FULL MUNAQASHA UONGO NDANI YA KITABU CHA MAULID YA BARZANJI

#alhaajartvkenya #kenya #mombasa #tanga
SHARE, COMMENT & SUBSCRIBE
Instagram: Alhaajartvkenya
Twitter: Alhaajartvkenya
Facebook: Alhaajar Ke
KZread: Alhaajartvkenya
© Al Haajar TV Kenya 2023

Пікірлер: 299

  • @muchikayahyaabdu
    @muchikayahyaabdu Жыл бұрын

    Mimi natoka Uganda. Nafurahi sana kuona Muhammad Bachu anafundisha huyo sheikh mwengine. Bachu Allah akuhifadhie Ummah ya Rabbi. Shukran

  • @kombomakame9541

    @kombomakame9541

    Жыл бұрын

    Nimesoma sana na kuhakiki kazi za fasihi andishi nilipokuwa sekondari. Nilichogundua mwandishi wa kitabu ndie anayejua maudhui na Gani alioitumia katika kutunga kitabu. Kwa hio itabidi mtunzi wa barzanji aje awasilishe kitabu chake. Mimi SI pendi mijadala ya waislamu kwa waislamu kama hii.

  • @habibasalim3092

    @habibasalim3092

    Жыл бұрын

    Aameen, Bachu wetu Allaah amjalie jannatul firdhaus

  • @dausibhalo2816
    @dausibhalo281611 ай бұрын

    Shekh bachu Mungu akuhifadh

  • @foodcook3626
    @foodcook3626 Жыл бұрын

    Kumbe leo nimemuelewa bachu!!! Yuko swahihi kabisa nampenda mtume lakini siko tayari kufwatana na Hawa wajama wenye kumpachika mtume mambo mazito kama haya wanayoyasema wameyatoa wapi jameni!!!!!!!!!!!! ?eeeeh subhanallah!Malikul qudus!

  • @ibrahimmohd-ks8kv

    @ibrahimmohd-ks8kv

    Жыл бұрын

    Inapokuja hakki basi kwahakika batili huondokaaa....Allah akubariki shekh nassor ....waatuu wa bidaaa achenii jamaniii...ivi nyinyi ni viziwii au vipofu..hamutochekwa vyo...rudini kwenye msingiii jamnaniii....kwahakika Leo umewafundisha

  • @iddibakary
    @iddibakary Жыл бұрын

    Baarakallaahu sheikh Muhammad bachu. Hao wanao mzushia Mtume ndio wanao mkataa .

  • @aymanfeysal
    @aymanfeysal Жыл бұрын

    Shekhe anauliza muda kama umeishaa apumuee,,jibu hoja acha porojo shekh ,,Allah akuhifadhi,,

  • @Ali-nl2du
    @Ali-nl2du Жыл бұрын

    Hii ni walkover. Sabas kapigwa Knock out!

  • @ibrahimabdi3559
    @ibrahimabdi3559 Жыл бұрын

    Yarab ambariki sheikh bachu na janatul firdaus, bachu amepanda daraja lake...he is a true, very impressive and very eloquent very knowledgeable in regards to Islamic jurisprudence...may Allah protect and bless you...I pray to Allah to give me an opportunity in this life to see, hear and shake the hands of a true Islamic scholar.

  • @ShafiAthmani-bu6hq

    @ShafiAthmani-bu6hq

    Жыл бұрын

    Ww sabasi acha ujinga nenda ukasome mpuuzi ww kadanganye familia Yako mshamba ww

  • @tocaworld7864

    @tocaworld7864

    Жыл бұрын

    Aamin ya Rabbi.

  • @habibasalim3092

    @habibasalim3092

    Жыл бұрын

    Aamiin

  • @NMJAsaid

    @NMJAsaid

    9 ай бұрын

    ​@@ShafiAthmani-bu6hqfani ya ufidhuli na matusi ni ya watu wa maulidi. Huyu jamaa kamuombea Muhammad Bachu dua, wamtukania nini?!?!?! Kakukosea wapi? Subhaanallah

  • @maulidimuhammed7851

    @maulidimuhammed7851

    8 ай бұрын

    ​@@ShafiAthmani-bu6hqDuu huko kukosa hoja.Matusi.Poor on you.

