No video

KUNA SIRI GANI? HILI NI FUMBO

#HaleluyaTv #ProphetRolinga #OmegaMinistriesChurchofAllNations #OCOAN
Kuendelea kupata Shuhuda mbalimbali na Maneno zaidi, tufuatilie kupitia mitandao yetu ya kijamii:-
Haleluya APP : play.google.co...
Facebook : / prophetrolinga
Instagram : / prophetrolinga
KZread : / haleluyatv
Audiomack : audiomack.com/...

Пікірлер: 316

  • @fiziparadise7808
    @fiziparadise78087 ай бұрын

    The only nabii president ambaye alitumwa na Mungu ni Magufuli. Nabii ahana heshima kwaho…love and respect from Congo🇨🇩

  • @emmanuelnhyamamanwele1697

    @emmanuelnhyamamanwele1697

    6 ай бұрын

    "KWAO" siyo "KWAHO"

  • @mariamfaicalhassan2890

    @mariamfaicalhassan2890

    6 ай бұрын

    Amina

  • @Chery_cherryy

    @Chery_cherryy

    5 ай бұрын

    @@emmanuelnhyamamanwele1697😂😂😂😂😂

  • @user-hw7ce8gf6v
    @user-hw7ce8gf6v5 ай бұрын

    AMOSI 3 7 HAKIKA BWANA MUNGU HATAFANYA NENO LO LOTE, BILA KUWAFUNULIA WATUMISHI WAKE MANABII SIRI YAKE. AMEN❤❤❤

  • @user-mk9vk5pe6i
    @user-mk9vk5pe6i6 ай бұрын

    Tusibeze maneno ya wachundaji,tumuweke Mungu wetu kwenye kila hatu tupingayo,Yarabii,tusamehe na utulinde Walinde viongozi wetu na nchi yatu,Afrika, na dunia yote Amen.

  • @spipa.tv0tz
    @spipa.tv0tz7 ай бұрын

    Watuwengi wanasema mengi kusu Manabii wa Mungu kitu ambacho sio sahihi, Kazi ya nabii ni kufikisha ujumbe baada ya kufikisha ujumbe au kutoa unabii huwa kuna maelekezo yanayofwata, na maelekezo huwa n kwaajili ya wahusika waliotolewa unabii , ivyo basi wasipo fwata maelekezo pengine kutakua na badiliko au lisiwepo, Kumbukeni habari ya yona Alitumwa kweemda ninawi kuwaambia watu watubu mana wasipo tubu wataangamizwa walipotubu hawakuangamizwa, Ivyo kueni makini sana msijikwae

  • @zariadunia6328
    @zariadunia63286 ай бұрын

    Mimi ni muislam lkn huyu Rev namkubali ila waislam hutabiribmpaka miaka atakayokufa mtubkwa umri gani dishangai na ninachokijua ndani ya ccm kwa sasa utabiri wa mama ni sawa kabisa she knows na ndo maana teuzi zake za ndani ya chama kwa sasa hawasikilizi wale watu tena amesha gundua mikakati yao vizuri tusiseme mengi lkn hongera sana Rev

  • @JELSONMAUKI

    @JELSONMAUKI

    4 ай бұрын

    Hata Kwa jpm alitabiri kabla ya tukio.🙏🙏🙏

  • @user-xq9se2hj7p
    @user-xq9se2hj7p6 ай бұрын

    Imani yako imekuponya enenda zako usitende dhambi tena mungu anazungumza na waliyo wake sasa hama huamini shauli yako

  • @ipyanahebronmwasumbwe4834
    @ipyanahebronmwasumbwe48347 ай бұрын

    Brother Rolinga, Mzee Mwinyi kwenye miaka aliyonayo hata akifa atakuwa anapumzika , wanafamilia wakihuzunika ni hali ya kawaida tu ya kibinadamu, lakini kwa umri aliotunukiwa mzee wetu mpaka sasa wanafamilia hata likitokea lakutokea watapaswa kusherehekea zawadi umri mrefu aliwapatia Mungu kupitia Mzee Ruksa. Barikiwa, neema zaidi kwako.

