Shekhe wangu nakupenda sana kwa ajili ya Allah sulle Doctor sulle Allah akupe umlimlefu sana Shekhe
@abdulnasuma97292 ай бұрын
Dr sule mungu akuweke waislam nanavimba sana na wewe
@ayubumasudi83802 ай бұрын
Maashallah❤ sheikh wetu tumejifunza mengivnakufaidika alieskia kaskia ALLAHakulipe kila lakheiri pia akuhifadhi na sote tunae kufata amiin yarraby
@ebenezernnko82512 ай бұрын
Safi sana mm mkiristu lkn nimekuelewa sana
@yunusabeid74
Ай бұрын
Hongera sana ndugu
@danielmatemu9698
Ай бұрын
Umeelewa nn? YESU ALISEMA hivi ÷÷ ASIYE NA DHAMBI NA AWE WA KWANZA KUTUPA JIWE÷÷ Unadhani Yesu alimaanisha nini???
@AllyDunia-lo8gqАй бұрын
Allah akulinde kwa kila kitu. Akupe umli mrefu uzid kutupa Iman wallah your professional wa kiislam❤
@user-rr8cw8yl5o2 ай бұрын
Amesema anayetaka kuweka mjadala nae amfuate sasa longolongo za nn mara tapeli mara miongo weka makala nae uone kama hujakimbia mwenyewe tusomen tuacheni ubishi
@Yasssin-zp6im
2 ай бұрын
Ndg yang huyo ipm ukristo kaingia jana tu sisi tushaanxa kuhubir neno la mungu ndacha kazaliwa kwenye ukristo na kasoma lkn kwa dk sulle kagonga mwamba atakua huyo ipm
@saumodzumbo96712 ай бұрын
Shukran sana shekhe wetu Allah akuzidishie yalo mema ishaallah ❤❤❤❤❤
@swafiirbulbul8192 ай бұрын
Maashaa Allah.. Dr. Sule tumejifunza mengi kwako ..
@user-sx9wd3rh9q2 ай бұрын
Ivi usinge kuwepo dr sule ii elimu tungeipata kwa nani hakika unafundisha haswa asiye elewa huyo ni mshabiki ktk dini naludia huyo ni mshabiki wa dini hataki kujua ukweli yeye anashabikia tu,
@muzzoonlinetv74462 ай бұрын
ALLAH AKUPE UMRI MREFU SHEKH
@angle36002 ай бұрын
Mimi ni muislam ila Alhamdhulilah nishamuona Yesu kwa ndoto,na nilipomuona kwa haki ya Mwenyezi Mungu niliona baraka ambazo sikuzitarajia nilikua napitia kipindi kigumu sana ila aliponitokea kwa njozi Alhamdhulilah❤❤❤
@abubakarmwasumilwe7070
2 ай бұрын
Wewe ukitoka nje Ya UISLAM Umekula khasala
@ShamimHassan-qm1et
2 ай бұрын
Kwel kbsa maan na yey ni nabii na kumuota nabii bas una daraj laki mbel ya mungu mitume na manabii hawaj kwa watu wa hovyohovyo@@abubakarmwasumilwe7070
@ShamimHassan-qm1et
2 ай бұрын
Mshukur mungu kumuota mtume wa mungu au nabii sio rahis mungu anakupenda na usione kumuota yes ndio uend kweny ukristo itakuwa ufinyu wa akili kwa yesu ni nabii wa mungu tu ni sawa na mtu aseme amemuota mtume ni daraj kubwa sana
@angle3600
2 ай бұрын
@@ShamimHassan-qm1et siezi rudi ukristo kwa sababu yeye nimtume na ametajwa kwa dini zote ila Alhamdhulilah,kumuona kwake kuliniletea baraka,japo kuna mama mmoja muislamu nilipomuaditia nimemuona yesu alinijibu sio yesu nishetani,but chakushangaza mbona niliona neema kubwa ambayo sikuitarajia,na nilikua napitia magumu kiasi cha kuchanganyikiwa,ila mimi ninaamini kweli Isa ni mtume wa Mungu
@maulidmakame3997
Ай бұрын
😂
@AllyIbrahim-ql6msАй бұрын
Yan nipo na note ayo maandiko maana kuna group zang za uislam na ukristo so napelek moto😂😂
@MaryamHAMISI-ei9fq2 ай бұрын
❤❤ mashallah mashallah ❤alhamdull lah mafunzomazuli Allah akulinde insha'Allah
@user-bz5gl7nb4m2 ай бұрын
Asante kwa kutuelimisha
@user-kc6hc6re7tАй бұрын
MUNGU AWAUONGOZE MANDUGU WAKRISTO WAJUWE DINI YA HAKI NA UKWELI INSHALLAH
Mnateseka mkiamini mungu wa Quran ni Mungu wa Bibilia. Mungu wa wakristo hatamtambui Mohammad wala nabii Isa wala allah. Msifosi tufanane...
@SaudaA.QassimSauda.A.Qassim
2 ай бұрын
@@denisharris2889someni biblia nyie biblia sio kitabu cha mungu ni mkusanyiko wa vitabu walio kusanya Paulo na wenzie yesu alikuwa ni Israel ndio mnatakiwa kwenda Israel mtafute vitabu alivyoacha yesu kama nyinyi wasema kweli
@SaudaA.QassimSauda.A.Qassim
2 ай бұрын
@@denisharris2889karibu katika uislam uislam raha
@user-ow3lc6lk9p
2 ай бұрын
@@denisharris2889hatuna haja Wala hatuitaji tufanane na makafiri mliopotea elimu hamna kazi yenu kusomewa t bibilia someni bibilia nyie matahira
@jesusislord91902 ай бұрын
Alie andika jitieni Nila yangu ni yohana yohana kasema YESU alisurubiwa kipofu akimuongoza mwingine watapotea haya Muhammad hajui atakalofanywa walawafuasi wake
@Naw89
2 ай бұрын
Ushindani tu Someni kitabu chenu vizur mtaangamia kwa ujinga Mtu katahiriwa na bado awe mwana wa Mungu au awe Mungu hata akili ya kuzaliwa pia hamtumii
Tatizo mna somewa kutoa sadaka 2 bible niyenu lkn hamyasomi na hamuulizi maswali wachungaji wenu ndo maana hamuelewi 4:23
@jesusislord9190
2 ай бұрын
@@huseniyahya9121 wewe biblia huijui unasubiri wakina sule wakusomee ndio ukatafute palipo andikwa Jiyieni Nila yangu jifunzeni kwangu haya tupe mafundisho ya YESU kwenye uislam tupe mafundisho nje ya Muhammad kwenye uislam
@SalehSaleh-uf2og
2 ай бұрын
YOHANA kasema ktk aya gan?,tujulishe tuelimike.
@Leo-xc1nh2 ай бұрын
Mashallah sure ni mwarimu kbx
@lifezest62742 ай бұрын
DR SULLE inabidi akutanishwe na OMARY MNYESHANI. Ndio level yake kwa elimu za dini hizi mbili.
@ApostleesdrasMukambiАй бұрын
Naomba hufungue fumbo lililopo sio kusoma nakuelezea in revelation hapo Pana Siri Nyingine
@SelinaNenda5 күн бұрын
Doctor Sule Leo nime kusikia.Hulicho hongea mengi ni kweli.
@swalehsalim5576Ай бұрын
Kwenda zako Sule mchawi una Pete za majini uislamu wenyewe uchawi tu ‼️😃😃😃
@officialkinghimself26372 ай бұрын
Ajikwezae hushushwa
@AssumaniKibiriti2 ай бұрын
Nyie wa kristo acheni ubishi semeni myaka 29 yesu alikuwa wapi ao alikuwa anafanya nini toweni majibu
@denisharris2889
2 ай бұрын
Nawe ujiulize kwanza maisha ya Yesu yako wapi ndanj ya quran? Ila Bibilia imesema. Na mbona ukubwa Kurani ni Robo ya Bibilia nzima? Kipi mmeandika kuhusu maisha ya mitume waliopita?. Toa boriti ndipo utoe kibanzi.. Ukweli ni huu..Kwa taarifa yako, Mungu wa quran sio Mungu wa Bibilia. Vivohivyo isa wa quran sio Yesu wa bibilia. Kwa habari ya miaka 29 ya Yesu.. Bibilia inasema... Yohana 20:30-31 Basi kuna ishara nyingine nyingi alizozifanya Yesu mbele ya wanafunzi wake, zisizoandikwa katika kitabu hiki. Lakini hizi zimeandikwa ili mpate kuamini ya kwamba Yesu ndiye Kristo, Mwana wa Mungu; na kwa kuamini mwe na uzima kwa jina lake. John 21:25 Kuna na mambo mengi aliyoyafanya Yesu; ambayo yakiandikwa moja moja, nadhani hata ulimwengu usingetosha kwa vile vitabu vitakavyoandikwa.
@jafarinauma6798
2 ай бұрын
Watoe majibu😅
@denisharris2889
2 ай бұрын
Quran imekuja miaka 700 AD. Imekubaliana na Bibilia na mikutano ya kanisa ilioandikwa miaka 300s AD. Kwamba ni kitabu cha Mungu kwa wakristo. Yeye porojo zake anatolea wapi? Kitu pekee qurani inasisitiza kukataa ni kua Utatu mtakatifu wenye kumjumuisha Baba, Yesu na Bikira Maria. Na ndio aina ya utatu ambao wakristo wa konstatino hawaufahamu hadi hii leo. Bibilia inataja utatu wa Baba, Mwana na Roho mtakatifu, Unataka majibu gani tena, kama sio common sense?Tafakari.