  • @HumyrahChannel
    @HumyrahChannel Жыл бұрын

    Team Muhammad bachu nampemda juu ya Allah, Allahamdulillah

  • @Hassantube-vy3vw
    @Hassantube-vy3vw Жыл бұрын

    احبك كثيرا يا محمد باشو و اخوكم ابو ميسرة مسلم سلفي من مويالي

  • @yusufsuleiman7886
    @yusufsuleiman7886 Жыл бұрын

    Sheikh sabbas na sheikh diwani , nendeni mkaifadhi iyo aya , Muhammad rasuululaah , dah mnasoma kama gazeti 😢😢😢😢

  • @othmanabeidy4460
    @othmanabeidy4460 Жыл бұрын

    MaashaAllah Muhammad bacho Nakupenda kwajili Ya Allah

  • @abuushakiraddausiy8666
    @abuushakiraddausiy8666 Жыл бұрын

    Hahahhha sabbas macho yake nasuura yake zinamwambia huweziiii halafuu ana kazanaaa kupiga uongo

  • @allybobsaith
    @allybobsaith Жыл бұрын

    Jibu hoja acha kumtetea barzanji😂😂😂😂😂

  • @user-gy2op2ic4d
    @user-gy2op2ic4d9 ай бұрын

    بارك الله في شيخي محمد باشو. هؤلاء الشعوب المولية يعرفون كل حقيقة عن المولد لكنهم لا يريدون تفويت المال والطعام مثل بيلاو وبريان😊😊

  • @nabiljumaothman5912
    @nabiljumaothman5912 Жыл бұрын

    Sabas was humiliated 😂😂 Bachu mashaa Allah

  • @habibasalim3092

    @habibasalim3092

    Жыл бұрын

    Maa shaa Allaah baths,Maulidi ni biddah harram

  • @maulidimuhammed7851

    @maulidimuhammed7851

    8 ай бұрын

    ​@@habibasalim3092❤

  • @ibnomar8144
    @ibnomar8144 Жыл бұрын

    Sabas Al Majazz😂

  • @rukiaabubakar1257
    @rukiaabubakar1257 Жыл бұрын

    ماشاء الله تبارك الله...الاخ باشو الله يحفظك من كل شر ويزيدك في العلم بسطة لتعلمنا الحق والباطل...آ مين

  • @tatuali1379
    @tatuali1379 Жыл бұрын

    Jamani leoi tumejuw haki Bach mashaa allah

  • @ZamuzamuAbdalla-sj4qz
    @ZamuzamuAbdalla-sj4qz Жыл бұрын

    Sabas Al sheriya ukipenda sabas Al majaaz😂😂😂😂

  • @muddathirkassim2407
    @muddathirkassim2407 Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂Shaikh wangu mazingeeee pole wallah polee😂😂😂😂😂

  • @Menino938
    @Menino938 Жыл бұрын

    SABBAS ALKUBRA KAPAUKA MDOMO FAMCHEZO WEEE😂😂

  • @abdiathumani919

    @abdiathumani919

    Жыл бұрын

    😂😂😂

  • @Teralkum
    @Teralkum10 ай бұрын

    Mash Allah Sheikh Muhammad Bachou, Nimefurahiya sana hizo hoja

  • @tamashamagoma2941
    @tamashamagoma2941 Жыл бұрын

    Bachu Allah akujaze kheri nyingi, tunajifunza mengi kutoka kwako

  • @MustafaOyoo-qz7rp
    @MustafaOyoo-qz7rp Жыл бұрын

    Bachu yuko kwa haki

  • @oman7710
    @oman7710 Жыл бұрын

    Allah akuhifadhi Sheikh Mohammed Bachu

  • @othmanabeidy4460
    @othmanabeidy4460 Жыл бұрын

    Muhammad bacho Hao wana kupotezea time wanajua Ukweli ila wanafuata hawaa za Nafsizao

  • @dullahbatuf9223
    @dullahbatuf9223 Жыл бұрын

    Wallah inatia huruma c yakucheka nlijua lile zogo la saabbas kabla nlijua ana hoja za kuitetea mashair ya barzanj kumbe hana kitu wallah sabaas almajaaz mnatuaminisha uongo tu najutia mda wng nlosoma kitabu cha barzanj Mungu Atansameh ckua nikijua

  • @user-zx6pl6fn1b
    @user-zx6pl6fn1b Жыл бұрын

    Kweli Allah umpa utukufu anae mtaka! Watu wa burundi tuna kufagiliya sana mwana wa bachu na swaiba wako Abu qatada mkono kwa mkono hadi peponi.

