Issa bin mariam ndie njia ya kweli kuenda jana bila yy hamna uhai me nakubaliana na ww ila najua utapingwa na wengi bt Jesus is final say😢
@jacksonmagola18242 ай бұрын
Yesu hakuuwawa alisema naotoa uhai wangu na nitautwaa tenaaa...
@apostlejoshuakuhanda55242 ай бұрын
Hellen Chionda! Ubarikiwe binti yangu. Kazi yako ni njema...ulipokuwa Morogoro (TOP) kama mtangazaji...ulifika kanisani kwetu (Maghorofani)... Utiwe nguvu. Kazi yako ni njema...
@beatricehenry6776Ай бұрын
Ukumuni nanyi mtahukumiwa
@IssaNdinya3 ай бұрын
Hi
@user-fm7ef6pu7p2 ай бұрын
😅
@hassanbinsalman14372 ай бұрын
Huyu bwana alikuwa na malengo mahsusi kwanza kama kweli alikuwa na imani asingewaza kufikiria kujitoa uhai kunywa sumu kwani kujitoa uhai haikubaliki kwa imani ya Kislamu. Hivyo basi ni njaa tu inamsumbua.
Пікірлер: 23
Utukufu kwa Bwana Yesu
Issa bin mariam ndie njia ya kweli kuenda jana bila yy hamna uhai me nakubaliana na ww ila najua utapingwa na wengi bt Jesus is final say😢
Yesu hakuuwawa alisema naotoa uhai wangu na nitautwaa tenaaa...
Hellen Chionda! Ubarikiwe binti yangu. Kazi yako ni njema...ulipokuwa Morogoro (TOP) kama mtangazaji...ulifika kanisani kwetu (Maghorofani)... Utiwe nguvu. Kazi yako ni njema...
Ukumuni nanyi mtahukumiwa
Hi
😅
Huyu bwana alikuwa na malengo mahsusi kwanza kama kweli alikuwa na imani asingewaza kufikiria kujitoa uhai kunywa sumu kwani kujitoa uhai haikubaliki kwa imani ya Kislamu. Hivyo basi ni njaa tu inamsumbua.
Maskini nadhani kaaangalia Sana Film za kihindi😂
Kumbe Nabii Issa Alitumwa na Allah?
14:40 dah hebu jiskilize ndo unatokea kibla wewe????
uyu jamaa muongo sana te na sana alafu yupo mkavu
Ameenda kwenye ukafiri kutafuta hela
Pole Sana kwa kuingia kwenye ukafiri
@tinnahagustinolyelu4247
4 ай бұрын
Unajua maana ya kafili au unaongea tu muache Amini wewe wewe unachokiamini
Historia yako kama ya rose mhando na yeye alitoka uislamu mambi hayo
Subhanallah hakuna nuru inakufata kwa jinsi ulivo
😂😂😂😂😂
Huyu katengenezwa kuuchafua Uislam ila hatoweza walijaribu saana Wengi waliopita na wakashindwa
@RadjabuShabani-kd2km
Жыл бұрын
Allahu akbar wewe una tafuta pesa tuu
@mussamustafa5806
11 ай бұрын
Pole Sana jiandaeee na uwongo wako
@benignajosephwatendewao2065
4 ай бұрын
HUWEZI UKAELEWA...HIVII WEWE UNADHANI NI RAHISI KWA IMAM AWE MCHUNGAJI😢??.NINYI PIGEMI KELELE NINYI MNYOOSHENI KIDOLE HUYU MTUMISHI WA MUNGU YATAWAKUTA MAKUBWA.MUNGU MWENYEWE ANAJUA KWANINI AMEMCHAGUA.