MDAHALO DAY 2: WALIMU NDACHA NA DANIEL WATUMIA BIBLIA NA QURAN KUTHIBITISHA KIFO CHA YESU

Ойын-сауық

Пікірлер: 220

  • @AkonkwaProductions
    @AkonkwaProductionsАй бұрын

    Mwalimu wetu Mungu akubariki Sana, una hoja za hekima ya Mungu, Napenda sana , angalau unge fika kwetu Congo

  • @ericruyenzi566

    @ericruyenzi566

    Ай бұрын

    Miezi zilizopita alikuwa DRC ,Bukavu alijadiliyana na pamoja na Upanga wa radi!.

  • @user-kd7kh1io9k

    @user-kd7kh1io9k

    Ай бұрын

    Aje akupotosheni zaidi?

  • @kimsi682

    @kimsi682

    Ай бұрын

    @@ericruyenzi566 Upanga wa radi ni nini?

  • @samuelmwakasungula178
    @samuelmwakasungula17828 күн бұрын

    Sule uko vizuri katika hilo, wa Kristo wanashika mapokeo ya dini zao badala ya kuangalia ukweli wa neno la Mungu. Yesu Kristo ni mwana wa Mungu. Alitumwa na Mungu kuja duniani kwa ajili ya kumwokoa mwanadamu. Ninaamini kuna Mungu mmoja na Bwana mmoja ambaye ni mpatanishi kati ya mwanadamu na Mungu

  • @AkonkwaProductions
    @AkonkwaProductionsАй бұрын

    Tena mwalimu una msimamo wa kweli kuhusu uungu wa Yesu kristo.

  • @binseif2216

    @binseif2216

    Ай бұрын

    Duh nawewe unaamini mungu ni Yesu?alitahiriwa na akavishwa nepi,na akalelewa😂😂😂huyu vp tena

  • @PauloMaona-in4qh

    @PauloMaona-in4qh

    Ай бұрын

    ​@@binseif2216yohana 1:14 ....niambie kabla hajafanyika mwili alitahiliwa???

  • @user-kd7kh1io9k

    @user-kd7kh1io9k

    Ай бұрын

    Yesu mwenyewe alikua analalamika anasema eloi eloi limaasabakatani Sasa kamyeye nimuungu alikua analia Nini?

  • @binseif2216

    @binseif2216

    Ай бұрын

    @@PauloMaona-in4qh Uongo huwa haujifichi,bible yauongo na Mungu amewasahaukisha walokiandika ndomana wakawa wanaandika maneno yanapingana

  • @hashimchaoga9566

    @hashimchaoga9566

    Ай бұрын

    Mwenyewe Yesu alisema asiabudiwe yeye kwani ni binadamu na masanamu bali mmuabudu Mungu baba yake. Hii nayo hamuelewi?

  • @hashimchaoga9566
    @hashimchaoga9566Ай бұрын

    Mungu hakuzaa wala hakuzaliwa na kila kiumbe ni cha Mungu na wote pamoja na Watumishi wa Mungu husema Mungu baba. Mungu ni baba wa wote akiwemo Yesu

  • @kimsi682

    @kimsi682

    Ай бұрын

    Elewa kwamba, Kuna watumishi wasio wa Mungu! Kuna wale umtumikia Shetani.

  • @hashimchaoga9566

    @hashimchaoga9566

    Ай бұрын

    @@kimsi682 Mimi nazungungmzia dini zinazoabudu Mungu nnaemwamini na shetani si Mungu ila kuna wanaomwabudu

  • @samuelmwakasungula178
    @samuelmwakasungula17828 күн бұрын

    Wamefundisha vizuri juu ya kufufuka kwa Yesu Kristo na kudhibitisha kwamba pamoja na maombi ambayo Yesu Kristo aliomba lkn mapenzi ya Mungu yalikuwa ni Yesu Kristo kupitia mateso. Ninashukuru sana watumishi wa Mungu, ni naomba kila mmoja achangie chochote kusaidia watenda kazi hawa maana tumeona wanachofundisha

  • @dadamuebrania1539
    @dadamuebrania1539Ай бұрын

    Mganga Sule amelowaaa😅 Utukufu kwa Mungu alie hai Yahweh kazi yenu ni njema waalimu

  • @frankmwakalinga7455
    @frankmwakalinga745514 күн бұрын

    Barikiwa sana professor Ndacha

  • @jannffer
    @jannfferАй бұрын

    I love this may God take care of this people

  • @ayububikitila3521
    @ayububikitila3521Ай бұрын

    Asante sana Mwalimu wangu

  • @user-fr3yx7ot9v
    @user-fr3yx7ot9vАй бұрын

    Uislamu umejengwa kwenye uongo na chuki

  • @ericruyenzi566

    @ericruyenzi566

    Ай бұрын

    Kabisaa !awana elimu ila kelele na wanangangania uongo mtupu !,weko saa watoto wadogo,wana tia uruma !.

  • @zamosanaa4693
    @zamosanaa4693Ай бұрын

    Kweli mwl Huyu sule anatakiwa alipe ada maana Hana elimu😂😂

  • @user-zz9gr1vd9h
    @user-zz9gr1vd9hАй бұрын

    Varikiwa sana mtumishi Ndacha kwakufafanua vizuri Yesu akupe Neema zaidi waeleweshe wajue kua Ni Yesu tu aliyekufa na kufufuka

  • @japhetndoro6533
    @japhetndoro6533Ай бұрын

    Waislamu wameshindwa hii mada

  • @hashimchaoga9566

    @hashimchaoga9566

    Ай бұрын

    Wewe ni mpambe tu lakini wakristo wanaamini uongo na kutafsiri kivyao kiuongo na wengi hawaelewi wasomacho na wengi hawasomi wenyewe wanasomewa na kupotoshwa

  • @innocentndikumana8928
    @innocentndikumana8928Ай бұрын

    Mashallah dr sheikh Sule wambiye wasikiye waace kumukufuru mungu

  • @frankmwakalinga7455
    @frankmwakalinga745514 күн бұрын

    Dini yao hawa watu waislamu ni Dini ya Uongo haiwezekani vitabu vyenu hivyo hivyo vinakubari kafa vingine vinasema hakufa Hio dini yenu inatutia mashaka Sana tena inaonyesha wazi kuwa hayo manenolioyaingiza ya uongo mliyaingiza pasipo kujua kuwa kuna andiko limesema yesu atakufa hio Dini yenu mnaitetea kwa uongo uongo Ukweli hapo haupo Subilini hukumu ya Mungu itawakalia kwa kupotosha watu

