SULEMAN MBOGO: EMANUEL MAANA YAKE MUNGU PAMOJA NASI, AKATAA HAIMUHUSU YESU, HAELEZI INAMHUSU NANI
Ойын-сауық
Maswali ya muda mchache tu kuhusu Uungu wa Yesu, yamfanya Mhadhiri wa Kiislamu Sheikh Suleman Mbogo akubali kuwa Emanuel Kibiblia maana yake Mungu Pamoja Nasi. Hata hivyo anasema
Пікірлер: 92
Utatazama Lakini hautona,utasikia Lakini hautaelewa...Grory be to Lord God of Israel in Jesus 🙏 name.
@user-gr8bd2vi1h
Ай бұрын
Uko na wazimu,moja ya maanisha Nini,ati unatazama alafu huoni,kiswahili pia unatafsiri
Mungu akubariki sana mwelimu Danieli hawa waislamu wangewapotosha watu wengi sana
@dadamuebrania1539
Ай бұрын
Uislamu haukujuwa kwamba kunanyakati maarifa yataongezeka na yooote yaliyojificha ndani ya Uislamu yatakuwa peupee
Mungu akubariki Sana mwalimu wetu Daniel
mashallah sheikh mbogo wape vitu ❤
Hongera Sana mwalimu Kwa KAZI njema
Nawasiwasi sana kuwa Mbogo anauelewa mdogo nakama sivyo basi anaamua tu kuwa mbishi tu.
Tuko pamoja bos .mtumishi Daniel .waelemishe hao.Yesu wanamoenda ila wapo Kwa maslahi.
@BAYYINATDMTV
Ай бұрын
Ndagha Mwakifyogo. Nilipoteza namba yako tafadhali.
Mungu Kazaliwa kavishwa Pepmpas Katahiliwa Govi Kala chakula Kaenda Haja yaani Chooni Hivi Nyinyi wakristo Akili zenu Mbona kama Zimeingia Mafuta ya Taa Munakufuru Sana Wagaratia
@evansmogusu8113
Ай бұрын
Myopic thinking
😢Ni yule mwanamke alisema sio Yesu
Mie nimependa mabishano ya hoja bila kugombana, hongereni
Huyo mkristo Hana lakujibu
😂😂😂😂😂😂😂😂 wee Danieli acha janjajanja😆😆😆😆
Hwa wakirsto ni wabishi sna ukweli wanauacha
Eti unaongea na mwalimu mwenyeuwezo sasa I’ll lime kuja wapi wa islam wakishindwa oja wana hanza kusema una hogopa jini Emanuel una mahana Mungu pamoja na si sasa tuki mwita yesu Mungu kwa kiswahili ina hamana kwa ki hebwania tuna muhita Emanuel
@ayengobenjamin8014
Ай бұрын
Mwl. mwenye uwezo 🤣🤣🤣 kujitapa huko ni kudhamiria kufichua ukweli wa udhaifu wake pasipo kujielewa. Huko ni uzuzu usio kifani .
Yesu sio mungu maana alipewa ufunuo namungu ufunuo 1
Wa Kristo hawafahamu hata kitabo chao
Tatizo waislam wanakaza kichwa we unampa vifungu ye anakupa maneno ya kichwani
Haya yote yamekuwa, ili litimie. Haya yote yamekuwa, yapi? Ya kuzaliwa Yesu Kristo, yaani Kristo amezaliwa. Mbogo anakwepa kukubali, ansema bado ni utabiri. Anataka kusema Yesu Kristo hakuzaliwa.
Huyu jamaa wa kibarakasheee kinacho msumbua ni majini yaliyo kichwani mwake
Hayo maandishi yenye neno Emanuel hayakusemwa na Malaika.Na hilo andiko la utabiri wa Emanuel kwenye Isaya lilitimia siku zilezile.Ilikuwa ni utabiri wa ushindi wa vita kwa mfalme Ahaz.Haimuhusu Yesu hata kidogo
Hawa watu ndugu wa majini wanashida sana ila wasubili unyakuo ndipo watakapojua Yesu Kristo ni nani.
