Shukran kwa ukumbusho sheikh Allah akupe umri mrefu uzidi kututoa kwenye ujinga
@SinemaZaChina24 күн бұрын
najifunza kupitia wewe sheikh wangu nakupenda kwa ajili ya Allah❤
@user-yu9gy6dg3g24 күн бұрын
Alhamdulillah kweli yakhe bachu, Allah pekee yake anatosha kutegemewa, na pia mashallah kisa kizuri sana & chenye mazingatio ya huyo mchamungu inatupasa tujifunze kupitia hiki qisa.
@KhalfanMassoud24 күн бұрын
Peace be upon you. Sheikh Muhamad Bachu may Allah bless you along with all the present and previous Muslims in the hereafter, including your elder. Amen السلام عليكم ورحمة الله وبركاته، الشيخ محمد، بارك الله فيك على كل ما تفعله، وبارك أيضاً على جميع المسلمين الحاضرين والسابقين، بما فيهم شيخك، آمين.
@ALLYMATIMBWA-cz3zg23 күн бұрын
Allah akulipe kher mwalimu wetu unatupa maarumat mazuri san na kuonyesha mchamung ananguv kuliko jini,omari ibun al hatwabi majin walikuwa wanamkimbia
@AminaIbrahim-qh2gn4 күн бұрын
Allahu Akbar nimekuelewa sana shekh, Allah Awaongoze Washilikina wote. Atunusuru pia.
@fatimahirakoze731122 күн бұрын
Uki sahihi bachu mwanangu Allah akuifadhi naakukinge n'a Kila lashari n'a akupe mwisho mwema duniani n'a akhera kama mzee wako Allah amrehem
@SwahibuAthuman-yv2mn
6 күн бұрын
Shukran
@muhamadikombo497624 күн бұрын
Maashaallah mungu akupe umri mrefu Sheikh Muhammad . Sis wanafunzi wa Sunna tunastafid San na da'awa zako za kila siku Mungu akihifadhi🤲🤲🤝❤️
@jaaffarabuu675022 күн бұрын
Allah akujaalie afya njema sheikh bachu
@AbuujureyjKhaniy21 күн бұрын
جزاك الله خيرا و احسن الجزء في أمان الله Allah akuhifadhi hii ndio haki
@abubakarishame262423 күн бұрын
Maashaallah mashaallah mashaallah ❤❤❤❤❤ barakalllah fiika. Allah akulipe kheri.
@ibnuh536123 күн бұрын
Ustadh Muhammad Bachu.. Suala la majini liko wazi.. Haina haja ya kuongea snaa.. Mambo na majini HAIFAII. hapo tuko pamoja
@SalehSonda-bz3hl5 күн бұрын
Bachu Allah akuhifadhi
@feisalmbamba972924 күн бұрын
Au tumuombe allah tu amtoe kizuizini kwa rehma zake na huku tubaki na pirika zetu za maisha
@BaliyosentertainmentКүн бұрын
Barakallahu fiyka😊
@musadavid99383 күн бұрын
Mimi ni mkristo lakini huyu ustadhi nimemuelewa sana
@augustomariosama15425 күн бұрын
Shaikh Muhammad bachu namkubali sana MashaAllah
@okirorasuman-fl2db10 күн бұрын
May Allah reward you abundantly, kutuelimisha kwa khatar yakutumia majini kwasababu yeyote
@GoodluckPaul-wf9gn24 күн бұрын
Ma Shaa Allah Tunazidi kujifunza katika miongozo anayoihitaji Mwenyezi MUNGU. na kwahakika ukweli huwa mchungu. Mwenyezi MUNGU azidi kawajaalia kheri wote mnaotufundisha katika kheri.