  • @hafidhwajina6718

    @hafidhwajina6718

    7 ай бұрын

    Analijua hilo ndio maana anasema ameoneshwa,vichwa mchunga wapande imani ikitokea😂😂😂😂

  • @viktamade

    @viktamade

    7 ай бұрын

    Kaka msiba wowote unauma kwa wafiwa ....ila kama hujafiwa wewe sema kapumzika

  • @LucyLivanga-lo6qk
    @LucyLivanga-lo6qk7 ай бұрын

    Hapo nimeelewa kitu mungu anataka atubadilishie kiongozi wa ich 2025 Mungu ibaliki Tanzania 🇹🇿🇹🇿🙏🙏🙏

  • @hafidhwajina6718

    @hafidhwajina6718

    7 ай бұрын

    Ninyi watu ni wasomi ila hamna akili bogaz kbsa

  • @mariamfaicalhassan2890

    @mariamfaicalhassan2890

    6 ай бұрын

    Na iwe hivyo in Jesus name

  • @emanuelmkama1325

    @emanuelmkama1325

    2 ай бұрын

    e​@@hafidhwajina6718acha iwe

  • @leonardnzigo2437
    @leonardnzigo24376 ай бұрын

    This is man of God, nadhani wamesha tangza mzee Mwinyi ni mgonjwa....tuheshmu na kutii saut ya Mungu

  • @christinewomanoffaith5479

    @christinewomanoffaith5479

    6 ай бұрын

    Yes, halafu inaonekana hii mambo ya lowasa ndo yamefanya kuwe kimya! Subiri wazike tutapata habari

  • @Big-Lunya
    @Big-Lunya5 ай бұрын

    huyu jamaa ni nabii kweliii

  • @JELSONMAUKI
    @JELSONMAUKI3 ай бұрын

    Awamu ya 4 ni 🔥🔥🔥🔥. Kwa mwamba atapoteza kumbukumbu 😮😮😮😮😮😮😮😮😮

  • @RehemaGodfrey
    @RehemaGodfrey7 ай бұрын

    Kwakuwa unampenda Sanaa au,niwewe sasa unayesema ivo.. we mwache mungu afanya yake bwana weee,!

  • @oscarjeremiah7377
    @oscarjeremiah73777 ай бұрын

    When God servant speak forth the wise listen

  • @marthamungure1777
    @marthamungure17776 ай бұрын

    Umri wa kiongozi wa pili ni mkubwa sana, hivyo ni sawa tu kupumzika😊

  • @pendomushi6351
    @pendomushi63517 ай бұрын

    Tuombe sana kwaajili ya inchi yetu hakika hapo kunasiri nzito sanaa Mungu tusaidie na utufumbue kwenye hili giza 😢😢😢

  • @rehemakanyere4188

    @rehemakanyere4188

    7 ай бұрын

    Aminaaa

  • @PonsSalimu
    @PonsSalimu5 күн бұрын

    Amen

  • @sabinaboas6760
    @sabinaboas67606 ай бұрын

    Thank you Jesus for Revelation

  • @sabinaboas6760
    @sabinaboas67606 ай бұрын

    Wow God is awesome 🎉❤

  • @martinjohn7854
    @martinjohn78546 ай бұрын

    NI KWELI. KUNA SIRI.

  • @erastoleonard8625
    @erastoleonard86257 ай бұрын

    Sizani Kama nisahihi sana kutokusimama ns lile mungu alilokuonyesha na kulitangaza na kuamua kuogopa mamlaka ya nchi na si mamlaka ya mbinguni

  • @nuruabraham3769

    @nuruabraham3769

    6 ай бұрын

    lakini si umesikia? yasije yakatokea ukasema hukusikia. Ni muda wa kumuomba sana Mungu ili yasitokee sio muda wa kulaumu wanaosema maono waliyopewa kana kwamba ni waongo. Kama umesikia jambo baya litakalo ipata nchi wewe omba

  • @AntonyRudibuka

    @AntonyRudibuka

    6 ай бұрын

    Anamanisha kupinduliwa

  • @josegambi7149
    @josegambi71495 ай бұрын

    Leo nimekubali baada ya kuona maono yako awamu ya pili imesha potea. Maumini tusiwe wakaidi juu ya haya. Mungu atusaidie

  • @HELENAMWAKANANDI
    @HELENAMWAKANANDI3 күн бұрын

    amen

  • @user-xq9se2hj7p
    @user-xq9se2hj7p5 ай бұрын

    Yesu alisema msiponikubali mimi basi zikubalini kazi zangu

  • @sabinaboas6760
    @sabinaboas67606 ай бұрын

    Very interesting topic

  • @user-gv1nr5ni5k
    @user-gv1nr5ni5k7 ай бұрын

    Kwa Mimi namuombea mheshimiwa rais samia aongoze mpaka 2035 mungu amjalie , ampe na afya amina

