DEBATE KATI YA UST HAMZA ISSA NA WAHADHIRI WA KIISLAM KUHUSU UKOMBOZI WA YESU
CALL 0714750521
Жүктеу.....
Пікірлер: 480
@shafiimpilika414 жыл бұрын
Diwani kazidi kunijaza imani za ALLAH Asante Sana ndg yangu katika imani
@noelamartha75363 жыл бұрын
Roho wa Mungu ndio amekufunulia hayo yote Nabii Hamza kwakweli Mungu ni mzuri sana
@omariedward45396 жыл бұрын
Ahaaa, Kumbe mnajua kabisa kuwa YESU atarudi eeeeeee, Semeni AMEN
@naseemnayiga7032
4 жыл бұрын
Omari Edward kila goti litapigwa, na kila ulimi.....!
@razosashirafu22174 жыл бұрын
ustaadh shafi allah akupe umbri mrefu amiin
@amanahmad16312 жыл бұрын
Shekhe Yusuf mashaallah Allah akuongezee inshaallah na akusimamie
@govinsonlugano92265 жыл бұрын
Dini isipoongozwa na Roho wa Mungu,watu uangamia.Elimu ya Dunia ni sawa!bali isipo saidiwa na Elimu ya Roho alie Maharifa watakuchosha bure ndugu Hamza.kweli umewaambia inatosha.alie namaskio asikie maana Roho wa Mungu amenena ndani mwako. Poleni sana ulimwengu maana nikama mnashabikia Dini.myoyo migumu nakufafanua uongo tu ajili yakuficha uchi wa Dini.mmeongea pherauni wapo ata leo jameni marohoo magumu tu wakati Mungu anawatumia nuru hamuoni.
@masudimwinyi7301
2 жыл бұрын
Hakuna vitu km ivyo wewe mtume Muhammad ndio mtume wa mwisho ktk uislam hatunaga mambo ya roho kumshukia mtu mambo ya roho yapo kwenu nyie
@dicksonmuthee6239
2 жыл бұрын
@@masudimwinyi7301 pole sana Ndugu yangu maana auelewi roho ni Nani je mungu kwako ni Nani?
@simonlukiko28503 жыл бұрын
HA HA HA HA NAMPENDA SANA UYU ILYASA COZ ANA ONGEA KWA FACT OROPOKI AFU YUKO VZR
@vinozamhone11106 жыл бұрын
Huyu mwenyekiti hajui maana yawenyekiti anachoongea sheikh Hamza sijasikia akisema kwamba wakristo hawamuabudu mungu isitoshe mwenyekiti nimtu anaesikiliza hoja kwanza after that ndio unakuja kuwauliza watoa hoja
@mengirashidy-ld3lm
Жыл бұрын
Wewe vinoza ujui kitu
@noelamartha75363 жыл бұрын
Mungu akubariki sana Nabii Hamza
@muhammadyiddy69666 жыл бұрын
Shekh dowani na ust Ibrahim hongereni sana
@leonardkigutu77165 жыл бұрын
Ust Hamza uliona mwanga, lakini umetishwa na kuogopa sana, watakurudisha gizani hao...lakini Yesu hakuanza kupingwa leo, miaka mia tano kabla ya uislam alipingwa...lakini leo Ukristo ndiyo wenye idadi kubwa ya waumini, ili Ukristo uwepo lazima mpinga Kristo awepo, miaka mia tano ni mingi sana.
@jfineisaac62195 жыл бұрын
Asante BWANA YESU kwa kuwa kwako kila goti litapigwa
@thxzbst49cnh805 жыл бұрын
Ndugu Hamza Mungu akubariki sana
@noelamartha75363 жыл бұрын
Nabii Hamza Mungu wako unae mwamini na ulie amua kumtangaza akutetee katika kila hatua zako
@user-qz2yd5wm2m4 жыл бұрын
Mashaa ullah mashekh wetu Allah akuzidishieni Elim muinusuru dini yake?
@ndikumanazabibu81385 жыл бұрын
nawaombeya Dua vidume bya Allaah wanawo ipiganiya dini ya Allaah pepu iwe amaliyawo njema
@dicksonmuthee62392 жыл бұрын
Mungu atamtumia kwa Njia kuu sana kuwakomboa mabaki ya mwenyezi mungu katika uislamu .🙏
@fidelalex29144 жыл бұрын
Wala hakuna wokovu kwa mtu awaye yyte ispo kua Kupitia Yesu kristo
@noellyamuya7774 жыл бұрын
Nimeipenda hii
@beatricezacharia18964 жыл бұрын
Tunamshukuru Mungu kama alivyosema siku ya mwisho yesu atahubiriwa kila kona leo yesu anaibiriwa hadi msikitini
@newjerusalemhosannaministr96742 жыл бұрын
Farao aliishia kwenye dhiki pia hakuishia kwenye amani lakini pia hoja ya kurhan kuwa kitabu kitakachofuatwa na watu wote bado ilikua katikati ya mada , hoja hii mngeiweka mwishoni atakapo kuja kuiongelea upande auislam maana hapo alikua akiongelea ukristo ktk uhislam
@shabanijmrisho4715 Жыл бұрын
Nakupenda shaffi kwa ajili ya ALLAH
@hassanjumamosi74276 жыл бұрын
Wallah nawaapieni ndugu zangu katika imani ya kiislam hawa mabwana pamoja na nabii wao feki wallah dalili iko wazi kua wanampango wakuja kutangaza yesu kua ndio Mungu wallah nawaapieni ipo siku watakuja litamka hilo neno kaeni muifadhi comment yangu Ramadhani Kareem wa swaum Makbul
@barakalukasi7233 жыл бұрын
Iliandikwa kila kinywa kitamkili kua yesu kristo ndio mwokozi wa walimwengu
@jonathanmasu68036 жыл бұрын
Ndugu hamza Issa, ninachoweza kusema kama unachohubiri ni kutoka moyoni na kwa utukufu wa Mungu baba katka Kristo Yesu hakika nakuombea kwa Mungu asikusahau katika ufalme wake. Mimi huwa sipo kidini lkn waislamu kitu kitachowaingiza motoni ni kumkataa ni Yesu Kristo kama masihi au mkombozi wa watu wote.
