THE CHANNEL IS DESIGNATED TO CORRECT THE DISTORTED MESSAGE OF THE BIBLE DONE BY MUSLIMS WHO ARE NOT WELL VERSED WITH THE BIBLE DOCTRINE AND TEACHINGS . SINCE THE ALLEGATIONS ARE DONE THROUGH YOU TUBE CHANNELS AND OTHER SOCIAL MEDIA PLATFORMS, IT IS THERE FORE APPROPRIATE TO USE THE SAME MEANS, BUT IN HUMBLE WITH THE WHOLE TRUTH AND NOTHING BUT TRUTH. WELCOME.
Пікірлер
Leo umezungumzia hoja ya 4, ya chakula chenye nembo ya Halal, tumeelewa sana. Tunaomba ukipata nafasi uzungumzie na zile hoja nyingine 3 alizotahadharisha baba yetu mzee mchungaji Simbaulanga.
Lusekelo,hajui kitu,nipombe zinaongea ndani yake!mlevi chapombe.
Mwalimu bwana akumbaliki sana Kwa mafunzo mazuri umekua msaanda kwangu nikiwa Kenya.je mwalimu mtu anaweza kukupigia simu
Ndiyo unaweza kunipigia. Tumia namba hiyo kwenye sceen. Karibu
Mtapata tabu sana hamna hoja apo uislam ndo njia ilionyooka tu hamna kubabaishana
Aondoa la kwanza na kuleta la pili KWANINI Uendelee kutumia Agano lililoondolewa. Sio kwamba amri zilihamishwa kutoka kwenye mbao kwenda miyoni. Bali ziliondolewa halafu zikaletwa mpya. Huwezi kuhamisha kitu toka sehemu moja kwenda sehemu ingine na ukasema ni kipya . Ndo mana anasisitiza kuondoa la kwanza sio kuhamisha AONDOA LA KWANZA yaani Agano la kale NA KULETA LA PILI yaani Agano jipya Mbona maandiko yapo wazi
Asante Mwalimu Daniel, unasaidia wengi kujua yaliyofichwa kwa miaka mingi yaliyopo kwenye Quran na Hadith za Muhammad. Kumbe vitabu vyao vinaruhusu wao kula vyakula vilivyochinjwa na Wakristo, kumbe wametudanganya muda mrefu kwamba hawaruhusiwi kula vyakula vilivyochinjwa na Wakristo
Duh, kumbe tunalipa jizya bila kujua kwa kununua hizo bidhaa zenye nembo ya Halal?
Mzee wa upako atender japo si chuoni aende kwa mch Hananja amor darás kwani. Hananja hana shida Atambua au atapigwa spana mpaka aeleweke kwani hajui kitu huyo
Mzee wa upako aliisha Ishiwa maada Kavunja miiko aliyopewa alikopita
Safi sana Daniel kwa uchambuzi huu naomba nikutumie msimbazi unywe maji . WAMETENGWA NA KRISTO wale wote wanaotegemea kupata haki kwa utii wa amri sheria na hukumu bila kutumia imani kwa yesu kristo
Lakini Francis ndacha umeonekana kuwa sawa kabisa katika unenaji wako pst, lakini katika msemo wako kuwa siku ya jumapili akitokea na mpango wa mwanadamu na uwezo wetu ya kushinda mauti ni kutokana na kristo yesu aliefufuka katika wavu siku ya jumapili hasubui, na unasema tuna fuata mnyama, mnyama kani alie fufuka siku ya jumapili.
