USTADHI KONDOBUNGO AWAUMBUA WACHUNGAJI WANAOTUMIA MAJI YA UPAKO KUWADANGANYA WATU WATAPATA UTAJIRI

KATIKA WACHUNGAJI AMBAO WANAONEKANA NI MATAPELI USTADHI KONDOBUNGO AMEZUNGUMZIA UONGO WA WACHUNGAJI HAO AMBAO WANASEMA WANATOA UTAJIRI

Пікірлер: 7

  • @allyway999
    @allyway99912 күн бұрын

    Shekhe bungo Allah akujaalie kheri amin

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja199518 күн бұрын

    Masha'allah sheikh Bungo kwa kufafanua na kuchambua

  • @AliAli-lu7or
    @AliAli-lu7or17 күн бұрын

    Nakupenda kwaajili ya Alwah _baaraka lwahu fiyka

  • @nurumasha
    @nurumasha16 күн бұрын

    Leo wakristo watakua wachache kucomment ila makanisa mengi yanajihusisha na uchawi mkubwa tena wa kafara

  • @yusuphomary7410
    @yusuphomary741010 күн бұрын

    Kwa kweli tumrudie MUNGU ukweli wa kumjua zaidi ili tusiendelee kumshirikisha mwenyezi MUNGU asije akatuadhibu kama alivyowaadhibu umati zilizopita.

  • @yusuphomary7410
    @yusuphomary741010 күн бұрын

    Inabidi wanaadamu ama watu wote na tumrudie MUNGU Kwa nguvu zote mambo ya shirki na tuyape mgongo.

  • @jumahenriquesgeraldo9837
    @jumahenriquesgeraldo983716 күн бұрын

    Bali ya maji ya maiti mavi makavu pia. Halafu wanasema mwili wa yesu

Келесі