Maks Media

Maks Media

Karibuni sana kupata Update zote Duniani,za mastar,matukio,Drama,za kijamii..ubongo wako upate chakula bora ...SUBSCRIBE....kwa ishuyoyote ya copyright tafadhar tuwasiliane!!! Ahsante..

Пікірлер

  • @jjtm164
    @jjtm1647 минут бұрын

    We shall know them

  • @jjtm164
    @jjtm16422 минут бұрын

    Natafuta comment za waislamu

  • @MohammedAlnabakhany
    @MohammedAlnabakhany43 минут бұрын

    Hamna kitu hapo, utamjuaje jini nzuri na mbaya nahali yakua hamuonani?

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918Сағат бұрын

    Ndungu yangu pole kwa mitihani uliyopitiya haiba tafauti na yangu shukuru mungu kwa kila kitu kuwa nzima watu sahivi wamebadilisha nafsi hii hatari yarabi mungu wangu

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918Сағат бұрын

    Hatari mimi Kaka zangu hajawahipo kunisaidia hata mia yao lakini nashukuru mungu nimepata kazi natafuta maisha yangu nikuwa nikifanya kazi kwa compuny baade nikatapeliwa nikawa sina hela tena baade nikapata kazi Omani nipo najitafutiya sahivi wananionoleya mwivu kwa roho mbya zao

  • @frankyunia1809
    @frankyunia1809Сағат бұрын

    Nataka nimpindue Darkid😅

  • @user-je8mj8dc7u
    @user-je8mj8dc7uСағат бұрын

    Hio Bibilia yako ni yakizushi sana majini hawakumuita yesu mwana wa mungu ndugu zangu hebu kasomeni wenyenyewe Luka 4:34 [34]akisema, Acha! Tuna nini nawe, Yesu wa Nazareti? Umekuja kutuangamiza? Nakujua u nani, Mtakatifu wa Mungu.'' '' '' '' '' '' 'Kwahalihii kila mkristo atakuwa na bibilia yake

  • @naimamohamed2216
    @naimamohamed2216Сағат бұрын

    Mtume ,s,a,w, anasema hivi mtu akivaa cheo au akipewa cheo ambacho SI ,stahiki yake ,ipo siku atakivua Kwa mikono yake au Kwa mdomo wake ,sule watu walimuheshimu saaana kumbe la Sasa anavua heshima

  • @badimakka0016
    @badimakka0016Сағат бұрын

    Subhanaa Allah mwisho wa ubaya aibu.wataumbuka wingi

  • @user-je8mj8dc7u
    @user-je8mj8dc7uСағат бұрын

    Majini yatakaa kanisani na yapo kila siku toka hayatoki

  • @user-je8mj8dc7u
    @user-je8mj8dc7uСағат бұрын

    Huyu jamaa ni kiherehere mbona asije na BIBILIA zote Bibilia ni uongo uongo uongo

  • @LukusaFrank-dg1ib
    @LukusaFrank-dg1ib2 сағат бұрын

    Mwalimu ulikwepa swala lamwandishi,je mapepo wanajuwa siku yaukumu?

  • @alimohd3
    @alimohd32 сағат бұрын

    Hakukua na kitabu Cha biblia wakati WA yesu

  • @wycliffew.woduor1748
    @wycliffew.woduor17483 сағат бұрын

    This gentleman (Mwalimu Daniel?) is so clever and coherent. God bless

  • @bennymochiwa4800
    @bennymochiwa48003 сағат бұрын

    We mwalim acha kutuonyesha uzuzu wako nani aliekudanganya Waislam wakienda kuswali hawavai nguo za ndani!!!???

  • @pisgatv5863
    @pisgatv58634 сағат бұрын

    Huyu anashirikiana na mashetani

  • @amirihamisi6913
    @amirihamisi69137 сағат бұрын

    YANI ULIONA WAPI KITABU CHA HESABU NDANI KISIJIZUNGUMZIE CHENYEWE BADALA YAKE KIZUNGUMZIE VITABU VINGINE MAANA HESABU INATAKIWA NDANI YAKE IZUNGUMZIWE HESABU TU NA SI NDANI YAKE KUWE NA SAYANSI, JOGRAFIA, MAARIFA YA JAMII, KISWAILI KUMBE BIBLIA NI JINA TU ILA KITABU CHA BIBLIA HAKUNA ( HAKIPO ). IZO NI KELELE TU

  • @amirihamisi6913
    @amirihamisi69137 сағат бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @SiaNyella
    @SiaNyella7 сағат бұрын

    Izo punje ziko wapo jaman maisha magumj

  • @eslonblack8096
    @eslonblack80968 сағат бұрын

    Nimekumbuka ile nyimbo ya mbosso milungi mishisha mibange seleman😂😂😂 selemani kawauza waislam

  • @landmadvdmbeyacity9561
    @landmadvdmbeyacity95619 сағат бұрын

    Konk mastaa

  • @raggysingo4983
    @raggysingo498310 сағат бұрын

    Yanaitwa Limousine sio tour bus😂😂😂

  • @TembaThomas-wg6iq
    @TembaThomas-wg6iq10 сағат бұрын

    maajabu 😂....sheila mwanangu njoo haraka

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s11 сағат бұрын

    Facts tupu

  • @pedropedroagira3980
    @pedropedroagira398011 сағат бұрын

    Yesu sio muana EA mungu bali ni nabi

  • @suleimansule5114
    @suleimansule511411 сағат бұрын

    Hahaha chuma icho jichanganye

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli2111 сағат бұрын

    Sule anatapata Washehe wenzio wamemkalia kubaya kwa kuaibisha dini ya uislamu

  • @abuuhafsah9630
    @abuuhafsah963011 сағат бұрын

    Na huo mnyoo wa kijahili umekua kama mbwei

  • @abuuhafsah9630
    @abuuhafsah963011 сағат бұрын

    Huyu jamaa nuru imepotea kabisa ..sura imekua kama mla feg..

