MDAHALO MZITO KATI YA HAMZA ISSA NABII FEKI NA JOPO LA MASHEKH....ASHINDWA KUTHIBITISHA UNABII WAKE.

Пікірлер: 737

  • @imranihussen5764
    @imranihussen5764 Жыл бұрын

    Sheikh issa mm na kuelewa sana hawa masheikh wa dar hapana kwakweli jamaa hajui luga ha kiarabj vizuri lakini anahoja nzito sana big up Issa👏👏

  • @humphreymabunda3068
    @humphreymabunda30684 жыл бұрын

    Mimi ni mkristo lakini nimemwelewa vizuri sana huyu shehe utawezaje kuongoza hujui vizuri lugha unapokuwa nabii Mungu siatakupa vyote Mi naona wee nabii Isa karibu tuu ukristo tunamanabii hata wasiosoma

  • @NetoKatundu-yb7ug

    @NetoKatundu-yb7ug

    8 ай бұрын

    Mnataka Nabii Mwarabu subilini atakuja

  • @user-hw7ce8gf6v
    @user-hw7ce8gf6v7 ай бұрын

    1 WAKORINTHO 1 18 Kwa sababu neno la msalaba kwao wanaopotea ni upuzi, bali kwetu sisi tunaookolewa ni nguvu ya Mungu. 19 Kwa kuwa imeandikwa, Nitaiharibu hekima yao wenye hekima Na akili zao wenye akili nitazikataa. Amen ❤❤❤

  • @djumamariam1810
    @djumamariam18103 жыл бұрын

    Maaashallah tume nufaika kupitia mashekhe wetu tumeyajua mengi kupitia mtume wetu Muhammad s.a.w. Ma sheikh wetu ALLAHU akulipeni kheri

  • @abdalahmsigiti5308
    @abdalahmsigiti53082 жыл бұрын

    Asante sheikh mziwanda pia mungu amjalie mufti zeberi kaka yangu ambae ni kilemba cha almarhumu sheikh daud msenga kwa hekima mungu mjaalie sheikh musa saalim kwa hekima busara na uvumilivu kama ni mimi nisinge weza kumvumilia ila nimepa maana ya uvumilivu toka kwa masheikh wetu hawa

  • @omarymasoudykisondo389
    @omarymasoudykisondo3897 жыл бұрын

    Asante sheikh mziwanda kwa elimu iyo Allah akuongoze inshallah

  • @tinivanny7562
    @tinivanny75627 жыл бұрын

    YANI Masheikh wangelikuwa wanalusanyika hivi na kuimarisha Dini ya Allah kwa ajili ya TWAA Mbona ingekuwa vizuri sana

  • @omaryhaytham6567
    @omaryhaytham65677 жыл бұрын

    basi sheikh muharam mziwanda kamaliza.... mashallha

  • @albertjames6845
    @albertjames68456 жыл бұрын

    Doh! Kweli mwisho wa Dunia umekaribia. Hawa manabii wa siku hizi ni shida! Huyo Sheikh Muharam anafafanuwa vizuri sana kama hujamwelewa ipo shida. Nawapongeza masheikh kwa kumpa nafasi na kumsikiliza bila kumdhuru wala kumghasi kisha kumfafanulia mambo kisawasawa, Sasa kama ataendelea kupotosha mambo kitakachomkuta ni juu yake.

  • @ochu6158
    @ochu61584 жыл бұрын

    Wewe hamza mungu anakuona weee

  • @btylove1870
    @btylove18704 жыл бұрын

    Yah Allah tusamehe waja wako!! Ma'Sheikh wenyewe wa siku hizi mmekuwa macomedian, watu watakosaje kuchezea dini! In shaallah Mungu tupe mwisho mwema 🙏

  • @bobnaahtv730

    @bobnaahtv730

    4 жыл бұрын

    Watu kama hawa wanasomeshwa na makafir badae wanakuja kuuharibu uislam lkn atashindwa kwasabb Allah sw kaahidi atailinda dini yake

  • @ramososcar3505

    @ramososcar3505

    4 жыл бұрын

    @@msafiriafraha916 kishki

  • @christinakayela1161

    @christinakayela1161

    2 жыл бұрын

    @@bobnaahtv730 wewe umejuaje dini yako niyaMungu na imeandikwa wapi uisilam ni dini yakweli amini unacho kiamini usiamini usicho kijua maana hizi dini tumezikuta2 msitoe matusi ya Bure juu ya huyu mtu Kama anamakosa Mungu ndo Anae mjua kiundani zaidi imeandikwa msihukum ili msije mkahukumiwa