@jonathanmasu6803
6 жыл бұрын
Abu Ruqayya Bin Swaleh. Kuitwa na mwanadamu kafiri sio issue, ila siku ya mwisho ndo utajua kafiri ni nani!.
@lamecktheonest225
5 жыл бұрын
Jonathan Masu hakika
@zuenaahmad3995
5 жыл бұрын
mwehuweee kunizamotoni weee
@AKASHA.P6 жыл бұрын
NAFATILIA MJADALA HUU NIKIWA MOMBASA KENYA
@agoogleuser1141
6 жыл бұрын
AKASHA DAAWAH upuuzie
@laurianbilagoye1854
3 жыл бұрын
Ok
@rangos47496 жыл бұрын
Ost.Hamza haijarish ya kuwa unamfuata mtume ambye sis wakristo hatumkubari ila ukweli ni kwamba wewe na jopo lako Mungu amewapa akili,mmetambua thaman ya Yesu si kwa akil yenu ila Roho wa Mungu ndye aliyewafunulia mioyon na akilin mwenu, Hoja zenu ziko na NGUVU ambye kwa yeyote aliye na akili atalitambua hilo, kama Yesu alivyotuambia kuwe wale wote wamfuatao yeye wamepewa Akili ya kumjua Yeye katika Kiroho na kimwili, Mungu akubariki na akulinde,Amin.
@dirayaduniageneralviews312
5 жыл бұрын
Ila Giza ni Giza tu kwani yesu unataka kutuambia halikuwa mkristo? Yesu sisi tunaamini ni mtume wa mungu na halikuwa muislam mpaka sasa ni muislaam siyo kafiri mkristo
@mohdkhatib223
2 жыл бұрын
Wakristo mnamfuata Paulo,. Yesu si mkristo
@unknownafrica5568
2 жыл бұрын
Amekuambia yesu akija atautetea uislam anamanisha kua yupo na mana mana bee wote ni wa mmungu mmoja. Masih alikuja Kwa. Vingine sio kwa kubadilisha injili yake hamjamkubali Muhammad saw ndio mmrkatata hata masih mmefata walio badili birthday njili ya kale isa bin mariam ni Muislam safi mpaka mmungu alimtaja ktk quruan na manabee wote ni waislam
@salimrajab8838
2 жыл бұрын
T
@raymondkavumo2921
2 жыл бұрын
Kristo maana yake nini?
@imranihussen5764 Жыл бұрын
Mwenye kiti anatumia mda mwingi kupooza mada..? Kwa kifupi masheihk welio tumwe kwenye huu mdahalo hawata muweza ustadhi Hamza📌
@ibrahimumdogwa68463 жыл бұрын
Leo ndo naona video zako mwaka 2020 hauwez kuisha kabla sjakulaza chini lazma lazma unyongwe
@dasilvajunior30164 жыл бұрын
Naona mbambano ni mkali kweli kweli ,asanteni maustadhi wote 🤗🤗🙏🙏
@saidharoub48242 жыл бұрын
mashekh Allah atakulipen
@salehbwila52492 жыл бұрын
Sheikh hamza Allah ummah akunusuru insha-Allah
@luckymsomba48188 ай бұрын
Nabii Mungu akubariki
@saida50914 жыл бұрын
Sheikh Hamza ametumia dakika 6 tuuuuu sio 7 kama ilivyoonyeshwa na Mwenyekiti.
@barakalukasi7233 жыл бұрын
Shkhe hamza mungu akubaliki
@nassirally30126 жыл бұрын
Mm nakuhusia uache kupotosha uislamu Allah atenda kukuuliza juu ya hicho
@rashidmoche87094 жыл бұрын
Yaani ,Qur'an ipo sawa kabisa na haina makosa yoyote kabisa...Mungu awabariki sana waislam waliosimama kutetea ukweli japokuwa elimu yao pia bado kidogo.
@godlovemlinge22205 жыл бұрын
Hapo ndipo mnapo poteza watu ,hapo hakuba nwenyekiti,,marumbano ya hoja baina ya mwenyekiti na wengine ni dalili tosha kuwa huo sio mdahalo ila ni commitment ya kutaka watu waelewe kitu fulani tu na sio wapime nini kilo sahihi ili wapate jibu kulingana na hoja za kila MTU.
@luckymsomba48188 ай бұрын
Mungu awape macho na masikio ya roho waislam waelewe
@leonardkigutu77165 жыл бұрын
Yesu ni njia kweli na uzima..Njooni kwa Yesu...miaka mia tano ndio unakuja uislam, ulipokuja uislamu ukakopi baadhi ya yaliyomo ndani ya Biblia...ndani ya Qur'an wameelezwa viongozi wa kikristo mpaka ndugu zao,ndugu za Muhammad hakuna hata mmoja aliyetajwa katika Qur'an...Issa(Yesu) katajwa kwa upana sana kuliko Muhammad katika Qur'an....Waislam na Wakristo wametoka katika shina moja...dini ya Ibrahim.
@unknownafrica5568
2 жыл бұрын
Pumbavu ibrahim ni muislam ww umefata makafiri walie ichakachua injili ya mmungu ya kale ibrahim ni baba wa mitume mnajua ikweli isa yesu alisali na aliletwa kwa wana esrael walimkufuru mmungu na mitume wote hata mmoja haijatoka rome au arecani kwa makafir ibrahim ndio ufate alie jenga uislam na kujenga alcaba mbona hakujenga rome yesu hao wayahudiwwalimua ila kwa uwezo wa mmungu alimchukua muhhamad all mtaja hivyo vitabu vyote ni vya mmungu huyohuyo ila katika quruan ndio ilio kua ya mwisho kukamilika mambo yote injili taira na zaburi vyote mana bee ktk quruan na mengine kukamilishwa ndio mana hakuna na bee mwingine alie kuja mana bee toka dunia imenza wako zaidi ya Mia ila walio chaguliw 25 tu na wote mashariki ya kati wMetokea ardhi ya warabu
@yusuphfutte69794 жыл бұрын
Mwenyekiti hauko neutrol: Haya mambo 80% ni ya kiroho so haiwezekani mkajadili kwa urahisi maana hivi vitabu vinafaa kwa wakati wote sio historia. Pia mnakua na questions trick ila sio maswali ya uelewa. ILA MMEJITAHIDI! Siku ifike mseme Mungu kama anasikia ajibu kwa namna ya kila mtu kuelewa maana Mungu anajitetea mwenyewe. Ila Mungu ni mmoja katupa vitabu hivi ila kuvitafakari ndio shida.