  • @r14kgroup68
    @r14kgroup687 ай бұрын

    Nakukubali nabii jah akubless

  • @hafidhwajina6718

    @hafidhwajina6718

    7 ай бұрын

    Funga bila kula uende mbinguni

  • @desolz3809
    @desolz38097 ай бұрын

    Naona Rais mwingine wa kikatiba 2025 kinabii.... Mungu atusaidie

  • @mariamfaicalhassan2890

    @mariamfaicalhassan2890

    7 ай бұрын

    Kwakweli

  • @BabaBalingasi-hp6gd
    @BabaBalingasi-hp6gd7 ай бұрын

    Mimi kuna maombi mazito nafanya na kila alichoongea ni kama kwelii. Nilisikitika sana baada ya Rais Magufuli kutuacha. Nilisikitika sana. HAYATI RAIS MAGUFULI angeipeleka Tanzania Mbali sana aisee.. Ila maombi siachii. Lazima malipo ni hapahapa Duniani. Mtu ataikimbia...

  • @rayyahinay-hp7jf

    @rayyahinay-hp7jf

    6 ай бұрын

    Ystawashinda IshaAllah"

  • @BabaBalingasi-hp6gd

    @BabaBalingasi-hp6gd

    6 ай бұрын

    @@rayyahinay-hp7jf mbona sijakuelewa?

  • @law93king
    @law93king7 ай бұрын

    Tumeelewa nabii Mungu aendelee kukutumia kwa ajili yetu

  • @osmond9266
    @osmond92665 ай бұрын

    Imetokea tayari endeleeni kuponda mie nawaomba tu mjue kuwa Mungu hadhihakiwi

  • @Zubaiba
    @Zubaiba6 ай бұрын

    Ww uwe wa kwanza kufa

  • @valenakomba9218
    @valenakomba92187 ай бұрын

    HUYO BORA APOTEZE KUMBUKUMBU.MAANA ANAIYUMBISHA NCHI YETU.

  • @kissamwamunyange1018

    @kissamwamunyange1018

    7 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @JELSONMAUKI

    @JELSONMAUKI

    4 ай бұрын

    Una mwanasheria kka 😅😅😅😅😅😅😅

  • @user-jv2fn7kx7p
    @user-jv2fn7kx7p5 ай бұрын

    Ndugu zangu ni bora ukanyamaza kuliko kuandika utumbo heri utumie wahuni wenzio text mungu endelea kumtumia mtumishi wako na mpe moyo wa Iman

  • @jessymakura3318
    @jessymakura33187 ай бұрын

    Usaniii mmmh

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole74387 ай бұрын

    Huyo akifa ni sawa mzee

  • @jadenkabalaza-cq2jj
    @jadenkabalaza-cq2jj5 ай бұрын

    Rest In Peace Mzee Mwinyi

  • @sabinaboas6760
    @sabinaboas67606 ай бұрын

    Thanks Jesus 🎉

  • @masterpizo7451
    @masterpizo74517 ай бұрын

    HAKUNA UNABII UTAKAOTOKA KWA MUNGU USIWE NA MAJIBU NA HAKUNA UJUMBE MUNGU ATAUSHUSHA KWA NABII WAKE HALAFU UWE NUSU ETI NABII ANASEMA MENGINE SIONGEI MAANA YAKE SIO SAUTI YA MUNGU ILIYOMPA UNABII NA UNABII HUWA UNAKUJA KWA MAMBO YAJAYO ILI YAFANYIWE MAREKEBISHO PALE PANAPOHITAJIKA

  • @jessymakura3318

    @jessymakura3318

    7 ай бұрын

    Kweli mtumishi mungu haji bila kuonyesha njia

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    6 ай бұрын

    Sio kweli unabii unakuja ili palekebishwe, kuna nabii zikija lazima litokee, pia hekima ni muhimu sana unapopewa unabii toka kwa Mungu, sio kila nabii unaiongea hadhalani.

