Pt1_MWIZI ALIEKUTANA NA YESU AKIWA KAZINI AKANENA KWA LUGHA MASAA 48 MFULULIZO|Ushuhuda wa Mch.Stev

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
M-pesa Lipa Namba.5634017
AirtelMoney Lipa No.3878783
Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
#ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV

Пікірлер: 67

  • @YeremiaHusna-ev3un
    @YeremiaHusna-ev3un4 ай бұрын

    Mungu awabarik prov wengi tunapiga atua sana Kazi yenu Yesu awalinde tunajifunza vingi Mungu atusaidie

  • @janethmwihumbo1289
    @janethmwihumbo12894 ай бұрын

    Saa ya Bwana ikifika imefika hakuna awezaye kupinga Mbarikiwe watumishi

  • @tunajaribu
    @tunajaribu4 ай бұрын

    Hii kesi ilinitokea, mume wangu ni mzungu, tulitoka kutoa lak5, na alikuwa amevaa cheni ya dhahabu yenye thamani ya mil5 tunatembea mtu anakuja anasema amemkanyaga, ananiambia sister mzungu wako kaninyaga, kanikanyaga mwisho anahisi mtu anataka kutoa wallet sema ela zilikuwa nyingi akawasikia wakitaka kuzitoa. Akaweka mkono kuzuia kumbe waliiba cheni. Tumefika nyumbani tukiwa na furaha tunadhani hawakuiba wallet kumbe cheni imeenda.

  • @ryobanchagwa2499
    @ryobanchagwa24994 ай бұрын

    Nimefurahia sana mchungaji wangu Stivini Rotali tupo pamoja na ushuhuda huu umenitia nguvu sana hivyo karibu sana Serengeti

  • @user-kk9jn8dp9m
    @user-kk9jn8dp9m4 ай бұрын

    Mungu naomba nisaidie nami niwe na nguvu ya Mungu niwe na moto ndani yangi nami niwekee alama yako Yesu wangu usiniache

  • @liza6able

    @liza6able

    3 ай бұрын

    Am really blessed. Ubarikiwe mtumishi. Nimecheka na kufurahi hapo kwamba "MTU Yule ni handsome Sana"

  • @user-fu6fx8if6w
    @user-fu6fx8if6w4 ай бұрын

    Natamani nione part2,Asante sana promover

  • @lydiahnabwire128
    @lydiahnabwire1284 ай бұрын

    Huu ushuhuda unanitia nguvu ya kumtafta Mungu zaidi Eeeh Mungu nishike mikono nisije nikadondoka ziwa la motoni 😢😢naomba niwe mmoja wapo walio na alama ya 🔥

  • @Summertm
    @Summertm2 ай бұрын

    Yohana 10: 27-29; 27 Kondoo wangu huisikia sauti yangu. Nami nawajua, nao hunifuata. 28 Mimi nawapa kondoo wangu uzima wa milele. Nao hawatakufa kamwe, na tena hakuna atakayemchukua yeyote kutoka mkononi mwangu. 29 Baba yangu ndiye aliyenipa hao, naye ni mkuu kuliko wote. Hakuna anayeweza kuwaiba kondoo wangu kutoka mkononi mwangu.

  • @elishafakutunga2550
    @elishafakutunga25504 ай бұрын

    Mungu anaweza akitia nguvu inakubidi uwe na kiu ya kweli

  • @lovenesswalter6650
    @lovenesswalter66504 ай бұрын

    Barikiwa Sana promover

  • @anastazia3014
    @anastazia30144 ай бұрын

    Amina

  • @reachelchemtai2604
    @reachelchemtai26044 ай бұрын

    Amen usuhuda mzuri Sana nashukuru mungu yuko pamoja na na watu wote kila mahali yesu ni bwana

  • @lovenesswalter6650
    @lovenesswalter66504 ай бұрын

    Mbarikiwe kwa ushuhuda mzur sana

  • @elishafakutunga2550

    @elishafakutunga2550

    4 ай бұрын

    Dada hizo ywele mungu hapendi tumbadilike hii miili ni hekalu la bwana inatubasa tuijenge ili mungu ajitukuze kwetu

  • @user-tt7cu2et1x
    @user-tt7cu2et1x4 ай бұрын

    Blessed kaka jacktan .pamja na promover tv ..the power of testimony

  • @lydiamichael5509
    @lydiamichael55094 ай бұрын

    Bariikiweni sana promover tv kwa shuhuda hizi..