@shukurunely73886 жыл бұрын
mbona mwenyekiti anachonga sana,alafu kaegemea upande mmoja,
@allyfutto87636 жыл бұрын
Mungu nu mkubwa nathani Ust Hamza aendelee kulingania Uislamu makanisani sababu anafundisha kitu cha maana kwamba Yesu au Isa bin Mariam ni muislam ili kuwanusuru wasife vibudu itafika wakati kitaeleweka maana anazunguka na nia ni kuwashahadisha waisilam wanao mkubali Yesu ila mzunguko au maarifa yake ndio yana mtafaruku maana KUMCHINJA KOBE NI TIMING.
@divamrembo87884 жыл бұрын
Haji Mbaga uko vzr sana
@shukurunely73886 жыл бұрын
mr hamza hana msaidizi, mwenyekiti na muwadhiri wake wanamchangia mr hamza,wamepanga kudondosha kwa no kaurt!!!
mbona mwenyekiti anauliza maswali na wakati yeye hausiki?
@belgieboys9867
6 жыл бұрын
Shukuru Nely hukumuona hata spika yeye huuliza maswali Mkiristo utasema naye kwa mifano hafahamu. Wala haoni wala hasikii Mfano mdogo bunge la ndugai
@frankanold98035 жыл бұрын
Ustadhi hamza umewararua na kuwatandika vibaya sana hao masheikh,mwenyekiti amependelea upande wa Kina shafi lakini bado umethibitisha kwamba umewazidi hoja tena mchana kweupe,huyo sheikh diwani alikutukana kuwa wewe Ni mpumbavu lakini nashangaa hapo kwenye mdahalo amekuwa dhaifu kama kuku mwenye mdondo
@salimonelasamyleeoficial4362 жыл бұрын
Sheikh Diwani na Sheikh Shaffi Nawapenda sana
@janekwahada5805 жыл бұрын
Hawa si wakirisoto ni lsalamic wote na wanajandili YESU Christo ni kija katika Bible Mungu anatumia vitu vya upusi kutenda Jambo. Nashukuru YESU Christo mahana yele aliyosema yanatendeka. My brother mutakuwa watu wakuhumbiri maneno YESU ndiyo hivyo utembelia watu kuwa badilisha mtu na jina la YESU Christo lipewe sifa
@fimbolwanzo98412 жыл бұрын
Nawaza Watu hawana upendo njo inatutsaganyaka mungu nimumonja nakitu yamaana niupendo amza iko nafaa vizuri sana kuwa onesha kweli
@bestRasta-4 күн бұрын
Amen yesu mkubwa
@ombenjeremiah37246 жыл бұрын
mwenyekiti gani huyu asiyejitambua??? khaaaah anaboaaa...mikelele miiiingiii, eti mwanazuoni wa kiislam,mmmmmh, halafu halijui kitu kabisaaa......!
@allyminasi7256
6 жыл бұрын
Omben Jeremiah toka hapa kafir we
@kigomanocpro5553
5 жыл бұрын
Wew unamzidi elimu mwenyekiti
@dasilvajunior3016
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@fidhatihassan37636 жыл бұрын
Asalam aleykum warahmatullah wabarakatuh nawashukuru sanaa mashekhe wetu mlio shiriki katika mkotano huo na nina IMANI mmetekeleza wajibu wenu vile ambavo Allah amewajaalia Allah anasema ukiona jambo baya liondoe kwa mkonowako ukishindwa kemea na ukishindwa basi chukia kutoka moyoni kukaa KIMYA ni UDHAIFU wa IMANI
@barakaharony4396 Жыл бұрын
Shehe amza umewahubilia habar za YESU wamezikataa Sasa wasubili adhabu zake maana wanapindisha maneno YESU Yu kalibu kuja wao wnakubali halafu wnakataa na kusema atakuja kukanusha duuu Hawa wamepotea waludi Kwa kristo
@barakaharony4396 Жыл бұрын
Hapo waislamu wanatumia majini kumbishia huyo Hamza si kingine daaa YESU ni MUNGU na ataludi Kwa ajili ya hao
@tumahalifa73516 жыл бұрын
Hamza kaa kwanza uisome vizuri Quraan ndio utowe mawaidha, usiingie tu kichwa kichwa
@sebastiansalamba82366 жыл бұрын
Mwenyekiti ni kilaza toka
@meisme7540
5 жыл бұрын
Humfikii hata chembe
@shabanmgonella99026 жыл бұрын
mwenyekitu ni mngese kweli kaagemea kwa sheikh diwani achana ungese ww hamza kawachoma ukwl
@allyminasi7256
6 жыл бұрын
Shaban Mgonella we kuma mwenyekiti kakufanya nn kila kitu mwenyekiti msenge wewe
@shukurunely73886 жыл бұрын
mm naona kama hapo mnabishana nasio kufundisha kama vipi fungasheni mkapumzike makwenu
@noelamartha75363 жыл бұрын
Siku zote unaambiwa Nabii hana heshima kwao so Nabii Hamza usikate tamaa Mungu atakuvusha
@hemedmasoud93064 жыл бұрын
Shekh nakupenda San umbo lako kama mpiganaji Mashalla Allah akufanye uwe Askar wake.muelimishe uyo kafir Hamza kwasis waislam tunamuona kama ameritan dini.nangeekuw kweny nchi zinazo ongozwa kiislam.asingekuwepo kweny huu mgongo wa ardh.
