FULL MUNAQASHA UONGO NDANI YA KITABU CHA MAULID YA BARZANJI
#alhaajartvkenya #kenya #mombasa #tanga
SHARE, COMMENT & SUBSCRIBE
Instagram: Alhaajartvkenya
Twitter: Alhaajartvkenya
Facebook: Alhaajar Ke
KZread: Alhaajartvkenya
© Al Haajar TV Kenya 2023
Пікірлер: 299
Mimi natoka Uganda. Nafurahi sana kuona Muhammad Bachu anafundisha huyo sheikh mwengine. Bachu Allah akuhifadhie Ummah ya Rabbi. Shukran
@kombomakame9541
Жыл бұрын
Nimesoma sana na kuhakiki kazi za fasihi andishi nilipokuwa sekondari. Nilichogundua mwandishi wa kitabu ndie anayejua maudhui na Gani alioitumia katika kutunga kitabu. Kwa hio itabidi mtunzi wa barzanji aje awasilishe kitabu chake. Mimi SI pendi mijadala ya waislamu kwa waislamu kama hii.
@habibasalim3092
Жыл бұрын
Aameen, Bachu wetu Allaah amjalie jannatul firdhaus
Shekh bachu Mungu akuhifadh
Kumbe leo nimemuelewa bachu!!! Yuko swahihi kabisa nampenda mtume lakini siko tayari kufwatana na Hawa wajama wenye kumpachika mtume mambo mazito kama haya wanayoyasema wameyatoa wapi jameni!!!!!!!!!!!! ?eeeeh subhanallah!Malikul qudus!
@ibrahimmohd-ks8kv
Жыл бұрын
Inapokuja hakki basi kwahakika batili huondokaaa....Allah akubariki shekh nassor ....waatuu wa bidaaa achenii jamaniii...ivi nyinyi ni viziwii au vipofu..hamutochekwa vyo...rudini kwenye msingiii jamnaniii....kwahakika Leo umewafundisha
Baarakallaahu sheikh Muhammad bachu. Hao wanao mzushia Mtume ndio wanao mkataa .
Shekhe anauliza muda kama umeishaa apumuee,,jibu hoja acha porojo shekh ,,Allah akuhifadhi,,
Hii ni walkover. Sabas kapigwa Knock out!
Yarab ambariki sheikh bachu na janatul firdaus, bachu amepanda daraja lake...he is a true, very impressive and very eloquent very knowledgeable in regards to Islamic jurisprudence...may Allah protect and bless you...I pray to Allah to give me an opportunity in this life to see, hear and shake the hands of a true Islamic scholar.
@ShafiAthmani-bu6hq
Жыл бұрын
Ww sabasi acha ujinga nenda ukasome mpuuzi ww kadanganye familia Yako mshamba ww
@tocaworld7864
Жыл бұрын
Aamin ya Rabbi.
@habibasalim3092
Жыл бұрын
Aamiin
@NMJAsaid
9 ай бұрын
@@ShafiAthmani-bu6hqfani ya ufidhuli na matusi ni ya watu wa maulidi. Huyu jamaa kamuombea Muhammad Bachu dua, wamtukania nini?!?!?! Kakukosea wapi? Subhaanallah
@maulidimuhammed7851
8 ай бұрын
@@ShafiAthmani-bu6hqDuu huko kukosa hoja.Matusi.Poor on you.
