DR,SULLE ABANWA VIBAYA VIFUNGO VYA QURANI NA BIBLIA HAKUNA MAJIN WAZURI WOTE WABAYA SEMA UKWELI DANI

Ойын-сауық

Пікірлер: 197

  • @frankmugomba3484
    @frankmugomba34842 ай бұрын

    Mwalimu D uko Vizuri sana Asante sana Mkuuu be blessed sana Baba wa Mbinguni akujaze Mema yake

  • @pascalvirgilio7208
    @pascalvirgilio72082 ай бұрын

    Yesu Kristu ndiyo uzima wa milele..

  • @HamisAbdallah-cj2sc

    @HamisAbdallah-cj2sc

    2 ай бұрын

    Soma na Marko 5:9

  • @joycedimoso8648

    @joycedimoso8648

    2 ай бұрын

    Marko 5:9 inasema akamuuliza jina lako nani akajibu jina langu ni legion kwakuwa tu wengi point Yako ni ipi kwenye hii Aya? Hapa Yesu anamuuliza yule aliepagawa namapepo nae anajibu shida nn hapa sema tukusaidie

  • @graduationtv3072

    @graduationtv3072

    Ай бұрын

    ​@@HamisAbdallah-cj2sc soma marko 5 :8 - 10 utapata majibu yako ya swali lako. Acha kusoma vitu nusu nusu utoelewa kijana

  • @frankmwakalinga7455
    @frankmwakalinga7455Ай бұрын

    Amina kaka mtumishi wa Mungu Ubarikiwe Hawa waislamu Wana potosha na kumchafua Mungu

  • @JohnjohnMnonjela-br3xl
    @JohnjohnMnonjela-br3xl2 ай бұрын

    Huyu ndio mwalimu Daniel mwankemwa ninayemfahamu ....ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu

  • @binaamour318

    @binaamour318

    2 ай бұрын

    Huyu ni muongo hakukuwa na jini malaika jini ameumbwa kw moto na malaika ameumbwa kw Nuru

  • @joycedimoso8648

    @joycedimoso8648

    2 ай бұрын

    Wewe usitake kila mtu aamin unachoamin wewe ametoa Aya kwenye biblia sio Quran wewe Amin ulichoaminishwa kwenye Quran yako

  • @user-zs6qg7ql1i

    @user-zs6qg7ql1i

    2 ай бұрын

    50:6yeremia,56:10isaya mpuuzi ww kasome

  • @joycedimoso8648

    @joycedimoso8648

    2 ай бұрын

    Ungeanzia Moja ndio ungepata majibu wanao ongelewa hapo ni wakina nani yeremia50:1 Neno hili alilolisema Bwana ktka habari zababeri naktk habari za wakaldayo kwakinywa chayeremia nabii. Hao ndio wanaongelewa hapo nayeremia baada yamungu kusema nae juu ya watu hao ukisoma 8:50 inasema wakimbia kutoka baber pamoja na nchi yawakalidayo coz kulikua nadhambi zinafanyika kwakipindi hicho namungu akachukizwa nadhambi hizo ndio Mungu akaongea na nabii yeremia habari za hizo nchi coz watu wake wamepotea kwahayo wayafanyayo

  • @wycliffew.woduor1748
    @wycliffew.woduor17482 ай бұрын

    This gentleman (Mwalimu Daniel?) is so clever and coherent. God bless

  • @SantosNjanja
    @SantosNjanja2 ай бұрын

    Yesu ni Alfa na homega yeye ni muanzo na wa muisho

  • @LeonceMushy
    @LeonceMushy2 ай бұрын

    Aleluya nimejifunza

  • @jannffer
    @jannfferАй бұрын

    I love your teaching may God bless you

  • @user-nw9ds9qe5i
    @user-nw9ds9qe5iАй бұрын

    Hallelujah ubarikiwe Sana mtumishi Daniel mwankemwa nakusikia Raha kuwa mkristo.

  • @AnafBanda
    @AnafBanda2 ай бұрын

    Mwalim Daniel mwamkemba uko vzr kwamafundisho

  • @WilliamMandwanga
    @WilliamMandwangaАй бұрын

    Munguakubariki mtumishi mana awonduguzetu shetanianawatumia kpoteza ndugu zetu.

  • @frankmugomba3484
    @frankmugomba34842 ай бұрын

    Daaaaaa kweli Nimecheka sana sana Daaaaaa Wasilamu Mko vizuri sana kwa Kitabu chao ja Majini na Vituko vyao kiko Vizuri sana daaaaa Waisilamu wako Vizuri sana Wacheni na Majini yao

  • @jannffer
    @jannfferАй бұрын

    Mimi naona anataka kuongelelea roho mtakatifu mungu amufunulie kupitia nguvu zake

  • @joezeno8
    @joezeno82 ай бұрын

    Swala za Majini , Sharif Majini yuko kimya anajuwa yeye ndio mwenyekiti wa majini

  • @rachelnamisi777
    @rachelnamisi7772 ай бұрын

    In Christianity majini are follen Engles. Malaika walioaasi.