  • @gervasbeno5589
    @gervasbeno5589Ай бұрын

    Sulle humuwezi ndacha

  • @Estherm309
    @Estherm309Ай бұрын

    Cha kufuraisha unatusaidia kuuelewa zaidi kwanza mimi YESU KRISTO nakushukuru Kwa kufa kwa ajili ya dhambi zangu

  • @hashimchaoga9566

    @hashimchaoga9566

    Ай бұрын

    Yesu kafa kwa ajili ya zambi zako na huku mkiimba kila mtu ataubeba mzigo wake mwenyewe. Unadhani ni mzigo gani kama si dhambi

  • @Estherm309

    @Estherm309

    Ай бұрын

    @@hashimchaoga9566 NDIO Kwa kuwa ukiokoka Na utende ndambi Tena autapata Rehema hila walio okoka Ni wengi Bali watakao uridhi uzima Ni wale tu walio ziacha njia zao Na kumrudia YESU KRISTO hili kusiwe Na mapatano Na shetani tena

  • @hashimchaoga9566

    @hashimchaoga9566

    Ай бұрын

    @@Estherm309 Huko kuokoka hata wale masista wa shela walioacha kila kitu cha dunia na kumtumikia Mungu hawataji neno kuokoka . Na wsnaojua vizuri udhaifu wa binadamu wanasema hakuna alieokoka yuko hai. Kuokoka kutaamuliwa na daftari lako siku ya mwisho. Kuokoka ni kugumu sana kwani haitakiwi ukasirike usengenye utamani kisicho chako na mengi tu ambayo binadamu wa kawaida hawezi kuyakwepa. Walokole wengi hawawezi kutimiza hata amri kumi za Mungu hasa ya mpende jirani yako kama unavyojipenda katika dunia hii ya ubinafsi na tamaa

  • @user-fr3yx7ot9v
    @user-fr3yx7ot9vАй бұрын

    Bila uongo uislamu hautakuwepo

  • @StevenMtambo
    @StevenMtamboАй бұрын

    Ndacha MUNGU akutunze miaka mingi ,, sulle mpotoshaji anajitafutia umaarufu usipo maana yaani kusikiliza ndacha sichoki kwani hoja zimeenea nguvu

  • @user-zu5wn3ls4u
    @user-zu5wn3ls4uАй бұрын

    Asanteni Kwa debate. Swali Kwa Dr Sule: 1.kama mungu alizuia Yesu asiuawe, je alishindwa kuweka mazingira ya kuepusha kifo na akaweza kuleta mtu tofaut auawe? 2.je hiki kifo cha mtu tofaut na Yesu kina umuhimu gani mbele za mungu hadi atengeneze mazingira ya mtu huyu mbadala wa Yesu kuuawa? 3.Je mtu huyu aliyeuawa badala ya Yesu alizikwa wapi? Na kaburi lake lipo? Na Anaitwa nani? 4.Je baada tukio Hilo Yesu alikuwa ktk mazingira gani? Aliishi siku ngapi kabla ya kupaa?na aliendelea na kazi gani kuanzia siku ya kifo hadi kabla ya siku ya kupaa?

  • @SalmaAbdul-zz7dy

    @SalmaAbdul-zz7dy

    Ай бұрын

    Kwani yesu SI anasema baba yake yupo pamoja nae hawezi muacha Sasa kwanini amuache asulubiwe na kitendo Cha kusulubiwa ni mtu aliyelaaniwa kwa mujibu wa 21:22 kumbukumbu la torati..,..ukikubali yesu kasulubiwa maana yake alikua na laana

  • @frankmwakalinga7455

    @frankmwakalinga7455

    14 күн бұрын

    ​Yesu kufa aliandikiwa mauti kwa ajiri ya upatanisho kati ya wanadamu na mungu hivyo kifo au mauti ya yesu isingebatirishwa kwa sababu aliandikiwa na manabii walifunuliwa kuja kwake yesu na kuondoka Duniani baada ya kumaliza kazi aliotumwa na Mungu na mauti yake yesu soma Qur'an 3:55

  • @franciscomtambakuluca2830
    @franciscomtambakuluca2830Ай бұрын

    Ndacha wew ni mualimo

  • @Mainguz
    @MainguzАй бұрын

    Sasa kama Allah alifanya udanganyifu ili sisi tuamini kuwa ni Yesu. Hapo anaweza kutueleza Allah kwanini alifanya huo urongo? na kwanini amweke mtu mwengine kwenye nafasi ya Yesu?

  • @selelilumambo2157
    @selelilumambo2157Ай бұрын

    kila ulimi utakiri kuwa yesu ni bwana na kila goti litapigwa mbele zake bwana wa majeshi ♥️💚🤍

  • @selelilumambo2157

    @selelilumambo2157

    Ай бұрын

    onjeni muone ya kuwa bwana ni mwema

  • @hashimchaoga9566

    @hashimchaoga9566

    Ай бұрын

    Mnakosea na mtaenda motoni kwani Yesu alisema msiniabudu mimi wala masanamu kwani mimi ni binadamu bali muabuduni Mungu baba yangu. Nyinyi bado mnapiga magoti kumuabudu Yesu na hata masanamu yake

  • @AllyMsafiri-kw2ne
    @AllyMsafiri-kw2neАй бұрын

    Asante doctor sule .kazi yetu waislamu nikufikisha ujumbe ...mungu awaongoze nduguzetu waujue ukweli.

  • @sylvestersamwel8210

    @sylvestersamwel8210

    Ай бұрын

    Waislam hawana hoja za kufundisha Wakristo.

  • @pascalkalama

    @pascalkalama

    Ай бұрын

    Xx ujumbe gani mmefikisha xx

  • @nasrahgdjuma930

    @nasrahgdjuma930

    Ай бұрын

    😂😂😂😂 ujumbe upi ? Uongo wa Islam

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258Ай бұрын

    Shida ipo kwamba watu hawajui kuwa Mungu ni rho hivyo wanadhani alipokufa dunia ilikosa Mungu. Yesu akifa ni mwili bali roho aliiweka mahali pa u baba. Hapa yupo Mungu na shetani

  • @user-kd7kh1io9k

    @user-kd7kh1io9k

    Ай бұрын

    Hujui kasome yakibo 1 mstari wa 17 utaelewatu maana wachungaji wanachagua Aya zakukusomeeni

  • @pascalkalama
    @pascalkalamaАй бұрын

    Kutetea uislamu ni kama kubeba gunia la misumari ukiwa kipara

  • @user-sp4xo9rm8l
    @user-sp4xo9rm8lАй бұрын

    Waislamu wakishindwa hoja wanakimbilia kusema Biblia imebadilishwa na Wakristo, hayo ni maneno ya mkosaji.