@goldmansun58596 жыл бұрын
HII SIYO DEBATE ,DEBATE YA KUMCHANGIA MTU,HIYO SIYO DEBATE
@nabcde154 ай бұрын
Jibu lamwisho nihatari usipofikilia vizuli na ulichuje huwezi kulielewa. Jamaa wa kunwa maji nyuma alisikia kama wakuendesha mada anataka kupindisha jibu akabaki kama... "What's going on😨?" 😁
@husseindesign63112 жыл бұрын
Allah akuingezee sana shekh huyo sio muislam
@salmaothman1536 жыл бұрын
inalilah wainalilah lajium halafu unacheka
@barakaharony4396 Жыл бұрын
Hamza uko sahihi sisi Allah hatumjui tunamjua MUNGU aliye mkabidhi mamlaka mbinguni na duniani Yesu kristo 🙏
@allyjuma89254 жыл бұрын
kashapata kujulikana huyo kwenye mitandao ndicho alicho kitaka tuuu
@mkushplatnam15955 жыл бұрын
nlicho gundua, kuna wanaoenda kimwili na kunawanaoenda kiroho apo et hakirudi ysu nikama mtu wakawaida tu kuzaliwa kwake tu siyo kawaida kukua kwake, siyo kawaida, kuondoka kwake siyo kawaida, nakurudi kwake ni ivyoivyo sibora sisi tunamsubir jeninyi mnamsubiri nani?
@deuspascal9782 жыл бұрын
Masheikh wanabishana kana kwamba nabii isaya anahubiri dini ya ukristo ilihali yeye hayupo huko kabisa bali Kristo Yesu. Nabii anapigania Kweli ya Kristo Yesu na wala sio dini ya ukristo maana kwanza hicho kitu hakipo
@cizarmilan18376 жыл бұрын
Ivi kumbe huku kuna maulamaa walobobea kweli kweli
@bahatihadijabahati74565 жыл бұрын
Sheikh Yusuf mashaa Allah
@justusmbithi53652 жыл бұрын
There's No Way ,Islam and Christianity will Go together. Those are two different ideologies with Different Foundations
@luckymsomba4818
8 ай бұрын
we can go togather. ukweli hushinda hizi tofauti zimetengenezwa na wanadamu
@sharonpendo57086 жыл бұрын
Swali yesu na Muhammad nani aliye wahi ishi baada yamwenzake?
@shukurunely73886 жыл бұрын
nakukubali techer wangu
@HBI-TV11 ай бұрын
Jina la BWANA libarikiwe sana HALELUYA
@marigamuraya44493 жыл бұрын
Napenda hili mada
@unknownafrica55682 жыл бұрын
Isa hajajenga kanisa za kuimba imba isa ni muislam hajatokea marecani Paulo ndio alie jenga kanisa na hakuna ukristo ukristo umekuja bada yake
@aloycesimon13714 жыл бұрын
Naona Jahazi limezama kwa Diwani imebidi kumleta shaffi nae kaja hakuna kitu
@mrishosalum7995 жыл бұрын
Huyo nikafiri tu hata amtaje vp Allah labda abadilishe hayo maneno yake yakipumbavu
@jonasyohana3258
4 жыл бұрын
Kafir n ww mrisho fala
@kubyjuma48435 жыл бұрын
Mwenyekit me ndy ananifuraisha tuuu me naic angeweka waz tuu apa amna mwenyekiti
@hemedmasoud93064 жыл бұрын
Safi San Shekh. Huyu Hamza twendenae hiv hiv mpaka ilo jini shetwan litamwachia huyo mchungaji Hamza.kichwan kwake uyo Hamza yey lengo lake anataka kwamba tumumkubalie kwamba yey ni nabii sasakakuta waislam sio wajinga tumesoma tunaelewa yey aende uko kanisa akawaambie yey ni nabii watamuelewa.
@andrewmisonge37816 жыл бұрын
Mwenyekiti hafai anaegemea upande mmoja.
@theoben8871
4 жыл бұрын
Hakuna mwenyekiti hapo
@ndikumanazabibu81385 жыл бұрын
nawewe nawenziyo umewo wapoteza Allaah awarudishe katika Nur yake Amiiiin
@ufufuowarohonitv59006 жыл бұрын
Kweli shehe muongo hamza upo sahihi neno moja tusubiri siku ya mwisho itafahamika
@benjathekingofficialshows2 жыл бұрын
Yesu akutangulie sheikh hamza Issa maana ukweli humweka mtu huru sio ivyo vitisho vya mwanzo tu hata mjadala haujaanza duh waislamu jamani , Yesu tuokoe
@charleskuyeko44004 жыл бұрын
Shekhe Diwani anapotosha. Shelkhe Hamza alikuwa sahihi. Diwani anatafsiri anavyotaka yeye Bali Hamza anatafsri Kama ilivyoandikwa.
@romanusfikiri3194
4 жыл бұрын
Na uyo mwenyekiti hamna ktu hapo.ila waislamu wanachekesha et mohammed anasema yeye ni bora zaidi kuliko yesu.yan mtu alieoa katoto ka miaka 9 awe sawa na mtu alifanya miujiza yote ile
@amourmtungo6234 жыл бұрын
Msisahau kuwa everybody will carry his own burden. Kila mtu atachukua mzigo wake mwenyewe. Nafsi haitahukumiwa kwa dhambi za dunia nzima bali ni dhambi alizotenda yeye mwenyewe.
@hemedmasoud93064 жыл бұрын
Nyinyi njoon nauku Somalia. Mje mtuletee iyo Qur'an yenye mnayoisoma kimyume nyume.alafu mtuletee hoja zenu za ajabu kuwa hamza katabiliwa kwenye kitabu gan mkishindwa mjue kulud kwenu tz itakuwa nindoto.
