USTADHI DANIEL AWACHARUKIA WACHUNGAJI WA MIUJIZA KAMA MACKENZIE, ZUMARIDI, EZEKIEL NA GEOR DAVIE
MWALIMU WA NENO LA MUNGU USTADHI DANIEL AKIFUNDISHA UKWELI KUHUSU MIUJIZA WANAYOTUMIA WACHUNGAJI FEKI KUWARUBUNI WATU
Жүктеу.....
Пікірлер: 57
@happnesskitumbo571311 күн бұрын
Ninakuelewa sana Yesu akubariki sana.
@samuelmwakasungula17811 күн бұрын
Hilo ndilo ukweli wa neno la Mungu, hongera sana mishenari kujitoa mwanga kwa ajili ya kazi ya Mungu,
@YOSHUAMWAMPETA13 күн бұрын
Matendo ya mitume 36-10, 4:8 MIUJIZA YAWEZA KUJIRUDIA TENA NA TENA.Maisha Yetu ni ya Vita na VITA VYAWEZA KUJIRUDIA TENA NA TENA kwahiyo TUSIKOME KATIKA KUOMBA Maana yake ndipo tunashinda vita.
@chrisshonga13 күн бұрын
Kuna sindano moja ya kutibu kifua inaitwa Christapen sasa mara nyingi ile sindano ina maumivu makali sana lakini ukiandikiwa na daktari na ukachomwa uponyaji wake ni mkubwa sana sasa hii ndio hali ambayo ninayoiona kwa ndugu zetu Waislamu katika hii program ya siku ya leo! MUNGU atusaidie wakati mwingine tukubali kupona kuliko kubisha hata kama sindano ni chungu
@user-dt7jp4rd5x8 күн бұрын
Soma 1korintho 14:2 Inasema Anenae kwa Lugha Hasemi na Watu bali Husema na Mungu. Na Hakuna Mwanadamu Awezae Kuelewa Kinachosemwa. Mpaka Roho Mtakatifu Atoe Tafasri. Na Hata Siku Ya Pentecoste Wale Wote Waliokuwepo Walipewa Tafasri na Roho mt. By Rev. Agape Yohana. Toka Tanzania.
@ramadhanimandoa71611 күн бұрын
Uislamu haujaletw n Mtume Muhammad bal umeletw n Nabii Adams mwenyew
@charlesboniphace2249
11 күн бұрын
😂😂😂😂😂 Unahitaji msaada wa mafundisho zaidi Adamu hakuwa nabii Wala mtume
@juliuskitaluka120611 күн бұрын
Anaeweza kukusaidia siyo mwanadam bali ROHO MTAKATIFU maana binadam hana kipimo tuchunge ndimi zetu
@user-xb5td1jl3u11 күн бұрын
Basi waislamu wangekuwa na miujiza mingi sana kwa sababu wao wanayakubali majini mazuri
@samuelmwakasungula17811 күн бұрын
Amina
@PeterMahona-zd3oz10 күн бұрын
naona. Uposawa Rohomtakatifu. hafundishwi. Mtu kunena nimtu namungu kumtafutalohomtakatifu wanofundisha. Ndiohoo. Wanawauwasi hoo. Wenye vitambaa wenye mafuta wenyemiujiza. halafu. hawamtaji. YESU sana hatamafundisho. yao. Ukiyachunguza. yanaulakini
@user-wi8og3sv4j13 күн бұрын
Kwahio yesu nae ni tapeli?❤
@mbukumagiubukumagu40613 күн бұрын
Vizuri hakusema
@aliabdallah845613 күн бұрын
Mitume wote wamefanya muujiza kwa uwezo wa Mungu kwa nini nyinyi makafri Mungu mnamkwepa
@abdullahkazungu4025
13 күн бұрын
Ushasema mitume sio sisi binadamu tusidanganyane
@ndimimaskati364113 күн бұрын
Wacha Uwongo.
@RichardHenjewele-gs8rk13 күн бұрын
safi
@eliasramadhan145210 күн бұрын
we imekuuma nini ? kumkashifu ustadhi ! omba kipindi na ww uelezee unachoweza kusema au kuelezea kinyume ww ni mnafiki usiye na muda wa kutafakari,ustadhi Daniel Mungu akuzidishie neema ya ufunuo kwa ukombozi wa fikra kwa mwanadamu.
