Barikiwa sana mchungaji mtumishi wa Mungu. Hata mimi nimejifunza mengi niliyokuwa siyajui. Yesu ambaye ni Mungu mkuu asifuwe milele yote.
@frankmugomba3484Ай бұрын
Mzeee Safi sana Asante kwa Kazi njema kazi Nyoofu sana ilitufungua wengi na inafanya vyema sasa kufungua Macho
@josphinenduta2011Ай бұрын
Kama mwarabu hawezi geuza mkristo, sulleh hawezi ng'o
@nomar3708
Ай бұрын
Wenzenu wazungu wanakuwa waislamu kwa makundi. Mumebakia nyie tu waafrika kufuata upuuzi wa biblia iliyobadishwa. Mnafata maneno ya Paulo
@celestinshayo7295
Ай бұрын
@@nomar3708hao wazungu wanaosilimu hawajielewi. Wewe unayesema biblia ni upuzi pia hujielewi. Nguzo za imani ya kiislamu zipo sita unazijua? Mojawapo ni kwa kila muislamu kuwajibika kuamini vitabu ( siyo kitabu kimoja) vya Mwenyezi Mungu. Sasa ukiwauliza waislamu wavitaje watasema ni Taurat, Zabur Injil na Kur'ani. Biblia ni neno la kigiriki maana yake vitabu. Sasa vitabu vilivyopo ndani ya biblia ndio hivyo hapo ila Kur'ani haipo ndani ya biblia! Sasa ni wazi kuwa kila muislamu anawajibika kuamini Biblia pamoja na Kur'ani na siyo Kur'ani pekee. Sasa hapo nani mpuuzi kati ya biblia na wewe uliyesema biblia ni upuuzi?
@williamuphilipo2120Ай бұрын
Mtu wa maana kabisa ❤❤
@elimikasasa643Ай бұрын
Huyu Mzee alifanya kazi kubwa sana! Mungu aendelee kumpa nguvu! Barikiwa Mzee nilikusikiliza kipindi hicho!
@barakampunga8121Ай бұрын
Duh Mungu wetu ni mkuu akupe afya njema uendelee kuupigania Uksrtu barikiwa sana kumbe elimu imeletwa na wakritu Aminaa
@Mahershalalhashbazi-kf6xiАй бұрын
Kazi njema sana sana,
@Mahershalalhashbazi-kf6xiАй бұрын
Naaam mtu mkuu wa Mungu
@odilomwemeziernest646Ай бұрын
Daaaa!!!!umezeeka baba yangu chuma cha hoja,Mungu akupatie uzee mwema
@jacksonngusi4122Ай бұрын
Ukweli Yesu atashinda na apate kushinda Ni Mkuu wa Mataifa na ni Mwokozi ajaye Jina la Bwana libarikiwe
@mdidiomari7351Ай бұрын
Kiboko yake Mazinge
@user-uj8zc3xr6mАй бұрын
Mungu akubariki wewe na timu yako kwa huduma hii. NINAOMBA NINAVIPATAJE VITABU HIVYO?na bei zake
@EusebioEduardoAntonio25 күн бұрын
abali babá mchungaji Simba ivyo vitabu nitavipataje?🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@user-dk6lz5yu4cАй бұрын
Karibuni tarehe 22 Mwezi huu 6 kuwa na Mdaharo Ukumbi wa Wapo Mission. Kuhusu uungu wa Yesu kutakuwa na pande mbili wanao pinga au wanao kubali
@MaksMedia1
Ай бұрын
Ok
@Jumaamsagaty
Ай бұрын
Natamani kushiriki upo maeneo gani
@MaksMedia1
Ай бұрын
Endelea kufatilia Maks media utajua siku yenyewe
@amoschacha2885
Ай бұрын
Je waislam watakuepo?
@JamesKabodo13 күн бұрын
Barkiwa baba
@universitylinkАй бұрын
Mzee simba ulanga ulikuwa inafanya vurugu Mazinge akiogea mnaongea baada yake kuvuruga mawaidha na saa zingne mlikuwa mnaita polisi kwa kusema kuwa mmefanyiwa vurugu. Nilikuwa nashuhudia pale msasani Mazinge alifanya kazi kubwa sana
@user-ib2ns8kf9h
Ай бұрын
Mazinge hamuezi huyu mwamba
@charlesmwasi7646Ай бұрын
Mungu wa dini hizi mbili ni tofauti
@abaafarhat9191Ай бұрын
Wakristo someni kiibrania Yesu anaitwa nani msilazwe tu kikondookondoo bila ujuzi
@StevenMtamboАй бұрын
Nawezaje kuvipata hivyo vitabu ,,, Asante pastor Simba ulanga
@MaksMedia1
Ай бұрын
Ipo no ya media hapo pia video inayofata Kuna no yake
@silvesterrichardhelenya1319Ай бұрын
Mwandishi mjinga sana unashindwa kuamkia unasema heshima Yako
@user-sm1zu2mo4b
Ай бұрын
Unjua maana ya shikamoo?au malhaba?
@profs.a5412Ай бұрын
Waislamu wanalazimisha eti ISSA awe Yeshua , Yesu , thubutuuuuuu....wako tofauti kabisaaaa😂
@RamadhaniLukambuzi
Ай бұрын
Wewe umechanganyikiwa,kwani Waislamu tukisema Yesu ni Issa tunapata faida gani?Au Wewe ukisema Issa sio Yesu unapata faida gani?Sisi hatusemi Yesu ndiyo Issa kwa akili zetu wala matamanio yetu bali ni Vitabu ndivyo vinasema Yesu ni nani?SOMA QURAN 3:50-51/SOMA QURAN 19:30-34 Na Habari za Yesu na ukoo wake yako kwenye Quran kwa wazi kabisa soma Surat Ali Imran.Huyu Mzee nae amechanganyikiwa hetu Mwokozi;sasa Mtu hawezi kuwa Mwokozi?Jeshi la zima moto haliokoi?Labda atuoneshe ayah isemayo Yesu ni Mungu na aliumba viumbe sisi hapo ndiyo tutakubari lakini anapiga porojo tu haoni aibu kufa akiwa hajitambui?Swala la kuchinja sio matakwa ya Wakristo wala Waislamu tu Wenyewe bali ni sheria ya Mwenyezi Mungu :-QURAN6:118 Kama Mzee Simba Uranga unachinja nyama kwa ajili yako hakuna shida lakini kama unachinja kwa ajili kuwauzia Waislamu hiyo sheria hauna,Waislamu tunakula nyama inayochinjwa kwa Majina ya Mwenyezi Mungu sio Nyama inayochinjwa kwa jina la Mtume Yesu na Wanyama halali na vyakula halali kwa mujibu wa Quran:Soma Surat Al Maaidah aya ya 5 na kinachokufanya utumie nguvu nyingi kutunga vitabu vyako ni nini?Jibu ni kwamba unalazimisha kuisemea Bibilia maneno ambayo haikuyasema kwa mapenzi yako sasa Mimi ninakwambia hivi Quran haiitaji kusemewa na mtu kwa maneno yake ya pembeni:Quran sheiria zote zimo kwahiyo ndiyo ujue kuwa dini sahihi kwako Wewe Mzee na watu wote ni Uislamu sio vinginevyo!
@halidimgonza5945
Ай бұрын
kila asiye na akil atawaza km ww kw7bu kuna UKAFIRI ndan yko
@profs.a5412
Ай бұрын
@@halidimgonza5945 hata mkasirike na mpasuke , Isa hawez kuwa Yesu kamwe😅😅 soma biblia ya kiarabu utakutana na Yesoo Al Masih, na sio Isa ..huyo Isa wa kwenu nyieeee. Ila kwakuwa hata kusoma huwa hamsomagi mnasubiri mazinge ndio awasomee basii endelea kuwa hivyo hvyo
@0badiaMwasongwe-rt1wr
Ай бұрын
Shidaa nikuwa waislamu wengii wanaamin commedy za mazinge hawataki kushughulishaa Akili zao kusoma maandiko
@halidimgonza5945
Ай бұрын
@@0badiaMwasongwe-rt1wr ww ndo umepotea kbs waislam tunafuata Qur-an na mafundisho ya mtume na mazinge ni muhadhir wetu anayekubalika kw7bu anawafundisha nyie MAKAFIRI na kuwatoka ktk kiza kuingia ktk dini ya kwel y kiislamu izo ni chuki tuu kw prof. Mazinge, soma vitabu uelewe usifuate mkumbo
@meshackthomas1341Ай бұрын
Mtumishi wa Mungu ubalikiwe na Mungu wa viumbe vyote
@nomamatata754Ай бұрын
Ukristo sio dini ni imani hapo tu kwanza tunashangaa wanavyo lazimisha kuwa ni dini. Wao kama wana dini sawa ila sisi ni YESU mkuu wa imani hii MUNGU ALIYE HAI
@jamalmanishi7282Ай бұрын
Nyie badala yakuuliza uhalali wamtu kufundisha dini huku akiwa nimganga wajadi anaetumiwa namajini mnaka kusifiana harafu mnataka nasisi tuje tufanywe misukule nahao waganga watumishi wadini yenu eMungu okoa watu wako wajulishe kuwa anaeokoa niyesu na sio dini wala zehebu maana wanatambia majina yadinizao lkn hata wavotoa mawazo yao vinywa vimejamaneno machafu namatusi nabado wanaona wakosalama 😂😂😂😂😂😂😂
@FrankMushi-cs5jsАй бұрын
Yesuuu ni jibuu toshaaaa kwa woteeee wamwitajiooo
@yamungummungulo633Ай бұрын
Allah na Jehovah wana tofauti gani kihusika
@FredizMhagama
Ай бұрын
Yehova ni Baba yake Yesu na Baba yetu Allah hana mtoto wala watoto
@user-zs7eq8up5sАй бұрын
Mihadhara haipo sbb ya kina mazinge na dr sulle wamekua watafta pesa tu
@MSUYA-n1t6 күн бұрын
🙏
@georgekimasaofficial1629Ай бұрын
Tupe number tuje kununua hivyo vitabu.
