Allahu Akbar! Allahu Akbar! Allahu Akbar! Allah Akupandishe daraja kwa kazi yako nzuri ya kulingania waja Wake katika dini ya haki,Sheikh. Huwa wanifurahisha sana,Imam Shafi.😅😅😅👍👍
@hassanmirambo5644 жыл бұрын
Ibrahim Bakonzi ndani ya nyumba asanteni sana ALLAH awajaalie kila lakheri wahadhiri wetu wa Kiislam
@tanzanian88473 жыл бұрын
Alhamdulillah kuumbwa muislam. Allah atuhifadhi n atupe mwisho mwema. Allah awalipe kheri nyingi masheik wetu
@abbaimran41223 жыл бұрын
Allahu Akbar,Mashekhe wetu Allah awalipe kheri hapa duniani na kesho akhera maana juhudi mnayofanya ya dini sio kidogo. Alhamdulillah kuwa neema ya Uislamu
@muksinally21445 жыл бұрын
Ninacho kiona hapo n kwamba wakristo wana tafsiri biblia kwa kichwa chao wakati biblia inajitafsiri kwa biblia yenyewe,. Ahsante sn Allah kwa kunipa neema ya uislam
@frankjohn8570
4 жыл бұрын
Muksin Ally biblia haijulikani kwa watu wamataifa hilo halibadiliki mtu asiekuwa na ROHO wa Kristo hajifunzi kwa Kristo ndimana wanasema wapotoshaji eti ulimwengu ni Israel pekee ,sasa wasubirie mwisho wa ulimwengu YESU atakapokuja kuhukumu kama itakua kama wanavyodhani bora umwamini Bwana YESU uwe mtoto wa Mungu usjetupwa jehanam
@sokakilumbi9293
4 жыл бұрын
@@frankjohn8570 yesu hawezi kuhukumu kwa sababu yeye sio mungu na wala hajui iyo siku ya hukumu itakuwa lini na saa ngapi Matayo:24.36 Walakini habari ya siku ile na saa ile hakuna aijuaye, hata malaika walio mbinguni, wala Mwana, ila Baba peke yake. na yesu sio mungu nikiumbe kama wewe anakula na kunywa kama binadamu wengine Luka:7.34 Mwana wa Adamu amekuja, anakula na kunywa; nanyi mwasema, Tazama, mlafi huyu, na mnywaji wa divai, rafiki wao watoza ushuru na wenye dhambi. na kiumbe dhaifu kama mimi na wewe Matayo:26.39 Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifulifuli, akaomba, akisema, Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki kiniepuke; walakini si kama nitakavyo mimi, bali kama utakavyo wewe. ..umeona hapa yesu anaomba sasa kama yeye mungu vipi aombe!!!! na ukiona kiumbe anaomba basi ujue icho ni dhaifu hakiwezi kujikidhe haja zake chenyewe.. so yupo anastahili kuabudiwa na ni mmoja tu hakuzaa wala hakuzaliwa na hana mshirika katika maamuzi yake uyo ndie atakae hukumu baina ya watu wooote mimi na yesu pamoja na wewe na wengineo tutahukumiwa na yeye.
@alliabdullah6180
3 жыл бұрын
@@sokakilumbi9293 mfundishe huyu sisi Allah katupa elimu ya maandiko👍
@arafatkhalid43914 жыл бұрын
Kuna Tofauti Kubwa Sana Kati Ya "ELIMU" Na "AKILI" Kibaya Kuliko Vyote Ni Mtu Kukosa Vyote Kwa Pamoja!
@rahmakishiwa1528
3 жыл бұрын
😀😀😀
@mwanaimaabdallah7825
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣😂
@yahyanduwayo62094 жыл бұрын
Ustazi Shafii iko vizuri kwakweli Allah akuzidishie elimu sheikh wangu
@francinensavyimana56013 жыл бұрын
Bado nibilia inazidi kuonekana upungufu nusu yete ya bibilia ni akili zakibinadamu kwamwenye kuzingatiya nakufwata haki na kweli
@rashidmohamed19494 жыл бұрын
Alhamdulillahi Alhamdulillahi Alhamdulillahi Alhamdulillahi Alhamdulillahi x infinity kuwa Mwislam
@mrconfusedj96204 жыл бұрын
Kama kitu unakijua hakikupi shida wakristo wagumu kuelewa
@sosdododo56533 жыл бұрын
Mashaallah hii ni yakitambo sijawahi kuiona kama alivyosema ustadh shafi huu ni mtahani lakini kwavile wao niwalimu watafundishwa tu nawame fundisha vizuri kabisa hata kama ni mtoto wamiaka 6 ataelewa manake wanafundishwa neno kwa neno one by one vizuri mungu awape subra masheikh wetu
@yusufathman24783 жыл бұрын
Wallah ..nmekumbuka aya "khatama llahu alaa kuluubihim wa alaa sam ehim wa alaa abswaarihim ghishaawatun"
@husseinshaban71814 жыл бұрын
Nafurahi mtiririko ndani saudi Arabia mada safi undugu katika elimu salama mungu ajalie WAPate Dini na imani kamilifu
@husseinibrahim54383 жыл бұрын
MA SHA ALLAH SHEIKH SHAFI MAY ALLAH GUIDE AND PROTECT YOU AND YOUR DA’AWAH GROUP ALLAHUMMA AMEEN.
@yia73
8 ай бұрын
Kweli ulimwengu lakini kwa mayahuudi tuu
@omg20263 жыл бұрын
MashaAllah! Great debate. Waislamu wameweka elimu sawa kabisa. Mungu awezidishiye.