@albertvalentino13013 күн бұрын
Hakuna anayefundishwa kunena kwa lugha --- mwandishi acha kusikiliza ujinga wa watu wa asili wasio jua mambo ya rohoni " mambo ya rohoni yanatambulikana kwa jinsi ya rohoni" Suala la mtu anayenena kwa lugha,halafu akanyamaza baada ya kutakiwa kunyama,ni sawa,kwasababu mtu anaponena kwa lugha haimaanishi anapoteza kabisa ufahamu na kumbumbu zake,anakuwa na ufahamu,na anaweza kuwasiliana na mazingira yanayomzunguka.
@SIMULIZIZONE
13 күн бұрын
Unaonekana una point, swali langu kwako, yale maneno yanayonenwa kwa lugha, yanatafsirika kwa lugha ya wanadamu, au ni Mungu tu ndio anaelewa?
@user-it7ih1it3m
13 күн бұрын
@@SIMULIZIZONEmwandishi,, kunena kwa lugha sio kwamba unaongea kwa lugha ya mbinguni bali inatumika lugha ya mtu mwingine ambapo mtu yyte anaweza akatafsiri mwenye uelewa wa lugha hyo! Na ikitokea mtu amenena kwa lugha ya mbinguni basi hapo kuna mawasiliano ya siri Kati ya yeye anenaye na mwenyezi mungu
@rashidgona1808
11 күн бұрын
@@user-it7ih1it3m lugha ya mbinguni ni gani
@m.m.tvmbebamaono
10 күн бұрын
Heri yako mwenye ufahamu tufundishe vya kwako
@abasingaruka187213 күн бұрын
Huyu Ni mealimu, anayetaka kujifundisha aululize Swali sio kukimbilia kashifa
@JofryDaud-kc2du13 күн бұрын
Mtu yoyo atampimwa na amri Za MUNGU hata wewe tutakupima Kwa amri)
@TAFAKARITVNewlife
11 күн бұрын
Hiyo ilikuwa wakati wa torati
@mukhusinathuman659613 күн бұрын
Bonge la kafiri alafu bonge la muongo kama huna elimu ya dini ya uislamu naelimu ya tiba no right to speak..
@YOSHUAMWAMPETA13 күн бұрын
Unapotosha SANA.POLE SANA.Naomba soma Luka 24:45
@user-it7ih1it3m13 күн бұрын
Daniel ni kichwa ni kiboko ya waislamu pia ni zaidi ya ndacha anaongea yaliyo ya kweli
@nubianqueen6700
13 күн бұрын
Ukiwa na elimu utajua sio kiboko kwa lolote, ila kwenu tu kwa sababu hampendi kusoma .wachungaji ndo huwasomea.
@samxx41113 күн бұрын
Ikisha baadhi ya wakristo wanamuona bonge la mwalimu 😂😂😂
@nubianqueen6700
10 күн бұрын
@@samxx411 aiseee!!! Ila Hana lolote
@rukiakadzo8053
8 күн бұрын
@@samxx411 just imagine 😂😂
@binseif221613 күн бұрын
Daniel ni kibaraka wa wayahudi kwahiyo kwake uislamu ni adui yupo tofaut na wakristo wengne
@user-ob2ik5gy1b2 күн бұрын
Huyu ni mwalimu wa waongo ila ni ngumu kumfaamu kwani anatekniki nyingi sana za kudanganya wale wasio na elimu.
@user-ss6jm6jt3h13 күн бұрын
Dah jamanii jitahidini msome acheni ushabiki huyu mtu anaongea uongo kabisa. Mungu atusaidie sana juu ya wanafiki wa namna hii
@user-vv5hq9mc1k13 күн бұрын
Aki ya Mungu wewe daniel ni mjinga kabisa , kwani jina la Allah lina matatizo gani unachanganya watu.
@Khmediy324113 күн бұрын
Uwez mvuta mwislam kweny dini yako kwa kuongea uongo labda unafanya ivo kuwalizisha ao wa iman yako wabaki uongo mtuuupu
@mbukumagiubukumagu40613 күн бұрын
Uislamu ulikuwepo kabla Jesus alipokuja hapo Ustadhi Daniël eka maneno yako sahihi
@fredykiluka6606
13 күн бұрын
Kaseme vizur 😭😭
@paulurio5204
12 күн бұрын
History ulisoma?