Hawa ni njaa ya Tende tu ila Yesu na bible wanavipenda😂😂
aca polojo Daniel
Sasa Kuitwa Mungu Pamoja nasi Ndo kashakua Mungu Mbona Rafiki yangu Anaitwa Emanuel Kwa Akili zenu Nae ni mungu, Kwani Munafikiri kwa Kutumia nini nyinyi Viraza
@martinisadru9899
Ай бұрын
Kwani wewe inakuuma nini yesu akiitwa mungu? Ng'ombe ni mungu wa wahindi walio wengi, na huna hasila na wahindi, ila wakristo wakimwita YESU ni MUNGU! Unatokwa na povu mdomoni,,, na wakimwita mwana wa MUNGU unaugua homa kali, sasa lafiki yangu, 😂 hakuna aya ktk bibilia inayo tuonya kua, tukimwita YESU ni MUNGU! au, mwana wa MUNGU! ni zambi, au tutahukumiwa kwenda jehanamu, hivo sisi tutaendelea kumwita yesu ni MUNGU, sababu hakuna katazo hilo! wewe baki na muhamadi wako, mwenye hadhi ya kupata kutoka kwa warabu, na si, kutoka kwa mungu, na inawauma sana kwakua sisi wakristo tumemkataa muhamadi.
Danieli toa andiko wapi kaitwa emanueki sio unatowa utabiri😂😂😂 umejitia kitanzi mwenyewe😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@petromachanga5538
Ай бұрын
Mbavu zangu
Na tukisema ni malaika mkuu, mtaelewa aje, what a pity
Anajua emmanuel maana yake ni Mungu pamoja nasi ila labda hajui Yesu maana yake nini? Na hajui emmanual ni Mungu kukaa na wanadamu kwa dhumuni lipi? ILI AJUE YESU NA EMMANUEL VINAFANANAJE🤗..! kuwa mwalimu inaitaji moyo aise .. mwalimu daniel Mungu awatie nguvu na walimu wote .. kazi ni kubwa mnayofanya.
Huyu mwankenwa anaongea sana,anapaparika yani😂😂
Esmael mungu mwenye kusikia😂😂😂😂
balikiwa Mtumishi
Yaaan aaiisee hawa watu ni wabishiii hawaelewii na hawatakujaa kuelewaa
Daniel hoyeeeeeee
HAWA WATU NI SHIDA YAANI WAMEMDOGESHA MUNGU HIVI KWELI MUNGU ANAZALIWA NA KIUMBE WAKE TENA MUNGU ANAPIGWA MIJEREDI NA VIUMBE WAKE ANAULIWA NA VIUMBE WAKE KWELI KUJUA YESU SIO MUNGU KUNAHITAJI UWE NA D 2
Mbogo ameshinda ila hawezi kukubali
Ukiangalia Ethiopia Bible different from other Bibles 800 years older King James version 81-88 books compareerden to 66 hapa kuna orginal na Kuna chengine watu wamekifanya
Mbogho anaju kila kitu ila akikubali tuu ukweli kwa waislamu ni ugomvi mkubwa sana,kwani hawaruhusiwi kumkiri YESU KRISTO, anabisha makusudi ili awafurahishe wenzake.
Kwani kuna bikira mwengine zaidi ya mariamu aliewahi kubeba mimba?
mbogo maswali yake mazuri, weka mada na mbogo tumfunze huyu elimu
Kueleza muislam habari ya mbinguni nkama kuongea na mtoto wa shule ya Chekechea.. argument zao niza kitoto kabsa ata mtoto wangu wa grade six haezi kuwa na akili kama ya kiislam.
Asanta mwalimu daniel
Yesu sio kungu manake alikia kwa Mungu akisema Mungu wangu mungu wangu mbona umeniacha ? Sasa mungu yesu anaglia kwa mungu gani tena ?😂😂😢 marko (15:34 ) 34 Ilipofika saa tisa, Yesu akalia kwa sauti kuu “Eloi, Eloi lama Sabaktani” Yaani, “Mungu wanguMungu wangu, mbona umeniacha
Mwalimu Daniel unatupa Raha sana kwa kuwa na uwezo wa kujenga hoja 😂😂😂😂
Mwalimu daniel kama yesu nimungu mbona Stefano alimonya yesu akiwa mkono wakuume wamungu?
Jina la yesu libalikiwesana!
Nauliza tu swali , Hawa waisilaam wamesoma Quran kweli.karibu sana nisiliim lkn CP alinisaidia.ako online Kila siku na waisilaam wamelemewa kulemewa
Ndacha . Na danieli , Hawa watu n hatari, wailamu watakoma
@user-kd7kh1io9k
Ай бұрын
Umekosea sio waislamu watakoma bali wao ndowatakoma watakapo ingizwa motoni
@franciscomtambakuluca2830
Ай бұрын
Ni kweli
Mwamkemwa hajui kitu.