  • @habibasalim3092

    @habibasalim3092

    Жыл бұрын

    Aameen thumma Aameen, Salafi u Salih ndio uislamu ulonyooka sio uzushi wamemzulia mtume mpaka basi, wameenda hadi sasa eti wametengeneza kitabu cha maulidi, Astaghfirullaah

  • @alinaalina5044
    @alinaalina504411 ай бұрын

    Bachu unabpointi sana ila upo kwenye wakati mgumu nitamuomba mungu hili tatizo lako liishe haraka

  • @alijabal5323
    @alijabal5323 Жыл бұрын

    Mcheni allah wazushi muna wapoteza watu kuijua haqi.

  • @user-wp4nb1cm7v
    @user-wp4nb1cm7v Жыл бұрын

    Bachu ma shaa Allah

  • @foodcook3626
    @foodcook3626 Жыл бұрын

    Majibu ya sheikh muhammad bachu yanaeleweka kiufasaha na kujibu kwake ni kitaalamu kuliko wanavyo zagaazagaa hao hawaeleweki kabisa

  • @hudhairfaki1217

    @hudhairfaki1217

    Жыл бұрын

    Allah akubariki sheikh muhamed hao akili pia hawana sasa hawawezi kujua kwamba wamepotea

  • @mohamm7khamis

    @mohamm7khamis

    11 ай бұрын

    Sio Kuzagaaa sema huna elimu ya kuyaelewa

  • @bintsalimalbimany287
    @bintsalimalbimany287 Жыл бұрын

    kwakwel jata mim nilipomuona Shwikh mazinge nlijua hapa Kaka Muhammad amebambwa Lkn Mashallah Allah amekustir hakk sik zote itakuwa wazi tu🙄😁🤲🤲🤲

  • @user-ql2om7qj3v
    @user-ql2om7qj3v Жыл бұрын

    Ukichunguza sana wazushi mpaka.sura zao nuru zimepotea

  • @NMJAsaid

    @NMJAsaid

    9 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @SwaleheOmari-c2f
    @SwaleheOmari-c2f19 күн бұрын

    Alhamdulillah Allah ameleta neema ya kudhihiri kwa ukweli. Tulikuwa tunaambiwa uongo kuhusu mambo mengi juu ya uzao wa mtume

  • @fadhilizomboko459
    @fadhilizomboko459 Жыл бұрын

    Mash'allah sheikh Bachu

  • @arafatabubakar001
    @arafatabubakar001 Жыл бұрын

    Kwa hoja 19 washindwa kutetea hata moja,kisha akaweka wazi kwa yeyote yule aje amsaidie bali waliogopa wote.palipo na ukweli uongo hujitenga

  • @user-KASSIM
    @user-KASSIM11 ай бұрын

    Nyinyi nyote ovyo viongozi wadini tena yahaki baada ya kufanya midahalo kama kwa siri kama ulamaa kisha mkakubaliana na kuja kwa pamoja kuwaweka watu katika njia kwapamoja mmekaa mnalumbana ovyo sana nyinyi hamna uwalimu mnauopa uma faida ili makafiri wajue kwamba waisilam wenyewe wanalumbana

  • @alafasyquran9806
    @alafasyquran9806 Жыл бұрын

    بارك الله فيك وجزاك الله خير yaa Bachu

  • @khamisjuma8813
    @khamisjuma8813 Жыл бұрын

    Huyu ndo yule sabass aliyetaka niqash kisha akawa anajisifu ama ni sabass mwengine? Kama ndiyo yeye huyu basi bora akauze mboga mboga sokoni.