@hassantoure7472Ай бұрын
Maks Media mtafute sheikh shafii shomari kw hili swala la debate na Simba ulanga
@abubakarsalanga2497Ай бұрын
nakurepoti kwa babu mazinge ulimkimbia songea simba ulanga huwawez kina sule for sure
@michaelrweyemamu1068Ай бұрын
Waislamu wanamuogopa sana huyu mzee
@FathertruckerАй бұрын
Twaitaji DIBET Sule vs Shaffi Jamani ili tuelewe
@ibrahimgwasma235Ай бұрын
Mungu anayeabudiwa na Waislamu ni yule yule Anayeabudiwa na Wakristo? Mwenye hekma ya kunijibu bila kupanic plz
@zuberkasim7150Ай бұрын
Kushindwa kuwaambia wa kristo ukweli mtakwenda kujibu mbele ya mungu
@BOAZIMPITANYE
Ай бұрын
Mkristo hana haja ya kuthibitishiwa maana wanajosomea wenyewe.
@universitylinkАй бұрын
Wakati hizo nikisoma form five na six Dar Sheikh Mazinge na Simba ulanga msasani .Mzee simba ulanga akipinga uislamu na watu wanasilimu tu nafikiri ilikuwa 2000 mpaka 2004 ndio nilikuwa Dar
@daudimichael7338Ай бұрын
Mzee wetu Simbaulanga bado ana nguvu, nashauri awe anafanya mafundisho au mafafanuzi ya mada mbalimbali alizoandika kwenye vitabu vyake. Awe anarusha kwenye You Tube na mitandao mingine, atasaidia sana wakristo kuelewa kwa undani ukweli wa imani yao vs imani ya Kiislam.
@charlesmwasi7646Ай бұрын
Yesu na ISSA ni watu wawili tofauti, biblia haijawahi kumuandika issa, kuzaliwa kwa issa na Yesu ni vitu viwili tofauti. Yesu ndio kweli yenyewe, haki inakuja ukianza na ukweli
@nomar3708Ай бұрын
Huyu anazidi kuwapoteza
@abaafarhat9191Ай бұрын
Hakuna kilichogeuzwa wakristo watazame kinachosemwa kama hakimo wao hupokea kinachotungwa na wachungaji na kukataa wanachokiona kwa macho wakristo bhana 😂😂
@BOAZIMPITANYE
Ай бұрын
Unajitekenya na unacheka mwenyewe
@nyingosАй бұрын
Simba Ulanga kama Simba Ulanga. Ilikuwa hatari sana.
@HafidhiSaidiАй бұрын
Yesu mamaake maliam issa mamaake maliam embu tuwambie kwaelimu yako manabii wangap amezaliwa pasipo baba kama wanafika wawili utuambie uje utuletee tofauti ya issa na yesu alafu ao jamaa zako wanakusapot eti unaongea ukweli sumu ulio wapa watuwako ni nyingi uzee uo unakalibia kwenda kwa mungu fanya utubu baba kama pesa tayali unayo🙏
@0badiaMwasongwe-rt1wr
Ай бұрын
Tofauti kabisaa yesu alizaliwa kwenye holii la ngombe huko Yeruslem nchi ya Israel. issa alizaliwa uarabuni chini ya mtende tofauti kabisaa kabisaa
@faridfrefre35
Ай бұрын
Vipi Adam
@abdalahsuleiman8989Ай бұрын
Hili zee jinga zaidi yesu ni jina la kutunga asili ni isa bin mariam
@ibrahimgwasma235
Ай бұрын
Wew ndo ulompa?
@universitylinkАй бұрын
Saa zingine mlikwa mnakata umeme yaani mnachomoa wire za speaker
@crisantisindani383010 күн бұрын
Mpaka Leo Bado wakristo mkoa wa rukwa (w) ya nkasi kule Kilando . Wananchinja wao nakuuza katika bucha za wakristo. Mdahalo mwingine ulifanyika sumbawanga mjini pale msakila alikuwepo kinyogoli shafii na mazinge Simbaulanga nikidume kweli😁😁😁😁🤣
@nomar3708Ай бұрын
Wazungu wenyewe wameacha ukristo na wanaingia makundi kwa makundi kwenye dini ya haki, uislamu. Mumebakia nyie tu waafrika mnashikilia uongo ulioandikwa na paulo
@BOAZIMPITANYE
Ай бұрын
Pole sana
@sleyumngoloАй бұрын
Kwaiyo ndacha anasapoti uislamu au
@yousirsports7482Ай бұрын
Aya ipo wapi kwamba aligeuza maandiko
@universitylinkАй бұрын
Issa amezakiwa chini ya mti wa mtende wakati yesu amezakiwa katika zizi la ng'ombe
@user-zs7eq8up5s
Ай бұрын
Leta andiko yesu kazaliwa ndani ya zizi
@user-wg2gd2nl6cАй бұрын
Lamu niwaongo Sana nimaarufu kubadirisha majina.
@StephenSelelyaАй бұрын
Vitabu hivyo havionekani sasa hivi bookshop!
@AllyMsafiri-kw2neАй бұрын
Profesa MUSSA NGOGO NA PASTOR IMANI PETRO HAWA NIWAKRISTO WASOMI WALIACHA UKRISTO NAKUWA WAISLAMU ...NITAJIE WAWILI WALIOACHA UISLAMU NAKUWA WAKRISTO...KISHA TUWAPIME...ACHENI UONGO NINYI SIKU YAKIYAMA NINZITO MNO.
@fabianalfredy5557
Ай бұрын
Nyie mnawazui Kwa nguvu Hadi kuwata kuua, so huwa hatuwatangazi km nyie. Shekh sharifu aliposilim MLIMFANYA NINI? Huo ni mfano mmoja
@FrankMushi-cs5js
Ай бұрын
Tatizo lako ujuwi km ujuwi hapo ndo shidaa sasaa mpo kiushindani sisi hatopo ivyo nyi mnamfoc mtu awe muislamu
@charlesmwasi7646
Ай бұрын
Katika ukristo unahubiriwa ili umpokee yesu, hakuna vitisho vya mauaji endapo atahama dini, upande wa pili ni shida mtu analazimishwa kinguvu awe dini hiyo na yule anayehama yupo hatarini kwa kifo . Kule Iran watu wanaingia ukristo kimya kimya ole wako ujulikane. Ulaya hawalazimishi watu wawe wakristo, nenda arabuni uone. Maajabu wahamiaji wanawakimbia ndugu zao katika Iman na kukimbilia kwa makafiri ulaya. Yaani hawajui kinachowavuta ni upendo wa kristo kwa watu wote walioupokea watu wa ulaya
@dennisezakiel3380Ай бұрын
Isa na Yesu watu wawili tofauti kabisa maandiko yapo wazi
@nomar3708
Ай бұрын
😂😂😂
@jamalmanishi7282Ай бұрын
Kwa mtu aliefungwa akili na majini Yani mashetani hawezi kukuelewa nahasa hao wanaosemakwamba Yako mashetani mabaya na mazuri lkn unaeleweka sana tu mtu wa maana sana kazi Yako sio bure pambana Ili umalize vema tuko mwishoni barikiwa Mzee wetu
@yousirsports7482Ай бұрын
Andiko liko wap
@afropatriot7769Ай бұрын
Yesu hakuoa Issa alioa Yesu ni mwana wa Mungu,Issa hatujui ni mtoto wa nani Yesu alifufuka Issa hakufufuka Yesu alihubiri habari njema ya uokovu ,Issa alikua nabii wa kiislamu Jina la yesu linaokoa ,jina issa ni la kihistoria na nabii wa waislam Yesu yu hai anaishi hata leo,issa alishajifia huko Msilazimishe wafanane hawa ni wawili tofauti kitabu chenu kimeandikwa kwa kuiba iba kwenye biblia ili vifanane
@faridfrefre35
Ай бұрын
Sasa mbona huyo yesu alisulubiwa na rangi dhambarau luka anasema jekundu marko anasema kijani hapo vp
@afropatriot7769
Ай бұрын
Hayo huwezi kuyaelewa kwa sababu huijui biblia unasomewa na hao mashehe ubwabwa kama unataka kuelewa soma vizuri hivo vitabu vyote kwa lengo la kuelewa utapata ukombozi katika maisha yako
@dennisezakiel3380Ай бұрын
Natamani kuvipata hivyo vitabu
@Motheking-ps2tlАй бұрын
Waislam wamewaacha mbali sana wakristo kwenye eneo la dini.