Google kwa kiswahili tu usome maana halisi ya neno Allah. Unapayuka tu na kudanganya watu. Mungu hakuzaa wala hakuzaliwa na hana mfanowe. Yesu awe Mungu amuumbe Mariam halafu Mariam tena Amzae Mungu huyo huyo na nani sasa alianza. Kama si ukichaa ni nini. Hiyo inakuja akilini? Yesu kamuumna Mariam halafu Mariam kamzaa huyo huyo aliemuumba yeye ndio mjinga anawaambia wenzie wajinga. Hata mzee wa upako au wayahudi hawaamini hivyo. Yehova Mungu wa Judaism ya Wayahudi hana uhusiano na Yesu
Kwa hili Mwankemwa umeeleweka vizuri nawashauri wote wawili muungane ili kuwakabili waisilamu (siku haimwokoi mtu achani kupoteza mda kujadili siku)
Tujiulize.Bikra inakazi gani kiroho? Kwanini Mungu aliiweka? Shida wengi tunafundisha kwakutumia mihemko na matashi ya watu.Tukumbuke Mungu anamchukia Sana mwanaume anaye mbikiri mwanamke na kumuacha.kwanini Mungu anakuwa nahasira katika Jambo hilo?
Mzee wa upako hajawah kumkana yesu kuwa mwana wa mungu tuonyeshe iyo klip aliyo mkana
Huyu Mzee wa upako siku hizi simuelewi kabisa na mahubili yake yakupotosha watu kuna krip aliitoa ya kumkana Yesu kua sio Mwana wa Mungu na wala sio Mungu
Sule soma Kutoka6 ili umjue Mungu wa biblia ni nani baada ya kuisikiza voice ya mwalimu Daniel
Sule huzo 200milion abaki nazo zisije zikawa ni za majini.
Mungu wa Biblia yupo juu sana kwa binadamu
Google kwa kiswahili tu uone maana ya neno Allah halafu utubu . Kwani umemtukana Mungu mwenyezi
Mwalimu huyu mzee wa upako ni muhuni tu,sasa hivi hatuko kwenye agano la damu yoyote isipokuwa damu iliyomwagwa msalabani.hiyo imefuta damu zote ndiyo maana ndoa bila Yesu hata kama ulimkuta na bikira bado kutakuwa na shida.
Fungua kamusi au google kwa kiswahili usome maana ya neno Allah. Ukweli unaaibisha na unachuma dhambi kwa kumtukana Mungu. Yesu awe Mungu wakati yeye kazaliwa na aliyeumbwa na Mungu? Hivi hua mnafikiri kabla ya kuongea? Kwa hivi kwa uelewa wako nani kaanza Yesu kumuumba Mariam au Mariam kumzaa Yesu.Na je hii inawezekana? Ni upuuzi mtupu
Sasa binti akijakuta kijana wa kiume ameshapitia mabinti wengi huyo atakuwa mme wa nani? Na. Ninaamini kama hata yeye alikua ameshapitia wengi
Swali langu mwalimu Je kuoa wake zaidi ya umoja ni dhambi nataka maadiko pastor
1 Wakorintho 7:1-2 [1]Basi kwa habari ya mambo yale mliyoandika, ni heri mwanamume asimguse mwanamke. [2]Lakini kwa sababu ya zinaa kila mwanamume na awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke na awe na mume wake mwenyewe. Mke mmoja na mume mmoja. Mume anamwakilisha Kristo Ambaye ni mmoja, na mke analiwakikisha kanisa ambalo nalo pia ni moja. Waefeso 5:22-24 [22]Enyi wake, watiini waume zenu kama kumtii Bwana wetu. [23]Kwa maana mume ni kichwa cha mkewe, kama Kristo naye ni kichwa cha Kanisa; naye ni mwokozi wa mwili. [24]Lakini kama vile Kanisa limtiivyo Kristo vivyo hivyo wake nao wawatii waume zao katika kila jambo. Kristo ni mmoja na Kanisa ni moja.
Safi
HIO 1WSKORINTHO7 DANIEL AMEITAJA MWANZO WA MADA
@@BAYYINATDMTVBarikiwa sanaa mtumishi
UKWELI UNATUWEKA HURU LEO PENYE MKE BIKRA NA MME MPYA. NDO HASA MPANGO WA MUNGU HAYA MENGINE TUVUMILIANE TU MAISHA YASONGE.
Ndiyo maana aliyembikri aliuwawa kwahiyo alibaki kama mjane Dina
Je hakupaswa kuolewa tena? Na yule ambaye angemuoa asingemkubali kuwa ni mke wake kwa sababu siye aliyembikiri?