  • @janethmunishi6279

    @janethmunishi6279

    6 ай бұрын

    mnasomaga bibilia? nabii Isaya alipeleka ujumbe kwa Ezekia kwamba atakufa hakupewa jibu lingine na alipotoa ujumbe aliondoka. Ezekia akaomba akamlilia Mungu Mungu akamponya

  • @janethmunishi6279

    @janethmunishi6279

    6 ай бұрын

    cha ajabu ni nini apoo! yeye kapewa Ujumbe wahusika wakisikia waombe

  • @marylisso2822
    @marylisso28225 ай бұрын

    Tumeshaelewa mtumishi tunasubir tu tamko......

  • @friarmbongemelodies5662
    @friarmbongemelodies566226 күн бұрын

    Mmmmm kila mtu lazima afe

  • @geofreydamas1697
    @geofreydamas16977 ай бұрын

    Imeisha hiyoooooooo basi

  • @edwinalexander1170
    @edwinalexander11707 ай бұрын

    Mmmh hii ni hatari sana😊😊😊

  • @JELSONMAUKI

    @JELSONMAUKI

    4 ай бұрын

    Balaaaa

  • @Afyayamifupa
    @Afyayamifupa5 ай бұрын

    Mmmh imeendana kwkwl

  • @MSOMBAAlon-gh3ps
    @MSOMBAAlon-gh3ps7 ай бұрын

    Kwa umri alionao huyo wa awamu ya pili anaombewa Nini kama ni miaka ya kuishi kavuka hata Ile tuliyopewa na Mungu Sasa munataka Aishi milele? Wapo watoto yatima na wajane na masikini hao ndo waombewe sio mtu ana tisini na Kenda munamuombea Nini kama ana zambi atubu Kwa Mungu Ili apumnzike. Salaama

  • @hafidhwajina6718

    @hafidhwajina6718

    7 ай бұрын

    😂😂😂 hili jamaa janja sana kinaenda na upepo, saa 7mchana jua litakuwa kali wakati kila mtu anajua kuwa muda huo jua huwa kal

  • @user-hq8xg4yi8b
    @user-hq8xg4yi8b7 ай бұрын

    Hawa ndio manabii wa ungo wapo wengi Sana ila yote ya hayo ni njaa tu ndani ya bibilia imeandikwa watakuja manabii wa ungo na haijaandika kutokea tena manabii wengne sasa sijui Huyu anafata bibilia gani na hao wanaomfata wanafata bibilia gani

  • @janemujuni

    @janemujuni

    7 ай бұрын

    Manabii wapo,angalia kwenye kamusi maana ya neno nabii

  • @felistusmweni2582

    @felistusmweni2582

    7 ай бұрын

    We baki tu na unabii wa uwongo.. You should have a discernment spirit to guide you whelther you are in the right or wrong direction. Mungu akusaidie sana na uwe makini unapo toa comment. Jeremiah 1:5

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    6 ай бұрын

    Biblia gani ilisema hapakuwa na manabii tena, haiaandikwa Kama vijana watatabili na wazee wataota ndoto? Si mtaalamu wa biblia kihivyo lakini nilishawahi kukuana na Hilo neno acha uongo

  • @ansmsimbe1236
    @ansmsimbe12365 ай бұрын

    What God planned will happen, God wants to rule the world from Tanzania. Isaiah 19. What was planned was opted and will be.

  • @user-je8hj2fv1q
    @user-je8hj2fv1q5 ай бұрын

    Ukisikia Mtu ansema huko mbele siendelei,yanatosha ukute labda nayeye hajui,

  • @martinisadru

    @martinisadru

    5 ай бұрын

    Anajua, ila anaogopa kusema, hata yesu alikimbia pale alipotaka kupigwa mawe, ije kua mtume mdogo kama huyu.

  • @JELSONMAUKI

    @JELSONMAUKI

    4 ай бұрын

    ​@@martinisadru😅😅😅😅😅😅🙌🙌🙌🙌 nimekuelewa kka

  • @rogersiddy
    @rogersiddy7 ай бұрын

    Na yesu alituonyesha ishara izo tu basi bila kutupa mwanga mbele kunanini alitupa mikono ivyo tu basi? naamini Mungu yupo ila ilo ndo Swali langu tu

  • @magangiralucas6516
    @magangiralucas65165 ай бұрын

    Awamu ya 6 atapi❤

  • @neemanziku5403
    @neemanziku54037 ай бұрын

    Mtumishi acha kutisha wanadam ukiona kitu omba kimya kimya kifo pia Ni mpango was Mungu,Yan ukiongea hivo watu wanakuwa wanahofu

  • @viktamade

    @viktamade

    7 ай бұрын

    Kwaiyo hapo anatisha

  • @user-vo8md7vm4s
    @user-vo8md7vm4s7 ай бұрын

    Mwaka 2024/2025 Ni miaka ya chaguzi mbalimbali Tanzania hivyo chama kikubwa Kama CCM misukosuko nijambo la kawaida kabisa. Musimtie Mama hofu mwacheni achape Kazi.

