SULEMAN MBOGO: EMANUEL MAANA YAKE MUNGU PAMOJA NASI, AKATAA HAIMUHUSU YESU, HAELEZI INAMHUSU NANI

Ойын-сауық

Maswali ya muda mchache tu kuhusu Uungu wa Yesu, yamfanya Mhadhiri wa Kiislamu Sheikh Suleman Mbogo akubali kuwa Emanuel Kibiblia maana yake Mungu Pamoja Nasi. Hata hivyo anasema

Пікірлер: 92

  • @DavidMatata
    @DavidMatataАй бұрын

    Utatazama Lakini hautona,utasikia Lakini hautaelewa...Grory be to Lord God of Israel in Jesus 🙏 name.

  • @user-gr8bd2vi1h

    @user-gr8bd2vi1h

    Ай бұрын

    Uko na wazimu,moja ya maanisha Nini,ati unatazama alafu huoni,kiswahili pia unatafsiri

  • @marysanga5310
    @marysanga5310Ай бұрын

    Mungu akubariki sana mwelimu Danieli hawa waislamu wangewapotosha watu wengi sana

  • @dadamuebrania1539

    @dadamuebrania1539

    Ай бұрын

    Uislamu haukujuwa kwamba kunanyakati maarifa yataongezeka na yooote yaliyojificha ndani ya Uislamu yatakuwa peupee

  • @AkonkwaProductions
    @AkonkwaProductionsАй бұрын

    Mungu akubariki Sana mwalimu wetu Daniel

  • @innocentndikumana8928
    @innocentndikumana8928Ай бұрын

    mashallah sheikh mbogo wape vitu ❤

  • @imcctv9478
    @imcctv9478Ай бұрын

    Hongera Sana mwalimu Kwa KAZI njema

  • @WinfridaCreitus-bf3zn
    @WinfridaCreitus-bf3znАй бұрын

    Nawasiwasi sana kuwa Mbogo anauelewa mdogo nakama sivyo basi anaamua tu kuwa mbishi tu.

  • @ambakisyemwakifyogo2144
    @ambakisyemwakifyogo2144Ай бұрын

    Tuko pamoja bos .mtumishi Daniel .waelemishe hao.Yesu wanamoenda ila wapo Kwa maslahi.

  • @BAYYINATDMTV

    @BAYYINATDMTV

    Ай бұрын

    Ndagha Mwakifyogo. Nilipoteza namba yako tafadhali.

  • @Saya-ym4dl
    @Saya-ym4dlАй бұрын

    Mungu Kazaliwa kavishwa Pepmpas Katahiliwa Govi Kala chakula Kaenda Haja yaani Chooni Hivi Nyinyi wakristo Akili zenu Mbona kama Zimeingia Mafuta ya Taa Munakufuru Sana Wagaratia

  • @evansmogusu8113

    @evansmogusu8113

    Ай бұрын

    Myopic thinking

  • @ChrisMakokha-cy2cu
    @ChrisMakokha-cy2cuАй бұрын

    😢Ni yule mwanamke alisema sio Yesu

  • @mohamedally121
    @mohamedally121Ай бұрын

    Mie nimependa mabishano ya hoja bila kugombana, hongereni

  • @user-yv1gj2zn4z
    @user-yv1gj2zn4zАй бұрын

    Huyo mkristo Hana lakujibu

  • @Lky589
    @Lky589Ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂 wee Danieli acha janjajanja😆😆😆😆

  • @user-rc2ye4ri6t
    @user-rc2ye4ri6tАй бұрын

    Hwa wakirsto ni wabishi sna ukweli wanauacha

  • @Stayawayfromislam2
    @Stayawayfromislam2Ай бұрын

    Eti unaongea na mwalimu mwenyeuwezo sasa I’ll lime kuja wapi wa islam wakishindwa oja wana hanza kusema una hogopa jini Emanuel una mahana Mungu pamoja na si sasa tuki mwita yesu Mungu kwa kiswahili ina hamana kwa ki hebwania tuna muhita Emanuel

  • @ayengobenjamin8014

    @ayengobenjamin8014

    Ай бұрын

    Mwl. mwenye uwezo 🤣🤣🤣 kujitapa huko ni kudhamiria kufichua ukweli wa udhaifu wake pasipo kujielewa. Huko ni uzuzu usio kifani .

