USTADHI MBOGO ATOA SOMO KWA USTADHI SHAFII KUHUSU KUTUMIA MAJINI, AMPAMBA DR SULLE

SULEIMAN MBOGO AWAELIMISHA WATU KUHUSU MAJINI WEMA NA MAJINI WABAYA NA KUAMUA KUMUONYESHA USTADHI SHAFII KWAMBA ANACHOKOSA NI ELIMU

Пікірлер: 36

  • @user-ix2iv4wb6m
    @user-ix2iv4wb6m2 күн бұрын

    Asante shehe kwa kukubaliana na ndacha,

  • @osmundmtavangu
    @osmundmtavangu3 күн бұрын

    Aaafu anatokea mtu anaamkana Yesu Kristo anahamia dini za ajabu ajabu. Asante sana Shekhe.

  • @otaibonny8835

    @otaibonny8835

    3 күн бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @jotafungo4622

    @jotafungo4622

    3 күн бұрын

    Dini zote duniani ni miyeyusho tu

  • @QWARIDAMassay

    @QWARIDAMassay

    3 күн бұрын

    Poleeeeni sana waislaaaaam

  • @QWARIDAMassay

    @QWARIDAMassay

    3 күн бұрын

    C kila biblia ni biblia....tunataka original Bible c zilizochakachuliwa

  • @osmundmtavangu

    @osmundmtavangu

    3 күн бұрын

    @@QWARIDAMassay Kwani Torati original ya kwenu mliipeleka wapi? Tuanzie hapo kwanza

  • @Mukhtar-cs6bd
    @Mukhtar-cs6bd3 күн бұрын

    We unamjua njoka vzr? Black mamba anasemeshwa

  • @zuberkasim7150
    @zuberkasim71502 күн бұрын

    Biblia inakubali mungu wao kamtuma pepo 2maMbo ya nyakati 18- 20 1wafalme22-21

  • @SaxidyMud-gd4bq
    @SaxidyMud-gd4bq3 күн бұрын

    Mkihitilafiana katika dini rudini kwenye qurani na sunna za mtume Hatukuambiwa turudi kwenye vitabu vya wanachuoni Shafii anajua sana Hoja zinaeleweka We unaruka ruka shekhe mbogo Hata iyo ya kumjua jini mwema Mtume hakusema mkiwajua wema shirikianeni nao Acheni kupotosha umma wa kiislamu 💪💪💪

  • @FridayMwassa

    @FridayMwassa

    Күн бұрын

    Nendeni mkaulize kwa watu wa kitabu

  • @mohagurey2214
    @mohagurey22143 күн бұрын

    Msitumie vitabu za mawahabi kila mkitaka kudhibitisha mambo, kwani masufi hamna vitabu zenu na wanazuoni wenu

  • @Thabitilubunani
    @Thabitilubunani3 күн бұрын

    Umeulizwa unatafautishaje jini na michawi unababaisha babisha tu

  • @Thabitilubunani
    @Thabitilubunani3 күн бұрын

    Kasome acha kubabaisha na unajiupa ushkhe

  • @athumanimashingo6306
    @athumanimashingo63063 күн бұрын

    Yani huyu mweupe sana! Elim yake ndogo naskini, eti nae shee!

  • @mohagurey2214
    @mohagurey22143 күн бұрын

    Hakuna takbira wakati wa kuzika, ni kizushi tu

  • @zuberkasim7150
    @zuberkasim71502 күн бұрын

    Tunachoitaji ni aya au hadithi ya mtume inayo thibitisha tunasali na majini

  • @mbalilax162
    @mbalilax1623 күн бұрын

    Uislamu unachekesha sana...hahahaa, jamani!!!

  • @mwinyidullailovetheprogram7404
    @mwinyidullailovetheprogram74043 күн бұрын

    Mmh kwani kuna takbira za kwenda kuzikia??? Sijaziskia mmi hebu nipeni elimu juu ya hili jambo

  • @salisali3738
    @salisali37383 күн бұрын

    Yaaani mbogo ktk watu vibaraka na waongo ww una ongoza loo

  • @dullahmwamba9352
    @dullahmwamba93523 күн бұрын

    Kama una video onyesha acha unafki

  • @mohagurey2214
    @mohagurey22143 күн бұрын

    Kama kosa lako liko mtandaoni lazima hata wewe ukosikowe mtandaoni

  • @IdrissaMoussa-tx7jy
    @IdrissaMoussa-tx7jy3 күн бұрын

    Mbogo ugakosea sana.

  • @mwoso
    @mwoso3 күн бұрын

    Sule amefichua siri ambayo waisilamu walikua hawakubali kukiri hapo awali.

  • @salisali3738
    @salisali37383 күн бұрын

    Mbogo atupishe hata kusoma kwa lugha ya kiarabu hujuii na ume tafsiri sivyo nenda kujifunza bado sana ww

  • @salisali3738
    @salisali37383 күн бұрын

    Yaaani huyu mtu una soma kwa tabu sana hiyo tu yaonyesha bado huna elimu

  • @salisali3738
    @salisali37383 күн бұрын

    Mbogo punguza sifaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @JeanMuzaliwa-bs6qh
    @JeanMuzaliwa-bs6qh3 күн бұрын

    wanatia kiyatu wenyewe!

  • @Ismailmusa-y6b
    @Ismailmusa-y6b3 күн бұрын

    Sheikh unachokisema ni kuidharirisha dini ya Allah,unafanya waislam tutukanwe na wasio kuwa waislam na kuwakatisha tamaa walio taka kuslim kwa kusema sisi ni washirikina

  • @osmundmtavangu

    @osmundmtavangu

    3 күн бұрын

    Kwahiyo unataka aongee uongo Ili akuridhishe? Yeye anaongea ukweli kulingana na kitabu chenu cha dini(Quran).Yeye si wa kwanza kusema haya na wala hatakua mtu wa mwisho. Shida nyie waumini wa kawaida hiyo elimu ya ushirikina mmefichwa. Hata misikitini hamfundishwi hii ni Siri ya Mashekhe tu. We endelea kupiga Taqbiri.

  • @Mukhtar-cs6bd
    @Mukhtar-cs6bd3 күн бұрын

    Hi nja mbaya jamani.huyu ananjaa sana

  • @joshuajohn8533

    @joshuajohn8533

    Күн бұрын

    Njaa ya chakula au😅

  • @salisali3738
    @salisali37383 күн бұрын

    Mbogo acha uongo yatosha tu una ongea kwa nguvu ili uaminishe watu na punguza kuwa kibaraka

  • @zuberkasim7150
    @zuberkasim71502 күн бұрын

    Ndacha hamuwezi shafii hata ndotoni kama hoja ni mapepo wasafi na wachafu wapo vitabu vyote qurani na biblia

  • @IdrissaMoussa-tx7jy
    @IdrissaMoussa-tx7jy3 күн бұрын

    Mbogo iyo ninja,acha nja dini ya Islam siyo kushilikiana na majini.acha nja.

Келесі