@abdallahally8422 ай бұрын
Mbonaa mmeyakatisha mahojiano sehemu muhimu ya paulo tatizo nn sasa
@sundaymushi96402 ай бұрын
This Dude is outrageous 🔥🔥
@user-pv2qn8qh9w2 ай бұрын
Mashaallah
@patrickmaina54592 ай бұрын
Soma Maadiko 📖 yote kama wewe ni Mkweli Yohana 3:36 Asiye Mwamini Mwana wa MUNGU hana Uzima wa Milele..... Yohana 3:16 Kwa maana jinsi hii Mungu Aliupenda Ulimwengu hata Akamtoa Mwanawe wa pekee (Yesu kristo) ili kila Amwaminiye Asipote bali awe na Uzima wa Milele.
@pilotclassic4468
2 ай бұрын
Sisi waislam tunamuamini, Alhamdulillah hatutapotea. Lkn wao wanaomzidishia sifa za uungu ndio waliopotea
@patrickmaina5459
2 ай бұрын
@@pilotclassic4468 wafilipi 2:5-8 📖
@user-rr8cw8yl5o
2 ай бұрын
Mungu hakuzaa wala hakuzaliwa na wala hafanani na kitu chochote uctupatishe madhambi hapa
@patrickmaina5459
2 ай бұрын
@@user-rr8cw8yl5o Baki hapo tu ukisena Mungu hazai Kwa maana Unafananisha Mungu na Mwanadamu, Mungu Anaza Kwa NENO 📖 Ukimwamini Mwana wa MUNGU (YESU) Tu Umezaliwa Upya.
@salumobed5980
2 ай бұрын
Bora wewe umekiribkuwa Yesi ni mwana wa mungu
@samwelimwanja41052 ай бұрын
Ni kama freemason kuingia ni bure ila kutoka ni kifo ila Mungu wa Biblia Anataka umwabudu kwa hiari, kama hutamwabudu maana yake wewe ni wa shetani na malipo yako ni Jehanamu ya Moto, na tameambiwa tusihukumu tusije tukahukumiwa. Maana wewe unaemuua mtu we mwenyewe umejaa dhambi kibao. Na kwenye Amri kumi tumeambiwa Tusiue.
@Naw89
2 ай бұрын
Soma sheria ya mussa Utaelewa tu unapinga kitu usichokijua Someni maandiko muelewe
@Naw89
2 ай бұрын
Usichanganye frimason na uislam Hii ni dini ya Mwenyezi Mungu na yeyote atakae kaa kwenye dini isiokuwa ya kiislam haitakubaliwa
@samwelimwanja4105
2 ай бұрын
@@Naw89 ni kweli kabisa kwenye Agano la kale katika sheria ya musa ilikuwepo hiyo ila Baada ya Kristo kuja alivunja huo utaratibu na ndio maana sheria zote za kiislamu ni zile za Agano la kale kwenye Biblia, wala hakuna aliezileta mpya ila Kwenye ukristo, utamwabudu Mungu katika Roho na kweli, ndio maana Biblia ikasema Vita vyetu sisi si juu ya Damu na Nyama ila ni juu vya Ulimwengu wa Roho. Yaani usioonekana so Ukiwa mkristo ndio utaelewa mengi zaidi , ila uislamu ni vita vya kimwili ndio maana mnaeneza Dini kwa nguvu za mwili (force)ila kwetu sio hivo.
@martedimohamed6327
2 ай бұрын
Umetahiriwa kwanza 😂😂 yesu baada ya siku 8 kuzaliwa alitiwa sunna ndo maana waislam tunafanya ivyo lkn nyinyi hasa watu wa mbeya aaahhhhh 😂😂 I’m proud to be Muslim
@Havijawajaha2 ай бұрын
Allah akulipe she he wetu tunajifunza mengi ishaallah
@AlphayoLugallah42 минут бұрын
kwa kinywa unamkiri Mungu,ila imani yako umeiweka kwa pete. toa boriti lililo jichoni mwako,nd'o utoe kibanzi kilicho katika jicho la jirani
@iddisalimu50282 ай бұрын
Ukiristo so dini ni kikundi Cha wahuni
@user-kc6hc6re7tАй бұрын
DR SULE U'R IN A MILLION MUNGU AKUPE MAISHA MAREFU UWAPE ULEMI YA HAKI NA UKWELI
@engisack9610Ай бұрын
Yaaani hata kama unaongozwa na dola ya kiisilamu ndio uchinjwe? Mungu gani anaruhusu mtu kumuua mtu mwingine kisa karitadi? Ni wakristo wangapi wameuwa na waisilamu huko uarabuni na kwingineko kote kwa sababu wao ni wakristo? Dini gani inaadhabu za kidikteta? Bibilia inasema Mungu ndio huua na kuweka hai kwanini umuue mwenzako kwasababu ya dini? Kwahiyo dola zao watu wakiritadi wanakatwa shingo" je hao waisilamu hawatembei katika dola za wakristo na huko hawana msikitini yao huko waonakatwa vichwa na nani kwa sababu ya kueneza uislamu wao?
@engisack9610Ай бұрын
Hata sisi hatujawa Wakristo by chance but tumekua Wakristo by Choice
@jesusislord91902 ай бұрын
baba yangu wapi waislam mnasema YESU ni mwana wa MUNGU haya kwahiyo biblia ni kweli
@SaudaA.QassimSauda.A.Qassim
2 ай бұрын
Biblia sio ya kwel sababu haijijui😂😂😂
@jesusislord9190
2 ай бұрын
@@SaudaA.QassimSauda.A.Qassim Wewe unaitwa nani??
@SaudaA.QassimSauda.A.Qassim
2 ай бұрын
@@jesusislord9190 jina langu si hilo
@sultansallah8772
2 ай бұрын
Wachamungu wote ni Wana wa MUNGU. Yesu alimwita MUNGU baba kwakua alikua mchamungu. Kwan WAKIRISTO wote si mnasema baba yetu ulie mbingun
@jesusislord9190
2 ай бұрын
@@sultansallah8772 leta andiko la Quran khadith ufafanuzi likisema wacha Mungu ni wana wa MUNGU ? Allah anaweza kuwa na mwana?? Umefeli sana
@daslamonline46652 ай бұрын
Tupe number 3
@rogerabdallah4392 ай бұрын
Sasaivi dini zote biashara mungu ndio anajuwa nani mkwe nani muongo kwanza sisi waislmu ndio tatizo
@shaniisack11532 ай бұрын
Mashallah Dk wape ukweli ao wabishi
@AshaAshim-gy6jmАй бұрын
Mollah wetu akupe umri mlefu xhekh wetu, sulle,,
@sadammaker45402 ай бұрын
Leo davista kaingia mtumbwi..
@sharifuburuhani1969
2 ай бұрын
Wa vibwengo 😂😂😂😂😂
@hotexmedia20212 ай бұрын
Tuwekee mwendelezo tusikie story ya paulo
@SifaelMpagike-gt1gzАй бұрын
Umemsahau Musa...na muhammad hayumo mbinguni
@fenellalilian45902 ай бұрын
Let me summerise this YESU ni MUNGU na dini hampeleki mtu mbinguni sisi wakristo tunaamini YESU n nyinyi bakini ya dini yenu
@danielmatemu9698
2 ай бұрын
Tuwaombee sana ili Yesu aliye mwokozi waweze kumjua muda ungali upo
@adamhashim3352
2 ай бұрын
Umeyatoa wapi hyo
@zulekhaa6817
2 ай бұрын
Huo ni ubishi tu huna hoja yoyoyte
@user-sv6zy3hc8o
2 ай бұрын
Kumbuka hata yesu aliumbwa na hata alipo kuja duniani alikuta mittume ambao walisha pita swali je nani alikuwa kabla yetu
@fenellalilian4590
2 ай бұрын
@@user-sv6zy3hc8o aliumbwa na nani Yesu ni Mungu upende usipende
@tututz1002 ай бұрын
J.B.B.1999
@omarkombo34742 ай бұрын
huyu ndo daktari sule sasa na asogge pastor yyt anapotea hapo.
@andrewmhagama9816
2 ай бұрын
Yeye amesoma kile tu kilichoandikwa na kukariri lakini maana yake ajui chochote Biblia sio kama gazeti itawachanganya saana kama ujafunuliwa kuyafahamu unapotea sio hadithi
@yusuphjamesndila5187Ай бұрын
Kipo kitu Dr Suleman tunaomba kukipata kutoka kwako Tunaomba tuipate historia ya Yesu kutoka kwako tofauti na Yesu tunaemsoma kwenye Biblia
@GiliardKashimba2 ай бұрын
Wana wa mwamad mnayo mzigo mzito nampo kwenye fumbo zito siri zenu zikiwekwa wazi munapinga wakati ukweli tunaujua ila asante sana wewe shehe mpaka sasa unamzungumzia yesu yaani ilo tu nijambo jema natumaini uyo unaye mzungumzia utakutana nae siku moja utamjua ana kwaana sio kwakumsoma
@hanifa9153
2 ай бұрын
Mungu wetu cc wa Islam ni 1 na wa yesu ni 1 sasa nyie hao wa 3 mnawatoa wap😂😂😂
@martedimohamed6327
2 ай бұрын
@@hanifa9153achana nae hy muulize kwanza katiwa sunna 😂😂😂maana yesu baada ya kuzaliwa alitiwa ndan ya siku 8 kwaivo alipotk 40 alikuwa tyr kapona sasa haoo jamaaa mpk miaka 30 wanatahiriwa kwa panga 😂😂😂😂
@AlphayoLugallah37 минут бұрын
wacha kiburi.hata nabii Musa alijiona anajua kumpe alikuwako nabii zaidi yake aliyekuwa na elimu ya mambo fiche.ujafikia kiwango hicho
@Werema37602 ай бұрын
■Huyu mzee ni kipofu asiyejijua ni kipofu na wakristo wa kweli waliojaa Roho na wana wa Mungu hawawez kukujibu kutokana na Tito 3:9. Labda katafute wasabato maan wao ni JUDAISM sio wakristo. BIBLIA HAISOMWI KAMA GAZETI KAMA KITABU CHAKO. sharti na maongoz ya Roho mtakatifu. Paul alionya. Tena maandiko yanaua bali Roho anahuisha.🙏
@Hussein-gx4qu
2 ай бұрын
Sasa huyo Tito 3.9 unayotoa hizo ni barua za Paulo we unatuletea barua za Paulo hapa ?