@AllyOmary-rg9zx15 күн бұрын
Bachu ni mwanafunzi akisoma vizuri atakuja elewa
@swalehmohamed484923 күн бұрын
Mashaallah akhi Allah akujaze kheir kwa dhana nzuri naona umesahau kufinika kichwa naswaha yangu ikiwa hukusaha basi bora usiwache kufinika kichwa Ulamaa wamesistiza sana mtume s.a.w hajawahi kuswalisha kichwa wazi mbali na hajj na Umrah
@MohamedMeja23 күн бұрын
Mashallah bachu kwa kutuilimishaa mungu atakulipaa ilimu kwako iko punguzaa presha tu ndio tutafaidikaa
@roseatienoogutu764110 күн бұрын
shukran sheikh Allah akujaze. majini ni haram kutumia waache kupotosha wajawaallah
@nadeemadams-mr3bs24 күн бұрын
Ebtehak al ahkee shukran jazeelan
@defantasticacomedy63664 күн бұрын
Jazakallah kheyr
@ameali12517 күн бұрын
Kwa hiyo shekh anafundisha majini wote ni mashetani au
@roseatienoogutu764110 күн бұрын
wallah mitiani tunatafuta moto kwanguvu. turudini nyuma tumuabuduni Allah bas
@abdulmwakubambanya909123 күн бұрын
Barakh Allah Kher
@saidjuma454719 күн бұрын
tunamkubali Sana shekh Allah amlinde na Kila shari
@KASSIMABDULLA-wm7bn20 күн бұрын
Hivi kweli hatuelewi ,vinavyo someshwa au hatumpendi bachu
@TamimuMikidadi20 күн бұрын
buchu kwa hapa yupo vizuri sna sule unajivunjia heshima ktk dini
@KASSIMABDULLA-wm7bn20 күн бұрын
Mashallah tunaelewa wenye kutaka kuelewa
@roseatienoogutu764110 күн бұрын
subhannallah wallah mitiani watu waache kumchezea Allah haifai kabisaaaa kutuia majini haifai wallah waachekupotisha watu
@fadhilmandaliabdalla673624 күн бұрын
MashaAllah ✅
@youngtomuller-vh2pu22 күн бұрын
Allah ti abençoe irmao ❤❤❤
@user-xb6tr5vq4b23 күн бұрын
Tunajivunia kua namwalim kamabachu
@Sidrasidra63624 күн бұрын
Ahsante
@SaidiBakari-kl1gu24 күн бұрын
HUYU SULE ANAONEKANA AMEPATA ELIMU NDOGO UKUBWANI NDIO MAANA ANAKUWA LIMBUKENI WA MAJINI NA MAISHA. PERCEPTION YAKE YA MAJINI(MASHETANI) HATOFAUTIANI NA SELEMANI RUSHDIE. AYA ZA QUR'AANI ANAPOTOSHA KUZITAFSIRI KWA CONCERN YAKE MAJINI...
@musseleng.2124
23 күн бұрын
We mganga wa majini eenhh...???
@shaniisack1153
22 күн бұрын
Kutumia majini havifai huo ni uchawi mkubwa tuwe makini tutaangamia
@mhandoonthebeats8581
12 күн бұрын
Mmeandika cha nini sasa
@mhandoonthebeats8581
12 күн бұрын
Majini walisilimishwa
@user-oo7yr5zq6g
3 күн бұрын
Uja muelewa sule we
@rahamkibinda61376 күн бұрын
Umetumia dakika nying sana lakin point yako dhaifu
@abuubabamzazi23 күн бұрын
Mashaalha
@user-xb6tr5vq4b23 күн бұрын
Masufi wale hawafai kwelikweli
@user-uv3tw1cu3l21 күн бұрын
Allah akbar
@hemedimuna14005 күн бұрын
Tatizo sure anatoa Aya ndani ya quran hapo ndipo pagumu
@AllyOmary-rg9zx15 күн бұрын
Mashekhe mnapingana midandaoni ndio mungu alivo wambia?
@SalehSonda-bz3hl5 күн бұрын
Waambie uwakumbushe waachi uchawi
@JumaMHDaffa12 күн бұрын
Kisa hiki nilikisikia kikisimuliwa na Shekh Bakhero ila yeye hakukataza kusomwa Kwa hicho kitabu!!
@zainulabideen69556 күн бұрын
Quero Gmail deste Humilde Sheikh e irmão fillah.
@ViweHamad-cn7mh7 күн бұрын
Jins ya kupika achar ya mbirimbi
@mrmajengotz.15 күн бұрын
Wallhahi nimepanda haaa
@AllyOmary-rg9zx15 күн бұрын
Mashekhe mnatundisha nini?
@user-cw6jq7cv2k5 күн бұрын
Dr, Sulle kamaumeangalia mada hii tafadhal mjibu huyu sheikh tupate eilmu
@Nuru_ya_sunnah.official24 күн бұрын
❤🎉
@user-zs6qg7ql1i9 күн бұрын
Kwn shorki ni nin kutum jini nd shirki lkn kuntum binaadam si shirki hhhh mkasom wachen ujinga
@zainulabideen69556 күн бұрын
Struth
@user-do2id6pp4g24 күн бұрын
Sasa sheikh unazuia kusomwa hicho kitabu mbn we kisa hicho umekitoa humo kwenye hicho kitabu kwa ajili ya kuuelimisha jamii hebu kitaje jina tusikie na kimeandikwa na nani..
