PART2:HATIMAE PROPHET IPM AKUTANA NA SHEHE DR SULLE,AJIBU KWANINI ALITOKA KWENYE UISLAM!KIKAO KIZITO

Ойын-сауық

Пікірлер: 329

  • @harunaabu3083
    @harunaabu30832 ай бұрын

    Shekhe wangu nakupenda sana kwa ajili ya Allah sulle Doctor sulle Allah akupe umlimlefu sana Shekhe

  • @abdulnasuma9729
    @abdulnasuma97292 ай бұрын

    Dr sule mungu akuweke waislam nanavimba sana na wewe

  • @ayubumasudi8380
    @ayubumasudi83802 ай бұрын

    Maashallah❤ sheikh wetu tumejifunza mengivnakufaidika alieskia kaskia ALLAHakulipe kila lakheiri pia akuhifadhi na sote tunae kufata amiin yarraby

  • @ebenezernnko8251
    @ebenezernnko82512 ай бұрын

    Safi sana mm mkiristu lkn nimekuelewa sana

  • @yunusabeid74

    @yunusabeid74

    Ай бұрын

    Hongera sana ndugu

  • @danielmatemu9698

    @danielmatemu9698

    Ай бұрын

    Umeelewa nn? YESU ALISEMA hivi ÷÷ ASIYE NA DHAMBI NA AWE WA KWANZA KUTUPA JIWE÷÷ Unadhani Yesu alimaanisha nini???

  • @AllyDunia-lo8gq
    @AllyDunia-lo8gqАй бұрын

    Allah akulinde kwa kila kitu. Akupe umli mrefu uzid kutupa Iman wallah your professional wa kiislam❤

  • @user-rr8cw8yl5o
    @user-rr8cw8yl5o2 ай бұрын

    Amesema anayetaka kuweka mjadala nae amfuate sasa longolongo za nn mara tapeli mara miongo weka makala nae uone kama hujakimbia mwenyewe tusomen tuacheni ubishi

  • @Yasssin-zp6im

    @Yasssin-zp6im

    2 ай бұрын

    Ndg yang huyo ipm ukristo kaingia jana tu sisi tushaanxa kuhubir neno la mungu ndacha kazaliwa kwenye ukristo na kasoma lkn kwa dk sulle kagonga mwamba atakua huyo ipm

  • @saumodzumbo9671
    @saumodzumbo96712 ай бұрын

    Shukran sana shekhe wetu Allah akuzidishie yalo mema ishaallah ❤❤❤❤❤

  • @swafiirbulbul819
    @swafiirbulbul8192 ай бұрын

    Maashaa Allah.. Dr. Sule tumejifunza mengi kwako ..

  • @user-sx9wd3rh9q
    @user-sx9wd3rh9q2 ай бұрын

    Ivi usinge kuwepo dr sule ii elimu tungeipata kwa nani hakika unafundisha haswa asiye elewa huyo ni mshabiki ktk dini naludia huyo ni mshabiki wa dini hataki kujua ukweli yeye anashabikia tu,

  • @muzzoonlinetv7446
    @muzzoonlinetv74462 ай бұрын

    ALLAH AKUPE UMRI MREFU SHEKH

  • @angle3600
    @angle36002 ай бұрын

    Mimi ni muislam ila Alhamdhulilah nishamuona Yesu kwa ndoto,na nilipomuona kwa haki ya Mwenyezi Mungu niliona baraka ambazo sikuzitarajia nilikua napitia kipindi kigumu sana ila aliponitokea kwa njozi Alhamdhulilah❤❤❤

  • @abubakarmwasumilwe7070

    @abubakarmwasumilwe7070

    2 ай бұрын

    Wewe ukitoka nje Ya UISLAM Umekula khasala

  • @ShamimHassan-qm1et

    @ShamimHassan-qm1et

    2 ай бұрын

    Kwel kbsa maan na yey ni nabii na kumuota nabii bas una daraj laki mbel ya mungu mitume na manabii hawaj kwa watu wa hovyohovyo​@@abubakarmwasumilwe7070

  • @ShamimHassan-qm1et

    @ShamimHassan-qm1et

    2 ай бұрын

    Mshukur mungu kumuota mtume wa mungu au nabii sio rahis mungu anakupenda na usione kumuota yes ndio uend kweny ukristo itakuwa ufinyu wa akili kwa yesu ni nabii wa mungu tu ni sawa na mtu aseme amemuota mtume ni daraj kubwa sana

  • @angle3600

    @angle3600

    2 ай бұрын

    @@ShamimHassan-qm1et siezi rudi ukristo kwa sababu yeye nimtume na ametajwa kwa dini zote ila Alhamdhulilah,kumuona kwake kuliniletea baraka,japo kuna mama mmoja muislamu nilipomuaditia nimemuona yesu alinijibu sio yesu nishetani,but chakushangaza mbona niliona neema kubwa ambayo sikuitarajia,na nilikua napitia magumu kiasi cha kuchanganyikiwa,ila mimi ninaamini kweli Isa ni mtume wa Mungu

  • @maulidmakame3997

    @maulidmakame3997

    Ай бұрын

    😂

  • @AllyIbrahim-ql6ms
    @AllyIbrahim-ql6msАй бұрын

    Yan nipo na note ayo maandiko maana kuna group zang za uislam na ukristo so napelek moto😂😂

  • @MaryamHAMISI-ei9fq
    @MaryamHAMISI-ei9fq2 ай бұрын

    ❤❤ mashallah mashallah ❤alhamdull lah mafunzomazuli Allah akulinde insha'Allah

  • @user-bz5gl7nb4m
    @user-bz5gl7nb4m2 ай бұрын

    Asante kwa kutuelimisha

  • @user-kc6hc6re7t
    @user-kc6hc6re7tАй бұрын

    MUNGU AWAUONGOZE MANDUGU WAKRISTO WAJUWE DINI YA HAKI NA UKWELI INSHALLAH

  • @faza4023

    @faza4023

    Ай бұрын

    Haki kuua?😅 fungua macho

  • @HerriThabiti-qd5rr
    @HerriThabiti-qd5rr2 ай бұрын

    Kweli uongo wawakristo sasa umefika mwisho

  • @KhajiRashid-lk6fi
    @KhajiRashid-lk6fi2 ай бұрын

    Mashaallah mungu azid kkuweka sanaaa

  • @samrysamry9812
    @samrysamry98122 ай бұрын

    Ukweli unaumaa jmn tatizo wakristo hawasomi bibilia wangesoma bibilia wange ujua ukweli tatizo hawasomi kasomeni acheni ushabiki

  • @denisharris2889

    @denisharris2889

    2 ай бұрын

    Mnateseka mkiamini mungu wa Quran ni Mungu wa Bibilia. Mungu wa wakristo hatamtambui Mohammad wala nabii Isa wala allah. Msifosi tufanane...

