NDOTO YA KUTISHA, MAMA AANIKA MAMBO MAGUMU NA MAZITO, UCHAGUZI 2025/ AWATAJA MAWAZIRI HAWA
#UhondoTV #Uhondo
Жүктеу.....
Пікірлер: 317
@user-my6iz5tg7x2 ай бұрын
Mama, usicheze na jina la mungu. Uongo ni jambo mbaya sana. Wewe unajaribu kuidanganya nchi nzima . Unaweza kupata laana kubwa. Usifanya mzaha na jina la Mungu. Waziri wa kilimo anapambana na wezi wanao wahangaisha wakulima. Kama umetumwa na hao wezi, basi omba msamaha kwa mola wako.
@jofreyfungo1112
2 ай бұрын
Anapambana wakati wakati ananyang'anya Haki ya wakulima kushiriki anatengeza miradi ili apate 10%Kwa wakandalasi.Amenyang'anya Maonyesho ya wakulima anaweka yawe ya wizara Nako anataka kupiga Dili kwenye viwanja vya wakulima.(Amka)
@user-my6iz5tg7x
2 ай бұрын
@@jofreyfungo1112 Jambo la kusikitisha Ni kwamba Sisi waafrika wengi wetu Ni watu ambao si wazalendo. Tuna wivu Na chuki ndani zetu. Mwanasiasa akijaribu kufanya kazi yake vizuri, anasingiziwa mambo za uongo za kumharibia Jina.
@danielkanso2 ай бұрын
Mimi hata sipingi zaidi sana na muomba Mungu atuhepushe na yaliyo mabaya na uliyoyazungunza hata sikatai kwa sababu na jua kazi ya Mungu
@AlphaBukuku-f9j2 күн бұрын
Ucipomtii mungu shetani atakupa kazi mungu hawez kukupa maono kama hayo mungu anatoa maono ya utume ulimwenguni
@josephatjordan21502 ай бұрын
UKIWA MTU WA KUTII SAUTI YA MUNGU BASI UTASHUHUDIA MENGI SANA!!SAUTI HII NI YA WENYE IMANI TU
@antoinekatembo8520
2 ай бұрын
Kabisa kabisa!!
@edisonemmanuel-
2 ай бұрын
Umenena ni vile tu hofu ya Mungu inakufanya ushuhudie au lah kama ni uongo atajua mwenyewe
@kitejamayunga76452 ай бұрын
Duh! Tulikuwa na mfalme zumaridi, Sasa huyu ni malaika mwenye watoto. God heal this generation
@ayshasaid1547
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂nimecheka kwa saut
@galluskanenge48982 ай бұрын
Huyu ana mahangaiko ya maisha yake na nafsi yake ina matundu ,yanayotokana maisha ya dhambi alizotenda , uchungu wa kuzaa hewa hupatikana katika ndoto baada ya kurudi kulala wakati jua limechomoza 😊
@FatmaChezo
2 ай бұрын
Uwiii😅😅😅
@AMENMUSHI-wt4li
2 ай бұрын
Mmm
@NasibuNasoro-ew3vw
2 ай бұрын
Mama uza sura upate foroaz wakutosha vta vipo urus na kongo we huja pigana vta mama ugesema unapata majaribu ya shetani sio vita ungekua unavita na wanadam basi we utakua upo ktk kundi la shetanie
@ramadhanimtetu36562 ай бұрын
Uzuri wa hii Nchi bana Hufi kwa Msongo Mawazo Ukiona Umezongwa tu Weka Bando lako kisha ingia Yu tube
@awatifalghanim1106
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 lakini utakufa kwa njaa .
@rilekijuma4024
2 ай бұрын
Hakuna sehemu yoyote kwenye biblia inasema sauti ya watu ni sauti ya Mungu hii ni kauli ya kifalsafa
@user-hq5qx1hu2x2 ай бұрын
Hawezi kua raisi January yeye na Baba Yake wakafunge Kuhusu Makonda hapo umechemka unabii wako
@dassustephen7312 ай бұрын
Apelekwe Milembe hospital akapimwe akili.It is a bunch of nonsense of the highest level.
@naturelle10972 ай бұрын
Mbona kila mtu anampinga huyu dada..what if she is right na yote anayoongelea yanatokea
@rilekijuma4024
2 ай бұрын
Unabii unapimwa kwa neno la Mungu hapo hakuna neno la Mungu mwanzo mwisho ni porojo
@user-yz1xq8xo8s2 ай бұрын
Maneno ya Imani huwa Yana puuzwa lakini mwisho wake ni huu Nuhu aliambiwa na mungu atengeneze safina watu wenye nguvu na dharau wakambeza sana lakini kilichotokea nisikwambie Mimi Bali jifunze.wote waliangamia
@georgempogomi73292 ай бұрын
Ww ni wa maana Sana Mungu atakutumia Sana kwa kuwa umekubali na kutii mema yanakuja barikiwa sana
@lindajohansen92202 ай бұрын
Hata jiwe kuu la pembeni waashi walilikataa! Pengine ni ujumbe wa Mungu kweli
@awatifalghanim1106
2 ай бұрын
😂😂😂😂
@saluhilya84652 ай бұрын
Timiza wajibu wako uliotumwa na mungu atakayebeza atakutana na adhabu ya mung
@fredymwakalunde55442 ай бұрын
amina mama Mungu aendelee kutenda
@KassimAlly-xp4dz
2 ай бұрын
Yani wakristo wepesi sn kudangqnywa
@JacobJoel-cb3ni2 ай бұрын
Mmhh sasa unasema Wew Ni Angel Mara kiumbe Zaidi sasa mume wako ana wasiwasi wakati umesema Ni Angry😃😃ila yote Kwa yote Mungu wangu WA mbinguni atukuzwe
@arnoldkimaro4072 ай бұрын
---Taifa linaombewa na viongozi 12:42 wa dini kila siku pamoja na viongozi wake hivyo tunaamini kuwa uchaguzi ujao utakuwa huru na wa amani. Nchi haiwezi kuongozwa kwa watu kuoteshwa matukio au kusema ni maagizo ya mungu kwani maagizo ya mwenyenzi nungu yako kwenye vitabu vya dini ie Bibilia na misaafu pamoja na machapisho mengine .