@user-wk5ju8kd3u24 күн бұрын
Masha Allah Allah barik
@Versossecretosdoislam659522 күн бұрын
Swali la ufahamu, Sheikh uposema kuwa kuwatumia majini uleta madhara: Hapa unazungumzia majini yapi, Walio silumu au wasio silimu? a) Maana kwa mujibu wa Uislam na Qurani .. waislam wote ni Ndugu. Je! Mtu kupata msahada kwa Ndugu yake ni Dhambi???
@JanethAnton-fx1mk12 күн бұрын
Kwani sulle si amesema kweli kwani si wapo majini waislamu na waislamu wote ni ndugu kwaio tukisema nyie mnashilikiana na majini tutakuwa tunadanganya si ni kweli
@mussakantumba991422 күн бұрын
Kwa kweli kwa huyu kijana Allaahu anamtumia kuilinda dini yake dhidi ya washirikina,wachawi,Na Makafiri waliojificha kwenye Uislamu!! Na kwa kisa hiki na ushahidi huu sidhani kama yupo mwenye akili na anayemtaka Allaahu atawaamini washirikina na wachawi wakiongozwa na yule mjinga anayeitwa Sule, na sasa wenye akili wanatakiwa kumuunga mkono Sheikh Bachu tu.
@user1337510 күн бұрын
Kitabu kina mambo haramu 😮😮😮😮😮😮🤔🤔🤔🤔🤔
@OmarAlly-iz8ot24 күн бұрын
Sule hana jipya wote waganga njaa tu, na hata hizo pesa walizo pata hazina kheri kabisa
@user-yh5fu5lo9r
24 күн бұрын
Shukrani Lakini usijitolee mfano mbaya kama huo Kuna wasikilizaji watakujasema wewe nae maganga una kajini majini ilikuharibu mafunisho
@roseatienoogutu764110 күн бұрын
tukumbukeni moto mkubwa wenye mgurumo wallah mcheni Allah eeh
@nasrihussein429321 күн бұрын
Sulle amepoteya asiwapiteze nyinyi. Jahanam anaingiya oekeyako sio sjlle
@maryamtanzania974323 күн бұрын
Baba kira.washa anataka ligi hataki kuelewa
@kassamalishabani23 күн бұрын
Sio kweli dr sulle akusema kutuma majini kutoa majini anasoma kisomo
@dizobrownclassic8950
22 күн бұрын
bado hujaelewa bwege wewe,,,point yake,,,,hapo anakusudia tawhid
@kassamalishabani
22 күн бұрын
Mana ya tauheed ni nini
@user-te5jr1rz7w22 күн бұрын
Lakini kuna majini mabaya na maovu nisawa na binadamu yupo binadamu mwema na wPo wabaya
@user-pw4dx9hr1l19 сағат бұрын
Hicho kitabu kaandika Nani ? Wakati mashekhe unaowakubali wamehalalisha wakosoe kwanza mashekhe wako
@PanduMole24 күн бұрын
Kwani kapiga ramli mumemuona
@mhandoonthebeats858112 күн бұрын
Majini walisilimishwa so ni ndugu za waislamu msimlaumu sule yupo sahihi
@user-mc2xd4eu2p
2 күн бұрын
Dogma zinakuharibu nikiomba andiko majini wote wamelaaniwa utatoa au mnaleta chuki tu na dini ya haki?
@user-zt6kn8qg7n19 сағат бұрын
Na. Wengine wamefungua magroup kwa kula hela za masikini kama huyu tapeli mkubwa Rakims spiritual na hakuna chenye wanapata na kuwaita wanafunzi zake lana za Allah ziwe ju yenu na kula hela za wanyonge kenge nyie
@Logicentric18 күн бұрын
Hebu muacheni huyo shetani Sule na hao wapumbavu wenzake. Hao ni makafiri tu wasiwape tabu. Hao na majambazi wamepata njia nyengine tu ya kutapeli watu. Hawana mungu hao....Matumbo na matamanio yao ndio yamewaponza. Ukiwaangalia hawana chembe ya uislamu hao.