  • @SaudaA.QassimSauda.A.Qassim

    @SaudaA.QassimSauda.A.Qassim

    2 ай бұрын

    ​@@denisharris2889someni biblia nyie biblia sio kitabu cha mungu ni mkusanyiko wa vitabu walio kusanya Paulo na wenzie yesu alikuwa ni Israel ndio mnatakiwa kwenda Israel mtafute vitabu alivyoacha yesu kama nyinyi wasema kweli

  • @SaudaA.QassimSauda.A.Qassim

    @SaudaA.QassimSauda.A.Qassim

    2 ай бұрын

    ​@@denisharris2889karibu katika uislam uislam raha

  • @user-ow3lc6lk9p

    @user-ow3lc6lk9p

    2 ай бұрын

    ​@@denisharris2889hatuna haja Wala hatuitaji tufanane na makafiri mliopotea elimu hamna kazi yenu kusomewa t bibilia someni bibilia nyie matahira

  • @jesusislord9190
    @jesusislord91902 ай бұрын

    Alie andika jitieni Nila yangu ni yohana yohana kasema YESU alisurubiwa kipofu akimuongoza mwingine watapotea haya Muhammad hajui atakalofanywa walawafuasi wake

  • @Naw89

    @Naw89

    2 ай бұрын

    Ushindani tu Someni kitabu chenu vizur mtaangamia kwa ujinga Mtu katahiriwa na bado awe mwana wa Mungu au awe Mungu hata akili ya kuzaliwa pia hamtumii

  • @user-lu5vg9kc7y

    @user-lu5vg9kc7y

    2 ай бұрын

    Mashaa llah 🌹 mashaa llah 🌹 mashaa llah 🌹 mashaa llah 🌹 mashaa llah mashaa 🎉🎉🎉🎉🎉 Shekh sule uko vizur

  • @huseniyahya9121

    @huseniyahya9121

    2 ай бұрын

    Tatizo mna somewa kutoa sadaka 2 bible niyenu lkn hamyasomi na hamuulizi maswali wachungaji wenu ndo maana hamuelewi 4:23

  • @jesusislord9190

    @jesusislord9190

    2 ай бұрын

    @@huseniyahya9121 wewe biblia huijui unasubiri wakina sule wakusomee ndio ukatafute palipo andikwa Jiyieni Nila yangu jifunzeni kwangu haya tupe mafundisho ya YESU kwenye uislam tupe mafundisho nje ya Muhammad kwenye uislam

  • @SalehSaleh-uf2og

    @SalehSaleh-uf2og

    2 ай бұрын

    YOHANA kasema ktk aya gan?,tujulishe tuelimike.

  • @Leo-xc1nh
    @Leo-xc1nh2 ай бұрын

    Mashallah sure ni mwarimu kbx

  • @lifezest6274
    @lifezest62742 ай бұрын

    DR SULLE inabidi akutanishwe na OMARY MNYESHANI. Ndio level yake kwa elimu za dini hizi mbili.

  • @ApostleesdrasMukambi
    @ApostleesdrasMukambiАй бұрын

    Naomba hufungue fumbo lililopo sio kusoma nakuelezea in revelation hapo Pana Siri Nyingine

  • @SelinaNenda
    @SelinaNenda5 күн бұрын

    Doctor Sule Leo nime kusikia.Hulicho hongea mengi ni kweli.

  • @swalehsalim5576
    @swalehsalim5576Ай бұрын

    Kwenda zako Sule mchawi una Pete za majini uislamu wenyewe uchawi tu ‼️😃😃😃

  • @officialkinghimself2637
    @officialkinghimself26372 ай бұрын

    Ajikwezae hushushwa

  • @AssumaniKibiriti
    @AssumaniKibiriti2 ай бұрын

    Nyie wa kristo acheni ubishi semeni myaka 29 yesu alikuwa wapi ao alikuwa anafanya nini toweni majibu

  • @denisharris2889

    @denisharris2889

    2 ай бұрын

    Nawe ujiulize kwanza maisha ya Yesu yako wapi ndanj ya quran? Ila Bibilia imesema. Na mbona ukubwa Kurani ni Robo ya Bibilia nzima? Kipi mmeandika kuhusu maisha ya mitume waliopita?. Toa boriti ndipo utoe kibanzi.. Ukweli ni huu..Kwa taarifa yako, Mungu wa quran sio Mungu wa Bibilia. Vivohivyo isa wa quran sio Yesu wa bibilia. Kwa habari ya miaka 29 ya Yesu.. Bibilia inasema... Yohana 20:30-31 Basi kuna ishara nyingine nyingi alizozifanya Yesu mbele ya wanafunzi wake, zisizoandikwa katika kitabu hiki. Lakini hizi zimeandikwa ili mpate kuamini ya kwamba Yesu ndiye Kristo, Mwana wa Mungu; na kwa kuamini mwe na uzima kwa jina lake. John 21:25 Kuna na mambo mengi aliyoyafanya Yesu; ambayo yakiandikwa moja moja, nadhani hata ulimwengu usingetosha kwa vile vitabu vitakavyoandikwa.

  • @jafarinauma6798

    @jafarinauma6798

    2 ай бұрын

    Watoe majibu😅

  • @denisharris2889

    @denisharris2889

    2 ай бұрын

    Quran imekuja miaka 700 AD. Imekubaliana na Bibilia na mikutano ya kanisa ilioandikwa miaka 300s AD. Kwamba ni kitabu cha Mungu kwa wakristo. Yeye porojo zake anatolea wapi? Kitu pekee qurani inasisitiza kukataa ni kua Utatu mtakatifu wenye kumjumuisha Baba, Yesu na Bikira Maria. Na ndio aina ya utatu ambao wakristo wa konstatino hawaufahamu hadi hii leo. Bibilia inataja utatu wa Baba, Mwana na Roho mtakatifu, Unataka majibu gani tena, kama sio common sense?Tafakari.