  • @user-kd7kh1io9k

    @user-kd7kh1io9k

    Ай бұрын

    Nikweli Kuna biblia nyingi Hadi Nyerere katengeneza hakwake namashoga wamepewa kipaumbele ni bibliazenu

  • @RapaFata
    @RapaFataАй бұрын

    Yani kweli ukiangalia wakristo walimu ni wasomi. Ukiangalia mashekh kama watoto wachekechea kupiga kelele mpaka wanakera. Hawajiamini kama mazuzu. Ingawa wanashauriana bado hoja ni jiwe hawavunji.

  • @user-kd7kh1io9k

    @user-kd7kh1io9k

    Ай бұрын

    Tujibu wewe unaejua wapi yesu kajiita mungu? Anzia biblia yanyerere Hadi zamashoga

  • @RapaFata

    @RapaFata

    Ай бұрын

    @@user-kd7kh1io9k Mungu anajulikana kwa matendo yake makuu shekh. Mungu hajiiti tu kama mnavyodhani. Ndio maana allah wenu wayahudi walimkataa mana hakuwa na uwezo wakufanya cjichote.

  • @hashimchaoga9566

    @hashimchaoga9566

    Ай бұрын

    ​@@RapaFataHumu kuna mbumbumbu wengi tu Yesu ndio alitumwa kuwakomboa Wayahudi au wana wa Israel lakini walimkataa na kumuua msalabani na hawamtambui kwani wana dini yao Judaism na Mungu wao Jehovah. Nyinyi kazi yenu ni kudanganyana tu kama Shakahola

  • @RapaFata

    @RapaFata

    Ай бұрын

    @@hashimchaoga9566 najua akili yako imeishia hapo. Sasa nipewe maan ya dini. Kwanza umepingana na uislam kusemsa yesu aliuawa. Hi ni kwa kuwa hujui usimame wapi. Naomba maana ya neno dini. Tuanzie hapo.

  • @hashimchaoga9566

    @hashimchaoga9566

    Ай бұрын

    Kifupi dini ni Imani. Waislam wanaamini kama wasemavyo wale wahubiri wabobezi toka Kenya kwamba Yesu hakuuawa wala kufa kama baadhi ya mitume. Kufa msalabani baada ya kusalitiwa na Yuda kukamwatwa Pilato kuamua kubebeshwa msalaba kupigiliwa misumari kuchomwa mkuki ubavuni kufa kufufuka kama ilivyo Pasaka yote yamo vitabuni na senema zipo. Hicho kifo msalabani kama wanavyoamini ni kuuawa. Sijui swali lako nimelijibu?

  • @user-zw6eh7sc4d
    @user-zw6eh7sc4dАй бұрын

    YOH 14:8-9 Yesu kasema yeye ni Mungu

  • @felixgitonga6783
    @felixgitonga6783Ай бұрын

    Doctor shule ana jivi mpaka siku ya kiama atakuwa kuni ya jeanamu anapinga ukweli

  • @user-kd7kh1io9k

    @user-kd7kh1io9k

    Ай бұрын

    Wewe achakusemahivo hukmu anaijua mungutu

  • @felixgitonga6783
    @felixgitonga6783Ай бұрын

    Uyu shule anasoma bilia kimusikiti Soma hio Mariko 15;16_20 wakamuvua mavazi Tena anasoma madiko nusu

  • @gervasbeno5589
    @gervasbeno5589Ай бұрын

    Uyu Ndacha kichwa sana asee. 😮😮❤❤

  • @user-kd7kh1io9k

    @user-kd7kh1io9k

    Ай бұрын

    Ukristo nidili ndomaana

  • @magrethdaniel8441
    @magrethdaniel8441Ай бұрын

    Je siku ukifika huko mbinguni ukamkuta yesu utasemaje

  • @hashimchaoga9566

    @hashimchaoga9566

    Ай бұрын

    Yesu hakutwi huko bali atarudi siki ya kiama

  • @stevennambunga9093
    @stevennambunga9093Ай бұрын

    Hawa wakina sule wabishi sana,na kama ndio hivyo kila mtu abaki kuhubiri imani yake,asitokee mtu amekaa mbele ya kamera anazungumzia imani mwenzie!!!

  • @Rashid-vm1fk
    @Rashid-vm1fkАй бұрын

    Hata kama ni kweli wao wanapinga tu, YESU KRISTO awasaidie wajue kweli na kumrudia Yesu.

  • @user-kd7kh1io9k

    @user-kd7kh1io9k

    Ай бұрын

    Hakuna mungu wakutahiriwa

  • @hashimchaoga9566

    @hashimchaoga9566

    Ай бұрын

    Hakuna Mungu Myahudi

  • @nasrahgdjuma930

    @nasrahgdjuma930

    Ай бұрын

    @@user-kd7kh1io9k😂😂😂yani you are funny so you think God is limited? Yesu alivaa mwili kama wetu sasa wewe hapo huelewi? It’s sad how you guys have been brainwashed by your god

  • @nasrahgdjuma930

    @nasrahgdjuma930

    Ай бұрын

    @@hashimchaoga9566alivaa mwili so there for Jesus was God and a fully man so the fully man was alikuwa muyahudi.

  • @hashimchaoga9566

    @hashimchaoga9566

    Ай бұрын

    ​@@nasrahgdjuma930God cant play those dirty games you are joking. Avae mwili wa binadamu aje kuishi zaidi ya miaka 30 halafu alipokua binadamu kulikua hakuna Mungu ?!!? Mungu awe mtu halafu azaliwe anyonye ajisaidie atahiriwe abatizwe na ateswe afe afufuke atafute nini katika huo mchezo wa kuchekesha?

  • @nicksonlibent2903
    @nicksonlibent2903Ай бұрын

    Mungu umemwandaa ndacha kwa ajili ya kizazi hiki ili akawanyooshe hawa

  • @gervasbeno5589
    @gervasbeno5589Ай бұрын

    Ndacha husije fanya mdahalo na Sulle sisi haelewi na mbishi , anakupotezea mda tu

  • @odhiaodhia9898
    @odhiaodhia9898Ай бұрын

    mwl daniel upo nimefurahia kukuona

  • @odilomwemeziernest646

    @odilomwemeziernest646

    Ай бұрын

    Mzee wa upako anasikia hayaa?