@yasminmohamed60417 күн бұрын
Kaime mama milembe ipo wazi km vilevi acha umekuwa nani wewe upewe wahhai na mungu???? Au ndio ulikuwa na yule kwy maghofa maleefu sn???😅😅😅😅😅
@JumannePangapanga2 ай бұрын
Hahahaha mungu anakazi nyingi co kukaa kujadil viongoz huyu anafaa huyu hafai bila shaka umetumwa
@peterkasonso316929 күн бұрын
Uliabza vizuri ila kukiita wew maraika hapo mama,sio sawa kwa msingi wa maandiko matakatifu
@pantaleokullaya4267Күн бұрын
Jamila Neno tu kuhusu kutosuka nywele limekuwia gumu mie nikupimeje kukuamini?1Pt.3:3 na 1Tim.2:9.Ukilitii Neno la Mungu ni rahisi kukutumia kwa ajili ya watu wake.
@user-qj7xp7wo1v28 күн бұрын
Sio kila anae vuta bangi ni mwendawazimu 😂😂😂😂😂😂😂😂
@elsonkingtz45062 ай бұрын
Huyo bila Shaka katumwa na peoples power
@nelsonnyamle
2 ай бұрын
Hata wewe uliyeandika sms hii utakuwa umetumwa na ccm
@gallusmbaga5522
2 ай бұрын
Hahahahaha
@user-fl3yl4or3e2 ай бұрын
Sio tatizo lako bali nitatozo la kutojua Mungu ni wanamna gani mungu akujie wewe kabisa aongee mambo ya wizara kwanza muogope Mungu wacha kumfanya kama kitu cha mchezo
@EmanuelWillson-jy1fqАй бұрын
Kuna uharibifu mkubwa unakuja . Na kudharau maadili yetu MUNGU hatanyamaza, wengi watasema nipo kwa ajili ya MUNGU nataka niwaambie watatokea manabii wa uongo haya ni madogo katika unabii yanakuja makubwa mno
@user-rn9og1rk3l4 күн бұрын
Huu ujumbe ni wa Mungu kweli
@ziadasadiki819623 күн бұрын
MUNGU gani Binaadam ??😂😂😂 😅😅😅😅, acha kumchezea MUNGU. Japokuwa inawezekana unataka kutufikishia ujumbe wenye maana lkn usichanganye na fikra za kumshirikisha MUNGU.
@subirasimbeye53892 ай бұрын
Amen Woman of God
@anastazialushika2 ай бұрын
Mungu hanaga maneno mengi ivo!Acha kutuuzia mbuzi kwenye gunia! Acha Arusha ipae kimataifa ww acha makonda ainyooshe iwe kama uraya! Makonda oyeeeeee
@JofreyZacharia-zz7dy
2 ай бұрын
Oyeeeee
@FatmaChezo
2 ай бұрын
Oyeeeeee, Arusha ng'araaaa
@mamanimama261827 күн бұрын
Amina
@EmmaWairanya2 күн бұрын
Hii nchi ina wahuni wengi poleeee
@user-ot1ff7yq2l21 күн бұрын
Pmja n ni ninyi mnaopinga huyu dada angalieni vizuri arusha kila siku mauaji kwani hamjiuliziii kwaninn mwanmke huyu aiseee haya acheni kudharauu jambo
@gracekagoma32312 ай бұрын
Huyu mama ni chizi tayari😅😅
@miltonjohn9779
2 ай бұрын
Mungu akusamehe tu
@joycemshana4028
2 ай бұрын
You cant joke...with this name...
@user-kz5en5tq2z
2 ай бұрын
Cheka Leo kesho Italian, bora kukaa kimya!!
@awatifalghanim1106
2 ай бұрын
😂😂😂😂
@clemencelisonga82612 ай бұрын
Yesu akasema nitakapo kuja nitaiona Imani kweli
@AdamChambo-mf4ek11 күн бұрын
Hata wakati wa Nuhu watu walimdhihaki,wakamkejeri nakumtukana,lakini mwisho wake wote mnafahamu kilichotokea
@BarackntabindiEmoro-bo1xp2 ай бұрын
Je mungu hakukwambia wamasai wanateseka mama awahulumie au tusimchangue kwa kua ata mungu hajamchagua huu ni kuvizia uteuzi make
Hata Mwenyezi Mungu hapa nahisi Kaangua kicheko😂 Nahisi huyo Mungu uliyongea Nae ni Wa chuga Ngarenaro
@EmmanuelNdahya-ud5njКүн бұрын
Na yeye alikwambia kingereza ? .