  • @abdallahally842
    @abdallahally8422 ай бұрын

    Mbonaa mmeyakatisha mahojiano sehemu muhimu ya paulo tatizo nn sasa

  • @sundaymushi9640
    @sundaymushi96402 ай бұрын

    This Dude is outrageous 🔥🔥

  • @user-pv2qn8qh9w
    @user-pv2qn8qh9w2 ай бұрын

    Mashaallah

  • @patrickmaina5459
    @patrickmaina54592 ай бұрын

    Soma Maadiko 📖 yote kama wewe ni Mkweli Yohana 3:36 Asiye Mwamini Mwana wa MUNGU hana Uzima wa Milele..... Yohana 3:16 Kwa maana jinsi hii Mungu Aliupenda Ulimwengu hata Akamtoa Mwanawe wa pekee (Yesu kristo) ili kila Amwaminiye Asipote bali awe na Uzima wa Milele.

  • @pilotclassic4468

    @pilotclassic4468

    2 ай бұрын

    Sisi waislam tunamuamini, Alhamdulillah hatutapotea. Lkn wao wanaomzidishia sifa za uungu ndio waliopotea

  • @patrickmaina5459

    @patrickmaina5459

    2 ай бұрын

    @@pilotclassic4468 wafilipi 2:5-8 📖

  • @user-rr8cw8yl5o

    @user-rr8cw8yl5o

    2 ай бұрын

    Mungu hakuzaa wala hakuzaliwa na wala hafanani na kitu chochote uctupatishe madhambi hapa

  • @patrickmaina5459

    @patrickmaina5459

    2 ай бұрын

    @@user-rr8cw8yl5o Baki hapo tu ukisena Mungu hazai Kwa maana Unafananisha Mungu na Mwanadamu, Mungu Anaza Kwa NENO 📖 Ukimwamini Mwana wa MUNGU (YESU) Tu Umezaliwa Upya.

  • @salumobed5980

    @salumobed5980

    2 ай бұрын

    Bora wewe umekiribkuwa Yesi ni mwana wa mungu

  • @samwelimwanja4105
    @samwelimwanja41052 ай бұрын

    Ni kama freemason kuingia ni bure ila kutoka ni kifo ila Mungu wa Biblia Anataka umwabudu kwa hiari, kama hutamwabudu maana yake wewe ni wa shetani na malipo yako ni Jehanamu ya Moto, na tameambiwa tusihukumu tusije tukahukumiwa. Maana wewe unaemuua mtu we mwenyewe umejaa dhambi kibao. Na kwenye Amri kumi tumeambiwa Tusiue.

  • @Naw89

    @Naw89

    2 ай бұрын

    Soma sheria ya mussa Utaelewa tu unapinga kitu usichokijua Someni maandiko muelewe

  • @Naw89

    @Naw89

    2 ай бұрын

    Usichanganye frimason na uislam Hii ni dini ya Mwenyezi Mungu na yeyote atakae kaa kwenye dini isiokuwa ya kiislam haitakubaliwa

  • @samwelimwanja4105

    @samwelimwanja4105

    2 ай бұрын

    @@Naw89 ni kweli kabisa kwenye Agano la kale katika sheria ya musa ilikuwepo hiyo ila Baada ya Kristo kuja alivunja huo utaratibu na ndio maana sheria zote za kiislamu ni zile za Agano la kale kwenye Biblia, wala hakuna aliezileta mpya ila Kwenye ukristo, utamwabudu Mungu katika Roho na kweli, ndio maana Biblia ikasema Vita vyetu sisi si juu ya Damu na Nyama ila ni juu vya Ulimwengu wa Roho. Yaani usioonekana so Ukiwa mkristo ndio utaelewa mengi zaidi , ila uislamu ni vita vya kimwili ndio maana mnaeneza Dini kwa nguvu za mwili (force)ila kwetu sio hivo.

  • @martedimohamed6327

    @martedimohamed6327

    2 ай бұрын

    Umetahiriwa kwanza 😂😂 yesu baada ya siku 8 kuzaliwa alitiwa sunna ndo maana waislam tunafanya ivyo lkn nyinyi hasa watu wa mbeya aaahhhhh 😂😂 I’m proud to be Muslim

  • @Havijawajaha
    @Havijawajaha2 ай бұрын

    Allah akulipe she he wetu tunajifunza mengi ishaallah

  • @AlphayoLugallah
    @AlphayoLugallah42 минут бұрын

    kwa kinywa unamkiri Mungu,ila imani yako umeiweka kwa pete. toa boriti lililo jichoni mwako,nd'o utoe kibanzi kilicho katika jicho la jirani

  • @iddisalimu5028
    @iddisalimu50282 ай бұрын

    Ukiristo so dini ni kikundi Cha wahuni

  • @user-kc6hc6re7t
    @user-kc6hc6re7tАй бұрын

    DR SULE U'R IN A MILLION MUNGU AKUPE MAISHA MAREFU UWAPE ULEMI YA HAKI NA UKWELI

  • @engisack9610
    @engisack9610Ай бұрын

    Yaaani hata kama unaongozwa na dola ya kiisilamu ndio uchinjwe? Mungu gani anaruhusu mtu kumuua mtu mwingine kisa karitadi? Ni wakristo wangapi wameuwa na waisilamu huko uarabuni na kwingineko kote kwa sababu wao ni wakristo? Dini gani inaadhabu za kidikteta? Bibilia inasema Mungu ndio huua na kuweka hai kwanini umuue mwenzako kwasababu ya dini? Kwahiyo dola zao watu wakiritadi wanakatwa shingo" je hao waisilamu hawatembei katika dola za wakristo na huko hawana msikitini yao huko waonakatwa vichwa na nani kwa sababu ya kueneza uislamu wao?

