UTATA WA UNABII WA SHEIKH HAMZA ISSA (NABII ILIYASA-ELIYA) KIBIBLIA
Kwa muda mrefu sasa, Sheikh Hamza Issa amekuwa akidai kwamba yeye ndiye Nabii Eliya (Kiarabu iliyasa) kama alivyotajwa na Yesu Kristo kinyume na jinsi Biblia inavyoeleza.
Hebu msikilize wewe mwenyewe nilipokuwa ninahojiana naye kuhusu suala hilo nyumbani kwake.
Usisahau ku subscribe, like, comment na ku share ili wengi waelewe.
Ukiwa na swali tupigie +255 755 680101.
Пікірлер: 797
hamza uko juu sana una kitu moyoni mungu akubariki
@BAYYINATDMTV
5 жыл бұрын
Kei Pheruz ahsante kwa maoni yako kwamba Hamza yuko juu. Je, yuko juu kwa sababu anapingana na Biblia?
@Mpakauseme
4 жыл бұрын
@@BAYYINATDMTV 😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣
Hamza is quite an important personalities in theological world. He has a brain and understanding. I salute him.
Mankemwa uko vizuri kwa maswali yenye elimu.ubarikiwe.
Huu ni mjadala wenye manufaa sana. Asanteni sana.
Mungu akunusuru hamza wewe si nabii mungu atakuhukum
3. Ali `Imran (The Family of 'Imran) Ayah No. : 85 وَمَن يَبۡتَغِ غَيۡرَ ٱلۡإِسۡلَـٰمِ دِينًا فَلَن يُقۡبَلَ مِنۡهُ وَهُوَ فِى ٱلۡأَخِرَةِ مِنَ ٱلۡخَـٰسِرِينَ 85. Na anaye tafuta dini isiyo kuwa Uislamu haitakubaliwa kwake. Naye Akhera atakuwa katika wenye kukhasiri.
Nachokijua apo mungu wetu ni mmja Hamza anataka kuondoa ule ubaguzi mnaouleta waislam na wakrusto huenda mungu amekusudia hayo ss wote niwababa mmja tunavuta pumz ya baba mmja ila Hamza kashawaikusema yesu ndie mkuuu wa ulimwengu ila tu anawaogopa waislam wenzie
Ubarikiwe mtumishi wa mungu hata sisi tulitoka huko lakini sasa tuko kwa YESU kristo
@BAYYINATDMTV
5 жыл бұрын
Jfine Isaac ubarikiwe kwa kuchagua njia ya uhakika
Wapenzi,msiiamini kila roho,bali zijaribuni hizo roho,kwamba zimetokana na Mungu kwa sababu manabii wa uongo wengi wametokea duniani. 1Yohana4:1
Ujajipanga vzr Hamza! Lengo lako haliwezi kutimia, kweny uislam unaotaka kupotosha haupo wala kwa wakristo, jipange apo inaonekana unaburuzwa! af tena eti nabii
@abuumaryamannofaly9239
4 жыл бұрын
Swadaqta
Yesu atakuja Mara ya pili mwana wa Mungu kuwanyakua walio wake kwenda nao mbinguni kuishi huko miaka 1000 akiwaacha duniani katika dhiki kuu walio muonea haya kuitangaza injili yake na kuokoka katika kipindi hiki Watu wataokolewa kwa upanga hasa endapo watamkiri yesu, Kisha walio mkataa moja kwa moja yesu kristo atakuja waangamiza kwa jehanum ya milele na milele
@fatumaabdallah3940
5 жыл бұрын
