Ustadh Shafi Amkalia Kooni Dr Sulle "Hakuna Uislam Wa Majini Bora Utumie Mabodigadi Wa Kijini Tuu"
QIBLATEIN ONLINE Ni channel ya dini ambayo inajihusisha na kukusanya taarifa za kidini kutoka Tanzania na huripoti matukio yote ya ndani ya Tanzania kila siku kupitia FACEBOOK, INSTAGRAM KZread @QiblateinOnlineTv)
🙏🤝Tafadhali🙏Subscribe #qiblateinonlinetv #ili uwe sehemu ya familia hii muhimu.
INSTAGRAM 👉👉 / qiblatein_online_
FACEBOOK👉👉 profile.php?...
TIKTOK 👉👉 www.tiktok.com/creator-center
Пікірлер: 152
Sheikh shafii sasa hiyo ndiyo inayoitwa RADD!!amefanya kazi nzuri!!ALLAH AKUONGOZE KWENYE SUNNAH KWA UFAHAMU WA MASWAHABA WA MTUME صلى الله عليه وسلم
Bismillahi rrahmaani rrahim, na kwake yeye tunaomba msaada.waislamu kwa waislamu ni ndugu sasasi vyema kugombana bali nivyema zaidi kueleweshana na kukubaliana. Tuendelee na mjadala huu kwa kutafuta hoja kupitia quran, hadithil quddus na nabawwiy pia maisha ya mitume, maswahaba, matabiiina na tabii wa tabiina inshaallah tutajbika swala letu, na kupata faida zaidi InshaAllah
Mashallah sheikh Shafi mungu akuongezee kheri kwa kuwaelimisha watu,na kupinga ushirikina inshaAllah uachane na bid'aa za maulidi😊
Sheehe Shafii Allah Akulpe kher kw Mafundsho yk Mazur
Shekhe Shafii Allah akulipe kilalakheri fi dunia wali akhera Unaonge ya kweri
Kweli sheik mungu akujalie ❤❤
MashaAllah mawaidha mazito mungu akizidishie nguvu na uwezo Aamin
Shee shafi mzee wa kusafisha mazingira MashALah
Inshaalla mungu amlipe makazi mema peponi.
Asante sana sheke shafii mungu akupe nguvu
Sasa kama mlivyolianzisha!!( nina imani kabisa kwa nia safi basi kuna kazi nyengine ya kulisawazisha) naomba mashekhe wangu tuwe fasta juu ya hili kwa ni tushawatoa watu walikokua na kuwapeleka kwengine. Iko ivi!!! Ndani ya uislamu anaeshea wema, kila areutenda wema huo yy anpata thawabu, na anaeshea uovu basi kila ataeutenda atapata dhambi, mashekhe wangu, yuko anaehimili kubeba dhambi za mwenzie? USTADHSHAFI!!¡big up sheikh wangu pull up your socks!!!
Unaeleweka shehe kuna watu wanahalibu dini kwa masilahi ya kidunia hawamuogopi Allah hata kidogo
Ndio mana nawambie kiboko ya yoyote njooni kwa Yesu
@EmanuellMaduhuEmanuell
16 күн бұрын
Kwer
@winnieofutare5324
13 күн бұрын
Kabisa yy ndio njia na uzima wa milele
@Twahirpizza1994
7 күн бұрын
Yesu hayupo wamebakia maaskofu wa uongo Wenye kutumia uchawi wa mashetani wanasingizia wamepewa miujiza
Sawa kaka, mungu akujalie kila la heri.
جزاكم الله خيرا و احسن الجزء
Mashallah sheikh Allah azidi kukupa umri mrefu na zaidi akupe jannat
Proud to be Muslim din ya haki🇰🇪🇰🇪🇰🇪😊
Allah akujaze kheri shekhe shaf yapo mamb yamsingi yakukemea sio khitma namaulid
Namaanisha jamii ya kiislam tokea kutokea kalima hii(waislam wanaruhusiwa kutumia majini ktk kujitafutia utajiri)(kwa kupitia PETE ,) hakika jamii imeparaganyika mno. Msione tu kwamba tunaongea hapa mtandaoni labda kuonesha kwamba tunaujua saaana dini, mashekhe wangu!!! Wajisemee watoto, hakiki mmeliamsha.