@ramadhanimandoa71611 күн бұрын
Yaan huyu jamaa ni kafiri mkubw Majina ya Allah na majini wapii na wapii wakati kila jina lina maana yake iliyo wazi ,Laana tu llah Allah Akuvunje mgongo
@aliabdallah845613 күн бұрын
Wewe ni kafiri mkubwa sana waambia makafri wenzio asitukuzwe Mungu bali atukuzwe Yesu hiyo kauli yako wewe ni sawa na shetani usirudie tena hiyo kauli ni mbaya sana kwa Mungu wakutukuzwa ni Mungu peke yake na wakuabudiwa ni Mungu peke yake
@ramadhanmahongole9293
13 күн бұрын
Uislamu ni ukafiri mana umekuja kupinga ukiristo ulio tangulia
@ramadhanmahongole9293
13 күн бұрын
Wewe ni kafiri na ni shetwani upo gizani ndomana huwezi elewa kinacho fundisha hapa kwa ustadi mwankemwa
@filbertvictor615913 күн бұрын
Uko vzr ww nizaidi ya Mwalimu
@ramadhanimandoa716
11 күн бұрын
Huna elimu wew hamna anacho jua huyo ni mjing tu
@dullahfar77754 күн бұрын
Ndacha hakukosea kuwaita nyie wanafiki tena muongo mkubwa wewe Daniel
@8pistons19413 күн бұрын
Allah is not God it is gods full stop
@paulurio5204
12 күн бұрын
Sure
@charlesboniphace2249
11 күн бұрын
Strong true
@HajiAmbali-jq9dr13 күн бұрын
Hili kafiri liongo
@silvesterrichardhelenya1319
13 күн бұрын
Itaisha mdaharo akitoe makamasi
@user-vv5hq9mc1k13 күн бұрын
Wewe ni kafiri, na ukafiri wako umepita kiazi
@PeterMahona-zd3oz10 күн бұрын
naona. Uposawa Rohomtakatifu. hafundishwi. Mtu kunena nimtu namungu kumtafutalohomtakatifu wanofundisha. Ndiohoo. Wanawauwasi hoo. Wenye vitambaa wenye mafuta wenyemiujiza. halafu. hawamtaji. YESU sana hatamafundisho. yao. Ukiyachunguza. yanaulakini
@PeterMahona-zd3oz10 күн бұрын
naona. Uposawa Rohomtakatifu. hafundishwi. Mtu kunena nimtu namungu kumtafutalohomtakatifu wanofundisha. Ndiohoo. Wanawauwasi hoo. Wenye vitambaa wenye mafuta wenyemiujiza. halafu. hawamtaji. YESU sana hatamafundisho. yao. Ukiyachunguza. yanaulakini
@PeterMahona-zd3oz10 күн бұрын
naona. Uposawa Rohomtakatifu. hafundishwi. Mtu kunena nimtu namungu kumtafutalohomtakatifu wanofundisha. Ndiohoo. Wanawauwasi hoo. Wenye vitambaa wenye mafuta wenyemiujiza. halafu. hawamtaji. YESU sana hatamafundisho. yao. Ukiyachunguza. yanaulakini
Пікірлер: 57
Ninakuelewa sana Yesu akubariki sana.
Hilo ndilo ukweli wa neno la Mungu, hongera sana mishenari kujitoa mwanga kwa ajili ya kazi ya Mungu,
Matendo ya mitume 36-10, 4:8 MIUJIZA YAWEZA KUJIRUDIA TENA NA TENA.Maisha Yetu ni ya Vita na VITA VYAWEZA KUJIRUDIA TENA NA TENA kwahiyo TUSIKOME KATIKA KUOMBA Maana yake ndipo tunashinda vita.