@WeremaSagati-tk5di2 ай бұрын
Ukweli kabisa
@Optionxll_Playz12 ай бұрын
Hahahahaha ,ni kwa nini watu wanakuwa na mawazo ya ajabu duniani hapa .
@emmosilver6039
2 ай бұрын
Unashangaa NI siku za mwisho shetani anawachanganya watu.
@nelsonnyamle
2 ай бұрын
Wewe tahila upo wapi?
@stephenalmas42092 ай бұрын
Amen, ila sasa ndg yng sauti ya Mwenyezi MUNGU huwa hai-hitaji nguvu nyingi sana kufika mahala pake, neno moja tu latosha na kuponya nafsi zetu, maana hilo neno ni takatifu, wala halihitaji maelezo ya ziada kujipambanua.
@KassimAlly-xp4dz
2 ай бұрын
Acheni utoto nyie wakristo kwann mnadanganyika fasta ivo
@abuuramadhan80932 ай бұрын
Nimeelewa leo kwann magufuli alibana midomo ya watu wenye midomo mirefu ka ma hii yan kama magufuli angekuepo huyu mama angekua ardhin chini ya udongo
@rodsconehenry42492 ай бұрын
UNAJUA UKIACHA BANGE NDOTO FLANI FLANI ZINAKUJIA,,USIJALI UTAKUA SAWA TU
@user-gy5en6cy8o2 ай бұрын
Mungu anamwambia nenda kaonge na media😂😂😂😂😂😂😂😂bongo bongo kuhama itakua shida sana
@Werema37602 ай бұрын
Ok.
@jifunzekuhusuwewe74752 ай бұрын
AMEN MUNGU ATUSAIDIE
@jumamkwanda80312 ай бұрын
Uhuru wa kuongea,uhuru wa wana Habari,uhuru wa kujieleza,uhuru wa kuongea lolote utakalo ili mladi usivunje sheria za Nchi,uhuru wa kutoa Mao ni Malaika jamila ametoa maoni yake 😂😂😂
@MusawitsonskanaMusawitso-iy4vh16 күн бұрын
Sijakupata anaejua kuwawe nimagugu au nimbegunjema ni mungu
@user-gy5en6cy8o2 ай бұрын
Mungu amemtaja na makamba😂😂😂😂😂😂😂😂 huyu mama jaman apimwe akili haraka sana Ebu tuwambie mungu kuhusu chadema 😂
@awatifalghanim11062 ай бұрын
Hebu wacha wazimu wewe Bibi. Mungu atakuaibisha wewe kwa karibu na Ulimwengu utashuhudiya. Zanzibar kila miaka mitano inamwqgika damu na hakuna kichaa yoyote alitumwa na Mungu kusema maneno kama unayo yasema wewe. Na unasema uwongo pia Mungu atakuonesha very soon.
@jeremiahmsangi82152 ай бұрын
Siku za mwisho,tuzipime Roho.Ufunuo WA YOHANA.Maono ya Geography kabisa haya
@neemasanga5333Ай бұрын
USIMZINGIZIYE MUNGU NJE YA NENO LAKO, UMECHUKIZEA WEWE NA WANASIASA WENZAKO, USIMZINGIZIYE MUNGU WEWE.
@user-fj4mj5gh3i2 ай бұрын
Ww mama jitambuwe usimchezee mungu umetumwa na shetani .kwani makonda alichaguliwa na wananchi si aliteuliwa na raisi .kikwete je mama je. Mawaziri wake vipi .kikwete je.
@user-gh4mg2wn8y2 ай бұрын
Wewe bi mkubwa acha njaa zitakuponzaa😂😂😂
@user-gy5en6cy8o2 ай бұрын
Hey we go😂😂😂😂😂 eti ni malakla Aise bongo sihami kabisa
@MohamedIbrahim-bn1gz2 ай бұрын
Uyo mungu wako mbona afanyi mwenyewe to akamaliza mambo 😀😀😀🤣🤣🤣wewe ni kizazi cha Ibrahim na umezaliwa Chikongola Mtwara uyo ibrahim anaijua kweli Mtwara 🤣😅😂 Naona na mimi ntaanza kuwa nabii haraka sana
@BakariCheo12 күн бұрын
We muongo mng awez ongea n wew manabii baadh hawaiuw n hadh km hiyo ach uong huko munatak madrk nchii ss n muend t si ktk mitandao kl kanisa ss n sias ty
@tinosimon5952 ай бұрын
Kwanza Mungu akija hawezi kuja kukuongelesha kwa masaa yote. Dada Mungu ajakuambia sasa nani atakua mkuu wa mkoa wa Arusha. 😅😮😢
@beatricemneney76969 күн бұрын
Amen
@abdulmagido54442 ай бұрын
Mungu akaache kuchukizwa na kugeuzana jambo ambalo alighalakisha umma akakasilishwe na mimea mama akatumwa apeleke upepo kwa watu watakiwawo na watu wake tuwache kumchezea Mungu jamani.
@allyomary42302 ай бұрын
Alhamdulillah ghala nighimatil islam.... Hii mambo ya Kufunuliwa eti ni MALAIKA, SIJUI ROHO MTAKATIFU na kutuletea Habari za KUTUMWA NA MUNGU, sijui kuona MAGOROFA MBINGUNI.... Huyu mama alee tu wanae aachane na hizi ndoto za ALINACHA.