  • @ChiristinaMaiko
    @ChiristinaMaiko11 сағат бұрын

    Kp tunza lulu yako wengi watakipotezea mda jari mwanamke ambae mnatengeneza pesa pamoja kwaushirikiano wadada wa mjini watakupotezea future ya ko

  • @Jaza-gu4cv
    @Jaza-gu4cv12 сағат бұрын

    Mambo mrembo umependeza sana❤🎉

  • @hafidhseif9638
    @hafidhseif963812 сағат бұрын

    Huyo hata Quran kuusoma haijui vizur, hao wanajuana watafutaji hela tu hao

  • @JoyceMunuo-uc9rt
    @JoyceMunuo-uc9rt12 сағат бұрын

    Kweli hayo

  • @LeonceMushy
    @LeonceMushy12 сағат бұрын

    Aleluya nimejifunza

  • @user-hv4px1dh4l
    @user-hv4px1dh4l13 сағат бұрын

    Waislam ni sikio lakufa halisikii dawa/ni msiba mkubwa😂😂😂😂😂😂

  • @user-pb3fl7bw4q
    @user-pb3fl7bw4q13 сағат бұрын

    Naomba jamani muwafikishie hii abari kuwa wana kawiya sana kuendesha movie ivi nipo hapa nasubiria épisode 10 na 11❤ svp

  • @Abdul-bq8ic
    @Abdul-bq8ic13 сағат бұрын

    Acha kuwadanganya watu we sule

  • @godfreydavid6847
    @godfreydavid684713 сағат бұрын

    Pete ya Dr Sule ni urembo au? Na kwa nini kiarabu ndio kitumike na sio Kiswahili? Na Sura Yusuf, Allah ameishusha Koran kwa Lugha ya Kiarabu

  • @godfreydavid6847
    @godfreydavid684713 сағат бұрын

    Pete ya Sule

  • @user-jd3do7ym9w
    @user-jd3do7ym9w14 сағат бұрын

    Nola nakupenda sana

  • @aliabdallah4233
    @aliabdallah423314 сағат бұрын

    Unajuwa kukitafuta kijio😂😂😂😂

  • @jaaffarabuu6750
    @jaaffarabuu675014 сағат бұрын

    Bibilia sio injili acha kupotoa watu

  • @FredrickNyangweso
    @FredrickNyangweso14 сағат бұрын

    Napenda sana mafundisho na mada zako mwalimu Daniel mwakemwa, lakini kuna mada moja au mbili hivi nilitofautiana nawe ili ya kwamba sabato ilibadilishwa lakini nanani hiyo ya kwanza la pili ni ile ya nambari 666 ya ufunuo 13:18.

  • @allykidundo4508
    @allykidundo450814 сағат бұрын

    kiukweri nimemsikiliza mwanzo mwisho ata sijamuerewa nini anachokusudia au ametetea nini apo mbona atoi ushaidi juu ya yare alioongea sure..???

  • @amirihamisi6913
    @amirihamisi69137 сағат бұрын

    YANI ULIONA WAPI KITABU CHA HESABU NDANI KISIJIZUNGUMZIE CHENYEWE BADALA YAKE KIZUNGUMZIE VITABU VINGINE MAANA HESABU INATAKIWA NDANI YAKE IZUNGUMZIWE HESABU TU NA SI NDANI YAKE KUWE NA SAYANSI, JOGRAFIA, MAARIFA YA JAMII, KISWAILI KUMBE BIBLIA NI JINA TU ILA KITABU CHA BIBLIA HAKUNA ( HAKIPO ). IZO NI KELELE TU

  • @bossej1212
    @bossej121215 сағат бұрын

    😂😂😂 Mwalimu umeniweza. Nimejifunza kitu kuhusu kitovu

  • @comredmuslimmputa2275
    @comredmuslimmputa227516 сағат бұрын

    Acha uongo mtumishi sisi nani kakwambia hatuvai nguo za ndani?

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli2111 сағат бұрын

    Kama unavaa wewe unavaa kimakosa Qurani imekataza wakati wA sala

  • @lototoreali7638
    @lototoreali763816 сағат бұрын

    Nyota zinamlinda tena

  • @ahmadmadaai1357
    @ahmadmadaai135716 сағат бұрын

    Dokta sule umeongea point watu waa zama hz elimu zao ndogo kw hayo nabii sleman nabid ataend moton na ni mshiirikin mbn alikuw akiwatuma kw kheri

  • @NasraIbrahim-dw1hr
    @NasraIbrahim-dw1hr17 сағат бұрын

    Mashaallah Allah awajalie mudumishe kaz yenu na ndoa isichelewe

  • @user-zv8te1mi6b
    @user-zv8te1mi6b17 сағат бұрын

    Na ww ndo Yule Shay Shay wa last card kweli??