@oscarramazani1289
3 жыл бұрын
Wakirsto maneno mengi yasiyokuwa na msingi, wasio waisrail wajing'ang'anizao kwa Yesu , Yesu kawaita Mbuwa.
@harithwhite5895 жыл бұрын
Mpiga picha nakulaumu sana, wakati Ustadh Shafi anawachamba unashindwa hata kutuonesha nyuso za hao maaskofu wanavyodhalilika ili tuone wanavyo react.
@keazi9638
4 жыл бұрын
Harith White majafili nyie
@jamaldinhamady8687
4 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁
@zachariabin5400
4 жыл бұрын
Ahahaaaaaaaaaaaaa
@najmagudeh203
4 жыл бұрын
😂😂😂
@ashajuma8686
4 жыл бұрын
😆😆😆
@salimalmahrizi3955 жыл бұрын
ustadhi Shafi Allah akubariki yaani wewe tishio kwa Wakristo wooooooote.
Kwani huwa hawayaoni haya maandiko, hadi waislam wawaonyeshe kila siku.. Ukristo ni shida
@ismailyussuf18054 жыл бұрын
Shk.Shafi,ALLAH ATAKULIPA KHERI INSHAALLAH.Huyo akiliyake iko KISOGONI.
@athumanihimbawe44344 жыл бұрын
Maasha allah,allah awaongoze wahaadhiri wote waisilaam.
@fatmazullu49334 жыл бұрын
Very clean sound! Sheikh Shafi all the best and Allah bless you!
@handenitakuru6696
3 жыл бұрын
+255684371516,I have things with you please text me
@muhammadkipangatv2674
2 жыл бұрын
آمين
@abujamalaalghammawiy74704 жыл бұрын
Nilichojigunza hawa wachungaji wanajibu na kuchambua maandiko kwa maoni yao na mitazamo yao, ila waalimu wa Uislam wanatoa maandiko kama yalivyo bila kupepesa andiko kivingine
@rehemaahamadiahmadi5665 жыл бұрын
Ustadh shafii nampenda Sana yaani katulia tuli akijibu yuajua Bible and Qur,an
@fetrishakaza1473
4 жыл бұрын
Mungu aziilishwi kwamaneno bali kwa nguvu
@rehemaahamadiahmadi566
4 жыл бұрын
@@fetrishakaza1473 lyo yako peke yako
@fetrishakaza1473
4 жыл бұрын
@@rehemaahamadiahmadi566 uondoukweli mungu simaneno bali ni nguvu nyikilasiku niwatuwaneno nguvu kwenye majini kwenye falaki
@rehemaahamadiahmadi566
4 жыл бұрын
@@fetrishakaza1473 haaya
@sokakilumbi9293
4 жыл бұрын
@@fetrishakaza1473 Nyinyi makafir ndio mna majini..
@kimoyochemokos69084 жыл бұрын
Hakika maswali hayo na majibu, yatatujenga sisi kiimani. Allah awajalie hawa mrengo mwingine, waelewe maandiko na tuwe wote waisilamu moja, dini moja.
@abdallahissa26174 жыл бұрын
Mazinge alishasema maswali yetu sis waislaam hayajibikii huyo bwana anajikanyaga tu Allah awalipe kila la kher mashekhe wetu mnaowaonesha din ya hakii.
@HassanAli-eq8ko3 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿mashaallaah mola tuhifadh ss sote...pamoja na mashekh wetu wote.....🇹🇿🇹🇿yarab wahifadh wahadhir wa kiislamu amiin yaarabaliaalaamiin 🤲🤲hongra sana ust shafii mola azidkusaidia 🤝🤝🤝
@hemmedrashid7854 жыл бұрын
Masha Allah ustadhi shady wape Darsa hao wapotevu
@alibell52463 жыл бұрын
Najivunia kuwa muislam alhamdullah
@user-qz2yd5wm2m4 жыл бұрын
Mashaa ullah shekh shafii Allah akuzidishie
@raiswamaraishalisi84264 жыл бұрын
Raha wallah ! Nabivunia uislam Na kua muislam
@mwakajohn1819
4 жыл бұрын
Usilojua ni usiku mnene. Unajivunia njia ya upotevu, pole sana.
@najmagudeh203
4 жыл бұрын
Mwaka john... pole ww ambae unaingia kanisani na uchafu wako
@mwakajohn1819
4 жыл бұрын
@@najmagudeh203 nakuonea huruma, sala za kinafiki ni zile zinazoagiza kuosha kikombe nje. Sala ya kweli unaanzia kusafisha ndani, kisha nje. Matendo ya mwili ni agizo la shetani. Unapotea kwa kutojua ukweli halisi wa mungu.