Joel Peter Chengula mambo vipi mzm,ebu soma apo.(MATHAYO.6-9,10)UFALME wa Mungu na uje,na mapenzi yake yatendeke..bado ufalme aujaja na utakapo kuja utatawala dunia na apo dunia itakuwa PARADISO. Soma hii.plz.ZABURI.37-29..METHALI. 2-21,22).UFUNUO. 21-3,4).ZABURI.37,10,11)ILA TAMBUA KUWA WATAKAO ENDA KUTAWALA NA YESU MBINGUNI NA DUNIANI NI WALE WALIOCHAGULIA 144,000.(UFUNUO:14-1-5..KUTIA NDANI MITUME WAKE.ILA SISI WENGNE AMBAO NI WAMINIFU TUTAIMILIKI DUNIA. KAMA AYO MANDIKO APO JUU,YAPO MENGI SANA MANDIKO ILA SOMA SANA BIBLIA. KWANI ILO NDO KUSUDI LA MUNGU KUUMBA DUNIA. ISAYA.45-18)MATHAYO.5-5)
Daniel hongera mzee baba, unajua natamani kuwa kama wewe
mwinjilist Daniel uko vizuri
kazi nzuri bwana Daniel
Mdahalo mzuri sana,mmeshindana kwa hoja,fanyeni mdahalo mwingine
Yesu akukufa wara akukufuriwa amemuririya mungu amuokowe nakifo natarudi duniyani kuwakana kama yeye siyo mungu na itafika muda wake atakufa
@francisjoseph1074
2 жыл бұрын
Hasara uliyonayo katika akili yako ni kubwa mno
Mungu awabaliki sana watumishi was Mungu Daniel mwankemwa na sheikh hamza issa kubwa zaid no sheikh hamza kumjua yesu kristo nakumkili apo abalikiwe pia katika jina la Yesu aameeen
Hongera kwa Maelezo mazuri hamza issa
@khairulabdi8231
5 жыл бұрын
Pumba Tu Hamna Muislaam hapo halafu Wote Mmelaaniwa
shehe Yesu kristo anakupenda sanaaa mtafute yeye mengine yote mtazidishiwa
Hongera sana Hamza
Ahaa, mwalimu hauko straight ktk kuuliza Maswali, unatoa maelezo mengi mno halafu unarudia sana sana
@taitusbangu8909
4 жыл бұрын
Muuliza maswali anaboa mpaka anaonesha kusudi LA kutokujua
@taitusbangu8909
4 жыл бұрын
Muuliza maswali anaboa mpaka anaonesha kusudi LA kutokujua
Yesu sio mungu ni nabii wanao muita mungu nimajuha
@francisjoseph1074
2 жыл бұрын
Yesu ndio mungu
@alicexuma1143
2 жыл бұрын
utaja mkuta
jamani huyu ameona mwangaza Mungu hana upedeleo waislam wengi wameanza kufunguliwa yesu anawatafuta kodoo waliopote yesu anapenda wote
Mwailimu anajaribu kuakusanya waislamu na wakristo kurudi kwenye nyumba moja
Safi sana mtumishi Daniel, mngu akuzidishie maisha marefu.
hongereni mnaeleweka
Nampenda shekhe Amza kwakumbali YESU Kristo kuwa ni njia pekee ya kuuona ufalme wa Mungu
@halimasaidy6087
3 жыл бұрын
We hujui kuwa yesu ni mnyenyekevu ndio maana
Ma sha Allah Sheikh Hamza. Bado hujapotea ilimradi bado uko na shahada. ma sha Allah.. na In sha Allah. Allah Atakupa ufunuo ufuate njia ya haki.
@ghanimahilal7275
2 жыл бұрын
Ha ha dah maskini
Hamza muogope mungu kwa thamani ndogo ya dunia kwa hasara kubwa utakayo ipata ahra
Daniel kuwa mpole kama Yesu Kristo, huyu Hamza ni mkristo ❤
Uwongozo Mkuu hutoka kwamungu atamtuma roomtakatifu kwaufunuo zaid ila kwaakiliyako bnfs utaishia padogo Sana. ONGERA KWAKUONGEZA IMANI ZAID amtafutae mungu kwadhat hatoachwa
Kila mtu atapiga magoti siku ya kiama na kila ulimi utakila Yesu ni bwana. Kwa Yesu nj raha
@jeanmjimmy
4 жыл бұрын
Kweli kabisa. Ndugu Mungu akubariki.