@sultansallah87722 ай бұрын
Hawa nao kila siku MUNGU wao anawafunua na kuwavisha vazi jipya. Hahahahahhahahaba
@user-ot1ff7yq2l21 күн бұрын
Ninyi mnaopinga hayaaaa ya huyu dada hamjitmbui na msipende kupuuza kila kitu Jamn huyu dada sio mwehu
@user-po9wi5lh1o2 ай бұрын
Katumwa na vibaraka umeona wapi selikali ikakubalika na watu wote mungu hayupo kwenye selikali zisizo na dini Tanzania hatutaki viongozi vibaraka wapinzani wote hao vibaraka
@gemmamwajombe31692 ай бұрын
Usitukane nii kweli watu wanakufa hospitali za serikali hwana pesa umaskini ni hateri
@FatmaChezo2 ай бұрын
Tangu mwendazake aende tunaonamengi namungu akituwekahai tutaona vibweka zaidi😢😢😢😂
@simonmwandu22142 ай бұрын
Yani ulivyosema tu umeona umbo kama la mwanaume na ukamuuliza ww ni nani akasema yey ni MUNGU, hapo tu ndo niuongo wa mchna peupe mungu afanani na kitu chochote
@edwardpiniel99252 ай бұрын
Hii ndio tanzani sasa kwrli kila mtu yupo anajuwa mungu sana ila kivyangu mimi sisrmi kitu ilaa mmmh hii kama vile watu bana
@fkirumba14632 ай бұрын
Nimekusikiliza sana mama nimegundua kwamba maneno hayo yanatoka kingine hata wewe unajua kwamba yanatoka kungine
@user-lo3zv3sl8q2 ай бұрын
Tumesha sahau utanganyika wewe mama wewe 😂😂😂
@williammollel9714 күн бұрын
Kwanza umesuka na kichwa wazi
@petermabula44922 ай бұрын
Kuna nyakati itafika manabii wa uongo watakuwepo nyakat yenyew ndo haya ya naendelea
@aishaalbalushaishabalush82912 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂uwi jaman acheni kufuru kujiita malaika huku mnaziniana kilasiku
@emmiemmi38612 ай бұрын
Mmm pepo shindwa
@awatifalghanim11062 ай бұрын
Nyiye wa Tanzania Bara Hamwishi vituko. Lakini mnawafurahisha walonuna 😂😂😂 na story zenu.
@stevensosipita
2 ай бұрын
IFIE IMANI YAKO ACHANA NA IMANI YA WATU WENGINE USHAURI TU😢😢
@IdrisMgumia2 ай бұрын
Sasa ndio kipindi cha kumrejea Mwenyezi Mungu maana tumekua tukisikia malaika wa mbinguni , kumbe tulidanganywa malaika tunao hapahapa juu ya uso wa ardhi na siyeye tu yeye na wanae.
@fredysiwale54132 ай бұрын
Huyu mama ingefaa apigwe fimbo hadharani maana anachezea ujumbe wa Mungu ameota ndoto za mchana
@user-hq5qx1hu2x2 ай бұрын
Hata Mimi NIna Jambo langu natafuta wandishi wa habari Niko kasulu vijijini huo ni unyaynyasaji
@SHEDRACKKIBOKOАй бұрын
Mmmmmmh mama MUOGOPE MUNGU
@msenegalimtoi3592 ай бұрын
Maono yapogo ila usijiite malaika wala kutokewa na mwanaume fimbo hata ramli zakishirikina zinamaono ila utekelezaji ni wa mungu na wale vijana wa arusha pale hamna waizi msibague watu nchi sio yenu Waizi wapo arusha tena manyamera kweli Na bad waanafanya yao hao waizi ila sio vilevitoto vinajiita vididu yapo madudu sasa
@maduhueddy50762 ай бұрын
Umeota mwenyewe bila shahidi, huyo Mungu hatupi tu shahidi yako? Janja janjaaaaa tu
@user-hq5qx1hu2x2 ай бұрын
Wewe sio maraika hakuna maraika anaitwa Jamila Mungu anasema magufuli aliyemua ni Nani
@zahrayusuf59852 ай бұрын
Maskini tayari huyu she need help
@SalehHemed-zi1ek2 ай бұрын
Acha ushirikina na mchawi
@ProsperMwakasungura2 ай бұрын
Anamchezea MUNGU. We subiri kitakachompata. MUNGU na wizara wapi na wapi. Huyu anakichaa.
@user-cf4cs9qp1k2 ай бұрын
Umetumwa wewe mama!!
@shafiijuma8402 ай бұрын
Chunguzeni mtakuta ametoka kwenye vyama vya ushirika kama kiongozi maana waziri amewavuruga sana mafisadi naona wameanza kuigiza
@blasiustibwakawa62582 ай бұрын
Dah
@tinosimon5952 ай бұрын
Weee mama ni wa dini gani?? Hivi Mungu katika watu wooote wa Tz, akutokee wewe. Na huyo nikikuangalia umetumwa kabsaaaa. Wewe umechaguliwa na Mungu mtu kuharibia wengine. Umelipwa na mtu usimdanganyie Mungu.