@Baba-JJ
Ай бұрын
Hujui hata unachokiabudu wala unachokiongea. Labda kwenye kuabudu majini ndio mmewaacha mbali. 😂😂 Nyie endeleeni kugombania pepo ya ngono. 😂😂
@myself4128
2 күн бұрын
Umbali lazina uwepo sababu sisi Tunaelekea Mbinguni wao Kuzimu
@user-xt4mi5zs2sАй бұрын
Ukweli utabaki pale pale mungu hazai wala hazaliw na hawezi fananishwi na chochote
@martinisadru9899
Ай бұрын
Kama hafananishwi, kwanini yeye MUNGU aliesema, tuumbe MTU kwa mfano wetu. Maana ya mfano ni nini? Viumbe wote hawafananishwi na MUNGU, isipokua ADAMU na wanadamu tu,, ndio maana hata malaika mkuu yule wa kwanza kuumbwa kabla ya viumbe wote, yaani shetani, aliamliwa kumsujudia ADAMU, na, akakataa,, swali! Kwanini ADAMU asujudiwe? Na anaestahili kusujudiwa ni nani? Nipe jibu. Na hilo, la shetani kuamliwa kumsujudia ADAMU, hata kwenye Quran yenu hiyo aya ipo.
@FrankMushi-cs5js
Ай бұрын
Nani kasema MUNGU anazaa tatizo mnaakili ndogo sana ayo mambo ni ya roho Sanaa wewe c mkresto uwezi elewa uctungulie kwenye Imani yetu
@dennisezakiel3380
Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 soma vizuri Quaran
@amoschacha2885Ай бұрын
Huyu mzee muongoo sanaaa tena sana hakuna muhadhara wowote toka iyanzishwe hakuna mkristo ambae anaingia katka uislam ila wakristo ndo wanaingia
@user-lf5sd6du3c
Ай бұрын
We ni mtoto wa 2000 humjui vzur huyu mzee
@universitylinkАй бұрын
Kwenye Bible Daudi alimzini mke wa jirani yake na kumuwa mumewe wakati Daudi wa Quran ni mtu safi kabisa
@Visionofeagle9689Ай бұрын
Navipata je ivyo vitabu ??
@MaksMedia1
Ай бұрын
Karibu no ipo hapo!!
@user-sy9sl7of8w18 күн бұрын
Hivyo vitabu mtumishi nitavipataje,? Niko kahama
@MaksMedia1
18 күн бұрын
No ipo hapo
@user-sy9sl7of8w
18 күн бұрын
@@MaksMedia1 mawasiliano yao tafadhali naomba hapo kahama
@alyumaraosАй бұрын
Mzee mzima uongoo 2 waislam gan waloingia ktk ukristo? Na kama huna machoo vaa miwan uangalie wakristo wanao ingia ktk dini ya Haq ya uislam.
@faridfrefre35Ай бұрын
Huyu kafiri hana lolote anamjua vzr mazingw
@BOAZIMPITANYE
Ай бұрын
Mazinge ndiye boya kabisa
@halidimgonza5945Ай бұрын
ww mzee simba ulanga unawapotosha MAKAFIRI wenzio lkn ukwel unaujua km ukristo si dini ya mwenyezi Mungu mtakuja chomwa motoni nyie na unamuogopa mazinge kuliko chochote
@basilejuma
Ай бұрын
Mazinge achia ndacha, ndo maana Mahali ndacha Yuko mazinge anahepa
@fadhilimusa9732Ай бұрын
Mkirsto hana dini akichinja ni umekula mfu. Na mkiristo hana hoja ndiomana wanamiminika kwenye uislam.lini ukaona wakiristo wanamiminika kweny uislam?ukweli ni uislam pekeyake
@silvesterrichardhelenya1319
Ай бұрын
Endelea kujichanganya acha kusoma utakuwa mjinga mpaka kufa
@fadhilimusa9732
Ай бұрын
@@silvesterrichardhelenya1319 ndio maana tunawausia waliolala kwenye ukiristo wamepote waingie kwnye uislam wasije wakafa kwenye ukafiri
@MajiTakaMaji
Ай бұрын
Broh nenda kwenye makanisa ya kilokole utapata jibu
@user-jw6ro5di3f
Ай бұрын
Mtu,akitaka kumjua MUNGU kuwa ndio YESU Mwenyewe aokoke awasikilize wanaomwabudu ili wajue kweli. Kwa maana akizungumza asiyoyajua ni kwa sababu hajui Mambo yote na kweli ni wazi hayajajifisha,Mungu yupo yaani YESU KRISTO,wataomwamini wataokoka na kuingia mbinguni wasiomwamini Watakwenda kwenye ziwa la moto (jehanamu) .Ukihitaji msaada katika hili maine mchungaji Aliye mwamini YESU,mfano Mchungaji Ulanga n.k
@fadhilimusa9732
Ай бұрын
@@user-jw6ro5di3f anaeitakidi yesu ni mungu nisawa na anayesema ngo,mbe ni mungu.mutaingia motoni .yesu sio mungu bali ni mtume wa mungu
@Motheking-ps2tlАй бұрын
Yesu ni hapa tu east africa issa ni dunia nzima.
@user-zs7eq8up5sАй бұрын
Nmeona mzee hana hoja ni chuki tu za kuvimbiwa makande...yani mkristo hatakiw kukubali chochote kinachosenwa na qur an kama biblia imekosea
@user-dv8lm4ko5iАй бұрын
Shida ni Mchanganuo ww mzee hujui lolote sisi wenyewe tumekimbia kanisa tunadanganywa saana Mungu hawezi kuzaliwa na mtu bana
isa sio kiarabu.... musijichanganye... isa ndio jina original kama musa na yusuf..yakub, ishak ibrahim yote si ya kiarabu ila yameandikwa kwa lafudhii ya kiarabu
@FrankMushi-cs5js
Ай бұрын
Weee ndo ujuwiii kabisaaa una elimu ndogo sanaaa Bora ukae kimy tuu kuliko kukoment ujingaaa
@omaar5693
Ай бұрын
@@FrankMushi-cs5js ah we nawe wewe si unasema yesu ni mungu? ametairiwa vile? so anayo chululu ? acha kuniambia jambo kama mungu wako ametairiwa na viumbe wake..
@JamesJastin-bg1rxАй бұрын
Huyu mchungaji ni muongo sana cheki pua yake
@user-vb7tu5zs9d
Ай бұрын
Kadanganya nini hapo
@fabianalfredy5557
Ай бұрын
Matusi yanatoka wapi tena.!!
@JamesJastin-bg1rx
Ай бұрын
@@fabianalfredy5557 sas wew kwani hauwoni pua yake jinsi ilivyo?
@JamesJastin-bg1rx
Ай бұрын
@@user-vb7tu5zs9d kwani wew hujui alicho danganya
@fabianalfredy5557
Ай бұрын
Mathayo 12:34 [34]Enyi wazao wa nyoka, mwawezaje kunena mema, mkiwa wabaya? Maana, kinywa cha mtu huyanena yaujazayo moyo wake. NDIYO YALIYOJAA MOYONI.