Big Up Daniel
Hàmza hajasema yeye ni Mkristo. Yeye ni Muislamu anayemwamini Yesu!
Aliye leta ukristo na uislam ni mwenyezi mungu lazima hilo mkubali
@pascusmathew4809
4 жыл бұрын
Kaa ujifunze zaid utaelewa
Mbona nabii ako very clear...
Yesu alisema ishara hizi zitafuatana na hao waaminio,watatoa pepo,wataponya wagonjwa
Uislam na Ukristo ni vitu viwili tofauti kwakua kinachokubarika katika ukristo uislam unapinga.... Yesu Mungu. Uislam unasema Yesu sio Mungu. Yesu mwana wa Mungu.. Uislam unasema Yesu sio mwana wa Mungu.. Yesu alikufa . Uislam unasema Yesu hakufa .... Ivyo hatuwezi kua sawa mpaka kiyama
@Fadhira7897
5 жыл бұрын
Yesu sio mungu wewe
Waislamu wengi siku hizi wamegundua kwamba "Muhammad kasema Isaa ambaye ni Yesu Kristo ni Yeye Mwokozi wa Ulimwengu aliekufa na kufufuka", sasa wanashindwa kumfuata sawasawa na kuachana na uislamu. Hii ni hali ya kuchanganikiwa. Inaonekana kumbe Muhammad amewaomba watu kumfuata Yesu Kristo kama Neno la Mungu na Neno la Mungu. Waislamu shikeni uamzi, achana na kujichanganya, acheni mambo yote mfuateni Yesu Kristo pekee yake
@ilyaaswambi1622
2 жыл бұрын
Ufaham wako ni mdogo, wote hao ni mitume, yesu alimtabiria Mohammad kuja, tatizo lenu mkumtukuza mtu kuwa mungu, sote njia yetu moja
Mwakemwa, tafadali muulize swali hii, kama alisema bibliya na koroani ni kitu kimoja,kwa mfano Yesu wali muuliza kuna Muke aliolewa na wanaume Saba je wakati wa ufufuko atakuwa wanani? Yesu akajibu katika ufufuko haatakuwa kuolewa na kuoa, tutakuwa kama Malaika ,lakini katika kitabu kinatwa laha za peponi muhamadi kasema waislamu wataowa wake sabini nambili tena Muke mumoja atamuoa myaka nane,tena kwasabu Siku moja kwa mwenyezi Mungu nikama mwaka ,ukiesabia myaka wataowa ni myaka kama malioni na mamalioni, , ukiwa unahakili wislamu niushetani tupu.hakuna kitu kizuli ndani ya wislamu Na huu anajiita nabii eliyasa ni muongo anataka kuwapoteza Watu Wengi ni mufumo washetani kuwapotosha Watu.
@hassanjuma2772
2 жыл бұрын
Hujui unachokisema
@ilyaaswambi1622
2 жыл бұрын
Bora ukapime kwanza
ubarikiwe mtumishi daniel
Nabii Eliya hakuoa bana wewe Hamza umeoa. Vile vile yesu mwana wa Mungu hakuoa, Mungu pia hajawahi uoa.
Nimefurahi xana ,kumkuta Daniel na shekh hamza ,
Hongelen
Hapo hujamuelewa hamza issa
Mkate Yesu aliowaachia mitume ambao waliuawa. Mapokeo papa hakupewa mamlaka ya mitume, kwa hiyo jambo hilo ni feki Yesu mpaka leo anatuma watumishi wake ambao kwa ajili ya hayo mapokeo watu wengi wanawakataa akiwemo na Iliyaasi
Mwankemwa....wewe kiboko sana mwalim
@mwansitiomari600
6 жыл бұрын
Nyote macherema.