@mohamedturanardan88712 ай бұрын
mimi wa 1 nakwambia nakaidi huo ujumbe wa mungu. Kwasababu mungu wako ni shetani. Na wewe tunajua kama unawashwa
@user-do1pq2uu1c2 ай бұрын
Labda atakua yule mungu mtu wa kenya aliejiita mungu itakua kakujia huyo kukwambia yaani hata biblia yenu inakanusha kua mungu hafananishwi na mtu isaya 41 1
@festokivuyo71212 ай бұрын
Siku hizi kila mtu nabii wa miungu ya kabila na mizimu ya kwao ww nikichaa ndio inaaza hivo ama mwambie mzee akushughulikie usiku maana kuna tatizo
@NGOMELE19762 ай бұрын
Unachanganya mambo sasa. Ukitoa ujumbe wa Mungu usitoe yaliyo yako. Sasa yote yanapuuzwa!
@kaombwechacha15262 ай бұрын
Mungu wangu Dunia mwisho kua na aibu bas we mama Malaika anazaa kweli mmmmmmm
@kalalaseleman2 ай бұрын
Huyu mama anashida kwani anasema ameota Leo hasubuhi huku anasema mme wake alitaka kuuwawa hapo nyuma huoni kuwa anashida
@shamilaalhabsi9092 ай бұрын
Watanzania mbona mnaoombea nchi yenu laana siku zimepita huyo hamor kamwita Allah ni mwanamke astaghafiruallah leo kaja sheetani mwingine mwingi mungu kamfananinsha na mwanaume na nyote ni waislam hujamila na hamor rudieni kwa Allah Allah hafananishishwa na kitu chochote hana mfano wwt huyo ni shetan kakaa kwenye vichwa vyenu
@ibrahimgwasma2352 ай бұрын
Siasa bhana Umeoteshwa siasa peke yake? Siku za mwisho kutakuwa na manabii wa uwongo je tutajuaje kama wew ni sahihi
@gaspercharles22442 ай бұрын
Unatuchanganya mama ww unawezaje kujua huyo ni Mungu au ni Shetani? Maana hata Shetani huwa anajigeuza kuwa Mungu yaani ww hapo unahubiri siasa acha kutuaminisha vitu vya uwongo na hisia zako
Пікірлер: 317
Mama, usicheze na jina la mungu. Uongo ni jambo mbaya sana. Wewe unajaribu kuidanganya nchi nzima . Unaweza kupata laana kubwa. Usifanya mzaha na jina la Mungu. Waziri wa kilimo anapambana na wezi wanao wahangaisha wakulima. Kama umetumwa na hao wezi, basi omba msamaha kwa mola wako.
@jofreyfungo1112
2 ай бұрын
Anapambana wakati wakati ananyang'anya Haki ya wakulima kushiriki anatengeza miradi ili apate 10%Kwa wakandalasi.Amenyang'anya Maonyesho ya wakulima anaweka yawe ya wizara Nako anataka kupiga Dili kwenye viwanja vya wakulima.(Amka)
@user-my6iz5tg7x
2 ай бұрын
@@jofreyfungo1112 Jambo la kusikitisha Ni kwamba Sisi waafrika wengi wetu Ni watu ambao si wazalendo. Tuna wivu Na chuki ndani zetu. Mwanasiasa akijaribu kufanya kazi yake vizuri, anasingiziwa mambo za uongo za kumharibia Jina.
Mimi hata sipingi zaidi sana na muomba Mungu atuhepushe na yaliyo mabaya na uliyoyazungunza hata sikatai kwa sababu na jua kazi ya Mungu
Ucipomtii mungu shetani atakupa kazi mungu hawez kukupa maono kama hayo mungu anatoa maono ya utume ulimwenguni
UKIWA MTU WA KUTII SAUTI YA MUNGU BASI UTASHUHUDIA MENGI SANA!!SAUTI HII NI YA WENYE IMANI TU
@antoinekatembo8520
2 ай бұрын
Kabisa kabisa!!
@edisonemmanuel-
2 ай бұрын
Umenena ni vile tu hofu ya Mungu inakufanya ushuhudie au lah kama ni uongo atajua mwenyewe
Duh! Tulikuwa na mfalme zumaridi, Sasa huyu ni malaika mwenye watoto. God heal this generation
@ayshasaid1547
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂nimecheka kwa saut
Huyu ana mahangaiko ya maisha yake na nafsi yake ina matundu ,yanayotokana maisha ya dhambi alizotenda , uchungu wa kuzaa hewa hupatikana katika ndoto baada ya kurudi kulala wakati jua limechomoza 😊
@FatmaChezo
2 ай бұрын
Uwiii😅😅😅
@AMENMUSHI-wt4li
2 ай бұрын
Mmm
@NasibuNasoro-ew3vw
2 ай бұрын
Mama uza sura upate foroaz wakutosha vta vipo urus na kongo we huja pigana vta mama ugesema unapata majaribu ya shetani sio vita ungekua unavita na wanadam basi we utakua upo ktk kundi la shetanie
Uzuri wa hii Nchi bana Hufi kwa Msongo Mawazo Ukiona Umezongwa tu Weka Bando lako kisha ingia Yu tube
@awatifalghanim1106
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 lakini utakufa kwa njaa .
@rilekijuma4024
2 ай бұрын
Hakuna sehemu yoyote kwenye biblia inasema sauti ya watu ni sauti ya Mungu hii ni kauli ya kifalsafa
Hawezi kua raisi January yeye na Baba Yake wakafunge Kuhusu Makonda hapo umechemka unabii wako
Apelekwe Milembe hospital akapimwe akili.It is a bunch of nonsense of the highest level.