@Werema3760
2 ай бұрын
@@Hussein-gx4qu Sikushangai maana huoni. Nirudie biblia sio sio kitabu chenu. Haisomwi kama hadhi. Lazima ufe kiroho imeandikwa kabisa mpaka uwe na Roho Mtakatifu my friend. Ndo maana wengivhukengeuka na kuongea kwa mihemko. Wew waona ni barua kwa upofu wako bali kasome 1kor7 mstari wa 40. Anaandika si yeye bali ni Roho wa Mungu amuongozae kuandika.chochote kilicho ktk biblia yaani NENO Kinaishi. NENO LI HAI NA LINANGUVU. utakuja kuelewa na kuliacsana ikiwa utapata Neema ya wokovu ila ikiwa umekusudiwa jehanam na dini yako hiyo utajuta ukiwa ndani yake bila tumsinj tena maan ushakufa.
@andreakarata54692 ай бұрын
Dr Sule namkubali sana,anaelimisha sana
@albertpike6208Ай бұрын
Ni Waebrania 5:7 sio 3:1
@goldenshadrackmsungu36642 ай бұрын
Waislam wamejikaanga 😂😂😂
@arafatali2796
2 ай бұрын
pole san nyiny hata ashuke mwenyew asem yeye sio mungu hamuamn mnajulikan sana ila hamlamishwi mnaelewshwa mkikataa bas mtajua wenyewe muhim mmeambiwa bas
@flexstevin23852 ай бұрын
Acheni tantalila mwenye uwezo na anae jiamini anajua dini ,kidume icho hapo aweke mjadala tujifunze.
@godwinmsuya60802 ай бұрын
Matapeli nyie waabudu shetani, mada ulioonyesha ni "PROPHET IPM" lakini mjadala umehamia kwa bwana YESU, enyi waana wa ibilisi nanyi niwa-ovu kama baba yenu ibilisi, kama huamini jaribu kufanya makubaliano/mkataba na muislamu lazima mwishoni atakugeuka.
@abdallahally842
2 ай бұрын
Jibu hoja ubishi na kujisemea ni ushetani kanisa ni kwenye kiti Cha enzi Cha shetani. Na ndio maana babayenu papa kawaruhusu mfirane na mbarikiwe kiti chake Cha enzi Cha shetani
@user-rt5vq5vc3k2 ай бұрын
Hakika Uislamu ndio din ya hakii
@zulekhasaud4832 ай бұрын
Waomba msamaha harafu warusha moja hakuna faida angalia mwenyewe😂
@lilhydon4522 ай бұрын
Mimi nikuulize Sule ikiwa mitume wote walikua waislam kwa nini MAJINI hawakusikia Qur'an zao wakasilim? Kwa nini walisikia Qur'an ya Muhammad ndo wakasilim?🤔
@hanifa9153
2 ай бұрын
Wew ni jinga kabisa tosheka ivi mungu wa yesu ni 1 na mungu wa cc waislam ni 1 pia nyinyi huo utatu mliutoa wapi!???
@arafatali2796
2 ай бұрын
ndoujue kuwa gur an inanguvu kuslm sio jintu hata shetan anatakiw kuslim kwan vibaya jin kuslm mbina sio kitu cha kushangaza ndo tujue yakuwa gur an inanguvu sana had jina kaslimu
@richmsakatonge712 ай бұрын
Ikiwa tabia zetu na hulka zetu hazilingani naimani hata Dini haziwezi fanana . Dini ilikuwa biashara ila weka imani yako kwa unachokiani lkini usipotoshe na wala usitazame kibanzi kilichopo kwenye jicho la mwenzio
@sharifuburuhani1969
2 ай бұрын
ikiwa waona anapotosha mtafute mueke mjadala mimi ntagharamia mhadhara.😂😂😂😂
@siagtvprophetelijahmtishibi2 ай бұрын
Hakuna point hpo
@arafatali2796
2 ай бұрын
soma kijana kwanza laazivyo kaatu kimwa
@ShamimHassan-qm1et
2 ай бұрын
Kwa amabra Hana akili Kam wew ndio Haoni point went akil tu ndio wameelewa
@ApostleesdrasMukambiАй бұрын
Hata huislamu ni dogma cz dini ni dogma nyingi zilizowekwa pamoja so Kila inayoitwa dini Iko katika dogma Dr sulle kasome triparti colonial utaelewa hapo Pana nini
@ahmadamigeyo39292 ай бұрын
Uyu jamaa alitumwa lakn katumwa pasipo tumika 😅🤣😂😅😂 yan unauliza Dr ni ya nn kwel huon madin yanayoshushwa
@denisharris2889
2 ай бұрын
Hana madini yoyote. Kwanza quran inawataka msikosoe kitabu cha bibilia. Kwakua ni cha mwenyezi Mungu. Nyie mwajitia kukosoa. Mnataka kumfanya allah wenu aliyekisadiki kisha akawapa. Wakristo kua yuu Mwongo? . Tafakari chukua hatua...
@innocentpeterassey4106Ай бұрын
yesu alikufa au hajafa kwasababu umetaja kifungu cha yesu akiomba juu ya mauti ya msalaba
@saidbakari31242 ай бұрын
2:53 anaehoji alisikia joto akafungua zipu
@ShamimHassan-qm1et
2 ай бұрын
😂😂😂akili huna😂😂
@igurusitv65532 ай бұрын
Ila huyu ni mwongo sana, anasema wasabato hawaamini katika Utatu Mtakatifu, wakati juzi tu katoka kubishana na Ndacha ambae ni msabato. Na anatetea utatu Mtakatifu
Je uisilamu ulianza miaka mingapi Baada ya Yesu kufariki
@Naw89
2 ай бұрын
Uislamu ulikuwepo tokea zamani manabii wote walikua Waislamu Hata Yesu ni muislamu
@danielmatemu9698
2 ай бұрын
Miaka 600
@ismailmazina4178
2 ай бұрын
Uislamu ulianza toka mtu wakwanza kuumbwa
@danielmatemu9698
2 ай бұрын
@@Naw89 Yesu alibatizwa, waislam walibatizwa wapi?
@zulekhaa6817
2 ай бұрын
Uisilamu umeanza tokea alipotumwa Adam, mpaka kaja kuhitisha Mtume Muhammad swalla llahu alyhi wassllam. Kitabu chetu Qur'an kishatuambia, hatuendeshwi kwa pumba km wakiristo
@othmanhamad78872 ай бұрын
Hata km ni Mkristo ukimkataa Doctor Sule bac utakw na lako jngn maana amechambua kila upande tena kwa maandiko.
@Yusufu9402 ай бұрын
Kwenye uwilamu kuna ndota au shehe
@jimmymatheka26972 ай бұрын
Dr sullen hapo haiwezi elimu ya bibilia ata kidogo
@sharifuburuhani1969
2 ай бұрын
Mtafute mueke mjadala, sisi wapenzi wasikilizaji tupo!
@kingonlinetv42262 ай бұрын
Mbona ndacha ulimshindwa na alikufuata tz, na mlikua weng 2
@Hussein-gx4qu
2 ай бұрын
we ile dibet ya ndacha na sulehujaiona nini au unajizima data ? huyo ndacha wako alishindwa vibaya
@ramadhanyusuf2401
2 ай бұрын
Ule sio mwana dibeti yule mtafta kiki kwa wazungu ndacha hajui lolote kelele zake kibao
@martedimohamed6327
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂 ndacha yy mwenyew anaswali kimya kimya
@franciscomtambakuluca28302 ай бұрын
Utafute pasta Ndacha
@selemanimchana3598
2 ай бұрын
Ndacha nae aliweza kuutetea ukiristo wenu?
@user-md7ug5dd9r2 ай бұрын
Sule wewe ni nmuongo sana yaani unasema hekalu lijengwa na majini? Kasme vizuri Biblia utaelewa vizuri
@EMMANUELMWABONJE2 ай бұрын
Yesu alimwita mungu baba,kwahivyo shule anakunakubali yesu ni mwana wa mungu?
@swafiirbulbul819
2 ай бұрын
Yeyote aliemtiifu kwa Mungu huitwa MWANA WA MUNGU
@SaaS-Guide
2 ай бұрын
@@swafiirbulbul819Lakini Yesu pia ni Mungu maana alikubali kuabudiwa na kuitwa Mungu.
@swafiirbulbul819
2 ай бұрын
@@SaaS-Guide Wapi katika Biblia Yesu amefundisha Wanafunzi wamuabudu..!???
@swafiirbulbul819
2 ай бұрын
@@SaaS-Guide Pia, wapi Yesu katika Biblia amesema Yeye ni Mungu..!??