  • @engisack9610
    @engisack9610Ай бұрын

    Hata sisi hatujawa Wakristo by chance but tumekua Wakristo by Choice

  • @jesusislord9190
    @jesusislord91902 ай бұрын

    baba yangu wapi waislam mnasema YESU ni mwana wa MUNGU haya kwahiyo biblia ni kweli

  • @SaudaA.QassimSauda.A.Qassim

    @SaudaA.QassimSauda.A.Qassim

    2 ай бұрын

    Biblia sio ya kwel sababu haijijui😂😂😂

  • @jesusislord9190

    @jesusislord9190

    2 ай бұрын

    @@SaudaA.QassimSauda.A.Qassim Wewe unaitwa nani??

  • @SaudaA.QassimSauda.A.Qassim

    @SaudaA.QassimSauda.A.Qassim

    2 ай бұрын

    @@jesusislord9190 jina langu si hilo

  • @sultansallah8772

    @sultansallah8772

    2 ай бұрын

    Wachamungu wote ni Wana wa MUNGU. Yesu alimwita MUNGU baba kwakua alikua mchamungu. Kwan WAKIRISTO wote si mnasema baba yetu ulie mbingun

  • @jesusislord9190

    @jesusislord9190

    2 ай бұрын

    @@sultansallah8772 leta andiko la Quran khadith ufafanuzi likisema wacha Mungu ni wana wa MUNGU ? Allah anaweza kuwa na mwana?? Umefeli sana

  • @daslamonline4665
    @daslamonline46652 ай бұрын

    Tupe number 3

  • @rogerabdallah439
    @rogerabdallah4392 ай бұрын

    Sasaivi dini zote biashara mungu ndio anajuwa nani mkwe nani muongo kwanza sisi waislmu ndio tatizo

  • @shaniisack1153
    @shaniisack11532 ай бұрын

    Mashallah Dk wape ukweli ao wabishi

  • @AshaAshim-gy6jm
    @AshaAshim-gy6jmАй бұрын

    Mollah wetu akupe umri mlefu xhekh wetu, sulle,,

  • @sadammaker4540
    @sadammaker45402 ай бұрын

    Leo davista kaingia mtumbwi..

  • @sharifuburuhani1969

    @sharifuburuhani1969

    2 ай бұрын

    Wa vibwengo 😂😂😂😂😂

  • @hotexmedia2021
    @hotexmedia20212 ай бұрын

    Tuwekee mwendelezo tusikie story ya paulo

  • @SifaelMpagike-gt1gz
    @SifaelMpagike-gt1gzАй бұрын

    Umemsahau Musa...na muhammad hayumo mbinguni

  • @fenellalilian4590
    @fenellalilian45902 ай бұрын

    Let me summerise this YESU ni MUNGU na dini hampeleki mtu mbinguni sisi wakristo tunaamini YESU n nyinyi bakini ya dini yenu

  • @danielmatemu9698

    @danielmatemu9698

    2 ай бұрын

    Tuwaombee sana ili Yesu aliye mwokozi waweze kumjua muda ungali upo

  • @adamhashim3352

    @adamhashim3352

    2 ай бұрын

    Umeyatoa wapi hyo

  • @zulekhaa6817

    @zulekhaa6817

    2 ай бұрын

    Huo ni ubishi tu huna hoja yoyoyte

  • @user-sv6zy3hc8o

    @user-sv6zy3hc8o

    2 ай бұрын

    Kumbuka hata yesu aliumbwa na hata alipo kuja duniani alikuta mittume ambao walisha pita swali je nani alikuwa kabla yetu

  • @fenellalilian4590

    @fenellalilian4590

    2 ай бұрын

    @@user-sv6zy3hc8o aliumbwa na nani Yesu ni Mungu upende usipende

  • @tututz100
    @tututz1002 ай бұрын

    J.B.B.1999

  • @omarkombo3474
    @omarkombo34742 ай бұрын

    huyu ndo daktari sule sasa na asogge pastor yyt anapotea hapo.

  • @andrewmhagama9816

    @andrewmhagama9816

    2 ай бұрын

    Yeye amesoma kile tu kilichoandikwa na kukariri lakini maana yake ajui chochote Biblia sio kama gazeti itawachanganya saana kama ujafunuliwa kuyafahamu unapotea sio hadithi

  • @yusuphjamesndila5187
    @yusuphjamesndila5187Ай бұрын

    Kipo kitu Dr Suleman tunaomba kukipata kutoka kwako Tunaomba tuipate historia ya Yesu kutoka kwako tofauti na Yesu tunaemsoma kwenye Biblia

  • @GiliardKashimba
    @GiliardKashimba2 ай бұрын

    Wana wa mwamad mnayo mzigo mzito nampo kwenye fumbo zito siri zenu zikiwekwa wazi munapinga wakati ukweli tunaujua ila asante sana wewe shehe mpaka sasa unamzungumzia yesu yaani ilo tu nijambo jema natumaini uyo unaye mzungumzia utakutana nae siku moja utamjua ana kwaana sio kwakumsoma

  • @hanifa9153

    @hanifa9153

    2 ай бұрын

    Mungu wetu cc wa Islam ni 1 na wa yesu ni 1 sasa nyie hao wa 3 mnawatoa wap😂😂😂

  • @martedimohamed6327

    @martedimohamed6327

    2 ай бұрын

    @@hanifa9153achana nae hy muulize kwanza katiwa sunna 😂😂😂maana yesu baada ya kuzaliwa alitiwa ndan ya siku 8 kwaivo alipotk 40 alikuwa tyr kapona sasa haoo jamaaa mpk miaka 30 wanatahiriwa kwa panga 😂😂😂😂

  • @AlphayoLugallah
    @AlphayoLugallah37 минут бұрын

    wacha kiburi.hata nabii Musa alijiona anajua kumpe alikuwako nabii zaidi yake aliyekuwa na elimu ya mambo fiche.ujafikia kiwango hicho

  • @Werema3760
    @Werema37602 ай бұрын

    ■Huyu mzee ni kipofu asiyejijua ni kipofu na wakristo wa kweli waliojaa Roho na wana wa Mungu hawawez kukujibu kutokana na Tito 3:9. Labda katafute wasabato maan wao ni JUDAISM sio wakristo. BIBLIA HAISOMWI KAMA GAZETI KAMA KITABU CHAKO. sharti na maongoz ya Roho mtakatifu. Paul alionya. Tena maandiko yanaua bali Roho anahuisha.🙏

  • @Hussein-gx4qu

    @Hussein-gx4qu

    2 ай бұрын

    Sasa huyo Tito 3.9 unayotoa hizo ni barua za Paulo we unatuletea barua za Paulo hapa ?