@dasilvajunior3016
4 жыл бұрын
😂😂😂
@frankanold98035 жыл бұрын
Hamza unajua kuwazidi hao masheikh wotee ndo maana presentation yako imejaa hoja za kisomi na maswali mazito kwa huyo diwani,yaani ilibidi watafutwe masheikh wengine wenye elimu kubwa upambane nao na mwenyekiti awekwe mwingine hapo mdahalo ungekuwa mzuri Sana,umewatandika vibaya mno kwa hoja masheikh wote na mwenyekiti wao,umeshinda mdahalo japo mwenyekiti alipendelea upande mmoja
@unknownafrica5568
2 жыл бұрын
Hamza kasema atakuja yesu na yesu ni muislam ww atakuruka kwani hao wote ni w mmungu mungu hana dini mbili ndio isa atakuja kwenu kila siku mana bee makanisani mnawamini waislam hawataki mtu kujita na bee kwani wanajua na bee hakuna zaidi ya walio pita ambao mmungu aliwaleta yy mwenye na kuwachagua sio lijinga litoke liseme mm nabee mnalikubali
@festokiraryo.61075 жыл бұрын
Wafundishe hao wehu
@jacksonshem47875 жыл бұрын
yesu ndo kila kitu tunashukuru mmeanza kuja wenyew karbun kanisan
@adamnguvu10206 жыл бұрын
Huyu jamaa ni kweli jahiri ila kuna baadh ya aya yuko sahihi maisha ya dhki hayako kabrini mashekh maisha ya dhki yalozungumzwa hpo ni Ya duniani
@frankanold9803
5 жыл бұрын
Kwa hiyo masheikh Ni makafiri
@mohamedmasoud6517
5 жыл бұрын
So mtume s.a.w kakosea? Wakat kasema mtume na katafsir mwenyewe? FIHI MASHAKIL LAKA
Пікірлер: 480
Diwani kazidi kunijaza imani za ALLAH Asante Sana ndg yangu katika imani
Roho wa Mungu ndio amekufunulia hayo yote Nabii Hamza kwakweli Mungu ni mzuri sana
Ahaaa, Kumbe mnajua kabisa kuwa YESU atarudi eeeeeee, Semeni AMEN
@naseemnayiga7032
4 жыл бұрын
Omari Edward kila goti litapigwa, na kila ulimi.....!
ustaadh shafi allah akupe umbri mrefu amiin
Shekhe Yusuf mashaallah Allah akuongezee inshaallah na akusimamie
Dini isipoongozwa na Roho wa Mungu,watu uangamia.Elimu ya Dunia ni sawa!bali isipo saidiwa na Elimu ya Roho alie Maharifa watakuchosha bure ndugu Hamza.kweli umewaambia inatosha.alie namaskio asikie maana Roho wa Mungu amenena ndani mwako. Poleni sana ulimwengu maana nikama mnashabikia Dini.myoyo migumu nakufafanua uongo tu ajili yakuficha uchi wa Dini.mmeongea pherauni wapo ata leo jameni marohoo magumu tu wakati Mungu anawatumia nuru hamuoni.
@masudimwinyi7301
2 жыл бұрын
Hakuna vitu km ivyo wewe mtume Muhammad ndio mtume wa mwisho ktk uislam hatunaga mambo ya roho kumshukia mtu mambo ya roho yapo kwenu nyie
@dicksonmuthee6239
2 жыл бұрын
@@masudimwinyi7301 pole sana Ndugu yangu maana auelewi roho ni Nani je mungu kwako ni Nani?
HA HA HA HA NAMPENDA SANA UYU ILYASA COZ ANA ONGEA KWA FACT OROPOKI AFU YUKO VZR
Huyu mwenyekiti hajui maana yawenyekiti anachoongea sheikh Hamza sijasikia akisema kwamba wakristo hawamuabudu mungu isitoshe mwenyekiti nimtu anaesikiliza hoja kwanza after that ndio unakuja kuwauliza watoa hoja
@mengirashidy-ld3lm
Жыл бұрын
Wewe vinoza ujui kitu
Mungu akubariki sana Nabii Hamza
Shekh dowani na ust Ibrahim hongereni sana
Ust Hamza uliona mwanga, lakini umetishwa na kuogopa sana, watakurudisha gizani hao...lakini Yesu hakuanza kupingwa leo, miaka mia tano kabla ya uislam alipingwa...lakini leo Ukristo ndiyo wenye idadi kubwa ya waumini, ili Ukristo uwepo lazima mpinga Kristo awepo, miaka mia tano ni mingi sana.
Asante BWANA YESU kwa kuwa kwako kila goti litapigwa
Ndugu Hamza Mungu akubariki sana
Nabii Hamza Mungu wako unae mwamini na ulie amua kumtangaza akutetee katika kila hatua zako
Mashaa ullah mashekh wetu Allah akuzidishieni Elim muinusuru dini yake?
nawaombeya Dua vidume bya Allaah wanawo ipiganiya dini ya Allaah pepu iwe amaliyawo njema
Mungu atamtumia kwa Njia kuu sana kuwakomboa mabaki ya mwenyezi mungu katika uislamu .🙏
Wala hakuna wokovu kwa mtu awaye yyte ispo kua Kupitia Yesu kristo
Nimeipenda hii
Tunamshukuru Mungu kama alivyosema siku ya mwisho yesu atahubiriwa kila kona leo yesu anaibiriwa hadi msikitini
Farao aliishia kwenye dhiki pia hakuishia kwenye amani lakini pia hoja ya kurhan kuwa kitabu kitakachofuatwa na watu wote bado ilikua katikati ya mada , hoja hii mngeiweka mwishoni atakapo kuja kuiongelea upande auislam maana hapo alikua akiongelea ukristo ktk uhislam
Nakupenda shaffi kwa ajili ya ALLAH
Wallah nawaapieni ndugu zangu katika imani ya kiislam hawa mabwana pamoja na nabii wao feki wallah dalili iko wazi kua wanampango wakuja kutangaza yesu kua ndio Mungu wallah nawaapieni ipo siku watakuja litamka hilo neno kaeni muifadhi comment yangu Ramadhani Kareem wa swaum Makbul
Iliandikwa kila kinywa kitamkili kua yesu kristo ndio mwokozi wa walimwengu
Ndugu hamza Issa, ninachoweza kusema kama unachohubiri ni kutoka moyoni na kwa utukufu wa Mungu baba katka Kristo Yesu hakika nakuombea kwa Mungu asikusahau katika ufalme wake. Mimi huwa sipo kidini lkn waislamu kitu kitachowaingiza motoni ni kumkataa ni Yesu Kristo kama masihi au mkombozi wa watu wote.
@jonathanmasu6803
6 жыл бұрын
Abu Ruqayya Bin Swaleh. Kuitwa na mwanadamu kafiri sio issue, ila siku ya mwisho ndo utajua kafiri ni nani!.