  • @Byeragordian3572
    @Byeragordian35726 ай бұрын

    si mzee Mwinyi keshajizeekea jamani alaf kwann watu wengine wanapata magonjwa wanakufa ila viongozi tudhani kana kwamba wasife?? We are all humans and death is part of us all...mtumishi Mungu akufunulie siri zake za ufalme maana wengine wanamsingizia Mungu

  • @jamesrichard3971
    @jamesrichard39716 ай бұрын

    Jamaa liongo kweli yani, 😂

  • @christinewomanoffaith5479

    @christinewomanoffaith5479

    6 ай бұрын

    Kadanganya nn? Au ht humfuatilii mambo Maana kuna ambayo yashatimia ,Wiki 2 zilizopita

  • @MichaelNdamulans
    @MichaelNdamulans4 ай бұрын

    Ulimwengu wa roho unanguvu nyingi sana sema wanaojaji hawajui.mtume wa mungu je unaundugu wwte bukoba?

  • @thevoiceofdeliverance6061
    @thevoiceofdeliverance60617 ай бұрын

    Ndg zangu watu hawahitaji mambo ya hizo orodha za watawala wa nchi . Wanataka kusikia Yesu anawasaidiaje na matatizo waliyonayo . Watumishi wengi wakishapata tu MAFANIKIO basi wanaliacha kusudi .

  • @barakalawrence742

    @barakalawrence742

    7 ай бұрын

    Simtetei na wala sio mshirika wake ila kuna kitu naomba uelewe, Kusudi kuu Ni injili ihubiriwe lakini ndani yake kila mtu ameitwa tofauti na mwingine kufikisha kusudi kuu, thats why kuna huduma kuu tano zote hukenga kusudi moja kutimia,, zaidi ya hayo kila mtu ana karama yake hatufanani, hata sare za shule fulani nitofauti na ingine, japo zote lengo kuu ni kupata elimu. Kuna mambo mengi zaidi ya kuyajua kuhusu Mungu, so usihukumu kwa haraka hivyo

  • @kakanicodemus3632

    @kakanicodemus3632

    7 ай бұрын

    Huyu jamaa simfahamu huyo mtumish, lakin najaribu tu kuwaza saut, sasa kwanini kitabu cha wafalme kiliandikwa ktk biblia?!

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    6 ай бұрын

    Ulishaenda kanisani kwake ukaona haubili anayowausu waumni wake na maisha Yao? Yeye kama ni Prophet atawaambia kile Mungu alichomuonyesha na wakati huohuo atahubili na kufundisha neno. Unajua Ibadan zake zina masaa mangapi?

  • @Jerryminenewtony-fc5cp

    @Jerryminenewtony-fc5cp

    6 ай бұрын

    2 wathesalonike 2:1-12 jamani emu tumuombe MUNGU atupe ROHO MTAKATIFU na ufahamu pia,sabu imekuwa tamthilia episodi ya ya kwanza tunasubiria ya pili(UNABII) NABII anatakiwa aseme so afiche jambo inamaana,YEREMIA 15:19

  • @hamisimuhammad3656
    @hamisimuhammad36566 ай бұрын

    Upuuzi 😊😊😊

  • @huseinramadhani5723
    @huseinramadhani57236 ай бұрын

    Sadaka zinawaaibisha watu aisee

  • @petermuganda7322
    @petermuganda73225 ай бұрын

    Mtumishi weee kiboko uko sahihi

  • @doreensamwely8740
    @doreensamwely87405 ай бұрын

    Nimejua hapo, atapindiliwa asipoo mtii Munguu😅😅😅

  • @DIANAJACOB-qw1mw
    @DIANAJACOB-qw1mwАй бұрын

    Niombee Nabii nina mengi mwanao

  • @godwinhuka7223
    @godwinhuka72237 ай бұрын

    Tatizo la kiafya sio utabiri, wapo kwenye muda wa mwisho wa uzee. Wanaishi miaka ya neema changamoto za kiafya ni kawaida. Kuhusu misukosuko kwa Samia ni kawaida pia maana mabadiliko hayaji kirahisi, huu sio utabiri ni mambo tu yapo wazi yanaonekana

