USTADHI MBOGO ATOA SOMO KWA USTADHI SHAFII KUHUSU KUTUMIA MAJINI, AMPAMBA DR SULLE
SULEIMAN MBOGO AWAELIMISHA WATU KUHUSU MAJINI WEMA NA MAJINI WABAYA NA KUAMUA KUMUONYESHA USTADHI SHAFII KWAMBA ANACHOKOSA NI ELIMU
Жүктеу.....
Пікірлер: 36
@user-ix2iv4wb6m2 күн бұрын
Asante shehe kwa kukubaliana na ndacha,
@osmundmtavangu3 күн бұрын
Aaafu anatokea mtu anaamkana Yesu Kristo anahamia dini za ajabu ajabu. Asante sana Shekhe.
@otaibonny8835
3 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@jotafungo4622
3 күн бұрын
Dini zote duniani ni miyeyusho tu
@QWARIDAMassay
3 күн бұрын
Poleeeeni sana waislaaaaam
@QWARIDAMassay
3 күн бұрын
C kila biblia ni biblia....tunataka original Bible c zilizochakachuliwa
@osmundmtavangu
3 күн бұрын
@@QWARIDAMassay Kwani Torati original ya kwenu mliipeleka wapi? Tuanzie hapo kwanza
@Mukhtar-cs6bd3 күн бұрын
We unamjua njoka vzr? Black mamba anasemeshwa
@zuberkasim71502 күн бұрын
Biblia inakubali mungu wao kamtuma pepo 2maMbo ya nyakati 18- 20 1wafalme22-21
@SaxidyMud-gd4bq3 күн бұрын
Mkihitilafiana katika dini rudini kwenye qurani na sunna za mtume Hatukuambiwa turudi kwenye vitabu vya wanachuoni Shafii anajua sana Hoja zinaeleweka We unaruka ruka shekhe mbogo Hata iyo ya kumjua jini mwema Mtume hakusema mkiwajua wema shirikianeni nao Acheni kupotosha umma wa kiislamu 💪💪💪
@FridayMwassa
Күн бұрын
Nendeni mkaulize kwa watu wa kitabu
@mohagurey22143 күн бұрын
Msitumie vitabu za mawahabi kila mkitaka kudhibitisha mambo, kwani masufi hamna vitabu zenu na wanazuoni wenu
@Thabitilubunani3 күн бұрын
Umeulizwa unatafautishaje jini na michawi unababaisha babisha tu
@Thabitilubunani3 күн бұрын
Kasome acha kubabaisha na unajiupa ushkhe
@athumanimashingo63063 күн бұрын
Yani huyu mweupe sana! Elim yake ndogo naskini, eti nae shee!
@mohagurey22143 күн бұрын
Hakuna takbira wakati wa kuzika, ni kizushi tu
@zuberkasim71502 күн бұрын
Tunachoitaji ni aya au hadithi ya mtume inayo thibitisha tunasali na majini
@mbalilax1623 күн бұрын
Uislamu unachekesha sana...hahahaa, jamani!!!
@mwinyidullailovetheprogram74043 күн бұрын
Mmh kwani kuna takbira za kwenda kuzikia??? Sijaziskia mmi hebu nipeni elimu juu ya hili jambo
@salisali37383 күн бұрын
Yaaani mbogo ktk watu vibaraka na waongo ww una ongoza loo
@dullahmwamba93523 күн бұрын
Kama una video onyesha acha unafki
@mohagurey22143 күн бұрын
Kama kosa lako liko mtandaoni lazima hata wewe ukosikowe mtandaoni
@IdrissaMoussa-tx7jy3 күн бұрын
Mbogo ugakosea sana.
@mwoso3 күн бұрын
Sule amefichua siri ambayo waisilamu walikua hawakubali kukiri hapo awali.
@salisali37383 күн бұрын
Mbogo atupishe hata kusoma kwa lugha ya kiarabu hujuii na ume tafsiri sivyo nenda kujifunza bado sana ww
@salisali37383 күн бұрын
Yaaani huyu mtu una soma kwa tabu sana hiyo tu yaonyesha bado huna elimu
Sheikh unachokisema ni kuidharirisha dini ya Allah,unafanya waislam tutukanwe na wasio kuwa waislam na kuwakatisha tamaa walio taka kuslim kwa kusema sisi ni washirikina
@osmundmtavangu
3 күн бұрын
Kwahiyo unataka aongee uongo Ili akuridhishe? Yeye anaongea ukweli kulingana na kitabu chenu cha dini(Quran).Yeye si wa kwanza kusema haya na wala hatakua mtu wa mwisho. Shida nyie waumini wa kawaida hiyo elimu ya ushirikina mmefichwa. Hata misikitini hamfundishwi hii ni Siri ya Mashekhe tu. We endelea kupiga Taqbiri.