@OmanOman-bh4yh3 жыл бұрын
Eee mungu nashukuru kuzariwa muisram na unipe mwisho mwema
@hassandormkeyo48672 жыл бұрын
Mashaallah sheikh shaffi 🙏🙏🙏 Allah akupe maisha marefu sana lakini pia aufanye mwisho wako kuwa mwema
@nasibodaudi2135 жыл бұрын
Sheki shafi MUNGU akubariki kwa elimu zaidi
@rilkabuya65194 жыл бұрын
Uisilamu ndio dini ya haki 2
@aishaarusha894
3 жыл бұрын
Amin
@hamisihassan36344 жыл бұрын
Mashallah shafii umetulia kweli kweli
@kijanahodari20804 жыл бұрын
MashaAllah hawa watu lazima waelimishwe ili waukubali uislamu
@andanesalimoandanesalimo17854 жыл бұрын
Sheikh wangu ALLAH awazidishiye
@fishhamza16484 жыл бұрын
Wanajuwa ukweli ila ustazi Allah akulipe katika kazi Allah unafanya
@hassani.ikondo.7753
4 жыл бұрын
Mashekhe fikisheni ujumbe kuclimu Mungu atawachagua awatakae dhima itatutoka inshallah
@issamohd99554 жыл бұрын
Mashaallah kila lakheri masheikh wetu kwahakika twajivunia sana juu yenu Allah awape umri mrefu na mwisho mwema kwasote waumini wa kiislam tuko pamoja masheikh wetu mkono kwa mkono hadi peponi
@ashtube13332 жыл бұрын
Very clear Speech
@omarabeid13634 жыл бұрын
Tatizo shule kama sh shafi anavyo sema
@Bosskasimu01 Жыл бұрын
Masha Allah
@hemedmasoud93064 жыл бұрын
Kweli skio lakufa kamwe aliskii daaw.yani pamoja namifano yote iliyotolew na Ustadh shaffi lakini bado amuamin.sis kaz yetu waislam.nikuwatoa kweny giza wakristo.
@aminakidunda89813 жыл бұрын
Mashaallah akiwepo ustadhi shafii hakuna kinacho haribika watakuelewa to allah azidi kukupa afya ili ndug zetu wazid kuielewa din ya.haq
@doopaq8043 жыл бұрын
Isaiah 42:6 Verse Concepts “I am the Lord, I have called You in righteousness, I will also hold You by the hand and watch over You, And I will appoint You as a covenant to the people, As a light to the nations
@yia73
8 ай бұрын
Nations of 12 tribes ONLY. 😅
@MkgmailcomSaidi4 жыл бұрын
Allah awaongoze waijue haki waweze kifuata kila kitu kiko wazi tatz cjajua ni nn kwa wenzetu,
@rashidodinga20534 жыл бұрын
Jaazzaka LLAH kher
@francisjoseph10742 жыл бұрын
Mchungaji umeelezea vizuri sana kwakua waislam nipasua kichwa hawawezi kuelewa maandiko
@francinensavyimana56014 жыл бұрын
Mwenye injili sahihi iko na 12 kbilazakwao tu wangine watafute mulango mapema
@user-bi4um8cn2u3 жыл бұрын
MASHALLAH. SHEKHE. SHAFI. M/MUNGU. AKUHIFADHI. NA AKUPE. ELIMU. VIZURI. YAARAAB.
@111dudi3 жыл бұрын
Ustaafh Sharon, Mungu akulinde na akufanikishe.
@samwelbunzali19142 жыл бұрын
Shafii uko vizur Sana inn-shallah mungu akujalie mwisho mwema amiin.
@alialghaithi25544 жыл бұрын
Kipindi kizuri shukran shekhe Sharif Shomari
@abiseniyaboyethiopianboy55533 жыл бұрын
Mashaalah
@user-fy4op1sw2f Жыл бұрын
Alafu namuona ustadh wangu bakonzi hapo katulia makiiini
@moanamohammed14064 жыл бұрын
Alhamdulilllah..masha Allah
@muhammadkipangatv26742 жыл бұрын
Jifunze quran kusoma kuandik gusa picha yang hapo kama hautojli
@anicetnahayo24834 жыл бұрын
Mwenyezi mungu awalaisishie kwa kila jambo ma sheikh zetu.
@ibraimodinodino8285 жыл бұрын
allah......
@mohammedamour92814 жыл бұрын
Maashaallah shafii Allah akuongoze akuepushe na Upaku
@mohamedrashid8615 Жыл бұрын
Shaffi Allah akulinde na hasad za binadamu in Sha Allah
@ikramtryphon14865 жыл бұрын
Safii ostadh shafii nimekuelewa sana umemaliza hoja
@jeanmubemba1204
5 жыл бұрын
Shafi maana ya aya hizo mbili,sikutumwa ila kwa ajili ya kondoo waliopotea waisrael,huwezi ielewa maana huamini kama alikufa na alifufuka,hujui nini maana ya kifo,chake,aliwakataza kwa sababu bado alikuwa hajamwaga damu yake,alipoimwaga damu yake ndipo alipoununua upya ulimwengu wote,ndio maana anajiita mwana wa adam.Baada ya kuununua ulimwengu wote ndipo anawaagiza akisema enendeni ulimwenguni wote mkaihubiri injili kwa kila kiumbe, aaminiye na kubatizwa ataokoka na kuurithi ufalme wa mbinguni. Shafi,kubali mtume aliposema yaa isa in mutwafiki'hakika sisi tutakufisha,ndio maana mtume amemwita neno la mungu aliloliweka kwa mariam hahah hayo yote hamyajui ninyi ni abiria wa yesu, wote waislam,ndo maana anarudi kuihukumu dunia na kuamua nani aingia mbinguni na nani asiingie,shauri yako batizwa unachelewa muda umeisha.
@fatmanasornasor9047
5 жыл бұрын
@@jeanmubemba1204 shafi hawez kuamini kama yesu hakufa maana hakufaa
@shabamuhidin6342 жыл бұрын
kumbe uokozi Mungu amewaahidi waisrseli peke yao,lakini kuna watu wanasema hapana Mungu alikosea..duh wanang'ng'ania John 3:16 ambayo ata Mungu anasemewa (reported speech) na wala halijataja jina la Yesu
@hawasshibbyalfalasi85514 жыл бұрын
Mashaallah waumini wa kislam Allah awaongoze inshaallah kweli dini ya haki ni uislamu
@apolloorao41103 жыл бұрын
Yes your are right mwalimu .. Christ come to save Israel but later he turned to the whole world ... Those are two house hold to be united in one .