@swafiirbulbul819
2 ай бұрын
@@SaaS-Guide Lakini ukisema; "Pia Yesu ni Mungu.." .. Unamaanisha Mungu ni Wawili..??!! Au..? 🤔
@msemakweli2432 ай бұрын
Shebby kwasababu wenda ujasoma bibilia lkn kama unajua jinsi anavyojikanya ungekuwa unambananisha sema kwakua ujui tumpe ushindi
@saidsuleiman1753
2 ай бұрын
Ila Dr Sule ameomba kwa yeyote ambae anataka kukutana nae wakati wowote, ni vema kwa kuwa wewe unaijua Biblia ukakutana nae.
@msemakweli243
2 ай бұрын
@@saidsuleiman1753 Itakuwa hivo na sio bibilia hata quran naijua tunamsubili akirudi South Africa
@Yusufu9402 ай бұрын
Waliojenga ni wa Israeli wayaudi sio majini.
@Onlyforfun1992tube2 ай бұрын
Mzee bible unaijua bana😂😂😂😂
@euniquemalekela2045Ай бұрын
Dr gani wewe sure hivi kweli majini yalijenga hekalu la suleiman,.huna akili nzuri wewe mfuga majini tu mtume huwezi kumfananisha na yesu.afu muhamad kafanya nini ambacho cha maana.
@officialkinghimself26372 ай бұрын
Kwani dini ya kwanza kuwako duniani ni dini gani
@kimandoro7432
2 ай бұрын
Dini ya kwanza inayo itwa upagan
@nduwimanafatma99482 ай бұрын
Nyie mnaosema muongo bas muiteni sule ukapamban
@magdalenakiyogoma70702 ай бұрын
Hamuoni kama nyie mamkosea mungu kuchukua maamuzi ya kumkata kichwa nyie mnahukumu nyie ni mungu
@sharifuburuhani1969
2 ай бұрын
Hata Biblia yesu alisema wasiomkubali wauwawe!
@Yusufu9402 ай бұрын
Kuna jini na pepo na viumbe vya kichawi.
@shaniisack11532 ай бұрын
Anayemhoji kabanwa na haja kubwa
@elishamhina81402 ай бұрын
Mbona yesu alibatizwa lakini waislam hawabatizwi kila dini inataratibu zake nijibu hilo
@martedimohamed6327
2 ай бұрын
Mbna yesu alitahiriwa baada ya siku 8 kuzaliwa waislam tunafanya ivyo ndn ya wiki 1 baada ya mtoto kuzaliwa jee? Nyie wakristo mnafanya ivyo???? Wengi wenu magovi 😂😂😂😂😂😂
@paulmwangi34382 ай бұрын
Sema tu ni wapi bibilia inafundisha uchawi wacha kukurupuka sijui Esther sijui Nehemiah. قُلْ أُوحِيَ إِلَيَّ أَنَّهُ اسْتَمَعَ نَفَرٌ مِّنَ الْجِنِّ فَقَالُوا إِنَّا سَمِعْنَا قُرْآنًا عَجَبًا waisilamu wanashirikiana na majini kulingana na sura 72.
@arafatali2796
2 ай бұрын
kwan dhambi alaf hii sura mnatafsir mnavyotaka nyie sio ilivyokusudiw naitawachanganya sana
@deflinthassan5645
2 ай бұрын
Unamjua mfalume suleiman.. kamsome vzr
@SaaS-Guide2 ай бұрын
Mimi nasema hakuna mahali majini walijenga hekalu la Suleiman. Na hakuna mchawi mkristu, uchawi umekataliwa na Biblia. Huyo aliye mtaja, hakuwa anafanya uchawi kama mkristu, bali kama mtu wa mataifa, kule mitume walikua wanahubiri injili.
@issufodaude1766
2 ай бұрын
Mbona kuna wacristo wengi ni wa chawi
@pascalvitalis2 ай бұрын
Nipo na bible hapa ila mengi anayoyasema nikichek nakuta tofaut😂😂😂 matango poli😢
@athumanhatibumkombolaguha
2 ай бұрын
Unajua kuisoma vzr lakini,?
@ShamimHassan-qm1et
2 ай бұрын
@@athumanhatibumkombolaguhaitakuwa kwel hajui mwisho wanaikana na biblia😂😂
@Onlyforfun1992tube
2 ай бұрын
Tatizo bible zipo nyingi
@mchjohnmasegese81932 ай бұрын
Hujui sulle chochote.
@arafatali2796
2 ай бұрын
kaseme wew unaejua
@Nalubaba2 ай бұрын
😂
@user-co6ln1ty9s2 ай бұрын
Hakika Dr sule umeupiga mwingi...hususani hapo uliposema "Yanga kaifunga Simba 7-2 msimu wa 2024...UKIPINGA NI KAFIRI.
@ramadhanidhahabu9509
2 ай бұрын
😂😂bwege weee
@thomasnizigiyimana51222 ай бұрын
Ndasha atakunyosha
@impeccablerito7922
2 ай бұрын
Acha kua shabiki wa dini soma bible nafanya research ya upande wa pili utakua umeinusuru nafsi yako kama kwelii unataka kujua ukweli na mungu wakweli
@Hussein-gx4qu
2 ай бұрын
ndacha alishindwa vibaya kaangalie vizuri Ile dibeti Tena
@rayaalhabsi17252 ай бұрын
Yuko wapi huyo ipm
@janejoseph5612 ай бұрын
Muhamadi yuko kaburini usitudanganye wewe
@barackbrysonramsey2 ай бұрын
Ipm simuoni
@DavistarMataMediaDM
2 ай бұрын
Story inaendelea keep calm
@ackimackim18802 ай бұрын
Aaa! SULEEE! MUONGOO, UNA ELIMU YA UONGO MSHUA,ALAFU UKO SILIASI ILEILE YAN
@jumakutengeza1080
2 ай бұрын
Ayo maandiko aliotoa kwa Biblia hayapo?
@ackimackim1880
2 ай бұрын
@@jumakutengeza1080 wachache tunaelewa wengi hawaelewi.we mpaka ukasome theologia. ILA SULE ANA UONGO WA AKILI. IBIRISI NDO BABA WA UONGO.ANAMIFUMO SIO RAHISI KILA MTU KUGUNDUA.
@impeccablerito7922
2 ай бұрын
Nina uhakika 100% we sio mzima mtu anatumia iyo iyo bible kukosoa ujinga uliokuwepo ata kwa akili ya darasa la 3 c unajua kabisa hapa hakuna dini ya kweli na ww bado unasema muongo je angekua anatoa aya izo kwenye quran ungesema je.? Nakuone huruma ukifa kafiri ukiendelea kumwamini Mungu wako Yesu aliyetailiwa sawa sawa na ww mwenyewe
@ackimackim1880
2 ай бұрын
@@impeccablerito7922 Sio kosa lako kusema hivo ndugu AKILI na UFAHAMU wako umeishia kwa SULE. wenzako tunaelewa zaidi ya SULE.
@pilotclassic4468
2 ай бұрын
Kakuonesha kupitia biblia bado unasema muongo duuh?? Hajatumia Qur'an katumia biblia, uongo uko wapi rafiki?
@Yusufu9402 ай бұрын
Kwa nini kiharabu kwa wa Tz waswahili na makabila sio warabu
@salumkagame509
2 ай бұрын
Ile lugha ma pasta wanayo isemeya.kanisani eti lugha ya mbinguni mbone unaikubali na haina mana tena sio lugha ya kiuko kiarabu ukitafuta mana unaipata
@salumkagame509
2 ай бұрын
Ile lugha ma pasta wanayo isemeya.kanisani eti lugha ya mbinguni mbone unaikubali na haina mana tena sio lugha ya kiuko kiarabu ukitafuta mana unaipata
@salumkagame509
2 ай бұрын
Kisha mungu alisema atatucagulia lugha moja tutakae itumia kwenye ibada wewe mfano ukenda India utarudi bila kufanya Ibadan wanatumia lugha yawo ila kwa wa Islam kitabu kimoja lugha moja
@salumkagame509
2 ай бұрын
Kisha mungu alisema atatucagulia lugha moja tutakae itumia kwenye ibada wewe mfano ukenda India utarudi bila kufanya Ibadan wanatumia lugha yawo ila kwa wa Islam kitabu kimoja lugha moja hata ukedunia nzima utafanya Ibada ila nyinyi mna kikombo chain urusi nakwengineko wanayo tumia lugha ya taifa lambda wasomi wakienda wingereza ufaransa ndo watafanikiwa ila Islam kote tanafanya ibada
@salumkagame509
2 ай бұрын
Kisha mungu alisema atatucagulia lugha moja tutakae itumia kwenye ibada wewe mfano ukenda India utarudi bila kufanya Ibadan wanatumia lugha yawo ila kwa wa Islam kitabu kimoja lugha moja hata ukedunia nzima utafanya Ibada ila nyinyi mna kikombo chain urusi nakwengineko wanayo tumia lugha ya taifa lambda wasomi wakienda wingereza ufaransa ndo watafanikiwa ila Islam kote tanafanya ibada
@johnngige57942 ай бұрын
Biblia haisomwi kimsikitisikiti baba. Huwezi tumia Biblia kutetea uislamu. Ndio uwe muislamu lazima useme shahada, kama yesu muislamu, alisema shahada? Yesu alibatizwa, waislamu wanabatizwa? Yesu alimuambia Petero, "kwenye mwamba huu nitalijenga kanisa, mbona hakusema kujenga msikiti? Acha uongo Sule.