@JumaMHDaffa
12 күн бұрын
Shekh muogope Allah usijekuwa Muflis siku ya kiama bila sababu,kama unamkufurisha mtu kama sio unakurudia wewe mwenyewe
@salumsasua990623 күн бұрын
Kwani kunakosa kujua Kila elmu
@hemedsaidi938822 күн бұрын
Wewe bacho huna elimu
@issaibrahim8796
Күн бұрын
Wewe mwenye Elimu toa faida ili watu wafaidike usikalie uzodoaji tu na Husda zisizo na sababu.
@presenterhabib4 күн бұрын
Bachu umekosa kazi. Kazi kuwaita waislamu wenzako mushrik na kafir. Faidisha umma acha uzombie wako. Masomo kidogo ushajiona unaeza toa fatwa
@ikabako245423 күн бұрын
Majini na waislamu ni ndugu kabisa
@Zainabnoor0087-ze
23 күн бұрын
Wakristo ndio baba yao, ibilis, kasome Ayubu 1:6😂
@user-mc2xd4eu2p
2 күн бұрын
makafiri wanalazimisha aabudiwe mwana wa adam ukafiri ni upofu
@ikabako245423 күн бұрын
Uislamu na uchawi vinaenda bega kwa bega !
@HafidhKhamis-ph8qg
21 күн бұрын
Wewe unasemaje?
@MohammadJumah-qk2xc
18 күн бұрын
Tobaaaaaaaaa
@AsukuluIbucwa18 күн бұрын
JINI NI VIUMBE VYA MUNGU na SISI TUMEWEKWA ILI TUVIMILIKI KAMA HUNA ELIMU YA MAJINI ACHA KUFUNDISHA MAFUNZO USIYO YAJUWA
@MohammadJumah-qk2xc
18 күн бұрын
Duuuu
@rashidomar3557
14 күн бұрын
Allah atuongoze sote pamoja Kw kweli😢😢
@abuufaisal4383
11 күн бұрын
Aya hiyo inapatikana wap kuwa majini tumewekwa ili tuwamiliki
@user-oc8uo9rl3u23 күн бұрын
MAWAHABI CHECHEIIII..........!! HII ELIMU YA MAJINI NI TAWI KTK ELIMU YA FALAQ NA NYINYI MAWAHABI HAMJUI ELIMU YA FALAQ KWAHIYO WAACHIENI WENYE ELIMU YA MAJINI WAITUMIEEEEEE TATIZO LENU MAWAHABI MNACHOKIJUA NYINYI MNALAZIMISHA KILA MTU AKIFATE HICHO HICHO.
@assdfettassaewq8604
23 күн бұрын
Kweli kabisa na umesema kweli
@user-gm8xx9vn1g19 күн бұрын
Kazi kukosowa waislam wenzako pambana nawakirsto acha unafkii wewe nimnafki
@hasinaalrahbi6681
18 күн бұрын
Hapo inatushangaza kukosowa tu
@ISMAILIbrahim-ys5vl24 күн бұрын
Jini mchafu huyo na sio mwema hivyo mfano iliotowa juu ya kisa hicho jini hadi anamzuia mcha Mungu asiukate mti Naoshitokishwa Mungu ni jini mchafu
@jumayusuphu322
24 күн бұрын
Acha ushirikina
@ISMAILIbrahim-ys5vl
24 күн бұрын
@@jumayusuphu322 Elimu ya jini huna Kijana jambo lolote usilokuwa na elimu nalo ni geni kwako hivyo kama hujui kitu tulia Kijana
@maalimhamad1297
23 күн бұрын
Nisawa ni jini mchafu na huyo jini mwema hawezi kwwnda kwa mshenz kaam daktari selemani
@kassamalishabani
23 күн бұрын
Nijini mchafu uyo bona usipotoshe watu na mifano yakutunga mcha mungu awezi kusawishiwa na shitwani kwa kweli mana Allah atamulinda
@muhammadnassibu7706
22 күн бұрын
Sisi binadamu na majini sote tumeumbwa kwa ajili ya kumuabudu Allah s.w hakuna mwenye mamlaka ya kumtumikisha mwingine
Пікірлер: 111
Shukran kwa ukumbusho sheikh Allah akupe umri mrefu uzidi kututoa kwenye ujinga
najifunza kupitia wewe sheikh wangu nakupenda kwa ajili ya Allah❤
Alhamdulillah kweli yakhe bachu, Allah pekee yake anatosha kutegemewa, na pia mashallah kisa kizuri sana & chenye mazingatio ya huyo mchamungu inatupasa tujifunze kupitia hiki qisa.