@lamecktheonest225
5 жыл бұрын
Jonathan Masu hakika
@zuenaahmad3995
5 жыл бұрын
mwehuweee kunizamotoni weee
NAFATILIA MJADALA HUU NIKIWA MOMBASA KENYA
@agoogleuser1141
6 жыл бұрын
AKASHA DAAWAH upuuzie
@laurianbilagoye1854
3 жыл бұрын
Ok
Ost.Hamza haijarish ya kuwa unamfuata mtume ambye sis wakristo hatumkubari ila ukweli ni kwamba wewe na jopo lako Mungu amewapa akili,mmetambua thaman ya Yesu si kwa akil yenu ila Roho wa Mungu ndye aliyewafunulia mioyon na akilin mwenu, Hoja zenu ziko na NGUVU ambye kwa yeyote aliye na akili atalitambua hilo, kama Yesu alivyotuambia kuwe wale wote wamfuatao yeye wamepewa Akili ya kumjua Yeye katika Kiroho na kimwili, Mungu akubariki na akulinde,Amin.
@dirayaduniageneralviews312
5 жыл бұрын
Ila Giza ni Giza tu kwani yesu unataka kutuambia halikuwa mkristo? Yesu sisi tunaamini ni mtume wa mungu na halikuwa muislam mpaka sasa ni muislaam siyo kafiri mkristo
@mohdkhatib223
2 жыл бұрын
Wakristo mnamfuata Paulo,. Yesu si mkristo
@unknownafrica5568
2 жыл бұрын
Amekuambia yesu akija atautetea uislam anamanisha kua yupo na mana mana bee wote ni wa mmungu mmoja. Masih alikuja Kwa. Vingine sio kwa kubadilisha injili yake hamjamkubali Muhammad saw ndio mmrkatata hata masih mmefata walio badili birthday njili ya kale isa bin mariam ni Muislam safi mpaka mmungu alimtaja ktk quruan na manabee wote ni waislam
@salimrajab8838
2 жыл бұрын
T
@raymondkavumo2921
2 жыл бұрын
Kristo maana yake nini?
Mwenye kiti anatumia mda mwingi kupooza mada..? Kwa kifupi masheihk welio tumwe kwenye huu mdahalo hawata muweza ustadhi Hamza📌
Leo ndo naona video zako mwaka 2020 hauwez kuisha kabla sjakulaza chini lazma lazma unyongwe
Naona mbambano ni mkali kweli kweli ,asanteni maustadhi wote 🤗🤗🙏🙏
mashekh Allah atakulipen
Sheikh hamza Allah ummah akunusuru insha-Allah
Nabii Mungu akubariki
Sheikh Hamza ametumia dakika 6 tuuuuu sio 7 kama ilivyoonyeshwa na Mwenyekiti.
Shkhe hamza mungu akubaliki
Mm nakuhusia uache kupotosha uislamu Allah atenda kukuuliza juu ya hicho
Yaani ,Qur'an ipo sawa kabisa na haina makosa yoyote kabisa...Mungu awabariki sana waislam waliosimama kutetea ukweli japokuwa elimu yao pia bado kidogo.
Hapo ndipo mnapo poteza watu ,hapo hakuba nwenyekiti,,marumbano ya hoja baina ya mwenyekiti na wengine ni dalili tosha kuwa huo sio mdahalo ila ni commitment ya kutaka watu waelewe kitu fulani tu na sio wapime nini kilo sahihi ili wapate jibu kulingana na hoja za kila MTU.
Mungu awape macho na masikio ya roho waislam waelewe
Yesu ni njia kweli na uzima..Njooni kwa Yesu...miaka mia tano ndio unakuja uislam, ulipokuja uislamu ukakopi baadhi ya yaliyomo ndani ya Biblia...ndani ya Qur'an wameelezwa viongozi wa kikristo mpaka ndugu zao,ndugu za Muhammad hakuna hata mmoja aliyetajwa katika Qur'an...Issa(Yesu) katajwa kwa upana sana kuliko Muhammad katika Qur'an....Waislam na Wakristo wametoka katika shina moja...dini ya Ibrahim.
@unknownafrica5568
2 жыл бұрын
Pumbavu ibrahim ni muislam ww umefata makafiri walie ichakachua injili ya mmungu ya kale ibrahim ni baba wa mitume mnajua ikweli isa yesu alisali na aliletwa kwa wana esrael walimkufuru mmungu na mitume wote hata mmoja haijatoka rome au arecani kwa makafir ibrahim ndio ufate alie jenga uislam na kujenga alcaba mbona hakujenga rome yesu hao wayahudiwwalimua ila kwa uwezo wa mmungu alimchukua muhhamad all mtaja hivyo vitabu vyote ni vya mmungu huyohuyo ila katika quruan ndio ilio kua ya mwisho kukamilika mambo yote injili taira na zaburi vyote mana bee ktk quruan na mengine kukamilishwa ndio mana hakuna na bee mwingine alie kuja mana bee toka dunia imenza wako zaidi ya Mia ila walio chaguliw 25 tu na wote mashariki ya kati wMetokea ardhi ya warabu
Mwenyekiti hauko neutrol: Haya mambo 80% ni ya kiroho so haiwezekani mkajadili kwa urahisi maana hivi vitabu vinafaa kwa wakati wote sio historia. Pia mnakua na questions trick ila sio maswali ya uelewa. ILA MMEJITAHIDI! Siku ifike mseme Mungu kama anasikia ajibu kwa namna ya kila mtu kuelewa maana Mungu anajitetea mwenyewe. Ila Mungu ni mmoja katupa vitabu hivi ila kuvitafakari ndio shida.
mbona mwenyekiti anachonga sana,alafu kaegemea upande mmoja,
Mungu nu mkubwa nathani Ust Hamza aendelee kulingania Uislamu makanisani sababu anafundisha kitu cha maana kwamba Yesu au Isa bin Mariam ni muislam ili kuwanusuru wasife vibudu itafika wakati kitaeleweka maana anazunguka na nia ni kuwashahadisha waisilam wanao mkubali Yesu ila mzunguko au maarifa yake ndio yana mtafaruku maana KUMCHINJA KOBE NI TIMING.