  • @godfreyjoseph5604

    @godfreyjoseph5604

    3 ай бұрын

    Kweli

  • @sabinaboas6760
    @sabinaboas67606 ай бұрын

    Yes indeed Daddy

  • @Grace_Ministry_International
    @Grace_Ministry_InternationalАй бұрын

    ​​Unaongea point ila tumia Lugha nzuri na ya heshima kama msemaji u need to be composed and wise

  • @user-ei3iy5fu1i
    @user-ei3iy5fu1iАй бұрын

    Onanyoka wariva pangana wamemuua mwenzao

  • @valenakomba7686
    @valenakomba76865 ай бұрын

    HUYO NI MTU MZIMAA. HAITAKUWA AJABU SANA.

  • @cheyompongolo4513
    @cheyompongolo45137 ай бұрын

    UPUUZI MTUPU:

  • @naisonjohn6770
    @naisonjohn67705 ай бұрын

    Acha kumdanganya watanzania

  • @MwaupinaMwaupina-br7kz
    @MwaupinaMwaupina-br7kz5 ай бұрын

    mungu awe yupo nawe milele

  • @mohammadoman8963
    @mohammadoman89635 ай бұрын

    Audhubillah huyo mungu wenu yuko tofauti mnamuona nyie tu sisi hatujawahi muona wallahi Ww muongo😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-zr7pc7qs4o
    @user-zr7pc7qs4o5 ай бұрын

    imetokea

  • @godfreyngajilo3795
    @godfreyngajilo37957 ай бұрын

    Ila matapeli hawa😂😂😂

  • @simondogtrainer7498

    @simondogtrainer7498

    Ай бұрын

    Matapel wakati unabii umetimia awamu ya pili ameshafarik

  • @JanethSwai-i3d

    @JanethSwai-i3d

    9 күн бұрын

    ​@@simondogtrainer7498huyu jamaa ni hatari cn hakoseikosei huyu mama 2025 hatobaki

  • @user-ie2sr4fi4k
    @user-ie2sr4fi4k5 ай бұрын

    Upuuz mtupu

  • @Zubaiba
    @Zubaiba6 ай бұрын

    Hili lijamaa linajigamba na liuongo lake

  • @gharibsomali4595
    @gharibsomali45955 ай бұрын

    Acha kudanganya watu ww mpuuzi ww nabii gani hujui idadi ya nywele zako kichwani ziko ngap ukajue mipango ya mungu mbwa ww

  • @martinisadru

    @martinisadru

    5 ай бұрын

    Hakuna jipya chini ya jua, watu kama nyie hamtaisha Hadi kiama, utakufa wewe, atainuka mwengine kama wewe, na hata wewe! Upon kama wale, walowasema mitume kwa chuki, na hutajitambua, kwa kua upon kifungoni.

  • @wilfredbyabato4732
    @wilfredbyabato47327 ай бұрын

    Mbona Mambo yote umeonyeshwa ni mabaya kwani haujaoneshwa mazuri au hakuna mazuri kabisa 😅

  • @naturelle1097

    @naturelle1097

    6 ай бұрын

    😂

  • @WilisonBagumya
    @WilisonBagumya7 ай бұрын

    kuna mabo hayatakiwi kuendelea ili makusudi ya mungu yapate kutimia

  • @user-ei3iy5fu1i
    @user-ei3iy5fu1i4 ай бұрын

    Kubuke wanakataa himani zakweri yesu wana amini eti mutumemuhamad mwarabu koko

  • @neliusdidas8749
    @neliusdidas87497 ай бұрын

    Mtume maliyabwana

  • @bakarikaoneka1080
    @bakarikaoneka10807 ай бұрын

    Mmmmmm!!!