Peace be upon you. Sheikh Muhamad Bachu may Allah bless you along with all the present and previous Muslims in the hereafter, including your elder. Amen السلام عليكم ورحمة الله وبركاته، الشيخ محمد، بارك الله فيك على كل ما تفعله، وبارك أيضاً على جميع المسلمين الحاضرين والسابقين، بما فيهم شيخك، آمين.
Allah akulipe kher mwalimu wetu unatupa maarumat mazuri san na kuonyesha mchamung ananguv kuliko jini,omari ibun al hatwabi majin walikuwa wanamkimbia
Allahu Akbar nimekuelewa sana shekh, Allah Awaongoze Washilikina wote. Atunusuru pia.
Uki sahihi bachu mwanangu Allah akuifadhi naakukinge n'a Kila lashari n'a akupe mwisho mwema duniani n'a akhera kama mzee wako Allah amrehem
@SwahibuAthuman-yv2mn
6 күн бұрын
Shukran
Maashaallah mungu akupe umri mrefu Sheikh Muhammad . Sis wanafunzi wa Sunna tunastafid San na da'awa zako za kila siku Mungu akihifadhi🤲🤲🤝❤️
Allah akujaalie afya njema sheikh bachu
جزاك الله خيرا و احسن الجزء في أمان الله Allah akuhifadhi hii ndio haki
Maashaallah mashaallah mashaallah ❤❤❤❤❤ barakalllah fiika. Allah akulipe kheri.
Ustadh Muhammad Bachu.. Suala la majini liko wazi.. Haina haja ya kuongea snaa.. Mambo na majini HAIFAII. hapo tuko pamoja
Bachu Allah akuhifadhi
Au tumuombe allah tu amtoe kizuizini kwa rehma zake na huku tubaki na pirika zetu za maisha
Barakallahu fiyka😊
Mimi ni mkristo lakini huyu ustadhi nimemuelewa sana
Shaikh Muhammad bachu namkubali sana MashaAllah
May Allah reward you abundantly, kutuelimisha kwa khatar yakutumia majini kwasababu yeyote
Ma Shaa Allah Tunazidi kujifunza katika miongozo anayoihitaji Mwenyezi MUNGU. na kwahakika ukweli huwa mchungu. Mwenyezi MUNGU azidi kawajaalia kheri wote mnaotufundisha katika kheri.
Bachu ni mwanafunzi akisoma vizuri atakuja elewa
Mashaallah akhi Allah akujaze kheir kwa dhana nzuri naona umesahau kufinika kichwa naswaha yangu ikiwa hukusaha basi bora usiwache kufinika kichwa Ulamaa wamesistiza sana mtume s.a.w hajawahi kuswalisha kichwa wazi mbali na hajj na Umrah
Mashallah bachu kwa kutuilimishaa mungu atakulipaa ilimu kwako iko punguzaa presha tu ndio tutafaidikaa
shukran sheikh Allah akujaze. majini ni haram kutumia waache kupotosha wajawaallah
Ebtehak al ahkee shukran jazeelan
Jazakallah kheyr
Kwa hiyo shekh anafundisha majini wote ni mashetani au
wallah mitiani tunatafuta moto kwanguvu. turudini nyuma tumuabuduni Allah bas
Barakh Allah Kher
tunamkubali Sana shekh Allah amlinde na Kila shari
Hivi kweli hatuelewi ,vinavyo someshwa au hatumpendi bachu
buchu kwa hapa yupo vizuri sna sule unajivunjia heshima ktk dini
Mashallah tunaelewa wenye kutaka kuelewa
subhannallah wallah mitiani watu waache kumchezea Allah haifai kabisaaaa kutuia majini haifai wallah waachekupotisha watu
MashaAllah ✅
Allah ti abençoe irmao ❤❤❤
Tunajivunia kua namwalim kamabachu
Ahsante
HUYU SULE ANAONEKANA AMEPATA ELIMU NDOGO UKUBWANI NDIO MAANA ANAKUWA LIMBUKENI WA MAJINI NA MAISHA. PERCEPTION YAKE YA MAJINI(MASHETANI) HATOFAUTIANI NA SELEMANI RUSHDIE. AYA ZA QUR'AANI ANAPOTOSHA KUZITAFSIRI KWA CONCERN YAKE MAJINI...