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    4 ай бұрын

    Amen

  • @lovenesswalter6650
    @lovenesswalter66504 ай бұрын

    Barikiwa sana Baba

  • @rerisamba
    @rerisamba4 ай бұрын

    Watu wengine mnakuaga na bahati kweli halafu unapata mtu kama huyo anamuacha Mungu waa Mungu tusaidie

  • @dennismunyao7716
    @dennismunyao77164 ай бұрын

    Ama kwa ukweli neema ya BWANA yatosha

  • @adeladamasi4391
    @adeladamasi43914 ай бұрын

    AMINA shalom

  • @valentinanduku8718
    @valentinanduku87184 ай бұрын

    Asnte Yesu

  • @lovenesswalter6650
    @lovenesswalter66504 ай бұрын

    Barikiwa sana

  • @prayerwomen3444
    @prayerwomen34444 ай бұрын

    Natamani nguvu iyo itembee nami sikuzote zamaisha yangu❤

  • @Mwasame_Official1
    @Mwasame_Official14 ай бұрын

    Amina na mungu akubariki sana

  • @sabinagwerino8493
    @sabinagwerino84934 ай бұрын

    Wa mwisho katikati

  • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
    @RubenMtuwaMungu-bz8ee4 ай бұрын

    Sijawahi sikia Allah kamtokea mtu. Sijui ni mungu gani hana uhusiano na watu wake ingawa anakokota kundi kubwa duniani.

  • @lilianluhasi311

    @lilianluhasi311

    4 ай бұрын

    Yesu alipaa, yupo kila mahali. Ukijaliwa neema ya kutokewa anatokea, anakuwaga na kusudi lake maalumu

  • @JaneKuyokwa-ng2qf
    @JaneKuyokwa-ng2qf2 ай бұрын

    Mungu awabaliki

  • @josephmutemi7494
    @josephmutemi74944 ай бұрын

    Amen

  • @sophiaommy8343
    @sophiaommy83434 ай бұрын

    Hata Mimi Ni Mngoni nimeokoka Ameeeen!!!!

  • @rerisamba
    @rerisamba4 ай бұрын

    Waa naumekaa mchanga kweli hukai hio miaka

  • @AzAz-sy6zp
    @AzAz-sy6zp4 ай бұрын

    Mungu ninaomba unitie nguvu ili niweze kumshinda ibilic

  • @fatumaminyeko1875
    @fatumaminyeko18754 ай бұрын

    Kanisa bila karamazote zarohoni ilo kanisa linapeleka watu wote kuzimu

  • @josykogei7647
    @josykogei76474 ай бұрын

    Wa tatu

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    4 ай бұрын

    Karibu sana

  • @gracepittman1985
    @gracepittman19854 ай бұрын

    Kanisa tunahitaji karma zote za Roho Mtakatifu

  • @AlfaMoshi
    @AlfaMoshi4 ай бұрын

    Wakwanza

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    4 ай бұрын

    Karibu sana

  • @frolianhulubano6358
    @frolianhulubano63584 ай бұрын

    Wapili

  • @PromovertvTz

    @PromovertvTz

    4 ай бұрын

    Karibu sana

  • @mahomamahoma775
    @mahomamahoma775Ай бұрын

    Part 2 ipo?

  • @Godchoice100
    @Godchoice1004 ай бұрын

    Mi nauliza Kama mtu ameokoka huyo pepo anaona alichonacho, je unaweza mvalisha kesi? Je akiliita jina la Yesu?

  • @8pistons194
    @8pistons1944 ай бұрын

    Nina shida na mchungaji katekela nampataje?

  • @user-tt7cu2et1x

    @user-tt7cu2et1x

    4 ай бұрын

    Umpgiee kwa cm yake

  • @blandinajoseph1291
    @blandinajoseph12914 ай бұрын

    🤣🤣🤣

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu42474 ай бұрын

    Ukisema wakatoloki hwafungagi ni muongo wewe ndio ulikuwa hufungi maana ya kula kidogo ni kufunga masaa 12 wakati wa kula unapunguza chakula unawapa wahitaji unakula kidogo sio unakula kama hujafunga

  • @sophiaommy8343

    @sophiaommy8343

    4 ай бұрын

    Mimi Ni mkatoliki lakini walokole ndio Wana funga ya kweli hakuna Kula Wala kunywa kwa muda mtu atakaojiwekea, wengine wanafunga mpaka tano Bila Kula wala kunywa ni maji tu ,tatu kavu kwa walokole Ni kitu kidogo sana wakiwa na Jambo lao.

