Nilikuwa Muislam Yesu akanitokea na kuniokoa|USHUHUDA WA MCHUNGAJI WA WALIOKUWA MAKARASHIKA BURUNDI

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hiichat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Пікірлер: 92

  • @jesusnametv4935
    @jesusnametv493511 ай бұрын

    huyu mchungaji anamacho sana ya kiroho , Mungu ambariki sana

  • @reachelchemtai2604
    @reachelchemtai260411 ай бұрын

    Yesu hanatowa watu mbali Sana mungu ndiyo hadiyaye nguvu mwanadamu. Shatani hawezi lolote shida zako sikitu kwa mungu asente Sana jactan Msafiri kwa ushuhuda zuri

  • @christinaisanguisangu2974
    @christinaisanguisangu29742 ай бұрын

    Ndio Bwana

  • @tabithajeremiah4589
    @tabithajeremiah458911 ай бұрын

    Ushuhuda wa kujenga sana,mtumishi wa Mungu ni mnyenyekevu sana.Mungu aendelee kukutumia kwa viwango visivyo vya kwawaida

  • @horimberepeace7376
    @horimberepeace737610 ай бұрын

    HALLELLUA HALLELLUA HALLELLUA HALLELLUA HALLELLUA ASANTE SAAANAAA YESU CHRISTO 👏👏👏👏👏👏📢📢📢📢📢📢📢📢📢

  • @Jackline-ki7zl
    @Jackline-ki7zl5 ай бұрын

    Wokovu huo aliokoka huyu mchungaji na Mimi niliokoka wokovu WA namna hyo .lkn kwakua nilkua shule akili yangu haikuamua kumtukia yesu .lakin Sasa nimerudi kwake Baba (yesu kristo)

  • @sallymumia8425
    @sallymumia842511 ай бұрын

    We thank our Lord Jesus,for this testimonies, they are teaching us very important lessons

  • @UsafiMichael-mc8kt

    @UsafiMichael-mc8kt

    11 ай бұрын

    Thanks Jesus christ

  • @dantez8775
    @dantez87754 ай бұрын

    Thank you jactan for always sharing their contacts. God bless

  • @issachege5606
    @issachege56068 ай бұрын

    Jesus hv mercy 4 us, the rapture is abt to come very near bt humanity don't believe it😢

  • @shamim6606
    @shamim660611 ай бұрын

    Unyenyekevu umejaa ndani yake mpaka sura inaonesha

  • @lydiamichael5509
    @lydiamichael550911 ай бұрын

    Amina

  • @UsafiMichael-mc8kt

    @UsafiMichael-mc8kt

    11 ай бұрын

    Ameeen

  • @wambuimanyara6978
    @wambuimanyara697811 ай бұрын

    Ushuhuda wa kujenga sana.Mubarikiwe Promover. Tunasubiri part 2

  • @josykogei7647
    @josykogei764711 ай бұрын

    Amen

  • @suzandavd5213
    @suzandavd521311 ай бұрын

    Ama kwa hakika kwake Yesu kila goti litapigwa.

  • @davidgitau1162
    @davidgitau116211 ай бұрын

    Shukran Sana kwa ushuhuda huu Ningelipenda Sana kutazama shuhuda za hao mabinti waliokuwa watumishi wa shetani tafadhali.

  • @zakn2001
    @zakn200111 ай бұрын

    Mungu awabariki sana!

  • @UsafiMichael-mc8kt

    @UsafiMichael-mc8kt

    11 ай бұрын

    Ameeen

  • @Jeffah_Iman_Kauchape

    @Jeffah_Iman_Kauchape

    11 ай бұрын

    Nawe pia pokea baraka.

  • @sarifusteven4634
    @sarifusteven463411 ай бұрын

    Good job

  • @drmaryjohnmponda3484
    @drmaryjohnmponda348411 ай бұрын

    AMEN

  • @queenesther8505
    @queenesther850511 ай бұрын

    A very uplifting testimony,God bless you,men of God.i decree psalms 91 to whoever watching this testimony.🙏

  • @HildaPaul-hm4jk

    @HildaPaul-hm4jk

    10 ай бұрын

    Miili. Za OsC

  • @favourndila8474
    @favourndila847411 ай бұрын

    Halleluya

  • @andrewmhagama9816
    @andrewmhagama981611 ай бұрын

    Hakika Mungu ni mwema kwa kupitia Yesu Kristo aliyehai ndio tunashinda ulimwengu,kinacho takiwa ni kushinda majaribu yote ya dunia hii ubarikiwe mtumishi wa Mungu.