Kwa mtu aliyebakwa kwakuwa hakutaka ndiyo maana Mungu alitoa msamaha kwa waliobakwa kwasababu umetwezwa nguvu si kwa hiali yao
Ole wake aongezeye au apunguzaye neno rev 22.18 neno la kristo likae kwa wengi ndani yenye.......col 3.16 jitahidi kujionyesha kuwa umekubaliwa na Mungu......3tim.2.15
Sawa lakini Mwl Daniel, Mungu alitoa ruhusu wajane waolewa ili kuhifadji uzao kwa huyo mwanamke anakuwa mwaminifu kwanza ila sasa hakuna namna nyingine maana mme wake amefariki au kwa kubakwa ndiyo maana Mungu alitoa ruhusa kwa sababu hawakutoa bikra zao kwa utashi wao na hao hawana hatia mbele za Mungu tofauti na wale wanao kubali wenyewe maana wamehiyali kufanya hivyo
Leo umeniongezea ufahamu kumbe hawa sio wasabato mi nilijua tu kuwa sio wakristo kumbe tena sio wasabato ni sawasawa kabisa
Mwl Daniel Utandu umekukaa rohoni kuasi kwamba ukweli rahisi anaokupa kwa mujibu wa biblia haukuingii moyoni. Unaona shida kukiri mapungufu yako.
Mwl Daniel anachanganya sabato (sabbaths) za sikukuu za maadhimisho (ceremonial laws) zilizokuwa zikisonda kwa masihi ajaye. Baada ya Masihi Yesu kujua, zilikoma. Sabato hizo si sehemu ya amri 10 ambayo Sabato ya siku ya 7 ya kila wiki sehemu yake kama amri ya 4.
Sijachanganya chochote. Sabato zote zilikomeshwa. Je uko tayari niweke kipindi na wewe ili uje utueleze hayo? Nijulishe. Kama uko tayari nitumie namba yako ya WhatSap. Huenda tukaelimishana.
Ila mwalimu we unaelew amri za Mungu zipo ngapi?
@@yamungummungulo633 suala la amri 10 inahusikaje kwenye somo hili?
@@BAYYINATDMTVwakikosa hoja wanaanzisha yasiyohusika na kilichopo😂
Mwl. Daniel hajaelewa kuwa sheria za amri 10 za Mungu ziko ktk vitabu vya begani jipya hata kama hazikupangwa kwa mtiririko wa 1, 2, 3, .. Ktk nyaraka za Mtume Paulo ametaja mikusanyiko ya ibada siku za Sabato x 84. Ilikuwa ni desturi ya Yesu Bwana wa Sabato , kuitunza sabat.
Usilalamike kwa maneno matupu. Kama unazo aya hizo anzia na ya Yesu kutunza Sabato baada ya kufufuka. Karibu.
@@BAYYINATDMTV16 Basi baadhi ya Mafarisayo wakasema, Mtu huyo hakutoka kwa Mungu, kwa sababu haishiki sabato. Wengine wakasema, Awezaje mtu mwenye dhambi kufanya ishara kama hizo? Kukawa matengano kati yao. Yohana 9:16 28 Basi wakamshutumu, wakasema, Wewe u mwanafunzi wake yule; sisi tu wanafunzi wa Musa. Yohana 9:28 29 Sisi tunajua ya kuwa Mungu alisema na Musa; bali yule hatujui atokako. Yohana 9:29 34 Wakajibu, wakamwambia, Ama! Wewe ulizaliwa katika dhambi tupu, nawe unatufundisha sisi? Wakamtoa nje. Yohana 9:34 Kama Yesu mwenyewe hakuishika sabato mimi ni nani hata niishike sabato mwalaimu wangu wasabato wasikunyang'anye haki yako kwa jina la Yesu Kristo Mwana wa Mungu aliye hai
Asante kwa jibu zuri mwalimu mwankemwa
Hapo sasa kweli Yesu ni ufunguo asante mwalimu Daniel mungu awe nawe na kutufundisha yale hatukujuwa , fred Lusweti kutoka Nairobi wa maisha ya uzima wa milele ,,
Ndacha pambana kuokoa roho za waislamu pengine na waromani ambao wako vuguvugu hachana kabisa na watu walio okoka au hujapata kusoma andiko Bwana Yesu akisema kondoo wengine ninao ambao siyo wa zizi ili.