  • @Werema3760

    @Werema3760

    2 ай бұрын

    @@Hussein-gx4qu Sikushangai maana huoni. Nirudie biblia sio sio kitabu chenu. Haisomwi kama hadhi. Lazima ufe kiroho imeandikwa kabisa mpaka uwe na Roho Mtakatifu my friend. Ndo maana wengivhukengeuka na kuongea kwa mihemko. Wew waona ni barua kwa upofu wako bali kasome 1kor7 mstari wa 40. Anaandika si yeye bali ni Roho wa Mungu amuongozae kuandika.chochote kilicho ktk biblia yaani NENO Kinaishi. NENO LI HAI NA LINANGUVU. utakuja kuelewa na kuliacsana ikiwa utapata Neema ya wokovu ila ikiwa umekusudiwa jehanam na dini yako hiyo utajuta ukiwa ndani yake bila tumsinj tena maan ushakufa.

  • @andreakarata5469
    @andreakarata54692 ай бұрын

    Dr Sule namkubali sana,anaelimisha sana

  • @albertpike6208
    @albertpike6208Ай бұрын

    Ni Waebrania 5:7 sio 3:1

  • @goldenshadrackmsungu3664
    @goldenshadrackmsungu36642 ай бұрын

    Waislam wamejikaanga 😂😂😂

  • @arafatali2796

    @arafatali2796

    2 ай бұрын

    pole san nyiny hata ashuke mwenyew asem yeye sio mungu hamuamn mnajulikan sana ila hamlamishwi mnaelewshwa mkikataa bas mtajua wenyewe muhim mmeambiwa bas

  • @flexstevin2385
    @flexstevin23852 ай бұрын

    Acheni tantalila mwenye uwezo na anae jiamini anajua dini ,kidume icho hapo aweke mjadala tujifunze.

  • @godwinmsuya6080
    @godwinmsuya60802 ай бұрын

    Matapeli nyie waabudu shetani, mada ulioonyesha ni "PROPHET IPM" lakini mjadala umehamia kwa bwana YESU, enyi waana wa ibilisi nanyi niwa-ovu kama baba yenu ibilisi, kama huamini jaribu kufanya makubaliano/mkataba na muislamu lazima mwishoni atakugeuka.

  • @abdallahally842

    @abdallahally842

    2 ай бұрын

    Jibu hoja ubishi na kujisemea ni ushetani kanisa ni kwenye kiti Cha enzi Cha shetani. Na ndio maana babayenu papa kawaruhusu mfirane na mbarikiwe kiti chake Cha enzi Cha shetani

  • @user-rt5vq5vc3k
    @user-rt5vq5vc3k2 ай бұрын

    Hakika Uislamu ndio din ya hakii

  • @zulekhasaud483
    @zulekhasaud4832 ай бұрын

    Waomba msamaha harafu warusha moja hakuna faida angalia mwenyewe😂

  • @lilhydon452
    @lilhydon4522 ай бұрын

    Mimi nikuulize Sule ikiwa mitume wote walikua waislam kwa nini MAJINI hawakusikia Qur'an zao wakasilim? Kwa nini walisikia Qur'an ya Muhammad ndo wakasilim?🤔

  • @hanifa9153

    @hanifa9153

    2 ай бұрын

    Wew ni jinga kabisa tosheka ivi mungu wa yesu ni 1 na mungu wa cc waislam ni 1 pia nyinyi huo utatu mliutoa wapi!???

  • @arafatali2796

    @arafatali2796

    2 ай бұрын

    ndoujue kuwa gur an inanguvu kuslm sio jintu hata shetan anatakiw kuslim kwan vibaya jin kuslm mbina sio kitu cha kushangaza ndo tujue yakuwa gur an inanguvu sana had jina kaslimu

  • @richmsakatonge71
    @richmsakatonge712 ай бұрын

    Ikiwa tabia zetu na hulka zetu hazilingani naimani hata Dini haziwezi fanana . Dini ilikuwa biashara ila weka imani yako kwa unachokiani lkini usipotoshe na wala usitazame kibanzi kilichopo kwenye jicho la mwenzio

  • @sharifuburuhani1969

    @sharifuburuhani1969

    2 ай бұрын

    ikiwa waona anapotosha mtafute mueke mjadala mimi ntagharamia mhadhara.😂😂😂😂

  • @siagtvprophetelijahmtishibi
    @siagtvprophetelijahmtishibi2 ай бұрын

    Hakuna point hpo

  • @arafatali2796

    @arafatali2796

    2 ай бұрын

    soma kijana kwanza laazivyo kaatu kimwa

  • @ShamimHassan-qm1et

    @ShamimHassan-qm1et

    2 ай бұрын

    Kwa amabra Hana akili Kam wew ndio Haoni point went akil tu ndio wameelewa

  • @ApostleesdrasMukambi
    @ApostleesdrasMukambiАй бұрын

    Hata huislamu ni dogma cz dini ni dogma nyingi zilizowekwa pamoja so Kila inayoitwa dini Iko katika dogma Dr sulle kasome triparti colonial utaelewa hapo Pana nini

  • @ahmadamigeyo3929
    @ahmadamigeyo39292 ай бұрын

    Uyu jamaa alitumwa lakn katumwa pasipo tumika 😅🤣😂😅😂 yan unauliza Dr ni ya nn kwel huon madin yanayoshushwa

  • @denisharris2889

    @denisharris2889

    2 ай бұрын

    Hana madini yoyote. Kwanza quran inawataka msikosoe kitabu cha bibilia. Kwakua ni cha mwenyezi Mungu. Nyie mwajitia kukosoa. Mnataka kumfanya allah wenu aliyekisadiki kisha akawapa. Wakristo kua yuu Mwongo? . Tafakari chukua hatua...