  • @BILLSHAFT
    @BILLSHAFT10 ай бұрын

    🙏🏼🙏🏼

  • @user-ns1jw3rl3g
    @user-ns1jw3rl3g11 ай бұрын

    Mungu Anatafuta condoo wake

  • @maryeer6392
    @maryeer639211 ай бұрын

    Kwakweli Mungu ni mkubwa,na ngojea mwendelezo

  • @UsafiMichael-mc8kt

    @UsafiMichael-mc8kt

    11 ай бұрын

    Ameeen ni mkũũ sana Mũngũ wa mbinguni

  • @Queenrinna98
    @Queenrinna9810 ай бұрын

    🙏

  • @gosbertmuta5421
    @gosbertmuta542111 ай бұрын

    Mnachelewesha sana jamni maelezo meeeeeengi mpk yanaboa hebu muache mtu atiririke

  • @queenesther8505
    @queenesther850511 ай бұрын

    Mwenyezi Mungu hakuumba dini yoyote ile,uhusiano wako na Mwenyezi Mungu ndio itaamua hatma yako kama utaingia jehanam ama mbinguni.😢

  • @kakawamashariki8978

    @kakawamashariki8978

    11 ай бұрын

    Pongezi kwa ufahamu huo wenye upeo,maana waitwao Ni wengi lakini Wateule Ni wachache. Yaani wengi wanaabudu dini,dhehebu badala ya Mungu.

  • @josephinemsongole4315

    @josephinemsongole4315

    11 ай бұрын

    ​@@kakawamashariki89781:16

  • @UsafiMichael-mc8kt

    @UsafiMichael-mc8kt

    11 ай бұрын

    Dini? Bĩblĩa inasema mimi ni Njia ya kweli na ũzima,mtu hawezi kwenda kwa baba pasipokupitia kwangu(kwa Yesũ) achana na dini twende zetu na Yesũ kristo

  • @queenesther8505

    @queenesther8505

    11 ай бұрын

    @@UsafiMichael-mc8kt exactly,Yesu kristo ndiye njia na uzima wa milele,hakuna atakaye enda kwa Baba ila kwa njia ya Yesu Kristo tu,Yeyote amkataaye mwana amekwisha laaniwa na Mwenyezi Mungu hayumo ndani yake.🙏

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    10 ай бұрын

    ​@@queenesther8505kumbe Kuna mungu na mwanae mungu

  • @annachachage4931
    @annachachage493111 ай бұрын

    Mathayo 12:6

  • @MireilleEspoir
    @MireilleEspoir10 ай бұрын

    Tunasubiri part two…😢😢

  • @mercykariithi7919
    @mercykariithi791910 ай бұрын

    Jactan part 2 iwapi?? umekawia sana

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    10 ай бұрын

    Part2 itakawia sana,ni mpaka mwakani

  • @mohamedhozi8110
    @mohamedhozi811011 ай бұрын

    Wakristo mwapenda kiki nyinyi mmh yaani huyo yesu uko aliko yuwashangaa kila uchao huyo akijiuliza nsiku ipi alio mtokea mtu...kama c njaa zenu wakristo na utapeli mbona usitokewe na mungu uwe unamtukuza tu mwanadamu mwenzako alikuwa tu nabii wala sio mungu

  • @LucyKapinga-fg4dk

    @LucyKapinga-fg4dk

    5 ай бұрын

    MUNGU AKUTHIHIRISHE YESU KRISTO NI NANI NA UPATE WOKOVU KWA JINA LA YESU

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu365611 ай бұрын

    Kila Mtu anatokewa na yesu siku hizi na ile Nukta ya Kuigiza Ulemavu Naona siku hizi sio kivileeeee !!! Haya bana ngoja inyeshe

  • @badruseif1318

    @badruseif1318

    11 ай бұрын

    Ramadhani hawa jamaa siku hizi kiki yao kubwa Ni kusema walikua waislamu wakatokewa na yesu

  • @mwassamwassa7264

    @mwassamwassa7264

    11 ай бұрын

    Muongo sana wewe,hata Yesu akija leo mtakataa kwasababu ya misimamo ya dini yenu, Mungu anawachagua walio wake wewe endelea na misimamo yako ya dini.Huyo Muhammad mnayemeamini alikufa anasubiri hukumu tu

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    10 ай бұрын

    ​@@badruseif1318kabisaa.

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    10 ай бұрын

    ​@mwassamwassa7264 Muhammad ni binaadamu. Sasa kwa nini asife. Asiekufa ni mungu. Hata yesu alikufa. Yohana 17:3

  • @andrewkissavah8272

    @andrewkissavah8272

    9 ай бұрын

    Waislamu naona mnakeleka sana jinsi YESU anavyo okoa

  • @koperawasona9551
    @koperawasona95512 ай бұрын

    Kwanini waislam wanaroho mbaya kwa ndugu zao ambao wameokoka?

  • @samjosh12
    @samjosh1211 ай бұрын

    Anaongea kwa utulivu sana na lugha ya Kiswahili anaiongea kwa ufasaha sana.

  • @jesusnametv4935
    @jesusnametv493511 ай бұрын

    wale manaitwa waislamu ndo mjiulize mpo sehemu sahihi ?au mnakwenda kuzimu ?