Haji Mbaga uko vzr sana
mr hamza hana msaidizi, mwenyekiti na muwadhiri wake wanamchangia mr hamza,wamepanga kudondosha kwa no kaurt!!!
@naseemnayiga7032
Жыл бұрын
Ukweli hauhitaji kusaidiwa kwani unajitosheleza wnyewe
mbona mwenyekiti anauliza maswali na wakati yeye hausiki?
@belgieboys9867
6 жыл бұрын
Shukuru Nely hukumuona hata spika yeye huuliza maswali Mkiristo utasema naye kwa mifano hafahamu. Wala haoni wala hasikii Mfano mdogo bunge la ndugai
Ustadhi hamza umewararua na kuwatandika vibaya sana hao masheikh,mwenyekiti amependelea upande wa Kina shafi lakini bado umethibitisha kwamba umewazidi hoja tena mchana kweupe,huyo sheikh diwani alikutukana kuwa wewe Ni mpumbavu lakini nashangaa hapo kwenye mdahalo amekuwa dhaifu kama kuku mwenye mdondo
Sheikh Diwani na Sheikh Shaffi Nawapenda sana
Hawa si wakirisoto ni lsalamic wote na wanajandili YESU Christo ni kija katika Bible Mungu anatumia vitu vya upusi kutenda Jambo. Nashukuru YESU Christo mahana yele aliyosema yanatendeka. My brother mutakuwa watu wakuhumbiri maneno YESU ndiyo hivyo utembelia watu kuwa badilisha mtu na jina la YESU Christo lipewe sifa
Nawaza Watu hawana upendo njo inatutsaganyaka mungu nimumonja nakitu yamaana niupendo amza iko nafaa vizuri sana kuwa onesha kweli
Amen yesu mkubwa
mwenyekiti gani huyu asiyejitambua??? khaaaah anaboaaa...mikelele miiiingiii, eti mwanazuoni wa kiislam,mmmmmh, halafu halijui kitu kabisaaa......!
@allyminasi7256
6 жыл бұрын
Omben Jeremiah toka hapa kafir we
@kigomanocpro5553
5 жыл бұрын
Wew unamzidi elimu mwenyekiti
@dasilvajunior3016
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Asalam aleykum warahmatullah wabarakatuh nawashukuru sanaa mashekhe wetu mlio shiriki katika mkotano huo na nina IMANI mmetekeleza wajibu wenu vile ambavo Allah amewajaalia Allah anasema ukiona jambo baya liondoe kwa mkonowako ukishindwa kemea na ukishindwa basi chukia kutoka moyoni kukaa KIMYA ni UDHAIFU wa IMANI
Shehe amza umewahubilia habar za YESU wamezikataa Sasa wasubili adhabu zake maana wanapindisha maneno YESU Yu kalibu kuja wao wnakubali halafu wnakataa na kusema atakuja kukanusha duuu Hawa wamepotea waludi Kwa kristo
Hapo waislamu wanatumia majini kumbishia huyo Hamza si kingine daaa YESU ni MUNGU na ataludi Kwa ajili ya hao
Hamza kaa kwanza uisome vizuri Quraan ndio utowe mawaidha, usiingie tu kichwa kichwa
Mwenyekiti ni kilaza toka
@meisme7540
5 жыл бұрын
Humfikii hata chembe
mwenyekitu ni mngese kweli kaagemea kwa sheikh diwani achana ungese ww hamza kawachoma ukwl
@allyminasi7256
6 жыл бұрын
Shaban Mgonella we kuma mwenyekiti kakufanya nn kila kitu mwenyekiti msenge wewe
mm naona kama hapo mnabishana nasio kufundisha kama vipi fungasheni mkapumzike makwenu
Siku zote unaambiwa Nabii hana heshima kwao so Nabii Hamza usikate tamaa Mungu atakuvusha
Shekh nakupenda San umbo lako kama mpiganaji Mashalla Allah akufanye uwe Askar wake.muelimishe uyo kafir Hamza kwasis waislam tunamuona kama ameritan dini.nangeekuw kweny nchi zinazo ongozwa kiislam.asingekuwepo kweny huu mgongo wa ardh.
HII SIYO DEBATE ,DEBATE YA KUMCHANGIA MTU,HIYO SIYO DEBATE
Jibu lamwisho nihatari usipofikilia vizuli na ulichuje huwezi kulielewa. Jamaa wa kunwa maji nyuma alisikia kama wakuendesha mada anataka kupindisha jibu akabaki kama... "What's going on😨?" 😁
Allah akuingezee sana shekh huyo sio muislam
inalilah wainalilah lajium halafu unacheka
Hamza uko sahihi sisi Allah hatumjui tunamjua MUNGU aliye mkabidhi mamlaka mbinguni na duniani Yesu kristo 🙏
kashapata kujulikana huyo kwenye mitandao ndicho alicho kitaka tuuu
nlicho gundua, kuna wanaoenda kimwili na kunawanaoenda kiroho apo et hakirudi ysu nikama mtu wakawaida tu kuzaliwa kwake tu siyo kawaida kukua kwake, siyo kawaida, kuondoka kwake siyo kawaida, nakurudi kwake ni ivyoivyo sibora sisi tunamsubir jeninyi mnamsubiri nani?
