Karibuni sana kupata Update zote Duniani,za mastar,matukio,Drama,za kijamii..ubongo wako upate chakula bora ...SUBSCRIBE....kwa ishuyoyote ya copyright tafadhar tuwasiliane!!! Ahsante..
Hamna kitu hapo, utamjuaje jini nzuri na mbaya nahali yakua hamuonani?
@kadijahajali3918Сағат бұрын
Ndungu yangu pole kwa mitihani uliyopitiya haiba tafauti na yangu shukuru mungu kwa kila kitu kuwa nzima watu sahivi wamebadilisha nafsi hii hatari yarabi mungu wangu
@kadijahajali3918Сағат бұрын
Hatari mimi Kaka zangu hajawahipo kunisaidia hata mia yao lakini nashukuru mungu nimepata kazi natafuta maisha yangu nikuwa nikifanya kazi kwa compuny baade nikatapeliwa nikawa sina hela tena baade nikapata kazi Omani nipo najitafutiya sahivi wananionoleya mwivu kwa roho mbya zao
@frankyunia1809Сағат бұрын
Nataka nimpindue Darkid😅
@user-je8mj8dc7uСағат бұрын
Hio Bibilia yako ni yakizushi sana majini hawakumuita yesu mwana wa mungu ndugu zangu hebu kasomeni wenyenyewe Luka 4:34 [34]akisema, Acha! Tuna nini nawe, Yesu wa Nazareti? Umekuja kutuangamiza? Nakujua u nani, Mtakatifu wa Mungu.'' '' '' '' '' '' 'Kwahalihii kila mkristo atakuwa na bibilia yake
@naimamohamed2216Сағат бұрын
Mtume ,s,a,w, anasema hivi mtu akivaa cheo au akipewa cheo ambacho SI ,stahiki yake ,ipo siku atakivua Kwa mikono yake au Kwa mdomo wake ,sule watu walimuheshimu saaana kumbe la Sasa anavua heshima
@badimakka0016Сағат бұрын
Subhanaa Allah mwisho wa ubaya aibu.wataumbuka wingi
@user-je8mj8dc7uСағат бұрын
Majini yatakaa kanisani na yapo kila siku toka hayatoki
@user-je8mj8dc7uСағат бұрын
Huyu jamaa ni kiherehere mbona asije na BIBILIA zote Bibilia ni uongo uongo uongo
@LukusaFrank-dg1ib2 сағат бұрын
Mwalimu ulikwepa swala lamwandishi,je mapepo wanajuwa siku yaukumu?
@alimohd32 сағат бұрын
Hakukua na kitabu Cha biblia wakati WA yesu
@wycliffew.woduor17483 сағат бұрын
This gentleman (Mwalimu Daniel?) is so clever and coherent. God bless
@bennymochiwa48003 сағат бұрын
We mwalim acha kutuonyesha uzuzu wako nani aliekudanganya Waislam wakienda kuswali hawavai nguo za ndani!!!???
@pisgatv58634 сағат бұрын
Huyu anashirikiana na mashetani
@amirihamisi69137 сағат бұрын
YANI ULIONA WAPI KITABU CHA HESABU NDANI KISIJIZUNGUMZIE CHENYEWE BADALA YAKE KIZUNGUMZIE VITABU VINGINE MAANA HESABU INATAKIWA NDANI YAKE IZUNGUMZIWE HESABU TU NA SI NDANI YAKE KUWE NA SAYANSI, JOGRAFIA, MAARIFA YA JAMII, KISWAILI KUMBE BIBLIA NI JINA TU ILA KITABU CHA BIBLIA HAKUNA ( HAKIPO ). IZO NI KELELE TU
@amirihamisi69137 сағат бұрын
😂😂😂😂😂😂
@SiaNyella7 сағат бұрын
Izo punje ziko wapo jaman maisha magumj
@eslonblack80968 сағат бұрын
Nimekumbuka ile nyimbo ya mbosso milungi mishisha mibange seleman😂😂😂 selemani kawauza waislam
@landmadvdmbeyacity95619 сағат бұрын
Konk mastaa
@raggysingo498310 сағат бұрын
Yanaitwa Limousine sio tour bus😂😂😂
@TembaThomas-wg6iq10 сағат бұрын
maajabu 😂....sheila mwanangu njoo haraka
@user-ze6lx9ng6s11 сағат бұрын
Facts tupu
@pedropedroagira398011 сағат бұрын
Yesu sio muana EA mungu bali ni nabi
@suleimansule511411 сағат бұрын
Hahaha chuma icho jichanganye
@bonifasiemanueli2111 сағат бұрын
Sule anatapata Washehe wenzio wamemkalia kubaya kwa kuaibisha dini ya uislamu
@abuuhafsah963011 сағат бұрын
Na huo mnyoo wa kijahili umekua kama mbwei
@abuuhafsah963011 сағат бұрын
Huyu jamaa nuru imepotea kabisa ..sura imekua kama mla feg..