@Mahershalalhashbazi-kf6xiАй бұрын
Mtumishi umetoboa ndonya
@user-xt4mi5zs2sАй бұрын
Bado hujajielewa na utu uzima huo pole sana
@binseif2216Ай бұрын
Muongo sana we mzee😂😂Wakristo ni wengi waingiao uislamu mpka wachungaji na hamkuwahi kujibu maswali ya waislamu
@martinmkoba361
Ай бұрын
Nyie mnaona wengi kwakua mnatangaza wakristo hawatangazi
Wakristo wanaehamia uislamu, ni wale wasio jua kitu, au kwa tamaa zao za kimwili! Akiwa mwanamke,, sababu kapata mwanaume muislamu,, na akiwa mwanaume amepata mwanamke wa kiislamu,,, mkisto mwenye nguvu ya KRISTO nafsini mwake hababaishwi na vitu vya kimwili, maana hivi vipo duniani tu! Kwa upande wa sisi wakristo wenye nguvu ya KRISTO nafsini mwetu, hata angekuja mwanamke mrembo kuliko malaika, siwezi kumwacha YESU, na hata nipewe pesa na thamani zooote za dunia hii, sitamwacha YESU kamwe! Maana nilikuja uchi, na nitarudi uchi, nilikuja bila mke, wala pesa, na thamani, nitaenda peponi hali nikiwa sina hivo vyote va duniani,,, Sasa kwenu nyie waislamu ni sawa kulinganisha vitu va kidunia na pepo yenu,, maana pepo yenu nyie mmeandaliwa wake 1000 wa kuwakaza huko. Sisi wakristo pepo yetu haina kuowana.
@jumamagoma1743Ай бұрын
Simbaulanga.umeamua.kufa.kafili?
@martinisadru9899
Ай бұрын
Pole,, sana,, kwakua unamacho ya kutazama, lakini, huoni, una masikio, lakini hutasikia kamwe,, uislamu ni dini ya kurisi, na UKRISTO unatafutwa kwa nguvu! Na Si kwa kurisii,, MUNGU mwenye enzi, anatuthibitishia kuwa,, wenye nguvu ndio wataiteka pepo.
@silvesterrichardhelenya1319
Ай бұрын
Wewe ndiyo kafiri soma vizuri vitabu vyako utaukimbia uislamu mchana kweupe
@fabianalfredy5557
Ай бұрын
Haa, umekubali kufa bila kumkubali YESU mwokozi wa ulimwengu kutoka dhambini..!!
@martinisadru9899
Ай бұрын
Hakimu wa kiyama ni YESU KRISTO,, na sio muhamadi! Siku ya hukumu,,, hatasimama, ibrahimu, musa,daudi, sulemani, ismaili, wala muhamadi,, wote tutahukumiwa na bwana YESU.
@user-us7yu2cj9lАй бұрын
Acha uongo muda wote wamgazara yako haujawai kushinda muhadhala wakigoma ulikimbia ukasababisha mchafuko mbona ulikimbia wakati wewe unajua ukweli ulikimbia nini
@mckobatz5861
Ай бұрын
Wakristo hawashindani kwa hoja ili kutafuta mshindi bali kuelimishana na kusaidiana uelewa juu ya kumtafuta Mungu anayesikia na kuelewa ni sawa na asiye elewa pia sawa maana ni ukweli dhahiri kwamba Imani moja huweza kuwa uwendawazimu kwa Imani nyingine
@sundaystanley5322
Ай бұрын
Uongo ni jadi yenu,kigoma nilikuwepo,waisilamu ndio mliandamana mkatishia kuwaua kwamba wanadhalilisha uisilamu wenu,ilikuwa viwanja wa kanisa la moraviani
@user-wg2gd2nl6cАй бұрын
Waislamu hawawezi kuitwa YESU maana wanamajini. Yaya wapiga😂😂
@user-ks4hh8jb6k
Ай бұрын
Wewe ni kafiri nguruwe tako
@user-wg2gd2nl6c
Ай бұрын
@@user-ks4hh8jb6k acha matusi wewe sisi hatuna midomo michafu. Pangua hoja na andiko siyo matusi🙄
We kichaa kweli Issa alizaliwa nakuongea siku hiyohiyo sasa Yesu aliongea siku hiyohiyo???
@user-je8mj8dc7uАй бұрын
Nani achaga umbea ushakuwa ww
@universitylinkАй бұрын
Kwanza kwenu wakristo mkikubali kuwa yesu ndio issa ni faida kwenu kwa sababu issa anezungunziwa vizuri kuliko yesu wenu katika Biblia
@frankmugomba3484
Ай бұрын
Jamaaaa acha kuwa mpotoshaji coz ukweli ni kufatilia kuongeza Maarifa Jifunze ukiiva njoo kwa Table na Hoja
@habibuchakusaga7981Ай бұрын
We Mzee ni muongo sana jina yesu limebuniwa hapo unguja walipo tafsir biblia
@odilomwemeziernest646
Ай бұрын
Aya wewe nawe ni mandazi kabisa,haya kasome kihebrania au kiyunanani.
@badruseif1318
Ай бұрын
@@odilomwemeziernest646Hakuna maandazi apo Jina yesu Ni kiswahili na lilitungwa mkunazini Zanzibar
@georgekimasaofficial1629
Ай бұрын
Mtasema Sena ila jina la Yesu linaponya na kuyafukuza majini ambao ni ndugu wa Kiislam lakini Hilo la Isa halieleweki na halija wahi fanya muujiza.
@ephraimkabeya9648
Ай бұрын
Aksante Sana mchungaji. YESU sio Issa . Kila mtu abakie upande wake
@limakisasautajirike
Ай бұрын
Kila Mtu abaki na Yesu wao - Yesu wetu anatoa Mapepo, Issa wao anafuga Majini
@abaafarhat9191Ай бұрын
Hakuna muislam anapindisha biblia umri wote huo Mzee unasema uongo ingia kwenye mihadhara upinge kwa maandiko kama unasema kweli usizungumzie vichochoroni
@hamisdodi-cu7buАй бұрын
Wewe.mzee.moto.una.kungoja.potospha.watu
@FadhiliMakasi-vb9dlАй бұрын
Yesu issa Mama yao ni Maliam Hakua nababa .hivyo Yesu ni Issa Wemzee unafeli
@theodorythobius3965
Ай бұрын
Yesu sio Issa , na Issa hawezi kuwa yesu kamwe, huo ni mpango wa shetani kuleta mtu anayefanana na yesu ili kupotosha. - Mama yake issa ni mariam ambaye ndugu wa haruni ambaye aliishi kipindi tofauti kabisa na ujio wa yesu kristo duniani. Yesu aliteswa msalabani , aliishinda mauti na akapaa mbinguni. Yesu atarudi kuja kuchukua walio wake(na wewe unalijua hilo) wakati huo issa anangojea hukumu. Yesu ni alizaliwa kwenye holi la ngombe wakati issa alizaliwa chini ya mtende . Pia sauti siku zote yesu ilitoka juu wakati issa anazaliwa sauti ilitoka chini. Mimba ya mariam mama wa Yesu kristo ni miezi tisa, lakini inaonesha mimba ya mariam mama wa issa ni muda huo huo alipata mimba akashikwa na uchungu na kwenda kuzaa. Ref: Maryamu" (19) kuanzia aya 16 - 35. Na mtaje Maryamu katika Kitabu, pale alipojitenga na jamaa zake mahali upande wa mashariki. Na akaweka pazia kujikinga nao. Tukampelekea Roho wetu, akajifananisha kwake sawa na mtu.(Maryamu) akasema: Hakika mimi najikinga kwa Mwingi wa Rehema aniepushe nawe, ukiwa ni mcha Mungu. (Malaika) Akasema: Hakika mimi ni mwenye kutumwa na Mola wako ili nikubashirie tunu ya mwana aliyetakasika. Akasema: Nitampataje mwana hali mwanamume yeyote hajanigusa, wala mimi si kahaba? (Malaika) akasema: Ni kama hivyo! Mola wako Mlezi amesema: Haya ni mepesi kwangu! Na ili tumfanye kuwa ni Ishara kwa watu, na Rehema itokayo kwetu, na hilo ni jambo lililokwishaamuliwa. Basi akachukua mimba yake, na akaondoka nayo mpaka mahali pa mbali. Kisha uchungu ukampeleka kwenye shina la mtende; akasema: Laiti ningelikufa kabla ya haya, na nikawa niliye sahaulika kabisa! Pakatangazwa kutoka chini yake: Usihuzunike! Hakika Mola wako amejaalia chini yako kijito kidogo cha maji! Na litikise kwako hilo shina la mtende, utakuangushia tende nzuri zilizo mbivu. Basi kula, na kunywa, na litue jicho lako. Na pindi ukimwona mtu yeyote basi sema: Hakika mimi nimeweka nadhiri kwa Mwenyezi Mungu ya kufunga; kwa hivyo leo sitasema na mtu. Akenda naye (mwanawe) kwa jamaa zake amembeba. Wakasema: Ewe Maryamu! Hakika umeleta kitu cha ajabu! Ewe dada yake Harun! Baba yako hakuwa mtu muovu, wala mama yako hakuwa kahaba.Akawaashiria (mtoto). Wakasema: Vipi tumsemeze aliye bado mdogo yumo katika mlezi? (Mtoto) akasema: Hakika mimi ni mtumwa wa Mwenyezi Mungu. Amenipa Kitabu, na amenifanya Nabii. Na amenijaalia ni mwenye kubarikiwa popote pale niwapo. Na ameniusia Sala na Zaka maadamu ni hai, Na nimtendee wema mama yangu. Wala hakunifanya niwe jeuri, mwovu. Na amani iko juu yangu siku niliyo zaliwa, na siku nitakayo kufa, na siku nitakayo fufuliwa kuwa hai. Huyo ndiye Isa mwana wa Maryamu. Ndiyo kauli ya haki ambayo wanaifanyia shaka. Haiwi kwa Mwenyezi Mungu kuwa na mwana, Subhanahu, Yeye ametakasika! Anapolihukumia jambo basi huliambia tu: Kuwa! Likawa.