  • @DAVIDMAGHANGA
    @DAVIDMAGHANGA2 ай бұрын

    Hallelujah utukufu Kwa BWANA YESU

  • @DAVIDMAGHANGA
    @DAVIDMAGHANGAАй бұрын

    Hongera Daniel sana

  • @user-uq7kk4dw2o
    @user-uq7kk4dw2o2 ай бұрын

    Uko vizuri sana mwalimu

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s2 ай бұрын

    Facts tupu

  • @paulmushi2428
    @paulmushi24282 ай бұрын

    Waislamu Kila mara nawaomba Aya ndani ya Biblia kuwa majini walisikia INJILI wakaiamini wakawa Wakristo!!

  • @HamisAbdallah-cj2sc

    @HamisAbdallah-cj2sc

    2 ай бұрын

    Wapi aya inayosema KWAMBA majini ni malaika walioasi ?? Sasa aya uliyosema haisomeki kuwa majini asili YAKE ni malaika.sasa yesu kaja majini yameondoka?

  • @user13375

    @user13375

    2 ай бұрын

    ​@@HamisAbdallah-cj2scHakuja kuyaangamiza la sivyo yangeangamia Sulle asingetajilika 😮😮😮

  • @MrMtaalam
    @MrMtaalam2 ай бұрын

    Sheikh huna ilmu,jini alkua kiumbe wakwanza duniani ,walipopigana na kuharibu ulimwengu wakagharkishwa,kikabaki kitoto kimoja malaika wakakichkua waenda muomba mungu akisamehe wakilee.....mwishowe kilipoasi na kukataa kumsujudia adam,akafukuzwa akaja ardhini kuzaana.hawa ndio majini.

  • @daudimichael7338

    @daudimichael7338

    2 ай бұрын

    Uuuongooo

  • @Benfilimon

    @Benfilimon

    2 ай бұрын

    Sasa wewe unajengea hoja kitabu cha juzi,, yaani qruan wakati vitabu vya mwanzo havisemi hivyo,, kwahio jini jhajaumbwa bali ni maraika waasi,, huo ndio ukweli wa torati, zabri na injili

  • @husseinhassani8846

    @husseinhassani8846

    Ай бұрын

    Hakuna majini ya kikristo kwa kuwa hakuna dini hiyo hata yesu haitambu,Mungu anasema "sikuwaumba majini na wanadamu isipokuwa waniabudu" hivyo wapo watu wabaya na wazuri hivyohivyo na majini

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything2 ай бұрын

    Lord have mercy on us🙏

  • @EnthusiasticAtv-gn6pb
    @EnthusiasticAtv-gn6pb2 ай бұрын

    MAJINI WALIKUWA MALAIKA Katika Uislamu Malaika hawamuasi Mwenyezi Mungu.

  • @SarahPeter-fg3cm
    @SarahPeter-fg3cmАй бұрын

    Kwanza hauelewi maana ya makundi

  • @graduationtv3072

    @graduationtv3072

    Ай бұрын

    Makundi ni zaid ya moja yaani mawili na kuendelea na ukiangalia kwenye Qurani kuna makundi mawili tu ya yale yalio amini yakasirimu ( mnayaita mema au mazuri na ni maislam haya) na kundi lingine ni yale makafiri ambayo siyo maislam ( mnayaita mabaya) sasa njoo utuambie wew kundi la tatu ni lipi uje na reference yake

  • @AsiaSiraji-ud9ju
    @AsiaSiraji-ud9ju2 ай бұрын

    Ww ni mshenzi uliona nani mwisilam avai nguo ya ndan wakati wa swala😢😢😢 acha kupotosha watu

  • @daudimichael7338

    @daudimichael7338

    2 ай бұрын

    Si mnapulizwa na shetani matakoni mnaposujudu msikitini?

  • @FrankBella-qe4tj

    @FrankBella-qe4tj

    Ай бұрын

    Kuswali na majin mbona hamuongei

  • @badruseif1318

    @badruseif1318

    Ай бұрын

    ​@@FrankBella-qe4tj na nyinyi ndoa za jinsia moja mbona husemi kama baba yenu kasena mzibariki

  • @nestarnestar4520

    @nestarnestar4520

    Ай бұрын

    Kwan uongo mnasali bila chupi hata demu wangu mislam aliniambia hua haendi na chupi akienda kuswaali

  • @nestarnestar4520

    @nestarnestar4520

    Ай бұрын

    Mshenzi niww

  • @Chrisblaze-beats
    @Chrisblaze-beats2 ай бұрын

    Waache hao waabudu majini. Dini ya waganga.