  • @user-eg7dw7cr7w
    @user-eg7dw7cr7wАй бұрын

    Yesu sio mungu maana alipewa ufunuo namungu ufunuo 1

  • @user-yv1gj2zn4z
    @user-yv1gj2zn4zАй бұрын

    Wa Kristo hawafahamu hata kitabo chao

  • @Chrisblaze-beats
    @Chrisblaze-beatsАй бұрын

    Tatizo waislam wanakaza kichwa we unampa vifungu ye anakupa maneno ya kichwani

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338Ай бұрын

    Haya yote yamekuwa, ili litimie. Haya yote yamekuwa, yapi? Ya kuzaliwa Yesu Kristo, yaani Kristo amezaliwa. Mbogo anakwepa kukubali, ansema bado ni utabiri. Anataka kusema Yesu Kristo hakuzaliwa.

  • @PrinceMgambwa
    @PrinceMgambwaАй бұрын

    Huyu jamaa wa kibarakasheee kinacho msumbua ni majini yaliyo kichwani mwake

  • @moseskatega8441
    @moseskatega8441Ай бұрын

    Hayo maandishi yenye neno Emanuel hayakusemwa na Malaika.Na hilo andiko la utabiri wa Emanuel kwenye Isaya lilitimia siku zilezile.Ilikuwa ni utabiri wa ushindi wa vita kwa mfalme Ahaz.Haimuhusu Yesu hata kidogo

  • @Rashid-vm1fk
    @Rashid-vm1fkАй бұрын

    Hawa watu ndugu wa majini wanashida sana ila wasubili unyakuo ndipo watakapojua Yesu Kristo ni nani.

  • @michaeldoroleo4864
    @michaeldoroleo4864Ай бұрын

    Hawa ni njaa ya Tende tu ila Yesu na bible wanavipenda😂😂

  • @innocentndikumana8928
    @innocentndikumana8928Ай бұрын

    aca polojo Daniel

  • @Saya-ym4dl
    @Saya-ym4dlАй бұрын

    Sasa Kuitwa Mungu Pamoja nasi Ndo kashakua Mungu Mbona Rafiki yangu Anaitwa Emanuel Kwa Akili zenu Nae ni mungu, Kwani Munafikiri kwa Kutumia nini nyinyi Viraza

  • @martinisadru9899

    @martinisadru9899

    Ай бұрын

    Kwani wewe inakuuma nini yesu akiitwa mungu? Ng'ombe ni mungu wa wahindi walio wengi, na huna hasila na wahindi, ila wakristo wakimwita YESU ni MUNGU! Unatokwa na povu mdomoni,,, na wakimwita mwana wa MUNGU unaugua homa kali, sasa lafiki yangu, 😂 hakuna aya ktk bibilia inayo tuonya kua, tukimwita YESU ni MUNGU! au, mwana wa MUNGU! ni zambi, au tutahukumiwa kwenda jehanamu, hivo sisi tutaendelea kumwita yesu ni MUNGU, sababu hakuna katazo hilo! wewe baki na muhamadi wako, mwenye hadhi ya kupata kutoka kwa warabu, na si, kutoka kwa mungu, na inawauma sana kwakua sisi wakristo tumemkataa muhamadi.