  • @innocentpeterassey4106
    @innocentpeterassey4106Ай бұрын

    yesu alikufa au hajafa kwasababu umetaja kifungu cha yesu akiomba juu ya mauti ya msalaba

  • @saidbakari3124
    @saidbakari31242 ай бұрын

    2:53 anaehoji alisikia joto akafungua zipu

  • @ShamimHassan-qm1et

    @ShamimHassan-qm1et

    2 ай бұрын

    😂😂😂akili huna😂😂

  • @igurusitv6553
    @igurusitv65532 ай бұрын

    Ila huyu ni mwongo sana, anasema wasabato hawaamini katika Utatu Mtakatifu, wakati juzi tu katoka kubishana na Ndacha ambae ni msabato. Na anatetea utatu Mtakatifu

  • @salisali3738

    @salisali3738

    2 ай бұрын

    😅

  • @saudamketo

    @saudamketo

    2 ай бұрын

    Ndacha amekiri mwenyewe haamini kwenye utatu

  • @user-su8tg7xy2b

    @user-su8tg7xy2b

    2 ай бұрын

    Ndacha ameasi saizi, nae ameanza kupinga. Shetani yupo kazini

  • @officialkinghimself2637
    @officialkinghimself26372 ай бұрын

    Je uisilamu ulianza miaka mingapi Baada ya Yesu kufariki

  • @Naw89

    @Naw89

    2 ай бұрын

    Uislamu ulikuwepo tokea zamani manabii wote walikua Waislamu Hata Yesu ni muislamu

  • @danielmatemu9698

    @danielmatemu9698

    2 ай бұрын

    Miaka 600

  • @ismailmazina4178

    @ismailmazina4178

    2 ай бұрын

    Uislamu ulianza toka mtu wakwanza kuumbwa

  • @danielmatemu9698

    @danielmatemu9698

    2 ай бұрын

    @@Naw89 Yesu alibatizwa, waislam walibatizwa wapi?

  • @zulekhaa6817

    @zulekhaa6817

    2 ай бұрын

    Uisilamu umeanza tokea alipotumwa Adam, mpaka kaja kuhitisha Mtume Muhammad swalla llahu alyhi wassllam. Kitabu chetu Qur'an kishatuambia, hatuendeshwi kwa pumba km wakiristo

  • @othmanhamad7887
    @othmanhamad78872 ай бұрын

    Hata km ni Mkristo ukimkataa Doctor Sule bac utakw na lako jngn maana amechambua kila upande tena kwa maandiko.

  • @Yusufu940
    @Yusufu9402 ай бұрын

    Kwenye uwilamu kuna ndota au shehe

  • @jimmymatheka2697
    @jimmymatheka26972 ай бұрын

    Dr sullen hapo haiwezi elimu ya bibilia ata kidogo

  • @sharifuburuhani1969

    @sharifuburuhani1969

    2 ай бұрын

    Mtafute mueke mjadala, sisi wapenzi wasikilizaji tupo!

  • @kingonlinetv4226
    @kingonlinetv42262 ай бұрын

    Mbona ndacha ulimshindwa na alikufuata tz, na mlikua weng 2

  • @Hussein-gx4qu

    @Hussein-gx4qu

    2 ай бұрын

    we ile dibet ya ndacha na sulehujaiona nini au unajizima data ? huyo ndacha wako alishindwa vibaya

  • @ramadhanyusuf2401

    @ramadhanyusuf2401

    2 ай бұрын

    Ule sio mwana dibeti yule mtafta kiki kwa wazungu ndacha hajui lolote kelele zake kibao

  • @martedimohamed6327

    @martedimohamed6327

    2 ай бұрын

    😂😂😂😂😂 ndacha yy mwenyew anaswali kimya kimya

  • @franciscomtambakuluca2830
    @franciscomtambakuluca28302 ай бұрын

    Utafute pasta Ndacha

  • @selemanimchana3598

    @selemanimchana3598

    2 ай бұрын

    Ndacha nae aliweza kuutetea ukiristo wenu?

  • @user-md7ug5dd9r
    @user-md7ug5dd9r2 ай бұрын

    Sule wewe ni nmuongo sana yaani unasema hekalu lijengwa na majini? Kasme vizuri Biblia utaelewa vizuri

  • @EMMANUELMWABONJE
    @EMMANUELMWABONJE2 ай бұрын

    Yesu alimwita mungu baba,kwahivyo shule anakunakubali yesu ni mwana wa mungu?

  • @swafiirbulbul819

    @swafiirbulbul819

    2 ай бұрын

    Yeyote aliemtiifu kwa Mungu huitwa MWANA WA MUNGU

  • @SaaS-Guide

    @SaaS-Guide

    2 ай бұрын

    ​@@swafiirbulbul819Lakini Yesu pia ni Mungu maana alikubali kuabudiwa na kuitwa Mungu.

  • @swafiirbulbul819

    @swafiirbulbul819

    2 ай бұрын

    @@SaaS-Guide Wapi katika Biblia Yesu amefundisha Wanafunzi wamuabudu..!???

  • @swafiirbulbul819

    @swafiirbulbul819

    2 ай бұрын

    @@SaaS-Guide Pia, wapi Yesu katika Biblia amesema Yeye ni Mungu..!??

  • @swafiirbulbul819

    @swafiirbulbul819

    2 ай бұрын

    @@SaaS-Guide Lakini ukisema; "Pia Yesu ni Mungu.." .. Unamaanisha Mungu ni Wawili..??!! Au..? 🤔

  • @msemakweli243
    @msemakweli2432 ай бұрын

    Shebby kwasababu wenda ujasoma bibilia lkn kama unajua jinsi anavyojikanya ungekuwa unambananisha sema kwakua ujui tumpe ushindi

  • @saidsuleiman1753

    @saidsuleiman1753

    2 ай бұрын

    Ila Dr Sule ameomba kwa yeyote ambae anataka kukutana nae wakati wowote, ni vema kwa kuwa wewe unaijua Biblia ukakutana nae.

  • @msemakweli243

    @msemakweli243

    2 ай бұрын

    @@saidsuleiman1753 Itakuwa hivo na sio bibilia hata quran naijua tunamsubili akirudi South Africa

  • @Yusufu940
    @Yusufu9402 ай бұрын

    Waliojenga ni wa Israeli wayaudi sio majini.