@CharoHarrison-lf3jc
Ай бұрын
Toa aya kudhibitisha haya
@IbrahimHassan-wt6py
Ай бұрын
@@CharoHarrison-lf3jcIsaya 7:14 ndipo ulipo utabiri wa Emmanuel. Sasa soma sura ya 7 mpaka mwisho kama Yesu anaingia hapo
@CharoHarrison-lf3jc
Ай бұрын
Emmanuel ni nani basi,,,,@@IbrahimHassan-wt6py
Mbogo Leo amekutana na kiboko ya waislam
Kama mbogo ndio mwalimu uislam umeisha. Matambo mengi hoja hakuna
Mbogo ni mwalimu mkubwa
Hawa jamaa nawapenda marafiki wa kitambo sn
Waislamu someni waflip 2 tano mtaujua uungu wa yesu
@user-kd7kh1io9k
Ай бұрын
Biblia Gani au yanyerere?
Mbishi kuelewa huyo mbogo
wakati yesu anasema baba kikombe hiki kiniepuke alikuwa anajiongelesha au alikuwa anaongea nanani? mwl daniel
@obedmasaki3565
Ай бұрын
Wewe mwenyewe unajijua kuwa umegawanyika mara tatu? mwili wako mahitaji yake ni tofauti na Roho yako au pia nafsi yako?
Uyo daniel hana hoja ,kitabu cha mungu kinawezaje kupingana
@georgekimasaofficial1629
Ай бұрын
Mbogo ndiyo Hana hoja ndiyo maana anapewa darasa 😂😂😂
Eti Mwalimu mkubwa😂😂😂
He was wa islam wana saau kwamba quran ni nyingi ? Katika uhu mbaji quran ina sema mtu mweusi aliumbwa ahendemotoni
Mbogo kakamatika
Quran imesema juwa huwa linazama katika maji uhu si ujinga kweli
@IbrahimHassan-wt6py
Ай бұрын
BIBLIA mbona imesema Yesu alikuwa tahira
Eti mbogo ni mwalimu 😂
@RamadhaniLukambuzi
Ай бұрын
Ni Mwalimu ndiyo kwani husikii nondo zake?Yesu hawezi kuwa Mungu kwa sababu Mungu hawezi kupakwa mafuta,Mungu hawezi kupewa Ufalme bali Yeye ni Mkuu kila idara na pale Sisi wanadamu tunapomuhita Mfalme wa Wafalme nitayari Yeye ameisha jihita hivyo kwenye vitabu vyake!
Danieli kabanwa 😅😅😅😅. Immanuel -Mungu pamoja nasi siyo yesu ndiye Mungu. ALLAH pamoja nasi km ilivyo Ismael maana yake Mungu.anasikia siyo Ismael ni Mungu hapana isipokuwa Mungu wetu ALLAH anasikia waislamu wana akili wajua kupambanua maneno.
@joycedimoso8648
Ай бұрын
Ishmael maana yake Mungu amesikia sio Mungu anasikia
@HabibuUrasa
Ай бұрын
@@joycedimoso8648 yote sawa amesikia au anasikia kwahiyo huyo Ismael atakuwa ndiye Mungu ?
@michaeldoroleo4864
Ай бұрын
Hakuna muislam mwenye akili,mimi nitakuthibotishia.hakuna mtu mwenye akili anaweza mfata Muhammad
Hawa jamaa wabishi hawana hoja
Anaishia kujisifu tuu mi ni mwalimu mkubwa lkn ni mbishi kuelewa
@IbrahimHassan-wt6py
Ай бұрын
Hivi mtu akipewa jina la punda, anakuwa punda? Wakristo mnakwama wapi?
@joycedimoso8648
Ай бұрын
Hivi mtoto wa mbuzi anaweza kuwa kuku?
@IbrahimHassan-wt6py
Ай бұрын
@@joycedimoso8648umesema kweli. Yesu kazaliwa na mwanamke ambaye ni mwanadamu. Ndiyo maana tunasema hawezi kuwa Mungu. Bali ni mwanadamu kama inavyosema biblia
Mbogo umenaswa, na mtego wewe enenda zako porini
Uwezo Gani wewe huelewi
Huyo mbogo is useless man
Waislamu ni wabishi sana hao. Mwalimu wa mchongo, yaani hajui chochote.