this is the business munapotosha dini zote atuwaelewi
Huyu mchungaji lengo lake kubwa ni Hamza awe mkristo
@rubbenjohn6490
5 жыл бұрын
Kwa. Hafai
@frankanold9803
5 жыл бұрын
@@rubbenjohn6490 wewe ndo umezubaa kweli,mbona Hamza Ni mkristo kabla hata hajakutana na huyo mchungaji
@jeanmjimmy
4 жыл бұрын
Tunapenda kuona Isa awe mkristo ili roho yake isiukumiwe. Na were pia upate kuokoka.
inna lillah wainna ilayih raajghun haya yote yashazungumzwa katika qur -ani (itakapofika zama za mwisho (akhiir zaman) watajitokeza watu kudai utume Bali hayo yalishaelezwa ndani ya qur -ani kua Nabii Muhammad ndio mtume wa mwisho .naomba waislam Tue makini na watu kama hawa
@myself4128
5 жыл бұрын
Kama mohammad ni nabii wa mwisho au mtume wa mwisho sasa Yesu kwa nini atakuja tena duniani??? Na akirudi atakuwa ni nabii au Mcheza mpira sababu waislamu mmeongopewa sana!!!muhammad hakuwa nabii sababu nabii wa Mungu asingekufa kwa sumu au kurogwa
@yassirmohamed7478
4 жыл бұрын
Inna lillahi wainn ilaihi raajiun bonge la kafri hili nalo dah hyu si muislam anatfta kula tu yey pamoja n njaaa zake ila Allah atmuhukmu
@jacklinennko8517
3 жыл бұрын
Pasta hutulii ??? Mbona ye anakupa muda wa kukusikiliza
@jacklinennko8517
3 жыл бұрын
Umepanic Danieli
@jacklinennko8517
3 жыл бұрын
Tulia
Hivi kweli Hamza kama uko muislam wa ukweli huwezi kupoteza watu na kuilimisha watu hali ya kuwa huna ilimu ya dini. Na kama utazidi kupoteza watu siku unazo bakiza za kuishi sio nyingi duniani. Utakwenda ukutane na Allah ili ukajibu maswali yote . Rejeya kwa Allah na utubiye madhambi yako na kama weye ni mkristo basi soma vizuri dini ya kiislam ili uwe muislam mzuri na Allah atakusamehe in sha Allah.
mtumishi naomba ufanye nae tena mdahalo mwngne
KWeli anaonekana kama Muislamu but ametawaliwa na maradhi ya Unafiki ambayo ni maradhi hatari saana. ALLAH atulinde na Unafiki .
Hakika quran imeremshwa kamili haijapungua hata herufi moja na quran ni maneno ya Mwenyezi mungu aliomwambia mtume muhammad s.a.w
@roidatadey8656
5 жыл бұрын
Wakati uo mnaabudu majini
@sumaiyaibrahim429
5 жыл бұрын
@@roidatadey8656 :hakuna binadam anae muabudu jini
@mwechizumbabaraka5165
5 жыл бұрын
Akuna muislam anaeabudu majini labda nyie makafiri
@jacklinennko8517
3 жыл бұрын
Shida ya mwenzetu anafikiri kumuamini yesu ni kutokuvaa kanzu
@jacklinennko8517
3 жыл бұрын
Hamza unaijua injili
We hamza siyo muislam
Waislamu wanamuabudu mpinga Kristo bila kujijua, tubuni na mumfwate ili mpate kuokolewa maana bila kumkiri Yesu kristo kua bwana na mwokozi wako, wewe hauna uzima, Na kama unaendelea na chapa ya mnyama ya kutangaza HAKUNA MUNGU ILA ALLAH we endelea mwisho wako MOTONI
@aminielsikawa9938
2 жыл бұрын
wewe.uko.njichini.kielim.