@impeccablerito7922
2 ай бұрын
Nipe uo mstari yesu anasema atajenga kanisa kutoka kwenye bible. Naacha Uislam leo leo
@Onlyforfun1992tube
2 ай бұрын
Sasa wewe ivi mungu anatahiriwa wewe
@Dugo-mkgl
Ай бұрын
@@impeccablerito7922mathayo 16:18
@johnngige5794
Ай бұрын
@@impeccablerito7922 Hope uko serious kuhama kwa dini mbovu ya uislamuna kuja kwa Yesu nikitoa verse. Hiis hapa. Jesus continues, “You are Peter, and on this rock I will build my church, and the gates of hell shall not prevail against it” (Matt. 16:18).
@johnngige5794
Ай бұрын
@@Onlyforfun1992tube Neno alifanyika mwili akawa binadamu na lazima angepitia kila stages ya binadamu. Hivi nikuulize, Yesu ako hai,alienda mbinguni na ako na baba yake, mungu.
@lilhydon4522 ай бұрын
Hata ukimsafisha nguruwe 🐖 atakua tu mchafu
@igurusitv65532 ай бұрын
Muulize kuhusu huo mpete hapo kidoleni
@zuberimohamedi5761
2 ай бұрын
Weka hoja mezani
@ashaabdalla924
2 ай бұрын
Alokwambia nani kuvaa Pete shirki kasome tena rudi school
@impeccablerito7922
2 ай бұрын
Nachoona hapo shule imekosekana kama pete mbona ata wazungu wanavaa na kanisani watu wanafunga ndoa wanavalishana pete. Sema kuna watu uwezo wao wa kufikiri na upeo wao kuna mda unahisi ata kuku anaakili kulko binadamu😂
Пікірлер: 329
Shekhe wangu nakupenda sana kwa ajili ya Allah sulle Doctor sulle Allah akupe umlimlefu sana Shekhe
Dr sule mungu akuweke waislam nanavimba sana na wewe
Maashallah❤ sheikh wetu tumejifunza mengivnakufaidika alieskia kaskia ALLAHakulipe kila lakheiri pia akuhifadhi na sote tunae kufata amiin yarraby
Safi sana mm mkiristu lkn nimekuelewa sana
@yunusabeid74
Ай бұрын
Hongera sana ndugu
@danielmatemu9698
Ай бұрын
Umeelewa nn? YESU ALISEMA hivi ÷÷ ASIYE NA DHAMBI NA AWE WA KWANZA KUTUPA JIWE÷÷ Unadhani Yesu alimaanisha nini???
Allah akulinde kwa kila kitu. Akupe umli mrefu uzid kutupa Iman wallah your professional wa kiislam❤
Amesema anayetaka kuweka mjadala nae amfuate sasa longolongo za nn mara tapeli mara miongo weka makala nae uone kama hujakimbia mwenyewe tusomen tuacheni ubishi
@Yasssin-zp6im
2 ай бұрын
Ndg yang huyo ipm ukristo kaingia jana tu sisi tushaanxa kuhubir neno la mungu ndacha kazaliwa kwenye ukristo na kasoma lkn kwa dk sulle kagonga mwamba atakua huyo ipm
Shukran sana shekhe wetu Allah akuzidishie yalo mema ishaallah ❤❤❤❤❤
Maashaa Allah.. Dr. Sule tumejifunza mengi kwako ..
Ivi usinge kuwepo dr sule ii elimu tungeipata kwa nani hakika unafundisha haswa asiye elewa huyo ni mshabiki ktk dini naludia huyo ni mshabiki wa dini hataki kujua ukweli yeye anashabikia tu,
ALLAH AKUPE UMRI MREFU SHEKH
Mimi ni muislam ila Alhamdhulilah nishamuona Yesu kwa ndoto,na nilipomuona kwa haki ya Mwenyezi Mungu niliona baraka ambazo sikuzitarajia nilikua napitia kipindi kigumu sana ila aliponitokea kwa njozi Alhamdhulilah❤❤❤
@abubakarmwasumilwe7070
2 ай бұрын
Wewe ukitoka nje Ya UISLAM Umekula khasala
@ShamimHassan-qm1et
2 ай бұрын
Kwel kbsa maan na yey ni nabii na kumuota nabii bas una daraj laki mbel ya mungu mitume na manabii hawaj kwa watu wa hovyohovyo@@abubakarmwasumilwe7070
@ShamimHassan-qm1et
2 ай бұрын
Mshukur mungu kumuota mtume wa mungu au nabii sio rahis mungu anakupenda na usione kumuota yes ndio uend kweny ukristo itakuwa ufinyu wa akili kwa yesu ni nabii wa mungu tu ni sawa na mtu aseme amemuota mtume ni daraj kubwa sana
@angle3600
2 ай бұрын
@@ShamimHassan-qm1et siezi rudi ukristo kwa sababu yeye nimtume na ametajwa kwa dini zote ila Alhamdhulilah,kumuona kwake kuliniletea baraka,japo kuna mama mmoja muislamu nilipomuaditia nimemuona yesu alinijibu sio yesu nishetani,but chakushangaza mbona niliona neema kubwa ambayo sikuitarajia,na nilikua napitia magumu kiasi cha kuchanganyikiwa,ila mimi ninaamini kweli Isa ni mtume wa Mungu
@maulidmakame3997
Ай бұрын
😂
Yan nipo na note ayo maandiko maana kuna group zang za uislam na ukristo so napelek moto😂😂
❤❤ mashallah mashallah ❤alhamdull lah mafunzomazuli Allah akulinde insha'Allah
Asante kwa kutuelimisha
MUNGU AWAUONGOZE MANDUGU WAKRISTO WAJUWE DINI YA HAKI NA UKWELI INSHALLAH
@faza4023
Ай бұрын
Haki kuua?😅 fungua macho
Kweli uongo wawakristo sasa umefika mwisho
Mashaallah mungu azid kkuweka sanaaa
Ukweli unaumaa jmn tatizo wakristo hawasomi bibilia wangesoma bibilia wange ujua ukweli tatizo hawasomi kasomeni acheni ushabiki
@denisharris2889
2 ай бұрын
Mnateseka mkiamini mungu wa Quran ni Mungu wa Bibilia. Mungu wa wakristo hatamtambui Mohammad wala nabii Isa wala allah. Msifosi tufanane...
@SaudaA.QassimSauda.A.Qassim
2 ай бұрын
@@denisharris2889someni biblia nyie biblia sio kitabu cha mungu ni mkusanyiko wa vitabu walio kusanya Paulo na wenzie yesu alikuwa ni Israel ndio mnatakiwa kwenda Israel mtafute vitabu alivyoacha yesu kama nyinyi wasema kweli
@SaudaA.QassimSauda.A.Qassim
2 ай бұрын
@@denisharris2889karibu katika uislam uislam raha
@user-ow3lc6lk9p
2 ай бұрын
@@denisharris2889hatuna haja Wala hatuitaji tufanane na makafiri mliopotea elimu hamna kazi yenu kusomewa t bibilia someni bibilia nyie matahira
Alie andika jitieni Nila yangu ni yohana yohana kasema YESU alisurubiwa kipofu akimuongoza mwingine watapotea haya Muhammad hajui atakalofanywa walawafuasi wake
@Naw89
2 ай бұрын
Ushindani tu Someni kitabu chenu vizur mtaangamia kwa ujinga Mtu katahiriwa na bado awe mwana wa Mungu au awe Mungu hata akili ya kuzaliwa pia hamtumii
@user-lu5vg9kc7y
2 ай бұрын
Mashaa llah 🌹 mashaa llah 🌹 mashaa llah 🌹 mashaa llah 🌹 mashaa llah mashaa 🎉🎉🎉🎉🎉 Shekh sule uko vizur
@huseniyahya9121
2 ай бұрын
Tatizo mna somewa kutoa sadaka 2 bible niyenu lkn hamyasomi na hamuulizi maswali wachungaji wenu ndo maana hamuelewi 4:23
@jesusislord9190
2 ай бұрын
@@huseniyahya9121 wewe biblia huijui unasubiri wakina sule wakusomee ndio ukatafute palipo andikwa Jiyieni Nila yangu jifunzeni kwangu haya tupe mafundisho ya YESU kwenye uislam tupe mafundisho nje ya Muhammad kwenye uislam
@SalehSaleh-uf2og
2 ай бұрын
YOHANA kasema ktk aya gan?,tujulishe tuelimike.
Mashallah sure ni mwarimu kbx
DR SULLE inabidi akutanishwe na OMARY MNYESHANI. Ndio level yake kwa elimu za dini hizi mbili.
Naomba hufungue fumbo lililopo sio kusoma nakuelezea in revelation hapo Pana Siri Nyingine
Doctor Sule Leo nime kusikia.Hulicho hongea mengi ni kweli.
Kwenda zako Sule mchawi una Pete za majini uislamu wenyewe uchawi tu ‼️😃😃😃
Ajikwezae hushushwa
Nyie wa kristo acheni ubishi semeni myaka 29 yesu alikuwa wapi ao alikuwa anafanya nini toweni majibu
@denisharris2889
2 ай бұрын
Nawe ujiulize kwanza maisha ya Yesu yako wapi ndanj ya quran? Ila Bibilia imesema. Na mbona ukubwa Kurani ni Robo ya Bibilia nzima? Kipi mmeandika kuhusu maisha ya mitume waliopita?. Toa boriti ndipo utoe kibanzi.. Ukweli ni huu..Kwa taarifa yako, Mungu wa quran sio Mungu wa Bibilia. Vivohivyo isa wa quran sio Yesu wa bibilia. Kwa habari ya miaka 29 ya Yesu.. Bibilia inasema... Yohana 20:30-31 Basi kuna ishara nyingine nyingi alizozifanya Yesu mbele ya wanafunzi wake, zisizoandikwa katika kitabu hiki. Lakini hizi zimeandikwa ili mpate kuamini ya kwamba Yesu ndiye Kristo, Mwana wa Mungu; na kwa kuamini mwe na uzima kwa jina lake. John 21:25 Kuna na mambo mengi aliyoyafanya Yesu; ambayo yakiandikwa moja moja, nadhani hata ulimwengu usingetosha kwa vile vitabu vitakavyoandikwa.