  • @muddathirkassim2407
    @muddathirkassim2407 Жыл бұрын

    Ajiumauma sabasi😂😂😂😂😂😂 mmmmh hujajibuuu maswali kumi naa salaaaaaala

  • @migwa100
    @migwa100 Жыл бұрын

    Aaaaa jameni kama huna majibu sema 😂😂😂 maulid sio katika suna za mtume wala sio katika Dini ya kislamu

  • @swalehbakari2667

    @swalehbakari2667

    Жыл бұрын

    Kabisa

  • @ShabanMohamedi-lb8hs

    @ShabanMohamedi-lb8hs

    Жыл бұрын

    Hiyo maulidi yenyewe hujui maana yake

  • @migwa100

    @migwa100

    Жыл бұрын

    @ShabanMohamedi-lb8hs kama mimi sijui moulid mbona huja tokezea kujibu maswali wote mmeshia mitini haki ikija batili huondoka acheni kupotosha watu

  • @tocaworld7864
    @tocaworld7864 Жыл бұрын

    Mazinge na mbogo wameshaelewa

  • @abuubakrshabani5747

    @abuubakrshabani5747

    11 ай бұрын

    😂😂

  • @myaudimazarahu3532
    @myaudimazarahu3532 Жыл бұрын

    Mimi siyo mweslam ila bachu unasema kweli sijaona kama amejibu

  • @Menino938
    @Menino938 Жыл бұрын

    Sabass anataka kulia

  • @harithsaid1834
    @harithsaid183410 ай бұрын

    Jamani comment zote niza bachu sabas wako wapi tuwapeni comment japo za upendeleo jamani😢😢😢😢😢😢

  • @mohammadimagulu6423
    @mohammadimagulu6423 Жыл бұрын

    Sabas kiarabu kingi sasa wanaokusikiliza hawakuelewi,toa2 tafsili,yamashaili yabarazanji tujue yanamaana gani?

  • @bintsalimalbimany287
    @bintsalimalbimany287 Жыл бұрын

    Subhanallah Hadi nimemuonea huruma Sabas🙄😩Yaan anasema niuelewa mbov wakat maneno yapo wazi 😔mhh mwenye macho haambiwi chizaman

  • @saidsaleem1732

    @saidsaleem1732

    9 ай бұрын

    Wewe banchu katafsiri vibaya ajafahamu kiarabu 😂😂

  • @habibasalim3092
    @habibasalim3092 Жыл бұрын

    Ali Abubakar, Maa shaa Allaah salafi da'awa is the the connection to Allaah

  • @asa9268

    @asa9268

    Жыл бұрын

    Shekhe jinga jinga tu hilo 🤣anaogopa nahw kwa sababu ni ilimu mawahabi hawana🤣

  • @muddathirkassim2407
    @muddathirkassim2407 Жыл бұрын

    Sabas waboeshaaa, kweli

  • @idhaabdun6020
    @idhaabdun602011 ай бұрын

    Sheikh Bachu kawapiga viboko wote hadi Mazinge

  • @user-wp4nb1cm7v
    @user-wp4nb1cm7v Жыл бұрын

    Muhimu kujibu hoja sio kuanza maswali tena sasa kama sio kweli shekh mohammad bachu Allah akuhifadhi mambo yako wazi washaona makosa ndio mana wanakwepa maswali

  • @abuuamourmuhamed1934
    @abuuamourmuhamed1934 Жыл бұрын

    Nashangaa wakati mnatufundisha brzanji mnatuaaminisha kua nikweli hamusemi nimajaaz tunaamini matukio yote niyakweli asia mariam wamekuja kwenye mazazi ya Mtume sasa leo mmezidiwa ndio aaaa eeee nimajaaz

  • @Hassantube-vy3vw
    @Hassantube-vy3vw Жыл бұрын

    Mashalah 😊

  • @user-lo5jm1nr8e
    @user-lo5jm1nr8e Жыл бұрын

    Huyu jamaa aliyeevaa kofia ya kijani na miwani huyo nimfuasi wa Sabasi hapo anatamani ampige shekhe wetu Allah amuhifadhi inshallah awanyooshe vizuri

  • @foodcook3626
    @foodcook3626 Жыл бұрын

    Mazinge kwa vile ninavyokujua unanipemua hilo si swali

  • @mustafahakim-iq7dj
    @mustafahakim-iq7dj Жыл бұрын

    Jamani sasa tumejifunza tusiwe tunasema vikanzu hai ona wametufundisha wengi tumesoma icho kitabu subhana llah

  • @Ali-nl2du
    @Ali-nl2du Жыл бұрын

    Sabas Alsughra!

