Uungu wa Yesu.

Ushahidi wa ndani na nje ya naandiko kuhusu Uungu wa Yesu Kristo.

Пікірлер: 59

  • @jumamnyonge2148
    @jumamnyonge2148Ай бұрын

    Nyinyi mmepotea na mnapoteza watu Yesu hawezi kuwa Mungu

  • @saadomar2480
    @saadomar2480Күн бұрын

    YESU ANAUUNGU GAN WAKAT YY NIMTU KAMAWEWE. WAONGOWAKUBWA MNAPOTEZA WATU.

  • @elishampoki8751
    @elishampoki87515 күн бұрын

    Ameni mtumishi wa Mungu,

  • @SaidiNyanga-ct8zq
    @SaidiNyanga-ct8zq12 күн бұрын

    Mungu Akubarik mtumish

  • @dennismasira8992
    @dennismasira899228 күн бұрын

    Mwalimu bado elimu yako katika uungu wa Yesu ni ndogo njoo kenya nikufundishe maandiko

  • @victorponera1572
    @victorponera1572Ай бұрын

    Nakuelewa sana ,,,mwalimu!!!.

  • @jumamagoma1743
    @jumamagoma174313 күн бұрын

    Waalimu.vipofu

  • @jumamagoma1743
    @jumamagoma174313 күн бұрын

    Danieli.angaika.yesu.sio.mungu.wala.mungu.sio.yesu

  • @0badiaMwasongwe-rt1wr
    @0badiaMwasongwe-rt1wrАй бұрын

    Asante mtumishi kwa kutueleza na kutufundishaa mengii Tusiyoyajua MUNGU wa mbinguni akubariki sanaaa

  • @jumamnyonge2148

    @jumamnyonge2148

    Ай бұрын

    Sasa Mungu wambinguni Gani Tena uyo mna jichangana Yesu ni Mungu Sasa uyoemwine wa mbinguni Gani tena

  • @christophersimwinga6689
    @christophersimwinga668927 күн бұрын

    Yes Mwalimu upon sahihi hata yesu mwenyewe alisema Mimi na baba ni Kitu kimoja

  • @mwinyijuma2686

    @mwinyijuma2686

    11 күн бұрын

    Bado hujaelewa yesu aliposema hivyo sababu umesoma sentence Moja tu katika kitabu Cha yohana 10:30 ukitaka kujua maana halisi soma kuanzia John (yohana) 10:23-34.

  • @mcndege9724
    @mcndege9724Ай бұрын

    John 3:16 Mungu akajituma...... Mungu akafa siku tatau.... Waubiri bubu waliopotoka hawaelewi maandiko wanawapotesha watu. Yesu ni mwana wa Mungu alie hai.. hiyo ndo wokovu..

  • @jumamnyonge2148

    @jumamnyonge2148

    Ай бұрын

    Mungu akafa sikutatu na ninani aliendesha dunia

  • @jumamnyonge2148
    @jumamnyonge2148Ай бұрын

    Kwanza ukitaka kujuwa mmepotea towa andiko inasema tusamiyane kwa jina la yesu towa hapo yesu anesema Mathayo 11:29 tufunze kwake sasa wapi yesu alitowa iyo salamu ili tujifunze kwake

  • @emmanuelallankanumba5234
    @emmanuelallankanumba5234Ай бұрын

    Je ni Mambo gani yesu au Issa aliamulu umma wa waislamu wayashike na kumfuata yeye kama hakim ili wapate wokovu maana sisi wakrito inaeleweka asiyezaliwa mara ya pili hawezi kuona ufalme wa mbinguni,,mimi ndio njia na kweli na uzma huwezi kwenda kwa baba ila kwa njia ya mimi nk naomba unipe elimu kuhusu hawa ndg zetu nini hatma yao aksante

  • @nehemiekwizera1277
    @nehemiekwizera1277Ай бұрын

    Nyie wote bado wanafunzi kabisa

  • @lastpage488
    @lastpage488 Жыл бұрын

    nimepata kitu kingine

  • @niyoaze
    @niyoaze21 күн бұрын

    mukibishasana birauthurivu nakusikiriza kwamakini utakbuzi haupati wendekwaumakini kwakuwa mdanwingi hufafawa naroho wamungu anayekuwa ndaniyethu

  • @christophersimwinga6689
    @christophersimwinga668927 күн бұрын

    Wewe niMwalimu nimekukubali na Leo ndo nimeelewa kuwa dini zote zitahukumiwa Kwa haki

  • @msemakweli243
    @msemakweli243Ай бұрын

    Hapo mnapotosha watu mungu haonekani, yesu ana uhungu

  • @jumamnyonge2148
    @jumamnyonge2148Ай бұрын

    Iyo tito ni Paul ndiyo anasema yesu ni Mungu

  • @kelvinmpanda-ms2ik
    @kelvinmpanda-ms2ikАй бұрын

    Kuna Yesu na Mungu ila Yesu sio Mungu

  • @julyuzkemei5754

    @julyuzkemei5754

    Ай бұрын

    Umepotea kabisa...soma biblia kwa makini brother

  • @davidochiengbuoga7165

    @davidochiengbuoga7165

    Ай бұрын

    YESU Kristo ni Mungu kwa utukufu wa Mungu Babaye (Isaya 9:6; Wafilipi2:5-11)