Team Muhammad bachu nampemda juu ya Allah, Allahamdulillah
احبك كثيرا يا محمد باشو و اخوكم ابو ميسرة مسلم سلفي من مويالي
Sheikh sabbas na sheikh diwani , nendeni mkaifadhi iyo aya , Muhammad rasuululaah , dah mnasoma kama gazeti 😢😢😢😢
MaashaAllah Muhammad bacho Nakupenda kwajili Ya Allah
Hahahhha sabbas macho yake nasuura yake zinamwambia huweziiii halafuu ana kazanaaa kupiga uongo
Jibu hoja acha kumtetea barzanji😂😂😂😂😂
بارك الله في شيخي محمد باشو. هؤلاء الشعوب المولية يعرفون كل حقيقة عن المولد لكنهم لا يريدون تفويت المال والطعام مثل بيلاو وبريان😊😊
Sabas was humiliated 😂😂 Bachu mashaa Allah
@habibasalim3092
Жыл бұрын
Maa shaa Allaah baths,Maulidi ni biddah harram
@maulidimuhammed7851
8 ай бұрын
@@habibasalim3092❤
Sabas Al Majazz😂
ماشاء الله تبارك الله...الاخ باشو الله يحفظك من كل شر ويزيدك في العلم بسطة لتعلمنا الحق والباطل...آ مين
Jamani leoi tumejuw haki Bach mashaa allah
Sabas Al sheriya ukipenda sabas Al majaaz😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂Shaikh wangu mazingeeee pole wallah polee😂😂😂😂😂
SABBAS ALKUBRA KAPAUKA MDOMO FAMCHEZO WEEE😂😂
@abdiathumani919
Жыл бұрын
😂😂😂
Mash Allah Sheikh Muhammad Bachou, Nimefurahiya sana hizo hoja
Bachu Allah akujaze kheri nyingi, tunajifunza mengi kutoka kwako
Bachu yuko kwa haki
Allah akuhifadhi Sheikh Mohammed Bachu
Muhammad bacho Hao wana kupotezea time wanajua Ukweli ila wanafuata hawaa za Nafsizao
Wallah inatia huruma c yakucheka nlijua lile zogo la saabbas kabla nlijua ana hoja za kuitetea mashair ya barzanj kumbe hana kitu wallah sabaas almajaaz mnatuaminisha uongo tu najutia mda wng nlosoma kitabu cha barzanj Mungu Atansameh ckua nikijua
Kweli Allah umpa utukufu anae mtaka! Watu wa burundi tuna kufagiliya sana mwana wa bachu na swaiba wako Abu qatada mkono kwa mkono hadi peponi.
@habibasalim3092
Жыл бұрын
Aameen thumma Aameen, Salafi u Salih ndio uislamu ulonyooka sio uzushi wamemzulia mtume mpaka basi, wameenda hadi sasa eti wametengeneza kitabu cha maulidi, Astaghfirullaah
Bachu unabpointi sana ila upo kwenye wakati mgumu nitamuomba mungu hili tatizo lako liishe haraka
Mcheni allah wazushi muna wapoteza watu kuijua haqi.
Bachu ma shaa Allah
Majibu ya sheikh muhammad bachu yanaeleweka kiufasaha na kujibu kwake ni kitaalamu kuliko wanavyo zagaazagaa hao hawaeleweki kabisa
@hudhairfaki1217
Жыл бұрын
Allah akubariki sheikh muhamed hao akili pia hawana sasa hawawezi kujua kwamba wamepotea
@mohamm7khamis
11 ай бұрын
Sio Kuzagaaa sema huna elimu ya kuyaelewa
kwakwel jata mim nilipomuona Shwikh mazinge nlijua hapa Kaka Muhammad amebambwa Lkn Mashallah Allah amekustir hakk sik zote itakuwa wazi tu🙄😁🤲🤲🤲
Ukichunguza sana wazushi mpaka.sura zao nuru zimepotea
@NMJAsaid
9 ай бұрын
😂😂😂😂
Alhamdulillah Allah ameleta neema ya kudhihiri kwa ukweli. Tulikuwa tunaambiwa uongo kuhusu mambo mengi juu ya uzao wa mtume
Mash'allah sheikh Bachu
Kwa hoja 19 washindwa kutetea hata moja,kisha akaweka wazi kwa yeyote yule aje amsaidie bali waliogopa wote.palipo na ukweli uongo hujitenga
Nyinyi nyote ovyo viongozi wadini tena yahaki baada ya kufanya midahalo kama kwa siri kama ulamaa kisha mkakubaliana na kuja kwa pamoja kuwaweka watu katika njia kwapamoja mmekaa mnalumbana ovyo sana nyinyi hamna uwalimu mnauopa uma faida ili makafiri wajue kwamba waisilam wenyewe wanalumbana
بارك الله فيك وجزاك الله خير yaa Bachu
Huyu ndo yule sabass aliyetaka niqash kisha akawa anajisifu ama ni sabass mwengine? Kama ndiyo yeye huyu basi bora akauze mboga mboga sokoni.