@jjtm1642 жыл бұрын
Yohana 3 17 Maana Mungu hakumtuma Mwana ulimwenguni ili auhukumu ulimwengu, bali ulimwengu uokolewe katika yeye.
@abaslegera98414 жыл бұрын
Alhadulillah kwa kuwa muislam Dah hawa jamaa hawawezi kujibu bali kulalamika tuu
@nazonahdi99934 жыл бұрын
Mashallah ma shekh mnajuwa kuwapa wakiristo ila wanajifanya hawaelewi kumbe wanajuwa sanaaaaa ukweli
@jamaldinhamady8687
4 жыл бұрын
Makafiki wana nyota ya moto..
@jamaldinhamady8687
4 жыл бұрын
Jahanam inawaita...
@hassanmansur92604 жыл бұрын
ALLAH awaongezee wathiribwetu
@absameosman91134 жыл бұрын
Hahahahaahahaaa hki mungu afungue hawa wakiristo akili zao...... Ju wanajibiwa smrt sxa n sheikh shafii ila inaingia kwa masikio ilikufa lkn mm naona mapastor kazi yko nkuwait mshahara tu
@jabirtache25334 жыл бұрын
Mashallah
@samwelbunzali19142 жыл бұрын
Umetulia Sana kwenye maongez kama maswahaba wa mtume.
@aishamaulidi46795 жыл бұрын
Masha Allah Wakristo munakwama wapiii Mungu akubariki shekhe shafii
@salehesengiyanka53973 жыл бұрын
SHAFII UNAFUNDISHA VIZURI SANA AMBAYE HAKUELEWI ANA KICHWA KIGUMU SANA
@amorabdallah9084 жыл бұрын
mashaallah ust shaf ukosafi sana jiepushe na maulidi tu
@jamaldinhamady8687
4 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁😁😁...faxt
@hemedmasoud93064 жыл бұрын
yani kwaimani yangu ataukinipa pesa ngap siwezi kuingia mwenye kristo Abadan yan sinaiman na Kristo atakwakufosi.
@rbagha52802 жыл бұрын
Message kutoka Canada. Wakristo na waislamu wameumbiwa na mungu huyu mmoja tu. Hakuna mungu tofauti aliye umba Mkristo na mungu mwingine aliye umba Mwislamu. Sawa? Hapa tumekubali. Je dada na ndugu zangu kwenye Ukristo--umejiuliza hayo maswali kibinafsi? Umejiuliza jina la pili au la mwisho, yaani surname, wa Gospel kutoka Matthew, au Mark, au Luke, au John? Passport yako ina jina lako ya kwanza tu? Utaweza kusafiri hivyo? Ujiulize. Fikiria sana kwa akili aliyekupa mungu. Je Yesu au mama yake Maria walisema Yesu ni mungu au mtoto wa mungu? Je wanabii kwenye Bible waliozaliwa kabla ya Yesu wataenda motoni, kwa sababu hawakujua Yesu, na wakristo wanasema “only through Jesus you will be saved?”? Hii ndiyo haki au ni dhulma? Waislamu wanapenda Yesu zaidi kwa sababu wanaume wa waislamu wanaweka ndevu na wanawake wanavaa hijab (Head Cover) kama Mother Mary. Hawali Pig/Pork kama Yesu au mama yake. Wanamwomba dua na kukwabudu mungu moja sawa sawa kama yesu na mama yake walivyo omba kwa huyu mungu moja. Sawa? Fikiria sana haya maswali. Sio Ibilisi/Shaitani/satan awapoteshe na awachukue motoni. Wakristo ni wandugu wa waislamu. Sote tuende Peponi kwa kumwabudu mungu mmoja tu. Au sio? Much respect from Ray in Canada.
@francinensavyimana56014 жыл бұрын
Bibilia gisi unabisha njogisi unazidikupoteya yani hamunajibu kabisa Allah akbar
@jumajaffary96985 жыл бұрын
LIPULI na Yesu wapi na wapi?
@ibraimoissiaca6058
4 жыл бұрын
Mipango iliisha apo
@rayaali75513 жыл бұрын
Daaaah chezea SHAFI WEEE 🙆♀️
@sngrafx3 жыл бұрын
Rafiki zangu wakristo msichukie mkiona waislam wananukuu Yale mliokuwa mkiyasoma bila kuyaelewa kiundani ila chukua muda wako soma kwa undani bila kutanguliza mapenzi kwanza ingali mnachangamoto ya kuelezwa kuhusu uislam katika negative way kitu ambacho kinafunga fahamu zenu kuhusu ukweli tunaoelezwa ila kikubwa mwenyezi mungu humuongoa amtakae, nalipa pongezi hili kanisa
@ibraimoissiaca60584 жыл бұрын
Lipuli mbeya city' cjui nn we unatoa WAP ayoooo
@bilalmuhammad2505
3 жыл бұрын
Lipuli mbea simba huyo mcungaji hana kitu katumia mda mwingi lakini haeleweki
@makenakendi2823 жыл бұрын
Mashaallah
@OmanOman-bh4yh3 жыл бұрын
Shee uyo amna kitu
@allyjuma89254 жыл бұрын
Asante sana
@saumusalimuhassan24992 жыл бұрын
Mashallah.
