Part1_USHUHUDA WA RASHID NANJOTA MUISLAM MHUNI ALIYEKUWA AKIWAVURUGA WAKRISTO,YESU AKAMTOKEA GHETTO
JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
M-pesa Lipa Namba.5634017
AirtelMoney Lipa No.3878783
Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
#ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV
Пікірлер: 39
YESU Yu Marangoni. Ubarikiwe Mtumishi wa Kristo YESU. MUNGU tunaomba Mwisho Mwema. MUNGU wetu Usiependezwa Na Kifo Cha Wenye dhambi.
Ameen,Yesu kristo yu karibu kurudi,tujiandae kwa kutubu.😢
Barikiwa mtumishe daima Yesu ni mwema
Asante yesu unaokoa yeyote 🙏🙏🙏
Mwendelezo jactani
Thank you Jackton God bless you as always.
Tafadhali....ondoeni muziki wa background ...tunahitaji ushuhuda sio kiburudisho...shiru Kenya tuko pamoja
Amen napenda vile anaeleza barikiwa
Jacktan kindly tuletee lwada magele..tajiri wa pesa za kichawi
Amen Amen MUNGU mkuu sana
Kweli ata sura ya uyu jamaa na kuongea kwake alikuwa muislam
Kutoka kenya 🇰🇪 nafuatilia shuhuda hizi
Nikweli kabisa kusini ni ya tofauti sana sijawai ona uku ni goma za manyange tu usiku na mashee wapo wengi tu nimeshagaa sana majini yakilipuka yanataka damu nawanayapa nilishangaa sana wanawachingijia mpaka kuku mbunzi nimeshangaa sana
Amen blessed promover tv❤
Amina
Tunaomba part 2
Hii nzur well
Katika shuhuda zote ila hii, nime enjoy kuskiza na kujifunza mambo mengi sana🎉🎉❤
@juliuskalama2746
9 ай бұрын
Mtumishi huwa unaskiliza pia nawewe hii channel?
Jactan naomba link ya mwendelezo
Mwendelezo please
Nataman sana mngekuwa mnaweka audio ,video bando jaman hali ni ngumu😢
@trophywilson7211
9 ай бұрын
Waislamu wengine wana bifu baya na WaKristo Waliokoka,Mungu awahurumie sana
@trophywilson7211
9 ай бұрын
Pole saana
Tupo pamoja
Hata hakai hio miaka yani anakaa mdogo
part 2 please ❤
Shetani hana shukurani
Chezea walokole wewe . Adui wa mtu wa Mungu ni adui wake Mungu mwenyewe 😂😂😂
Waganga jamani sio watu wazuri mwanzo wa enzi hizo
Dini inayoongozwa na ushuhuda usiothibitika ni dini ya usanii na uongo. Dini inaongozwa na msingi mkuu wa imani , msingi huo ndio unasimamia na kutangaza dini hiyo sio maigizo.
Lindi Mungu aonekane
Naomba kujua mtumishi wa mungu mbona waisilamu wana roho ya chuki na wakiristo
@RubenMtuwaMungu-bz8ee
9 ай бұрын
Ni dini ya mpinga kristo ndiyo maana inachuki na wafuasi wa Kristo
@daviddavid-gq8zp
9 ай бұрын
Kwa sababu kwenye Koran wapo majini Surah al jinn (72) hawa ndiyo mpinga Kristo aliyetajwa kwenye biblia...Ubarikiwe.
@CherieDeDieu
9 ай бұрын
Kwa sababu kwenye Quran, Mungu wao amewaamrisha wasiwe marafiki na wakristo na wayahudi; na hata wawaue; kwamba hao ni sawa na punda; ni wachafu.....
@trophywilson7211
9 ай бұрын
@@daviddavid-gq8zpAise Mungu awahurumie
@miltonjohn9779
6 ай бұрын
Uislam ni dini ya shetani hilo halipingiki. Hata mafundisho Yao yamejaa chuki dhi ya ukristo
Wewe babu uhuni wako ndio ulikuponza mpk mashetani yakakubeba mazima