  • @user-un2td1no5f

    @user-un2td1no5f

    10 ай бұрын

    Kweli kabisa wajiulize maana kila anaeshuhudia anasema kua majini ndio maisha ya Muslim wakubali kuokoka wampokee Yesu

  • @LucyKapinga-fg4dk

    @LucyKapinga-fg4dk

    5 ай бұрын

    Yani Acheni ushangae wao wanajiona wako sahihi sasa ikeja kwenye kuwa chukia wakristo na kuwa ona makafiri na kuwambiwa wasike karibu na sisi embu Angalia KWERI MUNGU TUNAYR MUABUDU WA DUNIA NZIMA AMETUACHIA UPENDO ILA SISI WENZETYU WANA TUCHUKIA NDIO UNAPOONA KUNA SIRI INAYO ENDELEA KWAO PASIPO WAO KUJIEREWA

  • @nduwayezutadsonchannel4084
    @nduwayezutadsonchannel408411 ай бұрын

    Kwani❤katakela alikuwepo buyenzi?

  • @dadaz4653

    @dadaz4653

    11 ай бұрын

    Ndio

  • @badruseif1318
    @badruseif131811 ай бұрын

    Mnaona njia nyepesi ya kupata Kiki Ni kusema ulikua muislamu

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    10 ай бұрын

    Kabisaaa.

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim14311 ай бұрын

    watafutaji pesa kwa njia ya jina la Yesu

  • @patrickmunishi2277

    @patrickmunishi2277

    11 ай бұрын

    Mungu akusamehe maana upo kwenye chungu, na unaitaji msaada

  • @sabihaibrahim143

    @sabihaibrahim143

    11 ай бұрын

    @@patrickmunishi2277 kesho utamkuta anafungua kanisa ukishawaona wanajitangaza hivo wakijulikana tu imetoka

  • @8pistons194

    @8pistons194

    11 ай бұрын

    ​@@sabihaibrahim143okoka na ww ufungue kanisa kama ni dili

  • @sabihaibrahim143

    @sabihaibrahim143

    11 ай бұрын

    @@8pistons194 hahahaaaaaaa mimi nimefungua biashara nyengine

  • @mwassamwassa7264

    @mwassamwassa7264

    11 ай бұрын

    ​@@sabihaibrahim143mwaipopo mliyemnunua analia njaa huko mnamtunza kwa ghalama kubwa lakini roho inamsuta kuiacha njia ya Yesu

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari452511 ай бұрын

    NGUVU KUBWA INATUMIKA KUPOTOSHA WATU,,KUMBE UKO KWENU KUMUONA YESU NI RAHISI HIVYO..HUKU KWETU HAKUNA KUTUNGA

  • @8pistons194

    @8pistons194

    11 ай бұрын

    Ni rahisi maana tuna imani na tunaemwabudu.Mohamed alikufa akafa hamtokaa mumuone tena

  • @aliemdogo

    @aliemdogo

    11 ай бұрын

    mukija Ku Muaona marehem Mohammad nikuzim mkiwa mnachomwa wote

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    10 ай бұрын

    ​@@8pistons194Muhammad si Mungu. Asiyekufa ni mungu. Hata yesu alikufa. Yohana 17:3

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    10 ай бұрын

    ​@@aliemdogothubutuu

  • @LucyKapinga-fg4dk

    @LucyKapinga-fg4dk

    5 ай бұрын

    YESU ALIKUFA BURE MAANA Alisurubiwa kwa jile Yetu akafa Akafufuka sasa ni yuhai yuko Mawinguni Akatuachia msaidizi Wake Rohomtakatifu Yaan Tumebarikiwa Mnoo MUNGU NI MKUU​@@Catherine-mh8sw

  • @pirminmatumizi5464
    @pirminmatumizi546411 ай бұрын

    Kwa nini kila mtu anakimbilia kuwa mchungaji; kuna nini ktk huduma hii?

  • @christinaisanguisangu2974

    @christinaisanguisangu2974

    11 ай бұрын

    Wito wa mtu sio kukimbilia tu nafikiri ndo nafasi wanaoitiwa na mwenye kazi

  • @jesuspower2390

    @jesuspower2390

    11 ай бұрын

    ulitaka awe mganga wa kienyeji?

  • @UsafiMichael-mc8kt

    @UsafiMichael-mc8kt

    11 ай бұрын

    @@christinaisanguisangu2974 umejibu vizuri mpaka nimependa kama ningekuwa na namba yako ningekutumia hela ya kununua GB 1,tunataka watu wenye ufahamu na uelewa kama hvyo

  • @pastorpetermageta6833

    @pastorpetermageta6833

    11 ай бұрын

    Hata wewe ukitaka unaweza kuwa

  • @CliffordKimani

    @CliffordKimani

    11 ай бұрын

    Luk 10:2 Akawaambia, Mavuno ni mengi, lakini watenda kazi ni wachache; basi mwombeni Bwana wa mavuno apeleke watenda kazi katika mavuno yake.

  • @GeorgetteNzeyimana-fi6ln
    @GeorgetteNzeyimana-fi6ln10 ай бұрын

    Amen

Келесі