  • @djumamariam1810
    @djumamariam18103 жыл бұрын

    Huyo nnavyo mtazama mimi sio bure katumwa . Ata aya'a za qur'an zamtatiza. Uyo alikua anastaili kuchapwa mijeredi mingi sanaaaaaaa atasiku nyingine asijerudia. Subhannallah ALLAHU atuongoze sote asije tupa mitihani kama hiyo

  • @Awatee

    @Awatee

    2 жыл бұрын

    Amiin yaraby

  • @eddieeddie2755
    @eddieeddie27554 жыл бұрын

    Hamza anataka msaada , anaonekana dishi limeyumba, musimlaani muombeeni dua.

  • @keachilemondemonde8801

    @keachilemondemonde8801

    4 жыл бұрын

    Aende Arabuni akaseme yy ni nabii aone chamtema kuni

  • @katundakiliza5894
    @katundakiliza58945 жыл бұрын

    Allahu Akbar subhanallah daah zama za mwisho hizi turudin kwa mungu

  • @sahalanali5287
    @sahalanali52874 жыл бұрын

    Subhannallah mola amuongoze amepotea astaghfirullah

  • @idrissajumakona5871
    @idrissajumakona58715 жыл бұрын

    شیخ مزوندا ۔۔۔۔ماشاءاللہ.....

  • @babyhussein6758
    @babyhussein67584 жыл бұрын

    Hakika Uislam in DINI ambayo hutaichezea ukaangaliwa tu...lazima utanyooshwa tu ili use sawa..uyu angejiita nabii kwenye ukristo angepata waumini weeeeengi naangesujudiwa...nakila sifa angepewa nahata MUNGU asingekuwa nanafasi...tofauti na UISLAMU...ALLAH AWAHIFADHI MASHEHE MNAO IPIGANIA NAKUITETEA IMANI YA DINI..Inshaa Allah...

  • @hebronmalatila6186
    @hebronmalatila61863 жыл бұрын

    Binadamu ! Ana Roho anayopewa na Mungu aliyoumbiwa binadamu aruzukiwe na Uzima wake Mungu. Binadamu ameumbiwa moyo kuwa kiungo muhimu na lazima kwa binadamu , kusudi apate Uhai wa mwili wake upate kuishi kwa kipindi na muda ktk dunia hii ! Then mwili wa binadamu utakapopoteza uwezo wa kupata Neno la Mungu kutoka ktk nafsi ya binadamu iliyouwishwa na Roho ya Mungu , basi vyote moyo na mwili hubaki kuwa vyakula cha mauti ! Na hutoweshwa kutoka ktk Uso wa dunia hii. Na Roho iliyokuwa ktk binadamu kutoka ktk mtu huyo , na humrudia Mungu. Maana Roho wa Mungu anapokuwa ndani yetu binadamu ! Ndo Mungu kuwa ndani ya mili yetu siye tumpendezaye Mungu wetu.

  • @moshantoj
    @moshantoj4 жыл бұрын

    Kama unaamini Allah ni shetani, gonga like.

  • @seifiddi3279

    @seifiddi3279

    4 жыл бұрын

    😭😭

  • @mucci_AI

    @mucci_AI

    Жыл бұрын

    Mungu pia ni shetani mwenyewe

  • @osmansalim172
    @osmansalim1729 ай бұрын

    Mungu msaidie tu huyu mja wako na umsamehe tu, anapotea vibaya sana anajiita nabii halafu tana unakosoa quraan, fala kweli na hao wafuasi wake

  • @halimahalim3816
    @halimahalim38167 жыл бұрын

    Innalillah wainna ilayh rajiuu waislamu tuwe makin sana nahawa wanaojiita nabii wa mungu

  • @lawmarcusmwakagenda355
    @lawmarcusmwakagenda3555 жыл бұрын

    Alisema Yesu sharti Injili ya Ufalme ihubiriwe Ulimwenguni kote ili iwe ushuhuda kwa mataifa yote ndipo ule mwisho uje.