  • @user-kd7kh1io9k

    @user-kd7kh1io9k

    Ай бұрын

    Mzee waupako nikweli anaijua yesu siomungu

  • @Estherm309
    @Estherm309Ай бұрын

    Akuna mwislamu atafumbua hilo pegine yule prince wa kuwait atakuwambia kilicho mpata adi akaokoka na bado nampenda YESU KRISTO wa Nazareti Alie hai mruhusu ROHO MTAKATIFU awe Mwalimu WAKO kisha utawaelimisha wakristo

  • @user-pu8vf3xt8o
    @user-pu8vf3xt8oАй бұрын

    Yaan alla anasababisha mtu mwingine auawe kwa kumfananisha na Yesu kwenye macho ya watesi wakati wao watesi walikuwa wanamtafuta Yesu basi mungu wenu alisababisha mtu asiye na hatia kufa

  • @user-kd7kh1io9k

    @user-kd7kh1io9k

    Ай бұрын

    Nyinyi makafiri kumbe mukombali sana poleni hata bibliazenu hazieleweki ipiyakweli au ileya Nyerere?

  • @user-pu8vf3xt8o

    @user-pu8vf3xt8o

    Ай бұрын

    @@user-kd7kh1io9k hata kuandika hujui hoja utaelewa kweli😀😀😀

  • @hashimchaoga9566
    @hashimchaoga9566Ай бұрын

    Ni kweli waonyeshe palipoandikwa au kusikika Mungu mwenyewe akisema namleta mwanangu aje asulubiwe ili zambi za watu zisamehewe. Halafu inasemwa kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe ukitubu mwenyewe ndio utasamehewa

  • @thomasbjr2

    @thomasbjr2

    Ай бұрын

    Yohana 3:16-20

  • @pascalkalama
    @pascalkalamaАй бұрын

    Waislamu ni mbumbumbu

  • @hashimchaoga9566

    @hashimchaoga9566

    Ай бұрын

    Kuna dini ambayo ina mambumbu wengi hadi wajanja kujiita manabii kuanzisha makanisa kula sadaka eti kutoa mapepo na kujitajirisha wengine kufika mbali kama ilivyokua Shakahola. Katika Uislam huoni mbumbumbu wa kumdanganya hadi ujiue kwa kufunga na kuliwa sadaka kiholela.Manabii wa uongo wanazuka kila kukicha watu wanawafuata na kuwatajirisha. Inajulikana wazi Mungu alikasirika kwa yale ya Sodoma na Gomora ajabu kuna dini haikemei inabariki na hata viongozi wapo mashoga wakivaa misalaba. Wapi sasa kuna mbumbumbu wengi na waovu wa kudanganywa kirahisi na mengineyo

  • @odilomwemeziernest646
    @odilomwemeziernest646Ай бұрын

    Yesu nakushukru kwa kunifanya niwe mkristo.

  • @ustadhfarouq7729

    @ustadhfarouq7729

    Ай бұрын

    Wakristo wote ni wafuasi wa shetani jina hilo mlipewa na wapagani wa Antiokia hvi dini ama imani ya wapagani yaeza kupeleka kwa Mungu, hvi YESU alikua Mkristo je aliingia kanisani kama nyinyi? Ukristo ni biashara ya wazungu na YESU hakuacha kitu yaitwa ukristo kabisa...huu niukafiri tu wakristo wote makafiri SOMA YUDA 1:4.

  • @venancemwanya4212

    @venancemwanya4212

    Ай бұрын

    ​@@ustadhfarouq7729dini ipi Ina uhusiano na majini kama sio uislamu jibu! Nyie ndio mnauhusiano na majini.

  • @favoritebrayo

    @favoritebrayo

    Ай бұрын

    @@ustadhfarouq7729 akili zenu ni kidogo sana mmembebewa akili ndio maana hamwezi elewa

  • @user-kd7kh1io9k

    @user-kd7kh1io9k

    Ай бұрын

    Yesu hawezi kukupa dini wewe maana yeye alikua akianguka nakusujudu kama waislam

  • @user-kd7kh1io9k

    @user-kd7kh1io9k

    Ай бұрын

    Napia hawezi kukufanya kua mkristo bali waliokufanya uwe mkristo ni wapagani

  • @emmanuelmatiko7307
    @emmanuelmatiko7307Ай бұрын

    Sure tengua kauri yako, huyo mtume wa watu wote wewe na akina nani ? Don't include us please, huyo ni wa kwenu tu pekee yenu usiseme ni wa watu wote hakuna nabii yeyote aliwahi hata mtabiri ujio wake tofauti na kuwa miongoni mwa manabii wa uongo waliotajwa kuwepo siku za mwisho.

  • @kimsi682

    @kimsi682

    Ай бұрын

    Hawa mambwana na kanzu zao, ndio mafharizayo wa leo. Wamepotosha wengi, wengi sana na hii helimu ya uislamu ya upofu na upotofu. Wanaugana mkona na majini kuwandanganya na kuwapotosha wengi, wengi sana! Uzuni kumbwa!!

  • @SalmaAbdul-zz7dy

    @SalmaAbdul-zz7dy

    Ай бұрын

    @kimsi682huzuni kwenu nyie mulokua na dini Mungu asoitambua ....dini muloletewa na wazungu...biblia kuanzia mwanzo mpaka ufunuo hakuna andiko ukristo ni dini ya Mungu Wala biblia ni kitabu Cha Mungu....

  • @saadihamadi99

    @saadihamadi99

    21 күн бұрын

    ​@kimsi682 jiangalie vzur usjekua miongon mw hao waliopotezw na shetan, kwn unapsema Muhammad haktabriw na manabii ni manabii gn unaksdia? Chunguza vzur sana bila ya kung'ang'ania iman uliyonayo huu ukristo ambao ni dini ya huyo Yesu km mnavosema imeanzia kw nan?, lini? Wap?. Na km kwl Yesu amekja na dini hii ametumw na nani?

  • @user-zc6og4wt7s
    @user-zc6og4wt7sАй бұрын

    Kwa kweli kwenye hii maada umechemka dr sure

  • @hashimchaoga9566

    @hashimchaoga9566

    Ай бұрын

    Lakini yeye mbona anatafsiri maandiko tu sio maneno yake

  • @hashimchaoga9566

    @hashimchaoga9566

    Ай бұрын

    Ukichunguza ukweli Mungu hana sababu ya kuruhusu mwanae auawe eti kwa ajili ya dhambi za wengine wakati inaaminika kwamba kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe na kuhusu dhambi ya asili mbona Mungu alishawaadhibu nyoka Hawa na Adam mara tu walipokula tunda. Dhambi ya asili adhabu yake tunaitekeleza kama unakumbuka adhabu aliyotoa Mungu kwa wale wakosaji.