wewe mchungaji mwenye top authority ni mungu pekee, yesu mwenyewe alishasema sio yeye wala malaika aijuae siku ya mwisho isipokua baba wa mbinguni . usituletee ushirikina hapa alaaaa
@ramadhanmussa6318
5 жыл бұрын
Hamza ni mkristo anajifanya anajua siku ya mwisho
@frankjohn8570
5 жыл бұрын
Hadija Felis Mungu amempa YESU hukumu ulimwengu siku ya mwisho
Teh,teh,teh nikikuckiliza we hamza cna mbavu maana uelewek yaan ni kivuruge, mgeukie yesu kristo maana yeye ni yote katika
Yesu sio mungu wala mwana wa mungu
@frankjohn8570
5 жыл бұрын
seif said YESU NI MUNGU KWA WANAOMJUA MUNGU
@kassimmgwami
4 жыл бұрын
Si kila Mkristo anayeamini kuwa Yesu ni Mungu, hiyo ni imani ya dhehebu lako tu, wewe Hamza unapoteza muda tu, huyo jamaa hajui kitu.
Watu tuwe tukikubali kujadili tunayoyaamini pamoja na wengine wasioamini kama tunavo. Imani nzuri na ya dhati inajieleza yenyewe kwa ufahamu. Hapana kwa ushabiki tu. Nimependa hawa watu wawili kukaa pamoja na kujadili imani zao
@yahyarajab525
4 жыл бұрын
Witee ni makafiriiii njaaaaa
Mmoja anasema YESU ni MUNGU ni hatari kubwa, na mwingine anasema yeye ni NABII ni baraha kubwa sana kwahiyo wote hao HAWAJUI KITI
Mwinjilisti Danny nimebarikiwa na mazungumzo yenu. Nmekuwa namfuatilia sana Ustaadhi Hamza na mimi pia nilikuwa na Maswali mengi kama yako. Umefanya vizuri kumuuliza. Nadhani mngeongeza na topic nyingine nahisi atafunguka.
@BAYYINATDMTV
6 жыл бұрын
Amen Aman Boma
@Moteswa
6 жыл бұрын
Nimefarijika pia kujua kuna wapendwa Mungu amewapa ufahamu wa Hali juu wa Dini zinginge. Chochea Hiyo karama uliyonayo si kila mtu anaweza kuifanya kwenye mwili wa Kristo. Be blessed.
@BAYYINATDMTV
6 жыл бұрын
Amen
@morrisevaristerbatulaine1933
Жыл бұрын
@@BAYYINATDMTV Muulize swali hivi kwamba ,kama Biblia imekwisha taja hayo yote,je hiyo Quran inatoka wapi? Na Kwa Nini inataja au inazungumzia habari ambazo tayari Biblia imezungumzia ?
@morrisevaristerbatulaine1933
Жыл бұрын
@@BAYYINATDMTVLakini pia Yesu ni Nabii Wa kwaza nawa mwisho,inakuaje Mtume Muhammad awe Wa mwisho na kwanza
Wafuasi wa kiristo wanaakili sana
Duh hapa mmeniacha hoi malaika jibril ndio roho mtakatifu na ndio huchukua ujumbe kutoka Allah kuwapelekea wajumbe wake yaani mitume iliopo naile iliopita! Huyo ndio roho mtakatifu!
Sakrament hawezi kukupeleka mbinguni wewe Imani yako tu
Yesu hawezi kuwa Issa na hakuna huusiano wowote waislam wanalazimisha kuwafananisha kwa kumpa nafasi Issa Ila ukweli ni kwamba ata Mungu wa wakristo na waislam pia hawafanani .. Biblia nikitabu kilichokamilika ( kitakatifu)
Toa njaa zako we we ,unasifa ya uislam
ondoeni usenge wenu hapo mnamchezea mungu shenzi kabisa laaanatullah...both of u.
@jeanmjimmy
4 жыл бұрын
Njaa itakuuwa fanya kazi upate pesa wewe.
Kama rejea wataitaka katika kitabu cha kwanza Basi wakubali vyote watakavyo vikuta kwenye kitabu cha kwanza kwasababu ndiyo wanatakiwa kuyajua
Wewe Mwankemwa hujui hata biblia, kwani kwenye biblia kuna sehemu Yesu anasema yeye alikua na dini inayoitwa ukristo?