  • @francinensavyimana5601

    @francinensavyimana5601

    5 жыл бұрын

    Someni vizuri vitabo makafiri kazizenu kuendeshwa tu naviongozi bila kandi zakweli wamewategeni bibiliya ina vipande viwilli cashetwani nacakusema kweli israeli yemwenyewe ameiiaga kuwa imecezeya chance itahamishwa

  • @alialamoudi9729

    @alialamoudi9729

    4 жыл бұрын

    Huyo mwembieni wewe mwanda wazimu tu hi ni alama ya akher alzaman mungu anajaribu imani zetu msimwamini huyo mwenye kilemba mwongo hundred per sent mimi kutoka makaa NA mfti hapa anakataa kabisa baada ya kumfahamisha akacheka basi amesema tanzania wanafamu dini ya kiislaam mara nyigi amekutana nao NA asel mia hamsini waaslaam usio NA hofu. Nao watamlkeza dini ya mohamed from saudi arabia maka

  • @othmansaguda536
    @othmansaguda5364 жыл бұрын

    Laana2llah alayka

  • @dulleyjuma842

    @dulleyjuma842

    3 жыл бұрын

    Muombee dua huna mamlaka ya kumlaan mtu bro🤲🤲Allah mjuz wa yote

  • @abelkipege4034
    @abelkipege40345 жыл бұрын

    mungu hutumia vinyonge .............................,.....?

  • @nazonahdi9993
    @nazonahdi99934 жыл бұрын

    Shekh mziwanda sadaqta umempa ukweli umenifuraisha sanaaaa👌👌👌 ww unayejiwa kiarabu na Quran na hujakufuru co shetani rajim hamza anayejifanya nabii asahau km tutakubali tuloyesoma quran

  • @mohammedrajabumwamba1322
    @mohammedrajabumwamba13224 жыл бұрын

    MaashaaAllah mashekhe mmemkomeshe uyo kafiri anaejiita nabii

  • @alialamoudi9729

    @alialamoudi9729

    2 жыл бұрын

    Usiseme kafiri mwombea hidaya

  • @zuusaidibushiri5556
    @zuusaidibushiri55564 жыл бұрын

    Waislam nawaaminia hataki mchezo kwenye dini yao mashallah

  • @faysalmussa5593
    @faysalmussa55934 жыл бұрын

    Mashaallah sheikh muharamu umeongea maneno mazito sana n yote ni ukweli mtupu. huyo mpuuuzi elias katumwa kuharib dini ya Allah na allla hatomuacha in shaa allah

  • @faridabakari8511
    @faridabakari85116 жыл бұрын

    Inalilah wainah ileih rajhun.... astaghafirullah astaghafirullah astaghafirullah 1000x kwa hamza na kwaalio wapotosha InshaAllah tuwe miongoni mwawena na sahihi

  • @imamumponda276
    @imamumponda2767 жыл бұрын

    sub'haana llah muendelezo tafadhali nimestafiid sanna kutoka kwa shaikh wa mkoa shaikh muharram na kadhi wa mkoa wa pwani jazaakumu llahu khayra kitaalamu mshavunja vihoja vyake mchwara vinavyotokana na mashetani ya kijinni yaliyomvaa ebu tuwekeeni mundelezo tafadhali

  • @tonyspencer1928
    @tonyspencer19285 жыл бұрын

    SubhannaAllah!

  • @reinampona69
    @reinampona694 жыл бұрын

    Mmmh!mimi naona kaja kuwachosha tu viongozi wangu wa dini.kweli uyo ni muhongo.

  • @sallyhamson4003
    @sallyhamson40035 жыл бұрын

    Duh hamza jina zuri la swahaba wa mtume ila wewe unamkufuru mungu kwa kiasi kikubwa

  • @speedy_animZ
    @speedy_animZ6 жыл бұрын

    Mbona mnapata shida sana waislam, batizweni mumfuate Yesu muepukane na moto wa jehanam

  • @kigomanocpro5553

    @kigomanocpro5553

    5 жыл бұрын

    We unakiri yesu ndo mungu wako aliekuumba????

  • @mitemplasikatimbwa6802

    @mitemplasikatimbwa6802

    5 жыл бұрын

    Aya mambo tumezoea kuyasikia kwa misalaba

  • @sammarley1413

    @sammarley1413

    5 жыл бұрын

    Huyo yesu mwenyewe anavidonda vyamisumari yamsalaban anahitaj msaada wako kisha waleta masihara !!!!

