USTADHI KONDOBUNGO APINGA KUTUMIA PETE NA MAJINI KUVUTA UTAJIRI KAMA DR SULLE, AMKUBALI UST. SHAFII

TUMEPATA WASAA WA KUONGEA NA USTADH KONDOBUNGO KUHUSIANA NA MATUMIZI YA PETE NA MAJINI KATIKA UISLAMU NA KUPINGA KWA MUJIBU WA MTUME

Пікірлер: 39

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani54813 күн бұрын

    Mashalah mashalah mashalah tunajifunza

  • @ismailsoud3634
    @ismailsoud36342 күн бұрын

    Uislamu haumrazishi mtu ila kwa hiyari yake mwenyewe. Uislamu ameushika Mwenyezi Mungu mwenyewe, akishirikuana na wanaoutaka uislamu., na anaye uchafua uiskamu ni sawa anajichafua yeye mwenyewe, uislamu wenyewe upo safi.

  • @ismailsoud3634
    @ismailsoud36343 күн бұрын

    Sheikh ni wa kwanza katika masheikh ambayye anampwekesha Mwenyezi Mungu katika ufalme na uweza wake Mwenyezi Mungu. Na ndio nilipata kummwambia Dr. Sule kuwa unapotosha imani za watu ole usipojieousha utasujudu kuzimu. Huko kuna UJI WA CHUMA. Nikasema hakuna jinni mwema kwa mwanadamu.

  • @zuberkasim7150
    @zuberkasim71504 күн бұрын

    Ukosawa kabisa ustadh uNaeleweka

  • @pammymoraamoraa6702
    @pammymoraamoraa67024 күн бұрын

    Tunataka watu wa eliminate kama hii anaweka kilakitu hatharani kuelewesha watu, ameogea kama watu mia na Mia , Asante nauendelee Mutugi fish’s zaidi kwawale hawaelewi waelewi zaidi

  • @user-oh1cy6iv2r
    @user-oh1cy6iv2r4 күн бұрын

    100%

  • @IdrissaMoussa-tx7jy
    @IdrissaMoussa-tx7jy5 күн бұрын

    Allah akibaru Dr sulle ni nja tu

  • @keidykudrat2533
    @keidykudrat25335 күн бұрын

    Dr sule kazimguwa

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani54813 күн бұрын

    Uyo mtangazaji maswali yake yakujiludia ludia muda wote na haelew

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z5 күн бұрын

    Darsa imenyooka sana...

  • @Chrisblaze-beats
    @Chrisblaze-beats5 күн бұрын

    ME NI MKRISTO NA NIMEKUELEWA VIZURI SANA NA UMEONGEA SAHIHI. Mwenye anaetumia majini ndio lazima akupinge na asikuelewe. Ila tunawaelewa WANAKAZAVICHWA KUMKUBALI MUNGU.😅

  • @GodenBMDaniel
    @GodenBMDaniel5 күн бұрын

    Majini siyo wakushirikiyana nao, maana adhabu ya Moto imeshatolewa kwao, hakuna msamaha tena kwamajini. Nikama mwizi ukishirikiana naye na wewe ni mwizi

  • @Chrisblaze-beats
    @Chrisblaze-beats5 күн бұрын

    Me ni mkristo mkatoliki ila huyu shekhe ameongea vizuri sana. Sule anapotosha UISLAM unakua uchawi.

  • @prochesernest5439

    @prochesernest5439

    5 күн бұрын

    Wewe mkristo unatetea Nini kuhusu uislamu wakati majini ni ndungu zao mashetani mapepo wachafu mkristo autakiwi kuwatetea majini ju ya mwanadamu Yesu aliamlisha kuyafukuza mapepo wachafu majini

  • @FridayMwassa

    @FridayMwassa

    4 күн бұрын

    Wewe ni mpinga kristo maana hakuna mkristo wa hivyo

  • @prochesernest5439

    @prochesernest5439

    4 күн бұрын

    @@FridayMwassa mpinga kristo ni yoyote anayeamini Kuwa Kuna majini wazuri mapepo wachafu wakati Yesu alituambia tuwafukuze mapepo wachafu majini Toka huko njoo Kwa Yesu kristo mwokozi wetu hupone jehanamu ipo

  • @prochesernest5439

    @prochesernest5439

    4 күн бұрын

    @@FridayMwassa wewe mkristo Gani mpenda mapepo wachafu majini wewe hao unaowatetea wanakupinga Kuwa Yesu Sio mwana WA Mungu na hakufa hachana nao

  • @Chrisblaze-beats

    @Chrisblaze-beats

    4 күн бұрын

    @@FridayMwassa Hoja ipi inapingana na ukristo kaongea au sababu ni muislam sitakiwi kumuunga mkono? Me naona yupo sawa juu ya majini . Hakuna jini anaepaswa kuabudiwa. Ni uchawi. Me naamini kutakua na waislam safi tu hawaamini kama sule.