  • @tinnahagustinolyelu4247

    @tinnahagustinolyelu4247

    4 ай бұрын

    @@sophiaommy8343 Mm Ni mkatoliki na huwa nafunga vinzuri tua na sio wakati WA Kwalesma tu wakati wote mm nikiwa na mambo yangu na funga saa 12 nakunywa maji na mambo yangu yanaenda kufunga ndugu Ni moyo .na nikuuutiisha mwili ili usitende dhambi muombe Mungu anisaidie uwe unafunga mm imenisaidia hata nilipofika Oman ramadhani nafunga vyungu vyoote SEMA na Mungu wako Alie sirini

  • @user-jz6wu1ed1h

    @user-jz6wu1ed1h

    4 ай бұрын

    Issue ni kufunga au kuenenda sawasawa na mapenzi ya Mungu?

  • @tinnahagustinolyelu4247

    @tinnahagustinolyelu4247

    4 ай бұрын

    @@user-jz6wu1ed1h kufunga Ni lazima sababu ukifunga unautiisha mwili usitende dhambi Lakini methali 8 Mstr 17 unasema nawapenda wake wanipendao na wake wanitafutao Kwa bidii wataniona kuna maana mbili hapo

  • @TheTickingAges
    @TheTickingAges4 ай бұрын

    Kwahivyo ulishurutishwa kuokaka kwa lazima kwakumizwa na kudungwa sidhani Yesu alidunga watu kwa mikuki ili waokoke. kuna shaka hapo. hizo nguvu zilikua za shetani na huyo muhindi penginepo ndiye aliye kundunga mkuki mbavuni ili uenda kwa huo mkutano wake ili haweze kuwa na umaarufu kwa kukuelezea hitoria yako yote.

  • @elizag.edmond7637

    @elizag.edmond7637

    4 ай бұрын

    Pole sana ,

  • @ZubedaVicent

    @ZubedaVicent

    4 ай бұрын

    Njia za Mungu hazichunguziki ndugu yangu na kila mtu anaitwa kwa namna yake

  • @magdalenapeter6106

    @magdalenapeter6106

    4 ай бұрын

    Khaaaaa ww😢😢😢

  • @alinamark2640
    @alinamark26404 ай бұрын

    Amen

  • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
    @RubenMtuwaMungu-bz8ee4 ай бұрын

    Sijawahi sikia Allah kamtokea mtu. Sijui ni mungu gani hana uhusiano na watu wake ingawa anakokota kundi kubwa duniani.

  • @nurumwita9034

    @nurumwita9034

    4 ай бұрын

    Allah ni nani?

  • @user-tt7cu2et1x

    @user-tt7cu2et1x

    4 ай бұрын

    Watu wanaongea stor za YESU na ROHO mt.we unatuletea habari ya Allah ndo nn? Kwanza skiliza shuhuda fanyiwa kaz chukua Atua

  • @lydiahnabwire128

    @lydiahnabwire128

    4 ай бұрын

    Allah ni nani? ata Yesu mwenyewe hamtambui Allah Yesu anawatokea na kuwasaidia walio wake. 👇👇 Hii hapa tofauti ya YESU NA MUHAMMED 1. Yesu alikufa akafufuka ili kuwadhibitishia watakao mwamini na kumpokea kama mwokozi wao,atawaachia roho mtakatifu ambae atakua msaidizi wao na mwalimu wao katika mambo ya kiroho na kumjua Mungu zaidi, tena huyo Yesu amewaakikishia hao wampendao kua atarudi kuwachukua juu binguni ataketi nao. 2. MUHAMMED nae alikufa na wala hakurudi tena /hakufufuka tena hakurudi kuwaambia wafuasi wake kua atawaachia msaidizi ndo maana waislamu hawana wala hawamjui roho mtakatifu ni nani kwa sababu huyo Allah alikua MUHAMMED mwenyewe sasa swali langu ni je? Mtu alie kufa kazikwa na kusahaulika anawezaje kuwatokea?? Yesu alikufa akafufu ambae ni Mungu mwenyewe , YOHANA 4:24 Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli. MUHAMMED alikufa na akalala fofofo ambae ni Allah aliekufa hawezi watokea . Sasa hapa ni wewe kuchagua utamwabudu nani Yesu alie hai ama Allah alie kufa . JOHN 14:6-7 6 Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi. 7 Kama mngalinijua mimi, mngalimjua na Baba; tangu sasa mnamjua, tena mmemwona.

  • @lydiahnabwire128

    @lydiahnabwire128

    4 ай бұрын

    ​@@nurumwita9034 eeh atuambie Allah ni nani??

  • @RubenMtuwaMungu-bz8ee

    @RubenMtuwaMungu-bz8ee

    4 ай бұрын

    @@lydiahnabwire128 mungu anayeabudiwa na kundi Fulani hivi.

Келесі