Masheikh wanabishana kana kwamba nabii isaya anahubiri dini ya ukristo ilihali yeye hayupo huko kabisa bali Kristo Yesu. Nabii anapigania Kweli ya Kristo Yesu na wala sio dini ya ukristo maana kwanza hicho kitu hakipo
Ivi kumbe huku kuna maulamaa walobobea kweli kweli
Sheikh Yusuf mashaa Allah
There's No Way ,Islam and Christianity will Go together. Those are two different ideologies with Different Foundations
@luckymsomba4818
8 ай бұрын
we can go togather. ukweli hushinda hizi tofauti zimetengenezwa na wanadamu
Swali yesu na Muhammad nani aliye wahi ishi baada yamwenzake?
nakukubali techer wangu
Jina la BWANA libarikiwe sana HALELUYA
Napenda hili mada
Isa hajajenga kanisa za kuimba imba isa ni muislam hajatokea marecani Paulo ndio alie jenga kanisa na hakuna ukristo ukristo umekuja bada yake
Naona Jahazi limezama kwa Diwani imebidi kumleta shaffi nae kaja hakuna kitu
Huyo nikafiri tu hata amtaje vp Allah labda abadilishe hayo maneno yake yakipumbavu
@jonasyohana3258
4 жыл бұрын
Kafir n ww mrisho fala
Mwenyekit me ndy ananifuraisha tuuu me naic angeweka waz tuu apa amna mwenyekiti
Safi San Shekh. Huyu Hamza twendenae hiv hiv mpaka ilo jini shetwan litamwachia huyo mchungaji Hamza.kichwan kwake uyo Hamza yey lengo lake anataka kwamba tumumkubalie kwamba yey ni nabii sasakakuta waislam sio wajinga tumesoma tunaelewa yey aende uko kanisa akawaambie yey ni nabii watamuelewa.
Mwenyekiti hafai anaegemea upande mmoja.
@theoben8871
4 жыл бұрын
Hakuna mwenyekiti hapo
nawewe nawenziyo umewo wapoteza Allaah awarudishe katika Nur yake Amiiiin
Kweli shehe muongo hamza upo sahihi neno moja tusubiri siku ya mwisho itafahamika
Yesu akutangulie sheikh hamza Issa maana ukweli humweka mtu huru sio ivyo vitisho vya mwanzo tu hata mjadala haujaanza duh waislamu jamani , Yesu tuokoe
Shekhe Diwani anapotosha. Shelkhe Hamza alikuwa sahihi. Diwani anatafsiri anavyotaka yeye Bali Hamza anatafsri Kama ilivyoandikwa.
@romanusfikiri3194
4 жыл бұрын
Na uyo mwenyekiti hamna ktu hapo.ila waislamu wanachekesha et mohammed anasema yeye ni bora zaidi kuliko yesu.yan mtu alieoa katoto ka miaka 9 awe sawa na mtu alifanya miujiza yote ile
Msisahau kuwa everybody will carry his own burden. Kila mtu atachukua mzigo wake mwenyewe. Nafsi haitahukumiwa kwa dhambi za dunia nzima bali ni dhambi alizotenda yeye mwenyewe.
Nyinyi njoon nauku Somalia. Mje mtuletee iyo Qur'an yenye mnayoisoma kimyume nyume.alafu mtuletee hoja zenu za ajabu kuwa hamza katabiliwa kwenye kitabu gan mkishindwa mjue kulud kwenu tz itakuwa nindoto.
@dasilvajunior3016
4 жыл бұрын
😂😂😂
Hamza unajua kuwazidi hao masheikh wotee ndo maana presentation yako imejaa hoja za kisomi na maswali mazito kwa huyo diwani,yaani ilibidi watafutwe masheikh wengine wenye elimu kubwa upambane nao na mwenyekiti awekwe mwingine hapo mdahalo ungekuwa mzuri Sana,umewatandika vibaya mno kwa hoja masheikh wote na mwenyekiti wao,umeshinda mdahalo japo mwenyekiti alipendelea upande mmoja
@unknownafrica5568
2 жыл бұрын
Hamza kasema atakuja yesu na yesu ni muislam ww atakuruka kwani hao wote ni w mmungu mungu hana dini mbili ndio isa atakuja kwenu kila siku mana bee makanisani mnawamini waislam hawataki mtu kujita na bee kwani wanajua na bee hakuna zaidi ya walio pita ambao mmungu aliwaleta yy mwenye na kuwachagua sio lijinga litoke liseme mm nabee mnalikubali
Wafundishe hao wehu
yesu ndo kila kitu tunashukuru mmeanza kuja wenyew karbun kanisan
Huyu jamaa ni kweli jahiri ila kuna baadh ya aya yuko sahihi maisha ya dhki hayako kabrini mashekh maisha ya dhki yalozungumzwa hpo ni Ya duniani
@frankanold9803
5 жыл бұрын
Kwa hiyo masheikh Ni makafiri
@mohamedmasoud6517
5 жыл бұрын
So mtume s.a.w kakosea? Wakat kasema mtume na katafsir mwenyewe? FIHI MASHAKIL LAKA
@hamidahamida1473
4 жыл бұрын
Dhikii.siyoya.duniani.duniani.unaweza.kuhama.kwenda.kwinvine.kutafuta..maisha..kabrini.utaenda.wapi
I don't care 🤷🏼♀️ Bible or coran I care about JESUS CHRIST In the Bible and coran 🤗 victory belongs to Christ 🙌🙌🙌🙏
@rangos4749
6 жыл бұрын
Cupcakes and dounuts yeeeeeeh!!
@alhaddajmohammed4768
4 жыл бұрын
Which is which....! Na wala Yesu hajaleta Ukristo wala Biblia.
@jenifajulius7814
4 жыл бұрын
Ameni ubarikiwe sana namungu akutie nguvu
@jenifajulius7814
4 жыл бұрын
@@alhaddajmohammed4768 mungu akutie nguvu baba maana unaelewa
Mnajadiliana waislamu kwa waislamu wakristo mmetukazania kutuongelea tunawahusu nini?
@lailanurdin3928
6 жыл бұрын
Na wewe aliyekuambia ufuatilie huu mjadala ni nani?
Hii ni mojawapo ya dalili za kiyama jamani, hakuna nn wala nn Mungu atusaidie In Sha Allah
@moricemwebeya8669
4 жыл бұрын
Mashekhe Zimeni camera mmezidiwa
Yusuf diwani anapotosha
Mkumbusheni Hamza aya inayosema hawakumuua wala hakumsulubisha bali wamefananishiwa atafahamishe na hiyo aya
@hamzaathuman9703
4 жыл бұрын
Abdalla Nassor aya gani hy??? Itaje aya hiyo. Na km ipo basi Qur'an yajipinga
Mwenyekiti muonevu sana
Una ushabiki xnaaa .baada ya kusimamiya kikao
Huyu Hamza anaonesha kuidharau quran ndo mana ukimwangalia utamwona kila aya ikitolewa yeye acheka tu..Innalillah wainnailayh rajiuun..