Mbona kila mtu anampinga huyu dada..what if she is right na yote anayoongelea yanatokea
@rilekijuma4024
2 ай бұрын
Unabii unapimwa kwa neno la Mungu hapo hakuna neno la Mungu mwanzo mwisho ni porojo
Maneno ya Imani huwa Yana puuzwa lakini mwisho wake ni huu Nuhu aliambiwa na mungu atengeneze safina watu wenye nguvu na dharau wakambeza sana lakini kilichotokea nisikwambie Mimi Bali jifunze.wote waliangamia
Ww ni wa maana Sana Mungu atakutumia Sana kwa kuwa umekubali na kutii mema yanakuja barikiwa sana
Hata jiwe kuu la pembeni waashi walilikataa! Pengine ni ujumbe wa Mungu kweli
@awatifalghanim1106
2 ай бұрын
😂😂😂😂
Timiza wajibu wako uliotumwa na mungu atakayebeza atakutana na adhabu ya mung
amina mama Mungu aendelee kutenda
@KassimAlly-xp4dz
2 ай бұрын
Yani wakristo wepesi sn kudangqnywa
Mmhh sasa unasema Wew Ni Angel Mara kiumbe Zaidi sasa mume wako ana wasiwasi wakati umesema Ni Angry😃😃ila yote Kwa yote Mungu wangu WA mbinguni atukuzwe
---Taifa linaombewa na viongozi 12:42 wa dini kila siku pamoja na viongozi wake hivyo tunaamini kuwa uchaguzi ujao utakuwa huru na wa amani. Nchi haiwezi kuongozwa kwa watu kuoteshwa matukio au kusema ni maagizo ya mungu kwani maagizo ya mwenyenzi nungu yako kwenye vitabu vya dini ie Bibilia na misaafu pamoja na machapisho mengine .
Kaime mama milembe ipo wazi km vilevi acha umekuwa nani wewe upewe wahhai na mungu???? Au ndio ulikuwa na yule kwy maghofa maleefu sn???😅😅😅😅😅
Hahahaha mungu anakazi nyingi co kukaa kujadil viongoz huyu anafaa huyu hafai bila shaka umetumwa
Uliabza vizuri ila kukiita wew maraika hapo mama,sio sawa kwa msingi wa maandiko matakatifu
Jamila Neno tu kuhusu kutosuka nywele limekuwia gumu mie nikupimeje kukuamini?1Pt.3:3 na 1Tim.2:9.Ukilitii Neno la Mungu ni rahisi kukutumia kwa ajili ya watu wake.
Sio kila anae vuta bangi ni mwendawazimu 😂😂😂😂😂😂😂😂
Huyo bila Shaka katumwa na peoples power
@nelsonnyamle
2 ай бұрын
Hata wewe uliyeandika sms hii utakuwa umetumwa na ccm
@gallusmbaga5522
2 ай бұрын
Hahahahaha
Sio tatizo lako bali nitatozo la kutojua Mungu ni wanamna gani mungu akujie wewe kabisa aongee mambo ya wizara kwanza muogope Mungu wacha kumfanya kama kitu cha mchezo
Kuna uharibifu mkubwa unakuja . Na kudharau maadili yetu MUNGU hatanyamaza, wengi watasema nipo kwa ajili ya MUNGU nataka niwaambie watatokea manabii wa uongo haya ni madogo katika unabii yanakuja makubwa mno
Huu ujumbe ni wa Mungu kweli
MUNGU gani Binaadam ??😂😂😂 😅😅😅😅, acha kumchezea MUNGU. Japokuwa inawezekana unataka kutufikishia ujumbe wenye maana lkn usichanganye na fikra za kumshirikisha MUNGU.
Amen Woman of God
Mungu hanaga maneno mengi ivo!Acha kutuuzia mbuzi kwenye gunia! Acha Arusha ipae kimataifa ww acha makonda ainyooshe iwe kama uraya! Makonda oyeeeeee
@JofreyZacharia-zz7dy
2 ай бұрын
Oyeeeee
@FatmaChezo
2 ай бұрын
Oyeeeeee, Arusha ng'araaaa
Amina
Hii nchi ina wahuni wengi poleeee
Pmja n ni ninyi mnaopinga huyu dada angalieni vizuri arusha kila siku mauaji kwani hamjiuliziii kwaninn mwanmke huyu aiseee haya acheni kudharauu jambo
Huyu mama ni chizi tayari😅😅
@miltonjohn9779
2 ай бұрын
Mungu akusamehe tu
@joycemshana4028
2 ай бұрын
You cant joke...with this name...
@user-kz5en5tq2z
2 ай бұрын
Cheka Leo kesho Italian, bora kukaa kimya!!