Ajiumauma sabasi😂😂😂😂😂😂 mmmmh hujajibuuu maswali kumi naa salaaaaaala
Aaaaa jameni kama huna majibu sema 😂😂😂 maulid sio katika suna za mtume wala sio katika Dini ya kislamu
@swalehbakari2667
Жыл бұрын
Kabisa
@ShabanMohamedi-lb8hs
Жыл бұрын
Hiyo maulidi yenyewe hujui maana yake
@migwa100
Жыл бұрын
@ShabanMohamedi-lb8hs kama mimi sijui moulid mbona huja tokezea kujibu maswali wote mmeshia mitini haki ikija batili huondoka acheni kupotosha watu
Mazinge na mbogo wameshaelewa
@abuubakrshabani5747
11 ай бұрын
😂😂
Mimi siyo mweslam ila bachu unasema kweli sijaona kama amejibu
Sabass anataka kulia
Jamani comment zote niza bachu sabas wako wapi tuwapeni comment japo za upendeleo jamani😢😢😢😢😢😢
Sabas kiarabu kingi sasa wanaokusikiliza hawakuelewi,toa2 tafsili,yamashaili yabarazanji tujue yanamaana gani?
Subhanallah Hadi nimemuonea huruma Sabas🙄😩Yaan anasema niuelewa mbov wakat maneno yapo wazi 😔mhh mwenye macho haambiwi chizaman
@saidsaleem1732
9 ай бұрын
Wewe banchu katafsiri vibaya ajafahamu kiarabu 😂😂
Ali Abubakar, Maa shaa Allaah salafi da'awa is the the connection to Allaah
@asa9268
Жыл бұрын
Shekhe jinga jinga tu hilo 🤣anaogopa nahw kwa sababu ni ilimu mawahabi hawana🤣
Sabas waboeshaaa, kweli
Sheikh Bachu kawapiga viboko wote hadi Mazinge
Muhimu kujibu hoja sio kuanza maswali tena sasa kama sio kweli shekh mohammad bachu Allah akuhifadhi mambo yako wazi washaona makosa ndio mana wanakwepa maswali
Nashangaa wakati mnatufundisha brzanji mnatuaaminisha kua nikweli hamusemi nimajaaz tunaamini matukio yote niyakweli asia mariam wamekuja kwenye mazazi ya Mtume sasa leo mmezidiwa ndio aaaa eeee nimajaaz
Mashalah 😊
Huyu jamaa aliyeevaa kofia ya kijani na miwani huyo nimfuasi wa Sabasi hapo anatamani ampige shekhe wetu Allah amuhifadhi inshallah awanyooshe vizuri
Mazinge kwa vile ninavyokujua unanipemua hilo si swali
Jamani sasa tumejifunza tusiwe tunasema vikanzu hai ona wametufundisha wengi tumesoma icho kitabu subhana llah
Sabas Alsughra!
Shehe Sabbas. Tunaangalia Maneno yaliyoandikwa. Nia IPO moyoni hatuhukumu Nia. Maneno ya MTU kaweka hovyo tunanukuu maandiko hovyo. Angefanya kazi kutunga Fiqhu Tawheed na mengine. Maulidi mmefanya Ibada. Kama kwamba mwzjuwa zaidi kuliko maswahaba
Sabas al majaaz
Jibu maswali unatuletea maneno
Sheke sabsi mbona sioni kujibu hoja
Mwamba Mim nimekuelewa sana napo Bachu hapawezi
WALLAHI huyu SABBAS kaja kunimalizia MB zangu Bure bila ya faida yeyote
Mie ni mama Niko wa Burundi Bachu Allah akulinde umeibua virus vilivo kua binashindwa kupigania ukweli juu ya maulid
Wababaika kwel umechagua lamwisho ndio waanza nalo
Sabas alitakiwa ataje ayah hadith qawl za wanachuoni au vitabu ampinge Sheikh Bachu,je aliyataja hayo kama nlipitwa na nukuu zake naomba ziletwe mtandaoni
ManshAllah cheikh Yaqub uyo ni uvundo
Jamaa wa maulid Wana jazba hapa ni hoja Kwa hoja hakuna porojo😅
We nimkaidi tuu sabas yan nimkaidi Sana.