  • @davidochiengbuoga7165

    @davidochiengbuoga7165

    Ай бұрын

    Je, unafahamu kuwa mtoto wa nyoka ni nyoka, vile vile, Mtoto wa Mungu ni Mungu. Yesu Kristo ni Mtoto wa Mungu,tena mzaliwa wa kwanza wa Mungu na yupo pamoja na ndugu zake hapa duniani.Ndungu zale Yesu Kristo ni 'miungu "(Zaburi82:6; Yohana 10:30-37)

  • @jemimanzombo9808
    @jemimanzombo9808 Жыл бұрын

    Amina🙏🙏🙏

  • @jospinchance
    @jospinchance3 күн бұрын

    Alina mutu Alina mungu wakati wowote ni mechack pa Sud Kivu Bukavu

  • @jospinchance

    @jospinchance

    3 күн бұрын

    Akuna mutu alishaka ona mungu

  • @nehemiekwizera1277
    @nehemiekwizera1277Ай бұрын

    Kwanza maneno ya Daniel anajichanganya mwenyewe, eti huwezi kutofautisha neno na mwenyenalo, basi ukasema Kwamba John 1:1 , Neno alikua, then ukaja ukabadisha eti Neno lija , si unaona unajichanganya.

  • @abdalahsuleiman8989
    @abdalahsuleiman8989Ай бұрын

    Ukisikia watu wa moton wakiwa duniani

  • @jumamnyonge2148

    @jumamnyonge2148

    Ай бұрын

    Ndiyo hawa

  • @davidochiengbuoga7165
    @davidochiengbuoga7165Ай бұрын

    Amina,ningependa mfanye hii majadiano moja kwa moja na mwalimu kutoka Kenya 🇰🇪,jina lake ni Ndacha.Anasema Yesu sio Mungu ila ni malaika MKUU ZAIDI.Mbarikiwe watumishi

  • @msemakweli243

    @msemakweli243

    Ай бұрын

    Kinacho watatiza ni kukalilishwa yesu sio mungu hila ana uungu

  • @davidochiengbuoga7165

    @davidochiengbuoga7165

    Ай бұрын

    @@msemakweli243 Hiyo uungu wa Yesu Kristo ndo inamfanya awe Mungu (Isaya 9:6; Wafilipi2:5-11)

  • @JESUSISLO891

    @JESUSISLO891

    Ай бұрын

    Ndacha hajielewi anafaa kurudi Kwa Imani ya kweli

  • @msemakweli243

    @msemakweli243

    Ай бұрын

    @@davidochiengbuoga7165 kwahyo mungu watakuwa wangapi?

  • @msemakweli243

    @msemakweli243

    Ай бұрын

    @@JESUSISLO891 wewe ndo fikira zako

  • @jumamnyonge2148
    @jumamnyonge2148Ай бұрын

    Oyo missionary ndiyo wale tu wa catholic imani zao

  • @geoffreykomu9782
    @geoffreykomu9782Ай бұрын

    kama yesu ni yule mungu mmonja ambaye haonekani, nashidwa ibilisi katokea wapi kuja kuwadanganya watu, kisha huyu mungu ajifanye mwanadamu ili apambane na huyu ibilisi.

  • @dennismasira8992

    @dennismasira8992

    28 күн бұрын

    Muulize tena kwa sauti

  • @djskadi7355
    @djskadi7355Ай бұрын

    Kenya kwa ndacha atachukuwa nusu saa anabadilika uyoo anadanganya Yesu ni Mungu kwa Nature sio Mungu mkuu kwa sababu ni mtoto wa Mungu ndo maana anakuwa mungu kuna Mungu mkuu na Bwana Yesu soma imani Yohan 7-3 huu ndo uzima wa milele hii andiko alitaki kachumbali uyu mwalimu wa utatu ni uwongo kabisa akuna andiko linasema Mungu baba Mungu mwana Mungu roho kama lipo watoe kunyeshe mvua ya damu 😅

  • @petromachanga5538

    @petromachanga5538

    Ай бұрын

    Safi utatu

  • @nehemiekwizera1277
    @nehemiekwizera1277Ай бұрын

    Then akasema eti Thomas, alimuita Yesu Mungu ....mbona hakusoma waebrania 1:7,8 ambapo Mungu Baba Mwenyewe akumuita Mwanawe Mungu.

  • @nehemiekwizera1277
    @nehemiekwizera1277Ай бұрын

    Then akasema eti Emmanuel maana yake ,hakfu akaweka maneno yake. Jamani

  • @jumamnyonge2148
    @jumamnyonge2148Ай бұрын

    2wakorintho 12:7 Na makusudi nisipate kujivuna kupita kiasi Kwa wingi wa mafunuo hayo nalipewa mwiba katika mwili mjumbe wa shetani ili anipige nisije nikajivuna kupita kiasi

  • @jumamnyonge2148

    @jumamnyonge2148

    Ай бұрын

    Sasa uyo ndiyo na shetani ndiyo wame wangiya nyinyi ote kuleta imani yesu nimungi

  • @jumamnyonge2148

    @jumamnyonge2148

    Ай бұрын

    Warumi 3:7 Lakini ikiwa kweli ya Mungu imezidi kidhihirikasha utukufu wake kwa sababu ya Uongo wangu mbona mimi ningali nahukumiwa kuwa mwenye dhabi

  • @jumamnyonge2148

    @jumamnyonge2148

    Ай бұрын

    Paul najiita Muongo na Mwenye Dhabi nakila anaye mfuta wote motoni Aliwanda nganya kuwa yesu ni Mungu nanyi wajinga hapo studio mkaamini

  • @amedesamki425
    @amedesamki42512 күн бұрын

    Yesu wa biblia siyo isa wa kurani

Келесі