@awatifalghanim1106
2 ай бұрын
😂😂😂😂
Yesu akasema nitakapo kuja nitaiona Imani kweli
Hata wakati wa Nuhu watu walimdhihaki,wakamkejeri nakumtukana,lakini mwisho wake wote mnafahamu kilichotokea
Je mungu hakukwambia wamasai wanateseka mama awahulumie au tusimchangue kwa kua ata mungu hajamchagua huu ni kuvizia uteuzi make
@blandinamwarabu5025
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@rogerabdallah439
2 ай бұрын
Kwailo bado anafikiria
@blasiustibwakawa6258
2 ай бұрын
Kuwa makini rafiki yangu
Mpuuzi kweli mitume wenyewe hawakumuona mungu ww unasema umemuona 😂😂😂😂💔 endelea kuwadanganya hao hao wapuuzi wenzako
Hata Mwenyezi Mungu hapa nahisi Kaangua kicheko😂 Nahisi huyo Mungu uliyongea Nae ni Wa chuga Ngarenaro
Na yeye alikwambia kingereza ? .
Ukweli kabisa
Hahahahaha ,ni kwa nini watu wanakuwa na mawazo ya ajabu duniani hapa .
@emmosilver6039
2 ай бұрын
Unashangaa NI siku za mwisho shetani anawachanganya watu.
@nelsonnyamle
2 ай бұрын
Wewe tahila upo wapi?
Amen, ila sasa ndg yng sauti ya Mwenyezi MUNGU huwa hai-hitaji nguvu nyingi sana kufika mahala pake, neno moja tu latosha na kuponya nafsi zetu, maana hilo neno ni takatifu, wala halihitaji maelezo ya ziada kujipambanua.
@KassimAlly-xp4dz
2 ай бұрын
Acheni utoto nyie wakristo kwann mnadanganyika fasta ivo
Nimeelewa leo kwann magufuli alibana midomo ya watu wenye midomo mirefu ka ma hii yan kama magufuli angekuepo huyu mama angekua ardhin chini ya udongo
UNAJUA UKIACHA BANGE NDOTO FLANI FLANI ZINAKUJIA,,USIJALI UTAKUA SAWA TU
Mungu anamwambia nenda kaonge na media😂😂😂😂😂😂😂😂bongo bongo kuhama itakua shida sana
Ok.
AMEN MUNGU ATUSAIDIE
Uhuru wa kuongea,uhuru wa wana Habari,uhuru wa kujieleza,uhuru wa kuongea lolote utakalo ili mladi usivunje sheria za Nchi,uhuru wa kutoa Mao ni Malaika jamila ametoa maoni yake 😂😂😂
Sijakupata anaejua kuwawe nimagugu au nimbegunjema ni mungu
Mungu amemtaja na makamba😂😂😂😂😂😂😂😂 huyu mama jaman apimwe akili haraka sana Ebu tuwambie mungu kuhusu chadema 😂
Hebu wacha wazimu wewe Bibi. Mungu atakuaibisha wewe kwa karibu na Ulimwengu utashuhudiya. Zanzibar kila miaka mitano inamwqgika damu na hakuna kichaa yoyote alitumwa na Mungu kusema maneno kama unayo yasema wewe. Na unasema uwongo pia Mungu atakuonesha very soon.
Siku za mwisho,tuzipime Roho.Ufunuo WA YOHANA.Maono ya Geography kabisa haya
USIMZINGIZIYE MUNGU NJE YA NENO LAKO, UMECHUKIZEA WEWE NA WANASIASA WENZAKO, USIMZINGIZIYE MUNGU WEWE.
Ww mama jitambuwe usimchezee mungu umetumwa na shetani .kwani makonda alichaguliwa na wananchi si aliteuliwa na raisi .kikwete je mama je. Mawaziri wake vipi .kikwete je.
Wewe bi mkubwa acha njaa zitakuponzaa😂😂😂
Hey we go😂😂😂😂😂 eti ni malakla Aise bongo sihami kabisa
Uyo mungu wako mbona afanyi mwenyewe to akamaliza mambo 😀😀😀🤣🤣🤣wewe ni kizazi cha Ibrahim na umezaliwa Chikongola Mtwara uyo ibrahim anaijua kweli Mtwara 🤣😅😂 Naona na mimi ntaanza kuwa nabii haraka sana
We muongo mng awez ongea n wew manabii baadh hawaiuw n hadh km hiyo ach uong huko munatak madrk nchii ss n muend t si ktk mitandao kl kanisa ss n sias ty
Kwanza Mungu akija hawezi kuja kukuongelesha kwa masaa yote. Dada Mungu ajakuambia sasa nani atakua mkuu wa mkoa wa Arusha. 😅😮😢
Amen
Mungu akaache kuchukizwa na kugeuzana jambo ambalo alighalakisha umma akakasilishwe na mimea mama akatumwa apeleke upepo kwa watu watakiwawo na watu wake tuwache kumchezea Mungu jamani.
Alhamdulillah ghala nighimatil islam.... Hii mambo ya Kufunuliwa eti ni MALAIKA, SIJUI ROHO MTAKATIFU na kutuletea Habari za KUTUMWA NA MUNGU, sijui kuona MAGOROFA MBINGUNI.... Huyu mama alee tu wanae aachane na hizi ndoto za ALINACHA.