@FredizMhagama
Ай бұрын
Allah sio Yehova, Issa sio Yesu. Allah na Yehova ni TOFAUTI, NA HAWAFANANI
Пікірлер: 190
Barikiwa sana mchungaji mtumishi wa Mungu. Hata mimi nimejifunza mengi niliyokuwa siyajui. Yesu ambaye ni Mungu mkuu asifuwe milele yote.
Mzeee Safi sana Asante kwa Kazi njema kazi Nyoofu sana ilitufungua wengi na inafanya vyema sasa kufungua Macho
Kama mwarabu hawezi geuza mkristo, sulleh hawezi ng'o
@nomar3708
Ай бұрын
Wenzenu wazungu wanakuwa waislamu kwa makundi. Mumebakia nyie tu waafrika kufuata upuuzi wa biblia iliyobadishwa. Mnafata maneno ya Paulo
@celestinshayo7295
Ай бұрын
@@nomar3708hao wazungu wanaosilimu hawajielewi. Wewe unayesema biblia ni upuzi pia hujielewi. Nguzo za imani ya kiislamu zipo sita unazijua? Mojawapo ni kwa kila muislamu kuwajibika kuamini vitabu ( siyo kitabu kimoja) vya Mwenyezi Mungu. Sasa ukiwauliza waislamu wavitaje watasema ni Taurat, Zabur Injil na Kur'ani. Biblia ni neno la kigiriki maana yake vitabu. Sasa vitabu vilivyopo ndani ya biblia ndio hivyo hapo ila Kur'ani haipo ndani ya biblia! Sasa ni wazi kuwa kila muislamu anawajibika kuamini Biblia pamoja na Kur'ani na siyo Kur'ani pekee. Sasa hapo nani mpuuzi kati ya biblia na wewe uliyesema biblia ni upuuzi?
Mtu wa maana kabisa ❤❤
Huyu Mzee alifanya kazi kubwa sana! Mungu aendelee kumpa nguvu! Barikiwa Mzee nilikusikiliza kipindi hicho!
Duh Mungu wetu ni mkuu akupe afya njema uendelee kuupigania Uksrtu barikiwa sana kumbe elimu imeletwa na wakritu Aminaa
Kazi njema sana sana,
Naaam mtu mkuu wa Mungu
Daaaa!!!!umezeeka baba yangu chuma cha hoja,Mungu akupatie uzee mwema
Ukweli Yesu atashinda na apate kushinda Ni Mkuu wa Mataifa na ni Mwokozi ajaye Jina la Bwana libarikiwe
Kiboko yake Mazinge
Mungu akubariki wewe na timu yako kwa huduma hii. NINAOMBA NINAVIPATAJE VITABU HIVYO?na bei zake
abali babá mchungaji Simba ivyo vitabu nitavipataje?🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Karibuni tarehe 22 Mwezi huu 6 kuwa na Mdaharo Ukumbi wa Wapo Mission. Kuhusu uungu wa Yesu kutakuwa na pande mbili wanao pinga au wanao kubali
@MaksMedia1
Ай бұрын
Ok
@Jumaamsagaty
Ай бұрын
Natamani kushiriki upo maeneo gani
@MaksMedia1
Ай бұрын
Endelea kufatilia Maks media utajua siku yenyewe
@amoschacha2885
Ай бұрын
Je waislam watakuepo?
Barkiwa baba
Mzee simba ulanga ulikuwa inafanya vurugu Mazinge akiogea mnaongea baada yake kuvuruga mawaidha na saa zingne mlikuwa mnaita polisi kwa kusema kuwa mmefanyiwa vurugu. Nilikuwa nashuhudia pale msasani Mazinge alifanya kazi kubwa sana
@user-ib2ns8kf9h
Ай бұрын
Mazinge hamuezi huyu mwamba
Mungu wa dini hizi mbili ni tofauti
Wakristo someni kiibrania Yesu anaitwa nani msilazwe tu kikondookondoo bila ujuzi
Nawezaje kuvipata hivyo vitabu ,,, Asante pastor Simba ulanga
@MaksMedia1
Ай бұрын
Ipo no ya media hapo pia video inayofata Kuna no yake
Mwandishi mjinga sana unashindwa kuamkia unasema heshima Yako
@user-sm1zu2mo4b
Ай бұрын
Unjua maana ya shikamoo?au malhaba?
Waislamu wanalazimisha eti ISSA awe Yeshua , Yesu , thubutuuuuuu....wako tofauti kabisaaaa😂
@RamadhaniLukambuzi
Ай бұрын
Wewe umechanganyikiwa,kwani Waislamu tukisema Yesu ni Issa tunapata faida gani?Au Wewe ukisema Issa sio Yesu unapata faida gani?Sisi hatusemi Yesu ndiyo Issa kwa akili zetu wala matamanio yetu bali ni Vitabu ndivyo vinasema Yesu ni nani?SOMA QURAN 3:50-51/SOMA QURAN 19:30-34 Na Habari za Yesu na ukoo wake yako kwenye Quran kwa wazi kabisa soma Surat Ali Imran.Huyu Mzee nae amechanganyikiwa hetu Mwokozi;sasa Mtu hawezi kuwa Mwokozi?Jeshi la zima moto haliokoi?Labda atuoneshe ayah isemayo Yesu ni Mungu na aliumba viumbe sisi hapo ndiyo tutakubari lakini anapiga porojo tu haoni aibu kufa akiwa hajitambui?Swala la kuchinja sio matakwa ya Wakristo wala Waislamu tu Wenyewe bali ni sheria ya Mwenyezi Mungu :-QURAN6:118 Kama Mzee Simba Uranga unachinja nyama kwa ajili yako hakuna shida lakini kama unachinja kwa ajili kuwauzia Waislamu hiyo sheria hauna,Waislamu tunakula nyama inayochinjwa kwa Majina ya Mwenyezi Mungu sio Nyama inayochinjwa kwa jina la Mtume Yesu na Wanyama halali na vyakula halali kwa mujibu wa Quran:Soma Surat Al Maaidah aya ya 5 na kinachokufanya utumie nguvu nyingi kutunga vitabu vyako ni nini?Jibu ni kwamba unalazimisha kuisemea Bibilia maneno ambayo haikuyasema kwa mapenzi yako sasa Mimi ninakwambia hivi Quran haiitaji kusemewa na mtu kwa maneno yake ya pembeni:Quran sheiria zote zimo kwahiyo ndiyo ujue kuwa dini sahihi kwako Wewe Mzee na watu wote ni Uislamu sio vinginevyo!
@halidimgonza5945
Ай бұрын
kila asiye na akil atawaza km ww kw7bu kuna UKAFIRI ndan yko
@profs.a5412
Ай бұрын
@@halidimgonza5945 hata mkasirike na mpasuke , Isa hawez kuwa Yesu kamwe😅😅 soma biblia ya kiarabu utakutana na Yesoo Al Masih, na sio Isa ..huyo Isa wa kwenu nyieeee. Ila kwakuwa hata kusoma huwa hamsomagi mnasubiri mazinge ndio awasomee basii endelea kuwa hivyo hvyo
@0badiaMwasongwe-rt1wr
Ай бұрын
Shidaa nikuwa waislamu wengii wanaamin commedy za mazinge hawataki kushughulishaa Akili zao kusoma maandiko
@halidimgonza5945
Ай бұрын
@@0badiaMwasongwe-rt1wr ww ndo umepotea kbs waislam tunafuata Qur-an na mafundisho ya mtume na mazinge ni muhadhir wetu anayekubalika kw7bu anawafundisha nyie MAKAFIRI na kuwatoka ktk kiza kuingia ktk dini ya kwel y kiislamu izo ni chuki tuu kw prof. Mazinge, soma vitabu uelewe usifuate mkumbo
Mtumishi wa Mungu ubalikiwe na Mungu wa viumbe vyote
Ukristo sio dini ni imani hapo tu kwanza tunashangaa wanavyo lazimisha kuwa ni dini. Wao kama wana dini sawa ila sisi ni YESU mkuu wa imani hii MUNGU ALIYE HAI
Nyie badala yakuuliza uhalali wamtu kufundisha dini huku akiwa nimganga wajadi anaetumiwa namajini mnaka kusifiana harafu mnataka nasisi tuje tufanywe misukule nahao waganga watumishi wadini yenu eMungu okoa watu wako wajulishe kuwa anaeokoa niyesu na sio dini wala zehebu maana wanatambia majina yadinizao lkn hata wavotoa mawazo yao vinywa vimejamaneno machafu namatusi nabado wanaona wakosalama 😂😂😂😂😂😂😂
Yesuuu ni jibuu toshaaaa kwa woteeee wamwitajiooo
Allah na Jehovah wana tofauti gani kihusika
@FredizMhagama
Ай бұрын
Yehova ni Baba yake Yesu na Baba yetu Allah hana mtoto wala watoto
Mihadhara haipo sbb ya kina mazinge na dr sulle wamekua watafta pesa tu
🙏
Tupe number tuje kununua hivyo vitabu.