  • @hashimchaoga9566

    @hashimchaoga9566

    Ай бұрын

    Ukichunguza ukweli Mungu hana sababu ya kuruhusu mwanae auawe eti kwa ajili ya dhambi za wengine wakati inaaminika kwamba kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe na kuhusu dhambi ya asili mbona Mungu alishawaadhibu nyoka Hawa na Adam mara tu walipokula tunda. Dhambi ya asili adhabu yake tunaitekeleza kama unakumbuka adhabu aliyotoa Mungu kwa wale wakosaji.

  • @abelmoturi52
    @abelmoturi52Ай бұрын

    Leo sule lazima apatiswe

  • @petermgonja8547
    @petermgonja8547Ай бұрын

    Danieli amemjibu kisomi. Mimi nawakubali

  • @HAPPYSULE
    @HAPPYSULEАй бұрын

    Pasta ndacha usimwite tena huyu sule nihewa kabisa ni lipinga krsito na laana ya kukufuru roho mtakatifu ipo juu yake.

  • @AbedibinRamazanisalum
    @AbedibinRamazanisalumАй бұрын

    Yesu ni bwana na mokozi wa islam wa bishishi na hawajibu mahada inavo ulizwa wa na ruka ruka tu Professor ndasha ka shinda wa Islamu wote wa Kenya Tanzania adi congo ndasha ndiye kiboko waooooooooo😂😂😂😂

  • @hashimchaoga9566

    @hashimchaoga9566

    Ай бұрын

    Hebu wasikilize wale wakenya waliobobea kina Salim Daawah na wenzie sio huyo unaemtaja. Ukristo mambo yao ni kama ya Shakahola tu wanaosomea wenzao hawaekewi wanadanganya na wanaosoma wenyewe maandiko hawaelewi wanakariri na kupotoka au kupotosha hawatumii akili yao na kujichanganya tu tofauti na maandiko

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313Ай бұрын

    Waislamu wanajaziba mno

  • @user-kd7kh1io9k

    @user-kd7kh1io9k

    Ай бұрын

    Wakristo mnadanganywa mno

  • @sylvestersamwel8210

    @sylvestersamwel8210

    Ай бұрын

    J​@@user-kd7kh1io9kjibu hoja kwa maandiko sio kwa kukurupuka.

  • @frankmwakalinga7455
    @frankmwakalinga745514 күн бұрын

    😢Dini ya uislamu inauongo sana mbona kwenye hio hio Quran 3:55 inasema Hakika ewe isa nitakufisha Kisha nitakunyenyua juu Hapa mnaongea tena hakufa mbona mnaungo kwenye kitabu chenu? Quran 3:55 Kitabu chenu nichauongo manatetea uongo

  • @abelmoturi52
    @abelmoturi52Ай бұрын

    Sule toa maandiko sio kwa maneno ya mdomo wako

  • @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl
    @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hlАй бұрын

    Sule endelea kudanganya wapumbavu wenzio msikitini bibli aujui

  • @user-kd7kh1io9k

    @user-kd7kh1io9k

    Ай бұрын

    Biblia ipihaijui? Maana Hadi Nyerere kaandika yakwake zipo nyingine Zina hamasisha ushoga wewe unazungumzia ipi ambayo haijui sule?

  • @zuberkasim7150
    @zuberkasim7150Ай бұрын

    ingelikuwa ni mpango wamungu kumtoa yesu kafara kwaajili ya kukomboa ulimwengu iwejetena akaombe mungu amuepushe na kifo? inaonekana mmoja akuwatayari kati ya mungu na yesu

  • @user-wg2gd2nl6c

    @user-wg2gd2nl6c

    Ай бұрын

    Kujibu. YESU arivaa mwili wakibinadamu. Alikufa binadamu 100asilimia. Naaripata maumivu. Kama meanadamu.kwahyo. Hatasisi. Tunapokosea tunapotenda dhambi yeye ndye muombexi wetu. Kwamaana. Anaujua udhaifu wa mwanadamu. Kwamaana. Anaujua. Naaripo paa kwenda mbinguni arutuambia. Atakaye nipenda Mimi naye atakinywea kikombe arichokinywea. Ndyo maana. Wakirsto hata Sasa. Tupo katika vita kari Ila hatutajari kuuwawa. Maana yeye arishinda kifo naakuja. Kumliapa kilamtu kwa kadri ya matendo yake. Mpndwa tafakari. Nibora ufekatika. Imani yakweli

  • @mwinyijuma2686

    @mwinyijuma2686

    Ай бұрын

    Swaqta Hawa ndugu zetu wako na shida ya kuelewa ndio sababu utaona makanisa mingi ni biashara inayoendelea ya kutoa sadaka punde SI punde kasisi amenunuliwa gari kubwa anaishi vizuri huku wanakondoo wanazidi kutafunwa 😂😂😂.

  • @odilomwemeziernest646
    @odilomwemeziernest646Ай бұрын

    Haya ni mawazo ya Muhammad na Allah wake waliyosilimisha majini.hivyo ni wapingaji.

  • @ustadhfarouq7729

    @ustadhfarouq7729

    Ай бұрын

    Biblia iliandikwa na Watu hata walikua sio wanafunzi wa YESU wala hawakua wayahudi mfano, YOHANA na MARKO biblia nikitabu fake sana YOHANA ndiye huyo huyo MARKO lkn kwenye Biblia nikama waandishi wawili tofauti je huu sio upimbi na ujinga kwa ufupi anaitwa YOHANA MARKO lkn biblia yawafanya kama ni waandishi wawili tofauti 😢Huyu hakumuona YESU wala hwakua myahudi bali MTU wa Roma yaani murumi swali aliandika Vipi injili wakati wakati wa YESU hakuapo wala hajamuona YESU kama ww umsomi wa Biblia njoo unijibu Biblia ni story book wenye waliandika wengine walifanya tu research kama vile LUKA,LUKA 1:1...alitafuta tafuta ukweli wa mambo hayo ili naye aandike...hakuna roho mtakatifu hapo.... eti Biblia ni neno la Mungu Uwongo ni story za Warumi tu.