Huyo shekhe anasumbuliwa na majini!
@alawiabrahman8222
3 жыл бұрын
Tatiz njaa
Dan kwan huyo akiwa muislam na anasema habari inakuhusu Nini,,,,,,au umetumwa siumwache aendelee
Y Jamani Hakuna uhusuano wowote kati ya mwislamu na mkristo acheni mabishano Yesu ndie mwanzo na mwisho hapo Hakuna kipingamizi
IPO cku tutamwelewa tu YESU Kristo.
@alhamdulillah5796
6 жыл бұрын
Joseph Harri, never!! Yesu sio mungu
Shehe haoni pakusimamia katika hoja zake 😂😂😂😂
Sheria ni AMRI kumi za MUNGU na ndizo zitahukumu
uyo shehe yuko sawa lkn anatakiwa kueleweswa vzr
Wanao sema Yesu sio Mungu kuna siku watamkuta
Dini ya haki mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu
@fantsonmpango7742
6 жыл бұрын
The Challenge Boys The Awadhs ,lakini si dini ya kweli. Kuna tafauti ya haki na kweli. Din maana yake ni ni njia na Yesu anasema Mimi ndimi njia ya kweli na uzima hivyo Dini ya kweli ni Kirsto
@cupcakesanddounuts6555
6 жыл бұрын
The Challenge Boys The Awadhs Jesus came before Muhammad he brought the truth hundreds years before Islam.
@stevintitusmkoreaasijaribu6918
6 жыл бұрын
The Challenge Boys The Awadhs wafuga majini nyie waujua uislamu ww mpumbavu ww
@stevintitusmkoreaasijaribu6918
6 жыл бұрын
The Challenge Boys The Awadhs mchungaj nimsenge nifala
@timlex4979
6 жыл бұрын
The Challenge Boys The Awadhs dini ni yesu
Wew pastor ungetulia tu kwanza umuache Mungu afanye kazi yake.....usichanganye mambo
@BAYYINATDMTV
5 жыл бұрын
Neema sijakuelewa una maanisha nini kwamba nimuache Mungu afanye kazi yake. Fafanua ili nikujibu
wewe si muisilam muogope mungu
Mnatumalizia mb zetu nyinyi mambumbu wawili mmekosa kazi
Yesu sio mungu Bali ni Nabii
@magrethshao9588
5 жыл бұрын
Yesu ni Mungu tena ni njia pekee ya kwenda mbinguni.Yesu kristo anakupenda .
@financialloan9818
5 жыл бұрын
Ujui kitu ww yesu ni mungu bila yy ufiki mbinguni mungu anajifanya kw vyovyote vile ata musa alisikia sauti ya mungu kutoka kwa mti yesu sio binadamu ni roho takatifu ndio maana mama ake bikira
@sumaiyaibrahim429
5 жыл бұрын
@@financialloan9818 pole yaani wewe ndo bure Kabisa
@abdulrahmanmussalonka4935
5 жыл бұрын
Financial Loan ni kweli kabisa kaka, mungu huyu ana mama, na alitahiliwa lakini pia alikula chakula haitoshi pia alienda chooni akanya, pia ni katika uzao wa adam (ni nwana wa adam) hapa tunaenda sawa.
@rubbenjohn6490
5 жыл бұрын
We hata hujui k2 2lia tu
Yesu hakua na dini inayoitwa ukristo.
@bidafumbuka855
4 жыл бұрын
Nn maana ya dini bwana kassim mgwami
Mwalimu Danniel itabidi umsikize hoja zake kisha mfundishe injili ya quran sio ya Kristo kisha Isa sio Yesu twaomba mfundishe kwanza hilo alifahamu
@kavishe2009
5 жыл бұрын
يسوع Yasū‘ ndivyo waarabu wakristo wanavyomuita Yesu. ISSA ni yesu wa kwenye QURAN na sio yesu wa kwenye Bible.