Hawa nao kila siku MUNGU wao anawafunua na kuwavisha vazi jipya. Hahahahahhahahaba
Ninyi mnaopinga hayaaaa ya huyu dada hamjitmbui na msipende kupuuza kila kitu Jamn huyu dada sio mwehu
Katumwa na vibaraka umeona wapi selikali ikakubalika na watu wote mungu hayupo kwenye selikali zisizo na dini Tanzania hatutaki viongozi vibaraka wapinzani wote hao vibaraka
Usitukane nii kweli watu wanakufa hospitali za serikali hwana pesa umaskini ni hateri
Tangu mwendazake aende tunaonamengi namungu akituwekahai tutaona vibweka zaidi😢😢😢😂
Yani ulivyosema tu umeona umbo kama la mwanaume na ukamuuliza ww ni nani akasema yey ni MUNGU, hapo tu ndo niuongo wa mchna peupe mungu afanani na kitu chochote
Hii ndio tanzani sasa kwrli kila mtu yupo anajuwa mungu sana ila kivyangu mimi sisrmi kitu ilaa mmmh hii kama vile watu bana
Nimekusikiliza sana mama nimegundua kwamba maneno hayo yanatoka kingine hata wewe unajua kwamba yanatoka kungine
Tumesha sahau utanganyika wewe mama wewe 😂😂😂
Kwanza umesuka na kichwa wazi
Kuna nyakati itafika manabii wa uongo watakuwepo nyakat yenyew ndo haya ya naendelea
😂😂😂😂😂😂😂😂uwi jaman acheni kufuru kujiita malaika huku mnaziniana kilasiku
Mmm pepo shindwa
Nyiye wa Tanzania Bara Hamwishi vituko. Lakini mnawafurahisha walonuna 😂😂😂 na story zenu.
@stevensosipita
2 ай бұрын
IFIE IMANI YAKO ACHANA NA IMANI YA WATU WENGINE USHAURI TU😢😢
Sasa ndio kipindi cha kumrejea Mwenyezi Mungu maana tumekua tukisikia malaika wa mbinguni , kumbe tulidanganywa malaika tunao hapahapa juu ya uso wa ardhi na siyeye tu yeye na wanae.
Huyu mama ingefaa apigwe fimbo hadharani maana anachezea ujumbe wa Mungu ameota ndoto za mchana
Hata Mimi NIna Jambo langu natafuta wandishi wa habari Niko kasulu vijijini huo ni unyaynyasaji
Mmmmmmh mama MUOGOPE MUNGU
Maono yapogo ila usijiite malaika wala kutokewa na mwanaume fimbo hata ramli zakishirikina zinamaono ila utekelezaji ni wa mungu na wale vijana wa arusha pale hamna waizi msibague watu nchi sio yenu Waizi wapo arusha tena manyamera kweli Na bad waanafanya yao hao waizi ila sio vilevitoto vinajiita vididu yapo madudu sasa
Umeota mwenyewe bila shahidi, huyo Mungu hatupi tu shahidi yako? Janja janjaaaaa tu
Wewe sio maraika hakuna maraika anaitwa Jamila Mungu anasema magufuli aliyemua ni Nani
Maskini tayari huyu she need help
Acha ushirikina na mchawi
Anamchezea MUNGU. We subiri kitakachompata. MUNGU na wizara wapi na wapi. Huyu anakichaa.
Umetumwa wewe mama!!
Chunguzeni mtakuta ametoka kwenye vyama vya ushirika kama kiongozi maana waziri amewavuruga sana mafisadi naona wameanza kuigiza
Dah
Weee mama ni wa dini gani?? Hivi Mungu katika watu wooote wa Tz, akutokee wewe. Na huyo nikikuangalia umetumwa kabsaaaa. Wewe umechaguliwa na Mungu mtu kuharibia wengine. Umelipwa na mtu usimdanganyie Mungu.
mimi wa 1 nakwambia nakaidi huo ujumbe wa mungu. Kwasababu mungu wako ni shetani. Na wewe tunajua kama unawashwa
Labda atakua yule mungu mtu wa kenya aliejiita mungu itakua kakujia huyo kukwambia yaani hata biblia yenu inakanusha kua mungu hafananishwi na mtu isaya 41 1
Siku hizi kila mtu nabii wa miungu ya kabila na mizimu ya kwao ww nikichaa ndio inaaza hivo ama mwambie mzee akushughulikie usiku maana kuna tatizo
Unachanganya mambo sasa. Ukitoa ujumbe wa Mungu usitoe yaliyo yako. Sasa yote yanapuuzwa!
Mungu wangu Dunia mwisho kua na aibu bas we mama Malaika anazaa kweli mmmmmmm
Huyu mama anashida kwani anasema ameota Leo hasubuhi huku anasema mme wake alitaka kuuwawa hapo nyuma huoni kuwa anashida
Watanzania mbona mnaoombea nchi yenu laana siku zimepita huyo hamor kamwita Allah ni mwanamke astaghafiruallah leo kaja sheetani mwingine mwingi mungu kamfananinsha na mwanaume na nyote ni waislam hujamila na hamor rudieni kwa Allah Allah hafananishishwa na kitu chochote hana mfano wwt huyo ni shetan kakaa kwenye vichwa vyenu
Siasa bhana Umeoteshwa siasa peke yake? Siku za mwisho kutakuwa na manabii wa uwongo je tutajuaje kama wew ni sahihi
Unatuchanganya mama ww unawezaje kujua huyo ni Mungu au ni Shetani? Maana hata Shetani huwa anajigeuza kuwa Mungu yaani ww hapo unahubiri siasa acha kutuaminisha vitu vya uwongo na hisia zako
Unapoota ndoto ,zingatia haya 1.fasiri (definition) 2.tafsri(translation) Umefafanua ndoto ,weka ndoto yako ,watalaam tutafsiri,