@Mukhtar-cs6bd3 күн бұрын
Hi nja mbaya jamani.huyu ananjaa sana
@joshuajohn8533
Күн бұрын
Njaa ya chakula au😅
@salisali37383 күн бұрын
Mbogo acha uongo yatosha tu una ongea kwa nguvu ili uaminishe watu na punguza kuwa kibaraka
@zuberkasim71502 күн бұрын
Ndacha hamuwezi shafii hata ndotoni kama hoja ni mapepo wasafi na wachafu wapo vitabu vyote qurani na biblia
@IdrissaMoussa-tx7jy3 күн бұрын
Mbogo iyo ninja,acha nja dini ya Islam siyo kushilikiana na majini.acha nja.
Пікірлер: 36
Asante shehe kwa kukubaliana na ndacha,
Aaafu anatokea mtu anaamkana Yesu Kristo anahamia dini za ajabu ajabu. Asante sana Shekhe.
@otaibonny8835
3 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@jotafungo4622
3 күн бұрын
Dini zote duniani ni miyeyusho tu
@QWARIDAMassay
3 күн бұрын
Poleeeeni sana waislaaaaam
@QWARIDAMassay
3 күн бұрын
C kila biblia ni biblia....tunataka original Bible c zilizochakachuliwa
@osmundmtavangu
3 күн бұрын
@@QWARIDAMassay Kwani Torati original ya kwenu mliipeleka wapi? Tuanzie hapo kwanza
We unamjua njoka vzr? Black mamba anasemeshwa
Biblia inakubali mungu wao kamtuma pepo 2maMbo ya nyakati 18- 20 1wafalme22-21
Mkihitilafiana katika dini rudini kwenye qurani na sunna za mtume Hatukuambiwa turudi kwenye vitabu vya wanachuoni Shafii anajua sana Hoja zinaeleweka We unaruka ruka shekhe mbogo Hata iyo ya kumjua jini mwema Mtume hakusema mkiwajua wema shirikianeni nao Acheni kupotosha umma wa kiislamu 💪💪💪
@FridayMwassa
Күн бұрын
Nendeni mkaulize kwa watu wa kitabu
Msitumie vitabu za mawahabi kila mkitaka kudhibitisha mambo, kwani masufi hamna vitabu zenu na wanazuoni wenu
Umeulizwa unatafautishaje jini na michawi unababaisha babisha tu
Kasome acha kubabaisha na unajiupa ushkhe
Yani huyu mweupe sana! Elim yake ndogo naskini, eti nae shee!
Hakuna takbira wakati wa kuzika, ni kizushi tu
Tunachoitaji ni aya au hadithi ya mtume inayo thibitisha tunasali na majini
Uislamu unachekesha sana...hahahaa, jamani!!!
Mmh kwani kuna takbira za kwenda kuzikia??? Sijaziskia mmi hebu nipeni elimu juu ya hili jambo
Yaaani mbogo ktk watu vibaraka na waongo ww una ongoza loo
Kama una video onyesha acha unafki
Kama kosa lako liko mtandaoni lazima hata wewe ukosikowe mtandaoni
Mbogo ugakosea sana.
Sule amefichua siri ambayo waisilamu walikua hawakubali kukiri hapo awali.
Mbogo atupishe hata kusoma kwa lugha ya kiarabu hujuii na ume tafsiri sivyo nenda kujifunza bado sana ww
Yaaani huyu mtu una soma kwa tabu sana hiyo tu yaonyesha bado huna elimu
Mbogo punguza sifaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
wanatia kiyatu wenyewe!
Sheikh unachokisema ni kuidharirisha dini ya Allah,unafanya waislam tutukanwe na wasio kuwa waislam na kuwakatisha tamaa walio taka kuslim kwa kusema sisi ni washirikina
@osmundmtavangu
3 күн бұрын
Kwahiyo unataka aongee uongo Ili akuridhishe? Yeye anaongea ukweli kulingana na kitabu chenu cha dini(Quran).Yeye si wa kwanza kusema haya na wala hatakua mtu wa mwisho. Shida nyie waumini wa kawaida hiyo elimu ya ushirikina mmefichwa. Hata misikitini hamfundishwi hii ni Siri ya Mashekhe tu. We endelea kupiga Taqbiri.
Hi nja mbaya jamani.huyu ananjaa sana
@joshuajohn8533
Күн бұрын
Njaa ya chakula au😅
Mbogo acha uongo yatosha tu una ongea kwa nguvu ili uaminishe watu na punguza kuwa kibaraka
Ndacha hamuwezi shafii hata ndotoni kama hoja ni mapepo wasafi na wachafu wapo vitabu vyote qurani na biblia
Mbogo iyo ninja,acha nja dini ya Islam siyo kushilikiana na majini.acha nja.