Sabas nimemuelewa yeye kasimama kwenye sharia .. Bachu anataka ajibiwe kihuni ..
@AliDaud-si3fg
Жыл бұрын
sabas ameweka pingamizi la kisheria halafu kabakia mezani. ww ulitarajia kipi kingemfika?
Mimi mkristo ila nakufuatilia sana mafundisho yako bachu❤
Mm ni suni lakini naiyaga ukweli unaonekan wa situletee u babaifu wana nikera watu wa maulidi cjui wana napata faida gan
Lkini mbna hawa watu wanapindisha mambo badala y kujibu moja kwa moja
Sioni sababu ya waislamu kujadili barazanji,tunafikra potofu za kujadili mdahalo huo,kwani ukiamini barazanji inakutoa nje ya uislam, tungefikiria kwenda vijijini huko watu hawajui dini mkawafunze dini
Mazinge amechemsha leo😂😂😂
@abuuamourmuhamed1934
Жыл бұрын
Kachemsha mayai bila maji 😂😂😂😂
@Abuyusuf134
Жыл бұрын
@@abuuamourmuhamed1934 hahahaha!!!
Mnakimbia ongezeni mfa wamaswali mazinge kayakanyaga
Shekhe wabarazanji unadharau halafu unaigunika haki unatafuta namna yakupitisha haki ikiwa unajua
Uzuri wa dini yetu na utaratibu wake kila kitu ni elimu na Sheria zake ila wengi wetu atuja kaachini kufundiswa ni walimu ila walimu wetu ni Google na diyo maana tumeishiya kushakiya kama mbira wa yanga na simba.tu
Mada tuiache nataka shirki😂😂😂😂😂
Sabas ameshindwa kabisa kuzijibu nukta za Sheikh Muhammad Bachu. Elimu ndio muhimu sio majoho ya Mufti..Sabas amezunguka sana ili kupoteza tu muda na kukimbia kujibu maswali.
Kila mmoja yupo sahihi kwa mtazamo wake
Etii watu wa Elmuu infatilieni vizur
Sabasi😂😂😂😂😂😂😂😂😂 hapana bwana. Keti ujifunze ndio ukae na masheikh
Sabbas hueleweki
Mbona naskia sauti ya Radio Salaam hapo
mwenye hoja ya maulidi kuyafanya na afanye na asiotaka aachane nayo....mbona yalikuwa yakisomwa tangiaa
Bachu achana nao wanakubabaisha tu
Waislamu tujiandae na majibu kutoka kwa Makafiri baada ya mjadala.
