SHEIK MBOGO ARIPUKA NA USTADHI SHAFII MAADA YA DR SULLE KUTUMIA PETE NA MAJINI KAMA NABII SULEIMAN

TUMEPATA WASAA WA KUPATA ELIMU KUTOKA KWA MHADHIRI SULEIMAN MBOGO KUHUSU WAISLAMU KUMFUATA NABII SULEIMAN KATIKA TIBA NA MANABII WENGINE

Пікірлер: 13

  • @pammymoraamoraa6702
    @pammymoraamoraa67025 күн бұрын

    Mohamed akifundusha watu wake ju yakumfuata yeye kama mtume alisema mnifuate tu lakini hatamimi sina ukweli namfuta nani. Kumaniisha mungu wake hakua na imani nayee aliweka watu tu kwa Chama yake sio kwa mwenyezi mungu.Yesu ndie bwana na njia tu nikumpitia yeye.poleni lakini ndivio ilibyo

  • @BaruMasimango-zo2se
    @BaruMasimango-zo2se5 күн бұрын

    Mashallah👌👌

  • @dannyosolo2752
    @dannyosolo27525 күн бұрын

    Mimi Mkristo lakini nampongeza..Sheikh Mbogo...Sheikh Mazinge..Sheikh Kinyogori...Sheikh Dr Sule..Sheikh Mwaipopo...Hawa ni mabingwa(CHAMPIONS of Islam) wa kiislamu

  • @user-tz8zu2gt6u
    @user-tz8zu2gt6u4 күн бұрын

    mwisho tumufuate yesu kristo tuajane na mambo mengi

  • @0badiaMwasongwe-rt1wr
    @0badiaMwasongwe-rt1wr4 күн бұрын

    Kwenye Biblia imetabiliwa nazani ni TIMETHEO 4:4 WATAACHA KWELI YA MUNGU NA KUFUATA HADITHI ZA UWONGO.

  • @ramadhanmgumba3680
    @ramadhanmgumba36804 күн бұрын

    M sioni 7b ya kuwatukana mashekh kwa7b kukhtilafiana walianza wana vyuoni wakubwa hawa wanaendeleza tu Ubu tuwaheshim mashekh zetu jaman kwa7b ukianza kwa huyu mbogo, shafii na dr sule wote wanafanya kaz kubwa katka uislamu kwa wanaofuatlia mijadala ya waislamu na wakristo watakuwa wamenielewa

  • @IdrissaMoussa-tx7jy
    @IdrissaMoussa-tx7jy5 күн бұрын

    Sisi wa Islam tunamufata Muhammad ww hatumufate wamitume wengine ila tunawamini. Kama vile malaise wa ichi zingine tunawamini kama ni ma perezident sio wa ichi yetu.

  • @salehemimbi1895
    @salehemimbi18955 күн бұрын

    Wewe mbona haujatumia majini utajirike kama Sule na majini yake,umekaa na kutoa povu tu hapo

  • @salehemimbi1895
    @salehemimbi18955 күн бұрын

    Halafu mnashindwa kufundisha dini watu waijue sawa sawa,umekaa tu majini majini. Hakuna vitu vingine vya kuelimisha?

  • @salmaghalib5474
    @salmaghalib54745 күн бұрын

    Manno yako huna hata maana

  • @salehemimbi1895
    @salehemimbi18955 күн бұрын

    Mbogo wewe,ni mshirikina,ukiamini majini Shafii yuko sawa

  • @allyway999
    @allyway9995 күн бұрын

    Shke inanidi tukufundishe sis wanafunzi Sasa maana unataka kubisha vitu ambavyo hata mtoto anaelewa Sasa nasemaje kama ilivyo Allah anasema tufuate quran na sunna za Mtume Muhammad sio tumfate Sulaiman au kwavile aliwatumia Majin ndo kumg'ang'ania ivyo yaan wewe Akili zako Azina akili kabisa

  • @allyway999
    @allyway9995 күн бұрын

    Huyu jamaa anatoa haya ya Quran kulazimisha sija soma mimi lakini najua kwenye quran kuna history geography science na alafu ukisikia faten Mila za nabii iblahimu Sasa unataka kusema mpaka jinsi yakuswali iblahm ilikuwa ni swala tano wakani Mtume wetu kapewa yy swala tano we vepe wew you talk no sense ukisikia mila iliyo maanishwa hapo maanayake alikuwa muislam na muamin na alikuwa simshirikina kama unavyo yaka wewe ndio lengo la Aya iyo we vepe

Келесі