  • @abelmoturi52
    @abelmoturi52Ай бұрын

    Leo sule hana sauti amelemewa

  • @shadrachkamyori9911
    @shadrachkamyori9911Ай бұрын

    Mauti ya Kristo inawalaza tongo macho waislamu. Kuikana mauti hiyo ni motoni 100%. Sule anapapasa. Moyo wake unamhukumu. Majini yake yatamwacha pabaya. Mbele ya Yesu majini hutetemeka. Sule hamaliziii andiko.....anasema eti ishia hapo😅😅. Sule atajuta kuikana mauti ya Kristo.

  • @Mainguz
    @MainguzАй бұрын

    Sasa Sulle mbona hueleweki. kufa kwa Yesu kulikuja akiwa usinginzini ama alikufa baada ya kupata mateso(kusulubiwa)?

  • @user-kd7kh1io9k

    @user-kd7kh1io9k

    Ай бұрын

    Mnatuchekesha jamani mungugani anapata mateso uyoatakua mungu au?

  • @AmriAmri-hy6sg
    @AmriAmri-hy6sgАй бұрын

    Alikua anamuomba mungu yupi?

  • @StevenMtambo
    @StevenMtamboАй бұрын

    Hujajibu hoja hapo ,,,unalalamika kwenye mdahalo unaleta stori tu

  • @allatha
    @allathaАй бұрын

    Sule amani dhana tu bila hoja,bora angewaachia waislam wanaojjua zaidi yake

  • @paulojohn5504
    @paulojohn5504Ай бұрын

    Kweli sure wewe maneno mengi auna lolote keleletu zimekujaa

  • @franciscomtambakuluca2830

    @franciscomtambakuluca2830

    Ай бұрын

    Ni kweli

  • @StevenMtambo
    @StevenMtamboАй бұрын

    ivi huyo shehe amepewa Nini Kwa ubishi usipo na akili ,,,tena , waislam ndio walio pindisha ukweri wote wa bible

  • @Mainguz
    @MainguzАй бұрын

    Sasa Huu mjadala au mtu aliyefeli anajitahidi kutunga uongo ili aonekane anajua!! unakujaje kusema hukuja kujibu hoja bali kufundisha, siungekaa studio kwako ukaongea yoooote kisha ukapost ikaisha. Hii ndo inaonyesha ni namna gani Sulle alivyo kilaza kwenye mambo ya Imani ya Kristo n ahata huo uislam wake.

  • @BofuMlanzi
    @BofuMlanziАй бұрын

    Je, Yesu alifufuliwa au alijifufua baada ya kifo. Mfu ana uwezo wa kujifufua?

  • @jannffer

    @jannffer

    Ай бұрын

    Ukimujua ni Nani huwezi uliza kajifufua ama akafufuliwa

  • @jannffer

    @jannffer

    Ай бұрын

    Vile Baba atakavyo mapenzi ya mungu yatimilike

  • @masindemusa3328

    @masindemusa3328

    Ай бұрын

    Hoja jepesi

  • @hashimchaoga9566

    @hashimchaoga9566

    Ай бұрын

    ​@@jannfferKwa hivi Yesu si Mungu Baba ndio Mungu

  • @hashimchaoga9566

    @hashimchaoga9566

    Ай бұрын

    ​@@jannfferBaba ni nani tena wakati nyinyi mnajidanganya Yesu ni Mungu kwa maana hiyo yeye ndio baba na kumbe sio .Mnajichanganya sana

  • @Estherm309
    @Estherm309Ай бұрын

    Sule auwezi kueleza kuusu YESU KRISTO wa Nazareti Alie hai kama auna ROHO MTAKATIFU Wacha kutudanganya subiri utashuudia mwenyewe

  • @hashimchaoga9566

    @hashimchaoga9566

    Ай бұрын

    Kuhusu dhambi kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe Kuhusu dhambi ya asili Mungu alishatoa Adhabu kwa nyoka Hawa na Adam na wote tunaitumikia. Sasa Yesu auawe ili iweje? Mbona wakristo mnajichanganya sana?

  • @hashimchaoga9566

    @hashimchaoga9566

    Ай бұрын

    Mnakumbuka Mungu alitoa adhabu kwa nyoka kwamba atakua adui milele na atatembea kwa tumbo lake Hawa aliambiwa atazaa kwa uchungu na atakua chini ya mme wake na mengineyo na Adam aliambowa atatafuta chakula kwa jasho waondoke bustanini na mengineyo. Hiyo ilikua tayari adhabu ya zambi ya Asili na si Yesu n dhambi zingine wanaimba na kusema kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe na si Yesu. Someni muelewe na mtumie bongo zenu

  • @hashimchaoga9566

    @hashimchaoga9566

    Ай бұрын

    Tatizo nyinyi mnakariri tu na wengi kusomewa na kutafsiriwa isivyo

  • @SamweliMaganigani
    @SamweliMaganigani21 сағат бұрын

    Asante kwa jibu zuri mwalimu mwankemwa

  • @paulojohn5504
    @paulojohn5504Ай бұрын

    wewe kafunge majini tu sure

  • @richardmjema8321
    @richardmjema8321Ай бұрын

    Mbona sule kajibu mwenyewe

  • @felixgitonga6783
    @felixgitonga6783Ай бұрын

    Soma hio mathayo 27:27_31 alivua tena

  • @user-kd7kh1io9k

    @user-kd7kh1io9k

    Ай бұрын

    Wachungaji wanakupeni maandiko baadhitu mengine hawakusomeeni maana mtawakimbia watakoma sadakazenu

  • @Mainguz
    @MainguzАй бұрын

    Huku kwenye Laana ndo anazidi kujichimbia shimo kabisaaa

  • @Mainguz
    @MainguzАй бұрын

    Sasa Sulle Mada ni nguo aliyovalishwa Yesu ama ni KUFA ama HAKUFA? Ikiwa ndo usomi wake uko hivi abaki kufuga majini tu huko Msikitini.

  • @user-kd7kh1io9k

    @user-kd7kh1io9k

    Ай бұрын

    Mtaelewatu iposiku hatamzee wa upako anayajua hayo nandomaana hamumpendi

  • @hellen9056
    @hellen9056Ай бұрын

    Quluani nayo imeshepiwa maana kungine inakubali Yesu ameinuliwa na kungine inasema Yesu hakufa na hiyo nayo imechakachuliwa kwa nini ipingane kama nikitabu cha kweli?

  • @SalmaAbdul-zz7dy

    @SalmaAbdul-zz7dy

    Ай бұрын

    Hakuna Aya katika Quran inayokubali yesu alikufa....munawasikiliza awo makafiri wanaopindisha maandiko na hawayamalizi....wewe kama iyo Aya unaijua katika Quran yesu alikufa itoe

  • @saadihamadi99

    @saadihamadi99

    22 күн бұрын

    Kwn kuinuliwa ndo kule kufa msalaban kw uelewa wko ama vp? Maan kuinuliw ni kutukuzw na kufa msalaban ni kulaaniw, sasa unadhan wap Quran inapingana?