  • @ameirzapy1318

    @ameirzapy1318

    5 жыл бұрын

    Sisi sio wana wa Israel mkristo wewe, sisi ni Ummat Muhammad rasulullah

  • @lawmarcusmwakagenda355
    @lawmarcusmwakagenda3555 жыл бұрын

    Anasema Yesu anipendae atazishika Amri zangu full stop hutaki Atakwambia kama yale Yesu aliwambia wayahudi ninyi ni wa baba yenu Ibilisi.

  • @subilimmopa5225

    @subilimmopa5225

    5 жыл бұрын

    Shehe uko sahihi sema ukweli Mung u yuko na wewe

  • @user-xw5re3bh5x
    @user-xw5re3bh5x6 жыл бұрын

    allah akuongoze

  • @likwegasalum1678
    @likwegasalum16784 жыл бұрын

    SHEKH mziwanda nimemuelewa sana

  • @prophatislael9237
    @prophatislael92372 жыл бұрын

    Wafilpi 2 -14 yatenden Mambo yote pasipo manung'uniko Wala mashindano Tambueni Mungu nimmoja tu hembi fundishen watu waache zambi hakuna kitabu chadini kilichoandikwa dini itamfikisha MTU mbinguni nyny mnaita pepeni Zaid ya matendo yako ww naMungu wako

  • @abdillahisalum135
    @abdillahisalum1355 жыл бұрын

    Allah ajaalie ue mwenye kutubu kwake ila kama umetumwa kuusambaratisha uisilam allah akudhalilishe

  • @kenzomwami4040
    @kenzomwami40405 жыл бұрын

    Mungu akuongoze Hamza Issa Amen 🙏🏾

  • @kassimommy778
    @kassimommy7787 жыл бұрын

    SUBHANALLAH makubwa

  • @nuhmziwanda1031
    @nuhmziwanda10314 жыл бұрын

    Mungu msamehe huyo nabii feck

  • @nuhmziwanda1031

    @nuhmziwanda1031

    4 жыл бұрын

    Kweli kbs

  • @ruthpaulo8308
    @ruthpaulo83084 жыл бұрын

    Audhubillahi minashaitwani rajiim! Katokea wapi mtu huyu? Astaghfirullahi!

  • @fahadtimimi9335

    @fahadtimimi9335

    4 жыл бұрын

    Hyu anafaa viboko .

  • @ramlamburi9743

    @ramlamburi9743

    3 жыл бұрын

    @@fahadtimimi9335 😂😂😂

  • @joelmoron5896
    @joelmoron58964 жыл бұрын

    Mawazo ya MUNGU si kama ya mwanadamu sikien aliyosema ndugu hamza au nabii iliyasaa

  • @sevenscounty409

    @sevenscounty409

    4 жыл бұрын

    Loho ya unafiki ndio uko nao. Bwana uislamu ni water tight. Take that to the bank. We have no fake prophets.

  • @mwabwagizojaytummumwabwagi7182

    @mwabwagizojaytummumwabwagi7182

    4 жыл бұрын

    @@sevenscounty409 👏👏👍

  • @mohammedhussein4926
    @mohammedhussein49264 жыл бұрын

    Shekh muharami mziwanda nashukuru kunitoa kizani

  • @user-xw5re3bh5x
    @user-xw5re3bh5x6 жыл бұрын

    subhanallah

  • @bahatijohn1958
    @bahatijohn19582 жыл бұрын

    Ubarikiwe sana

  • @anuaryally6204
    @anuaryally62044 жыл бұрын

    Innalilah wainna ilayh rajiuun huyu ni empty kuliko cd Allah amuongoze

  • @mshambawamjini2671
    @mshambawamjini26715 жыл бұрын

    ALLAH AKIPENDA SHEKH MKIWA NA MKUTANO MWENGINE NA HUYO KAFIRI NAOMBA MNITAFUTE NIKATE HIYO SHINGO YAKE ILI NIENDE PEPONI HARAKA KWA KULIUWA HILO LIKAFIRI

  • @fortmbilinyi6917

    @fortmbilinyi6917

    4 жыл бұрын

    Kuiona pepo sio kazi rahisi Sana

  • @barackamosi4116
    @barackamosi41162 жыл бұрын

    Kwakweli waisilamu mpokeeni huyu YESU mpate kupona acheni kufuga majini mtaungua sana badae siwahukumu lakini Nina wahurumia sana mwenzenu kasha mwamini Sana yesu ameokoka nae pia anawambiy pasipo kupokea yesu nisawa na mtu Alie kufa mashehe Nina wahurumia sana