@HassanAli-lt4xm2 жыл бұрын
Wallahi shafi anafurahisha na anaelimisha
@nasymchuzi86674 жыл бұрын
Shafi Allah akulipe
@hanzurunihamidu66134 жыл бұрын
Dini ya Haki ni Uislamu tu
@lileoh38932 жыл бұрын
Yani waklisto nivizuli kama mngelewa mungu anataka nini mfuate kuruani mnasoma ukwer mnauona yesu ni mwilam kipi kichowafanya mioyo yenu inakua migum kuamini nawakati hata bibilia haijaonyesha yesu aliingia kanisani yeye sinagogi mpaka wakati huu bado tunampinga mungu wakati istoria tunaijua mwisho wawaliokanusha ulikua vip
38:10 walinyweshwa mataifa yoote ya jerusalem na miji ya yuda,Taifa la TZ halipo. 41:20 Yesu alitumwa kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israel TU!!! Mbona wakristo mnalazimisha na Yesu hakutumwa kwenu? Ewe!😂😂😂
@hassnakhamis3489
2 жыл бұрын
Nime cheka haki ila wana eleweshwa hawa elewi eemuumba wasaidie mashekh wetu wazid kuwa elesha huenda ipo siku wat kuwa saw
@alhajimadada7914 жыл бұрын
ALLAAHU AKBARU
@ramadhanimatimbwa92584 жыл бұрын
Shekh shafi wandereko tunajielewa bhn tunamjua mtume wetu muhammad huyo awez kuwa mndengereko bhn
@nasymchuzi86674 жыл бұрын
Fundii Allah akulinde
@hemedmasoud93064 жыл бұрын
Kweli nimeamin Kristo wameshushiwa wanawaizrael.alafu nimeskia et lipuli kweli mmeishiwa maneno dini hiyo waludishien wana wa izrael.
Пікірлер: 463
Ostadhi shafii mungu akuweke 🙏🙏
Allahu Akbar! Allahu Akbar! Allahu Akbar! Allah Akupandishe daraja kwa kazi yako nzuri ya kulingania waja Wake katika dini ya haki,Sheikh. Huwa wanifurahisha sana,Imam Shafi.😅😅😅👍👍
Ibrahim Bakonzi ndani ya nyumba asanteni sana ALLAH awajaalie kila lakheri wahadhiri wetu wa Kiislam
Alhamdulillah kuumbwa muislam. Allah atuhifadhi n atupe mwisho mwema. Allah awalipe kheri nyingi masheik wetu
Allahu Akbar,Mashekhe wetu Allah awalipe kheri hapa duniani na kesho akhera maana juhudi mnayofanya ya dini sio kidogo. Alhamdulillah kuwa neema ya Uislamu
Ninacho kiona hapo n kwamba wakristo wana tafsiri biblia kwa kichwa chao wakati biblia inajitafsiri kwa biblia yenyewe,. Ahsante sn Allah kwa kunipa neema ya uislam
@frankjohn8570
4 жыл бұрын
Muksin Ally biblia haijulikani kwa watu wamataifa hilo halibadiliki mtu asiekuwa na ROHO wa Kristo hajifunzi kwa Kristo ndimana wanasema wapotoshaji eti ulimwengu ni Israel pekee ,sasa wasubirie mwisho wa ulimwengu YESU atakapokuja kuhukumu kama itakua kama wanavyodhani bora umwamini Bwana YESU uwe mtoto wa Mungu usjetupwa jehanam
@sokakilumbi9293
4 жыл бұрын
@@frankjohn8570 yesu hawezi kuhukumu kwa sababu yeye sio mungu na wala hajui iyo siku ya hukumu itakuwa lini na saa ngapi Matayo:24.36 Walakini habari ya siku ile na saa ile hakuna aijuaye, hata malaika walio mbinguni, wala Mwana, ila Baba peke yake. na yesu sio mungu nikiumbe kama wewe anakula na kunywa kama binadamu wengine Luka:7.34 Mwana wa Adamu amekuja, anakula na kunywa; nanyi mwasema, Tazama, mlafi huyu, na mnywaji wa divai, rafiki wao watoza ushuru na wenye dhambi. na kiumbe dhaifu kama mimi na wewe Matayo:26.39 Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifulifuli, akaomba, akisema, Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki kiniepuke; walakini si kama nitakavyo mimi, bali kama utakavyo wewe. ..umeona hapa yesu anaomba sasa kama yeye mungu vipi aombe!!!! na ukiona kiumbe anaomba basi ujue icho ni dhaifu hakiwezi kujikidhe haja zake chenyewe.. so yupo anastahili kuabudiwa na ni mmoja tu hakuzaa wala hakuzaliwa na hana mshirika katika maamuzi yake uyo ndie atakae hukumu baina ya watu wooote mimi na yesu pamoja na wewe na wengineo tutahukumiwa na yeye.
@alliabdullah6180
3 жыл бұрын
@@sokakilumbi9293 mfundishe huyu sisi Allah katupa elimu ya maandiko👍
Kuna Tofauti Kubwa Sana Kati Ya "ELIMU" Na "AKILI" Kibaya Kuliko Vyote Ni Mtu Kukosa Vyote Kwa Pamoja!
