekee na sahihi cha kufwata unalikubal hili

  • @hawachilemba2562

    @hawachilemba2562

    2 жыл бұрын

    Bwana yesu apewe sifa. Sisi wote ni wa mungu.Dini zisitutenganishe..Kikubwa tuijue kwel na kwel ituweke huru.

  • @halidihassan3796
    @halidihassan37964 жыл бұрын

    Assalam alayikum kidini Mtu anapo linganiwa akikataa hutengwa na uminu wakini ya ki islam huyu ni murtadi

  • @khamisahmada5808

    @khamisahmada5808

    2 жыл бұрын

    Na hukmu yake kisheria ni kuuwawa

  • @jobmakau2149

    @jobmakau2149

    2 жыл бұрын

    Kweli yesu ndiye mwokozi wa watu wote

  • @abdallahmgaya7521
    @abdallahmgaya7521 Жыл бұрын

    Mzee unajiingiza katika maangamizi makusudi kwa njaa zako, Allah akbar

  • @hashimmawazo5503
    @hashimmawazo55032 жыл бұрын

    Kafili anakikilika , kuikataa kweli, innalillah wainna ilah rajuun

  • @Daudmayenga
    @Daudmayenga Жыл бұрын

    Huyu mwenye dam ya mzee hukum inamuhusu sana

  • @hassanlugoma8966
    @hassanlugoma89662 жыл бұрын

    Dah.. pesa hii...?

  • @zumbechamshama2241

    @zumbechamshama2241

    2 жыл бұрын

    Rudi shule ukasome wacha mchezo unaifanyia siasa korani, issa haji kusimamisha uislamu ila atakuja siku ya hukumu

  • @ibrahimungayoma2874

    @ibrahimungayoma2874

    2 жыл бұрын

    @@zumbechamshama2241 yuko vizuri ila bado hajajua qoroani imeanzaje imempasa kuiyacha kabisa na kua mkristo kamili kwasababu hakuna mwislam atakae ingia mbinguni

  • @olivyechambikwa425
    @olivyechambikwa4253 ай бұрын

    Pumbavuu wewe

  • @ezekielmurimi6874
    @ezekielmurimi6874 Жыл бұрын

    Kuna hoja gani ya kikafiri hapa? Quran yenyewe inasema yesu kristo atarudi kuihukumu dunia, Nani mwingine wa kuihukumu dunia kama suo Mungu?

  • @SumaAbduly

    @SumaAbduly

    4 ай бұрын

    Wale wale yesu ni mungu

  • @isaacmafole2131
    @isaacmafole21314 жыл бұрын

    Hamza yupo Vzur sana

  • @InfinixTechnology

    @InfinixTechnology

    2 жыл бұрын

    Maoni.yangu.kila.mmoja.aheshim.dini.ya.mwenzake.ili.

  • @abdallaaly1546
    @abdallaaly15464 жыл бұрын

    aulie tu kafiri asipotoe watu

  • @ibrahimungayoma2874

    @ibrahimungayoma2874

    2 жыл бұрын

    Wee alikuuwa nani kama uyo mungu wenu muuaji basi huyo ndio kafiri lakini wanao mfuata YESU wote hakuna kufa milele.

  • @salangtvone

    @salangtvone

    4 ай бұрын

    Muhammad atahukumiwa na yesuu mpuuzi wew elewa basi unakua ka gogo

  • @two_ti2ramlan993
    @two_ti2ramlan9938 ай бұрын

    aiseee me najichekea tu hizi comment za waislam tatizo ukwel wanaujua ila hawataki kukili hazaran lkn wakiwa mwenyewe wanasema ni kwel kabisa😅😅😅

  • @sizasaidi6715
    @sizasaidi6715 Жыл бұрын

    Astaghafirulah kafiri ww

  • @yassinhamza1969
    @yassinhamza19692 жыл бұрын

    Huyo ni chizi njaa tu inamsumbua

  • @fatumamwalimu5765
    @fatumamwalimu57654 жыл бұрын

    Sasa wewe murtadi mbona usitumie hiyo bibilia yenu unatumia QURAN na aliepewa QURAN unamkana?