  • @rahmashaban8693
    @rahmashaban86937 жыл бұрын

    Yaani mie natamani Allah Subhannah wataala aseme kwa sauti kila mtu aombe duaa kuhusu huyu Mtu. Mimi ningemwambia Allah Subhannah Wataala amlete Sayyidina Ummar, na Sayyidina Ally na Sayyidina Hamza radhi za Allah ziwe juu yao waje kumshughulikia huyu ndg maana haelewi anachokifanya. Anakera, anaboa, anachefua kweli yaan

  • @jumamisimbo8891
    @jumamisimbo88917 жыл бұрын

    We hamza muogope mungu acha utani kwenye dini ujue ipo siku utakwenda kwa Allah nn utajibu hebu tubu kabla mauti hayajakufikia maana hili ulilozua ni kubwa sana

  • @afredyohana356

    @afredyohana356

    4 жыл бұрын

    Hamza yuko vzr sana

  • @nurdinimndeme2912

    @nurdinimndeme2912

    4 жыл бұрын

    @@afredyohana356 elimu finyu kupindukia ..mjinga wa kile anachokizungumza sasa ataweza vipi kushawishi wengine ~ sisi ni watu wa fact - tena sio tu fact bali ukweli ulioko katika facts ..akasome sasa maana ni kama alikua akicheza huko alipokua akibeba hiki alichokua akikisema hapa . in short ujinga wake ni ujinga mkuu yaani hauna hata mfano coz hana hata ufahamu wa kile kinachotoka katika Akili yake Yaani ni mjinga asiejitambua kua yeye ni mjinga Ndo maana unamuona mbele ya Scholars wa kiislam hivyo hivyo anajaribu kufanya propaganda

  • @Awatee

    @Awatee

    2 жыл бұрын

    @@afredyohana356 🙄🙄🙄

  • @munaseif9769
    @munaseif97696 жыл бұрын

    huyu asipo tubu moto unamsubili sana

  • @abdullihmaulid7859
    @abdullihmaulid78594 жыл бұрын

    Sheikh wa dar es salaam wewe ni mwanawazuoni toka lini, acheni kupotosha watu,mwenye elim hajitakasi wala hajisemi mm mwanawachuoni,watu wenyewe ndo huona huyu ni mwanawachuoni kwa muongozo wa Allaah ,Allaah atuhifadh

  • @ccmmbweawajangwani3505
    @ccmmbweawajangwani35054 жыл бұрын

    Hapo mmefeli kwaiyo mungu wenu ni muarabu na ww nikabilagani huwo ni ujinga wakiimani mungu sio muarabu meku

  • @massawejacob
    @massawejacob4 жыл бұрын

    Pazuri hapa manaa wote mwayajua ....mim nawasikilizaaa tuuuu !

  • @sashashaibu6821
    @sashashaibu68212 жыл бұрын

    Mungu amlani kwa kutaka kupoteza uwisramu

  • @semedofoz3853
    @semedofoz38532 жыл бұрын

    Njaaaaaa jamani Hao manabii hawajuii Wana Nuru kutoka Kwa Allah yeye Hana hata harufu ya unabii innalillahi wa inna ilayhi rajeuuun akifa nikuchoma kama wabaniani

  • @dastaniguni5599
    @dastaniguni55994 жыл бұрын

    Jamani Wakristo jifunzeni kitu hapo sio mtu inafikia anajiita Mtume Nabii wengine wanajivika Uungu mnamuacha tu

  • @shahirujuma1977
    @shahirujuma19772 жыл бұрын

    Huyo katumwa na manaswara huy nimpumbavu si muislam ni mhubiri ametumwa inalilah wainaillah rajiun

  • @sharpspear81
    @sharpspear817 жыл бұрын

    Hajui Lugha Kabisa na anakiri mwenyewe ndio maana anashindwa kutofautisha. *( وَتَرَكْنَا عَلَيْهِ فِي الْآخِرِينَ )* الصافات (129) As-Saaffaat Na *(وَتَرَكْنَهُ فِي الْآخِرِينَ )* Zaidi ya hapo *« وتركنا عليه في الآخرين »* ```أي ثناء جميلا``` *(ألتفسير إبن كثير)*