  • @badruseif1318

    @badruseif1318

    Ай бұрын

    Sawa na wewe muabudu ushoga

  • @user-pl8pn7qb9e

    @user-pl8pn7qb9e

    Ай бұрын

    huyo mwalimu mwenyewe amesha washirikisha na miungu wa tatu nyie akili kisoda mumeona huyu nae mwalimu

  • @Chrisblaze-beats

    @Chrisblaze-beats

    Ай бұрын

    @@badruseif1318 Dini yangu haiabudu ushoga. Hizo ni sababu zisizo za msingi. 😆😆

  • @bossej1212
    @bossej12122 ай бұрын

    😂😂😂 Mwalimu umeniweza. Nimejifunza kitu kuhusu kitovu

  • @hasanykatutuma6927
    @hasanykatutuma69272 ай бұрын

    Ujanja nwingisana

  • @hassansingano1150
    @hassansingano11502 ай бұрын

    Nguo za ndani, duh, umechemka

  • @mwesi527
    @mwesi5272 ай бұрын

    Mungu baba,mungu mwana ,mungu roho, ndio nini et?

  • @ZakariaJackson
    @ZakariaJacksonАй бұрын

    Mtumishi mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni majini wako wazuri na wabaya kama waislamu wanavyo sema ata biblia inajua ilo soma vizuri utajua

  • @mwakilamwaki1718

    @mwakilamwaki1718

    Ай бұрын

    We ndugu yangi ni mkristo kweli kuna jini mzuri daaaa

  • @graduationtv3072

    @graduationtv3072

    Ай бұрын

    Bro shetani ni bingwa wa kuigiza ili akupate na kukoseshana na Mungu wako basi atajifany kuwa ni mzuri ilimrad umwache Mungu

  • @user-oc8uo9rl3u
    @user-oc8uo9rl3u2 ай бұрын

    Makafiri waongo kazi kudanganyana tuuuu.

  • @daudimichael7338

    @daudimichael7338

    2 ай бұрын

    Wewe ni kafiri wa Kiislam

  • @stephanosospeter1709

    @stephanosospeter1709

    2 ай бұрын

    Kama unaona anaongea uwongo, nenda na hoja zako za kweli, ukapinge,

  • @stephanosospeter1709

    @stephanosospeter1709

    2 ай бұрын

    Yeye anainukuu Quran yenu, inavyo sema

  • @doreenarbogast4597

    @doreenarbogast4597

    18 күн бұрын

    Nini cha uongo alichoongea hapo? Hahhahaha mpokee Yesu awe mwokozi wa maisha yako uwe huru

  • @daudhabona8897
    @daudhabona88972 ай бұрын

    Hahahahaha. Kwa hiyooo waislam hawavai chupi msikitini. 😂😂. Dunia hiii

  • @odilomwemeziernest646

    @odilomwemeziernest646

    2 ай бұрын

    Kabisa yani hii ni kweli kabisa,

  • @Pablolookman
    @Pablolookman2 ай бұрын

    Kwani sasaivi hayo majini hayafanyi kazi tena wanaoshambuliwa na majini ni wakristo

  • @HamisAbdallah-cj2sc
    @HamisAbdallah-cj2scАй бұрын

    SASA HAYO TAYARI SI WAKIRISTO WAMEAMINI YESU NI MWANA WAMUNGU.

  • @HamisAbdallah-cj2sc

    @HamisAbdallah-cj2sc

    Ай бұрын

    NYAKATI 2 18:18-24 MUNGU ALIPOKUWA NA JESHI LAKE AKAULIZA NI MTUME NANI AKATOKA PEPO (JINI) AKASEMA NITUME MM NITAKWENDA KUWA JINI WA UONGO VINYWANI MWA MANABII WA AHABU.PITIA NYAKATI FAFANUA .

  • @johnsonyohana9594
    @johnsonyohana9594Ай бұрын

    Sio kwamba mbogo ni mchache wa elim bali uwa anapinda ulimi tu makusudi kuwafurahisha maamuma

  • @jannffer
    @jannfferАй бұрын

    Suleiman nathani anataka kuongelelea roho mtakatifu

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael61232 ай бұрын

    Ndio maana waislam hawali nguruwe.

  • @paulmushi2428

    @paulmushi2428

    2 ай бұрын

    Wanaruhusiwa Kula nguruwe wakiwa na njaa bila kishiba😂😂

  • @mbukumagiubukumagu406
    @mbukumagiubukumagu4062 ай бұрын

    Wacha kusema Dr Sule kabanwa vibaya. kitabu hicho ni feki cha bible kimendikwa Rome,kapitia lugha ya kigiriki na kilatini kwa biashara zao na kufanya mengi katika mataifa ya Europe na kwa kukitumia katika biashara za utumwa missionari

  • @MiziziMti

    @MiziziMti

    2 ай бұрын

    Huo ndio ufahamu wako...you have been deceived my friend.

  • @bakarisaidi3022
    @bakarisaidi30222 ай бұрын

    Majini wakristo wapo.tena wapo na imani tofauti hawa viumbe.