@jafarinauma6798
2 ай бұрын
Watoe majibu😅
@denisharris2889
2 ай бұрын
Quran imekuja miaka 700 AD. Imekubaliana na Bibilia na mikutano ya kanisa ilioandikwa miaka 300s AD. Kwamba ni kitabu cha Mungu kwa wakristo. Yeye porojo zake anatolea wapi? Kitu pekee qurani inasisitiza kukataa ni kua Utatu mtakatifu wenye kumjumuisha Baba, Yesu na Bikira Maria. Na ndio aina ya utatu ambao wakristo wa konstatino hawaufahamu hadi hii leo. Bibilia inataja utatu wa Baba, Mwana na Roho mtakatifu, Unataka majibu gani tena, kama sio common sense?Tafakari.
Mbonaa mmeyakatisha mahojiano sehemu muhimu ya paulo tatizo nn sasa
This Dude is outrageous 🔥🔥
Mashaallah
Soma Maadiko 📖 yote kama wewe ni Mkweli Yohana 3:36 Asiye Mwamini Mwana wa MUNGU hana Uzima wa Milele..... Yohana 3:16 Kwa maana jinsi hii Mungu Aliupenda Ulimwengu hata Akamtoa Mwanawe wa pekee (Yesu kristo) ili kila Amwaminiye Asipote bali awe na Uzima wa Milele.
@pilotclassic4468
2 ай бұрын
Sisi waislam tunamuamini, Alhamdulillah hatutapotea. Lkn wao wanaomzidishia sifa za uungu ndio waliopotea
@patrickmaina5459
2 ай бұрын
@@pilotclassic4468 wafilipi 2:5-8 📖
@user-rr8cw8yl5o
2 ай бұрын
Mungu hakuzaa wala hakuzaliwa na wala hafanani na kitu chochote uctupatishe madhambi hapa
@patrickmaina5459
2 ай бұрын
@@user-rr8cw8yl5o Baki hapo tu ukisena Mungu hazai Kwa maana Unafananisha Mungu na Mwanadamu, Mungu Anaza Kwa NENO 📖 Ukimwamini Mwana wa MUNGU (YESU) Tu Umezaliwa Upya.
@salumobed5980
2 ай бұрын
Bora wewe umekiribkuwa Yesi ni mwana wa mungu
Ni kama freemason kuingia ni bure ila kutoka ni kifo ila Mungu wa Biblia Anataka umwabudu kwa hiari, kama hutamwabudu maana yake wewe ni wa shetani na malipo yako ni Jehanamu ya Moto, na tameambiwa tusihukumu tusije tukahukumiwa. Maana wewe unaemuua mtu we mwenyewe umejaa dhambi kibao. Na kwenye Amri kumi tumeambiwa Tusiue.
@Naw89
2 ай бұрын
Soma sheria ya mussa Utaelewa tu unapinga kitu usichokijua Someni maandiko muelewe
@Naw89
2 ай бұрын
Usichanganye frimason na uislam Hii ni dini ya Mwenyezi Mungu na yeyote atakae kaa kwenye dini isiokuwa ya kiislam haitakubaliwa
@samwelimwanja4105
2 ай бұрын
@@Naw89 ni kweli kabisa kwenye Agano la kale katika sheria ya musa ilikuwepo hiyo ila Baada ya Kristo kuja alivunja huo utaratibu na ndio maana sheria zote za kiislamu ni zile za Agano la kale kwenye Biblia, wala hakuna aliezileta mpya ila Kwenye ukristo, utamwabudu Mungu katika Roho na kweli, ndio maana Biblia ikasema Vita vyetu sisi si juu ya Damu na Nyama ila ni juu vya Ulimwengu wa Roho. Yaani usioonekana so Ukiwa mkristo ndio utaelewa mengi zaidi , ila uislamu ni vita vya kimwili ndio maana mnaeneza Dini kwa nguvu za mwili (force)ila kwetu sio hivo.
@martedimohamed6327
2 ай бұрын
Umetahiriwa kwanza 😂😂 yesu baada ya siku 8 kuzaliwa alitiwa sunna ndo maana waislam tunafanya ivyo lkn nyinyi hasa watu wa mbeya aaahhhhh 😂😂 I’m proud to be Muslim
Allah akulipe she he wetu tunajifunza mengi ishaallah
kwa kinywa unamkiri Mungu,ila imani yako umeiweka kwa pete. toa boriti lililo jichoni mwako,nd'o utoe kibanzi kilicho katika jicho la jirani
Ukiristo so dini ni kikundi Cha wahuni
DR SULE U'R IN A MILLION MUNGU AKUPE MAISHA MAREFU UWAPE ULEMI YA HAKI NA UKWELI
Yaaani hata kama unaongozwa na dola ya kiisilamu ndio uchinjwe? Mungu gani anaruhusu mtu kumuua mtu mwingine kisa karitadi? Ni wakristo wangapi wameuwa na waisilamu huko uarabuni na kwingineko kote kwa sababu wao ni wakristo? Dini gani inaadhabu za kidikteta? Bibilia inasema Mungu ndio huua na kuweka hai kwanini umuue mwenzako kwasababu ya dini? Kwahiyo dola zao watu wakiritadi wanakatwa shingo" je hao waisilamu hawatembei katika dola za wakristo na huko hawana msikitini yao huko waonakatwa vichwa na nani kwa sababu ya kueneza uislamu wao?
Hata sisi hatujawa Wakristo by chance but tumekua Wakristo by Choice
baba yangu wapi waislam mnasema YESU ni mwana wa MUNGU haya kwahiyo biblia ni kweli
@SaudaA.QassimSauda.A.Qassim
2 ай бұрын
Biblia sio ya kwel sababu haijijui😂😂😂
@jesusislord9190
2 ай бұрын
@@SaudaA.QassimSauda.A.Qassim Wewe unaitwa nani??
@SaudaA.QassimSauda.A.Qassim
2 ай бұрын
@@jesusislord9190 jina langu si hilo
@sultansallah8772
2 ай бұрын
Wachamungu wote ni Wana wa MUNGU. Yesu alimwita MUNGU baba kwakua alikua mchamungu. Kwan WAKIRISTO wote si mnasema baba yetu ulie mbingun
@jesusislord9190
2 ай бұрын
@@sultansallah8772 leta andiko la Quran khadith ufafanuzi likisema wacha Mungu ni wana wa MUNGU ? Allah anaweza kuwa na mwana?? Umefeli sana
Tupe number 3
Sasaivi dini zote biashara mungu ndio anajuwa nani mkwe nani muongo kwanza sisi waislmu ndio tatizo
Mashallah Dk wape ukweli ao wabishi
Mollah wetu akupe umri mlefu xhekh wetu, sulle,,
Leo davista kaingia mtumbwi..
@sharifuburuhani1969
2 ай бұрын
Wa vibwengo 😂😂😂😂😂
Tuwekee mwendelezo tusikie story ya paulo
Umemsahau Musa...na muhammad hayumo mbinguni
Let me summerise this YESU ni MUNGU na dini hampeleki mtu mbinguni sisi wakristo tunaamini YESU n nyinyi bakini ya dini yenu
@danielmatemu9698
2 ай бұрын
Tuwaombee sana ili Yesu aliye mwokozi waweze kumjua muda ungali upo
@adamhashim3352
2 ай бұрын
Umeyatoa wapi hyo
@zulekhaa6817
2 ай бұрын
Huo ni ubishi tu huna hoja yoyoyte
@user-sv6zy3hc8o
2 ай бұрын
Kumbuka hata yesu aliumbwa na hata alipo kuja duniani alikuta mittume ambao walisha pita swali je nani alikuwa kabla yetu
@fenellalilian4590
2 ай бұрын
@@user-sv6zy3hc8o aliumbwa na nani Yesu ni Mungu upende usipende
J.B.B.1999
huyu ndo daktari sule sasa na asogge pastor yyt anapotea hapo.
@andrewmhagama9816
2 ай бұрын
Yeye amesoma kile tu kilichoandikwa na kukariri lakini maana yake ajui chochote Biblia sio kama gazeti itawachanganya saana kama ujafunuliwa kuyafahamu unapotea sio hadithi
Kipo kitu Dr Suleman tunaomba kukipata kutoka kwako Tunaomba tuipate historia ya Yesu kutoka kwako tofauti na Yesu tunaemsoma kwenye Biblia
Wana wa mwamad mnayo mzigo mzito nampo kwenye fumbo zito siri zenu zikiwekwa wazi munapinga wakati ukweli tunaujua ila asante sana wewe shehe mpaka sasa unamzungumzia yesu yaani ilo tu nijambo jema natumaini uyo unaye mzungumzia utakutana nae siku moja utamjua ana kwaana sio kwakumsoma
@hanifa9153
2 ай бұрын
Mungu wetu cc wa Islam ni 1 na wa yesu ni 1 sasa nyie hao wa 3 mnawatoa wap😂😂😂
@martedimohamed6327
2 ай бұрын
@@hanifa9153achana nae hy muulize kwanza katiwa sunna 😂😂😂maana yesu baada ya kuzaliwa alitiwa ndan ya siku 8 kwaivo alipotk 40 alikuwa tyr kapona sasa haoo jamaaa mpk miaka 30 wanatahiriwa kwa panga 😂😂😂😂
wacha kiburi.hata nabii Musa alijiona anajua kumpe alikuwako nabii zaidi yake aliyekuwa na elimu ya mambo fiche.ujafikia kiwango hicho
■Huyu mzee ni kipofu asiyejijua ni kipofu na wakristo wa kweli waliojaa Roho na wana wa Mungu hawawez kukujibu kutokana na Tito 3:9. Labda katafute wasabato maan wao ni JUDAISM sio wakristo. BIBLIA HAISOMWI KAMA GAZETI KAMA KITABU CHAKO. sharti na maongoz ya Roho mtakatifu. Paul alionya. Tena maandiko yanaua bali Roho anahuisha.🙏
@Hussein-gx4qu
2 ай бұрын
Sasa huyo Tito 3.9 unayotoa hizo ni barua za Paulo we unatuletea barua za Paulo hapa ?