  • @trophainamagogwa7966

    @trophainamagogwa7966

    4 жыл бұрын

    Lugha haimpeleki mbinguni

  • @Awatee

    @Awatee

    2 жыл бұрын

    @@trophainamagogwa7966 Alokwambia watu wanaenda mbinguni nani lete andiko linalo sema mutakwenda mbingun

  • @prophatislael9237
    @prophatislael92372 жыл бұрын

    Kila ninapo ona mihazala yamashehe sioni wakifundisha watu waache zambi wamfuate Mungu zaidi ya mabishano nakukosoa dini nyingine waislam wanachokijua wengi Ni mabishano unakuta anavuta sigala IPO kwenye kanzu huku anatetea uislam hiliz chale mwl mzma halafu kwenye mabishano yakutetea dini yupo kwasababu hafundishw ajitenge nazambi anafundishwa mabishano Tito 3-9

  • @ambarnelly6304

    @ambarnelly6304

    2 жыл бұрын

    Hakuna icho kitu kwenye uislamu tafadha ndugu,unapo kwenda kinyume na din ya kiislam bs tutakueka tu sawa wala si mabishano kama unavyo zani

  • @lileoh3893
    @lileoh38933 жыл бұрын

    Majalibu hayo waislam mungu hawezi kua muongo kutwambia ntume muhadi niwamwisho

  • @MinaniNicolaus
    @MinaniNicolausАй бұрын

    Kidgo kidogo tu mtaelewa yesu ni nana inshallah

  • @barackamosi4116
    @barackamosi41162 жыл бұрын

    Mtasema Sana lakini MUNGU hawezi kumlaani huyo kwasababu hajatukana mtu nakwakuwa anawapenda Sana mwenzenu ndo Mana anawambiy muache majini kuyafuga namumpokee huyu YESU

  • @rahmashaban8693
    @rahmashaban86937 жыл бұрын

    Subhannallah kumbe ana maswahaba mmmmmmmmmmmmmmmh Innah lillahi waina illaihi rajiuun

  • @sirqiutamahambe1915
    @sirqiutamahambe19156 жыл бұрын

    Subhaanahu Wata'ala Laaaillaha illa LLAH wa Muhammadu RASULULLAH(S.A.W)

  • @latifaomari5592
    @latifaomari55922 жыл бұрын

    Hii kweli dalili ya kiama maana ata vitabu vinaxema dalili moja wapo n kutokea kwa manabii wa uongo dunian

  • @ShafShamat
    @ShafShamat4 жыл бұрын

    Mungu akusamehe mana hujui usemacho bwana Hamza

  • @sammabula7359
    @sammabula73597 жыл бұрын

    Ufunuo 1:17-18 17 Nami nilipomwona, nikaanguka kana kwamba nimekufa miguuni pake. Naye akaweka mkono wake wa kuume juu yangu na kusema: “Usiogope. Mimi ndiye wa Kwanza na wa Mwisho,18 na aliye hai; nami nilikufa, lakini, tazama! ninaishi milele na milele,nami nina funguo za kifo na za Kaburi. 19 . Hii verse ya bible itawasaidia kwenye mjadala wenu.

  • @balkisjrashid1508
    @balkisjrashid15085 жыл бұрын

    Duuh! Pole yako nabii feki Allah akuepushe

  • @mysterioprodirector1546

    @mysterioprodirector1546

    5 жыл бұрын

    Balkis Jrashid

  • @anisamresh9168
    @anisamresh91687 жыл бұрын

    Huyu mbaba kavurugwa sana tuu.... Katoa njaa tumboni kaipeleka kichwani

  • @machoyote3991

    @machoyote3991

    7 жыл бұрын

    Anisa Mresh kauzu huyo

  • @hamisipande7253

    @hamisipande7253

    4 жыл бұрын

    Umepatia tena njaa imetoka kichwan inakimbilia macho

  • @abasayoo5934
    @abasayoo59344 жыл бұрын

    Mtume Muhammad swalallahu wa aleihi wa sallam.huyu nabii ametokawapi tena

  • @saidakarim1043
    @saidakarim10437 жыл бұрын

    Jamani anastahiki dua.allah amsamehe na sisi atusamehe. Huenda ni mtihani wa fikra