  • @joelsulle1110

    @joelsulle1110

    2 жыл бұрын

    Anatumia quruan ili kuwaonyesha ukweli uliofichwa msiujue kuhusu Yesu Kristo mnayemchukulia kama binadamu wa kawaida badala ya ALIYETOKA JUU MBINGUNI, YAANI MWANA WA MUNGU, YOH:3;31-32

  • @fatumamwalimu5765

    @fatumamwalimu5765

    2 жыл бұрын

    @@joelsulle1110 eti kutuonyesha ukweli!!!umesikiliza huo umuadhara hau umekurupuka ku reply comment za watu?sawa yesu ni mtoto wa mungu wako Mariam, lakini sisi tutabakia na kauli ya yesu 👉 LAKINI SASA MNATAFUTA KUNIUWA MIMI MTU NILIEWAAMBIA UKWELI NILIOUSIKIA KWA MUNGU 👈 tena QURA'AN hakuna haya ata moja inayosema yesu ni mwana wa MUNGU wala inayosema yesu ni mungu hilo sahau, nyinyi ndio mnadanganywa na sio sisi

  • @fatumamwalimu5765

    @fatumamwalimu5765

    2 жыл бұрын

    @@joelsulle1110 wewe utakua umetoka kwa shetani, maana kwa hakika viumbe wote wametoka kwa MUNGU, roho zote zilikua kwa MUNGU sasa sijui cha ajabu hapo ni nini,

  • @ibrahimungayoma2874

    @ibrahimungayoma2874

    2 жыл бұрын

    @@fatumamwalimu5765 YESU ni ROHO ya MUNGU na ni MUNGU mnaabudu msicho kijua kila aliitiaye jina la YESU ataokolewa

  • @fatumamwalimu5765

    @fatumamwalimu5765

    2 жыл бұрын

    @@ibrahimungayoma2874 ,hata mimi ni roho, hivi kwakua kumtaja yesu nikuokolewa na kina nabii Ibrahim, Mussa,Nuhu na manabii wote waliopita katika hii dunia kabla ya yesu kuzaliwa walihukumiwa??? Tumia akili uweze kuishi vyema, sasa yesu anasema hivi 👉 SIKUTUMWA ILA KWA KONDOO WALIOPOTEA WANYUMBA YA EZRAEL 👈 apo hajataja watu wote, alafu yesu huyo uyo akasema 👉 USINISHIKE KWA MAANA SIJAPAA KWENDA KWA BABA, LAKINI ENENDA KWA NDUGU ZANGU UKAWAAMBIE, NINAPAA KWENDA KWA BABA YANGU NAE NI BABA YENU, MUNGU WANGU NAE NI MUNGU WENU 👈 je,alikosea? Nyinyi mnaojiita wakiristo MLIKUA KONDOO WALIOPOTEA NA WACHUNGAJI WENU WAMEWAPOTEZA, hamsomi vitabu ni kufata maneno ya wachungaji wenu waongo

  • @nabiimgongolwa8728
    @nabiimgongolwa87287 ай бұрын

    HAMZA ANAUFAHAMU WA JUU SAAAAAAANA NYIE KINACHOWASUMBUA NI USHABIKI WA DINI UKWELI HAMNA. HAMZA UKO VIZURI....JESHI LA MTU MMOJA LINAWASAMBARATISHA MAMILIONI😅

  • @hajiameir8688
    @hajiameir86884 ай бұрын

    Kwanza huyu Hamza si shekhe mpelekeni milembe mkampime akili inaonekana anaanza kuuguwa huyo atakupotezeeni muda buree

  • @AlnordGozonga-gw2sb
    @AlnordGozonga-gw2sb8 ай бұрын

    Tatizo waislam wengi wanaopinga ukweli ulioko ndani ya Quran. hawajui Quran vizuri kuisoma mbona sisi wakrsto tunaukubari uisilamu vizuri nakuuheshimu sana

  • @HAMIS-ci2vt

    @HAMIS-ci2vt

    4 ай бұрын

    Shida ni kwamba hao viongoz wenu wa dini wanafasiri quran kwa akili zao lakin quran ina misingi yake ya tafsiir kwasabu mtume muhamad(S.A.W) alishaitafsiri ko lazima utafsiriwe na wajuz walobobea lugha ya kiarabu zaid ya fani 14 za lugha ya kiarabu.ukitumia akili za kawaida unaweza kosea . Ko ndugu yangu hapo Nadhan umenielewa kidogo haya ni mambo ya kielmu watu wanasomea miaka mingi.

  • @PhilipobonifacSado
    @PhilipobonifacSado3 ай бұрын

    Shehe amza awajakuelewa hao kwajili ya ushabiki

  • @PhilipobonifacSado
    @PhilipobonifacSado3 ай бұрын

    Shehe amza awajakuelewa hao kwajili ya ushabiki

  • @PhilipobonifacSado
    @PhilipobonifacSado3 ай бұрын

    Shehe amza awajakuelewa hao kwajili ya ushabiki

  • @PhilipobonifacSado
    @PhilipobonifacSado3 ай бұрын

    Shehe amza awajakuelewa hao kwajili ya ushabiki