  • @user-dt5wp5qo4n

    @user-dt5wp5qo4n

    2 ай бұрын

    Hakuna jini mkristo,kama yako toa aya bakarisaidi

  • @husseinmtende6575

    @husseinmtende6575

    2 ай бұрын

    ​@@user-dt5wp5qo4n mbona mkakingoa kitabu cha Solomon kwenye biblia manake hapo ndipo Sasa

  • @OmariShuli
    @OmariShuli2 ай бұрын

    Hayo maelezo na hicho kitabu kwamba hakuna mtu aliepnda jini akasema yeye ni papa,..,..nk. kama utarejea huko nyuma amesema majini wanapenda kujinasibisha na majina mazuri, ujue basi hayo ya uikristo nk ni mabaya ndio maana majini hawajinasibishi nayo.

  • @ismailsoud3634
    @ismailsoud36342 ай бұрын

    Haya yote yanatokana na Matamshi ya Dr. Sule. Kuhusu majini. Na ndo maana nilisema kuwa majini yalikwisha hukumiwa jahannam wote.

  • @Khalidmwangwai4651
    @Khalidmwangwai46512 ай бұрын

    Ata wanadam waliasi Mungu ndio wakashukishwa duniani Kama Majini pia wote walifanya makosa

  • @joycedimoso8648

    @joycedimoso8648

    2 ай бұрын

    Inamaana wanadamu walikua wanaishi mbingun walipokosea wakashushwa Dunia kwamujibu wa Quran?

  • @odilomwemeziernest646

    @odilomwemeziernest646

    2 ай бұрын

    @@joycedimoso8648 hawezi kukujibu,wamekalilishwa na mjinga mmoja anaitwa Muddy

  • @Khatib-xp6fp
    @Khatib-xp6fp2 ай бұрын

    Achana na uislamu huujui ata kidogo

  • @user-go1rl6bb1z

    @user-go1rl6bb1z

    2 ай бұрын

    Mtume wko kama hakuujua uislam wewe dio utajua. poleni waislamu mchanga wa macho pwaaa..njooni kwa yesu.

  • @fadhilmandaliabdalla6736
    @fadhilmandaliabdalla67362 ай бұрын

    Hamna kitu, apo pumba tupu, cc waislam wenyewe tupo apa, unatusingixia mchana kweupe, Mnafiki wewe mzee, cc tunavaa nguo za ndani na za nje pia, ili mrad ziwe tohara, kama c tohara hata iwe kanzu huwez kuswalia, acha kusema uongo, Tubu kwa Allah.

  • @amadeomarsaide5023
    @amadeomarsaide5023Ай бұрын

    Suali hili naomba jibu Anae kili kwamba yesu ni mwana wamungu atakua Dini gani?

  • @felixgitonga6783
    @felixgitonga67832 ай бұрын

    Waislamu wanazanga Kama majini ni malaika waliazi kwasababu mwamendi anasema majini yaliumbwa na Moto kwa mujibu wa Quran

  • @barakampunga8121
    @barakampunga81212 ай бұрын

    Wislamu ni din ya majin sio ya Mungu ndia maana unakuta muhamad alimsimisha shetan njoon Kwa Yesu polen mlioslimu

  • @AmriAmri-hy6sg
    @AmriAmri-hy6sg2 ай бұрын

    Kafili mkúbwa w duniani. Waliishi viumbe gani kabra ya binadam

  • @jannffer
    @jannfferАй бұрын

    Kwani mkojo ni dhambi

  • @user-je8mj8dc7u
    @user-je8mj8dc7u2 ай бұрын

    Hio Bibilia yako ni yakizushi sana majini hawakumuita yesu mwana wa mungu ndugu zangu hebu kasomeni wenyenyewe Luka 4:34 [34]akisema, Acha! Tuna nini nawe, Yesu wa Nazareti? Umekuja kutuangamiza? Nakujua u nani, Mtakatifu wa Mungu.'' '' '' '' '' '' 'Kwahalihii kila mkristo atakuwa na bibilia yake

  • @odilomwemeziernest646

    @odilomwemeziernest646

    2 ай бұрын

    Wewe uelewa wako ni ziro ,hapo uliposoma pana tofauti gani na hapo anapopaelezea?

  • @mussamohammedy8014
    @mussamohammedy80142 ай бұрын

    Halafu mm nashindwa kabisa vipi wasaidiwe hawa watu biblia inasema yesu katumwa kwa wana wa israel vp mungu awapendelee wana wa israel na chaajabu walio pendelewa kupewa huyo yesu hawaitambui biblia wao wako na taurat aisee

  • @habililailo271

    @habililailo271

    2 ай бұрын

    Nabii hakubalik kwao

  • @favoritebrayo

    @favoritebrayo

    2 ай бұрын

    kwa akili yako unafikiria Israeli ni nchi tu

  • @SuleKhamisi
    @SuleKhamisi2 ай бұрын

    Wewe ni mshenzi tu hata katika ukristo humo

  • @eslonblack8096
    @eslonblack80962 ай бұрын

    Nimekumbuka ile nyimbo ya mbosso milungi mishisha mibange seleman😂😂😂 selemani kawauza waislam

  • @user-vv5hq9mc1k
    @user-vv5hq9mc1k2 ай бұрын

    Wewe Daniel aja uongo nyinyi wakristo mnafanya mapenzi na majini, nayo iweje

  • @LukusaFrank-dg1ib
    @LukusaFrank-dg1ib2 ай бұрын

    Mwalimu ulikwepa swala lamwandishi,je mapepo wanajuwa siku yaukumu?