@rahmakishiwa1528
3 жыл бұрын
😀😀😀
@mwanaimaabdallah7825
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣😂
Ustazi Shafii iko vizuri kwakweli Allah akuzidishie elimu sheikh wangu
Bado nibilia inazidi kuonekana upungufu nusu yete ya bibilia ni akili zakibinadamu kwamwenye kuzingatiya nakufwata haki na kweli
Alhamdulillahi Alhamdulillahi Alhamdulillahi Alhamdulillahi Alhamdulillahi x infinity kuwa Mwislam
Kama kitu unakijua hakikupi shida wakristo wagumu kuelewa
Mashaallah hii ni yakitambo sijawahi kuiona kama alivyosema ustadh shafi huu ni mtahani lakini kwavile wao niwalimu watafundishwa tu nawame fundisha vizuri kabisa hata kama ni mtoto wamiaka 6 ataelewa manake wanafundishwa neno kwa neno one by one vizuri mungu awape subra masheikh wetu
Wallah ..nmekumbuka aya "khatama llahu alaa kuluubihim wa alaa sam ehim wa alaa abswaarihim ghishaawatun"
Nafurahi mtiririko ndani saudi Arabia mada safi undugu katika elimu salama mungu ajalie WAPate Dini na imani kamilifu
MA SHA ALLAH SHEIKH SHAFI MAY ALLAH GUIDE AND PROTECT YOU AND YOUR DA’AWAH GROUP ALLAHUMMA AMEEN.
@yia73
8 ай бұрын
Kweli ulimwengu lakini kwa mayahuudi tuu
MashaAllah! Great debate. Waislamu wameweka elimu sawa kabisa. Mungu awezidishiye.
@oscarramazani1289
3 жыл бұрын
Wakirsto maneno mengi yasiyokuwa na msingi, wasio waisrail wajing'ang'anizao kwa Yesu , Yesu kawaita Mbuwa.
Mpiga picha nakulaumu sana, wakati Ustadh Shafi anawachamba unashindwa hata kutuonesha nyuso za hao maaskofu wanavyodhalilika ili tuone wanavyo react.
@keazi9638
4 жыл бұрын
Harith White majafili nyie
@jamaldinhamady8687
4 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁
@zachariabin5400
4 жыл бұрын
Ahahaaaaaaaaaaaaa
@najmagudeh203
4 жыл бұрын
😂😂😂
@ashajuma8686
4 жыл бұрын
😆😆😆
ustadhi Shafi Allah akubariki yaani wewe tishio kwa Wakristo wooooooote.
@hamidahamida1473
4 жыл бұрын
Alhahu.akbaru
Shkh SHAFII MMEWAGARAGAZA JAMAA ILE MBAYA Takbeer
Wallah.najivunia kuwa.mwislam.shafi.nakuombea Allah.agupe.umur.murefo
Kwani huwa hawayaoni haya maandiko, hadi waislam wawaonyeshe kila siku.. Ukristo ni shida
Shk.Shafi,ALLAH ATAKULIPA KHERI INSHAALLAH.Huyo akiliyake iko KISOGONI.
Maasha allah,allah awaongoze wahaadhiri wote waisilaam.
Very clean sound! Sheikh Shafi all the best and Allah bless you!
@handenitakuru6696
3 жыл бұрын
+255684371516,I have things with you please text me
@muhammadkipangatv2674
2 жыл бұрын
آمين
Nilichojigunza hawa wachungaji wanajibu na kuchambua maandiko kwa maoni yao na mitazamo yao, ila waalimu wa Uislam wanatoa maandiko kama yalivyo bila kupepesa andiko kivingine
Ustadh shafii nampenda Sana yaani katulia tuli akijibu yuajua Bible and Qur,an
@fetrishakaza1473
4 жыл бұрын
Mungu aziilishwi kwamaneno bali kwa nguvu
@rehemaahamadiahmadi566
4 жыл бұрын
@@fetrishakaza1473 lyo yako peke yako
@fetrishakaza1473
4 жыл бұрын
@@rehemaahamadiahmadi566 uondoukweli mungu simaneno bali ni nguvu nyikilasiku niwatuwaneno nguvu kwenye majini kwenye falaki
@rehemaahamadiahmadi566
4 жыл бұрын
@@fetrishakaza1473 haaya
@sokakilumbi9293
4 жыл бұрын
@@fetrishakaza1473 Nyinyi makafir ndio mna majini..
Hakika maswali hayo na majibu, yatatujenga sisi kiimani. Allah awajalie hawa mrengo mwingine, waelewe maandiko na tuwe wote waisilamu moja, dini moja.
Mazinge alishasema maswali yetu sis waislaam hayajibikii huyo bwana anajikanyaga tu Allah awalipe kila la kher mashekhe wetu mnaowaonesha din ya hakii.
🇹🇿🇹🇿mashaallaah mola tuhifadh ss sote...pamoja na mashekh wetu wote.....🇹🇿🇹🇿yarab wahifadh wahadhir wa kiislamu amiin yaarabaliaalaamiin 🤲🤲hongra sana ust shafii mola azidkusaidia 🤝🤝🤝
Masha Allah ustadhi shady wape Darsa hao wapotevu
Najivunia kuwa muislam alhamdullah
Mashaa ullah shekh shafii Allah akuzidishie
Raha wallah ! Nabivunia uislam Na kua muislam
@mwakajohn1819
4 жыл бұрын
Usilojua ni usiku mnene. Unajivunia njia ya upotevu, pole sana.