Maks Media mtafute sheikh shafii shomari kw hili swala la debate na Simba ulanga
nakurepoti kwa babu mazinge ulimkimbia songea simba ulanga huwawez kina sule for sure
Waislamu wanamuogopa sana huyu mzee
Twaitaji DIBET Sule vs Shaffi Jamani ili tuelewe
Mungu anayeabudiwa na Waislamu ni yule yule Anayeabudiwa na Wakristo? Mwenye hekma ya kunijibu bila kupanic plz
Kushindwa kuwaambia wa kristo ukweli mtakwenda kujibu mbele ya mungu
@BOAZIMPITANYE
Ай бұрын
Mkristo hana haja ya kuthibitishiwa maana wanajosomea wenyewe.
Wakati hizo nikisoma form five na six Dar Sheikh Mazinge na Simba ulanga msasani .Mzee simba ulanga akipinga uislamu na watu wanasilimu tu nafikiri ilikuwa 2000 mpaka 2004 ndio nilikuwa Dar
Mzee wetu Simbaulanga bado ana nguvu, nashauri awe anafanya mafundisho au mafafanuzi ya mada mbalimbali alizoandika kwenye vitabu vyake. Awe anarusha kwenye You Tube na mitandao mingine, atasaidia sana wakristo kuelewa kwa undani ukweli wa imani yao vs imani ya Kiislam.
Yesu na ISSA ni watu wawili tofauti, biblia haijawahi kumuandika issa, kuzaliwa kwa issa na Yesu ni vitu viwili tofauti. Yesu ndio kweli yenyewe, haki inakuja ukianza na ukweli
Huyu anazidi kuwapoteza
Hakuna kilichogeuzwa wakristo watazame kinachosemwa kama hakimo wao hupokea kinachotungwa na wachungaji na kukataa wanachokiona kwa macho wakristo bhana 😂😂
@BOAZIMPITANYE
Ай бұрын
Unajitekenya na unacheka mwenyewe
Simba Ulanga kama Simba Ulanga. Ilikuwa hatari sana.
Yesu mamaake maliam issa mamaake maliam embu tuwambie kwaelimu yako manabii wangap amezaliwa pasipo baba kama wanafika wawili utuambie uje utuletee tofauti ya issa na yesu alafu ao jamaa zako wanakusapot eti unaongea ukweli sumu ulio wapa watuwako ni nyingi uzee uo unakalibia kwenda kwa mungu fanya utubu baba kama pesa tayali unayo🙏
@0badiaMwasongwe-rt1wr
Ай бұрын
Tofauti kabisaa yesu alizaliwa kwenye holii la ngombe huko Yeruslem nchi ya Israel. issa alizaliwa uarabuni chini ya mtende tofauti kabisaa kabisaa
@faridfrefre35
Ай бұрын
Vipi Adam
Hili zee jinga zaidi yesu ni jina la kutunga asili ni isa bin mariam
@ibrahimgwasma235
Ай бұрын
Wew ndo ulompa?
Saa zingine mlikwa mnakata umeme yaani mnachomoa wire za speaker
Mpaka Leo Bado wakristo mkoa wa rukwa (w) ya nkasi kule Kilando . Wananchinja wao nakuuza katika bucha za wakristo. Mdahalo mwingine ulifanyika sumbawanga mjini pale msakila alikuwepo kinyogoli shafii na mazinge Simbaulanga nikidume kweli😁😁😁😁🤣
Wazungu wenyewe wameacha ukristo na wanaingia makundi kwa makundi kwenye dini ya haki, uislamu. Mumebakia nyie tu waafrika mnashikilia uongo ulioandikwa na paulo
@BOAZIMPITANYE
Ай бұрын
Pole sana
Kwaiyo ndacha anasapoti uislamu au
Aya ipo wapi kwamba aligeuza maandiko
Issa amezakiwa chini ya mti wa mtende wakati yesu amezakiwa katika zizi la ng'ombe
@user-zs7eq8up5s
Ай бұрын
Leta andiko yesu kazaliwa ndani ya zizi
Lamu niwaongo Sana nimaarufu kubadirisha majina.
Vitabu hivyo havionekani sasa hivi bookshop!
Profesa MUSSA NGOGO NA PASTOR IMANI PETRO HAWA NIWAKRISTO WASOMI WALIACHA UKRISTO NAKUWA WAISLAMU ...NITAJIE WAWILI WALIOACHA UISLAMU NAKUWA WAKRISTO...KISHA TUWAPIME...ACHENI UONGO NINYI SIKU YAKIYAMA NINZITO MNO.
@fabianalfredy5557
Ай бұрын
Nyie mnawazui Kwa nguvu Hadi kuwata kuua, so huwa hatuwatangazi km nyie. Shekh sharifu aliposilim MLIMFANYA NINI? Huo ni mfano mmoja
@FrankMushi-cs5js
Ай бұрын
Tatizo lako ujuwi km ujuwi hapo ndo shidaa sasaa mpo kiushindani sisi hatopo ivyo nyi mnamfoc mtu awe muislamu
@charlesmwasi7646
Ай бұрын
Katika ukristo unahubiriwa ili umpokee yesu, hakuna vitisho vya mauaji endapo atahama dini, upande wa pili ni shida mtu analazimishwa kinguvu awe dini hiyo na yule anayehama yupo hatarini kwa kifo . Kule Iran watu wanaingia ukristo kimya kimya ole wako ujulikane. Ulaya hawalazimishi watu wawe wakristo, nenda arabuni uone. Maajabu wahamiaji wanawakimbia ndugu zao katika Iman na kukimbilia kwa makafiri ulaya. Yaani hawajui kinachowavuta ni upendo wa kristo kwa watu wote walioupokea watu wa ulaya
Isa na Yesu watu wawili tofauti kabisa maandiko yapo wazi
@nomar3708
Ай бұрын
😂😂😂
Kwa mtu aliefungwa akili na majini Yani mashetani hawezi kukuelewa nahasa hao wanaosemakwamba Yako mashetani mabaya na mazuri lkn unaeleweka sana tu mtu wa maana sana kazi Yako sio bure pambana Ili umalize vema tuko mwishoni barikiwa Mzee wetu
Andiko liko wap
Yesu hakuoa Issa alioa Yesu ni mwana wa Mungu,Issa hatujui ni mtoto wa nani Yesu alifufuka Issa hakufufuka Yesu alihubiri habari njema ya uokovu ,Issa alikua nabii wa kiislamu Jina la yesu linaokoa ,jina issa ni la kihistoria na nabii wa waislam Yesu yu hai anaishi hata leo,issa alishajifia huko Msilazimishe wafanane hawa ni wawili tofauti kitabu chenu kimeandikwa kwa kuiba iba kwenye biblia ili vifanane
@faridfrefre35
Ай бұрын
Sasa mbona huyo yesu alisulubiwa na rangi dhambarau luka anasema jekundu marko anasema kijani hapo vp
@afropatriot7769
Ай бұрын
Hayo huwezi kuyaelewa kwa sababu huijui biblia unasomewa na hao mashehe ubwabwa kama unataka kuelewa soma vizuri hivo vitabu vyote kwa lengo la kuelewa utapata ukombozi katika maisha yako
Natamani kuvipata hivyo vitabu
Waislam wamewaacha mbali sana wakristo kwenye eneo la dini.