  • @aliabdallah4233
    @aliabdallah4233Ай бұрын

    Danieli toa andiko wapi kaitwa emanueki sio unatowa utabiri😂😂😂 umejitia kitanzi mwenyewe😂😂

  • @shadrackmwasonya8781
    @shadrackmwasonya8781Ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @petromachanga5538

    @petromachanga5538

    Ай бұрын

    Mbavu zangu

  • @filexbenefits5612
    @filexbenefits5612Ай бұрын

    Na tukisema ni malaika mkuu, mtaelewa aje, what a pity

  • @tabithakigongo7801
    @tabithakigongo7801Ай бұрын

    Anajua emmanuel maana yake ni Mungu pamoja nasi ila labda hajui Yesu maana yake nini? Na hajui emmanual ni Mungu kukaa na wanadamu kwa dhumuni lipi? ILI AJUE YESU NA EMMANUEL VINAFANANAJE🤗..! kuwa mwalimu inaitaji moyo aise .. mwalimu daniel Mungu awatie nguvu na walimu wote .. kazi ni kubwa mnayofanya.

  • @Smart_jarm
    @Smart_jarmАй бұрын

    Huyu mwankenwa anaongea sana,anapaparika yani😂😂

  • @husseinsaid8021
    @husseinsaid8021Ай бұрын

    Esmael mungu mwenye kusikia😂😂😂😂

  • @juliusdominic-uk4bu
    @juliusdominic-uk4buАй бұрын

    balikiwa Mtumishi

  • @0badiaMwasongwe-rt1wr
    @0badiaMwasongwe-rt1wrАй бұрын

    Yaaan aaiisee hawa watu ni wabishiii hawaelewii na hawatakujaa kuelewaa

  • @tsumamartin6878
    @tsumamartin6878Ай бұрын

    Daniel hoyeeeeeee

  • @Saya-ym4dl
    @Saya-ym4dlАй бұрын

    HAWA WATU NI SHIDA YAANI WAMEMDOGESHA MUNGU HIVI KWELI MUNGU ANAZALIWA NA KIUMBE WAKE TENA MUNGU ANAPIGWA MIJEREDI NA VIUMBE WAKE ANAULIWA NA VIUMBE WAKE KWELI KUJUA YESU SIO MUNGU KUNAHITAJI UWE NA D 2

  • @DAVIDMAGHANGA
    @DAVIDMAGHANGAАй бұрын

    Mbogo ameshinda ila hawezi kukubali

  • @mbukumagiubukumagu406
    @mbukumagiubukumagu406Ай бұрын

    Ukiangalia Ethiopia Bible different from other Bibles 800 years older King James version 81-88 books compareerden to 66 hapa kuna orginal na Kuna chengine watu wamekifanya

  • @nicksonlyimo1562
    @nicksonlyimo1562Ай бұрын

    Mbogho anaju kila kitu ila akikubali tuu ukweli kwa waislamu ni ugomvi mkubwa sana,kwani hawaruhusiwi kumkiri YESU KRISTO, anabisha makusudi ili awafurahishe wenzake.

  • @martinisadru9899
    @martinisadru9899Ай бұрын

    Kwani kuna bikira mwengine zaidi ya mariamu aliewahi kubeba mimba?

  • @vincentashiembi
    @vincentashiembiАй бұрын

    mbogo maswali yake mazuri, weka mada na mbogo tumfunze huyu elimu

  • @juliusjamanda7313
    @juliusjamanda7313Ай бұрын

    Kueleza muislam habari ya mbinguni nkama kuongea na mtoto wa shule ya Chekechea.. argument zao niza kitoto kabsa ata mtoto wangu wa grade six haezi kuwa na akili kama ya kiislam.

  • @tsumamartin6878
    @tsumamartin6878Ай бұрын

    Asanta mwalimu daniel

  • @ExcitedChefHat-ef5jt
    @ExcitedChefHat-ef5jtАй бұрын

    Yesu sio kungu manake alikia kwa Mungu akisema Mungu wangu mungu wangu mbona umeniacha ? Sasa mungu yesu anaglia kwa mungu gani tena ?😂😂😢 marko (15:34 ) 34 Ilipofika saa tisa, Yesu akalia kwa sauti kuu “Eloi, Eloi lama Sabaktani” Yaani, “Mungu wanguMungu wangu, mbona umeniacha

  • @georgekimasaofficial1629
    @georgekimasaofficial1629Ай бұрын

    Mwalimu Daniel unatupa Raha sana kwa kuwa na uwezo wa kujenga hoja 😂😂😂😂

  • @user-eg7dw7cr7w
    @user-eg7dw7cr7wАй бұрын

    Mwalimu daniel kama yesu nimungu mbona Stefano alimonya yesu akiwa mkono wakuume wamungu?