  • @kitosio
    @kitosio Жыл бұрын

    Shehe Sabbas. Tunaangalia Maneno yaliyoandikwa. Nia IPO moyoni hatuhukumu Nia. Maneno ya MTU kaweka hovyo tunanukuu maandiko hovyo. Angefanya kazi kutunga Fiqhu Tawheed na mengine. Maulidi mmefanya Ibada. Kama kwamba mwzjuwa zaidi kuliko maswahaba

  • @yassinyussuf9661
    @yassinyussuf9661 Жыл бұрын

    Sabas al majaaz

  • @jumamsagati3786
    @jumamsagati3786 Жыл бұрын

    Jibu maswali unatuletea maneno

  • @alihaidary4143
    @alihaidary4143 Жыл бұрын

    Sheke sabsi mbona sioni kujibu hoja

  • @user-tr7ky8lv2y
    @user-tr7ky8lv2y Жыл бұрын

    Mwamba Mim nimekuelewa sana napo Bachu hapawezi

  • @azizihassan1613
    @azizihassan1613 Жыл бұрын

    WALLAHI huyu SABBAS kaja kunimalizia MB zangu Bure bila ya faida yeyote

  • @fatimahirakoze7311
    @fatimahirakoze731110 ай бұрын

    Mie ni mama Niko wa Burundi Bachu Allah akulinde umeibua virus vilivo kua binashindwa kupigania ukweli juu ya maulid

  • @muddathirkassim2407
    @muddathirkassim2407 Жыл бұрын

    Wababaika kwel umechagua lamwisho ndio waanza nalo

  • @AliShee-mb2gh
    @AliShee-mb2gh Жыл бұрын

    Sabas alitakiwa ataje ayah hadith qawl za wanachuoni au vitabu ampinge Sheikh Bachu,je aliyataja hayo kama nlipitwa na nukuu zake naomba ziletwe mtandaoni

  • @fatimahirakoze7311
    @fatimahirakoze731110 ай бұрын

    ManshAllah cheikh Yaqub uyo ni uvundo

  • @tanzania_001
    @tanzania_00111 ай бұрын

    Jamaa wa maulid Wana jazba hapa ni hoja Kwa hoja hakuna porojo😅

  • @muddathirkassim2407
    @muddathirkassim2407 Жыл бұрын

    We nimkaidi tuu sabas yan nimkaidi Sana.

  • @dr.abdallahngenya9780
    @dr.abdallahngenya9780 Жыл бұрын

    Sabas nimemuelewa yeye kasimama kwenye sharia .. Bachu anataka ajibiwe kihuni ..

  • @AliDaud-si3fg

    @AliDaud-si3fg

    Жыл бұрын

    sabas ameweka pingamizi la kisheria halafu kabakia mezani. ww ulitarajia kipi kingemfika?

  • @elbaricktv1632
    @elbaricktv16329 ай бұрын

    Mimi mkristo ila nakufuatilia sana mafundisho yako bachu❤

  • @OmanOma-xi3hm
    @OmanOma-xi3hm Жыл бұрын

    Mm ni suni lakini naiyaga ukweli unaonekan wa situletee u babaifu wana nikera watu wa maulidi cjui wana napata faida gan

  • @akonkwojryorondo4504
    @akonkwojryorondo4504 Жыл бұрын

    Lkini mbna hawa watu wanapindisha mambo badala y kujibu moja kwa moja

  • @iddrissahalley7234
    @iddrissahalley723411 ай бұрын

    Sioni sababu ya waislamu kujadili barazanji,tunafikra potofu za kujadili mdahalo huo,kwani ukiamini barazanji inakutoa nje ya uislam, tungefikiria kwenda vijijini huko watu hawajui dini mkawafunze dini

  • @Abuyusuf134
    @Abuyusuf134 Жыл бұрын

    Mazinge amechemsha leo😂😂😂

  • @abuuamourmuhamed1934

    @abuuamourmuhamed1934

    Жыл бұрын

    Kachemsha mayai bila maji 😂😂😂😂

  • @Abuyusuf134

    @Abuyusuf134

    Жыл бұрын

    @@abuuamourmuhamed1934 hahahaha!!!