@Baba-JJ
Ай бұрын
Hujui hata unachokiabudu wala unachokiongea. Labda kwenye kuabudu majini ndio mmewaacha mbali. 😂😂 Nyie endeleeni kugombania pepo ya ngono. 😂😂
@myself4128
2 күн бұрын
Umbali lazina uwepo sababu sisi Tunaelekea Mbinguni wao Kuzimu
Ukweli utabaki pale pale mungu hazai wala hazaliw na hawezi fananishwi na chochote
@martinisadru9899
Ай бұрын
Kama hafananishwi, kwanini yeye MUNGU aliesema, tuumbe MTU kwa mfano wetu. Maana ya mfano ni nini? Viumbe wote hawafananishwi na MUNGU, isipokua ADAMU na wanadamu tu,, ndio maana hata malaika mkuu yule wa kwanza kuumbwa kabla ya viumbe wote, yaani shetani, aliamliwa kumsujudia ADAMU, na, akakataa,, swali! Kwanini ADAMU asujudiwe? Na anaestahili kusujudiwa ni nani? Nipe jibu. Na hilo, la shetani kuamliwa kumsujudia ADAMU, hata kwenye Quran yenu hiyo aya ipo.
@FrankMushi-cs5js
Ай бұрын
Nani kasema MUNGU anazaa tatizo mnaakili ndogo sana ayo mambo ni ya roho Sanaa wewe c mkresto uwezi elewa uctungulie kwenye Imani yetu
@dennisezakiel3380
Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 soma vizuri Quaran
Huyu mzee muongoo sanaaa tena sana hakuna muhadhara wowote toka iyanzishwe hakuna mkristo ambae anaingia katka uislam ila wakristo ndo wanaingia
@user-lf5sd6du3c
Ай бұрын
We ni mtoto wa 2000 humjui vzur huyu mzee
Kwenye Bible Daudi alimzini mke wa jirani yake na kumuwa mumewe wakati Daudi wa Quran ni mtu safi kabisa
Navipata je ivyo vitabu ??
@MaksMedia1
Ай бұрын
Karibu no ipo hapo!!
Hivyo vitabu mtumishi nitavipataje,? Niko kahama
@MaksMedia1
18 күн бұрын
No ipo hapo
@user-sy9sl7of8w
18 күн бұрын
@@MaksMedia1 mawasiliano yao tafadhali naomba hapo kahama
Mzee mzima uongoo 2 waislam gan waloingia ktk ukristo? Na kama huna machoo vaa miwan uangalie wakristo wanao ingia ktk dini ya Haq ya uislam.
Huyu kafiri hana lolote anamjua vzr mazingw
@BOAZIMPITANYE
Ай бұрын
Mazinge ndiye boya kabisa
ww mzee simba ulanga unawapotosha MAKAFIRI wenzio lkn ukwel unaujua km ukristo si dini ya mwenyezi Mungu mtakuja chomwa motoni nyie na unamuogopa mazinge kuliko chochote
@basilejuma
Ай бұрын
Mazinge achia ndacha, ndo maana Mahali ndacha Yuko mazinge anahepa
Mkirsto hana dini akichinja ni umekula mfu. Na mkiristo hana hoja ndiomana wanamiminika kwenye uislam.lini ukaona wakiristo wanamiminika kweny uislam?ukweli ni uislam pekeyake
@silvesterrichardhelenya1319
Ай бұрын
Endelea kujichanganya acha kusoma utakuwa mjinga mpaka kufa
@fadhilimusa9732
Ай бұрын
@@silvesterrichardhelenya1319 ndio maana tunawausia waliolala kwenye ukiristo wamepote waingie kwnye uislam wasije wakafa kwenye ukafiri
@MajiTakaMaji
Ай бұрын
Broh nenda kwenye makanisa ya kilokole utapata jibu
@user-jw6ro5di3f
Ай бұрын
Mtu,akitaka kumjua MUNGU kuwa ndio YESU Mwenyewe aokoke awasikilize wanaomwabudu ili wajue kweli. Kwa maana akizungumza asiyoyajua ni kwa sababu hajui Mambo yote na kweli ni wazi hayajajifisha,Mungu yupo yaani YESU KRISTO,wataomwamini wataokoka na kuingia mbinguni wasiomwamini Watakwenda kwenye ziwa la moto (jehanamu) .Ukihitaji msaada katika hili maine mchungaji Aliye mwamini YESU,mfano Mchungaji Ulanga n.k
@fadhilimusa9732
Ай бұрын
@@user-jw6ro5di3f anaeitakidi yesu ni mungu nisawa na anayesema ngo,mbe ni mungu.mutaingia motoni .yesu sio mungu bali ni mtume wa mungu
Yesu ni hapa tu east africa issa ni dunia nzima.
Nmeona mzee hana hoja ni chuki tu za kuvimbiwa makande...yani mkristo hatakiw kukubali chochote kinachosenwa na qur an kama biblia imekosea
Shida ni Mchanganuo ww mzee hujui lolote sisi wenyewe tumekimbia kanisa tunadanganywa saana Mungu hawezi kuzaliwa na mtu bana
@hamisijuma3276
Ай бұрын
Imam kakimbia uislamu msomii sembuse wewe? kzread.infoc2e99p3YSqY?si=My42Rd54cgqmkST7
@user-zs7eq8up5s
Ай бұрын
Ni kweli
Huna point,
isa sio kiarabu.... musijichanganye... isa ndio jina original kama musa na yusuf..yakub, ishak ibrahim yote si ya kiarabu ila yameandikwa kwa lafudhii ya kiarabu
@FrankMushi-cs5js
Ай бұрын
Weee ndo ujuwiii kabisaaa una elimu ndogo sanaaa Bora ukae kimy tuu kuliko kukoment ujingaaa
@omaar5693
Ай бұрын
@@FrankMushi-cs5js ah we nawe wewe si unasema yesu ni mungu? ametairiwa vile? so anayo chululu ? acha kuniambia jambo kama mungu wako ametairiwa na viumbe wake..
Huyu mchungaji ni muongo sana cheki pua yake
@user-vb7tu5zs9d
Ай бұрын
Kadanganya nini hapo
@fabianalfredy5557
Ай бұрын
Matusi yanatoka wapi tena.!!
@JamesJastin-bg1rx
Ай бұрын
@@fabianalfredy5557 sas wew kwani hauwoni pua yake jinsi ilivyo?
@JamesJastin-bg1rx
Ай бұрын
@@user-vb7tu5zs9d kwani wew hujui alicho danganya
@fabianalfredy5557
Ай бұрын
Mathayo 12:34 [34]Enyi wazao wa nyoka, mwawezaje kunena mema, mkiwa wabaya? Maana, kinywa cha mtu huyanena yaujazayo moyo wake. NDIYO YALIYOJAA MOYONI.
Mtumishi umetoboa ndonya
Bado hujajielewa na utu uzima huo pole sana
Muongo sana we mzee😂😂Wakristo ni wengi waingiao uislamu mpka wachungaji na hamkuwahi kujibu maswali ya waislamu
@martinmkoba361
Ай бұрын
Nyie mnaona wengi kwakua mnatangaza wakristo hawatangazi
@binseif2216
Ай бұрын
@@martinmkoba361 🤣🤣Wachungaji wanavopenda sifa wataacha kuwatangaza
@martinisadru9899
Ай бұрын
Wakristo wanaehamia uislamu, ni wale wasio jua kitu, au kwa tamaa zao za kimwili! Akiwa mwanamke,, sababu kapata mwanaume muislamu,, na akiwa mwanaume amepata mwanamke wa kiislamu,,, mkisto mwenye nguvu ya KRISTO nafsini mwake hababaishwi na vitu vya kimwili, maana hivi vipo duniani tu! Kwa upande wa sisi wakristo wenye nguvu ya KRISTO nafsini mwetu, hata angekuja mwanamke mrembo kuliko malaika, siwezi kumwacha YESU, na hata nipewe pesa na thamani zooote za dunia hii, sitamwacha YESU kamwe! Maana nilikuja uchi, na nitarudi uchi, nilikuja bila mke, wala pesa, na thamani, nitaenda peponi hali nikiwa sina hivo vyote va duniani,,, Sasa kwenu nyie waislamu ni sawa kulinganisha vitu va kidunia na pepo yenu,, maana pepo yenu nyie mmeandaliwa wake 1000 wa kuwakaza huko. Sisi wakristo pepo yetu haina kuowana.
Simbaulanga.umeamua.kufa.kafili?
@martinisadru9899
Ай бұрын
Pole,, sana,, kwakua unamacho ya kutazama, lakini, huoni, una masikio, lakini hutasikia kamwe,, uislamu ni dini ya kurisi, na UKRISTO unatafutwa kwa nguvu! Na Si kwa kurisii,, MUNGU mwenye enzi, anatuthibitishia kuwa,, wenye nguvu ndio wataiteka pepo.
@silvesterrichardhelenya1319
Ай бұрын
Wewe ndiyo kafiri soma vizuri vitabu vyako utaukimbia uislamu mchana kweupe
@fabianalfredy5557
Ай бұрын
Haa, umekubali kufa bila kumkubali YESU mwokozi wa ulimwengu kutoka dhambini..!!
