Part1_USHUHUDA WA RASHID NANJOTA MUISLAM MHUNI ALIYEKUWA AKIWAVURUGA WAKRISTO,YESU AKAMTOKEA GHETTO

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
M-pesa Lipa Namba.5634017
AirtelMoney Lipa No.3878783
Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
#ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV

Пікірлер: 39

  • @owikesibonike
    @owikesibonike9 ай бұрын

    YESU Yu Marangoni. Ubarikiwe Mtumishi wa Kristo YESU. MUNGU tunaomba Mwisho Mwema. MUNGU wetu Usiependezwa Na Kifo Cha Wenye dhambi.

  • @queenesther8505
    @queenesther85059 ай бұрын

    Ameen,Yesu kristo yu karibu kurudi,tujiandae kwa kutubu.😢

  • @tumainimtivike-be8yq
    @tumainimtivike-be8yq9 ай бұрын

    Barikiwa mtumishe daima Yesu ni mwema

  • @user-sf5gp5oi5k
    @user-sf5gp5oi5k8 ай бұрын

    Asante yesu unaokoa yeyote 🙏🙏🙏

  • @mobilebeats3086
    @mobilebeats308610 ай бұрын

    Mwendelezo jactani

  • @Crusader9717
    @Crusader97179 ай бұрын

    Thank you Jackton God bless you as always.

  • @marywanjiru1831
    @marywanjiru18319 ай бұрын

    Tafadhali....ondoeni muziki wa background ...tunahitaji ushuhuda sio kiburudisho...shiru Kenya tuko pamoja

  • @OyengelaMariam-wk6qm
    @OyengelaMariam-wk6qm9 ай бұрын

    Amen napenda vile anaeleza barikiwa

  • @marywanjiru1831
    @marywanjiru18319 ай бұрын

    Jacktan kindly tuletee lwada magele..tajiri wa pesa za kichawi

  • @fatumaminyeko1875
    @fatumaminyeko18759 ай бұрын

    Amen Amen MUNGU mkuu sana

  • @dorcaskarago2876
    @dorcaskarago28769 ай бұрын

    Kweli ata sura ya uyu jamaa na kuongea kwake alikuwa muislam

  • @patrickkatana8823
    @patrickkatana88239 ай бұрын

    Kutoka kenya 🇰🇪 nafuatilia shuhuda hizi

  • @nehemiaayo9527
    @nehemiaayo95279 ай бұрын

    Nikweli kabisa kusini ni ya tofauti sana sijawai ona uku ni goma za manyange tu usiku na mashee wapo wengi tu nimeshagaa sana majini yakilipuka yanataka damu nawanayapa nilishangaa sana wanawachingijia mpaka kuku mbunzi nimeshangaa sana

  • @maryandason1815
    @maryandason18159 ай бұрын

    Amen blessed promover tv❤

  • @angelibrahim5539
    @angelibrahim55399 ай бұрын

    Amina

  • @Inkubutembo7779
    @Inkubutembo77799 ай бұрын

    Tunaomba part 2

  • @paulokiwango21
    @paulokiwango219 ай бұрын

    Hii nzur well

  • @patrickkatana8823
    @patrickkatana88239 ай бұрын

    Katika shuhuda zote ila hii, nime enjoy kuskiza na kujifunza mambo mengi sana🎉🎉❤

  • @juliuskalama2746

    @juliuskalama2746

    9 ай бұрын

    Mtumishi huwa unaskiliza pia nawewe hii channel?

  • @flm1530
    @flm15309 ай бұрын

    Jactan naomba link ya mwendelezo

  • @sophiamakani6133
    @sophiamakani613310 ай бұрын

    Mwendelezo please

  • @sweetbertsangi2397
    @sweetbertsangi23979 ай бұрын

    Nataman sana mngekuwa mnaweka audio ,video bando jaman hali ni ngumu😢

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    9 ай бұрын

    Waislamu wengine wana bifu baya na WaKristo Waliokoka,Mungu awahurumie sana

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    9 ай бұрын

    Pole saana

  • @victorbeno
    @victorbeno9 ай бұрын

    Tupo pamoja

  • @rerisamba
    @rerisamba9 ай бұрын

    Hata hakai hio miaka yani anakaa mdogo

  • @elizabetheliza4751
    @elizabetheliza47519 ай бұрын

    part 2 please ❤

  • @UsafiMichael-mc8kt
    @UsafiMichael-mc8kt9 ай бұрын

    Shetani hana shukurani

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael79359 ай бұрын

    Chezea walokole wewe . Adui wa mtu wa Mungu ni adui wake Mungu mwenyewe 😂😂😂

  • @rerisamba
    @rerisamba9 ай бұрын

    Waganga jamani sio watu wazuri mwanzo wa enzi hizo

  • @mhogomchungu7168
    @mhogomchungu71689 ай бұрын

    Dini inayoongozwa na ushuhuda usiothibitika ni dini ya usanii na uongo. Dini inaongozwa na msingi mkuu wa imani , msingi huo ndio unasimamia na kutangaza dini hiyo sio maigizo.

  • @trophywilson7211
    @trophywilson72119 ай бұрын

    Lindi Mungu aonekane

  • @user-gi9kx1yj2z
    @user-gi9kx1yj2z9 ай бұрын

    Naomba kujua mtumishi wa mungu mbona waisilamu wana roho ya chuki na wakiristo

  • @RubenMtuwaMungu-bz8ee

    @RubenMtuwaMungu-bz8ee

    9 ай бұрын

    Ni dini ya mpinga kristo ndiyo maana inachuki na wafuasi wa Kristo

  • @daviddavid-gq8zp

    @daviddavid-gq8zp

    9 ай бұрын

    Kwa sababu kwenye Koran wapo majini Surah al jinn (72) hawa ndiyo mpinga Kristo aliyetajwa kwenye biblia...Ubarikiwe.

  • @CherieDeDieu

    @CherieDeDieu

    9 ай бұрын

    Kwa sababu kwenye Quran, Mungu wao amewaamrisha wasiwe marafiki na wakristo na wayahudi; na hata wawaue; kwamba hao ni sawa na punda; ni wachafu.....

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    9 ай бұрын

    ​@@daviddavid-gq8zpAise Mungu awahurumie

  • @miltonjohn9779

    @miltonjohn9779

    6 ай бұрын

    Uislam ni dini ya shetani hilo halipingiki. Hata mafundisho Yao yamejaa chuki dhi ya ukristo

  • @badruseif1318
    @badruseif13189 ай бұрын

    Wewe babu uhuni wako ndio ulikuponza mpk mashetani yakakubeba mazima

Келесі