Part8_ESTA MASANJA:UJUMBE KWA KENYA,UGANDA,CONGO, A.KUSINI•MACHUKIZO YA UHARIBIFU•UONDOENI HUO MTI
JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
M-pesa Lipa Namba.5634017
AirtelMoney Lipa No.3878783
Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
#ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV
Пікірлер: 29
Asante Yesu kwakusikiya viliyo yatahifa yakoya Congo jinala Bwana libarikiwe kwaneemaya hukombozi
Amina hallelujah ubarikiwe sana Mtumishi wa MUNGU kwakueneza ujumbe wa MUNGU wambinguni pia wanapromover T.V MUNGU wambinguni awainue viwango hadi vyengine hallelujah
Amen tuendelee kuombea Africa
Amen,
museveni na ruto sio watumishi wa Mungu, kila kitu wakifanyacho kuna siasa nyuma yake, angalisho sana na hao watu ni watu hatari sana barani Africa
Amen 🙏
Sasa ruto na mseveni ni watumishi wa mungu jamani huyu dada muongo .endeleeni kuomba mungu atasema nanyi
Amen
Africa kusini huku wanasapoti ndoa za jinsia moja Tena hata ukimshangaa shoga huku unaweza ukafungwa sheria zinawatetea
Ameen
Wewe ni muongo sana ni muongo
@gadyjohn3815
Жыл бұрын
unamuangalia wa nini sasa
Yaani Mimi niko huku Afrika kusini yaani yanayoendelea huku ukifika utalia Sana watu wanatembea uchi tu makanisa yakishetani wazwaz tu yaan
@maryandason1815
Жыл бұрын
Endelea kuomba na kusimama ktk kwel ya MUNGU
@maryandason1815
Жыл бұрын
Ukiona fujo inazd rud home kwanz
@emmanuellikaare1661
Жыл бұрын
Unasemaje?
@liesharehema5193
Жыл бұрын
Nikweli kabisa ushoga ulishahalishwa mda mrefu ukimtukana shoga utapelekwa mahakamani Kuna mmoja namfahamu yaani alishabadilisha hata mavazi anavaa sketi na magauni nakila kitu nivya wanawake ila sauti Sasa haibadiliki wengine nimadaktari kabisaaa ila unamuona kapaka wanja na lipstiki yaani MI nasema MUNGU aingilie Kati huku uovu umezidi
@HighzackMichael
Жыл бұрын
@@liesharehema5193 " lakini wewe simama na Mungu usiku na mchana mpaka kieleweke
Huku Afrika kusini MUNGU MWENYEWE asimame lakini ukisema uanze kuwapiganisha mashoga yaani vita itainuka huku MUNGU tu asimame kabisaaa nikweli huku amani hakuna kitu kidogo tu watu huandamana na kufanya vurugu
@maryandason1815
Жыл бұрын
Sabbu ya kuandaman?
@liesharehema5193
Жыл бұрын
Watu wahuku Nima jeuri hawaogopi hata polisi
@quintavitalis926
Жыл бұрын
@@liesharehema5193 rudi nyumbani dada
@liesharehema5193
Жыл бұрын
Nikweli niko mbioni kurudi
@maryandason1815
Жыл бұрын
@@liesharehema5193 eeh mmaa mm mwenyew nlkua Kenya nlvyoona mambo mengi nikarud tz Kwanza....so fanya urud home Kwanza than utaangalia