Sheikh Shaffi Allah akuongeze insha'Allah. Ulikuwa customer wangu mkubwa Likoni.
Jazakumullah kheyr
Shekhe...Wangu-Ninae...Mkubaligi...Dayre...Niweye....Na..Dr Sulle
Masha Allah kweli kabisa
Shekhe sha fi uko vzr wakrito hawajui maana kwe ndomaan yesu aliwaambia wagaratia nana aliewa waroga akili wakuelewe ss
@bongotel5823
22 күн бұрын
Chuki kwa Wakristo ndicho ulichoambulia kwenye hayo mawaidha... je ndio moyo wako umejaa chuki tele umejifunzia wapi?
Sheikh shafi mimi docta sulle si muamini naona anafania beishara
Salaam kaeni nyumbani mtowane makosa kuliko kuliko kuwapa faida watu au kujigamba mtandaoni si vizuri kuwapa faida watu.
Shekhe sfafi Allah agupe la sheil
Namkubali sana uyu shafi na kjna mashekh wengine wsnaamini Pete za majini zipo na Pete ys bshati ipo huo ni ushilikina😊
Mashaa alwaha ukasahihi hatamimi nisituka sure alivyo ongea huu niushirikina mwenyezimungu amuongoze
Uko sawa kabsa
Safi sana sheikh umenena kweli
Mashaallah
Inalillah wahinailah rajuun ☝️🤲🙏🏿
Shekh shafi muhimu kukumbushana kama mtume kakumbushwa na alla kuhusu asali basi Kila mtu akikosea akumbushwe
MASHALLAH!
Hadithi za kizee ---- Yaani hata hujui anazungumzia nini,anatoka wapi anaenda wapi --- ubabaishaji mtupu ---- " halafu wamapenda kudanganyana "
Sawa saw shekh shaf
Mtihani wallhah
tofautisha kati ya msikiti na hekalu au sinagogi ni wapi iliandikwa sinagogi ni msikiti
Sawa sawa shekh shafll
Hii ndyo vita ya kifkra kweli Niatari sana na watu wengi awajalingundua hili
Tuupinge ushirikina Mungu Anatisha
yaan mashe wa saiv, wakilala wakiamka wanawaza kupigana vijembe t baada ya kufikiria dn inaokolewaje, kla mmoja anataka umaarufu, mmmh Allah atuhifadhi
@AziziMachweo
Ай бұрын
Tumia maarifa lengo ni kuelimisha waislmu kua atutakiw kuamn ushrkn we unjibu nn
@user-id1gz3ng3k
Ай бұрын
Ww ni muisilam? Uwisilam nikukumbushana ukikosea lazima ulinganiwe sio eti umaarufu. Kwani ww huna elim yeyote kuusu dini ya Allah?