@ChiristinaMaiko11 сағат бұрын
Kp tunza lulu yako wengi watakipotezea mda jari mwanamke ambae mnatengeneza pesa pamoja kwaushirikiano wadada wa mjini watakupotezea future ya ko
@Jaza-gu4cv12 сағат бұрын
Mambo mrembo umependeza sana❤🎉
@hafidhseif963812 сағат бұрын
Huyo hata Quran kuusoma haijui vizur, hao wanajuana watafutaji hela tu hao
@JoyceMunuo-uc9rt12 сағат бұрын
Kweli hayo
@LeonceMushy12 сағат бұрын
Aleluya nimejifunza
@user-hv4px1dh4l13 сағат бұрын
Waislam ni sikio lakufa halisikii dawa/ni msiba mkubwa😂😂😂😂😂😂
@user-pb3fl7bw4q13 сағат бұрын
Naomba jamani muwafikishie hii abari kuwa wana kawiya sana kuendesha movie ivi nipo hapa nasubiria épisode 10 na 11❤ svp
@Abdul-bq8ic13 сағат бұрын
Acha kuwadanganya watu we sule
@godfreydavid684713 сағат бұрын
Pete ya Dr Sule ni urembo au? Na kwa nini kiarabu ndio kitumike na sio Kiswahili? Na Sura Yusuf, Allah ameishusha Koran kwa Lugha ya Kiarabu
@godfreydavid684713 сағат бұрын
Pete ya Sule
@user-jd3do7ym9w14 сағат бұрын
Nola nakupenda sana
@aliabdallah423314 сағат бұрын
Unajuwa kukitafuta kijio😂😂😂😂
@jaaffarabuu675014 сағат бұрын
Bibilia sio injili acha kupotoa watu
@FredrickNyangweso14 сағат бұрын
Napenda sana mafundisho na mada zako mwalimu Daniel mwakemwa, lakini kuna mada moja au mbili hivi nilitofautiana nawe ili ya kwamba sabato ilibadilishwa lakini nanani hiyo ya kwanza la pili ni ile ya nambari 666 ya ufunuo 13:18.
@allykidundo450814 сағат бұрын
kiukweri nimemsikiliza mwanzo mwisho ata sijamuerewa nini anachokusudia au ametetea nini apo mbona atoi ushaidi juu ya yare alioongea sure..???
@amirihamisi69137 сағат бұрын
YANI ULIONA WAPI KITABU CHA HESABU NDANI KISIJIZUNGUMZIE CHENYEWE BADALA YAKE KIZUNGUMZIE VITABU VINGINE MAANA HESABU INATAKIWA NDANI YAKE IZUNGUMZIWE HESABU TU NA SI NDANI YAKE KUWE NA SAYANSI, JOGRAFIA, MAARIFA YA JAMII, KISWAILI KUMBE BIBLIA NI JINA TU ILA KITABU CHA BIBLIA HAKUNA ( HAKIPO ). IZO NI KELELE TU
@bossej121215 сағат бұрын
😂😂😂 Mwalimu umeniweza. Nimejifunza kitu kuhusu kitovu
@comredmuslimmputa227516 сағат бұрын
Acha uongo mtumishi sisi nani kakwambia hatuvai nguo za ndani?
@bonifasiemanueli2111 сағат бұрын
Kama unavaa wewe unavaa kimakosa Qurani imekataza wakati wA sala
@lototoreali763816 сағат бұрын
Nyota zinamlinda tena
@ahmadmadaai135716 сағат бұрын
Dokta sule umeongea point watu waa zama hz elimu zao ndogo kw hayo nabii sleman nabid ataend moton na ni mshiirikin mbn alikuw akiwatuma kw kheri
@NasraIbrahim-dw1hr17 сағат бұрын
Mashaallah Allah awajalie mudumishe kaz yenu na ndoa isichelewe
Пікірлер
We shall know them
Natafuta comment za waislamu
Hamna kitu hapo, utamjuaje jini nzuri na mbaya nahali yakua hamuonani?
Ndungu yangu pole kwa mitihani uliyopitiya haiba tafauti na yangu shukuru mungu kwa kila kitu kuwa nzima watu sahivi wamebadilisha nafsi hii hatari yarabi mungu wangu
Hatari mimi Kaka zangu hajawahipo kunisaidia hata mia yao lakini nashukuru mungu nimepata kazi natafuta maisha yangu nikuwa nikifanya kazi kwa compuny baade nikatapeliwa nikawa sina hela tena baade nikapata kazi Omani nipo najitafutiya sahivi wananionoleya mwivu kwa roho mbya zao
Nataka nimpindue Darkid😅
Hio Bibilia yako ni yakizushi sana majini hawakumuita yesu mwana wa mungu ndugu zangu hebu kasomeni wenyenyewe Luka 4:34 [34]akisema, Acha! Tuna nini nawe, Yesu wa Nazareti? Umekuja kutuangamiza? Nakujua u nani, Mtakatifu wa Mungu.'' '' '' '' '' '' 'Kwahalihii kila mkristo atakuwa na bibilia yake
Mtume ,s,a,w, anasema hivi mtu akivaa cheo au akipewa cheo ambacho SI ,stahiki yake ,ipo siku atakivua Kwa mikono yake au Kwa mdomo wake ,sule watu walimuheshimu saaana kumbe la Sasa anavua heshima
Subhanaa Allah mwisho wa ubaya aibu.wataumbuka wingi
Majini yatakaa kanisani na yapo kila siku toka hayatoki
Huyu jamaa ni kiherehere mbona asije na BIBILIA zote Bibilia ni uongo uongo uongo
Mwalimu ulikwepa swala lamwandishi,je mapepo wanajuwa siku yaukumu?