Kuna sindano moja ya kutibu kifua inaitwa Christapen sasa mara nyingi ile sindano ina maumivu makali sana lakini ukiandikiwa na daktari na ukachomwa uponyaji wake ni mkubwa sana sasa hii ndio hali ambayo ninayoiona kwa ndugu zetu Waislamu katika hii program ya siku ya leo! MUNGU atusaidie wakati mwingine tukubali kupona kuliko kubisha hata kama sindano ni chungu
Soma 1korintho 14:2 Inasema Anenae kwa Lugha Hasemi na Watu bali Husema na Mungu. Na Hakuna Mwanadamu Awezae Kuelewa Kinachosemwa. Mpaka Roho Mtakatifu Atoe Tafasri. Na Hata Siku Ya Pentecoste Wale Wote Waliokuwepo Walipewa Tafasri na Roho mt. By Rev. Agape Yohana. Toka Tanzania.
Uislamu haujaletw n Mtume Muhammad bal umeletw n Nabii Adams mwenyew
@charlesboniphace2249
11 күн бұрын
😂😂😂😂😂 Unahitaji msaada wa mafundisho zaidi Adamu hakuwa nabii Wala mtume
Anaeweza kukusaidia siyo mwanadam bali ROHO MTAKATIFU maana binadam hana kipimo tuchunge ndimi zetu
Basi waislamu wangekuwa na miujiza mingi sana kwa sababu wao wanayakubali majini mazuri
Amina
naona. Uposawa Rohomtakatifu. hafundishwi. Mtu kunena nimtu namungu kumtafutalohomtakatifu wanofundisha. Ndiohoo. Wanawauwasi hoo. Wenye vitambaa wenye mafuta wenyemiujiza. halafu. hawamtaji. YESU sana hatamafundisho. yao. Ukiyachunguza. yanaulakini
Kwahio yesu nae ni tapeli?❤
Vizuri hakusema
Mitume wote wamefanya muujiza kwa uwezo wa Mungu kwa nini nyinyi makafri Mungu mnamkwepa
@abdullahkazungu4025
13 күн бұрын
Ushasema mitume sio sisi binadamu tusidanganyane
Wacha Uwongo.
safi
we imekuuma nini ? kumkashifu ustadhi ! omba kipindi na ww uelezee unachoweza kusema au kuelezea kinyume ww ni mnafiki usiye na muda wa kutafakari,ustadhi Daniel Mungu akuzidishie neema ya ufunuo kwa ukombozi wa fikra kwa mwanadamu.
Hakuna anayefundishwa kunena kwa lugha --- mwandishi acha kusikiliza ujinga wa watu wa asili wasio jua mambo ya rohoni " mambo ya rohoni yanatambulikana kwa jinsi ya rohoni" Suala la mtu anayenena kwa lugha,halafu akanyamaza baada ya kutakiwa kunyama,ni sawa,kwasababu mtu anaponena kwa lugha haimaanishi anapoteza kabisa ufahamu na kumbumbu zake,anakuwa na ufahamu,na anaweza kuwasiliana na mazingira yanayomzunguka.
@SIMULIZIZONE
13 күн бұрын
Unaonekana una point, swali langu kwako, yale maneno yanayonenwa kwa lugha, yanatafsirika kwa lugha ya wanadamu, au ni Mungu tu ndio anaelewa?
@user-it7ih1it3m
13 күн бұрын
@@SIMULIZIZONEmwandishi,, kunena kwa lugha sio kwamba unaongea kwa lugha ya mbinguni bali inatumika lugha ya mtu mwingine ambapo mtu yyte anaweza akatafsiri mwenye uelewa wa lugha hyo! Na ikitokea mtu amenena kwa lugha ya mbinguni basi hapo kuna mawasiliano ya siri Kati ya yeye anenaye na mwenyezi mungu
@rashidgona1808
11 күн бұрын
@@user-it7ih1it3m lugha ya mbinguni ni gani
@m.m.tvmbebamaono
10 күн бұрын
Heri yako mwenye ufahamu tufundishe vya kwako
Huyu Ni mealimu, anayetaka kujifundisha aululize Swali sio kukimbilia kashifa
Mtu yoyo atampimwa na amri Za MUNGU hata wewe tutakupima Kwa amri)
@TAFAKARITVNewlife
11 күн бұрын
Hiyo ilikuwa wakati wa torati
Bonge la kafiri alafu bonge la muongo kama huna elimu ya dini ya uislamu naelimu ya tiba no right to speak..