  • @user-fu3cg3gv9g
    @user-fu3cg3gv9g5 күн бұрын

    Bas itabidi mkubaliane kama pete ni uchawi mchawi wa kwanza suleman

  • @FridayMwassa

    @FridayMwassa

    4 күн бұрын

    Suleman mwarabu ndiyo alikuwa na mapete ya kichawi lakini suleman mwana wa David myahudi hakuwa na upumbavu huo

  • @msemakweli243
    @msemakweli2435 күн бұрын

    Huyu sheh amejitahidi kueleza lakn bado ukweli anauficha

  • @ramadhanimandoa716

    @ramadhanimandoa716

    4 күн бұрын

    We inaonekan ni mjinga na km sio shoga wew sijui

  • @msemakweli243

    @msemakweli243

    4 күн бұрын

    @@ramadhanimandoa716 upo sahihi kwa ulichofikili, njia ya mpumbavu ni safi kwa macho na moyo wake mwenyewe kama wewe

  • @kdloon2030

    @kdloon2030

    3 күн бұрын

    Sheikh kamaliza,ila wewe uelewa wako ndiyo mdogo!Kama huna bando za mawazo,tazama tena utang'amua wapi ume miss

  • @RashidiMwanongo
    @RashidiMwanongo5 күн бұрын

    Huyu bado hajielewi anatafuta umarufu

  • @saidisaidi4502

    @saidisaidi4502

    5 күн бұрын

    Yah wewe inaonyesha ujielewi huyu sheikh kondo ni sheikh mkubwa maarufu Hao kina sulle waulize wakufahamishe

  • @Chrisblaze-beats

    @Chrisblaze-beats

    5 күн бұрын

    We utakua unamajini ndio lazima umpinge😂😂😂 Hahiitaji D mbili kukuelewa mtu kama wewe.

  • @user13375

    @user13375

    4 күн бұрын

    Waislam mnatupigia kelele tu, mtume aliwasilimisha wakawa waislam ndugu zenu😮😮😮

  • @kdloon2030

    @kdloon2030

    3 күн бұрын

    @@RashidiMwanongo wewe na yeye nani maarufu hasa,au ndiyo mara yako ya kwanza kumuona!Mtoto mdogo

  • @chaco1466
    @chaco14665 күн бұрын

    Yaani bado sija Helewa wakina nani wako sahihi

  • @mohagurey2214
    @mohagurey22144 күн бұрын

    Huyu shehe anaongea kama mawahabi

  • @isihakaabdul1134

    @isihakaabdul1134

    2 күн бұрын

    @@mohagurey2214 kumbe mawahabi sio waislamu kumbeee, ndo umenifundisha leo

  • @mohagurey2214

    @mohagurey2214

    2 күн бұрын

    @@isihakaabdul1134 kweli sio waislamu

  • @user-hv4px1dh4l
    @user-hv4px1dh4l5 күн бұрын

    Waislam na dini yenu woote ni washirikina ,hamna lolote😮😮😮😮😮

  • @saidnaggy5209

    @saidnaggy5209

    4 күн бұрын

    Usitukane tu sikiliza elimu iliotolewa hapo.kwa kweli waislamu ni wasomi sana na wako na elimu kubwa sana..ambazo wewe mwenyewe niko na imani hapo ulipo unashangaa

  • @saidnaggy5209

    @saidnaggy5209

    4 күн бұрын

    Nyinyi hamna hata wanachuoni ndio maana hamuelewi mambo mengi munadanganywa na wazungu ambao hao wazungu wenyewe wanatumia qur'an kufanyia tafiti zao

  • @vijasa1124

    @vijasa1124

    3 күн бұрын

    @@user-hv4px1dh4l Unamaana tukiwa mahakamani ushahidi tayari unao

Келесі