@musseleng.2124
23 күн бұрын
We mganga wa majini eenhh...???
@shaniisack1153
22 күн бұрын
Kutumia majini havifai huo ni uchawi mkubwa tuwe makini tutaangamia
@mhandoonthebeats8581
12 күн бұрын
Mmeandika cha nini sasa
@mhandoonthebeats8581
12 күн бұрын
Majini walisilimishwa
@user-oo7yr5zq6g
3 күн бұрын
Uja muelewa sule we
Umetumia dakika nying sana lakin point yako dhaifu
Mashaalha
Masufi wale hawafai kwelikweli
Allah akbar
Tatizo sure anatoa Aya ndani ya quran hapo ndipo pagumu
Mashekhe mnapingana midandaoni ndio mungu alivo wambia?
Waambie uwakumbushe waachi uchawi
Kisa hiki nilikisikia kikisimuliwa na Shekh Bakhero ila yeye hakukataza kusomwa Kwa hicho kitabu!!
Quero Gmail deste Humilde Sheikh e irmão fillah.
Jins ya kupika achar ya mbirimbi
Wallhahi nimepanda haaa
Mashekhe mnatundisha nini?
Dr, Sulle kamaumeangalia mada hii tafadhal mjibu huyu sheikh tupate eilmu
❤🎉
Kwn shorki ni nin kutum jini nd shirki lkn kuntum binaadam si shirki hhhh mkasom wachen ujinga
Struth
Sasa sheikh unazuia kusomwa hicho kitabu mbn we kisa hicho umekitoa humo kwenye hicho kitabu kwa ajili ya kuuelimisha jamii hebu kitaje jina tusikie na kimeandikwa na nani..
Masha Allah Allah barik
Swali la ufahamu, Sheikh uposema kuwa kuwatumia majini uleta madhara: Hapa unazungumzia majini yapi, Walio silumu au wasio silimu? a) Maana kwa mujibu wa Uislam na Qurani .. waislam wote ni Ndugu. Je! Mtu kupata msahada kwa Ndugu yake ni Dhambi???
Kwani sulle si amesema kweli kwani si wapo majini waislamu na waislamu wote ni ndugu kwaio tukisema nyie mnashilikiana na majini tutakuwa tunadanganya si ni kweli
Kwa kweli kwa huyu kijana Allaahu anamtumia kuilinda dini yake dhidi ya washirikina,wachawi,Na Makafiri waliojificha kwenye Uislamu!! Na kwa kisa hiki na ushahidi huu sidhani kama yupo mwenye akili na anayemtaka Allaahu atawaamini washirikina na wachawi wakiongozwa na yule mjinga anayeitwa Sule, na sasa wenye akili wanatakiwa kumuunga mkono Sheikh Bachu tu.
Kitabu kina mambo haramu 😮😮😮😮😮😮🤔🤔🤔🤔🤔
Sule hana jipya wote waganga njaa tu, na hata hizo pesa walizo pata hazina kheri kabisa
@user-yh5fu5lo9r
24 күн бұрын
Shukrani Lakini usijitolee mfano mbaya kama huo Kuna wasikilizaji watakujasema wewe nae maganga una kajini majini ilikuharibu mafunisho
tukumbukeni moto mkubwa wenye mgurumo wallah mcheni Allah eeh
Sulle amepoteya asiwapiteze nyinyi. Jahanam anaingiya oekeyako sio sjlle
Baba kira.washa anataka ligi hataki kuelewa
Sio kweli dr sulle akusema kutuma majini kutoa majini anasoma kisomo
@dizobrownclassic8950
22 күн бұрын
bado hujaelewa bwege wewe,,,point yake,,,,hapo anakusudia tawhid
@kassamalishabani
22 күн бұрын
Mana ya tauheed ni nini
Lakini kuna majini mabaya na maovu nisawa na binadamu yupo binadamu mwema na wPo wabaya
Hicho kitabu kaandika Nani ? Wakati mashekhe unaowakubali wamehalalisha wakosoe kwanza mashekhe wako
Kwani kapiga ramli mumemuona
Majini walisilimishwa so ni ndugu za waislamu msimlaumu sule yupo sahihi
@user-mc2xd4eu2p
2 күн бұрын
Dogma zinakuharibu nikiomba andiko majini wote wamelaaniwa utatoa au mnaleta chuki tu na dini ya haki?