  • @user-cz7yn8ct5r
    @user-cz7yn8ct5r2 ай бұрын

    Huko kwenye Majini siwezi kwenda.

  • @user-jl5un4wf3u
    @user-jl5un4wf3u2 ай бұрын

    Kama nikufikiri kwakufunguliwa macho nileo hii mtu anayepatamafanikio kwajasholake harali hajitutumuli nakujitanuatatanua kama chura.

  • @hamidmussa838
    @hamidmussa838Ай бұрын

    Bibilia imeandikwa nn?

  • @AmriAmri-hy6sg
    @AmriAmri-hy6sg2 ай бұрын

    Ss we kafili hivi kaka yesu nimwana wa munguwenu na mama yake ni maliam me? Huyo mungu na Mali am wanaitanaje

  • @SwidikiKabemba
    @SwidikiKabemba2 ай бұрын

    Mchungaji mbona unazidisha uongo nyingi ili kujipendezesha kuwakristo,aliekwambia mtu kusilimu anapata jini nani?

  • @HamzaMakobanice
    @HamzaMakobanice2 ай бұрын

    Kumbe na wakristo wanayo majini na nirafiki yao ulikuwa una kataa nn sasa kama hakuna majini ya kikristo nilidhani nyinyi hamna majini bwana yeyote anaye jitenga na amri za mungu lazima ashikwe na majini wabaya namajini wabaya wapo na wazuri wapo kamavile binadam wabaya wapo na wazuri wapo.na ndomana biblia inawataja wabaya kwann isitaje majini tu,na na malaika hawamuasi mungu

  • @paulmushi2428

    @paulmushi2428

    2 ай бұрын

    😂😂😂😂 unatuonea wivu Wakristo hatuna majini Wala hawa jaamini katika YESU KRISTO

  • @user-go1rl6bb1z

    @user-go1rl6bb1z

    2 ай бұрын

    Wacha shombo nyie mnasilimisha majini wakristo wanatoa majini..hapo vipi.

  • @joycedimoso8648

    @joycedimoso8648

    2 ай бұрын

    Andiko linalosema wakristo wanasilimiaha Majin toa hata gazetin kwenye Quran hata kwenye biblia nipo pale nasubiri andiko

  • @khalidmdotta3843
    @khalidmdotta38432 ай бұрын

    Ww acha uwongo njoo kwenye mdahalo ukiitwa unakimbia kimbia njoo tukufundishe

  • @nubianqueen6700
    @nubianqueen67002 ай бұрын

    Kwanini wakristo elimu ya dunia mnafuzu vizuri sana lakini ya kidoni nyinyi ni bongo lala? Majinni ni viumbe kama sisi, yaani theres the human kind and the jinn kind.

  • @favoritebrayo

    @favoritebrayo

    2 ай бұрын

    wewe huna akili ata kidogo kama tu wenzako🤔🤔🤔

  • @zuberiimamumhina5164
    @zuberiimamumhina5164Ай бұрын

    hahahh huyu kuma nini yaan hatuvai nguo za ndan

  • @user-lk9em2lo3t
    @user-lk9em2lo3tАй бұрын

    Majini kwa nini ni waislam ?

  • @mussamohammedy8014
    @mussamohammedy80142 ай бұрын

    Maneno mnatengenezewa mnaamin eti mwana wa mungu ingekuwa ni hivyo israel wote wangemtii yesu ni mtume kama walivyo mitume wengine

  • @odilomwemeziernest646

    @odilomwemeziernest646

    2 ай бұрын

    Ndivyo ulivokalilishwa na huyo msilimisha mashetani

  • @user-vv5hq9mc1k
    @user-vv5hq9mc1k2 ай бұрын

    Johana 6:70

  • @user-vv5hq9mc1k
    @user-vv5hq9mc1k2 ай бұрын

    Petero mwenyewe alikua shetani na hata si jini bali shetani math18:23

  • @MwijakaSwalehe-dg4hw
    @MwijakaSwalehe-dg4hw2 ай бұрын

    Taja majina ya malaika walioasi

  • @OmariShuli
    @OmariShuli2 ай бұрын

    Danel una maneno mengi nauongo mtupu. Bibilia haijaelezea suala la majini, hayo maelezo ni yako si ya bibilia, khabari huo ufunuo 12:7. ni ndoto si uhalisia. na hiyo unyozungumza wewe si tafasiri ya ndoto hiyo. wewe umeichukua kavukavu. Kwa mujibu wa quran majini ni viumbe tofauti na malaika. na Quran suratl jinn imethibitisha kuwa kuna majini wema na waovu. aya za suratl an'aam haionyehi kuwa majini wote ni waovu. Danel huijui Quran wala Bibilia acha uongo.