Hakukua na kitabu Cha biblia wakati WA yesu
This gentleman (Mwalimu Daniel?) is so clever and coherent. God bless
We mwalim acha kutuonyesha uzuzu wako nani aliekudanganya Waislam wakienda kuswali hawavai nguo za ndani!!!???
Huyu anashirikiana na mashetani
YANI ULIONA WAPI KITABU CHA HESABU NDANI KISIJIZUNGUMZIE CHENYEWE BADALA YAKE KIZUNGUMZIE VITABU VINGINE MAANA HESABU INATAKIWA NDANI YAKE IZUNGUMZIWE HESABU TU NA SI NDANI YAKE KUWE NA SAYANSI, JOGRAFIA, MAARIFA YA JAMII, KISWAILI KUMBE BIBLIA NI JINA TU ILA KITABU CHA BIBLIA HAKUNA ( HAKIPO ). IZO NI KELELE TU
😂😂😂😂😂😂
Izo punje ziko wapo jaman maisha magumj
Nimekumbuka ile nyimbo ya mbosso milungi mishisha mibange seleman😂😂😂 selemani kawauza waislam
Konk mastaa
Yanaitwa Limousine sio tour bus😂😂😂
maajabu 😂....sheila mwanangu njoo haraka
Facts tupu
Yesu sio muana EA mungu bali ni nabi
Hahaha chuma icho jichanganye
Sule anatapata Washehe wenzio wamemkalia kubaya kwa kuaibisha dini ya uislamu
Na huo mnyoo wa kijahili umekua kama mbwei
Huyu jamaa nuru imepotea kabisa ..sura imekua kama mla feg..
Kp tunza lulu yako wengi watakipotezea mda jari mwanamke ambae mnatengeneza pesa pamoja kwaushirikiano wadada wa mjini watakupotezea future ya ko
Mambo mrembo umependeza sana❤🎉
Huyo hata Quran kuusoma haijui vizur, hao wanajuana watafutaji hela tu hao
Kweli hayo
Aleluya nimejifunza
Waislam ni sikio lakufa halisikii dawa/ni msiba mkubwa😂😂😂😂😂😂
Naomba jamani muwafikishie hii abari kuwa wana kawiya sana kuendesha movie ivi nipo hapa nasubiria épisode 10 na 11❤ svp
Acha kuwadanganya watu we sule
Pete ya Dr Sule ni urembo au? Na kwa nini kiarabu ndio kitumike na sio Kiswahili? Na Sura Yusuf, Allah ameishusha Koran kwa Lugha ya Kiarabu
Pete ya Sule
Nola nakupenda sana
Unajuwa kukitafuta kijio😂😂😂😂
Bibilia sio injili acha kupotoa watu
Napenda sana mafundisho na mada zako mwalimu Daniel mwakemwa, lakini kuna mada moja au mbili hivi nilitofautiana nawe ili ya kwamba sabato ilibadilishwa lakini nanani hiyo ya kwanza la pili ni ile ya nambari 666 ya ufunuo 13:18.
kiukweri nimemsikiliza mwanzo mwisho ata sijamuerewa nini anachokusudia au ametetea nini apo mbona atoi ushaidi juu ya yare alioongea sure..???
YANI ULIONA WAPI KITABU CHA HESABU NDANI KISIJIZUNGUMZIE CHENYEWE BADALA YAKE KIZUNGUMZIE VITABU VINGINE MAANA HESABU INATAKIWA NDANI YAKE IZUNGUMZIWE HESABU TU NA SI NDANI YAKE KUWE NA SAYANSI, JOGRAFIA, MAARIFA YA JAMII, KISWAILI KUMBE BIBLIA NI JINA TU ILA KITABU CHA BIBLIA HAKUNA ( HAKIPO ). IZO NI KELELE TU
😂😂😂 Mwalimu umeniweza. Nimejifunza kitu kuhusu kitovu
Acha uongo mtumishi sisi nani kakwambia hatuvai nguo za ndani?
Kama unavaa wewe unavaa kimakosa Qurani imekataza wakati wA sala
Nyota zinamlinda tena
Dokta sule umeongea point watu waa zama hz elimu zao ndogo kw hayo nabii sleman nabid ataend moton na ni mshiirikin mbn alikuw akiwatuma kw kheri
Mashaallah Allah awajalie mudumishe kaz yenu na ndoa isichelewe
Na ww ndo Yule Shay Shay wa last card kweli??