@najmagudeh203
4 жыл бұрын
Mwaka john... pole ww ambae unaingia kanisani na uchafu wako
@mwakajohn1819
4 жыл бұрын
@@najmagudeh203 nakuonea huruma, sala za kinafiki ni zile zinazoagiza kuosha kikombe nje. Sala ya kweli unaanzia kusafisha ndani, kisha nje. Matendo ya mwili ni agizo la shetani. Unapotea kwa kutojua ukweli halisi wa mungu.
Eee mungu nashukuru kuzariwa muisram na unipe mwisho mwema
Mashaallah sheikh shaffi 🙏🙏🙏 Allah akupe maisha marefu sana lakini pia aufanye mwisho wako kuwa mwema
Sheki shafi MUNGU akubariki kwa elimu zaidi
Uisilamu ndio dini ya haki 2
@aishaarusha894
3 жыл бұрын
Amin
Mashallah shafii umetulia kweli kweli
MashaAllah hawa watu lazima waelimishwe ili waukubali uislamu
Sheikh wangu ALLAH awazidishiye
Wanajuwa ukweli ila ustazi Allah akulipe katika kazi Allah unafanya
@hassani.ikondo.7753
4 жыл бұрын
Mashekhe fikisheni ujumbe kuclimu Mungu atawachagua awatakae dhima itatutoka inshallah
Mashaallah kila lakheri masheikh wetu kwahakika twajivunia sana juu yenu Allah awape umri mrefu na mwisho mwema kwasote waumini wa kiislam tuko pamoja masheikh wetu mkono kwa mkono hadi peponi
Very clear Speech
Tatizo shule kama sh shafi anavyo sema
Masha Allah
Kweli skio lakufa kamwe aliskii daaw.yani pamoja namifano yote iliyotolew na Ustadh shaffi lakini bado amuamin.sis kaz yetu waislam.nikuwatoa kweny giza wakristo.
Mashaallah akiwepo ustadhi shafii hakuna kinacho haribika watakuelewa to allah azidi kukupa afya ili ndug zetu wazid kuielewa din ya.haq
Isaiah 42:6 Verse Concepts “I am the Lord, I have called You in righteousness, I will also hold You by the hand and watch over You, And I will appoint You as a covenant to the people, As a light to the nations
@yia73
8 ай бұрын
Nations of 12 tribes ONLY. 😅
Allah awaongoze waijue haki waweze kifuata kila kitu kiko wazi tatz cjajua ni nn kwa wenzetu,
Jaazzaka LLAH kher
Mchungaji umeelezea vizuri sana kwakua waislam nipasua kichwa hawawezi kuelewa maandiko
Mwenye injili sahihi iko na 12 kbilazakwao tu wangine watafute mulango mapema
MASHALLAH. SHEKHE. SHAFI. M/MUNGU. AKUHIFADHI. NA AKUPE. ELIMU. VIZURI. YAARAAB.
Ustaafh Sharon, Mungu akulinde na akufanikishe.
Shafii uko vizur Sana inn-shallah mungu akujalie mwisho mwema amiin.
Kipindi kizuri shukran shekhe Sharif Shomari
Mashaalah
Alafu namuona ustadh wangu bakonzi hapo katulia makiiini
Alhamdulilllah..masha Allah
Jifunze quran kusoma kuandik gusa picha yang hapo kama hautojli
Mwenyezi mungu awalaisishie kwa kila jambo ma sheikh zetu.
allah......
Maashaallah shafii Allah akuongoze akuepushe na Upaku
Shaffi Allah akulinde na hasad za binadamu in Sha Allah
Safii ostadh shafii nimekuelewa sana umemaliza hoja
@jeanmubemba1204
5 жыл бұрын
Shafi maana ya aya hizo mbili,sikutumwa ila kwa ajili ya kondoo waliopotea waisrael,huwezi ielewa maana huamini kama alikufa na alifufuka,hujui nini maana ya kifo,chake,aliwakataza kwa sababu bado alikuwa hajamwaga damu yake,alipoimwaga damu yake ndipo alipoununua upya ulimwengu wote,ndio maana anajiita mwana wa adam.Baada ya kuununua ulimwengu wote ndipo anawaagiza akisema enendeni ulimwenguni wote mkaihubiri injili kwa kila kiumbe, aaminiye na kubatizwa ataokoka na kuurithi ufalme wa mbinguni. Shafi,kubali mtume aliposema yaa isa in mutwafiki'hakika sisi tutakufisha,ndio maana mtume amemwita neno la mungu aliloliweka kwa mariam hahah hayo yote hamyajui ninyi ni abiria wa yesu, wote waislam,ndo maana anarudi kuihukumu dunia na kuamua nani aingia mbinguni na nani asiingie,shauri yako batizwa unachelewa muda umeisha.
@fatmanasornasor9047
5 жыл бұрын
@@jeanmubemba1204 shafi hawez kuamini kama yesu hakufa maana hakufaa
kumbe uokozi Mungu amewaahidi waisrseli peke yao,lakini kuna watu wanasema hapana Mungu alikosea..duh wanang'ng'ania John 3:16 ambayo ata Mungu anasemewa (reported speech) na wala halijataja jina la Yesu
Mashaallah waumini wa kislam Allah awaongoze inshaallah kweli dini ya haki ni uislamu
Yes your are right mwalimu .. Christ come to save Israel but later he turned to the whole world ... Those are two house hold to be united in one .
Yohana 3 17 Maana Mungu hakumtuma Mwana ulimwenguni ili auhukumu ulimwengu, bali ulimwengu uokolewe katika yeye.