  • @abdallahhamisiiddi4513
    @abdallahhamisiiddi4513Ай бұрын

    Kama majini yalikufa ,Yale mnayoyatoa kanisani ni nini?

  • @OmariShuli
    @OmariShuli2 ай бұрын

    Daniel acha uongo. Ni kitabu gani ulicho soma kinachosema waislaam hawaruhusiwi kwenda msikitini na nguo za ndani.

  • @enockabumba7513

    @enockabumba7513

    Ай бұрын

    Ni hadith usiwe mbishii

  • @AsiaSiraji-ud9ju
    @AsiaSiraji-ud9ju2 ай бұрын

    Acha kutafuta umalufu kwa kuongea uwongo😮😮😮😮

  • @enockabumba7513

    @enockabumba7513

    Ай бұрын

    Acha dawa iwaingie

  • @hamidmussa838
    @hamidmussa838Ай бұрын

    Nn maana ukisto.

  • @anwary_sultan
    @anwary_sultanАй бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣Uyu mwalimu wenu nae bwabwa kweli unatafta weak point ili kudhoofish usilam nan ka kwambia Sulle na Elimu zake za uganga anazo zitoa ni mwislam nan kakwambia waislam wana iman za kishirkina kama alizonazo sulle, yule ni mwana mpotevu tu alie hadawa na dunia hawakilishi mwislam yyte ss waislam tunamtambua kama mpiga ramli ss na ww unatoka uko mabonde kwinama unataka utumie ako kachance kudhalilsh uislam na kuwapoteza watu, Uislam ndo dini pekee ya kukupeleka mbinguni sheikh au paradiso so take a brake tuliza povu🤣🤣🙌

  • @jjtm164
    @jjtm1642 ай бұрын

    Natafuta comment za waislamu

  • @user-fl3yl4or3e
    @user-fl3yl4or3e2 ай бұрын

    Wewe lamda nimfuasi wa shetani eti waisilam hawruhusiwi kuvaa nguo za ndani wakienda msikitini kwanini unazusha unafiki kama huu wewe nibure kabisa hujui lolote kwenda

  • @MatimbeJr

    @MatimbeJr

    2 ай бұрын

    Atoi kichwani ila vitabu vyenu

  • @user-hv4px1dh4l
    @user-hv4px1dh4l2 ай бұрын

    Nyinyi makafili wakiislam na mubakaji wenu muhamad ni vipi kila kitu munapinga wakati nyinyi ni mamuma na hakuna munachokijua zaidi ya ushirikina?😛😛😛😛😛😛

  • @BoscoBaranyanduza
    @BoscoBaranyanduza2 ай бұрын

    Bibiliya.siyo.kitabo.camungu

  • @user-go1rl6bb1z

    @user-go1rl6bb1z

    2 ай бұрын

    Mdomo haulipiwi kodi toa aya biblia cio kitabu cha mungu.

  • @habililailo271

    @habililailo271

    2 ай бұрын

    Ni kitabu chako

  • @odilomwemeziernest646

    @odilomwemeziernest646

    2 ай бұрын

    Hafadhari kwa kuwa hakinifundishai kuabudu majini

  • @phineasmutethia1349

    @phineasmutethia1349

    Ай бұрын

    Ni chako,nyang'au wewe

  • @ibrahimmsuya993
    @ibrahimmsuya9932 ай бұрын

    Mchungaji rudi darasan elim ime kukataa majini sio malaika malaika awa muasi mungu majini nimajini na malaika ni malaika majini wameumbwa kwa Moto na malaika wameumbwa kwa nuru umeona tofauti apo kasome tena ndugu yetu

  • @madetetv6576

    @madetetv6576

    2 ай бұрын

    Ndoulivo aminishwa

  • @favoritebrayo

    @favoritebrayo

    2 ай бұрын

    waislam akili zenu ndogo sana

  • @MiziziMti

    @MiziziMti

    2 ай бұрын

    Majini ni mashetani..na shetani alikua malaika aitwaye lusifa Kwa mujibu wa maandiko ya Biblia.

  • @pedropedroagira3980
    @pedropedroagira39802 ай бұрын

    Yesu sio muana EA mungu bali ni nabi

  • @MiziziMti

    @MiziziMti

    2 ай бұрын

    Yesu ni mwana wa Mungu asilimia mia nani Mungu asilimia mia.

  • @pedropedroagira3980

    @pedropedroagira3980

    2 ай бұрын

    @@MiziziMti mama yake ninani? Jibu litakua Maria je mungu alimoa Maria? Ndugu yangu unakufuru . Yesu ni mtume kama watume wenguine tu!