Nabii hamza nimekuelewa yesu ndie njia ya kweli upo sahihi
@eugenyurassa2183
5 жыл бұрын
Good
@isaacmafole2136
5 жыл бұрын
Safi sana kaka
@kambirajabu6772
5 жыл бұрын
Hao wote wendawazimu wanajuana hakuna hata mwenye gud understanding
@roidatadey8656
5 жыл бұрын
Ameni
@isaacmafole2136
5 жыл бұрын
@@roidatadey8656 0692 025907 Nicheki wats up for more information about dini na asili ya mtu mweusi
nabii eliya umekubalika na wengi mpaka waarabu wamekubali unatisha
Ukweli mkristo wa kweli habishanii dini ndo maana tunasema ukiongozwa na roho haupo chini ya sheria tena,huyu daniel bado ni mwanadini haongozwi na roho
@BAYYINATDMTV
5 жыл бұрын
Jeremiah Andrew wewe unayeongozwa na roho unakubali Muhammad mtume wa Waislamu ana mamlaka mbinguni na duniani Kama Yesu? Nijibu.
halijui kitu hlo hamza
Mnao mpiga Hamza nataka mjue ivi , Elijah (Yohana) alikuja wakamfanyia walivyotaka,pia masihi yesu akaja wakamkataa naye pia.hamna tofauti na hao mafarisayo na wakuu wa sheria
MAKAFIRI WAWILI WAMEKALIANA WANAJADILI WASIO YAJUA ,MNATEKENYANA MKIJICHEKA WENYEWE
@jeanmjimmy
4 жыл бұрын
Njaa itakuuwa fanya kazi upate pesa wewe.
Hatawwpia huelew, Paulo hakua myahudi bali ni mrumi.
Innalillah wainnailayh rajiuun
@jesusislord9190
4 жыл бұрын
Sasa kama toulati iko ndani ya quruan na injili iko ndani ya quruani alafu imeandikwa kifupi hawa watu wa leo watajifunza vipi? Maana haikuandikwa yote
Si tuliambiwa manabii wa uongo watakuja? Basi ndiyo hao mnawaona
Huyo Ni sawa Na Nabii Tito maan dishi limeyumba
Makafiri wawili mlikutana hakuna mnalo lijua huwezi kuokoka ukiwa hai mbwa nyinyi
Sheikh YESU alisema heri uwe moto au barindi.Wewe huweleweki u moto wala barindi.kama ni uislamu kaa huko,kama ni ukristo enda huko.usiwe fisi utakatika miguu mwishowe
John the Baptist was nabii Eliya.
Hamza anajikanyaga sana ,Issa siyo Yesu ,Issa ni mwengne na Yesu ni mwingine ,
@ilovejesus7280
6 жыл бұрын
Dennis Mataula yaani ww dio unaye jua, coz issa mamake Mariam alipata ujauzito ni leo na akajifugua siku hio na mtoto akazugumza day hiohio
@alhamdulillah5796
6 жыл бұрын
Dennis Mataula, yanakuzongeni hahahaaa. Ukitaka muembe utake na maembe yake. Sasa nyinyi mnamshobokea huyo nabii wenu lkn akikwambieni yesu ni Issa mnakataa? Pandikizeni tu nyinyi makafir ktk uisilam tutawamalizeni wote. Ama mtakua waisilam 100% au mtakua km nabii wenu huyo, hafahamiki. Uisilam ameukubali lkn na pesa ya kanisa anaitaka. So anakuhangaisheni vichwa tu hapo.
@rashidbusanya7166
6 жыл бұрын
hata sisi hatuna shida na kiyesu chenu kilicho uliwa kinyama
Mwalim Daniel upo vizuri, ila jitahidi kuwa na subira.jipe nafasi ya kusikiliza mwenzio pia ili awe anamaliza hoja zake.vinginevyo mtiririko unakosekana na kuonekana kama malumbano wakati sio lengo la somo lenu.
@BAYYINATDMTV
5 жыл бұрын
Saws Denis lengo lilikuwa kulinda ili tusitoke nje ya mada