  • @user-iu1dt1xg3k
    @user-iu1dt1xg3k Жыл бұрын

    Mnakimbia ongezeni mfa wamaswali mazinge kayakanyaga

  • @user-iu1dt1xg3k
    @user-iu1dt1xg3k Жыл бұрын

    Shekhe wabarazanji unadharau halafu unaigunika haki unatafuta namna yakupitisha haki ikiwa unajua

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv Жыл бұрын

    Uzuri wa dini yetu na utaratibu wake kila kitu ni elimu na Sheria zake ila wengi wetu atuja kaachini kufundiswa ni walimu ila walimu wetu ni Google na diyo maana tumeishiya kushakiya kama mbira wa yanga na simba.tu

  • @kheirhaji2257
    @kheirhaji2257 Жыл бұрын

    Mada tuiache nataka shirki😂😂😂😂😂

  • @haarunsaidabdillahi4082
    @haarunsaidabdillahi4082 Жыл бұрын

    Sabas ameshindwa kabisa kuzijibu nukta za Sheikh Muhammad Bachu. Elimu ndio muhimu sio majoho ya Mufti..Sabas amezunguka sana ili kupoteza tu muda na kukimbia kujibu maswali.

  • @MaryamOmar-xd8zg
    @MaryamOmar-xd8zg Жыл бұрын

    Kila mmoja yupo sahihi kwa mtazamo wake

  • @muddathirkassim2407
    @muddathirkassim2407 Жыл бұрын

    Etii watu wa Elmuu infatilieni vizur

  • @AngoligaJamada-ps7zu
    @AngoligaJamada-ps7zu2 ай бұрын

    Sabasi😂😂😂😂😂😂😂😂😂 hapana bwana. Keti ujifunze ndio ukae na masheikh

  • @bashirumuniru
    @bashirumuniru Жыл бұрын

    Sabbas hueleweki

  • @habibasalim3092
    @habibasalim3092 Жыл бұрын

    Mbona naskia sauti ya Radio Salaam hapo

  • @twahahango3968
    @twahahango3968 Жыл бұрын

    mwenye hoja ya maulidi kuyafanya na afanye na asiotaka aachane nayo....mbona yalikuwa yakisomwa tangiaa

  • @jumamsagati3786
    @jumamsagati3786 Жыл бұрын

    Bachu achana nao wanakubabaisha tu

  • @kombomakame9541
    @kombomakame9541 Жыл бұрын

    Waislamu tujiandae na majibu kutoka kwa Makafiri baada ya mjadala.

  • @shafiimussa-tv8ez
    @shafiimussa-tv8ez Жыл бұрын

    Mahkurafi mpoo

  • @AliShee-mb2gh
    @AliShee-mb2gh Жыл бұрын

    masufi wafata nyayo za manaswara kutukuza mitume yao kupita mipaka lete dalili mtume صلى الله عليه وسلم aliumbwa na udongo wa kaburi lake na kama ni majazi elezea ni vp

  • @barzaqtradingcompany8541
    @barzaqtradingcompany8541 Жыл бұрын

    OWONGO ZA MASJHAIRI ZA BAZRANJI ZIMEKUWA NJIYA YA DANGANYA WATU MALI YAO NA KUSAMBASA USHIRIKINA وأخرج أبو نعيم عن عمرو بن قتيبة قال: سمعت أبي وكان من أوعية العلم قال: لما حضرت ولادة آمنة قال الله لملائكته: افتحوا أبواب السماء كلها وأبواب الجنان كلها، وأمر الله الملائكة بالحضور فنزلت تبشر بعضها بعضًا، وتطاولت جبال الدنيا وارتفعت البحار وتباشر أهلها فلم يبق ملك إلا حضر. وأخذ الشيطان فغلّ سبعين غلًا، وألقي منكوسًا في لجة البحر الخضراء، وغُلّت الشياطين والمردة، وألبست الشمس يومئذ نورًا عظيمًا وأقيم على رأسها سبعون ألف حوراء في الهواء ينتظرن ولادة محمد صلى الله عليه وسلم. وكان قد أذن الله تلك السنة لنساء الدنيا أن يحملن ذكورًا كرامة لمحمد صلى الله عليه وسلم، وأن لا تبقى شجرة إلا حملت، ولا خَوْف إلا عاد أمنًا. فلما ولد النبي صلى الله عليه وسلم امتلأت الدنيا كلها نورًا وتباشرت الملائكة، وضرب في كل سماء عمود من زبرجد وعمود من ياقوت قد استنار به فهي معروفة في السماء، قد رآها رسول الله صلى الله عليه وسلم ليلة الإسراء، قيل هذا ما ضرب لك استبشارًا بولادتك. وقد أنبت الله ليلة ولد على شاطئ نهر الكوثر سبعين ألف شجرة من المسك الأذفر جعلت ثمارها بخور أهل الجنة وكل أهل السماء يدعون بالسلامة، ونكست الأصنام كلها وأما اللات والعزى فإنهما خرجتا من خزانتهما وهما تقولان: ويح قريش جاءهم الأمين جاءهم الصديق لا تعلم قريش ماذا أصابها. وأما البيت فأيامًا سمعوا من جوفه صوتًا وهو يقول: الآن يرد عليّ نوري، الآن يجيئني زواري، الآن أطهر من أدناس الجاهلية، أيتها العزى هلكت. ولم تسكن زلزلة البيت ثلاثة أيام ولياليهن. وهذه أول علامة رأت قريش من مولد رسول الله صلى الله عليه وسلم.