@martinisadru9899
Ай бұрын
Hakimu wa kiyama ni YESU KRISTO,, na sio muhamadi! Siku ya hukumu,,, hatasimama, ibrahimu, musa,daudi, sulemani, ismaili, wala muhamadi,, wote tutahukumiwa na bwana YESU.
Acha uongo muda wote wamgazara yako haujawai kushinda muhadhala wakigoma ulikimbia ukasababisha mchafuko mbona ulikimbia wakati wewe unajua ukweli ulikimbia nini
@mckobatz5861
Ай бұрын
Wakristo hawashindani kwa hoja ili kutafuta mshindi bali kuelimishana na kusaidiana uelewa juu ya kumtafuta Mungu anayesikia na kuelewa ni sawa na asiye elewa pia sawa maana ni ukweli dhahiri kwamba Imani moja huweza kuwa uwendawazimu kwa Imani nyingine
@sundaystanley5322
Ай бұрын
Uongo ni jadi yenu,kigoma nilikuwepo,waisilamu ndio mliandamana mkatishia kuwaua kwamba wanadhalilisha uisilamu wenu,ilikuwa viwanja wa kanisa la moraviani
Waislamu hawawezi kuitwa YESU maana wanamajini. Yaya wapiga😂😂
@user-ks4hh8jb6k
Ай бұрын
Wewe ni kafiri nguruwe tako
@user-wg2gd2nl6c
Ай бұрын
@@user-ks4hh8jb6k acha matusi wewe sisi hatuna midomo michafu. Pangua hoja na andiko siyo matusi🙄
@khambhai360
Ай бұрын
Eti hamna matusi mbona mnatuita wafuga majini mnaushahidi Gani?Makafiri nyie.
Hiki kizee kiongo sana nakifahamu Eti Issa sio yesu
@Visionofeagle9689
Ай бұрын
mungu wenu anawafunza ukosa adabu' pole sana.
@limakisasautajirike
Ай бұрын
Issa hawezi kuwa Yesu hata siku Moja! Issa mfuga Majini na Yesu mtoa Majini ni vitu viwili tofauti
Issa mama yake anaitwa Mariam Hakua nababa kama ilivyo yesu Wewe babu mimi ni mkiristo ila hapo nipagumu kwako
@MiziziMti
Ай бұрын
Wewe sio mkristo..Sema nyie waislamu uongo mmeruhusiwa
@Visionofeagle9689
Ай бұрын
Wewe sio mkristo
@limakisasautajirike
Ай бұрын
Muislamu unayefuga Majini
@hamisijuma3276
Ай бұрын
Imam kakimbia uislamu msomii sembuse wewe? kzread.infoc2e99p3YSqY?si=My42Rd54cgqmkST7
@martinmkoba361
Ай бұрын
We kichaa kweli Issa alizaliwa nakuongea siku hiyohiyo sasa Yesu aliongea siku hiyohiyo???
Nani achaga umbea ushakuwa ww
Kwanza kwenu wakristo mkikubali kuwa yesu ndio issa ni faida kwenu kwa sababu issa anezungunziwa vizuri kuliko yesu wenu katika Biblia
@frankmugomba3484
Ай бұрын
Jamaaaa acha kuwa mpotoshaji coz ukweli ni kufatilia kuongeza Maarifa Jifunze ukiiva njoo kwa Table na Hoja
We Mzee ni muongo sana jina yesu limebuniwa hapo unguja walipo tafsir biblia
@odilomwemeziernest646
Ай бұрын
Aya wewe nawe ni mandazi kabisa,haya kasome kihebrania au kiyunanani.
@badruseif1318
Ай бұрын
@@odilomwemeziernest646Hakuna maandazi apo Jina yesu Ni kiswahili na lilitungwa mkunazini Zanzibar
@georgekimasaofficial1629
Ай бұрын
Mtasema Sena ila jina la Yesu linaponya na kuyafukuza majini ambao ni ndugu wa Kiislam lakini Hilo la Isa halieleweki na halija wahi fanya muujiza.
@ephraimkabeya9648
Ай бұрын
Aksante Sana mchungaji. YESU sio Issa . Kila mtu abakie upande wake
@limakisasautajirike
Ай бұрын
Kila Mtu abaki na Yesu wao - Yesu wetu anatoa Mapepo, Issa wao anafuga Majini
Hakuna muislam anapindisha biblia umri wote huo Mzee unasema uongo ingia kwenye mihadhara upinge kwa maandiko kama unasema kweli usizungumzie vichochoroni
Wewe.mzee.moto.una.kungoja.potospha.watu
Yesu issa Mama yao ni Maliam Hakua nababa .hivyo Yesu ni Issa Wemzee unafeli
@theodorythobius3965
Ай бұрын
Yesu sio Issa , na Issa hawezi kuwa yesu kamwe, huo ni mpango wa shetani kuleta mtu anayefanana na yesu ili kupotosha. - Mama yake issa ni mariam ambaye ndugu wa haruni ambaye aliishi kipindi tofauti kabisa na ujio wa yesu kristo duniani. Yesu aliteswa msalabani , aliishinda mauti na akapaa mbinguni. Yesu atarudi kuja kuchukua walio wake(na wewe unalijua hilo) wakati huo issa anangojea hukumu. Yesu ni alizaliwa kwenye holi la ngombe wakati issa alizaliwa chini ya mtende . Pia sauti siku zote yesu ilitoka juu wakati issa anazaliwa sauti ilitoka chini. Mimba ya mariam mama wa Yesu kristo ni miezi tisa, lakini inaonesha mimba ya mariam mama wa issa ni muda huo huo alipata mimba akashikwa na uchungu na kwenda kuzaa. Ref: Maryamu" (19) kuanzia aya 16 - 35. Na mtaje Maryamu katika Kitabu, pale alipojitenga na jamaa zake mahali upande wa mashariki. Na akaweka pazia kujikinga nao. Tukampelekea Roho wetu, akajifananisha kwake sawa na mtu.(Maryamu) akasema: Hakika mimi najikinga kwa Mwingi wa Rehema aniepushe nawe, ukiwa ni mcha Mungu. (Malaika) Akasema: Hakika mimi ni mwenye kutumwa na Mola wako ili nikubashirie tunu ya mwana aliyetakasika. Akasema: Nitampataje mwana hali mwanamume yeyote hajanigusa, wala mimi si kahaba? (Malaika) akasema: Ni kama hivyo! Mola wako Mlezi amesema: Haya ni mepesi kwangu! Na ili tumfanye kuwa ni Ishara kwa watu, na Rehema itokayo kwetu, na hilo ni jambo lililokwishaamuliwa. Basi akachukua mimba yake, na akaondoka nayo mpaka mahali pa mbali. Kisha uchungu ukampeleka kwenye shina la mtende; akasema: Laiti ningelikufa kabla ya haya, na nikawa niliye sahaulika kabisa! Pakatangazwa kutoka chini yake: Usihuzunike! Hakika Mola wako amejaalia chini yako kijito kidogo cha maji! Na litikise kwako hilo shina la mtende, utakuangushia tende nzuri zilizo mbivu. Basi kula, na kunywa, na litue jicho lako. Na pindi ukimwona mtu yeyote basi sema: Hakika mimi nimeweka nadhiri kwa Mwenyezi Mungu ya kufunga; kwa hivyo leo sitasema na mtu. Akenda naye (mwanawe) kwa jamaa zake amembeba. Wakasema: Ewe Maryamu! Hakika umeleta kitu cha ajabu! Ewe dada yake Harun! Baba yako hakuwa mtu muovu, wala mama yako hakuwa kahaba.Akawaashiria (mtoto). Wakasema: Vipi tumsemeze aliye bado mdogo yumo katika mlezi? (Mtoto) akasema: Hakika mimi ni mtumwa wa Mwenyezi Mungu. Amenipa Kitabu, na amenifanya Nabii. Na amenijaalia ni mwenye kubarikiwa popote pale niwapo. Na ameniusia Sala na Zaka maadamu ni hai, Na nimtendee wema mama yangu. Wala hakunifanya niwe jeuri, mwovu. Na amani iko juu yangu siku niliyo zaliwa, na siku nitakayo kufa, na siku nitakayo fufuliwa kuwa hai. Huyo ndiye Isa mwana wa Maryamu. Ndiyo kauli ya haki ambayo wanaifanyia shaka. Haiwi kwa Mwenyezi Mungu kuwa na mwana, Subhanahu, Yeye ametakasika! Anapolihukumia jambo basi huliambia tu: Kuwa! Likawa.
@FredizMhagama
Ай бұрын
Allah sio Yehova, Issa sio Yesu. Allah na Yehova ni TOFAUTI, NA HAWAFANANI