#Live
JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hiichat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Пікірлер: 19
Mungu aendeleye kuinuwa promova TV viwango vianjuu sana kwakuwa inaokowa watu wengi sana, umenifunza mambo mengi sana najisi yakuombeya maisha yangu. Mungu awabariki sana tena sana, naitwa hornella kutoka Congo munji wa Bukavu, provençe ya Sd-kv
Kutoka USA, Mubarikiwe Mulifanya kazimzuri sana.
Sifa tumpe Yesu peke yake. Barikiweni sana wana Promover tv
Mungu awabariki sana promover TV kwa kutuinua kiimani ,mchuchumilie wokovu mkatwae Taji lenu
Mbarikiwe sana,na MUNGU aendelee kuwatunza,namuendelee kuishi kusudi lake,
Kutoka Kenya.kutoka promover tv nimejifunza mengi sana hata hapa ndo nimejifunza vitu mingi kama unyakuo na kuishi katika wokovu ya ukweli
Wonderful job Promover TV. Barikiwa sana
Mbarikiwe sana watumishi wa Mungu
Amen Asante sana watumishi wa MUNGU
nimeguswa zaidi kusikia ushuuda mahali mulipotoka na mahali munapotaka kufika Mungu awawezeshe,shuuda wangu mimi tokea niwe mmoja wapo wa marafiki wa promover tv nimeguswa kwaviwango vikubwa kupitia wa tumishi mbali mbali na shuuda nyingi zimenijongeza karibu na Mungu na wapenda team promover tv nawafata kutokea 🇺🇸 nikonanyi kadiri na Mungu atakavyo niwezesha kufanya kazi nanyi😭😭😭😭🙏
Amen Amen
Barikiwa sana mwanangu jactan Mungu atakuinua sana
Mbarikiwe kwenye kazi jema
Mungu awabariki
amen amen 🙏
MUNGU bariki channel hii pendwa ,wape ulinzi wote wanao hudumu humu,mipango yote iliyo kusudiwa kuwa na TV REDIO ,ikafanikiwe ili MUNGU wa mbinguni utukuzwe kupitia madhabahu hii ,chombo hiki kimekuwa baraka na kugeuza mioyo ya watu ikugekie KRISTO
Wewe kama ni rafiki wa promova hizo Pete mbilimbili na hereni nywele bandia ni sawa?
@annachachage4931
11 ай бұрын
Ndio maana MUNGU anawanyeshea mvua watu wote wanaostahili na wasiostahili,hata wewe unaemhukumu mwenzio nani kakuthibitisha kuwa una haki?ukiwa bado upo duniani usihukumu usije ukahukumiwa, unaweza ukawa unatoa kibanzi huku boliti iko jichoni mwako.
@RubenMtuwaMungu-bz8ee
11 ай бұрын
@@annachachage4931masikio wanayo na macho ya kuona wanaona kama hawataki kubadilika basi ni ukaidi wao wenyewe na Kila mtu atatoa hesabu siku ya mwisho. Ni kweli watu tunapenda kuwaona wakiwa wamebadilishwa lakini hatuwezi kuwalazimisha.