  • @frankmwakalinga7455

    @frankmwakalinga7455

    14 күн бұрын

    Soma Quran Almran 3:55 inasema Ewe Issa Hakika nitakufisha kisha nitakunyenyua juu kisha nitakutakasa na wale walio kufuru Waislamu ni waongo na Dini yao tena ni wapotoshaji na Dini yao hii ya Majini Malaika waasi waliowekewa hukumu ya moto😢😢

  • @frankmwakalinga7455

    @frankmwakalinga7455

    14 күн бұрын

    ​@@SalmaAbdul-zz7dy Soma Quran Almran 3:55 inasema ewe isa nitakufisha kisha nitakunyanyua juu nitakutakasa na wale waliokufuru acheni upotoshaji na Dini yenu ya Majini😂

  • @Mainguz
    @MainguzАй бұрын

    Kwanini amekimbia kumalizia hiyo Yohana 19: 16-17 na kuendelea. ili atuambie huyom aliyebadilishwa na Allah aliingia wapi kuchukua nafasi ya Yesu, Je anamini aliyejichukulia Msalaba wake alikuwa Yesu ama ndo yule fake?

  • @odilomwemeziernest646
    @odilomwemeziernest646Ай бұрын

    Mbona yeye kajibu hoja zakoo.

  • @user-zc6og4wt7s
    @user-zc6og4wt7sАй бұрын

    Kama huna hoja sure bora kukaa kimya nalo ni jibu kuliko vituko vya mahindi kusemea mahindi ni mchele boa kabisa😅😅😅😅😅

  • @DAVIDMAGHANGA
    @DAVIDMAGHANGAАй бұрын

    Nawasikitikia waislam quran ndiyo inasema YESU alikuwa na akanyanyuliwa tena ndo inasema YESU hakuuwawa tutaiamini vp tena kama BIBLIA inatuambia shetani ni Baba WA uongo na quran 2:97-98 ililetwa na maadui WA MUNGU inawezaje kusema ukweli,sule anajua ukweli ila anaupindisha hadharani ni MUNGU Tu amsaidie kama wengine vile walisaidiwa wanajua ukweli na sasa wanatangaza injili,ndacha na Daniel hongera

  • @hashimchaoga9566

    @hashimchaoga9566

    Ай бұрын

    Mara mseme Yesu Mungu mara kaomba kwa baba yake mbona mnajichanganya tu

  • @hashimchaoga9566

    @hashimchaoga9566

    Ай бұрын

    Kuran huijui unadanganya kama mnavyodanganyana kule Shakahola au anavyodanganya Mzee wa Upako anaesema biblia imeandikwa maskini wasio sadaka hawatakiwi kanisani na Mungu hataki maskini

  • @SalmaAbdul-zz7dy

    @SalmaAbdul-zz7dy

    Ай бұрын

    Wacha unafiki 2:97-98 aliyemfanyia ushinde jibrilu kuwa ndie aliyempelekea utume nabii Muhammad asiwapelekee mayahudi ni Bure munamuonea Hana kosa jibrilu hakika yeye ameteremsha Quran moyoni mwako kwa idhini ya Allah Quran sio biblia Wala gazeti

  • @user-zz9gr1vd9h
    @user-zz9gr1vd9hАй бұрын

    Mbona huyo mwingine akiulizwa hajibu kama inavyotakiwa kujibu anatoa maandiko ambayo hayaendani swali

  • @jafarimsigwa277
    @jafarimsigwa277Ай бұрын

    Hivi upande wa waisilam hakuna mwanazuoni mwingine zaidi ya Dr sule Kama walivyo waKristo?

  • @user-kd7kh1io9k

    @user-kd7kh1io9k

    Ай бұрын

    Hata ashuke yesumwenyewe aseme wakristo hamtomuelewa maana mushapotezwa

  • @nasrahgdjuma930

    @nasrahgdjuma930

    Ай бұрын

    @@user-kd7kh1io9kwalio potezwa😂 ninyinyi na uyo mtume wauongo asiejulikana. Mitume wapo wazee 24 tu na wote ni Jews waarabu lini walibarikiwa?😂😂😂 Ndomana Yesu alikuja kutokomboa❤because mitume case was closed so nyie ndo mmpotea

  • @user-kd7kh1io9k

    @user-kd7kh1io9k

    Ай бұрын

    Hahahahahahah! Wakristo poleni sana maana waliolala katika Cristo wamepotea ikanushe naio imo katika biblia napia yesu mwanyewe anasema Mimi sikuletwa ila kwa Wana wa Israelitu muliobakia mnajipendekezatu hamjulikani

  • @nasrahgdjuma930

    @nasrahgdjuma930

    Ай бұрын

    @@user-kd7kh1io9k pole wewe ulifata Mtu ambaye kaoa mtoto wamiaka sita nakuwaibia Mali wayahudi uko Saudi. Yesu ni mwana wa Mungu and he’s the messiah bila Yesu mbunguni Huendi Yesu ndio njia ya Kweli na uzima. Hizo dini zenu mlipewa na shetani May Jesus open your eyes before it’s too late.

  • @user-kd7kh1io9k

    @user-kd7kh1io9k

    Ай бұрын

    Hahahahahaha! Dini yawapakwa mafuta mnachekesha yaani nilijua nilichokuandikia mwazo utapinga kumbe ulikubali kwamba waliolala katika Cristo wamepotea

  • @pascalkalama
    @pascalkalamaАй бұрын

    Kule tunaelekea waislam watakua wakisikia wakristo wanawaita kwa mahojiano wanakimbia

  • @hashimchaoga9566

    @hashimchaoga9566

    Ай бұрын

    Sikiliza wale wahubiri wa kenya akina Salim Daawah halfu uone nani atakimbia. Hawa leo wamekutana na watu wasiobobea lakini midahalo mingi wakristo hua wanashindwa kwa hoja zilizomo vitabuni. Huyu muislam wa leo hana uwezo mkubwa sana.

  • @SalmaAbdul-zz7dy

    @SalmaAbdul-zz7dy

    Ай бұрын

    Swala la kua wapi yesu anasema biblia ni kitabu Cha Mungu limewashinda kazi kungangania mwana wa Mungu mara karithi....maandiko hamuna

  • @rweyemamueustace4254
    @rweyemamueustace4254Ай бұрын

    Ndacha wewe huna pete, mbona Sule kalivaa?!