  • @user-pl8pn7qb9e

    @user-pl8pn7qb9e

    Ай бұрын

    Mi nawashangaa Sana wakristo kwani wakisema yesu ni nabii wanaona wanamshusha cheo au?​@@pedropedroagira3980

  • @KulthumRashidmusa
    @KulthumRashidmusaАй бұрын

    Nadini.yakikistu.nayo.mnaita.dini.nawakati.tu.mnapotoshwa.vp.mnamfwata.yesu.nawakati.yesu.nimuisilam.hAnna.aKilian.vp.mNathan.sadaka.zenu.mchungaji.aKitKat.kAnimaniacs.ananda.kulewa.ndomana.sadaka.zenu.inaitwa.zakuteketea.hapahapa.duniani.kuweni.maccording.sAna.yesu.alikuja.kuwaokoa.wAna.waizilaeli.sio.wOTE.muhamadi.ndokaja.kWA.ulimwengu.mzima

  • @aliabdallah4233
    @aliabdallah42332 ай бұрын

    Unajuwa kukitafuta kijio😂😂😂😂

  • @user-pl8pn7qb9e
    @user-pl8pn7qb9eАй бұрын

    Huyu nae ni taila kama mataila wengine tusivae nguo za ndani kwanini, aje siku moja atukagae ili ajishike na uongo wake

  • @user-je8mj8dc7u
    @user-je8mj8dc7u2 ай бұрын

    Majini yatakaa kanisani na yapo kila siku toka hayatoki

  • @joycedimoso8648

    @joycedimoso8648

    2 ай бұрын

    Usipo Amin nakukiri Yesu ndio mokozi wamaisha Yako nakuacha dhambi nakuishi maisha yakumpendeza Mungu yatakaa nawewe mpaka yakunyonge

  • @user-pl8pn7qb9e

    @user-pl8pn7qb9e

    Ай бұрын

    Ndo yanakaa kanisani mbona hayatoki

  • @user-vi8sz5zo4d
    @user-vi8sz5zo4d2 ай бұрын

    Stop lying and misleading people, Nani kasema hawavai nguo za ndani? You lying and hujuichochote kuhusu Islam.

  • @joycedimoso8648

    @joycedimoso8648

    2 ай бұрын

    Wewe kama unavaa niwewe usiwasemee wengine wanao jua wanakuona hujui

  • @user-vi8sz5zo4d

    @user-vi8sz5zo4d

    2 ай бұрын

    @@joycedimoso8648 stop lying about Islam, you and you pastor don’t no anything about Islam.

  • @user-vi8sz5zo4d

    @user-vi8sz5zo4d

    2 ай бұрын

    @@joycedimoso8648 ignorant is bliss!

  • @user-pl8pn7qb9e

    @user-pl8pn7qb9e

    Ай бұрын

    Huyu nae kumbe ana miungu wa tatu inalilah wainalilai lajuuni, elimu Yako finyo hata Mimi nakupita kwa elimu

  • @KHADIJANDABABISA
    @KHADIJANDABABISA2 ай бұрын

    WEWE DANIELY MWANKEMWA ELIMU HIYO HUNA, JIBU SWALI HILI DOGO KWA MJIBU WA BIBLIA HAO MAJINI WALIUMBWA SIKU YA NGAPI??

  • @favoritebrayo

    @favoritebrayo

    2 ай бұрын

    wewe huna swali enda kalale

  • @joycedimoso8648

    @joycedimoso8648

    2 ай бұрын

    Kwenye biblia hakuna sura ya Majin rudi kwenye Quran utapatajibu lako coz ipo suratu jini maswali yote ya Majin iulize Quran yako

  • @SwidikiKabemba

    @SwidikiKabemba

    2 ай бұрын

    Mchungaji unaparamia Jambo lakuku zidi ilmu achakuparamia qur-ani na uislamu.

  • @MalikBakar-ni2gh
    @MalikBakar-ni2gh2 ай бұрын

    Kama majini ni Malaika basi wapo Majini wema nikimaanisha Malaika wanaotii amri za M/mungu kwa hiyo wapo majini wazuri.na majini waovu ni Malaika waliomuasi M/mungu.lakini majini hawana dini yeyote na wanazungumza kiarabu au kusalimia kiarabu sababu wana asili ya kiarabu kwani ndio lugha ya zamani zaidi.

  • @igurusitv6553

    @igurusitv6553

    2 ай бұрын

    @malikBakar-ni2gh majini walikua malaika kabla ya kuasi, walipoasi hawakua wema tena ndio maana walitupwa duniani. Hakuna malaika alietupwa duniani baada ya kuasi alikua mwema, majini wote ni wabaya tu, uislamu ni ushirikina ndio maana wanafosi majini yaonekane mazuri

  • @ibrahimmsuya993

    @ibrahimmsuya993

    2 ай бұрын

    Majini sio malaika malaika awa muasi mungu majini nimajini na malaika ni malaika

  • @MalikBakar-ni2gh

    @MalikBakar-ni2gh

    2 ай бұрын

    @@ibrahimmsuya993 Msikilize vizuri mchungaji wako kasema majini ni Malaika walio muasi M/mungu mbona.