  • @Onlyforfun1992tube
    @Onlyforfun1992tube2 ай бұрын

    Mzee bible unaijua bana😂😂😂😂

  • @euniquemalekela2045
    @euniquemalekela2045Ай бұрын

    Dr gani wewe sure hivi kweli majini yalijenga hekalu la suleiman,.huna akili nzuri wewe mfuga majini tu mtume huwezi kumfananisha na yesu.afu muhamad kafanya nini ambacho cha maana.

  • @officialkinghimself2637
    @officialkinghimself26372 ай бұрын

    Kwani dini ya kwanza kuwako duniani ni dini gani

  • @kimandoro7432

    @kimandoro7432

    2 ай бұрын

    Dini ya kwanza inayo itwa upagan

  • @nduwimanafatma9948
    @nduwimanafatma99482 ай бұрын

    Nyie mnaosema muongo bas muiteni sule ukapamban

  • @magdalenakiyogoma7070
    @magdalenakiyogoma70702 ай бұрын

    Hamuoni kama nyie mamkosea mungu kuchukua maamuzi ya kumkata kichwa nyie mnahukumu nyie ni mungu

  • @sharifuburuhani1969

    @sharifuburuhani1969

    2 ай бұрын

    Hata Biblia yesu alisema wasiomkubali wauwawe!

  • @Yusufu940
    @Yusufu9402 ай бұрын

    Kuna jini na pepo na viumbe vya kichawi.

  • @shaniisack1153
    @shaniisack11532 ай бұрын

    Anayemhoji kabanwa na haja kubwa

  • @elishamhina8140
    @elishamhina81402 ай бұрын

    Mbona yesu alibatizwa lakini waislam hawabatizwi kila dini inataratibu zake nijibu hilo

  • @martedimohamed6327

    @martedimohamed6327

    2 ай бұрын

    Mbna yesu alitahiriwa baada ya siku 8 kuzaliwa waislam tunafanya ivyo ndn ya wiki 1 baada ya mtoto kuzaliwa jee? Nyie wakristo mnafanya ivyo???? Wengi wenu magovi 😂😂😂😂😂😂

  • @paulmwangi3438
    @paulmwangi34382 ай бұрын

    Sema tu ni wapi bibilia inafundisha uchawi wacha kukurupuka sijui Esther sijui Nehemiah. قُلْ أُوحِيَ إِلَيَّ أَنَّهُ اسْتَمَعَ نَفَرٌ مِّنَ الْجِنِّ فَقَالُوا إِنَّا سَمِعْنَا قُرْآنًا عَجَبًا waisilamu wanashirikiana na majini kulingana na sura 72.

  • @arafatali2796

    @arafatali2796

    2 ай бұрын

    kwan dhambi alaf hii sura mnatafsir mnavyotaka nyie sio ilivyokusudiw naitawachanganya sana

  • @deflinthassan5645

    @deflinthassan5645

    2 ай бұрын

    Unamjua mfalume suleiman.. kamsome vzr

  • @SaaS-Guide
    @SaaS-Guide2 ай бұрын

    Mimi nasema hakuna mahali majini walijenga hekalu la Suleiman. Na hakuna mchawi mkristu, uchawi umekataliwa na Biblia. Huyo aliye mtaja, hakuwa anafanya uchawi kama mkristu, bali kama mtu wa mataifa, kule mitume walikua wanahubiri injili.

  • @issufodaude1766

    @issufodaude1766

    2 ай бұрын

    Mbona kuna wacristo wengi ni wa chawi

  • @pascalvitalis
    @pascalvitalis2 ай бұрын

    Nipo na bible hapa ila mengi anayoyasema nikichek nakuta tofaut😂😂😂 matango poli😢

  • @athumanhatibumkombolaguha

    @athumanhatibumkombolaguha

    2 ай бұрын

    Unajua kuisoma vzr lakini,?

  • @ShamimHassan-qm1et

    @ShamimHassan-qm1et

    2 ай бұрын

    ​@@athumanhatibumkombolaguhaitakuwa kwel hajui mwisho wanaikana na biblia😂😂

  • @Onlyforfun1992tube

    @Onlyforfun1992tube

    2 ай бұрын

    Tatizo bible zipo nyingi

  • @mchjohnmasegese8193
    @mchjohnmasegese81932 ай бұрын

    Hujui sulle chochote.

  • @arafatali2796

    @arafatali2796

    2 ай бұрын

    kaseme wew unaejua

  • @Nalubaba
    @Nalubaba2 ай бұрын

    😂

  • @user-co6ln1ty9s
    @user-co6ln1ty9s2 ай бұрын

    Hakika Dr sule umeupiga mwingi...hususani hapo uliposema "Yanga kaifunga Simba 7-2 msimu wa 2024...UKIPINGA NI KAFIRI.

  • @ramadhanidhahabu9509

    @ramadhanidhahabu9509

    2 ай бұрын

    😂😂bwege weee

  • @thomasnizigiyimana5122
    @thomasnizigiyimana51222 ай бұрын

    Ndasha atakunyosha

  • @impeccablerito7922

    @impeccablerito7922

    2 ай бұрын

    Acha kua shabiki wa dini soma bible nafanya research ya upande wa pili utakua umeinusuru nafsi yako kama kwelii unataka kujua ukweli na mungu wakweli

  • @Hussein-gx4qu

    @Hussein-gx4qu

    2 ай бұрын

    ndacha alishindwa vibaya kaangalie vizuri Ile dibeti Tena

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi17252 ай бұрын

    Yuko wapi huyo ipm

  • @janejoseph561
    @janejoseph5612 ай бұрын

    Muhamadi yuko kaburini usitudanganye wewe

  • @barackbrysonramsey
    @barackbrysonramsey2 ай бұрын

    Ipm simuoni

  • @DavistarMataMediaDM

    @DavistarMataMediaDM

    2 ай бұрын

    Story inaendelea keep calm

  • @ackimackim1880
    @ackimackim18802 ай бұрын

    Aaa! SULEEE! MUONGOO, UNA ELIMU YA UONGO MSHUA,ALAFU UKO SILIASI ILEILE YAN

  • @jumakutengeza1080

    @jumakutengeza1080

    2 ай бұрын

    Ayo maandiko aliotoa kwa Biblia hayapo?