Na. Wengine wamefungua magroup kwa kula hela za masikini kama huyu tapeli mkubwa Rakims spiritual na hakuna chenye wanapata na kuwaita wanafunzi zake lana za Allah ziwe ju yenu na kula hela za wanyonge kenge nyie
Hebu muacheni huyo shetani Sule na hao wapumbavu wenzake. Hao ni makafiri tu wasiwape tabu. Hao na majambazi wamepata njia nyengine tu ya kutapeli watu. Hawana mungu hao....Matumbo na matamanio yao ndio yamewaponza. Ukiwaangalia hawana chembe ya uislamu hao.
@JumaMHDaffa
12 күн бұрын
Shekh muogope Allah usijekuwa Muflis siku ya kiama bila sababu,kama unamkufurisha mtu kama sio unakurudia wewe mwenyewe
Kwani kunakosa kujua Kila elmu
Wewe bacho huna elimu
@issaibrahim8796
Күн бұрын
Wewe mwenye Elimu toa faida ili watu wafaidike usikalie uzodoaji tu na Husda zisizo na sababu.
Bachu umekosa kazi. Kazi kuwaita waislamu wenzako mushrik na kafir. Faidisha umma acha uzombie wako. Masomo kidogo ushajiona unaeza toa fatwa
Majini na waislamu ni ndugu kabisa
@Zainabnoor0087-ze
23 күн бұрын
Wakristo ndio baba yao, ibilis, kasome Ayubu 1:6😂
@user-mc2xd4eu2p
2 күн бұрын
makafiri wanalazimisha aabudiwe mwana wa adam ukafiri ni upofu
Uislamu na uchawi vinaenda bega kwa bega !
@HafidhKhamis-ph8qg
21 күн бұрын
Wewe unasemaje?
@MohammadJumah-qk2xc
18 күн бұрын
Tobaaaaaaaaa
JINI NI VIUMBE VYA MUNGU na SISI TUMEWEKWA ILI TUVIMILIKI KAMA HUNA ELIMU YA MAJINI ACHA KUFUNDISHA MAFUNZO USIYO YAJUWA
@MohammadJumah-qk2xc
18 күн бұрын
Duuuu
@rashidomar3557
14 күн бұрын
Allah atuongoze sote pamoja Kw kweli😢😢
@abuufaisal4383
11 күн бұрын
Aya hiyo inapatikana wap kuwa majini tumewekwa ili tuwamiliki
MAWAHABI CHECHEIIII..........!! HII ELIMU YA MAJINI NI TAWI KTK ELIMU YA FALAQ NA NYINYI MAWAHABI HAMJUI ELIMU YA FALAQ KWAHIYO WAACHIENI WENYE ELIMU YA MAJINI WAITUMIEEEEEE TATIZO LENU MAWAHABI MNACHOKIJUA NYINYI MNALAZIMISHA KILA MTU AKIFATE HICHO HICHO.
@assdfettassaewq8604
23 күн бұрын
Kweli kabisa na umesema kweli
Kazi kukosowa waislam wenzako pambana nawakirsto acha unafkii wewe nimnafki
@hasinaalrahbi6681
18 күн бұрын
Hapo inatushangaza kukosowa tu
Jini mchafu huyo na sio mwema hivyo mfano iliotowa juu ya kisa hicho jini hadi anamzuia mcha Mungu asiukate mti Naoshitokishwa Mungu ni jini mchafu
@jumayusuphu322
24 күн бұрын
Acha ushirikina
@ISMAILIbrahim-ys5vl
24 күн бұрын
@@jumayusuphu322 Elimu ya jini huna Kijana jambo lolote usilokuwa na elimu nalo ni geni kwako hivyo kama hujui kitu tulia Kijana
@maalimhamad1297
23 күн бұрын
Nisawa ni jini mchafu na huyo jini mwema hawezi kwwnda kwa mshenz kaam daktari selemani
@kassamalishabani
23 күн бұрын
Nijini mchafu uyo bona usipotoshe watu na mifano yakutunga mcha mungu awezi kusawishiwa na shitwani kwa kweli mana Allah atamulinda
@muhammadnassibu7706
22 күн бұрын
Sisi binadamu na majini sote tumeumbwa kwa ajili ya kumuabudu Allah s.w hakuna mwenye mamlaka ya kumtumikisha mwingine