@zulekhaa6817
Ай бұрын
Huo ni mtazamo wako tu kwa sababu huna elimu. Hujui kuchambua haki n batili
@johariabdalla3319
29 күн бұрын
Hayo ni maono yako,lakin kuekana sawa kama umekosea ni lazima,haiwezekani uachwe..na zaid kama ni maarufu unaefwatiliwa na jamii,maana unaweza kupoteza wengi.Ukiharibu utarekebishwa tu
@lexygeisar8303
28 күн бұрын
Bila kuwepo upande wa pili mtihani duniani hakuna. Kwa hiyo Mwenyezi Mungu Katu fanya tofauti ili tuweze kupimana Na tuji kinge Na zuri au baya
Subuhana lh
Sule anapotelea kwakutafuta riziki kwanguvu , aachane na majini amfate Allah peke yake
Sawa sawa
Sheikh safi fundisha waaumini ukweli acha kupoteza watu,mbele yamungu na mbele ya nabii isa,hakuna motor Haram wote wanafaa nihalali,laminitis kwako niharamu, usitupoteze sheikh safi,
ni kweli
Kweli maneno yko shekhe
Eti mzee Mbonde 😂😂😂 kwani mzee Mbonde kakukosea nn shekhe wangu Nakuelewa sana shekhe wangu
Sure kapotea mshirikina Na anapotaza watu atubie kwa Allah na abainishe
Mtihani mkubwa, MOLA atuhidi
Mashehe mnatuvuluga
Msiwa sifie awa wapuuz tyu Kwan ss tunawajua kiac gan wanawapotosha waislam amkeni waislamu tuisome dini yetu msiwafate awa wanawazuoni suhi wanaoendeshwa na matajiri au waflame au maraic embu zinduken acheni kuwafatilia awa wapuuz tyu
Nasimama na docta sule daiman Shida mtu akiwazidi mpunga mnamkufurisha achen unafki wewe shafi simuuza madawa yauongo mnachemsha zafarani na mafuta mna waambia watu kua mafuta hayo yametoka katika mti unaopatikana italia 😂😂😂😂shafi kumbuka ukimnyooshea kidole kunavingine vyakutazama wewe
Sheikh wa maana sana huyuu
Shafii unaelimisha watu, japo walishakuwa wengi wanaomuunga mkono.
Shafi no salimu burundi Londwar turukana kenya niko muhamgayikonarafubukisema kwelinkuva peta haramu shafi nakuja kwako zazimba mwezinujawo wallahi nakutaka wewe shekh nurudine niko na sawali rake nawewe arafi shekhe make
Wama akharatu waljini walinsi ila liabuduni.(Inshaalah)
@khamisisalim5742
24 күн бұрын
Ni khalaqtu si akharatu
Mungu wa waislamu si Mungu kweli ni mkatili muuaji ,,wakristo mabishop wanadungwa visu mathabahuni kweli huyu ni Mungu gani?? Waislamu
@NasibuANyakule
13 күн бұрын
Hao mabishop wenu wanauuana wenyewe usiupakazie uislam
Dini Aifi Isipokua Watu Ndio Ufa Kimawazo Mashee Hela Kwanza Wauze Pete Maji Mafuta Kitabu Simu Yani Siku Izi Mungu2 Atusamee
YAANI WAISLAM TUSOME TUU QURAN ILIYO TAFSIRIWA TUUJUE UJUMBE BARABARA
Kwenye suala la majini na shetani uislamu unajichanganya sana
Elimu sahihi ya dini imekosekana kwa watu wengi saan
We acha bidg'aa kwanz 😊😊😊
Dini ya haki hiyo waumini wanafuga majini, Mingi wewe wajua Kila Jambo la heli,
Kwer mukiaza ivyo kwer sis wasirimu kwer tufanyej
Taqibiir
Mimi mwenyewe nishakula sana
Mmmh mnadanganyana kwel,kwann aseme siku nane na pengine siku 6?haya naulza swali nionyeshe wap Katika quran inasema Allah ni Mungu?
Lakini bidaa ndo isizungumzwe iyachwe sindi dini inavurugwa.?
Mbona masheikh wanahofia wakristo wakati wansema wanamwamini kristo?
Cheikh shafi kaka yangu uko sahihi mpaka nasikiyaga haya juu ya macheikh wetu mnadhalilisha waislam nyie wenyewe
Tanganyika ndio mnabisjana sana kwasab maslah mnayaweka mbele sisi zanzibar tumetulia
Mm naomba kuiliza kwa Nini mashekhe mnapiga sana vita Pete na haliya kuwa nyinyi mumevaa kwa Nini Tena utakuta mtu ana Pete 4
Yesu ni nani njooni hata kwangu kwanza yesu hajawahi ata kuoa
Nyte wapuzi mashekhe ni watu waungwana kaeni chini muelimishane kuliko kuleta tofauti baina yeny nynyi muelimishe mwenzio afundishe watu swa swa sio kuleta majigambo kwni mtume s.a.w hakujigamba
Korani 72:2 inasemaje jamani?