  • @oswadisanga2636
    @oswadisanga2636Ай бұрын

    Jina la yesu libalikiwesana!

  • @vitalismulusa-is1jj
    @vitalismulusa-is1jjАй бұрын

    Nauliza tu swali , Hawa waisilaam wamesoma Quran kweli.karibu sana nisiliim lkn CP alinisaidia.ako online Kila siku na waisilaam wamelemewa kulemewa

  • @petermgonja8547
    @petermgonja8547Ай бұрын

    Ndacha . Na danieli , Hawa watu n hatari, wailamu watakoma

  • @user-kd7kh1io9k

    @user-kd7kh1io9k

    Ай бұрын

    Umekosea sio waislamu watakoma bali wao ndowatakoma watakapo ingizwa motoni

  • @franciscomtambakuluca2830

    @franciscomtambakuluca2830

    Ай бұрын

    Ni kweli

  • @IbrahimHassan-wt6py
    @IbrahimHassan-wt6pyАй бұрын

    Mwamkemwa hajui kitu.

  • @CharoHarrison-lf3jc

    @CharoHarrison-lf3jc

    Ай бұрын

    Toa aya kudhibitisha haya

  • @IbrahimHassan-wt6py

    @IbrahimHassan-wt6py

    Ай бұрын

    ​@@CharoHarrison-lf3jcIsaya 7:14 ndipo ulipo utabiri wa Emmanuel. Sasa soma sura ya 7 mpaka mwisho kama Yesu anaingia hapo

  • @CharoHarrison-lf3jc

    @CharoHarrison-lf3jc

    Ай бұрын

    Emmanuel ni nani basi,,,,​@@IbrahimHassan-wt6py

  • @themessage3508
    @themessage3508Ай бұрын

    Mbogo Leo amekutana na kiboko ya waislam

  • @RapaFata
    @RapaFataАй бұрын

    Kama mbogo ndio mwalimu uislam umeisha. Matambo mengi hoja hakuna

  • @shafikakrabi8490
    @shafikakrabi8490Ай бұрын

    Mbogo ni mwalimu mkubwa

  • @mtanzaniahalisi9500
    @mtanzaniahalisi9500Ай бұрын

    Hawa jamaa nawapenda marafiki wa kitambo sn

  • @barakampunga8121
    @barakampunga8121Ай бұрын

    Waislamu someni waflip 2 tano mtaujua uungu wa yesu

  • @user-kd7kh1io9k

    @user-kd7kh1io9k

    Ай бұрын

    Biblia Gani au yanyerere?

  • @fauwilliam6780
    @fauwilliam6780Ай бұрын

    Mbishi kuelewa huyo mbogo

  • @user-eg7dw7cr7w
    @user-eg7dw7cr7wАй бұрын

    wakati yesu anasema baba kikombe hiki kiniepuke alikuwa anajiongelesha au alikuwa anaongea nanani? mwl daniel

  • @obedmasaki3565

    @obedmasaki3565

    Ай бұрын

    Wewe mwenyewe unajijua kuwa umegawanyika mara tatu? mwili wako mahitaji yake ni tofauti na Roho yako au pia nafsi yako?

