Nilikuwa Muislam Yesu akanitokea na kuniokoa|USHUHUDA WA MCHUNGAJI WA WALIOKUWA MAKARASHIKA BURUNDI
JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hiichat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Пікірлер: 92
huyu mchungaji anamacho sana ya kiroho , Mungu ambariki sana
Yesu hanatowa watu mbali Sana mungu ndiyo hadiyaye nguvu mwanadamu. Shatani hawezi lolote shida zako sikitu kwa mungu asente Sana jactan Msafiri kwa ushuhuda zuri
Ndio Bwana
Ushuhuda wa kujenga sana,mtumishi wa Mungu ni mnyenyekevu sana.Mungu aendelee kukutumia kwa viwango visivyo vya kwawaida
HALLELLUA HALLELLUA HALLELLUA HALLELLUA HALLELLUA ASANTE SAAANAAA YESU CHRISTO 👏👏👏👏👏👏📢📢📢📢📢📢📢📢📢
Wokovu huo aliokoka huyu mchungaji na Mimi niliokoka wokovu WA namna hyo .lkn kwakua nilkua shule akili yangu haikuamua kumtukia yesu .lakin Sasa nimerudi kwake Baba (yesu kristo)
We thank our Lord Jesus,for this testimonies, they are teaching us very important lessons
@UsafiMichael-mc8kt
11 ай бұрын
Thanks Jesus christ
Thank you jactan for always sharing their contacts. God bless
Jesus hv mercy 4 us, the rapture is abt to come very near bt humanity don't believe it😢
Unyenyekevu umejaa ndani yake mpaka sura inaonesha
Amina
@UsafiMichael-mc8kt
11 ай бұрын
Ameeen
Ushuhuda wa kujenga sana.Mubarikiwe Promover. Tunasubiri part 2
Amen
Ama kwa hakika kwake Yesu kila goti litapigwa.
Shukran Sana kwa ushuhuda huu Ningelipenda Sana kutazama shuhuda za hao mabinti waliokuwa watumishi wa shetani tafadhali.
Mungu awabariki sana!
@UsafiMichael-mc8kt
11 ай бұрын
Ameeen
@Jeffah_Iman_Kauchape
11 ай бұрын
Nawe pia pokea baraka.
Good job
AMEN
A very uplifting testimony,God bless you,men of God.i decree psalms 91 to whoever watching this testimony.🙏
@HildaPaul-hm4jk
10 ай бұрын
Miili. Za OsC
Halleluya
Hakika Mungu ni mwema kwa kupitia Yesu Kristo aliyehai ndio tunashinda ulimwengu,kinacho takiwa ni kushinda majaribu yote ya dunia hii ubarikiwe mtumishi wa Mungu.
🙏🏼🙏🏼
Mungu Anatafuta condoo wake
Kwakweli Mungu ni mkubwa,na ngojea mwendelezo
@UsafiMichael-mc8kt
11 ай бұрын
Ameeen ni mkũũ sana Mũngũ wa mbinguni
🙏
Mnachelewesha sana jamni maelezo meeeeeengi mpk yanaboa hebu muache mtu atiririke
Mwenyezi Mungu hakuumba dini yoyote ile,uhusiano wako na Mwenyezi Mungu ndio itaamua hatma yako kama utaingia jehanam ama mbinguni.😢
@kakawamashariki8978
11 ай бұрын
Pongezi kwa ufahamu huo wenye upeo,maana waitwao Ni wengi lakini Wateule Ni wachache. Yaani wengi wanaabudu dini,dhehebu badala ya Mungu.
@josephinemsongole4315
11 ай бұрын
@@kakawamashariki89781:16
@UsafiMichael-mc8kt
11 ай бұрын
Dini? Bĩblĩa inasema mimi ni Njia ya kweli na ũzima,mtu hawezi kwenda kwa baba pasipokupitia kwangu(kwa Yesũ) achana na dini twende zetu na Yesũ kristo
@queenesther8505
11 ай бұрын
@@UsafiMichael-mc8kt exactly,Yesu kristo ndiye njia na uzima wa milele,hakuna atakaye enda kwa Baba ila kwa njia ya Yesu Kristo tu,Yeyote amkataaye mwana amekwisha laaniwa na Mwenyezi Mungu hayumo ndani yake.🙏
@Catherine-mh8sw
10 ай бұрын
@@queenesther8505kumbe Kuna mungu na mwanae mungu
Mathayo 12:6
Tunasubiri part two…😢😢
Jactan part 2 iwapi?? umekawia sana
@PromovertvTz
10 ай бұрын
Part2 itakawia sana,ni mpaka mwakani
Wakristo mwapenda kiki nyinyi mmh yaani huyo yesu uko aliko yuwashangaa kila uchao huyo akijiuliza nsiku ipi alio mtokea mtu...kama c njaa zenu wakristo na utapeli mbona usitokewe na mungu uwe unamtukuza tu mwanadamu mwenzako alikuwa tu nabii wala sio mungu
@LucyKapinga-fg4dk
5 ай бұрын
MUNGU AKUTHIHIRISHE YESU KRISTO NI NANI NA UPATE WOKOVU KWA JINA LA YESU
Kila Mtu anatokewa na yesu siku hizi na ile Nukta ya Kuigiza Ulemavu Naona siku hizi sio kivileeeee !!! Haya bana ngoja inyeshe
@badruseif1318
11 ай бұрын
Ramadhani hawa jamaa siku hizi kiki yao kubwa Ni kusema walikua waislamu wakatokewa na yesu
@mwassamwassa7264
11 ай бұрын
Muongo sana wewe,hata Yesu akija leo mtakataa kwasababu ya misimamo ya dini yenu, Mungu anawachagua walio wake wewe endelea na misimamo yako ya dini.Huyo Muhammad mnayemeamini alikufa anasubiri hukumu tu
@Catherine-mh8sw
10 ай бұрын
@@badruseif1318kabisaa.