  • @alsaarh239
    @alsaarh2395 жыл бұрын

    Hamza tul kadhab usione waisilam wamelala wako imara na wewe ulipoteza hao makondoo wenzako lakini si kwa waislamu wote nyooo wewe ni pweza wajisongeshea makaa ya moto mwenyewe

  • @wardalward3693
    @wardalward36936 жыл бұрын

    Jemeni NABI ANATEREMKA duniyani

  • @domykimata5768

    @domykimata5768

    4 жыл бұрын

    Makubwa

  • @zulficarbacarsuale6877
    @zulficarbacarsuale68775 жыл бұрын

    HAMZA MJOMBA NJA UKIPELELEZA ITAKUEKA SEHEMU MBAYA, KURHANI AIJACHA KITU, KUAMANA IPO SAFI KABISA. KURAHANI IMISEMA MUHAMAD S.A.W. NI WAMUISHO, SASA WEWE. IO NJA ITAKUEKA SEMU MBAYA, RUDI KUA MOLA WAKO YEYE NIMPOLE SANA.

  • @ninjaisma7983
    @ninjaisma79836 жыл бұрын

    Karogwa uyu Anajiita Hamza kasoma dini ya kiislam kidogo tu ndio anataka kuivuruga dini yetu iliyonyooka.. ALLAH amuangamize kabisa

  • @rahmatumam357

    @rahmatumam357

    6 жыл бұрын

    Ninja Isma hajarogwa huyu atafuta Kiki na attention yuona wenye kusemwa sana Tanzania ni diamond na wenzake akaona duuh nifanyeje nionekane ndo akaona bora afanye vituko ivo lakini huyu alikua asubiriwe akiingia tuu kichwa kando mwili kando

  • @taitusbangu8909
    @taitusbangu89094 жыл бұрын

    Ujuzi huu....Mungu anajua

  • @salummzee9739
    @salummzee97392 жыл бұрын

    Mtume Muhammad s a w ndie kiongoz wetu na yy ndie aliye tabiri kabla ya kuja Masihi Dajjal atakuwa jeshi lake ndie huyu hapa Tuombe atuepushe fitina zake Masih Dajjal

  • @govinsonlugano9226
    @govinsonlugano92265 жыл бұрын

    Kwani hamjui kama Mungu ni Roho.Mungu hadili na mwili.anadili sana na Roho na nafsi.na Roho ni nguvu za Mungu.Mungu ni yote ndani yayote.anauwezo yakumtumia mtu wala kitu chochote sababu anauwezo wakufanya chochote.Mungu anauwezo wakutumia hata mawe wala miti.sasa mtu asie soma atashindwaje kumtumia jameni?mko kimwili sana mbona.Acheni Nabii afanye mapenzi ya Mwenyezi Mungu.ivyoivyo ndivyo Mafarisayo walifuatilia Yesu na Mitume wakifikiri wanapigana na watu,kumbe wanafanya vita na Mungu. Ndiomana hata Mafarisayo pia hawakumwelewa Issa Bin Mariamu.Mbona mnamtishia kifo?mkimuuwa uyo anaenda Mbinguni.wakati wa Neema hu. Amepewa Unabii wa nyakati za Mwisho ndugu Hamza.

  • @nasserm.nasser5087

    @nasserm.nasser5087

    5 жыл бұрын

    Huwa anakuja makanisani kuongea upuuzi wake. Uislamu hauna manabii elfu moja duniani kama ukristo. Kitakachotokea baada ya Hamza kufa utaona ni kundi kubwa limejietanga na Uislamu na kujiita nao ni waislamu na mtume wao ni Askofu Hamza. Anatumia kila aina ya falsafa kudai utume. Na miezi mitatu ambayo alituwekea ilishapita. Misikitini mtu haji na falsafa na porojo. Kila kitu asemacho lazima atope dalili. Siyo kama Ukristo, mapadri wataongea wee na kujiita manabii na kuwaibia waumini wao michango na porojo zao na miujiza yao ya urongo.

  • @julesngama2508
    @julesngama25084 жыл бұрын

    Galatia 2:20 someni vitabu muwache kumu lahumu jama uyo jama ni Nabii . Yesu njo jiya na uzima wa milele tena ayo Maneno yako ndani ya Quran.