  • @mtimti3912
    @mtimti39127 ай бұрын

    Wanadamu wanapaswa kulinda ufalme wao kwa kufuata ufalme wao

  • @jenipherkamugisha4687
    @jenipherkamugisha46875 ай бұрын

    Yametimia

  • @Sarah-pastor
    @Sarah-pastor7 ай бұрын

    Mzee mwinyi age go, anything can happen

  • @momylaviel
    @momylaviel5 ай бұрын

    Ni kwel kabisaaa uwiiii

  • @Zubaiba
    @Zubaiba6 ай бұрын

    Mpubavu sana,nyoko yako,na ww unakufa lini

  • @cosmasmwaitete5004

    @cosmasmwaitete5004

    6 ай бұрын

    Sasa matusi ya nini ndg yangu?

  • @cosmasmwaitete5004

    @cosmasmwaitete5004

    6 ай бұрын

    He kima ni bora kuliko …….

  • @user-zj1oz5wl5r
    @user-zj1oz5wl5r6 ай бұрын

    Hivi kwa nini Tanzania tunaandamwa sana na majanga,je mungu ametuchukia Tanzania,Kama taifa tumite mungu

  • @alphoncewilliam4325

    @alphoncewilliam4325

    5 ай бұрын

    Kwa upande wa awamu ya 6 kuna vitu ilivikataa vya awam ya 5 mungu ni wa haki

  • @sultansallah8772
    @sultansallah87725 ай бұрын

    Ambo aya yanapatika kwenye taasisi ya ukiristo tu

  • @lightnessmushi8137
    @lightnessmushi81377 ай бұрын

    Ni kweli

  • @getajo1153
    @getajo11534 ай бұрын

    Awamu ya 7 ni MAKONDA...

  • @KaroliJulias-b1x

    @KaroliJulias-b1x

    17 күн бұрын

    Ubarikiwe sana huo n ukwel ysioingika

  • @salimchimwaga8384
    @salimchimwaga83845 ай бұрын

    Huyu jamaa sijui anatumia uchawi wa nchi gani au naijeria??😂

  • @Wami-Sababisho
    @Wami-Sababisho7 ай бұрын

    Hapo kwenye vitendo au basi.... Nimekuelewa 😂😂

  • @JELSONMAUKI

    @JELSONMAUKI

    4 ай бұрын

    Hapo ni -------- muramura ndani ya CCM 🤔🤔🤔🤔🤔🤔

  • @JELSONMAUKI

    @JELSONMAUKI

    4 ай бұрын

    Umeelewa nini .jibu kma umekamatwa na watu wasiojulikana 😄😄😄😄😄😄

  • @gharibsomali4595
    @gharibsomali45955 ай бұрын

    Tena hao mbwa wenzio umewakusanya na kuwaaminisha

  • @allykondo8406
    @allykondo84065 ай бұрын

    No one know tomorrow even me

  • @Sheba4651
    @Sheba46516 ай бұрын

    Manaibiwa tu na watu hawa, haya mpeni sadaka yake akale.

  • @fxmeddy9567
    @fxmeddy95675 ай бұрын

    Mimi ni muislamu ila nakubali utabiri wako maana naona unayo tabiri yanatokea

  • @masterminder4377
    @masterminder43773 ай бұрын

    😢

  • @mariamfaicalhassan2890
    @mariamfaicalhassan28906 ай бұрын

    Rolinga Nakuita mara 3 muache augue bwana

  • @barakadish2033

    @barakadish2033

    4 ай бұрын

    Duuu

  • @valenakomba7686
    @valenakomba76865 ай бұрын

    HUYO WA AWAMU YA NNE MWACHE APOTEZE FAHAMU. ILI APUNGUZE MIPANGO MIBAYA ANAYOIPANGAPANGA.

  • @JELSONMAUKI

    @JELSONMAUKI

    3 ай бұрын

    Mhmhmhm jamani 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @MariamYusuph-ik9it
    @MariamYusuph-ik9it4 ай бұрын

    Unabii hauhubiriwi kanisani

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole74387 ай бұрын

    Aachie ngazi tu amkabidhi Majaliwa

  • @mussanyanda3451

    @mussanyanda3451

    6 ай бұрын

    Namtabiri ajaye ni christian, ila akijaa anko Majaliwa nimotoooo😅😅

  • @Sheba4651

    @Sheba4651

    6 ай бұрын

    Hatoachia, na anamaliza urithi wake na kumi juu tunampa.

  • @FedyKafyulilo-iz2nw
    @FedyKafyulilo-iz2nw5 ай бұрын

    Huyu nabii akitabiri lazima iwe