Mahkurafi mpoo
masufi wafata nyayo za manaswara kutukuza mitume yao kupita mipaka lete dalili mtume صلى الله عليه وسلم aliumbwa na udongo wa kaburi lake na kama ni majazi elezea ni vp
OWONGO ZA MASJHAIRI ZA BAZRANJI ZIMEKUWA NJIYA YA DANGANYA WATU MALI YAO NA KUSAMBASA USHIRIKINA وأخرج أبو نعيم عن عمرو بن قتيبة قال: سمعت أبي وكان من أوعية العلم قال: لما حضرت ولادة آمنة قال الله لملائكته: افتحوا أبواب السماء كلها وأبواب الجنان كلها، وأمر الله الملائكة بالحضور فنزلت تبشر بعضها بعضًا، وتطاولت جبال الدنيا وارتفعت البحار وتباشر أهلها فلم يبق ملك إلا حضر. وأخذ الشيطان فغلّ سبعين غلًا، وألقي منكوسًا في لجة البحر الخضراء، وغُلّت الشياطين والمردة، وألبست الشمس يومئذ نورًا عظيمًا وأقيم على رأسها سبعون ألف حوراء في الهواء ينتظرن ولادة محمد صلى الله عليه وسلم. وكان قد أذن الله تلك السنة لنساء الدنيا أن يحملن ذكورًا كرامة لمحمد صلى الله عليه وسلم، وأن لا تبقى شجرة إلا حملت، ولا خَوْف إلا عاد أمنًا. فلما ولد النبي صلى الله عليه وسلم امتلأت الدنيا كلها نورًا وتباشرت الملائكة، وضرب في كل سماء عمود من زبرجد وعمود من ياقوت قد استنار به فهي معروفة في السماء، قد رآها رسول الله صلى الله عليه وسلم ليلة الإسراء، قيل هذا ما ضرب لك استبشارًا بولادتك. وقد أنبت الله ليلة ولد على شاطئ نهر الكوثر سبعين ألف شجرة من المسك الأذفر جعلت ثمارها بخور أهل الجنة وكل أهل السماء يدعون بالسلامة، ونكست الأصنام كلها وأما اللات والعزى فإنهما خرجتا من خزانتهما وهما تقولان: ويح قريش جاءهم الأمين جاءهم الصديق لا تعلم قريش ماذا أصابها. وأما البيت فأيامًا سمعوا من جوفه صوتًا وهو يقول: الآن يرد عليّ نوري، الآن يجيئني زواري، الآن أطهر من أدناس الجاهلية، أيتها العزى هلكت. ولم تسكن زلزلة البيت ثلاثة أيام ولياليهن. وهذه أول علامة رأت قريش من مولد رسول الله صلى الله عليه وسلم.
Nikimuona Bachu nasikiya nilie mtoto mdogo ameibua mengi semen I kweli Bachu uko sahihi
Ndugu yangu mpenda wali wa maulidi, achana na maulidi itawapoteza
@ustadhoomar1254
Жыл бұрын
Sie weye uliepotea
@hassancassim8748
10 ай бұрын
Acha ujinga wewe wali unausiana na nn na izi mada acha kukashifu wenzio
kama ni majazi kwenye mnakash umekuja kunafanya nini ungebaki nyumbani unatupotezea band
Udhifa na mudhafu eleza mambo wazi...Hata wakiristo ukiwasomea andiko kwa bibilia wakiristo hujitetea eti bibilia inamaana fiche si yeyote anaefahamu...na kina Sabas nao wanatumia mbinu ya MAJAZ
Swallu allannabiii siku ndohizo za maulidd zinakarabia cc na mauliidd na maulidd na cc
@aymanfeysal
Жыл бұрын
😂😂
@cheshareisah708
Жыл бұрын
Fanya tu kama unaona ni haki kwako na kama unaiyafanya ki inaadi basi utayarishe jibu kwa Allah.
@abasmaalim5423
Жыл бұрын
Usitueleze sisi hiyo ni itikadi yako yafaa kuiweka moyoni mwako sawa
@salmaali7080
Жыл бұрын
Swalluu allla habbibbbbbyyyyy
Sabbas al kubwa kuvaa kote mijoho kama kama katuni kajipanga kuvaa lakin ukimtazama 😂😂😂hanogi akiongea mcheki Muhammad bachu barakarahufiqi unajuwa kuongea kisomi naunaelimu kubwa kulko sabbas
Laiti mgelijuwa hao wanaojiita.....? Wanatumia viumbe gani kwa mambo yao mengi mgeshangaa. Makanzu meupe kwa wingi na kujificha kwa dini lakini wafanyayo mtayaona siku ya kiama. Watu hutumia dini kujifichia maovu yao. Maulidi ni bidaa
Shekh Muhammad bachu rudi kasome tena maana illimu ya balagha huifaham uwenda ukawa unaisikia inakupasa ujue mafuhumu ya maneno acha kuwa mughtara'u pia urudi kwenye illimu ya sheria.
@abasmaalim5423
Жыл бұрын
😂😂😂😂 kale ubwabwa ukalale sheheee