Alhadulillah kwa kuwa muislam Dah hawa jamaa hawawezi kujibu bali kulalamika tuu
Mashallah ma shekh mnajuwa kuwapa wakiristo ila wanajifanya hawaelewi kumbe wanajuwa sanaaaaa ukweli
@jamaldinhamady8687
4 жыл бұрын
Makafiki wana nyota ya moto..
@jamaldinhamady8687
4 жыл бұрын
Jahanam inawaita...
ALLAH awaongezee wathiribwetu
Hahahahaahahaaa hki mungu afungue hawa wakiristo akili zao...... Ju wanajibiwa smrt sxa n sheikh shafii ila inaingia kwa masikio ilikufa lkn mm naona mapastor kazi yko nkuwait mshahara tu
Mashallah
Umetulia Sana kwenye maongez kama maswahaba wa mtume.
Masha Allah Wakristo munakwama wapiii Mungu akubariki shekhe shafii
SHAFII UNAFUNDISHA VIZURI SANA AMBAYE HAKUELEWI ANA KICHWA KIGUMU SANA
mashaallah ust shaf ukosafi sana jiepushe na maulidi tu
@jamaldinhamady8687
4 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁😁😁...faxt
yani kwaimani yangu ataukinipa pesa ngap siwezi kuingia mwenye kristo Abadan yan sinaiman na Kristo atakwakufosi.
Message kutoka Canada. Wakristo na waislamu wameumbiwa na mungu huyu mmoja tu. Hakuna mungu tofauti aliye umba Mkristo na mungu mwingine aliye umba Mwislamu. Sawa? Hapa tumekubali. Je dada na ndugu zangu kwenye Ukristo--umejiuliza hayo maswali kibinafsi? Umejiuliza jina la pili au la mwisho, yaani surname, wa Gospel kutoka Matthew, au Mark, au Luke, au John? Passport yako ina jina lako ya kwanza tu? Utaweza kusafiri hivyo? Ujiulize. Fikiria sana kwa akili aliyekupa mungu. Je Yesu au mama yake Maria walisema Yesu ni mungu au mtoto wa mungu? Je wanabii kwenye Bible waliozaliwa kabla ya Yesu wataenda motoni, kwa sababu hawakujua Yesu, na wakristo wanasema “only through Jesus you will be saved?”? Hii ndiyo haki au ni dhulma? Waislamu wanapenda Yesu zaidi kwa sababu wanaume wa waislamu wanaweka ndevu na wanawake wanavaa hijab (Head Cover) kama Mother Mary. Hawali Pig/Pork kama Yesu au mama yake. Wanamwomba dua na kukwabudu mungu moja sawa sawa kama yesu na mama yake walivyo omba kwa huyu mungu moja. Sawa? Fikiria sana haya maswali. Sio Ibilisi/Shaitani/satan awapoteshe na awachukue motoni. Wakristo ni wandugu wa waislamu. Sote tuende Peponi kwa kumwabudu mungu mmoja tu. Au sio? Much respect from Ray in Canada.
Bibilia gisi unabisha njogisi unazidikupoteya yani hamunajibu kabisa Allah akbar
LIPULI na Yesu wapi na wapi?
@ibraimoissiaca6058
4 жыл бұрын
Mipango iliisha apo
Daaaah chezea SHAFI WEEE 🙆♀️
Rafiki zangu wakristo msichukie mkiona waislam wananukuu Yale mliokuwa mkiyasoma bila kuyaelewa kiundani ila chukua muda wako soma kwa undani bila kutanguliza mapenzi kwanza ingali mnachangamoto ya kuelezwa kuhusu uislam katika negative way kitu ambacho kinafunga fahamu zenu kuhusu ukweli tunaoelezwa ila kikubwa mwenyezi mungu humuongoa amtakae, nalipa pongezi hili kanisa
Lipuli mbeya city' cjui nn we unatoa WAP ayoooo
@bilalmuhammad2505
3 жыл бұрын
Lipuli mbea simba huyo mcungaji hana kitu katumia mda mwingi lakini haeleweki
Mashaallah
Shee uyo amna kitu
Asante sana
Mashallah.
Wallahi shafi anafurahisha na anaelimisha
Shafi Allah akulipe
Dini ya Haki ni Uislamu tu
Yani waklisto nivizuli kama mngelewa mungu anataka nini mfuate kuruani mnasoma ukwer mnauona yesu ni mwilam kipi kichowafanya mioyo yenu inakua migum kuamini nawakati hata bibilia haijaonyesha yesu aliingia kanisani yeye sinagogi mpaka wakati huu bado tunampinga mungu wakati istoria tunaijua mwisho wawaliokanusha ulikua vip
Hao washaelewa isipokua wanalinda mshahara wao😂😂😂😂😂😂
Hongera sana mchungaji
38:10 walinyweshwa mataifa yoote ya jerusalem na miji ya yuda,Taifa la TZ halipo. 41:20 Yesu alitumwa kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israel TU!!! Mbona wakristo mnalazimisha na Yesu hakutumwa kwenu? Ewe!😂😂😂
@hassnakhamis3489
2 жыл бұрын
Nime cheka haki ila wana eleweshwa hawa elewi eemuumba wasaidie mashekh wetu wazid kuwa elesha huenda ipo siku wat kuwa saw
ALLAAHU AKBARU
Shekh shafi wandereko tunajielewa bhn tunamjua mtume wetu muhammad huyo awez kuwa mndengereko bhn
Fundii Allah akulinde
Kweli nimeamin Kristo wameshushiwa wanawaizrael.alafu nimeskia et lipuli kweli mmeishiwa maneno dini hiyo waludishien wana wa izrael.