  • @MalikBakar-ni2gh

    @MalikBakar-ni2gh

    2 ай бұрын

    @@igurusitv6553 Unaamini Kuna Malaika au hakuna Malaika duniani kwanza nataka kujua hili

  • @user-cx7uz3ri6v

    @user-cx7uz3ri6v

    2 ай бұрын

    ​@@MalikBakar-ni2ghwakishaasi wanabaki vipi kuwa malaika?

  • @ibrahimuramadhaniselemani-2411
    @ibrahimuramadhaniselemani-24112 ай бұрын

    Acha kupotosha watu

  • @favoritebrayo

    @favoritebrayo

    2 ай бұрын

    ooooh kumbe nawewe mfuata Sulle

  • @bennymochiwa4800
    @bennymochiwa48002 ай бұрын

    We mwalim acha kutuonyesha uzuzu wako nani aliekudanganya Waislam wakienda kuswali hawavai nguo za ndani!!!???

  • @odilomwemeziernest646

    @odilomwemeziernest646

    2 ай бұрын

    Nenda kasilimu uone

  • @user-pl8pn7qb9e

    @user-pl8pn7qb9e

    Ай бұрын

    Mwehu huyu atakua mke wake ndo avai nguo za ndani

  • @khalidlagho2263
    @khalidlagho22632 ай бұрын

    Wewe muongo

  • @salumseif2588
    @salumseif2588Ай бұрын

    Huyu mbona simuelewi anajichanganyaivi ati majini na malayka nikitukimoja eee halafu anamkosowa komando big Suleiman vip

  • @user-ob2ik5gy1b
    @user-ob2ik5gy1bАй бұрын

    Wewe sii mwalimu bali ni fundi wa waongo duniani ila wajinga wasio soma watakuamini na hizo propaganda zako pili hakuna waislamu wanaoingia mskitini uchi kwani ni haramu kwa mwanamume na mwanamke kukaa uchi.Uta wadanganya wakrito wenzio kwa kutumia kitabu cha biblia kilichoandikwa na watu na hadithi thaifu za kuokota lakini sii waislam wenye elim zao.

  • @NoorynMody
    @NoorynMody2 ай бұрын

    Ww kafir naomba tupe maandiko yanayo sema muislam akienda mskitini wasivae nguo za ndani kma hauna elim nyamaza kafili ww

  • @enockabumba7513

    @enockabumba7513

    Ай бұрын

    Weee jini acha ubishii soma hadith ya mtume wenu

  • @user-go1rl6bb1z
    @user-go1rl6bb1z2 ай бұрын

    Uislam dio unakufa hivyo😂😂

  • @abubakarmwasumilwe7070

    @abubakarmwasumilwe7070

    2 ай бұрын

    Umelogwa ww Hv unaujua UISLAM au...?

  • @user-go1rl6bb1z

    @user-go1rl6bb1z

    2 ай бұрын

    @@abubakarmwasumilwe7070 uislam siniushetani tu:72,14.Qurani..hamna jipya nyie.nyote jikoni😀😀

  • @SwidikiKabemba

    @SwidikiKabemba

    2 ай бұрын

    Uislamu haufe hata siku

  • @emmanuelmlekwangano9991
    @emmanuelmlekwangano99912 ай бұрын

    Ni hatari

  • @user-je8mj8dc7u
    @user-je8mj8dc7u2 ай бұрын

    Huyu jamaa ni kiherehere mbona asije na BIBILIA zote Bibilia ni uongo uongo uongo

  • @odilomwemeziernest646

    @odilomwemeziernest646

    2 ай бұрын

    Leta ya kwako ya ukweli

  • @user-je8mj8dc7u

    @user-je8mj8dc7u

    2 ай бұрын

    @@odilomwemeziernest646 Luka 4:34 [34]akisema, Acha! Tuna nini nawe, Yesu wa Nazareti? Umekuja kutuangamiza? Nakujua u nani, Mtakatifu wa Mungu.

  • @odilomwemeziernest646

    @odilomwemeziernest646

    2 ай бұрын

    @@user-je8mj8dc7u sasa wapi umeona yamefanywa kuwa makristo?au unasoma biblia kama kiarabu unaanzia kulia unaenda kushoto

  • @mohdabdalla7070
    @mohdabdalla7070Ай бұрын

    d̮a̮ḫa̮ u̮y̮u̮ m̮b̮w̮a̮ n̮i̮ m̮u̮o̮n̮g̮o̮ k̮i̮n̮o̮m̮a̮ a̮l̮a̮f̮u̮ u̮m̮r̮i̮ w̮k̮e̮ n̮i̮ w̮a̮ k̮i̮u̮t̮u̮u̮z̮i̮m̮a̮ t̮u̮

  • @comredmuslimmputa2275
    @comredmuslimmputa22752 ай бұрын

    Acha uongo mtumishi sisi nani kakwambia hatuvai nguo za ndani?

  • @bonifasiemanueli21

    @bonifasiemanueli21

    2 ай бұрын

    Kama unavaa wewe unavaa kimakosa Qurani imekataza wakati wA sala

Келесі