@Werema3760
2 ай бұрын
@@Hussein-gx4qu Sikushangai maana huoni. Nirudie biblia sio sio kitabu chenu. Haisomwi kama hadhi. Lazima ufe kiroho imeandikwa kabisa mpaka uwe na Roho Mtakatifu my friend. Ndo maana wengivhukengeuka na kuongea kwa mihemko. Wew waona ni barua kwa upofu wako bali kasome 1kor7 mstari wa 40. Anaandika si yeye bali ni Roho wa Mungu amuongozae kuandika.chochote kilicho ktk biblia yaani NENO Kinaishi. NENO LI HAI NA LINANGUVU. utakuja kuelewa na kuliacsana ikiwa utapata Neema ya wokovu ila ikiwa umekusudiwa jehanam na dini yako hiyo utajuta ukiwa ndani yake bila tumsinj tena maan ushakufa.
Dr Sule namkubali sana,anaelimisha sana
Ni Waebrania 5:7 sio 3:1
Waislam wamejikaanga 😂😂😂
@arafatali2796
2 ай бұрын
pole san nyiny hata ashuke mwenyew asem yeye sio mungu hamuamn mnajulikan sana ila hamlamishwi mnaelewshwa mkikataa bas mtajua wenyewe muhim mmeambiwa bas
Acheni tantalila mwenye uwezo na anae jiamini anajua dini ,kidume icho hapo aweke mjadala tujifunze.
Matapeli nyie waabudu shetani, mada ulioonyesha ni "PROPHET IPM" lakini mjadala umehamia kwa bwana YESU, enyi waana wa ibilisi nanyi niwa-ovu kama baba yenu ibilisi, kama huamini jaribu kufanya makubaliano/mkataba na muislamu lazima mwishoni atakugeuka.
@abdallahally842
2 ай бұрын
Jibu hoja ubishi na kujisemea ni ushetani kanisa ni kwenye kiti Cha enzi Cha shetani. Na ndio maana babayenu papa kawaruhusu mfirane na mbarikiwe kiti chake Cha enzi Cha shetani
Hakika Uislamu ndio din ya hakii
Waomba msamaha harafu warusha moja hakuna faida angalia mwenyewe😂
Mimi nikuulize Sule ikiwa mitume wote walikua waislam kwa nini MAJINI hawakusikia Qur'an zao wakasilim? Kwa nini walisikia Qur'an ya Muhammad ndo wakasilim?🤔
@hanifa9153
2 ай бұрын
Wew ni jinga kabisa tosheka ivi mungu wa yesu ni 1 na mungu wa cc waislam ni 1 pia nyinyi huo utatu mliutoa wapi!???
@arafatali2796
2 ай бұрын
ndoujue kuwa gur an inanguvu kuslm sio jintu hata shetan anatakiw kuslim kwan vibaya jin kuslm mbina sio kitu cha kushangaza ndo tujue yakuwa gur an inanguvu sana had jina kaslimu
Ikiwa tabia zetu na hulka zetu hazilingani naimani hata Dini haziwezi fanana . Dini ilikuwa biashara ila weka imani yako kwa unachokiani lkini usipotoshe na wala usitazame kibanzi kilichopo kwenye jicho la mwenzio
@sharifuburuhani1969
2 ай бұрын
ikiwa waona anapotosha mtafute mueke mjadala mimi ntagharamia mhadhara.😂😂😂😂
Hakuna point hpo
@arafatali2796
2 ай бұрын
soma kijana kwanza laazivyo kaatu kimwa
@ShamimHassan-qm1et
2 ай бұрын
Kwa amabra Hana akili Kam wew ndio Haoni point went akil tu ndio wameelewa
Hata huislamu ni dogma cz dini ni dogma nyingi zilizowekwa pamoja so Kila inayoitwa dini Iko katika dogma Dr sulle kasome triparti colonial utaelewa hapo Pana nini
Uyu jamaa alitumwa lakn katumwa pasipo tumika 😅🤣😂😅😂 yan unauliza Dr ni ya nn kwel huon madin yanayoshushwa
@denisharris2889
2 ай бұрын
Hana madini yoyote. Kwanza quran inawataka msikosoe kitabu cha bibilia. Kwakua ni cha mwenyezi Mungu. Nyie mwajitia kukosoa. Mnataka kumfanya allah wenu aliyekisadiki kisha akawapa. Wakristo kua yuu Mwongo? . Tafakari chukua hatua...
yesu alikufa au hajafa kwasababu umetaja kifungu cha yesu akiomba juu ya mauti ya msalaba
2:53 anaehoji alisikia joto akafungua zipu
@ShamimHassan-qm1et
2 ай бұрын
😂😂😂akili huna😂😂
Ila huyu ni mwongo sana, anasema wasabato hawaamini katika Utatu Mtakatifu, wakati juzi tu katoka kubishana na Ndacha ambae ni msabato. Na anatetea utatu Mtakatifu
@salisali3738
2 ай бұрын
😅
@saudamketo
2 ай бұрын
Ndacha amekiri mwenyewe haamini kwenye utatu
@user-su8tg7xy2b
2 ай бұрын
Ndacha ameasi saizi, nae ameanza kupinga. Shetani yupo kazini
Je uisilamu ulianza miaka mingapi Baada ya Yesu kufariki
@Naw89
2 ай бұрын
Uislamu ulikuwepo tokea zamani manabii wote walikua Waislamu Hata Yesu ni muislamu
@danielmatemu9698
2 ай бұрын
Miaka 600
@ismailmazina4178
2 ай бұрын
Uislamu ulianza toka mtu wakwanza kuumbwa
@danielmatemu9698
2 ай бұрын
@@Naw89 Yesu alibatizwa, waislam walibatizwa wapi?
@zulekhaa6817
2 ай бұрын
Uisilamu umeanza tokea alipotumwa Adam, mpaka kaja kuhitisha Mtume Muhammad swalla llahu alyhi wassllam. Kitabu chetu Qur'an kishatuambia, hatuendeshwi kwa pumba km wakiristo
Hata km ni Mkristo ukimkataa Doctor Sule bac utakw na lako jngn maana amechambua kila upande tena kwa maandiko.
Kwenye uwilamu kuna ndota au shehe
Dr sullen hapo haiwezi elimu ya bibilia ata kidogo
@sharifuburuhani1969
2 ай бұрын
Mtafute mueke mjadala, sisi wapenzi wasikilizaji tupo!
Mbona ndacha ulimshindwa na alikufuata tz, na mlikua weng 2
@Hussein-gx4qu
2 ай бұрын
we ile dibet ya ndacha na sulehujaiona nini au unajizima data ? huyo ndacha wako alishindwa vibaya
@ramadhanyusuf2401
2 ай бұрын
Ule sio mwana dibeti yule mtafta kiki kwa wazungu ndacha hajui lolote kelele zake kibao
@martedimohamed6327
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂 ndacha yy mwenyew anaswali kimya kimya
Utafute pasta Ndacha
@selemanimchana3598
2 ай бұрын
Ndacha nae aliweza kuutetea ukiristo wenu?
Sule wewe ni nmuongo sana yaani unasema hekalu lijengwa na majini? Kasme vizuri Biblia utaelewa vizuri
Yesu alimwita mungu baba,kwahivyo shule anakunakubali yesu ni mwana wa mungu?
@swafiirbulbul819
2 ай бұрын
Yeyote aliemtiifu kwa Mungu huitwa MWANA WA MUNGU
@SaaS-Guide
2 ай бұрын
@@swafiirbulbul819Lakini Yesu pia ni Mungu maana alikubali kuabudiwa na kuitwa Mungu.
@swafiirbulbul819
2 ай бұрын
@@SaaS-Guide Wapi katika Biblia Yesu amefundisha Wanafunzi wamuabudu..!???
@swafiirbulbul819
2 ай бұрын
@@SaaS-Guide Pia, wapi Yesu katika Biblia amesema Yeye ni Mungu..!??
@swafiirbulbul819
2 ай бұрын
@@SaaS-Guide Lakini ukisema; "Pia Yesu ni Mungu.." .. Unamaanisha Mungu ni Wawili..??!! Au..? 🤔
Shebby kwasababu wenda ujasoma bibilia lkn kama unajua jinsi anavyojikanya ungekuwa unambananisha sema kwakua ujui tumpe ushindi
@saidsuleiman1753
2 ай бұрын
Ila Dr Sule ameomba kwa yeyote ambae anataka kukutana nae wakati wowote, ni vema kwa kuwa wewe unaijua Biblia ukakutana nae.