  • @fatimahirakoze7311
    @fatimahirakoze731110 ай бұрын

    Nikimuona Bachu nasikiya nilie mtoto mdogo ameibua mengi semen I kweli Bachu uko sahihi

  • @tamashamagoma2941
    @tamashamagoma2941 Жыл бұрын

    Ndugu yangu mpenda wali wa maulidi, achana na maulidi itawapoteza

  • @ustadhoomar1254

    @ustadhoomar1254

    Жыл бұрын

    Sie weye uliepotea

  • @hassancassim8748

    @hassancassim8748

    10 ай бұрын

    Acha ujinga wewe wali unausiana na nn na izi mada acha kukashifu wenzio

  • @user-vx3xw9jr8r
    @user-vx3xw9jr8r Жыл бұрын

    kama ni majazi kwenye mnakash umekuja kunafanya nini ungebaki nyumbani unatupotezea band

  • @user-yp9kw4ln6y
    @user-yp9kw4ln6y Жыл бұрын

    Udhifa na mudhafu eleza mambo wazi...Hata wakiristo ukiwasomea andiko kwa bibilia wakiristo hujitetea eti bibilia inamaana fiche si yeyote anaefahamu...na kina Sabas nao wanatumia mbinu ya MAJAZ

  • @salmaali7080
    @salmaali7080 Жыл бұрын

    Swallu allannabiii siku ndohizo za maulidd zinakarabia cc na mauliidd na maulidd na cc

  • @aymanfeysal

    @aymanfeysal

    Жыл бұрын

    😂😂

  • @cheshareisah708

    @cheshareisah708

    Жыл бұрын

    Fanya tu kama unaona ni haki kwako na kama unaiyafanya ki inaadi basi utayarishe jibu kwa Allah.

  • @abasmaalim5423

    @abasmaalim5423

    Жыл бұрын

    Usitueleze sisi hiyo ni itikadi yako yafaa kuiweka moyoni mwako sawa

  • @salmaali7080

    @salmaali7080

    Жыл бұрын

    Swalluu allla habbibbbbbyyyyy

  • @mikidadihussein2961
    @mikidadihussein2961 Жыл бұрын

    Sabbas al kubwa kuvaa kote mijoho kama kama katuni kajipanga kuvaa lakin ukimtazama 😂😂😂hanogi akiongea mcheki Muhammad bachu barakarahufiqi unajuwa kuongea kisomi naunaelimu kubwa kulko sabbas

  • @ahmadabdallah6641
    @ahmadabdallah6641 Жыл бұрын

    Laiti mgelijuwa hao wanaojiita.....? Wanatumia viumbe gani kwa mambo yao mengi mgeshangaa. Makanzu meupe kwa wingi na kujificha kwa dini lakini wafanyayo mtayaona siku ya kiama. Watu hutumia dini kujifichia maovu yao. Maulidi ni bidaa

  • @user-wk7or7dy8t
    @user-wk7or7dy8t Жыл бұрын

    Shekh Muhammad bachu rudi kasome tena maana illimu ya balagha huifaham uwenda ukawa unaisikia inakupasa ujue mafuhumu ya maneno acha kuwa mughtara'u pia urudi kwenye illimu ya sheria.

  • @abasmaalim5423

    @abasmaalim5423

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂 kale ubwabwa ukalale sheheee

Келесі