  • @KHADIJANDABABISA
    @KHADIJANDABABISAАй бұрын

    Uyo daniel hana hoja ,kitabu cha mungu kinawezaje kupingana

  • @georgekimasaofficial1629

    @georgekimasaofficial1629

    Ай бұрын

    Mbogo ndiyo Hana hoja ndiyo maana anapewa darasa 😂😂😂

  • @paulmushi2428
    @paulmushi2428Ай бұрын

    Eti Mwalimu mkubwa😂😂😂

  • @Stayawayfromislam2
    @Stayawayfromislam2Ай бұрын

    He was wa islam wana saau kwamba quran ni nyingi ? Katika uhu mbaji quran ina sema mtu mweusi aliumbwa ahendemotoni

  • @madetetv6576
    @madetetv6576Ай бұрын

    Mbogo kakamatika

  • @Stayawayfromislam2
    @Stayawayfromislam2Ай бұрын

    Quran imesema juwa huwa linazama katika maji uhu si ujinga kweli

  • @IbrahimHassan-wt6py

    @IbrahimHassan-wt6py

    Ай бұрын

    BIBLIA mbona imesema Yesu alikuwa tahira

  • @AkonkwaProductions
    @AkonkwaProductionsАй бұрын

    Eti mbogo ni mwalimu 😂

  • @RamadhaniLukambuzi

    @RamadhaniLukambuzi

    Ай бұрын

    Ni Mwalimu ndiyo kwani husikii nondo zake?Yesu hawezi kuwa Mungu kwa sababu Mungu hawezi kupakwa mafuta,Mungu hawezi kupewa Ufalme bali Yeye ni Mkuu kila idara na pale Sisi wanadamu tunapomuhita Mfalme wa Wafalme nitayari Yeye ameisha jihita hivyo kwenye vitabu vyake!

  • @HabibuUrasa
    @HabibuUrasaАй бұрын

    Danieli kabanwa 😅😅😅😅. Immanuel -Mungu pamoja nasi siyo yesu ndiye Mungu. ALLAH pamoja nasi km ilivyo Ismael maana yake Mungu.anasikia siyo Ismael ni Mungu hapana isipokuwa Mungu wetu ALLAH anasikia waislamu wana akili wajua kupambanua maneno.

  • @joycedimoso8648

    @joycedimoso8648

    Ай бұрын

    Ishmael maana yake Mungu amesikia sio Mungu anasikia

  • @HabibuUrasa

    @HabibuUrasa

    Ай бұрын

    @@joycedimoso8648 yote sawa amesikia au anasikia kwahiyo huyo Ismael atakuwa ndiye Mungu ?

  • @michaeldoroleo4864

    @michaeldoroleo4864

    Ай бұрын

    Hakuna muislam mwenye akili,mimi nitakuthibotishia.hakuna mtu mwenye akili anaweza mfata Muhammad

  • @silveriusfungilwa5995
    @silveriusfungilwa5995Ай бұрын

    Hawa jamaa wabishi hawana hoja

  • @fauwilliam6780
    @fauwilliam6780Ай бұрын

    Anaishia kujisifu tuu mi ni mwalimu mkubwa lkn ni mbishi kuelewa

  • @IbrahimHassan-wt6py

    @IbrahimHassan-wt6py

    Ай бұрын

    Hivi mtu akipewa jina la punda, anakuwa punda? Wakristo mnakwama wapi?

  • @joycedimoso8648

    @joycedimoso8648

    Ай бұрын

    Hivi mtoto wa mbuzi anaweza kuwa kuku?

  • @IbrahimHassan-wt6py

    @IbrahimHassan-wt6py

    Ай бұрын

    ​@@joycedimoso8648umesema kweli. Yesu kazaliwa na mwanamke ambaye ni mwanadamu. Ndiyo maana tunasema hawezi kuwa Mungu. Bali ni mwanadamu kama inavyosema biblia

  • @petermgonja8547
    @petermgonja8547Ай бұрын

    Mbogo umenaswa, na mtego wewe enenda zako porini

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313Ай бұрын

    Uwezo Gani wewe huelewi

  • @christophermotonyi2547
    @christophermotonyi2547Ай бұрын

    Huyo mbogo is useless man

  • @Anonymous23216
    @Anonymous23216Ай бұрын

    Waislamu ni wabishi sana hao. Mwalimu wa mchongo, yaani hajui chochote.

Келесі