KAMA UMECHOKA KUDANGANYWA SIKILIZA HAPA

Пікірлер: 46

  • @user-pr6hm4dq2l
    @user-pr6hm4dq2l2 ай бұрын

    Mim nakukubali sana Nabii IPM, MWENYEZ MUNGU akupe maisha marefu uxidi kutuhudumia,amen

  • @eliudmsey7925
    @eliudmsey79255 жыл бұрын

    Hallelujah 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏 Neema iliyo kuu

  • @egantv1267

    @egantv1267

    4 жыл бұрын

    Hakika

  • @lilyrose7983
    @lilyrose79833 жыл бұрын

    Nakataa kuishi kwa mateso kuanzia leo.Nitaishi kwa neema in Jesus name Amen👏👏👏

  • @lilyipm2753
    @lilyipm27534 жыл бұрын

    EMBASSY of God for all NATIONS mbezi beach kituo cha mbuyuni UKISHUKA mbuyuni ulizia kanisa la EMBASSY

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky108829 күн бұрын

    Amen 🙏

  • @EdisonKaiza
    @EdisonKaiza2 ай бұрын

    Amen

  • @mziwandamziwanda-sr5my
    @mziwandamziwanda-sr5my4 ай бұрын

    nakubarsana mchugaji lpm ushi maisha marefu mchungaji lpm

  • @eastafrica6858
    @eastafrica68584 жыл бұрын

    Hakuna na bii zaidi ya mana bii wa mmungu wa mwanzo kila kukicha wanaibuka mana bii na bii ni kwa kiarabu abrahim ni mtume wa mmungu wa ukweli

  • @LievinBIZOBUKUNDI-mn3tw
    @LievinBIZOBUKUNDI-mn3tw10 ай бұрын

    HHHH UKIWA NA NEEMA HAUTA KULLA KWA JASHO HHHHH WENZETU HUKU NJAA INAWATESA🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @lilyipm2753
    @lilyipm27533 жыл бұрын

    Ujumbe huu ni wa KIPEKEE SANA

  • @ndihokubwayoherman2473
    @ndihokubwayoherman24738 ай бұрын

    Good prophet

  • @robertlyimo4361
    @robertlyimo43615 жыл бұрын

    Huyu nabii yupo vzr maana neno analijua

  • @lilyipm2753

    @lilyipm2753

    4 жыл бұрын

    Amen BARIKIWA SANA

  • @lilyipm2753

    @lilyipm2753

    3 жыл бұрын

    BARIKIWA SANA

  • @lilyipm2753
    @lilyipm27533 жыл бұрын

    Prophet ipm

  • @nyangwezedony1930
    @nyangwezedony1930 Жыл бұрын

    Asante baba umetufungua macho ubalikuwe baba

  • @johnedwardkassawa2952
    @johnedwardkassawa2952 Жыл бұрын

    Hakika Mungu azidi kukuinua Na kukutumia kwaajili ya utukufu wake.

  • @user-uw3hm2qc2e
    @user-uw3hm2qc2e6 ай бұрын

    Jaman kwel

  • @nyangwezedony1930
    @nyangwezedony1930 Жыл бұрын

    Aminaaaaa baba

  • @khadijaabeid1328
    @khadijaabeid132811 ай бұрын

    Ww hueleweki 😂😂

  • @lilyipm2753
    @lilyipm27533 жыл бұрын

    Muhubiri wa Kristo Yesu

  • @piusgadau6328
    @piusgadau6328Күн бұрын

    mbona hufungui biblia tukaona kwa ushahidi?

  • @abubakarjamalulleyl
    @abubakarjamalulleyl Жыл бұрын

    Kwani yesu alisulubishwa na mungu? Ili tuseme ametii!!!!😂

  • @jamesmutabazi2114
    @jamesmutabazi21149 ай бұрын

    Nekubali sana

  • @hamisimapoch884
    @hamisimapoch884 Жыл бұрын

    Muongooooooo, hakuna dhambi ya asilii, kila mtu atakufa kwa dhambi zake mwenyewe, wewe huwezi kuzini alafu dhambi akubebee yesu

  • @lucasmongo8462

    @lucasmongo8462

    Жыл бұрын

    Uko level za chini huwezi kuielewa elimu hii

  • @missajijamesx-6479
    @missajijamesx-6479 Жыл бұрын

    Neema imefunuliwa masikioni mwangu jamani halleeya

  • @user-xm8dn5js9h
    @user-xm8dn5js9h Жыл бұрын

    Kinacho zungumzwa sio kuzini,kinacho zungumzwa ni kuacha dhambi na utii

  • @sabrinahakram4331
    @sabrinahakram43314 жыл бұрын

    Emen

  • @lilyipm2753
    @lilyipm27533 жыл бұрын

    Gospelgracetanzania

  • @samsonlulongajoseph9665
    @samsonlulongajoseph96655 жыл бұрын

    Uko vzr neem ya Mungu hiko juu yetu

  • @mayemiification
    @mayemiification Жыл бұрын

    Wakiristo shida mulio nayo nikwamba munafanya dhambi kwa mategemeo y kua yesu amebeba dhambi zenu hio kitu tangea iumbwe dunia Mungu hajaleta muongozo wa kua atakae iba , atakae zini , na atakae fanya dhambi yeyote kua atasamehewa kwa sababu yesu amebeba dhambi zake hio kitu hakipo

  • @mayemiification

    @mayemiification

    Жыл бұрын

    Mungu ameleta muingozo ufuatwe na ukiwacha kufata ni motoni haitozingatia nani kawacha, Manabii wote wamefata amri za Mungu ndio maana wamefanikiwa kwa mungu nawewe pia utakapo fuata amri za Mungu pia utafanikiwa ila ukienda kinyume na amri zake yesu hana dhamana na dhambi zako

  • @lilyipm2753
    @lilyipm27533 жыл бұрын

    Neema

  • @babalaocollectionnoumasana

    @babalaocollectionnoumasana

    Жыл бұрын

    Uislam pekee ndio DINI ya Haki inayokubali vitabu vyote na Mitume wote. Hatunaga ubaguzi wakuchagua vitabu vya mungu na Mitume wake. Ujumbe wangu kwa umma huu.tusome DINI ili kuepeka hizi propaganda.

  • @lilyipm2753
    @lilyipm27533 жыл бұрын

    Ggr

  • @suleimanhaji7057
    @suleimanhaji7057 Жыл бұрын

    Hutu jamaa siku hizi anasali sala 5

  • @maryngolly3453
    @maryngolly34535 жыл бұрын

    Neema ya MUNGU tu inayotusaidia

  • @twalbtwk6093

    @twalbtwk6093

    5 жыл бұрын

    Msanii huyo abapenda Pesa kwel kwel

  • @estheripm2175

    @estheripm2175

    5 жыл бұрын

    Mungu akusaidie unayesema Baba Angu anakula hela tatizo mmezoea kudanganywaa. Baba tufundshe tunayoielewa Neema.toka nije Embassy sijatoa hata mia nimefunguliwa. Akuna kama Neema.iyeeeeeeeeeee!!!!!

  • @estheripm2175

    @estheripm2175

    5 жыл бұрын

    Powefulll

  • @estheripm2175

    @estheripm2175

    5 жыл бұрын

    Ninjaaa.Master.true daddy. Sheria ni Mzigo

  • @lilyipm2753
    @lilyipm27533 жыл бұрын

    Prophet ipm

  • @lucasmabumo

    @lucasmabumo

    Жыл бұрын

    Mtumishi umenikuna hii ndioo injili kabisa ya YESU,watumishi wachache sana wanaifundisha