@msemakweli243
2 ай бұрын
@@saidsuleiman1753 Itakuwa hivo na sio bibilia hata quran naijua tunamsubili akirudi South Africa
Waliojenga ni wa Israeli wayaudi sio majini.
Mzee bible unaijua bana😂😂😂😂
Dr gani wewe sure hivi kweli majini yalijenga hekalu la suleiman,.huna akili nzuri wewe mfuga majini tu mtume huwezi kumfananisha na yesu.afu muhamad kafanya nini ambacho cha maana.
Kwani dini ya kwanza kuwako duniani ni dini gani
@kimandoro7432
2 ай бұрын
Dini ya kwanza inayo itwa upagan
Nyie mnaosema muongo bas muiteni sule ukapamban
Hamuoni kama nyie mamkosea mungu kuchukua maamuzi ya kumkata kichwa nyie mnahukumu nyie ni mungu
@sharifuburuhani1969
2 ай бұрын
Hata Biblia yesu alisema wasiomkubali wauwawe!
Kuna jini na pepo na viumbe vya kichawi.
Anayemhoji kabanwa na haja kubwa
Mbona yesu alibatizwa lakini waislam hawabatizwi kila dini inataratibu zake nijibu hilo
@martedimohamed6327
2 ай бұрын
Mbna yesu alitahiriwa baada ya siku 8 kuzaliwa waislam tunafanya ivyo ndn ya wiki 1 baada ya mtoto kuzaliwa jee? Nyie wakristo mnafanya ivyo???? Wengi wenu magovi 😂😂😂😂😂😂
Sema tu ni wapi bibilia inafundisha uchawi wacha kukurupuka sijui Esther sijui Nehemiah. قُلْ أُوحِيَ إِلَيَّ أَنَّهُ اسْتَمَعَ نَفَرٌ مِّنَ الْجِنِّ فَقَالُوا إِنَّا سَمِعْنَا قُرْآنًا عَجَبًا waisilamu wanashirikiana na majini kulingana na sura 72.
@arafatali2796
2 ай бұрын
kwan dhambi alaf hii sura mnatafsir mnavyotaka nyie sio ilivyokusudiw naitawachanganya sana
@deflinthassan5645
2 ай бұрын
Unamjua mfalume suleiman.. kamsome vzr
Mimi nasema hakuna mahali majini walijenga hekalu la Suleiman. Na hakuna mchawi mkristu, uchawi umekataliwa na Biblia. Huyo aliye mtaja, hakuwa anafanya uchawi kama mkristu, bali kama mtu wa mataifa, kule mitume walikua wanahubiri injili.
@issufodaude1766
2 ай бұрын
Mbona kuna wacristo wengi ni wa chawi
Nipo na bible hapa ila mengi anayoyasema nikichek nakuta tofaut😂😂😂 matango poli😢
@athumanhatibumkombolaguha
2 ай бұрын
Unajua kuisoma vzr lakini,?
@ShamimHassan-qm1et
2 ай бұрын
@@athumanhatibumkombolaguhaitakuwa kwel hajui mwisho wanaikana na biblia😂😂
@Onlyforfun1992tube
2 ай бұрын
Tatizo bible zipo nyingi
Hujui sulle chochote.
@arafatali2796
2 ай бұрын
kaseme wew unaejua
😂
Hakika Dr sule umeupiga mwingi...hususani hapo uliposema "Yanga kaifunga Simba 7-2 msimu wa 2024...UKIPINGA NI KAFIRI.
@ramadhanidhahabu9509
2 ай бұрын
😂😂bwege weee
Ndasha atakunyosha
@impeccablerito7922
2 ай бұрын
Acha kua shabiki wa dini soma bible nafanya research ya upande wa pili utakua umeinusuru nafsi yako kama kwelii unataka kujua ukweli na mungu wakweli
@Hussein-gx4qu
2 ай бұрын
ndacha alishindwa vibaya kaangalie vizuri Ile dibeti Tena
Yuko wapi huyo ipm
Muhamadi yuko kaburini usitudanganye wewe
Ipm simuoni
@DavistarMataMediaDM
2 ай бұрын
Story inaendelea keep calm
Aaa! SULEEE! MUONGOO, UNA ELIMU YA UONGO MSHUA,ALAFU UKO SILIASI ILEILE YAN
@jumakutengeza1080
2 ай бұрын
Ayo maandiko aliotoa kwa Biblia hayapo?
@ackimackim1880
2 ай бұрын
@@jumakutengeza1080 wachache tunaelewa wengi hawaelewi.we mpaka ukasome theologia. ILA SULE ANA UONGO WA AKILI. IBIRISI NDO BABA WA UONGO.ANAMIFUMO SIO RAHISI KILA MTU KUGUNDUA.
@impeccablerito7922
2 ай бұрын
Nina uhakika 100% we sio mzima mtu anatumia iyo iyo bible kukosoa ujinga uliokuwepo ata kwa akili ya darasa la 3 c unajua kabisa hapa hakuna dini ya kweli na ww bado unasema muongo je angekua anatoa aya izo kwenye quran ungesema je.? Nakuone huruma ukifa kafiri ukiendelea kumwamini Mungu wako Yesu aliyetailiwa sawa sawa na ww mwenyewe
@ackimackim1880
2 ай бұрын
@@impeccablerito7922 Sio kosa lako kusema hivo ndugu AKILI na UFAHAMU wako umeishia kwa SULE. wenzako tunaelewa zaidi ya SULE.
@pilotclassic4468
2 ай бұрын
Kakuonesha kupitia biblia bado unasema muongo duuh?? Hajatumia Qur'an katumia biblia, uongo uko wapi rafiki?
Kwa nini kiharabu kwa wa Tz waswahili na makabila sio warabu
@salumkagame509
2 ай бұрын
Ile lugha ma pasta wanayo isemeya.kanisani eti lugha ya mbinguni mbone unaikubali na haina mana tena sio lugha ya kiuko kiarabu ukitafuta mana unaipata
@salumkagame509
2 ай бұрын
Ile lugha ma pasta wanayo isemeya.kanisani eti lugha ya mbinguni mbone unaikubali na haina mana tena sio lugha ya kiuko kiarabu ukitafuta mana unaipata
@salumkagame509
2 ай бұрын
Kisha mungu alisema atatucagulia lugha moja tutakae itumia kwenye ibada wewe mfano ukenda India utarudi bila kufanya Ibadan wanatumia lugha yawo ila kwa wa Islam kitabu kimoja lugha moja
@salumkagame509
2 ай бұрын
Kisha mungu alisema atatucagulia lugha moja tutakae itumia kwenye ibada wewe mfano ukenda India utarudi bila kufanya Ibadan wanatumia lugha yawo ila kwa wa Islam kitabu kimoja lugha moja hata ukedunia nzima utafanya Ibada ila nyinyi mna kikombo chain urusi nakwengineko wanayo tumia lugha ya taifa lambda wasomi wakienda wingereza ufaransa ndo watafanikiwa ila Islam kote tanafanya ibada
@salumkagame509
2 ай бұрын
Kisha mungu alisema atatucagulia lugha moja tutakae itumia kwenye ibada wewe mfano ukenda India utarudi bila kufanya Ibadan wanatumia lugha yawo ila kwa wa Islam kitabu kimoja lugha moja hata ukedunia nzima utafanya Ibada ila nyinyi mna kikombo chain urusi nakwengineko wanayo tumia lugha ya taifa lambda wasomi wakienda wingereza ufaransa ndo watafanikiwa ila Islam kote tanafanya ibada
Biblia haisomwi kimsikitisikiti baba. Huwezi tumia Biblia kutetea uislamu. Ndio uwe muislamu lazima useme shahada, kama yesu muislamu, alisema shahada? Yesu alibatizwa, waislamu wanabatizwa? Yesu alimuambia Petero, "kwenye mwamba huu nitalijenga kanisa, mbona hakusema kujenga msikiti? Acha uongo Sule.
@impeccablerito7922
2 ай бұрын
Nipe uo mstari yesu anasema atajenga kanisa kutoka kwenye bible. Naacha Uislam leo leo
@Onlyforfun1992tube
2 ай бұрын
Sasa wewe ivi mungu anatahiriwa wewe
@Dugo-mkgl
Ай бұрын
@@impeccablerito7922mathayo 16:18
@johnngige5794
Ай бұрын
@@impeccablerito7922 Hope uko serious kuhama kwa dini mbovu ya uislamuna kuja kwa Yesu nikitoa verse. Hiis hapa. Jesus continues, “You are Peter, and on this rock I will build my church, and the gates of hell shall not prevail against it” (Matt. 16:18).
@johnngige5794
Ай бұрын
@@Onlyforfun1992tube Neno alifanyika mwili akawa binadamu na lazima angepitia kila stages ya binadamu. Hivi nikuulize, Yesu ako hai,alienda mbinguni na ako na baba yake, mungu.
Hata ukimsafisha nguruwe 🐖 atakua tu mchafu
Muulize kuhusu huo mpete hapo kidoleni
@zuberimohamedi5761
2 ай бұрын
Weka hoja mezani
@ashaabdalla924
2 ай бұрын
Alokwambia nani kuvaa Pete shirki kasome tena rudi school
@impeccablerito7922
2 ай бұрын
Nachoona hapo shule imekosekana kama pete mbona ata wazungu wanavaa na kanisani watu wanafunga ndoa wanavalishana pete. Sema kuna watu uwezo wao wa kufikiri na upeo wao kuna mda unahisi ata kuku anaakili kulko binadamu😂
@ashaabdalla924
2 ай бұрын
@@impeccablerito7922 😄😄😄