Dr sule nakuja kwake nikarimbu kira mutu natambea kwake
Hahaha 🤣🤣 Uislamu ni tatizo 😂😂
Duuuu
Hahahahaha! Gombaneni kabisa ndiyo raha hiyooooooo. Majini, majini, majini. Mmeshajiumbua!
B
I'm proud to be a Christian ✝️ hii uislam sio Dini ni kikundi chenye msimamo mikali Duniani yani ni kama chama cha na Ugaidi Duniani.
Shekh huyu nampendea mawaidha yake yanaendana na kizazi chetu yangusa mojakwa moja sio aya nyingiiiiii
yani sijawai kukupinga
Anaongea jambo serious lkn anatia visa vya vichekesho vya uongo..hilo ndo tatzo lenyewe Anazisema vibaya radd kisha hapohapo anampiga radd Dr.Sule
shekhe kwenye icho kijitabu kukiita biblia umefeli biblia ni ni moja wala haifanani na vitabu vya hadithi za biblia hapo ndo umechanganya review
Sasa ustadh unataka kutwambiya majini ananguvu zaiidi ya MUNGU WATU???
Waisilamu tunatupiana vijembe wnyw ktk vi2 vcvyo na mcngi na ww ndo unapita mlemle
Acheni mambo hayo mumeshamsema inatosha dkt.sule kafanya kz kubwa ktk hii dini kwaiyo anapo teleza mumrekebishe sio kumdharau na kumkejel
@OmanOma-xi3hm
28 күн бұрын
Allah ana angalia mwisho mwema sio mwanzo mwema km kafanya kazi kubwa asikuchafulie dini mpak majafiri Wana sema waislam kz kufugamajin unaonajehilo
@alyumaraos
28 күн бұрын
@@OmanOma-xi3hm kwaiyo ww ushaujuwa mwisho wake niupi rejea ktk khadithi Mtume (s.a.w) anasema kila mwanaadamu ni mkoseaji ila mbora wa mwenye kukosea ni yule anae tubia au ww nyinyi hamfanyi dhambi mumesalimika na kumuas Allah?
@alyumaraos
28 күн бұрын
@@OmanOma-xi3hm kawaida yetu ss waislam kila mt hujiona yy ni bora kuliko mwengine na mwenzake pale anapo teleza huona kwake yy ndo fursa ya kutafuta wafuas wengi ila tunatakiwa tubadilike hata masahaba walikuwa wakiteleza na wakafahanmishana na kuelewana ss kila jambo ni kubwa kwetu ni wepes sana kusahau wema na ni rahis sana kukumbuka mabaya
@SAIDIYABUSHINGEDJUMA
25 күн бұрын
Tatizo sio kuteleza Tatizo ni kuambiwa haki ila unafanya kibri yali mkuta ferauni laana tullah uyo sule alisha ambiwa mara ngapi na masheikr tafauti ila haachi ingelikuwa ni ameteleza kwa kosa limoja apo tunge muelewa ila ana kazana na uku ipo anausiwa icho ni kibri @@alyumaraos
Jamani- mambo mengine yawe siri
Mashekhe wamekaa mjini wananadi Pete,
Hakika usemayo asiyejua ataonekana anajua kumbe ukafiri mtupu
Je ni nini Ruhani basi
Anaongea km doctor Sule🤷🏾♂️
Achen kupinga anaongea ukwel wa uislam ulivy ,mbn tunjuw mamb mabayanyoyafny
Nyote mnafeli mitandao imewateka
Mi hua najua waislamu ni mapepo hamuelew haya sule anawaanika
Umekosea 1 tuuu...kutaka wakristo wakati ukristo original n uislam kasoro jina tuuu..biblia 1 IPO kama Koran na mpadre wanashujudu kabla ya misa