@Catherine-mh8sw
10 ай бұрын
@mwassamwassa7264 Muhammad ni binaadamu. Sasa kwa nini asife. Asiekufa ni mungu. Hata yesu alikufa. Yohana 17:3
@andrewkissavah8272
9 ай бұрын
Waislamu naona mnakeleka sana jinsi YESU anavyo okoa
Kwanini waislam wanaroho mbaya kwa ndugu zao ambao wameokoka?
Anaongea kwa utulivu sana na lugha ya Kiswahili anaiongea kwa ufasaha sana.
wale manaitwa waislamu ndo mjiulize mpo sehemu sahihi ?au mnakwenda kuzimu ?
@user-un2td1no5f
10 ай бұрын
Kweli kabisa wajiulize maana kila anaeshuhudia anasema kua majini ndio maisha ya Muslim wakubali kuokoka wampokee Yesu
@LucyKapinga-fg4dk
5 ай бұрын
Yani Acheni ushangae wao wanajiona wako sahihi sasa ikeja kwenye kuwa chukia wakristo na kuwa ona makafiri na kuwambiwa wasike karibu na sisi embu Angalia KWERI MUNGU TUNAYR MUABUDU WA DUNIA NZIMA AMETUACHIA UPENDO ILA SISI WENZETYU WANA TUCHUKIA NDIO UNAPOONA KUNA SIRI INAYO ENDELEA KWAO PASIPO WAO KUJIEREWA
Kwani❤katakela alikuwepo buyenzi?
@dadaz4653
11 ай бұрын
Ndio
Mnaona njia nyepesi ya kupata Kiki Ni kusema ulikua muislamu
@Catherine-mh8sw
10 ай бұрын
Kabisaaa.
watafutaji pesa kwa njia ya jina la Yesu
@patrickmunishi2277
11 ай бұрын
Mungu akusamehe maana upo kwenye chungu, na unaitaji msaada
@sabihaibrahim143
11 ай бұрын
@@patrickmunishi2277 kesho utamkuta anafungua kanisa ukishawaona wanajitangaza hivo wakijulikana tu imetoka
@8pistons194
11 ай бұрын
@@sabihaibrahim143okoka na ww ufungue kanisa kama ni dili
@sabihaibrahim143
11 ай бұрын
@@8pistons194 hahahaaaaaaa mimi nimefungua biashara nyengine
@mwassamwassa7264
11 ай бұрын
@@sabihaibrahim143mwaipopo mliyemnunua analia njaa huko mnamtunza kwa ghalama kubwa lakini roho inamsuta kuiacha njia ya Yesu
NGUVU KUBWA INATUMIKA KUPOTOSHA WATU,,KUMBE UKO KWENU KUMUONA YESU NI RAHISI HIVYO..HUKU KWETU HAKUNA KUTUNGA
@8pistons194
11 ай бұрын
Ni rahisi maana tuna imani na tunaemwabudu.Mohamed alikufa akafa hamtokaa mumuone tena
@aliemdogo
11 ай бұрын
mukija Ku Muaona marehem Mohammad nikuzim mkiwa mnachomwa wote
@Catherine-mh8sw
10 ай бұрын
@@8pistons194Muhammad si Mungu. Asiyekufa ni mungu. Hata yesu alikufa. Yohana 17:3
@Catherine-mh8sw
10 ай бұрын
@@aliemdogothubutuu
@LucyKapinga-fg4dk
5 ай бұрын
YESU ALIKUFA BURE MAANA Alisurubiwa kwa jile Yetu akafa Akafufuka sasa ni yuhai yuko Mawinguni Akatuachia msaidizi Wake Rohomtakatifu Yaan Tumebarikiwa Mnoo MUNGU NI MKUU@@Catherine-mh8sw
Kwa nini kila mtu anakimbilia kuwa mchungaji; kuna nini ktk huduma hii?
@christinaisanguisangu2974
11 ай бұрын
Wito wa mtu sio kukimbilia tu nafikiri ndo nafasi wanaoitiwa na mwenye kazi
@jesuspower2390
11 ай бұрын
ulitaka awe mganga wa kienyeji?
@UsafiMichael-mc8kt
11 ай бұрын
@@christinaisanguisangu2974 umejibu vizuri mpaka nimependa kama ningekuwa na namba yako ningekutumia hela ya kununua GB 1,tunataka watu wenye ufahamu na uelewa kama hvyo
@pastorpetermageta6833
11 ай бұрын
Hata wewe ukitaka unaweza kuwa
@CliffordKimani
11 ай бұрын
Luk 10:2 Akawaambia, Mavuno ni mengi, lakini watenda kazi ni wachache; basi mwombeni Bwana wa mavuno apeleke watenda kazi katika mavuno yake.
Amen