  • @binseif2216
    @binseif2216Ай бұрын

    Mungu yesu😂😂😂😂alivishwa nepi akatailiwa,akalelewa huyu Mungu tena akasulubiwa na aliewaumba sasa najiuliza kwani Mungu alikosa nini mpka ajigeuze kuwa binadamu??

  • @petromachanga5538

    @petromachanga5538

    Ай бұрын

    NEP ikowap

  • @binseif2216

    @binseif2216

    Ай бұрын

    @@petromachanga5538 Angalia mdahalo wajuzi na jana utaona hilo andiko

  • @venancemwanya4212

    @venancemwanya4212

    Ай бұрын

    Wafuga majini leo.

  • @shepherd1x84
    @shepherd1x84Ай бұрын

    Waislamu na akili zao ..bure kabisa

  • @hashimchaoga9566

    @hashimchaoga9566

    Ай бұрын

    Nadhani siyo kwani kuna dini imegeuzwa biashara ya kuthamini wenye nazo na kutajirika kutoka sadaka hata za maskini ambao wao ndio wanatakiwa wapewe sadaka. Na kila kukicha wanazuka manabii wa uongo hata akina mama warembo wanaanzisha makanisa na kupata wafuasi wengi tu

  • @SalmaAbdul-zz7dy

    @SalmaAbdul-zz7dy

    Ай бұрын

    ​@@hashimchaoga9566achana nao awo washalaaniwa wao na misalaba yao

  • @paschaljuma3312
    @paschaljuma3312Ай бұрын

    Hadi kuzikwa yrsu kazikwa na sanda bado nyie mnazikana na majeneza😂😂😂

  • @roggerasili3089

    @roggerasili3089

    Ай бұрын

    sio hoja mohamedi kaoa wake wengi na mke mmoja mtoto. Mbona nyie mnaoa wanne na tena sio watoto

  • @paschaljuma3312

    @paschaljuma3312

    Ай бұрын

    @@roggerasili3089 tunaoa wanne kwa sababu nguvu za kiume tunazo sio nyie mmoja tu hammtoshelezi hilo nalo swali kuuliza

  • @paschaljuma3312

    @paschaljuma3312

    Ай бұрын

    @@roggerasili3089 tunaoa wanne kwa sababu nguvu za kiume tunazo sio nyie mmoja tu hammtoshelezi hilo nalo swali kuuliza

  • @user13375

    @user13375

    Ай бұрын

    ​@@paschaljuma3312kama mabeberu🤣🤣🤣

  • @paschaljuma3312

    @paschaljuma3312

    Ай бұрын

    ​@@user13375 eeeh kuwa nazo nguvu za kiume kama unaweza

  • @shadrachkamyori9911
    @shadrachkamyori9911Ай бұрын

    Mnasema Quran ilishushwa kumbe iliigirizia Biblia 😅😅😅 Manipulations 😊

  • @hashimchaoga9566

    @hashimchaoga9566

    Ай бұрын

    Koran ilishushwa na masahaf ya torat Zaburi injili na Koran na si biblia ambapo inachakachuliwa ina vitabu 66 hadi 78 ya warumi na zonatofautiana. Na biblia nayo ina torati Zaburi na Injili na mengineyo mengi hata ya uongo

  • @hashimchaoga9566

    @hashimchaoga9566

    Ай бұрын

    Hayo unayosemwa yameigwa si ya biblia bali ni toka torati Injili na Zaburi ambapo kote kote yapo

  • @hashimchaoga9566
    @hashimchaoga9566Ай бұрын

    God cant do those jokes. What for then.? Mnadanganyana sana kama Shakahola. Mungu azaliwe halafu afanyiwe circumcision? Mwenyewe alisema msiabudu masanamu wala. Mimi muabuduni Mungu baba yangu hapo hamielewi au ni nini? Alimtaja baba yake kila mara mfano baba mbona unaniacha? Baba forgive them they dont know what they are doing etc who is his father? He prayed all over the night to whom then if he is himself? You people try to read understand and use your brain and dont joke or play with God. So God eat drunk went to toilet circumcised etc you are joking and let down God So God was crucified and killed by the cretures he created? Its somehow sad and funny

  • @BAYYINATDMTV

    @BAYYINATDMTV

    Ай бұрын

    Quran 42:10 Allah says He has His God whom He trust. If Allah is God to whom does he trust?

  • @beatricenangale5439

    @beatricenangale5439

    Ай бұрын

    Mungu alimfufua Yesu, kama ilivyokuwa imeandikwa, hilo ni fumbo la ukombozi wa binadamu kwani kifo na ufufuko wa Yesu ni kumshinda shetani aliyekuwa amemuasi Mungu na kuwateka wazazi wetu wa kwanza Adamu na Eva. Kama asingefufuka ina maana binadamu tungeishi bila matumaini ya ufufuko baada ya kifo.

  • @hashimchaoga9566

    @hashimchaoga9566

    Ай бұрын

    @@BAYYINATDMTV Uelewa ni mdogo sana inasikitisha sengi tu wanaapa wakisema Mungu wangu wee. Oh my God hawana maana kila mtu na Mungu wake peke yake Zingatia surat Ikhlas isemayo Mungu ni mmoja hakuzaa hakuzaliwa hana mfanowe na hana mshirika. Google uone maana ya Allah ni Mungu huyo huyo mmoja tu ila kwa kiarabu. Hakuna Mungu wa mtu momoja mmoja na hakuna Mungu wa Dini moja moja ni majina tu tofauti Mungu ni mmojs kwa wote

  • @hashimchaoga9566

    @hashimchaoga9566

    Ай бұрын

    @@BAYYINATDMTV nust read and understand Surat Ikhlas . God is only one for everybody just different names

  • @user-fr3yx7ot9v
    @user-fr3yx7ot9vАй бұрын

    Ikiwa dini ya Kiislamu ni dini haki, neno haki linabidi libadilishwe

  • @user-kd7kh1io9k

    @user-kd7kh1io9k

    Ай бұрын

    Quran sio biblia yakwamba kilamtu itie mikono katika kuongeza maneno napia zipo nyingi biblia Hadi zamashoga tunawasubiri zamalaya

  • @SalmaAbdul-zz7dy

    @SalmaAbdul-zz7dy

    Ай бұрын

    Ikiwa ukristo ni dini ya yesu hatuna haja nayo....Mungu alokula kibano mpaka akauliwa kama mwizi😂😂😂😂😂

Келесі