Waromanu mumesha wahukumu..😂
Yuko kimwili zaidi
Torati ni 613 siyo 10 kumi ni agano la kale kt ya waisraeli na Mungu
Kama ni ivo sasa anza kuzini, kuiba na dhambi zingine. Ndugu yangu, amri za Mungu ziko pale pale
Ndacha hapa unasema wongo
WOTE. MMEKOMBOLEWA. NA YESU. SIKU. HAIOKOI
NDACHA. TUAMBIE. MAANA. YA. HII AYA. YOHANA 5.18
KRISTO yesu ndiye Bwana wa sabato; 1 corr 5:7_8.Amen and amen
Sawa tunaingia ibadani na viatu Bora mara 100% kuliko kufanya ibada na majini mashetani na tunajua mashetani watatupwa motoni jehanamu wewe shekhe usijisifu na hiyo Dini ya majini unachekesha Sana na huyo allah hana address nzuri
Ukweli mtumishi;John 8:32 [32]And ye shall know the truth, and the truth shall make you free. tena mtaifahamu kweli, nayo hiyo kweli itawaweka huru.
Kumbe mnalazimisha siku wazee hapo hakuna point hilo andiko halihusiani
Mwendo wa sabato Nini maana yake siyo siku ya sabato
Siku ya jumapili imepitishwa na kupangwa na wanadamu, je Yesu afufuke lini, nayo ilipangwa na wanadamu?
Kwani Yesu kufufuka jumapili inahusiana nini na ibada ya jumapili??
Yes ni siku ya utukufu mkuu BWANA AMEFUFUKA @@tridaxprocumbens6079
@@tridaxprocumbens6079 Sabato ya jumamosi ilitokeaje?.... ni utasema MUNGU alipumzika baada ya kazi ya uumbaji Vivyo hivyo jumapili BWANA alifufuka ikiwa siku ya BWANA
@@denismugisha2 nipe andiko linalosema jumapili ni siku ya Bwana
Kwani ulijuaje sabato ni jumamosi?? Wapi kwenye Biblia inasema siku ya sabato ni jumamosi???@@tridaxprocumbens6079
Nirudie tena comenti ndacha endelea na kufundisha unajua sana mwenzetu aelewe kwa kuwa amesha sababisha tuache kuamini agano jipya
@@user-pl3pc4wk9i Unataka ung'ang'anie Agano la Kale ambalo lilitoweshwa? Unaipenda photocopy kuliko original? Pole sana
Yote ni sawa tuu ilimladi usivunje sheria ya mungu. harafu hiyo habari ya kusema kwamba mungu anafanya kazi kwa vipindi siyi kweli mungu anafanya jinsi apendanyo siyo kwa vipindi. Ama bora useme ali wakati ule tulisoma agano katika vipindi tofauti
Yesu anatutosha kufika mbinguni Na yéyé ndiye sabato yetu. sio kurudi katika agano la kale
Ninakupenda sana mwalimu Daniel Mimi ni mkenya
Hakuna mahala tunaagizwa kuishika siku[ ukiwaondoa Waisraeli] sisi tunapaswa kumwabudu Mungu pasipokuishika siku bali siku zote tumwabudu Mungu maana siku zote ni mali ya Mungu. Yesu alishitakiwa na wayahudi kwa kosa la kuivunja sabato na kweli aliivunja akiwa na maana haina nguvu tena. Yote sisi ka Wakristo tumsikilize Roho Mtakatifu anatwambia nini kuhusu sabato? Nafsi yangu haimuhukumu mtu kwa kushika ama kutokushika siku[sabato].
Kwa hiyo sabato zipo nyingi nini maana ya neno sabato?
Siku ya Saba yenye mungu aliitenga na kuipumzika