  • @ackimackim1880

    @ackimackim1880

    2 ай бұрын

    @@jumakutengeza1080 wachache tunaelewa wengi hawaelewi.we mpaka ukasome theologia. ILA SULE ANA UONGO WA AKILI. IBIRISI NDO BABA WA UONGO.ANAMIFUMO SIO RAHISI KILA MTU KUGUNDUA.

  • @impeccablerito7922

    @impeccablerito7922

    2 ай бұрын

    Nina uhakika 100% we sio mzima mtu anatumia iyo iyo bible kukosoa ujinga uliokuwepo ata kwa akili ya darasa la 3 c unajua kabisa hapa hakuna dini ya kweli na ww bado unasema muongo je angekua anatoa aya izo kwenye quran ungesema je.? Nakuone huruma ukifa kafiri ukiendelea kumwamini Mungu wako Yesu aliyetailiwa sawa sawa na ww mwenyewe

  • @ackimackim1880

    @ackimackim1880

    2 ай бұрын

    @@impeccablerito7922 Sio kosa lako kusema hivo ndugu AKILI na UFAHAMU wako umeishia kwa SULE. wenzako tunaelewa zaidi ya SULE.

  • @pilotclassic4468

    @pilotclassic4468

    2 ай бұрын

    Kakuonesha kupitia biblia bado unasema muongo duuh?? Hajatumia Qur'an katumia biblia, uongo uko wapi rafiki?

  • @Yusufu940
    @Yusufu9402 ай бұрын

    Kwa nini kiharabu kwa wa Tz waswahili na makabila sio warabu

  • @salumkagame509

    @salumkagame509

    2 ай бұрын

    Ile lugha ma pasta wanayo isemeya.kanisani eti lugha ya mbinguni mbone unaikubali na haina mana tena sio lugha ya kiuko kiarabu ukitafuta mana unaipata

  • @salumkagame509

    @salumkagame509

    2 ай бұрын

    Ile lugha ma pasta wanayo isemeya.kanisani eti lugha ya mbinguni mbone unaikubali na haina mana tena sio lugha ya kiuko kiarabu ukitafuta mana unaipata

  • @salumkagame509

    @salumkagame509

    2 ай бұрын

    Kisha mungu alisema atatucagulia lugha moja tutakae itumia kwenye ibada wewe mfano ukenda India utarudi bila kufanya Ibadan wanatumia lugha yawo ila kwa wa Islam kitabu kimoja lugha moja

  • @salumkagame509

    @salumkagame509

    2 ай бұрын

    Kisha mungu alisema atatucagulia lugha moja tutakae itumia kwenye ibada wewe mfano ukenda India utarudi bila kufanya Ibadan wanatumia lugha yawo ila kwa wa Islam kitabu kimoja lugha moja hata ukedunia nzima utafanya Ibada ila nyinyi mna kikombo chain urusi nakwengineko wanayo tumia lugha ya taifa lambda wasomi wakienda wingereza ufaransa ndo watafanikiwa ila Islam kote tanafanya ibada

  • @salumkagame509

    @salumkagame509

    2 ай бұрын

    Kisha mungu alisema atatucagulia lugha moja tutakae itumia kwenye ibada wewe mfano ukenda India utarudi bila kufanya Ibadan wanatumia lugha yawo ila kwa wa Islam kitabu kimoja lugha moja hata ukedunia nzima utafanya Ibada ila nyinyi mna kikombo chain urusi nakwengineko wanayo tumia lugha ya taifa lambda wasomi wakienda wingereza ufaransa ndo watafanikiwa ila Islam kote tanafanya ibada

  • @johnngige5794
    @johnngige57942 ай бұрын

    Biblia haisomwi kimsikitisikiti baba. Huwezi tumia Biblia kutetea uislamu. Ndio uwe muislamu lazima useme shahada, kama yesu muislamu, alisema shahada? Yesu alibatizwa, waislamu wanabatizwa? Yesu alimuambia Petero, "kwenye mwamba huu nitalijenga kanisa, mbona hakusema kujenga msikiti? Acha uongo Sule.

  • @impeccablerito7922

    @impeccablerito7922

    2 ай бұрын

    Nipe uo mstari yesu anasema atajenga kanisa kutoka kwenye bible. Naacha Uislam leo leo

  • @Onlyforfun1992tube

    @Onlyforfun1992tube

    2 ай бұрын

    Sasa wewe ivi mungu anatahiriwa wewe

  • @Dugo-mkgl

    @Dugo-mkgl

    Ай бұрын

    ​@@impeccablerito7922mathayo 16:18

  • @johnngige5794

    @johnngige5794

    Ай бұрын

    @@impeccablerito7922 Hope uko serious kuhama kwa dini mbovu ya uislamuna kuja kwa Yesu nikitoa verse. Hiis hapa. Jesus continues, “You are Peter, and on this rock I will build my church, and the gates of hell shall not prevail against it” (Matt. 16:18).

  • @johnngige5794

    @johnngige5794

    Ай бұрын

    @@Onlyforfun1992tube Neno alifanyika mwili akawa binadamu na lazima angepitia kila stages ya binadamu. Hivi nikuulize, Yesu ako hai,alienda mbinguni na ako na baba yake, mungu.

  • @lilhydon452
    @lilhydon4522 ай бұрын

    Hata ukimsafisha nguruwe 🐖 atakua tu mchafu

  • @igurusitv6553
    @igurusitv65532 ай бұрын

    Muulize kuhusu huo mpete hapo kidoleni

  • @zuberimohamedi5761

    @zuberimohamedi5761

    2 ай бұрын

    Weka hoja mezani

  • @ashaabdalla924

    @ashaabdalla924

    2 ай бұрын

    Alokwambia nani kuvaa Pete shirki kasome tena rudi school

  • @impeccablerito7922

    @impeccablerito7922

    2 ай бұрын

    Nachoona hapo shule imekosekana kama pete mbona ata wazungu wanavaa na kanisani watu wanafunga ndoa wanavalishana pete. Sema kuna watu uwezo wao wa kufikiri na upeo wao kuna mda unahisi ata kuku anaakili kulko binadamu😂

  • @ashaabdalla924

    @ashaabdalla924

    2 ай бұрын

    @@impeccablerito7922 😄😄😄

Келесі