  • @seifrajabu9511

    @seifrajabu9511

    4 жыл бұрын

    Acha uongo bana Qur'an 5:75 inasema isa bin mariam si chochoote ila ni mtume tu sasa usitudanganye kuwa ni mkombozi

  • @muhalakibwana4026

    @muhalakibwana4026

    2 жыл бұрын

    Tupo katika Qur'an Aya gani sio kubweka tu ndugu

  • @mwanaishamohamedi7968
    @mwanaishamohamedi79687 жыл бұрын

    Dunia imekwisha manabii mpaka wa kihaya subhanallah

  • @zaharanihassan9013

    @zaharanihassan9013

    6 жыл бұрын

    hahaaaaa et Wa kihaya

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz71585 жыл бұрын

    Mnamwitaje ustadhi mpumbavu uyo c bora mm nastahili kuitwa ustadh

  • @rahmashaban8693
    @rahmashaban86937 жыл бұрын

    Wewe hamza na maswahaba zako mmevurugwa sana.

  • @aminaabdallah7702
    @aminaabdallah77022 жыл бұрын

    Subhana hâta sura Yako sitaki kuiona

  • @bahatijohn1958
    @bahatijohn19582 жыл бұрын

    Hamza umenifurahisha sana

  • @fatmashabani6628
    @fatmashabani66285 жыл бұрын

    Oyo anaejiita nabii manabii wapo enzi ya mitume kama vp aende kwa makafiri huko tushazoea hayo majina

  • @rajabuselemani1340

    @rajabuselemani1340

    4 жыл бұрын

    Mashekh mtandikeni bakola uyoo hadi ajakubwa imtoke

  • @othmanmahmoud4353
    @othmanmahmoud43532 жыл бұрын

    Allah atuhifadhi sote nae

  • @nazonahdi9993
    @nazonahdi99934 жыл бұрын

    Stakhfirulaah mungu atakushinda inshallah mtume alikuwa wa mwisho Mhamad s.aw ila alishasema watakuja waongo kibao watakaye jiita mtume dalili za kiama naona ndio karne hii

  • @BigZhumbe

    @BigZhumbe

    4 жыл бұрын

    Mtume alikua wa mwisho na Nabii Issa atarudi.

  • @MariaMaria-gq4kd
    @MariaMaria-gq4kd4 жыл бұрын

    J😁😁😁😁😁😁😁😁waisilam wamekua kichaa hata wengine hawa jui kiarabu vizuri jamani mheshimuni mungu

  • @jamilajamila4572

    @jamilajamila4572

    4 жыл бұрын

    Duh

  • @abdallahelhaddad5572
    @abdallahelhaddad55724 жыл бұрын

    Nyie mlikuwa mnamuogopa hapa angekuwepo Mazinge au kinyogoli angemnyooshaa huyu

  • @abuhhumayya2995
    @abuhhumayya29957 жыл бұрын

    Asalaamu alaykumu ndugu zangu waislaamu uyu anaejiita nabii uyu anatatizo la masi yaan amepatwa na jinni asomewe ruqya shaitwani anamsumbua uyu.

  • @ibrahimabdul8257

    @ibrahimabdul8257

    6 жыл бұрын

    abuh humayya kweli kabsa akhii...ilham anayosema ni shaytwan kamchezea

  • @hawraymuncw9893
    @hawraymuncw98934 жыл бұрын

    Ingependeza sana

  • @madrasatulmujtabahschool7621
    @madrasatulmujtabahschool76214 жыл бұрын

    Kulia sio sababu ya kua mkweli hata matapeli hulia wanaotaka kutapeli mungu akuongoze katika njia iliyonyooka

  • @alinaaman4857
    @alinaaman48576 жыл бұрын

    Mpeni kazi shekh maskini

  • @ibrahimabdul8257
    @ibrahimabdul825724 күн бұрын

    Jikristu hili lina jarbu jarbu kuupiga vita uislamu kwa ndani…

  • @bahatijohn1958
    @bahatijohn19582 жыл бұрын

    Kumbe nabii uko sawa

  • @furahinimbise1804
    @furahinimbise18044 жыл бұрын

    Hamza ni kamanda wa Yesu.

  • @jenifajulius7814

    @jenifajulius7814

    4 жыл бұрын

    Ameni kamanda kwel

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah57966 жыл бұрын

    Hyo ramadhani unakaa na njaa tu. Shahada huijui, Nabii Isa unaamini kua ni Mungu au mtoto wa Mungu mana unaingia kanisani na unasema unaamini km kasulubiwa. Bora ule tu km hao wenzio