Unapotosha SANA.POLE SANA.Naomba soma Luka 24:45
Daniel ni kichwa ni kiboko ya waislamu pia ni zaidi ya ndacha anaongea yaliyo ya kweli
@nubianqueen6700
13 күн бұрын
Ukiwa na elimu utajua sio kiboko kwa lolote, ila kwenu tu kwa sababu hampendi kusoma .wachungaji ndo huwasomea.
Ikisha baadhi ya wakristo wanamuona bonge la mwalimu 😂😂😂
@nubianqueen6700
10 күн бұрын
@@samxx411 aiseee!!! Ila Hana lolote
@rukiakadzo8053
8 күн бұрын
@@samxx411 just imagine 😂😂
Daniel ni kibaraka wa wayahudi kwahiyo kwake uislamu ni adui yupo tofaut na wakristo wengne
Huyu ni mwalimu wa waongo ila ni ngumu kumfaamu kwani anatekniki nyingi sana za kudanganya wale wasio na elimu.
Dah jamanii jitahidini msome acheni ushabiki huyu mtu anaongea uongo kabisa. Mungu atusaidie sana juu ya wanafiki wa namna hii
Aki ya Mungu wewe daniel ni mjinga kabisa , kwani jina la Allah lina matatizo gani unachanganya watu.
Uwez mvuta mwislam kweny dini yako kwa kuongea uongo labda unafanya ivo kuwalizisha ao wa iman yako wabaki uongo mtuuupu
Uislamu ulikuwepo kabla Jesus alipokuja hapo Ustadhi Daniël eka maneno yako sahihi
@fredykiluka6606
13 күн бұрын
Kaseme vizur 😭😭
@paulurio5204
12 күн бұрын
History ulisoma?
Yaan huyu jamaa ni kafiri mkubw Majina ya Allah na majini wapii na wapii wakati kila jina lina maana yake iliyo wazi ,Laana tu llah Allah Akuvunje mgongo
Wewe ni kafiri mkubwa sana waambia makafri wenzio asitukuzwe Mungu bali atukuzwe Yesu hiyo kauli yako wewe ni sawa na shetani usirudie tena hiyo kauli ni mbaya sana kwa Mungu wakutukuzwa ni Mungu peke yake na wakuabudiwa ni Mungu peke yake
@ramadhanmahongole9293
13 күн бұрын
Uislamu ni ukafiri mana umekuja kupinga ukiristo ulio tangulia
@ramadhanmahongole9293
13 күн бұрын
Wewe ni kafiri na ni shetwani upo gizani ndomana huwezi elewa kinacho fundisha hapa kwa ustadi mwankemwa
Uko vzr ww nizaidi ya Mwalimu
@ramadhanimandoa716
11 күн бұрын
Huna elimu wew hamna anacho jua huyo ni mjing tu
Ndacha hakukosea kuwaita nyie wanafiki tena muongo mkubwa wewe Daniel
Allah is not God it is gods full stop
@paulurio5204
12 күн бұрын
Sure
@charlesboniphace2249
11 күн бұрын
Strong true
Hili kafiri liongo
@silvesterrichardhelenya1319
13 күн бұрын
Itaisha mdaharo akitoe makamasi
Wewe ni kafiri, na ukafiri wako umepita kiazi
naona. Uposawa Rohomtakatifu. hafundishwi. Mtu kunena nimtu namungu kumtafutalohomtakatifu wanofundisha. Ndiohoo. Wanawauwasi hoo. Wenye vitambaa wenye mafuta wenyemiujiza. halafu. hawamtaji. YESU sana hatamafundisho. yao. Ukiyachunguza. yanaulakini
naona. Uposawa Rohomtakatifu. hafundishwi. Mtu kunena nimtu namungu kumtafutalohomtakatifu wanofundisha. Ndiohoo. Wanawauwasi hoo. Wenye vitambaa wenye mafuta wenyemiujiza. halafu. hawamtaji. YESU sana hatamafundisho. yao. Ukiyachunguza. yanaulakini
naona. Uposawa Rohomtakatifu. hafundishwi. Mtu kunena nimtu namungu kumtafutalohomtakatifu wanofundisha. Ndiohoo. Wanawauwasi hoo. Wenye vitambaa wenye mafuta wenyemiujiza. halafu. hawamtaji. YESU sana hatamafundisho. yao. Ukiyachunguza. yanaulakini